Mahusiano ya Walimu na Wazazi katika Malezi ya Watoto - HakiElimu
Mahusiano ya Walimu na Wazazi katika Malezi ya Watoto - HakiElimu
Mahusiano ya Walimu na Wazazi katika Malezi ya Watoto - HakiElimu
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Mahusiano</strong> <strong>ya</strong> <strong>Walimu</strong><br />
<strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong> <strong>katika</strong><br />
<strong>Malezi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Watoto</strong><br />
Utafiti kuhusu Mazingira<br />
<strong>ya</strong> Kazi <strong>na</strong> Maisha <strong>ya</strong> <strong>Walimu</strong><br />
Tafiti Namba 3<br />
3
MAHUSIANO YA WALIMU<br />
NA WAZAZI KATIKA<br />
MALEZI YA WATOTO<br />
Utangulizi<br />
“… Mwenyekiti wa umoja wa walimu wakuu Dar es Salaam,<br />
Mwalimu Mwantumu Mahinza alisema …. Matokeo mazuri <strong>ya</strong><br />
miaka iliyotangulia ha<strong>ya</strong>kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hila zilizokuwa zikifanyika,<br />
bali ni utendaji mzuri, uwezo wa wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> ushirikiano bai<strong>na</strong><br />
<strong>ya</strong> wazazi <strong>na</strong> walimu … hali <strong>ya</strong>kuwapa <strong>na</strong>fasi <strong>na</strong> uhuru walimu<br />
wa kupanga <strong>na</strong> kujituma pasipo kikomo <strong>na</strong> ushirikiano wa hali <strong>na</strong><br />
mali kwa wazazi pia vilichangia mafanikio hayo …” <strong>na</strong> Mwandishi<br />
wetu, gazeti la Mtanzania, 17 January 2004 Kichwa cha Habari<br />
“<strong>Walimu</strong>: Hizi ndizo sababu za kushuka kwa elimu Dar”<br />
Mara tu ilipopata uhuru, Tanzania iliweka mikakati <strong>ya</strong> kufuta ujinga, umasikini <strong>na</strong><br />
maradhi. Ili kuchochea kasi <strong>ya</strong> maendeleo, walimu walipewa <strong>na</strong>fasi muhimu sa<strong>na</strong> <strong>katika</strong><br />
maendeleo <strong>ya</strong> taifa letu. Pamoja <strong>na</strong> umuhimu wao, mchango wa walimu umekuwa<br />
hawatambuliwi <strong>katika</strong> jamii. <strong>Walimu</strong> wamekuwa wakiishi <strong>na</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>katika</strong><br />
mazingira magumu sa<strong>na</strong>. Nyumba za kuishi zenye hadhi duni kabisa, ufinyu wa<br />
mishahara <strong>ya</strong>o, kutopewa maslahi <strong>ya</strong>o stahiki kisheria kama vile malipo <strong>ya</strong> uhamisho<br />
<strong>na</strong> likizo, <strong>na</strong> hata posho nyingine mbali mbali.<br />
Takwimu zi<strong>na</strong>onyesha kuwa idadi <strong>ya</strong> walimu ni ndogo sa<strong>na</strong> ikilinganishwa <strong>na</strong> idadi <strong>ya</strong><br />
wa<strong>na</strong>funzi waliopo mashuleni. Hali hii imekuwa i<strong>na</strong>waongezea walimu mzigo mzito wa<br />
kazi <strong>ya</strong> ufundishaji, ufuatiliaji <strong>na</strong> uratibu wa maendeleo <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi. Hali i<strong>na</strong>zidi kuwa<br />
mba<strong>ya</strong> karibu kila mwaka kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwamko uliojitokeza miongoni mwa wazazi,<br />
hususani baada <strong>ya</strong> kuanzishwa kwa Mpango wa Maendeleo <strong>ya</strong> Elimu <strong>ya</strong> Msingi<br />
(MMEM) nchini ambapo idadi <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi waliosajiliwa darasa la kwanza mwaka<br />
2002 <strong>na</strong> 2003 imeongezeka maradufu kwa zaidi <strong>ya</strong> asilimia 500% wakati idadi <strong>ya</strong><br />
walimu imeogezeka kwa kiwango kidogo tu.Takwimu zi<strong>na</strong>onyesha kuwa mwaka 1997,<br />
uwiano wa mwalimu kwa wa<strong>na</strong>funzi ulikuwa 1:37 wastani wa taifa, ambapo kufikia<br />
mwaka 2002, uwiano ulikuwa kwa 1:53 wastani wa taifa, japo <strong>katika</strong> sehemu nyingi<br />
hususan mijini wastani uko juu zaidi <strong>ya</strong> 1:87 (Ripoti <strong>ya</strong> Tathmini <strong>ya</strong> MMEM, 2003).<br />
Pamoja <strong>na</strong> juhudi kubwa i<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> walimu <strong>katika</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mabadiliko hayo,<br />
bado wa<strong>na</strong>kosa ushirikiano wa dhati kutoka kwa baadhi <strong>ya</strong> wazazi. Hali hii imedidimiza<br />
motisha kwa walimu <strong>katika</strong> kuleta mabadiliko ndani <strong>ya</strong> shule <strong>na</strong> kijiji kwa ujumla.<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
1
Chama Cha <strong>Walimu</strong> Tanzania (CWT) kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> <strong>HakiElimu</strong>, wamefan<strong>ya</strong> utafiti<br />
kuanzia Septemba 2003 hadi Desemba 2003 juu <strong>ya</strong> maisha <strong>na</strong> mazingira <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong><br />
walimu <strong>katika</strong> wila<strong>ya</strong> saba nchini ili kuweza kupata mawazo <strong>na</strong> mtazamo <strong>ya</strong> walimu juu<br />
<strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong> maisha <strong>na</strong> kazi <strong>ya</strong> ualimu. Matokeo <strong>ya</strong> utafiti huo, <strong>ya</strong><strong>na</strong>lenga kuchangia <strong>katika</strong><br />
mijadala mbali mbali <strong>ya</strong> serikali juu <strong>ya</strong> kuboresha hali <strong>ya</strong> walimu kwa lengo la kuinua<br />
kiwango cha ubora wa elimu i<strong>na</strong>yotolewa nchini. Utafiti umekusan<strong>ya</strong> takwimu za<br />
mahojiano <strong>ya</strong>liyohusisha watu 298, dodoso 1385 <strong>na</strong> ‘case study’ 10 <strong>katika</strong> wila<strong>ya</strong> saba,<br />
wila<strong>ya</strong> moja <strong>katika</strong> kila kanda <strong>ya</strong> Elimu <strong>ya</strong>ani kanda <strong>ya</strong> kati, kanda <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>nda za juu<br />
