05.01.2013 Aufrufe

Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at

Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at

Kiu East African Publishing House, Nairobi ... - Swahili-literatur.at

MEHR ANZEIGEN
WENIGER ANZEIGEN

Sie wollen auch ein ePaper? Erhöhen Sie die Reichweite Ihrer Titel.

YUMPU macht aus Druck-PDFs automatisch weboptimierte ePaper, die Google liebt.

Nach diesem Gespräch geht Bah<strong>at</strong>i in die Toilette und macht sich für Mzee Mwinyi schön,<br />

parfümiert sich und zieht das neue Kleid an. Sie und Idi fahren danach zu Mwinyi.<br />

Als Idi und Bah<strong>at</strong>i vor Mwinyis Haus stehen und das Unternehmen nochmals besprechen,<br />

bezeichnet Bah<strong>at</strong>i sich selbst und dieses Unternehmen als „ein Sühneopfer der (für die)<br />

Liebe.“ 50 Sie treffen Mzee Mwinyi in seinem schönen Garten, wo er festlich angezogen auf<br />

Bah<strong>at</strong>i wartet. Mzee Mwinyi sieht Bah<strong>at</strong>i, lächelt sie an, ruft sie beim Namen und heißt sie<br />

in seinem Haus herzlich willkommen.<br />

Mzee Mwinyi alikunja mikono yake na kumwendea Bah<strong>at</strong>i. „Karibu, karibu, Bah<strong>at</strong>i,<br />

karibu kwangu!“ alisema kwa furaha.<br />

Bah<strong>at</strong>i alisogea kwa woga. Ile sura ya mzee, na umbo lake, vilianza kumtisha tena Bah<strong>at</strong>i,<br />

roho ikamchafuka, na moyo ukazidi kumwendea mbio. Alitaka kuupokea mkono<br />

alionyoshewa, lakini wake ukawa mzito, ukawa haupendi, kama kwamba umemgomea.<br />

Alijitahidi akaulazimisha ukubali makaribisho yale. Basi akaupeleka tar<strong>at</strong>ibu na kukutana<br />

na ule wa Mwinyi. Mwinyi alimshika Bah<strong>at</strong>i mkono kwa kitambo kirefu, huku akiikagua<br />

ile sura yake tangu kichwani hadi miguuni, mfano wa mnyama mkali aliyekam<strong>at</strong>a windo<br />

lake na sasa anachagua ni wapi aanze kutafuna.<br />

Kisha alifu<strong>at</strong>ana naye ndani ya nyumba huku akimwita jina lake. Bah<strong>at</strong>i alikubali pasi na<br />

hiari, akafu<strong>at</strong>a, na alipogeuka kumtazama Idi alimwona akisogea mbali, kama kwamba<br />

baada ya kumkabidhi Mwinyi amana yake, kazi yake ilikamilika.<br />

Safari ya Mwinyi na Bah<strong>at</strong>i iliishia chumbani. Bah<strong>at</strong>i alikalishwa juu ya takia, na Mwinyi<br />

akaanza kumtazama kwa njaa na shauku ya kitisho kabisa. Bah<strong>at</strong>i alikuwa bado ameinama<br />

chini, akiogopa kuinua macho yake kukutana na yale ya Mwinyi.<br />

Kushindwa hakukuwa mbali, aliona Bah<strong>at</strong>i. Mikono ya Mzee Mwinyi iliyokuwa<br />

ikitetemeka kwa hamu, vidole vyake vilivyokonda kwa dhiyaa, umbo lake lililofujwa na<br />

umri na maradhi, na zaidi macho yake mwekundu, manene yaliyotokeza k<strong>at</strong>ika majumba<br />

yenye mizizi na kukalia vikoba vyeusi, alihisi, ni sehemu ya mfu aliyezuka kaburini.<br />

Kirihi ilimpanda. Hofu ilimtambaa maungoni kama jeshi la usubi. Lakini ah, huyu ni mfu<br />

muhimu kwa ajili ya uhai wa Bah<strong>at</strong>i. Wangapi na wangapi wamefanya maovu yasiyomo<br />

k<strong>at</strong>ika imani zao ili wajip<strong>at</strong>ie nusura. Lazima ay<strong>at</strong>ende kwa ajili ya Idi. Alianza<br />

kuzikusanya nguvu zake zote kuituliza nafsi yake iliyotishika. Nia yake kubwa yenye<br />

nguvu za mapenzi, mara ilimtia shujaa, akabadilika, akamkabili Mzee Mwinyi kama mtu<br />

anavyomkabili adui asiyemkimbilia ili ampige dhoruba ya kumwangamiza.<br />

Mikono ya Bah<strong>at</strong>i iliuvaa mwili wa Mzee Mwinyi, ukapinduka kwa nyuma. Na sasa Bah<strong>at</strong>i<br />

alifanya alilolijia pasi na woga. Alimmiminia Mzee Mwinyi maneno m<strong>at</strong>amu ya mahaba,<br />

kisha akajibandua mikononi mwake na kukaa juu ya takia akihema. Kwa dakika mbili au<br />

t<strong>at</strong>u tu yalikamilika, ushindi ukawa wake. Mwinyi naye akajiokota na kukaa. Halafu<br />

akamwomba tena Bah<strong>at</strong>i, lakini akak<strong>at</strong>aa. “Ah! Sitaweza tena, utanisamehe,” alimjibu.<br />

50 “Mhanga wa mapenzi.” (<strong>Kiu</strong>: 48).<br />

20

Hurra! Ihre Datei wurde hochgeladen und ist bereit für die Veröffentlichung.

Erfolgreich gespeichert!

Leider ist etwas schief gelaufen!