Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania
Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania
Masuala Yaliyojadiliwa - Coastal Forests of Kenya and Tanzania
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
REMP Technical Report 38 Muhitasari wa Majumuisho ya warsha ya utawala bora Twasalie, Rufiji<br />
3. Vikao vya kijiji vikipangwa<br />
hakuna ufuatiliaji na utekelezaji<br />
kwa masuala Fulani likiongelewa<br />
watumishi<br />
- serikali wafadhili wachukue vijana wa hapa Twasalie<br />
wakawapatie elimu kama vile ukunga ili waje kusaidia<br />
Twasalie<br />
-Wahusika washulikie masuala hayo wasip<strong>of</strong>anya hiyo<br />
itabidi waulizwe<br />
-zitumike sheria ndogondogo<br />
4. Kudhibiti wanyama waharibifu Tumekubaliana kuchanga pesa ili tununue zana za kusakia<br />
wanyama.<br />
5. Hakuna utekelezaji toka kwa Kwa wale waliopata mafunzo itabidi kuanzia sasa<br />
waliopata mafunzo mbalimbali waonyeshe mifano kwa kile alichojifunza asip<strong>of</strong>anya<br />
Hata kwa wao kuonyesha mfano ili<br />
wananchi wengine wajifunzie kwa<br />
hivyo itabidi atoe sababu kwa wanakijiji kwa nini hakutoa<br />
elimu yake.<br />
6. Serikali ya kijiji haitoshi vikao au<br />
mikutano ya hadhara<br />
7. Halmashauri ya wilaya kutoleta<br />
waalimu kwani mwalimu yupo<br />
mmoja kwa jina siyo kwa kufanya<br />
kazi<br />
8. Ukosefu wa Mkunga kuhudumia<br />
matatizo ya wanawake kama<br />
ukunga na kupima wajawazito<br />
9. Kutokujua mapato na matumizi<br />
ya fedha za kijiji<br />
10. Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji<br />
kutohudhuria mikutano mingi<br />
anafanya yake bila taarifa<br />
11. Kikundi cha akina mama lakini<br />
nguvu hatuna<br />
12. serikali haijatoa elimu na<br />
msukumo wa mazao mbadala ya<br />
minazi na korosho<br />
13. Diwani na Afisa Mtendaji wa<br />
Kata hawahudhurii kwenye vikao<br />
14. Vijana hawajishughulishi na<br />
Mradi wa MUMARU hapa kijijini<br />
Wenyeviti wa vitongoji hawana<br />
mwamko katika shughuli za<br />
kimaendeleo<br />
Vijana hatuhusishwi katika masomo<br />
ya mradi<br />
15 Mwisho<br />
Itabidi wahusika waulizwe<br />
Itabidi wanakijiji tujue nini cha kufanya kuhusu suala la<br />
walimu kwa kupitia ngazi zinazohusika<br />
Wateuliwe watu hapa wafundishwe ukunga na upimaji wa<br />
wajawazito.<br />
Uitishwe mkutano na kuwe na ukweli na uwazi na kila<br />
mwananchi ahudhurie mkutano<br />
Tutumie katiba iliyowekwa<br />
Mradi utusaidie elimu ya kutuongezea uwezo na kuongeza<br />
nguvu yake<br />
Mradi utasaidia elimu ya zao mbadala<br />
Wilaya ijulishwe<br />
Serikali ya Kijiji iwaelimishe tuwe nao Sambamba<br />
MAMBWIGA<br />
Tunaiagiza Serikali ya Kijiji iwaite wenyeviti wa vitongoji<br />
na mambwiga wakae nao kuwahamasisha kwenye mfumo<br />
mpya wa kimaendeleo<br />
VIJANA<br />
Na sisi tunataka tuhusishwe katika masomo hayo, zikija<br />
barua tutangaziwe vijana wote.<br />
Tunataka tuhusishwe zikija barua kutoka kwenye Mradi<br />
tuna haki ya kuchaguliwa na sisi kama vijana.<br />
Katika kufunga warsha mwezeshaji aliwashukuru washiriki wa warsha.<br />
Mzee mmoja alishukuru kwa niaba ya washiriki wote na kusema warsha hii imewapanua mawazo na<br />
kuwaongezea upeo juu ya masuala ya utawala bora. Aliahidi kuwa wawezeshaji wakienda mwezi Januari<br />
wataikuta <strong>of</strong>isi iko tayari<br />
Katibu naye aliomba msamaha kwa yale mapungufu yaliyokuwepo na kusema viongozi watajirekebisha.<br />
26