kusini, kanda <strong>ya</strong> kaskazini, kanda <strong>ya</strong> kusini, kanda <strong>ya</strong> mashariki, kanda <strong>ya</strong> ziwa <strong>na</strong> kanda<br />
<strong>ya</strong> magharibi.<br />
Utafiti huu uliangalia n<strong>ya</strong>nja mbali mbali zi<strong>na</strong>zoweza kuchangia kuboresha au<br />
kudidimiza hali <strong>ya</strong> maisha <strong>na</strong> kazi <strong>ya</strong> walimu. Hii ilikuwa ni pamoja <strong>na</strong>: Mzigo wa kazi<br />
<strong>ya</strong> ufundishaji, uwiano wa wa<strong>na</strong>funzi kwa mwalimu mmoja, maendeleo <strong>ya</strong> walimu<br />
kitaalamu, athari za UKIMWI <strong>katika</strong> kufundisha <strong>na</strong> kujifunza, maisha <strong>ya</strong> walimu pamoja<br />
<strong>na</strong> maslahi <strong>ya</strong> walimu. Taarifa ifuatayo i<strong>na</strong>chambua matokeo <strong>ya</strong> ‘case study’<br />
<strong>ya</strong>liyopatika<strong>na</strong> <strong>katika</strong> n<strong>ya</strong>nja ihusuyo:<br />
“<strong>Mahusiano</strong> <strong>ya</strong> <strong>Walimu</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong> <strong>katika</strong> maendeleo <strong>ya</strong> Elimu.”<br />
Utafiti umeongozwa <strong>na</strong> Prof. Suleman Sumra <strong>na</strong> Prof. Verdia<strong>na</strong> Grace Masanja wa<br />
<strong>HakiElimu</strong> ambapo Mr. Anthony Mtavangu wa CWT ameshughulikia maswala yote <strong>ya</strong><br />
kiutawala kwa upande wa CWT. Watafiti ni Edward Masanja <strong>na</strong> Mwalimu Finesta Savai<br />
(Ilala), Ami<strong>na</strong> Mnenge <strong>na</strong> Mwalimu Shaibu Mohamedi (Lindi), Francis Mkwawa <strong>na</strong><br />
Mwalimu Isidory Mwangeni (Ludewa), Kemirembe L. Muk<strong>ya</strong>nuzi <strong>na</strong> Mwalimu Cecilia<br />
Tzahaki (Moshi Mjini), Shaaban Mtengeti <strong>na</strong> Mwalimu Abel P. Mwangal<strong>ya</strong>gila Manyoni,<br />
Lembris Laanyuni <strong>na</strong> Mwalimu Oswald Rulatun<strong>ya</strong> (Kibondo) <strong>na</strong> Dorothy Karoli <strong>na</strong><br />
Mwalimu Mafuni Yango (Mwanza).‘Case Study’ hii imeandikwa <strong>na</strong> Bwa<strong>na</strong> Peter Khalid<br />
<strong>na</strong> imehaririwa <strong>na</strong> Prof.Verdia<strong>na</strong> Grace Masanja.<br />
Matokeo <strong>ya</strong> Utafiti<br />
Uhusiano mzuri kati <strong>ya</strong> wazazi <strong>na</strong> walimu huimarisha <strong>na</strong> kujenga maendeleo mazuri <strong>ya</strong><br />
kazi za walimu <strong>na</strong> kuifan<strong>ya</strong> kuwa rahisi zaidi. Kuwepo <strong>na</strong> mahusiano mazuri, hupelekea<br />
mwalimu kujiamini <strong>na</strong> kuwa <strong>na</strong> uhakika wa kila a<strong>na</strong>chokifan<strong>ya</strong> kwa kujua a<strong>na</strong>ungwa<br />
mkono <strong>na</strong> wazazi. Lakini iwapo uhusiano u<strong>na</strong>kuwa si mzuri, mwalimu huishi kwa<br />
wasiwasi <strong>na</strong> kutokujiamini <strong>katika</strong> kila jambo a<strong>na</strong>lofan<strong>ya</strong>, haswa lile litakalohitaji<br />
kuungwa mkono <strong>na</strong> wazazi.<br />
2<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
“Jamii huwao<strong>na</strong> walimu ni waonezi”<br />
Nafasi <strong>ya</strong> wazazi <strong>katika</strong> kuimarisha nidhamu <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi ni kubwa sa<strong>na</strong>. Shule i<strong>na</strong>hitaji<br />
sa<strong>na</strong> ushirikiano mzuri kati <strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> wazazi <strong>katika</strong> n<strong>ya</strong>nja zote zi<strong>na</strong>zohusu<br />
kuwafundisha maadili mema watoto. Kumekuwepo <strong>na</strong> ushirikiano mdogo <strong>katika</strong> shule<br />
nyingi, <strong>na</strong> hii i<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> muonekano wa jamii kuwa walimu ni waonezi, hupenda<br />
kuwaadhibu watoto bila sababu, <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> chuki kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutopewa maslahi <strong>ya</strong><br />
kutosha.<br />
<strong>Walimu</strong> walisema kuwa wao ni kama walezi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> jukumu kubwa la<br />
kuwalea watoto <strong>katika</strong> maadili mema <strong>ya</strong>takayowajenga. Lakini wamekuwa <strong>na</strong> wakati<br />
mgumu sa<strong>na</strong> kwa kutokuwepo kwa ushirikiano wa wazazi <strong>katika</strong> kuangalia taratibu za<br />
kuwarekebisha watoto wao. Kwenye baadhi <strong>ya</strong> shule walimu walisema, iwapo<br />
mwa<strong>na</strong>funzi a<strong>na</strong>fan<strong>ya</strong> makosa mara nyingi wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> taratibu wa<strong>na</strong>zofuata ikiwemo<br />
kumshirikisha mzazi mwenyewe ili aweze kujua ki<strong>na</strong>choendelea <strong>na</strong> kushiriki <strong>katika</strong><br />
kutoa maamuzi.<br />
Walisema, hatua <strong>ya</strong> kwanza ni kikao maalum cha walimu ambao huzungumzia matatizo<br />
<strong>ya</strong> mwa<strong>na</strong>funzi husika <strong>na</strong> kuorodhesha matatizo <strong>ya</strong>ke yote, baadaye huitwa <strong>na</strong><br />
kuelezwa utovu wake wa nidhamu <strong>na</strong> kuonywa. Iwapo mwa<strong>na</strong>funzi huyo ataendelea<br />
kutokuwa <strong>na</strong> nidhamu i<strong>na</strong>yoridhisha, au kuendelea kuvunja taratibu za shule, ndipo<br />
mzazi hushirikishwa kwa kuitwa kwenye kikao kingine <strong>na</strong> kuelezwa matatizo ambayo<br />
walimu wamekuwa wa<strong>na</strong><strong>ya</strong>pata dhidi <strong>ya</strong> mtoto wake.Wote kwa pamoja hukubalia<strong>na</strong><br />
ai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> adhabu <strong>ya</strong> kumpa mtoto wake kama hatua <strong>ya</strong> kumkumbusha wajibu wake.<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
3
<strong>Walimu</strong> waliohojiwa wamesema <strong>ya</strong> kuwa wakati mwingine wa<strong>na</strong>pata matatizo <strong>na</strong><br />
