19.06.2014 Views

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

REMP Technical Report 38 Muhitasari wa Majumuisho ya warsha ya utawala bora Twasalie, Rufiji<br />

Siku Ya Pili<br />

Siku iliy<strong>of</strong>uata Ratiba ilianza kwa kujikumbusha yaliy<strong>of</strong>anyika jana yake, kwa kutoa muhitasari wa<br />

masuala yaliyo jadiliwa siku iliyotangulia. Vile vile washiriki waliimba na kucheza kwa dakika tano.<br />

Baadaye Ratiba ilianza.<br />

5 Uongozi Bora<br />

Mwezeshaji alieleza kuwa zipo tafsiri nyingi za uongozi. Kwa wengine uongozi ni kuonyesha njia,<br />

wengine ni utawala, kusimamia au kuwa na madaraka katika kikundi fulani, na wengine ni kushirikikisha<br />

kikamilifu katika kuleta maendeleo.<br />

Uongozi ni kama ufundi ambao hujengwa ifuatavyo:<br />

a) Kujua unaowaongoza na kuchambua mahitaji ya jamii unayoiongoza.<br />

b) Kutafuta njia ya kupokea na kutosheleza mahitaji yao<br />

c) Kuzingatia jinsi watu unaowaongoza wanavyojisikia<br />

d) Kutambua mahitaji na matarajio ya jamii unayoiongoza<br />

e) Kuwa tayari kukiri na kusahihishwa makosa<br />

f) Kuwa tayari kujirekebisha<br />

g) Kuwa jasiri katika utendaji na kuwa mwenye haki<br />

5.1 Sifa Za Kiongozi Bora<br />

Kutokana na ufundi unaotakiwa ulioelezewa hapo juu kiongozi bora anapaswa awe na sifa, hivyo<br />

mwezeshaji aliwaomba washiriki wakae katika vikundi ili wajadiliane na kuainisisha sifa za kiongozi<br />

bora ambazo wanafikiria zinafaa kiongozi wao awe nazo. Baada ya kuzijadili kila kikundi kiliwasilisha<br />

katika ma<strong>and</strong>ishi kwenye mabango na washiriki walijadili.<br />

MAWASILISHO YA VIKUNDI<br />

5.1.1 Kundi la Mambwiga<br />

• Aawe anapenda maendeleo<br />

• Awe anapenda kuwasiliana na wananchi<br />

• Anayependa shule<br />

• Asijifanye bwana mkubwa<br />

• Anayependa kukosolewa na kujikosoa<br />

• Kiongozi asiyependa makuu<br />

5.1.2 Kundi la Wanawake<br />

• Awe na elimu japo kidogo<br />

• Awe mvumilivu<br />

• Awe na heshima kwa makundi yote<br />

• Asiwe mtoa au mpokea rushwa<br />

• Asiwe mlevi<br />

• Akipata ujumbe awe anatoa taarifa kwa wote<br />

• Asiwe na majungu<br />

• Asiwe na ubaguzi<br />

5.1.3 Kundi la Kamati ya Mazingira na Viongozi wa Serikali ya Kijiji<br />

• Awe mwadilifu<br />

• Awe mpenda maendeleo<br />

7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!