31.05.2013 Views

…d'ora in poi tutti ti chiameranno BEATA - Suore di Carità dell ...

…d'ora in poi tutti ti chiameranno BEATA - Suore di Carità dell ...

…d'ora in poi tutti ti chiameranno BEATA - Suore di Carità dell ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kwa hakika moyo umesheheni shukrani. Tarehe 2 Oktoba, 2011<br />

kule Ivrea, tulikuwepo hata sisi kuimba utenzi wa Bikira Maria,<br />

waka<strong>ti</strong> kitambaa cheupe kilichokuwa kimen<strong>in</strong>g’<strong>in</strong>izwa mbele ya<br />

Altare kufunika Picha ya Mwenyeheri Mama Antonia Maria Verna,<br />

kilipokuwa k<strong>in</strong>afunuliwa tara<strong>ti</strong>bu; lak<strong>in</strong>i sisi tulikuwa kama<br />

wawakilishi wa ule uma<strong>ti</strong> ulivo sehemu mbali mbali za dunia au<br />

mb<strong>in</strong>guni ambao walifai<strong>di</strong> ile zawa<strong>di</strong> kubwa ambayo Mwenyezi<br />

Mungu ametukirimia hapa duniani.<br />

Kwa hakika hapo tarehe 2 Oktoba, 2011, kulikuwa na “bahari ya<br />

watu”. Uma<strong>ti</strong> huu ulimezwa na ule uzuri wa utaka<strong>ti</strong>fu wa maisha;<br />

unyenyekevu unaookoa, uzuri unaobubujika kutoka kwa Kristo<br />

Msulubiwa unaoenea kwa kila kiumbe k<strong>in</strong>achokubali maba<strong>di</strong>liko<br />

ya upendo wa Kristo Msulubiwa na hivyo, kuwa ni kielelezo cha<br />

mwanga angavu wa kuwa mwema na mwenye furaha kwa ajili ya<br />

Mwenyezi Mungu na kwa kuwa Mtaka<strong>ti</strong>fu.<br />

Mama Antonia Maria Verna amepata wapi nguvu hii? Ka<strong>ti</strong>ka<br />

maisha ya sala, sadaka na ushuhuda wa maisha. Dunia <strong>in</strong>a kiu ya<br />

wataka<strong>ti</strong>fu, ya watu ambao wanang’ara kwa uwepo wa Mungu ka<strong>ti</strong>ka<br />

maisha yao; ili kuzima kiu ya mwanadamu wa leo anayemtafuta<br />

Mungu, uzuri wa maisha, ukweli na upendo mkamilifu.<br />

Wito wetu kama wote waliochaguliwa ka<strong>ti</strong>ka Yeye ni huu “kuwa<br />

wataka<strong>ti</strong>fu, watu wasiokuwa na ha<strong>ti</strong>a mbele zake ka<strong>ti</strong>ka pendo”²<br />

Mama Antonia anatusai<strong>di</strong>a kwa sababu anafahamu njia za utaka<strong>ti</strong>fu,<br />

maisha na uzuri.<br />

1 Lk. 1:48<br />

2 Ef. 1:4<br />

SCIC<br />

Gioia e festosi<br />

salu<strong>ti</strong> alla<br />

f<strong>in</strong>e <strong>dell</strong>a<br />

celebrazione.<br />

7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!