kukwaruza<strong>na</strong> <strong>na</strong> wazazi pale wa<strong>na</strong>potoa adhabu kwa watoto. Walisema adhabu kwa<br />
mwa<strong>na</strong>funzi ni sehemu <strong>ya</strong> kumkumbusha wajibu wake <strong>na</strong> sio kumuumiza.Walisema <strong>ya</strong><br />
kuwa wazazi waliojiingiza <strong>katika</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> siasa wao kila kitu huo<strong>na</strong> sio haki <strong>na</strong> mara<br />
nyingi wamekuwa hawataki watoto wao waonywe wala kuadhibiwa hata kama<br />
wametenda kosa. “Wamekuwa wa<strong>na</strong>tuo<strong>na</strong> sisi walimu kama tumewekwa <strong>na</strong> chama<br />
kilichopo madarakani, kitu ambacho si sahihi”.<br />
Pamoja <strong>na</strong> kutumika kwa adhabu, bado walimu walisema isitumike kupita kiasi. Iwe tu<br />
ni sehemu <strong>ya</strong> kutoa onyo <strong>na</strong> sio sehemu <strong>ya</strong> kukomoa mwa<strong>na</strong>funzi.Walisema <strong>ya</strong> kuwa<br />
ikitumika viba<strong>ya</strong> i<strong>na</strong>weza kuleta madhara kwa mwa<strong>na</strong>funzi kama vile kuleta usugu <strong>na</strong><br />
hivyo kumfan<strong>ya</strong> awe jeuri zaidi, kusababisha nidhamu <strong>ya</strong> woga miongoni mwa<br />
wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> hata kuleta athari kisaikolojia.<br />
Adhabu ndogo kama hizi ni sehemu <strong>ya</strong> mafunzo kwa mtoto <strong>na</strong> mazoezi <strong>ya</strong> mwili.<br />
“<strong>Walimu</strong> wapenda maendeleo huwa ni maadui wa wazazi”<br />
Pamoja <strong>na</strong> kuwepo kwa juhudi nyingi miongoni mwa walimu, ilibainishwa kuwa wapo<br />
wazazi ambao hawapendi walimu wapenda maendeleo. Mwalimu akiwa <strong>na</strong> juhudi za<br />
kuleta mabadiliko <strong>ya</strong> elimu <strong>katika</strong> shule <strong>ya</strong>ke a<strong>na</strong>kuwa adui wa baadhi <strong>ya</strong> wazazi.<br />
Akitoa mfano Mwalimu Fidel Nderego (43) wa Shule <strong>ya</strong> Msingi Kabare, wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
Kibondo, a<strong>na</strong>sema kuwa alijitahidi kuweza kubadili sura <strong>ya</strong> shule <strong>ya</strong> Kabare kuanzia<br />
mazingira <strong>ya</strong>ke kwa kuhamasisha jamii <strong>na</strong> kuweza kupata majengo mazuri ikiwemo<br />
nyumba za walimu za matofali <strong>na</strong> kuezekwa kwa bati. Pamoja <strong>na</strong> juhudi zake, amekuwa<br />
4<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
a<strong>na</strong>kuta<strong>na</strong> <strong>na</strong> vitisho juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke kama alivyosema:<br />
“Kitu ambacho ki<strong>na</strong>nisikitisha ni mapambano <strong>ya</strong> kushughulika, nimekuta<strong>na</strong> <strong>na</strong><br />
vikwazo vingi sa<strong>na</strong> toka kwa wa<strong>na</strong>nchi wapinga maendeleo. Niliandikiwa barua<br />
zenye vitisho. Nilitishiwa kuwa nyumba <strong>ya</strong>ngu itachomwa <strong>na</strong> nimekuwa<br />
<strong>na</strong>viziwa njiani <strong>na</strong> kupigwa <strong>na</strong> mawe bila sababu, <strong>na</strong> watu hao sijawafahamu<br />
hadi leo.”<br />
Akichangia juu <strong>ya</strong> mahusiano <strong>ya</strong> wazazi <strong>na</strong> walimu, Mwalimu Pancracia Mtawali (48)<br />
Mwalimu Mkuu Shule <strong>ya</strong> Msingi Magereza iliyopo Manispaa <strong>ya</strong> Moshi alisema, kutoka<strong>na</strong><br />
<strong>na</strong> kuwa <strong>na</strong> hadhi <strong>ya</strong> chini kwa walimu, wamekuwa wa<strong>na</strong>dharaulika haswa <strong>na</strong> wazazi<br />
ambao wamejaliwa kuwa <strong>na</strong> uwezo kidogo. Alisema <strong>ya</strong> kuwa tofauti hii i<strong>na</strong>sababisha<br />
kuwepo <strong>na</strong> pengo kubwa kati <strong>ya</strong> wazazi <strong>na</strong> walimu <strong>na</strong> hata miongoni mwa wa<strong>na</strong>funzi<br />
wenyewe.Akielezea alisema;<br />
“I<strong>na</strong>kuwa ni vigumu sa<strong>na</strong> kuwazoea wazazi kwani wengi wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong><br />
kutowathamini walimu. Niliwahi kukwaruza<strong>na</strong> <strong>na</strong> wazazi kwa sababu u<strong>na</strong>kuta<br />
mzazi a<strong>na</strong>kuwa upande wa mtoto wake mara zote hata kama mtoto huyo<br />
a<strong>na</strong>kosa. U<strong>na</strong>jua wazazi wengi ni matajiri. Uwezo huo walio<strong>na</strong>o ndio u<strong>na</strong>owapa<br />
kiburi. Iwapo mwalimu akimba<strong>na</strong> mwa<strong>na</strong>funzi mzazi a<strong>na</strong>kuja juu <strong>na</strong> kutuo<strong>na</strong><br />
sisi walimu ni dhiki tu i<strong>na</strong>tusumbua. Hii ni kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> uduni wa maisha tuliyo<br />
<strong>na</strong>yo sisi walimu.”<br />
Akiongezea juu <strong>ya</strong> matatizo aliyowahi ku<strong>ya</strong>pata alisema kuwa, aliwahi kutoa adhabu <strong>ya</strong><br />
viboko mbele <strong>ya</strong> wazazi kwa wa<strong>na</strong>funzi ambao walivunja sheria za shule kwa kupiga<strong>na</strong><br />
darasani, pamoja <strong>na</strong> kuwashirikisha wazazi alijikuta yupo polisi.<br />
“Wa<strong>na</strong>funzi wawili wa kiume walipiga<strong>na</strong> hadi wakavunja madawati darasani<br />
mwao. Sikuwaadhibu kwanza niliwaelezea juu <strong>ya</strong> kosa lao <strong>na</strong> kuwa wamevunja<br />
sheria <strong>ya</strong> shule. Kila mmoja alitoa maelezo <strong>ya</strong>ke kisha nikachukua hatua <strong>ya</strong><br />
kuwaita wazazi wao. <strong>Wazazi</strong> waliitikia wito <strong>na</strong> kufika shuleni. Tukakubalia<strong>na</strong><br />
kuwa waadhibiwe kwa kuchapwa viboko ili kuwarudi. Mimi kama mkuu wa<br />
shule nilipewa jukumu la kutoa adhabu hiyo niliwachapa mbele <strong>ya</strong> wazazi wao<br />
