Muhtasari Jumuishi â Tathmini ya Athari za Kimazingira na Kijamii ...
Muhtasari Jumuishi â Tathmini ya Athari za Kimazingira na Kijamii ...
Muhtasari Jumuishi â Tathmini ya Athari za Kimazingira na Kijamii ...
- No tags were found...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Muhtasari</strong> <strong>Jumuishi</strong> – <strong>Tathmini</strong> <strong>ya</strong> <strong>Athari</strong> <strong>za</strong> <strong>Kimazingira</strong> <strong>na</strong> <strong>Kijamii</strong><br />
Za Kiwanda cha Magadi Soda katika Ziwa Natron ukurasa - 7 -<br />
Zaidi <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ardhi <strong>ya</strong>liyoidhinishwa kwenye gazeti la serikali, ku<strong>na</strong> ufugaji mkubwa <strong>na</strong><br />
kilimo cha kutegemea mvua, umwagiliaji <strong>na</strong> makazi kadhaa. Eneo la Ramsar liko ndani <strong>ya</strong> GCA<br />
<strong>na</strong> hutumia mpaka wa magharibi wa Ziwa Natron GCA. Upande wa mashariki mpaka wa Ramsar<br />
u<strong>na</strong>fuata mpaka wa maji kuanzia Oldonyo Lengai hadi Gelai <strong>na</strong> kisha kaskazini hadi Ken<strong>ya</strong><br />
ukitenganisha Ki<strong>na</strong>masi cha Kipingaine <strong>na</strong> Ziwa.<br />
3.1 Maelezo Mafupi kuhusu Jamii<br />
Jamii katika Bonde la Ziwa Natron kwa kiasi kikubwa ni <strong>ya</strong> wafugaji wa Kimasai ambao<br />
wamekuwa wakijitahidi kuhifadhi mila <strong>na</strong> desturi <strong>za</strong>o katika dunia i<strong>na</strong>yobadilika kwa kasi.<br />
Wamasai ni miongoni mwa makabila <strong>ya</strong> Kiafrika <strong>ya</strong><strong>na</strong>yojulika<strong>na</strong> sa<strong>na</strong> kimataifa. Wa<strong>na</strong>endelea<br />
kushikilia desturi nyingi <strong>za</strong> utamaduni wao huku wakiingia katika mazingira map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kiuchumi,<br />
kijamii <strong>na</strong> kisiasa <strong>ya</strong> kikanda <strong>na</strong> kilimwengu. Maamuzi hufanywa <strong>na</strong> wazee wa kila kikundi cha<br />
Wamasai <strong>na</strong> jukumu la uongozi ni la wa<strong>na</strong>ume.<br />
Wamasai huishi mpakani mwa Ken<strong>ya</strong> <strong>na</strong> Tan<strong>za</strong>nia, wakihamisha makazi <strong>ya</strong>o mara kwa mara<br />
kufuata ng‟ombe wao, ambao ndio tegemeo kubwa la maisha <strong>ya</strong>o. Kwa Wamasai, ng‟ombe ni<br />
sehemu muhimu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o; hunywa maziwa <strong>na</strong> damu <strong>ya</strong> ng‟ombe kama kinywaji cha<br />
kuheshimika; hutumia kinyesi cha ng‟ombe kukandika <strong>na</strong> kusiriba nyumba <strong>za</strong>o; hawachinji<br />
ng‟ombe wao kwa ajili <strong>ya</strong> chakula; lakini kama ng‟ombe akiuawa, basi pembe hutumika kama<br />
chombo cha kuhifadhia vitu mbalimbali; ngozi hutumika kutengene<strong>za</strong> viatu, nguo, kamba, <strong>na</strong><br />
matandiko <strong>ya</strong> vitanda; <strong>na</strong> kwato <strong>na</strong> mifupa hutengenezea mapambo. Wamasai wa<strong>na</strong>amini kuwa<br />
wao ndio wamiliki halali wa ng‟ombe, imani ambayo ndio chanzo cha migogoro mingi i<strong>na</strong>yozuka<br />
bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> Wamasai <strong>na</strong> jamii nyingine <strong>za</strong> wafugaji.<br />
Kabila li<strong>na</strong>lofuata kwa ukubwa baada <strong>ya</strong> Wamasai ni Wasonjo. Hawa ni wakulima <strong>na</strong> wafugaji<br />
wa ng‟ombe <strong>na</strong> hawapatani kabisa <strong>na</strong> Wamasai. Wasonyo wako kwa wingi katika eneo la<br />
Pinyinyi ambako hutumia mfumo wa <strong>za</strong>mani wa kilimo cha umwagiliaji kwa kutegemea maji<br />
kutoka kwenye maporomoko (i<strong>na</strong>dhaniwa kuwa wao ndilo kabila la kwan<strong>za</strong> Afrika Mashariki<br />
kunyweshea mashamba <strong>ya</strong>o kwa mifereji). Maji <strong>ya</strong><strong>na</strong> thamani kubwa kwao <strong>na</strong> wamekuwa<br />
RASIMU<br />
Juni 2007<br />
Norconsult