07.10.2015 Views

Chapter 23

  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

published by<br />

not for sale<br />

empowering kenyan youth<br />

Happy New Year!<br />

Happy New Year!<br />

Shujaaz ime improve life yetu, ita improve yako pia!<br />

chapta <strong>23</strong><br />

web fm sms comix


Utamchagua<br />

nani?<br />

TUMEKUJA HAPA<br />

KUOMBOLEZA KWA MAZISHI<br />

YA MAREHEMU.<br />

MASKINI MAREHEMU<br />

ALIKUWA KIJANA MWENYE<br />

HEKIMA SANA<br />

2<br />

sema Boyie,<br />

YULE MP WA MTAANI<br />

AMEKAM KUFUNGUA ILE<br />

BRIDGE<br />

NIMEHUZUNIKA<br />

SANA NA MKASA HUU<br />

uliofanyika juzi,<br />

LAKINI NIMEHAKIKISHA<br />

HAUTAFANYIKA TENA


KAMA MBUNGE<br />

WENU, NIMEAMUA<br />

KUZUIA MKASA KAMA<br />

HII KUFANYIKA TENA,<br />

NJOO MJIONEE…<br />

…MNAONA<br />

NIMEJENGA DARAJA<br />

NZURI AMBAYO<br />

ITAZUIIA VIFO<br />

MHESHIMIWA<br />

YEEEY!!<br />

HIYO NDIO<br />

BRIDGE?<br />

ULIKUWA<br />

WAPI WADHII<br />

WAKI-DIE?!!<br />

3


HIYO BRIDGE<br />

NI MBAO TU<br />

UMEWEKA!!<br />

EHEE EHEE…<br />

WASEE, PIGIENI<br />

MSEE WA NGUVU KA BI<br />

AMANI, HATA AMEJENGA<br />

CHILDREN’S HOME PEKE<br />

YAKE…<br />

WACHIENI<br />

HUYU MP HII BRIDGE<br />

YAKE FAKE! TUKO<br />

PAMOJA?<br />

TUISHIE KADES!<br />

HAWA WASEE NI<br />

WAOOOGA<br />

4


L-L-LAKINI<br />

BOYIE<br />

bAAdAYE…<br />

ANGALIA HIO<br />

MAMBO<br />

YAANI HAWA<br />

WASEE HAWADAI<br />

LEADER MPOA?<br />

NATARAJIA<br />

UTAFANYA VILE<br />

INAFAA<br />

USIJALI SONKO,<br />

MAMBO YA BOYIE<br />

NIACHIE<br />

BI AMANI<br />

MBONA HAUTAKI POST YA<br />

MP, NA ALREADY<br />

UNACHUNGA MA-ORPHAN<br />

HAPA MTAANI?<br />

LAKINI BOYIE,<br />

HIO KAZI YA MP SI<br />

NI NGUMU SANA?<br />

WEWE ALREADY<br />

UME-SHOW UNAWEZA<br />

LEAD, KWA KU-BUILD HII<br />

CHILDREN’S HOME,<br />

INASAID……!!!<br />

HII TRACTOR<br />

INAENDA???<br />

5


DERE, HII<br />

NDIO KEJA<br />

INAANGUSHWA<br />

ATI NINI??<br />

SITOKI HAPA, LABDA<br />

MNIKANYAGE KAMA<br />

MNATAKA KUBOMOA…<br />

TOKA HAPA<br />

MATHE!!<br />

NIACHENI,<br />

NIACHENI!!!<br />

KWANZA WE<br />

BOYIE UTAFUNGA HIYO<br />

MDOMO BIGI<br />

NIACHENI,<br />

MNANI-TAKE<br />

WAPI<br />

6


TUMA SMS NA NENO DONGA KWA 3008 UTOE MAONI JUU YA HII RISTO.<br />

KUWA donga<br />

SIO KUWA LEADER!<br />

Hii story ya political intimidation<br />

n<br />

lazimaa ma-youth wamalize. Tusiitikie<br />

kutumika umika kwa violence. Kama MP<br />

wenyu ha-perform, ishieni kwa<br />

debe na m-make choice poa.<br />

Sheria inasema hivi kwa Chapta 7 ya Constitution:<br />

“Msee yeyote yote anaweza simamia uchaguzi kama<br />

independent ent candidate kama yeye – sio member wa chama<br />

yoyote y registered ya kisiasa…”<br />

Unaweza kuwa MP kama wewe ni:<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