<strong>na</strong> kila mzazi alioneka<strong>na</strong> kuridhishwa <strong>na</strong> uamuzi tuliouchukua pamoja. Kitu<br />
cha ajabu ni pale nilipoitwa polisi kwa ajili <strong>ya</strong> kujibu shitaka la kumchapa<br />
mwa<strong>na</strong>funzi baada <strong>ya</strong> mmoja wa wazazi kwenda kunishtaki. Kwa kweli nilipata<br />
mshituko kwani maamuzi tuli<strong>ya</strong>chukua kwa pamoja halafu iweje anizunguke<br />
<strong>na</strong> kunishtaki? Baada <strong>ya</strong> kutoa maelezo polisi ilioneka<strong>na</strong> nilitimiza wajibu kama<br />
ilivyotakiwa <strong>na</strong> kwa matakwa <strong>ya</strong> wazazi wenyewe. Kwa bahati nzuri hatukufika<br />
mbali sa<strong>na</strong> kwani baadaye tulisuluhusishwa. Sasa hali kama hii mimi kama<br />
bi<strong>na</strong>damu nitajisikiaje?”<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
5
“<strong>Wazazi</strong> huvua jukumu la kudhibiti utoro wa watoto wao”.<br />
Wakielezea zaidi walimu walisema <strong>katika</strong> shule zenye tatizo la utoro, mara nyingi<br />
wazazi hujivua jukumu la kumdhibiti mtoto wao <strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kuwa mwenye wajibu wa<br />
kuo<strong>na</strong> kama mtoto a<strong>na</strong>enda shule ni mwalimu. Lakini ukiangalia kwa undani wote<br />
wawili wa<strong>na</strong>takiwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>katika</strong> hilo. Akielezea zaidi juu <strong>ya</strong> majukumu <strong>ya</strong> wazazi<br />
<strong>katika</strong> maendeleo <strong>ya</strong> watoto wao, Mwalimu Hamisi Mapila (36) Mwalimu Mkuu wa<br />
Shule <strong>ya</strong> Msingi M<strong>na</strong>zi Mmoja iliyopo <strong>katika</strong> wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Lindi alikuwa <strong>na</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kusema:<br />
“Jamii yenyewe haitambui sa<strong>na</strong> umuhimu wa shule. Kwani wakati mwingine<br />
mtoto a<strong>na</strong>weza akachaguliwa kuendelea <strong>na</strong> masomo <strong>ya</strong> sekondari, lakini<br />
wazazi wa<strong>na</strong>sema hawa<strong>na</strong> uwezo wa kumlipia kwa madai <strong>ya</strong> hali ngumu <strong>ya</strong><br />
uchumi, lakini ki<strong>na</strong>kuwa ni kisingizio tu. Pia kwa watoto watoro shuleni, baadhi<br />
<strong>ya</strong> wazazi huchangia kwani hawasaidii <strong>katika</strong> kukemea hilo. <strong>Watoto</strong> watoro<br />
mara nyingi huwa nje <strong>ya</strong> darasa kwa siku nzima <strong>na</strong> hata zaidi <strong>na</strong> wazazi<br />
hawajali.Wakati mwingine watoto hao wa<strong>na</strong>kuwa <strong>katika</strong> biashara ndogondogo<br />
<strong>katika</strong> maeneo <strong>ya</strong> kituo cha basi.”<br />
“Mazingira <strong>ya</strong> shule ilipo <strong>ya</strong><strong>na</strong>athari kiutendaji”.<br />
Aidha sehemu shule zilipo imeoneka<strong>na</strong> kuwa ni tatizo <strong>na</strong> kikwazo kikubwa kwa<br />
walimu. Wakitolea mfano, wamesema shule ambazo zimo ndani <strong>ya</strong> taasisi hasa zile za<br />
kijeshi i<strong>na</strong>tumika amri zaidi toka kwa wazazi kuliko majadiliano. Akitoa mfano<br />
Mwalimu Mwangilika Festo (35) a<strong>na</strong>yefundisha Shule <strong>ya</strong> Msingi Magereza iliyopo<br />
Manispaa <strong>ya</strong> Moshi ndani <strong>ya</strong> maeneo <strong>ya</strong> Jeshi la Magereza alisema<br />
6<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
“Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> eneo shule hii ilipo ndani <strong>ya</strong> gereza kumekuwepo <strong>na</strong> ugumu<br />
sa<strong>na</strong> <strong>katika</strong> kazi yetu. Ku<strong>na</strong> kutumia nguvu zaidi kuliko majadiliano. Mtoto<br />
akiadhibiwa hapa mzazi hukimbilia polisi haraka, labda kwa ajili <strong>ya</strong> uhusiano<br />
uliopo. Hali hii i<strong>na</strong>tufan<strong>ya</strong> walimu tuwe waangalifu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> matokeo <strong>ya</strong>ke ni<br />
kushuka kwa vyote, nidhamu <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> maendeleo <strong>ya</strong> kitaaluma.”<br />
Akizungumzia juu <strong>ya</strong> ushirikiano wa wazazi <strong>na</strong> walimu, Mratibu Elimu Kata, Mwalimu<br />
Alex Mpombwe wa kata <strong>ya</strong> Nkonko iliyopo <strong>katika</strong> wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Manyoni, amesema<br />
matatizo <strong>ya</strong>kutokuwepo kuelewa<strong>na</strong> kati <strong>ya</strong> walimu <strong>na</strong> wazazi <strong>ya</strong><strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> utovu wa<br />
nidhamu wa wa<strong>na</strong>funzi u<strong>na</strong>ochangiwa <strong>na</strong> wazazi wenyewe.<br />
Matokeo <strong>ya</strong>ke wa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>jenga chuki <strong>na</strong> walimu, i<strong>na</strong>fikia hatua <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi<br />
kuwasingizia walimu wao kwa wazazi kwani wa<strong>na</strong>jua kuwa wazazi wao watawasaidia.<br />
Na mara nyingi wazazi wamekuwa wa<strong>na</strong>chukua maamuzi kwa jazba <strong>na</strong> kuwatolea<br />
lugha chafu sa<strong>na</strong> walimu.<br />
Sasa sijui wazazi wa<strong>na</strong>fikiri wa<strong>na</strong>mjengea msingi gani mtoto wao? Aliuliza Mwalimu Alex.<br />
Akitolea mfano bi<strong>na</strong>fsi, Mwalimu Alex alisema kuwa alishawahi kusingiziwa <strong>na</strong> mwa<strong>na</strong>funzi<br />
kuwa ni mbakaji wakati huo alipokuwa akifundisha.<br />
“Misukosuko waipatayo walimu huathiri maendeleo <strong>ya</strong> watoto”<br />
<strong>Wazazi</strong> wa<strong>na</strong>sahau kuwa misukosuko ambayo wa<strong>na</strong>wasababishia walimu huwa <strong>na</strong><br />
athari kwa watoto wao pia. Mwalimu Gaudensia M. Shada (30) ni Mwalimu Mkuu<br />
