Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at
Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at
Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at
Sie wollen auch ein ePaper? Erhöhen Sie die Reichweite Ihrer Titel.
YUMPU macht aus Druck-PDFs automatisch weboptimierte ePaper, die Google liebt.
Nach diesem Gespräch geht Bah<strong>at</strong>i in die Toilette und macht sich für Mzee Mwinyi schön,<br />
parfümiert sich und zieht das neue Kleid an. Sie und Idi fahren danach zu Mwinyi.<br />
Als Idi und Bah<strong>at</strong>i vor Mwinyis Haus stehen und das Unternehmen nochmals besprechen,<br />
bezeichnet Bah<strong>at</strong>i sich selbst und dieses Unternehmen als „ein Sühneopfer der (für die)<br />
Liebe.“ 50 Sie treffen Mzee Mwinyi in seinem schönen Garten, wo er festlich angezogen auf<br />
Bah<strong>at</strong>i wartet. Mzee Mwinyi sieht Bah<strong>at</strong>i, lächelt sie an, ruft sie beim Namen und heißt sie<br />
in seinem Haus herzlich willkommen.<br />
Mzee Mwinyi alikunja mikono yake na kumwendea Bah<strong>at</strong>i. „Karibu, karibu, Bah<strong>at</strong>i,<br />
karibu kwangu!“ alisema kwa furaha.<br />
Bah<strong>at</strong>i alisogea kwa woga. Ile sura ya mzee, na umbo lake, vilianza kumtisha tena Bah<strong>at</strong>i,<br />
roho ikamchafuka, na moyo ukazidi kumwendea mbio. Alitaka kuupokea mkono<br />
alionyoshewa, lakini wake ukawa mzito, ukawa haupendi, kama kwamba umemgomea.<br />
Alijitahidi akaulazimisha ukubali makaribisho yale. Basi akaupeleka tar<strong>at</strong>ibu na kukutana<br />
na ule wa Mwinyi. Mwinyi alimshika Bah<strong>at</strong>i mkono kwa kitambo kirefu, huku akiikagua<br />
ile sura yake tangu kichwani hadi miguuni, mfano wa mnyama mkali aliyekam<strong>at</strong>a windo<br />
lake na sasa anachagua ni wapi aanze kutafuna.<br />
Kisha alifu<strong>at</strong>ana naye ndani ya nyumba huku akimwita jina lake. Bah<strong>at</strong>i alikubali pasi na<br />
hiari, akafu<strong>at</strong>a, na alipogeuka kumtazama Idi alimwona akisogea mbali, kama kwamba<br />
baada ya kumkabidhi Mwinyi amana yake, kazi yake ilikamilika.<br />
Safari ya Mwinyi na Bah<strong>at</strong>i iliishia chumbani. Bah<strong>at</strong>i alikalishwa juu ya takia, na Mwinyi<br />
akaanza kumtazama kwa njaa na shauku ya kitisho kabisa. Bah<strong>at</strong>i alikuwa bado ameinama<br />
chini, akiogopa kuinua macho yake kukutana na yale ya Mwinyi.<br />
Kushindwa hakukuwa mbali, aliona Bah<strong>at</strong>i. Mikono ya Mzee Mwinyi iliyokuwa<br />
ikitetemeka kwa hamu, vidole vyake vilivyokonda kwa dhiyaa, umbo lake lililofujwa na<br />
umri na maradhi, na zaidi macho yake mwekundu, manene yaliyotokeza k<strong>at</strong>ika majumba<br />
yenye mizizi na kukalia vikoba vyeusi, alihisi, ni sehemu ya mfu aliyezuka kaburini.<br />
Kirihi ilimpanda. Hofu ilimtambaa maungoni kama jeshi la usubi. Lakini ah, huyu ni mfu<br />
muhimu kwa ajili ya uhai wa Bah<strong>at</strong>i. Wangapi na wangapi wamefanya maovu yasiyomo<br />
k<strong>at</strong>ika imani zao ili wajip<strong>at</strong>ie nusura. Lazima ay<strong>at</strong>ende kwa ajili ya Idi. Alianza<br />
kuzikusanya nguvu zake zote kuituliza nafsi yake iliyotishika. Nia yake kubwa yenye<br />
nguvu za mapenzi, mara ilimtia shujaa, akabadilika, akamkabili Mzee Mwinyi kama mtu<br />
anavyomkabili adui asiyemkimbilia ili ampige dhoruba ya kumwangamiza.<br />
Mikono ya Bah<strong>at</strong>i iliuvaa mwili wa Mzee Mwinyi, ukapinduka kwa nyuma. Na sasa Bah<strong>at</strong>i<br />
alifanya alilolijia pasi na woga. Alimmiminia Mzee Mwinyi maneno m<strong>at</strong>amu ya mahaba,<br />
kisha akajibandua mikononi mwake na kukaa juu ya takia akihema. Kwa dakika mbili au<br />
t<strong>at</strong>u tu yalikamilika, ushindi ukawa wake. Mwinyi naye akajiokota na kukaa. Halafu<br />
akamwomba tena Bah<strong>at</strong>i, lakini akak<strong>at</strong>aa. “Ah! Sitaweza tena, utanisamehe,” alimjibu.<br />
50 “Mhanga wa mapenzi.” (<strong>Kiu</strong>: 48).<br />
20