3008<br />

<br />

Youth leaders wenyu wanangoja views zenu<br />

kwa facebook. Wana need mu-washow<br />

vile mnataka kwa page ya Inter-Party<br />

Youth Forum (IPYF) au page yao na<br />

ukue fan. Hii ni chance yenu kubwa<br />

ku-make positive change.<br />

Inter-Party Youth Forum (IPYF)<br />

7


KUWA READY<br />

KU-VOTE!<br />

CHUKUA ID YAKO SASA KAMA UNATAKA AKA KU-REGISTER<br />

KUPIGA KURA!<br />

Nani ana-qualify ku-register kama voter?<br />

<br />

<br />

<br />

Na-registrer aje kama voter?<br />

Ndio hii information yote unahitaji ili<br />

kuhakikisha umepiga kura kwa<br />

election ina-come. Kumbuka, kama<br />

uko over 18, ni right yako na duty<br />

yako kupigia kura leader wako.<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

ILANI:<br />

Kuuza ama kuharibu voters card yako ni kosa kwa laws za Kenya!<br />

Naweza katazwa ku-register kupiga kura? Kama…<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Q&A<br />

Nafaa ni-register wapi kama voter?<br />

<br />

<br />

<br />

Naweza change<br />

registration details<br />

zangu?<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Naweza register zaidi<br />

ya mara moja?<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Niki-lostisha voters card yangu inaweza kuwa replaced?<br />