Msaidizi <strong>katika</strong> Shule <strong>ya</strong> Msingi M<strong>na</strong>zi Mmoja iliyopo Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Lindi, shule ambayo<br />
amekuwa akifan<strong>ya</strong> kazi tangu apate ajira mwaka 1996 mwezi wa 8. Mkasa uliomkumba<br />
yeye kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kusingiziwa <strong>na</strong> mzazi ulileta usumbufu mkubwa hata kwa wa<strong>na</strong>funzi<br />
pia.<br />
Mwalimu Shada ambaye ni Mwalimu Mkuu Msaidizi <strong>na</strong> pia mwalimu wa nidhamu kwa<br />
wa<strong>na</strong>funzi, mwezi Machi 2003 akiwa ofisini aliletewa taarifa kuwa wa<strong>na</strong>funzi wawili wa<br />
kike wa darasa la sita (tutawaita Somoye <strong>na</strong> Bella lakini si maji<strong>na</strong> <strong>ya</strong>o halisi) walikuwa<br />
wakipiga<strong>na</strong> darasani, alichukua hatua <strong>ya</strong> kwenda darasani. Aliwakuta Somoye <strong>na</strong> Bella<br />
wakipiga<strong>na</strong>, mara walipomuo<strong>na</strong> walitaha<strong>ya</strong>ri kwa kuwa walijua kuwa ni kosa kupiga<strong>na</strong><br />
shuleni.<br />
Kwa kuwa kupiga<strong>na</strong> shuleni ni kinyume <strong>na</strong> sheria za shule hivyo hao wa<strong>na</strong>funzi<br />
walistahili kupata adhabu.<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
7
“Niliwaita hao wa<strong>na</strong>funzi wawili waliokuwa wakipiga<strong>na</strong>, <strong>na</strong> kuwaon<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong><br />
wa<strong>na</strong>funzi wenzao darasani. Kwa sababu walifan<strong>ya</strong> kosa kinyume cha sheria<br />
za shule walistahili adhabu, hivyo niliwachapa fimbo mbili mbili mikononi kila<br />
mmoja. Adhabu kama hii ni <strong>ya</strong> kawaida hapa shuleni <strong>na</strong> hasa kwa makosa<br />
kama ha<strong>ya</strong>, <strong>na</strong> wakati mwingine hata wazazi wa<strong>na</strong>weza kuitwa kuthibitisha<br />
utovu wa nidhamu wa watoto wao <strong>na</strong> watoto huadhibiwa mbele <strong>ya</strong> wazazi<br />
wenyewe. Adhabu hii ilishuhudiwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>funzi wa darasa la sita, kwani<br />
ilitolewa mbele <strong>ya</strong>o <strong>na</strong> Somoye <strong>na</strong> Bella walioneka<strong>na</strong> kujutia tendo lao la<br />
kupiga<strong>na</strong> baada <strong>ya</strong> adhabu hiyo.”<br />
Katika hali isiyo <strong>ya</strong> kawaida, adhabu ndogo aliyoitoa Mwalimu Shada, ilibadili maisha<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> hata mtazamo aliokuwa <strong>na</strong>o juu <strong>ya</strong> utendaji kazi <strong>ya</strong> ualimu. Hali hii imemfan<strong>ya</strong><br />
kuathirika kisaikolojia, <strong>na</strong> kukata tamaa hata kuo<strong>na</strong> kuwa maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>po hatarini.<br />
Akielezea kwa undani juu <strong>ya</strong> tukio kubwa lililomtokea ambalo limepelekea hali hiyo,<br />
mwalimu Shada alikuwa <strong>na</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kusema:<br />
“Nikiwa shuleni nililetewa taarifa <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> kutakiwa kufika kituoni kutoa<br />
maelezo <strong>ya</strong> kumjeruhi mwa<strong>na</strong>funzi Bella. Nilishtuka sa<strong>na</strong> kwani sikutarajia<br />
kuwa itafikia hatua hiyo. Niliongoza<strong>na</strong> <strong>na</strong> mwalimu mkuu, ambaye ta<strong>ya</strong>ri<br />
alikuwa <strong>na</strong> taarifa <strong>ya</strong> kuadhibiwa kwa wa<strong>na</strong>funzi hao wawili.Tulipofika kituoni,<br />
nilielezea kwa kusaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Mwalimu Mkuu tukio zima jinsi lilivyotokea <strong>na</strong><br />
hatua zilizochukuliwa. Baada <strong>ya</strong> melezo hayo Polisi iliridhika <strong>na</strong> maelezo <strong>ya</strong>ngu<br />
<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> nilikuwa <strong>na</strong>timiza wajibu kama ilivyostahili. Hivyo walichukua jukumu<br />
la kutusuluhisha <strong>na</strong> mzazi wa Bella. Walijaribu kumueleza kuwa hayo ni<br />
mambo <strong>ya</strong> kawaida shuleni. <strong>Walimu</strong>elimisha mzazi kuwa sisi walimu pia ni<br />
wazazi <strong>na</strong> walezi hivyo hatuwezi kumuadhibu mtoto kwa lengo la kumuumiza,<br />
bali kumrekebisha ili afuate maadili mema. Na walitoa ushauri wa kuitisha<br />
kikao cha kamati <strong>ya</strong> shule ili mzazi aitwe kuelezwa zaidi hali ile <strong>na</strong> pengine<br />
kutafuta muafaka bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong>ngu <strong>na</strong> mzazi. Lakini bado mzazi hakuridhika <strong>na</strong><br />
uamuzi huo, kwani alitarajia mimi niwekwe ndani. Mwalimu Mkuu ilibidi<br />
aniwekee dhama<strong>na</strong> ili nisiwekwe mahabusu.<br />
Mwalimu mkuu alifuata ushauri aliopewa Polisi <strong>na</strong> aliitisha kikao cha dharura<br />
cha Kamati <strong>ya</strong> shule <strong>na</strong> mzazi wa Bella alipelekewa taarifa <strong>ya</strong> kuhudhuria<br />
kikao hicho. Wa<strong>na</strong>kamati waliitikia wito huo mara moja, walihudhuria kikao<br />
hicho, lakini mzazi wake Bella hakuhudhuria kabisa.Taarifa zilizopatika<strong>na</strong><br />
baadaye zilisema kuwa mzazi wa Bella hakuhudhuria kikao hicho kwa sababu<br />
eti yeye hawezi kusuluhishwa <strong>na</strong> Kamati <strong>ya</strong> shule, <strong>na</strong> wala Kamati hiyo hai<strong>na</strong><br />
mamlaka yoyote juu <strong>ya</strong>ke. Kamati iliamua kumuacha mzazi afanye kile<br />
a<strong>na</strong>chotaka.”<br />
8<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
Lakini kwa upande wa wazazi wa Somoye, kuadhibiwa kwa mtoto wao walio<strong>na</strong> ni<br />
kitendo sahihi kama hatua <strong>ya</strong> kumfundisha mtoto. Hawakuchukua hatua kama za mzazi<br />
wa Bella, bali walimuon<strong>ya</strong> mtoto wao <strong>na</strong> kumtaka kuwa mtiifu kwa walimu wake <strong>na</strong><br />
