19.06.2014 Views

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

REMP Technical Report 38 Muhitasari wa Majumuisho ya warsha ya utawala bora Twasalie, Rufiji<br />

WAZEE MASHUHURI<br />

1. Elimu Kujenga Shule- wanakijiji<br />

Kufuatilia walimu- Kamati ya shule ifuatilie<br />

Ku<strong>and</strong>ikisha watoto –Wazazi na kamati ya shule<br />

2.Kilimo cha mtu mmoja mmoja Kulima kwa vikundi (vya hiari) na kusaidiana<br />

hakifai<br />

3. Mmomonyoko wa maadili kwa<br />

vijana<br />

Kila mzazi amuelimishe mwanae itakaposhindikana<br />

ampeleke kwenye kamati ya ulinzi na usalama kwa<br />

maonyo zaidi.<br />

Wanaopata Mafunzo waonyeshe mifano ya kuigwa<br />

4. Vijana waliochukua mafunzo ya<br />

MUMARU<br />

5. Katibu Mtendaji (Kata) Mazungumzo na majadiliano ya mipaka yarudiwe<br />

Kutoshirikisha wanakijiji Twasalie<br />

na Msala Kuhusu Mipaka<br />

6.Viongozi wa kijiji kutopewa Katibu Mtendaji wa kata awape mafunzo<br />

mafunzo<br />

7. Kutotembelewa na viongozi wa Kushirikiana na viongozi wa kata ili kupata muafaka ,<br />

wilaya<br />

Diwani, Afisa mtendaji Kata, kujadili maendeleo ya kijiji.<br />

8. Viongozi wa kijiji kuwa wababe Viongozi wawe wanashirikisha wanakijiji katika maamuzi<br />

yanayohusu maendeleo ya kijiji.<br />

9. Wanyama Waharibifu Wanyama waharibifu tutawasaka<br />

10. Zahanati haina Mkunga Kijiji kifuatilie ili apatikane mkunga (kamati ya maendelee<br />

ya Jamii.<br />

-Vifaa vipatikane ili kumalizia ujenzi na wananchi<br />

wajitolee nguvu zao.<br />

11.Ushirikiano na Mikoko<br />

**Hawana mazao ya Biashara mengine<br />

KUNDI LA SKAUTI<br />

1Hatutambuliwi na wanakijiji - Tupatiwe vitambulisho na kuvivaa (ilifahamishwa kuwa<br />

sera ime<strong>and</strong>aliwa ili kutoa vitambulisho vya askari wa<br />

maliasili).<br />

2.Hatuna silaha zozote za kumkabili - serikali ya kijiji itupe silaha<br />

adui<br />

3.hatuna usafiri wa haraka kama - Serikali ya kijiji itu<strong>and</strong>alie usafiri wakati wa kazi<br />

vile boti wala mtumbwi na shughuli<br />

zetu za baharini samaki na mikoko<br />

4. Ukosefu wa sare -Serikali ya kijiji itupatie sare<br />

5. Kutopewa Posho za Kazi -Serikali ya kijiji itupatie posho tunapokwenda kazini<br />

6. Serikali ya kijiji haijui wajibu Kwenye masomo haya wajibu umefahamika<br />

wake<br />

7. Akikamatwa adui anapopelekwa Masomo ya rushwa katika warsha hii yametusaidia kutupa<br />

kijijini siku ya pili anaondoka mwanga.<br />

sababu hatuielewi<br />

1.Hakuna uletaji miradi midogo<br />

katika kijiji<br />

2. Kukosekana kwa huduma za<br />

jamii kama vile shule, wakunga na<br />

wahudumu wa Afya<br />

WANAWAKE<br />

-Upataji wa vifaa na elimu ya kusindika mazao yetu kama<br />

embe na nyanya.<br />

-Elimu ya Usindikaji Chumvi<br />

- Wananchi tushirikiane tumalizie ujenzi wa shule na<br />

hospitali<br />

- Kamati ya shule huduma jamii kufuatilia upatikanaji wa<br />

25

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!