kufuata kanuni <strong>na</strong> sheria za shule.<br />
Mzazi wa Bella baada <strong>ya</strong> kukataa suluhisho la polisi <strong>na</strong> kugoma kuhudhuria kikao cha<br />
kamati <strong>ya</strong> shule alichukua uamuzi wa kufungua kesi <strong>ya</strong> madai <strong>katika</strong> mahakama <strong>ya</strong><br />
wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Lindi. Ili aweze kutimiza lengo alilolikusudia, alizunguka <strong>katika</strong> hospitali<br />
mbalimbali ili aweze kupatiwa cheti kitakachothibitisha kuwa mtoto wake ameumizwa<br />
sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> pia amepata athari <strong>katika</strong> ubongo wake.<br />
“Hawa walimu wamezoea tu kutuendesha, mwaka huu lazima niwafunge tu hata kama<br />
ni kuuza mifungo <strong>ya</strong>ngu yote. Nitafunga mmoja mmoja hadi waishe, sababu nitakuwa<br />
<strong>na</strong>zitafuta”<br />
Alienda <strong>katika</strong> hospitali <strong>ya</strong> misheni <strong>ya</strong> N<strong>ya</strong>ngao <strong>na</strong> hospitali <strong>ya</strong> mkoa, Sokoine ambako<br />
aliomba mtoto wake apigwe picha <strong>ya</strong> mionzi (X-ray). Bahati mba<strong>ya</strong> au nzuri, hospitali<br />
zote matokeo <strong>ya</strong>lionyesha kuwa mtoto hajaathirika sehemu yoyote zaidi <strong>ya</strong><br />
kuoneka<strong>na</strong> <strong>na</strong> malaria. Mzazi wa Bella hakufurahia matokeo hayo, hivyo aliendelea<br />
kuwashawishi madaktari kuwa mtoto wake alipoteza fahamu baada <strong>ya</strong> kupewa adhabu<br />
<strong>na</strong> mwalimu, <strong>na</strong> kuwa ameathirika kichwani. Lakini daktari a<strong>na</strong>yehusika <strong>na</strong> magonjwa<br />
<strong>ya</strong> akili alithibitisha kuwa mtoto ni mzima kabisa wala hajawahi pata athari yoyote<br />
kichwani.<br />
Mwalimu Shada pamoja <strong>na</strong> Mwalimu Mkuu, waliitwa mahakamani kujibu shitaka la<br />
kumjeruhi mwa<strong>na</strong>funzi.<br />
Akiendelea kuelezea mwalimu Shada alisema:<br />
“Nilihudhuria mahakamani pamoja <strong>na</strong> mwalimu mkuu ili kutoa utetezi wangu.<br />
Tulijieleza kwa ki<strong>na</strong> juu <strong>ya</strong> tukio zima <strong>na</strong> taratibu zilizochukuliwa. Mahakama<br />
ikaamua kuita mashahidi ili kuthibitisha maelezo yetu <strong>na</strong> <strong>ya</strong> mzazi<br />
a<strong>na</strong>yenishitaki. Mashahidi walioitwa ni pamoja <strong>na</strong> Bella mwenyewe, Somoye <strong>na</strong><br />
wa<strong>na</strong>funzi wa darasa la sita waliokuwepo siku <strong>ya</strong> tukio.<br />
Wakati wa ushahidi ilionyesha wazi kuwa Bella alifundishwa maneno <strong>ya</strong><br />
kusema <strong>na</strong> mzazi wake, kwani alisema kuwa alichapwa <strong>na</strong> gongo kubwa sa<strong>na</strong><br />
ambalo lililetwa mahakamani kama ushahidi, <strong>na</strong> aliumizwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kupoteza<br />
fahamu. Alielezea kuwa mzazi wake alifika shuleni kumbeba baada <strong>ya</strong> kuwa<br />
amepoteza fahamu <strong>na</strong> kumrudisha nyumbani.<br />
Kwa upande mwingine, wazazi wa mwenziwe, Somoye, walimuon<strong>ya</strong> mtoto wao<br />
juu <strong>ya</strong> kusema uongo hata kama mzazi wa Bella atamtishia kwa hali yoyote<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
9
ile. Hivyo alipotoa ushahidi wake alielezea kwa ufasaha kila kitu jinsi<br />
kilivyotokea <strong>na</strong> hatua nilizozichukua dhidi <strong>ya</strong>o wote wawili. Maelezo <strong>ya</strong> Bella<br />
<strong>ya</strong>lienda<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong> <strong>ya</strong> wa<strong>na</strong>funzi wengine wa darasa la sita walipoitwa kutoa<br />
ushahidi wao <strong>na</strong> pia <strong>ya</strong>lifa<strong>na</strong><strong>na</strong> labisa <strong>na</strong> <strong>ya</strong>ngu. Mashahidi walidhibitisha kuwa<br />
maelezo <strong>ya</strong> Bella ni <strong>ya</strong> uongo, <strong>na</strong> kuwa hakuumizwa popote pale <strong>na</strong> pia<br />
waliondoka <strong>na</strong>ye kurudi nyumbani akiwa a<strong>na</strong>tembea mwenyewe.”<br />
Kwa upande mwingine, mama <strong>ya</strong>ke Bella hakutaka kabisa kujihusisha <strong>na</strong> suala hili tangu<br />
awali. Kwani yeye alikio<strong>na</strong> kitendo kile kuwa ni sawa, <strong>na</strong> ni sehemu <strong>ya</strong> kumuadabisha<br />
mtoto. Katika hatua zote hizo, hakuwahi kufika polisi <strong>na</strong> hata mahakamani. Hata pale<br />
mahakama ilipotaka kujua kuhusu mama, baba alijibu kuwa yeye ndio a<strong>na</strong>yeshughulikia<br />
suala hilo kwa niaba <strong>ya</strong> familia. Labda alijua kuwa mama <strong>ya</strong>ke Bella ataweza kupinga<strong>na</strong><br />
<strong>na</strong> maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> <strong>ya</strong> mtoto wake.<br />
Kesi hii ilichukua takribani miezi mitano hadi kutolewa kwa hukumu <strong>ya</strong>ke. Katika<br />
kipindi chote cha kuendesha kesi hii, Mwalimu Shada hakuwa akifundisha kwa uhuru<br />
<strong>na</strong> wakati wote alikuwa <strong>na</strong> wasiwasi sa<strong>na</strong> juu <strong>ya</strong> usalama wa maisha <strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> familia<br />
<strong>ya</strong>ke. Kwani mzazi wa Bella alikuwa akipita kijijini akijitapa kuwa lazima angelifan<strong>ya</strong><br />
lolote ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kumfunga gerezani au hata kumdhuru kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote.<br />
Akielezea juu <strong>ya</strong> muendelezo wa kesi <strong>na</strong> hukumu iliyotolewa Mwalimu Shada alisema:<br />
“Uongozi wa Chama Cha <strong>Walimu</strong> Tanzania (CWT) ulinisaidia <strong>katika</strong> utoaji wa<br />
hukumu. Kwani waliitafuta sheria <strong>ya</strong> adhabu kwa wa<strong>na</strong>funzi mashuleni <strong>ya</strong><br />
mwaka 1979 <strong>na</strong> kuileta mahakamani kama ushahidi wa hatua niliyoichukua<br />
ilikuwa ndani <strong>ya</strong> sheria za nchi.<br />
Kwa kutumia ushahidi uliotolewa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>funzi waliokuwa mashahidi <strong>na</strong> <strong>ya</strong>ngu<br />
mwenyewe <strong>na</strong> uthibitisho wa matokeo <strong>ya</strong> vipimo v<strong>ya</strong> hospitali <strong>na</strong> wa sheria <strong>ya</strong><br />
elimu kuhusu adhabu kwa wa<strong>na</strong>funzi shuleni, m<strong>na</strong>mo tarehe 14 Julai 2003,<br />
mahakama ilinio<strong>na</strong> si<strong>na</strong> kesi <strong>ya</strong> kujibu <strong>na</strong> hivyo kuniachia huru. Mahakama<br />
ilimshauri mzazi wa Bella iwapo hakuridhika <strong>na</strong> hukumu hiyo, a<strong>na</strong>ruhusiwa<br />
kukataa rufaa kwenye mahakama <strong>ya</strong> juu zaidi. Hajafan<strong>ya</strong> hivyo hadi leo, bali<br />
ameendelea kunitishia maisha <strong>na</strong> kuwa atanitesa kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> nyingine yoyote<br />
ile.”<br />
Wafan<strong>ya</strong>kazi wenzake ikiwemo walimu wa shule mbalimbali ndani <strong>ya</strong> kata <strong>ya</strong>ke,<br />
viongozi wa elimu wila<strong>ya</strong>ni <strong>na</strong> viongozi wa Chama cha <strong>Walimu</strong>, walikuwa wakimfariji<br />
sa<strong>na</strong> tangu kesi hiyo ilipoanza. Lakini alielezea kuwa msaada wao ulikuwa ni wa<br />
maneno <strong>ya</strong> faraja tu. Kwani mwenendo mzima wa kesi umemgharimu pesa nyingi,<br />
kwani alikuwa <strong>na</strong> jukumu la kuwasafirisha wa<strong>na</strong>funzi ambao walikuwa ndio mashahidi<br />
wake, pia kuhakikisha kuwa wa<strong>na</strong>pata chakula wa<strong>na</strong>pokuwa mahakamani. Kwani<br />
makao makuu <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> ambako kesi ilikokuwa i<strong>na</strong>sikilizwa ni umbali wa kilometa 24<br />
toka hapo shuleni. Gharama zote hizo alikuwa a<strong>na</strong>zitoa mfukoni mwake, si msaada<br />
10<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
wowote toka kwa walimu wenzake, si chama cha walimu <strong>na</strong> wala muajiri wake<br />
aliyechangia angalau sehemu ndogo sa<strong>na</strong> <strong>ya</strong> gharama <strong>katika</strong> kesi hii.<br />
“Kesi hii imeniathiri sa<strong>na</strong> kisaikolojia. Kwani nilikuwa <strong>na</strong>timiza wajibu wangu<br />
kama mwalimu wa nidhamu, pili nilikuwa ndio mwalimu mkuu kwa wakati huo,<br />
kwani mwalimu mkuu alikuwa nje <strong>ya</strong> kituo, <strong>na</strong> tatu nilikuwa ni mwalimu wa<br />
kike ambaye kisheria ndiye ni<strong>na</strong>yetakiwa kuwaadhibu watoto wa kike. Badala<br />
<strong>ya</strong> wazazi kutambua wajibu wangu wa<strong>na</strong>niadhibu kwa kunipeleka<br />
mahakamani, hivi haki iko wapi?<br />
Nilijaribu kuomba uhamisho ili nirudi nyumbani kwetu. Lakini nilipata faraja<br />
toka kwa maafisa elimu wila<strong>ya</strong>ni kuwa hiyo ni misukosuko <strong>ya</strong> kawaida kazini.<br />
Pia <strong>na</strong>mshukuru mume wangu kwani alinipatia msaada mkubwa sa<strong>na</strong> kipindi<br />
chote cha kesi, ingawaje <strong>na</strong> yeye alikuwa ta<strong>ya</strong>ri kulipiza kisasi. Tatizo kubwa<br />
tu<strong>na</strong>lolipata <strong>katika</strong> eneo hili sisi walimu, ni kwamba u<strong>na</strong>pokuwa mchapa kazi<br />
sa<strong>na</strong> basi huchukiwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wazazi kwa madai kuwa u<strong>na</strong>wasumbua watoto<br />
wao, <strong>na</strong> hii ni kero kubwa kwa shule. Lakini wale walimu ambao ni walevi,<br />
hupendwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuoneka<strong>na</strong> ni wenzao.”<br />
Kwa kipindi chote cha miezi mitano <strong>ya</strong> ufuatiliaji wa kesi hii, wa<strong>na</strong>funzi wamekuwa<br />
wakiathirika pia. Mwalimu Shada amekuwa akifuatilia kesi <strong>ya</strong>ke, <strong>na</strong> hivyo kutohudhuria<br />
madarasa, wa<strong>na</strong>funzi waliokuwa wa<strong>na</strong>toa ushahidi <strong>na</strong>o pia wamekuwa hawahudhurii<br />
madarasa. Aidha walimu waliokuwa wa<strong>na</strong>mpa faraja Mwalimu Shada walikuwa<br />
wa<strong>na</strong>hudhuria mahakamani ili kuweza kuonyesha mshikamano <strong>na</strong> kutaka kujua hatima<br />
<strong>ya</strong> mwenzao <strong>na</strong> hivyo wa<strong>na</strong>funzi wa madarasa mengine <strong>na</strong>o walikosa masomo.<br />
Akitoa maoni <strong>ya</strong>ke Mwalimu Mkuu wa Shule <strong>ya</strong> M<strong>na</strong>zi Mmoja Mwalimu Hamisi Mapila<br />
(36) alisisitiza umuhimu wa kujua sheria <strong>na</strong> kanuni mbalimbali za sekta <strong>ya</strong> elimu.<br />
Alisema kutokujua sheria ku<strong>na</strong>weza kuwa <strong>na</strong> madhara makubwa <strong>katika</strong> utendaji wa<br />
kazi za walimu. Akitoa mfano alisema, kama si msaada wa CWT kuleta sheria <strong>ya</strong><br />
adhabu kwa wa<strong>na</strong>funzi mahakamani kama ushahidi labda Mwalimu Shada<br />
angelioneka<strong>na</strong> ametenda kosa, au kesi ingelichukua muda mrefu zaidi. Aidha Mwalimu<br />
Mapila alikitaka Chama cha <strong>Walimu</strong> kuwasaidia walimu ambao ndio wa<strong>na</strong>chama wake,<br />
kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote ile kama kutoa pesa pale zi<strong>na</strong>pohitajika au kuwatafutia wa<strong>na</strong>sheria<br />
pale wa<strong>na</strong>popata kesi kama hizo za kiutendaji kwani wao huchangia chama hicho.<br />
“Mwalimu Shada alikuwa a<strong>na</strong>takiwa kuwalipia wa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong>uli kila<br />
a<strong>na</strong>pokwenda mahakamani, ilifikia hatua aliishiwa kabisa. Lakini ilikuwa ni<br />
bahati kuwa mume wake ni mfan<strong>ya</strong>biashara hivyo alisaidia <strong>katika</strong> hilo. Sasa si<br />
wote wenye uwezo kama huo. Hali kama hii i<strong>na</strong>onyesha wazi kuwa kama si<br />
hivyo, Mwalimu Shada angelishindwa kujitokeza <strong>katika</strong> kesi hiyo <strong>na</strong> madhara<br />
<strong>ya</strong>ke wote tu<strong>na</strong><strong>ya</strong>fahamu.” Alisema Mwalimu Mapila.<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong><br />
11
Kwa upande mwingine walimu walitoa chagamoto kwa serikali hususani Wizara <strong>ya</strong><br />
Elimu, kuhakikisha kuwa wa<strong>na</strong>jenga misingi mizuri <strong>ya</strong> mawasiliano kati <strong>ya</strong> wizara <strong>na</strong><br />
shule.Walisema kuwa hawa<strong>na</strong> muongozo ulio wazi <strong>na</strong> hivyo i<strong>na</strong>waweka mahali paba<strong>ya</strong><br />
kiutendaji kazi.Walisisitiza kutaarifiwa mabadiliko yoyote <strong>ya</strong><strong>na</strong>yotokea <strong>katika</strong> sekta <strong>ya</strong><br />
elimu, <strong>na</strong> kusambaziwa machapisho yote <strong>ya</strong> sekta hii ili kuwaweka <strong>katika</strong> <strong>na</strong>fasi nzuri<br />
<strong>ya</strong> kuelewa taratibu zilizopo.Aidha walisema kwa kauli moja kuwa, wao wataendelea<br />
kutimiza wajibu wao kama i<strong>na</strong>vyopaswa <strong>na</strong> kufuata sheria <strong>na</strong> taratibu za nchi, <strong>na</strong> hata<br />
kama mtoto Bella atavunja te<strong>na</strong> taratibu za shule ataadhibiwa tu kufuata sheria, kama<br />
ni viboko atachapwa. Kinyume <strong>na</strong> hapo labda mzazi wake amuhamishe <strong>katika</strong> shule<br />
nyingine ambayo a<strong>na</strong>o<strong>na</strong> hatoweza kuadhibiwa iwapo atavunja sheria za shule.<br />
Hivi sasa mtoto Bella ha<strong>na</strong> amani wala furaha te<strong>na</strong> awapo shuleni. Kwani wa<strong>na</strong>funzi<br />
wenzake wamekuwa wakimsumbua <strong>na</strong> kumuo<strong>na</strong> kama mtu hatari <strong>na</strong> muongo<br />
mkubwa.Wamekuwa wakimuambia kuwa baba <strong>ya</strong>ke alitaka kusababisha mwalimu wao<br />
afungwe, <strong>na</strong> wamekuwa wakimuuliza, je wangelipata faida gani?<br />
Ilibainika kuwa mzazi wa Bella hakuwa <strong>na</strong> sababu za msingi za kufungua kesi ile, bali<br />
alikuwa a<strong>na</strong>jaribu kuchochea uhasama bai<strong>na</strong> <strong>ya</strong> walimu <strong>na</strong> wazazi. Pia alikuwa a<strong>na</strong>tafuta<br />
njia za kujikosha kwani alikuwa a<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> shutuma nyingi za kutowatendea haki<br />
watoto wake. Ilibainishwa kuwa huyu mzazi amewahi kumkosesha mtoto wake<br />
kuendelea <strong>na</strong> masomo <strong>ya</strong> sekondari kwa kutomlipia ada ndogo i<strong>na</strong>yotakiwa <strong>katika</strong><br />
shule za serikali pamoja <strong>na</strong> kuwa <strong>na</strong> uwezo wa kulipia. Matokeo <strong>ya</strong>ke huyo mtoto hivi<br />
sasa yupo tu nyumbani pasipo shughuli yoyote.<br />
Aidha ilibainishwa kuwa mzazi huyu ha<strong>na</strong> historia nzuri <strong>ya</strong> kuishi kwa amani <strong>na</strong><br />
wa<strong>na</strong>kijiji wenziwe. Amekuwa ni mtu wa matatizo <strong>na</strong> mzushi wa mitafaruku mingi<br />
<strong>katika</strong> jamii. Hali hii i<strong>na</strong>weza ikawa <strong>na</strong> athari kwa wazazi wengine wenye mitazamo<br />
kama <strong>ya</strong>ke <strong>na</strong> hivyo kujenga mizizi <strong>ya</strong> uhasama kati <strong>ya</strong> wazazi <strong>na</strong> walimu <strong>katika</strong><br />
utekelezaji wa majukumu <strong>na</strong> taratibu zi<strong>na</strong>zotakiwa.<br />
Ushirikiano kati <strong>ya</strong> shule <strong>na</strong> wazazi ni wa muhimu sa<strong>na</strong> <strong>katika</strong> kujenga misingi bora <strong>ya</strong><br />
maendeleo kwa watoto.<strong>Walimu</strong> kama walezi hukaa <strong>na</strong> watoto kwa muda mrefu zaidi<br />
pengine kuzidi hata wazazi wenyewe. Iwapo wazazi watatilia mkazo <strong>ya</strong>le maadili <strong>na</strong><br />
nidhamu wa<strong>na</strong>yofundishwa mashuleni ni wazi kuwa watajenga jamii yenye nidhamu <strong>na</strong><br />
kuheshimika. Muungano mzuri wa wazazi <strong>na</strong> walimu umeweza kukuza maendeleo <strong>ya</strong><br />
shule kitaaluma miongoni mwa shule zilizo <strong>na</strong> ushirikiano wa karibu <strong>na</strong> wazazi.<br />
Zile zenye wazazi wenye mtazamo tofauti zimekuwa zikilegalega nyuma kwa miaka<br />
mingi.<br />
12<br />
<strong>Mahusiano</strong> <strong>na</strong> <strong>Wazazi</strong>
<strong>HakiElimu</strong><br />
Dhira<br />
Dhira <strong>ya</strong> <strong>HakiElimu</strong> ni kuio<strong>na</strong> Tanzania ikiwa mahali ambapo<br />
watoto wa<strong>na</strong>furahia haki <strong>ya</strong> kupata elimu bora <strong>ya</strong> msingi,<br />
pale ambapo shule zi<strong>na</strong>heshimu utu <strong>na</strong> haki za bi<strong>na</strong>damu wote,<br />
<strong>na</strong> pale ambapo elimu i<strong>na</strong>kuza usawa, ubunifu, udadisi <strong>na</strong> demokrasia<br />
Dhamira<br />
<strong>HakiElimu</strong> i<strong>na</strong>fan<strong>ya</strong> kazi kufikia usawa, ubora, haki za bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong> demokrasia <strong>katika</strong> elimu kwa<br />
kuwezesha jamii kubadili shule <strong>na</strong> mfumo wa uundaji wa sera za elimu,<br />
kuchochea mijadala yenye ubunifu <strong>na</strong> kuleta mabadiliko,<br />
kufan<strong>ya</strong> utafiti <strong>ya</strong>kinifu, kudadisi, uchambuzi <strong>na</strong> utetezi <strong>na</strong><br />
kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau kuendeleza manufaa <strong>ya</strong> pamoja <strong>na</strong> haki za jamii<br />
<strong>HakiElimu</strong> Tafiti<br />
PO Box 79401 • Dar es Salaam • Tanzania<br />
Tel. (255 22) 2151852 / 3 • Fax (255 22) 2152449<br />
info@hakielimu.org • www.hakielimu.org