<br />

<br />

8<br />

<br />

So kuwa prepared!<br />

Kama ushafikisha<br />

miaka 18 na hauna<br />

ID bado….Usingoje<br />

mpaka last minute!<br />

Utakuwa<br />

disappointed.<br />

Ili kupata information<br />

zaidi cheki<br />

www.IIEC.or.ke ama<br />

visit facebook<br />

page yao<br />

“IIEC Voter Education”<br />

INTERIM<br />

INDEPENDENT<br />

ELECTORAL<br />

COMMISSION


Chuo ni poa<br />

Woiiye!<br />

Sasa nitado wat?<br />

Mbona fathe anataka<br />

ku-spoil life yangu?<br />

Mum!<br />

Unaenda?<br />

Kazuri, nini mbaya?<br />

Uko msick?<br />

Usijali. Ntafanya<br />

chochote ndio ubaki<br />

chuo.<br />

Ni budangu!<br />

Alisema niache chuo<br />

ndio nichunge mabro<br />

wa-mine!<br />

Zii, siko msick!<br />

9


keshoye...<br />

Ahhh!<br />

kaa mimi wewe<br />

ningejazika sana! I wish<br />

mbuyu angenishow<br />

nitoke chuo!<br />

Ata singe-think<br />

twice, kutoka<br />

mara that that!<br />

Acheni za ovyo!<br />

Tunafaa kuhepi juu<br />

kesho kuna show ya<br />

NAMELESS!<br />

Jipendo!<br />

Achanga izo, chuo ni<br />

muhima sana. Tunafaa<br />

kuwa tunafikiria venye<br />

tuta-help Kazuri...<br />

KESHO YAKE<br />

Bado ile stori ya<br />

Kazuri inanisumbua.<br />

Nataka kum-help.<br />

Cheki venye kuna<br />

watu wengi!!<br />

Tuharakishe!<br />

10<br />

9


Karibu masupa!<br />

Unaenda wapi wewe?<br />

We ni mtio sana. Ebu rudi<br />

home spidi!<br />

Aha!<br />

Niko na idea!<br />

11


Hiyo concert<br />

imekuwa smart!<br />

whaaat!!!<br />

Ni Malkia!<br />

Queen wa<br />

mchongoano!<br />

Wahhh!<br />

Nini mbaya<br />

Malkia!<br />

Aki pole, ni vile<br />

lazima ningebonga<br />

So nawe kabla uishie.<br />

unanikumbuka?!<br />

keshoye...<br />

12


Nime-invite Nameless<br />

a-come abongeshe<br />

community kuhusu umuhimu<br />

wa madem kuwa chuo.<br />

Nameless ni jina kubwa.<br />

Hawezi tokelezea kwa hio<br />

event yako!<br />

SIKU YA CONCERT...<br />

Aki ako wapi?!<br />

Yaaaay!<br />

Nameless,<br />

wohooooo!<br />

Malkia tume-come mtaa<br />

yako kuwakilisha, ebu<br />

come apa uangushe<br />

mistari kadhaa.<br />

13


TUMA SMS NA NENO SOMA KWA 3008 UTOE MAONI JUU YA HII RISTO.<br />

Malkia<br />

karibiaaaaa.<br />

ebu come apa<br />

uangushe mistari<br />

kadhaa.<br />

Hadi lini madame<br />

tutakaa down kusini, time imefika<br />

tupande juu kaskazini. Kwenda chuo<br />

ndio deal then life iwe real.<br />

Umaskini utakill, ukipata hizo skills.<br />

Hakuna shame ukiwa dame, GIRL or<br />

BOY mbele ya GOD<br />

tuko same!<br />

Wacha niwaambie wasee, kila mtu ana GIRLS<br />

kwa life yake. Anaeza kua matha, sistako ama<br />

wife yako. Jambo la muhimu ni kuhakikisha<br />

isha<br />

wasichana wameget elimu.<br />

Kumpa msichana uwezo na skills ni kuendeleza<br />

jamii yote. Walami husema, ukimwelimisha<br />

msichana, umeelimisha mtaa.<br />

Wasee, madem kuenda<br />

na kumaliza system ni<br />

kitu poa! Mamanzi anzi<br />

wana haki ya ku-chop<br />

ndio hata baadae<br />

wajitegemee ausio?<br />

JINA: Susan Adhiambo aka Suzie<br />

AGE: 19 BASE: Kibera, Nairobi<br />

<br />

3008<br />

<br />

Mimi ni Group Leader wa madem 56 hapa mtaani.<br />

Mother yangu amenilea peke yake. Yeye ni m-sick na hana job. Wasee wengi<br />

hawakutaka nisome, waliambia mother kila time ati aniachishe chuo.<br />

Uzuri, mother hakuwaskia na aliendelea tu kukazana na mimi. Nilifukuzwa chuo<br />

mara mob juu ya fees. Sikuchoka! Niliendelea kubonga na wasee mtaani wanipe ideas<br />

za<br />

vile naweza get scholarship, na pia wenye wanaweza nisaidia!<br />

Nilisoma hivyo kwa shida lakini nikamaliza Form 4 2010. NAEZA ADVISE MA-DEM<br />

tusi-lose hope na tusisahau dreams zetu. Kuwa na tabia poa na wasee hawatakosa<br />

kuku-help! Join groups za maana ili upate ujanja kutoka kwa wenzako.<br />

14<br />

Binti Pamoja ni group za madem<br />

wengi wa<br />

Kibera wenye huinuana<br />

through<br />

ma-training na kutumia<br />

talents za drama na performance.<br />

Pata info zaidi juu ya kuelimisha madem tofauti kutoka:<br />

Binti Pamoja – Carolina for Kibera<br />

Nangos: 020 80406333<br />

Email: info@carolinaforkibera.org


Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd.,<br />

P. O. Box 1700 00502 Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214, www.welltoldstory.co.ke.<br />

Printed by Colourprint Limited, P. O. Box 44466-00100 Nairobi GPO.<br />

Produced in collaboration with: USAID, Safaricom, Twaweza, RIU. Distributed by Saturday<br />

Nation and Safaricom.<br />

Content producer: Audrey Wabwire | Koome Mwiti<br />

Content: Paul Peter Kades | Vincent Muthini | David Ouma | Sylvia Thuku | Koome Mwiti<br />

Art Producer: Tim Odero Layout Design: Tim Odero<br />

Art: Daniel Muli | Eric Muthoga I Shin Tuxedo | Naddya Aluoch | Joe Barasa<br />

Radio: Eunice Maina | Dominic Oigo Finance: Dorothy Acholla<br />

Special thanks to Just A Band for their fantastic music on ShujaazFM radio<br />

Well Told Story © 2011 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or be transmitted in any form or by any means, electronic or<br />

mechanical without prior permission of the publishers. Although every effort has been taken to ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the<br />

publishers be liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication. 15


SHULE POA<br />

SCHOOL SAFETY: MY RESPONSIBILITY!<br />

Happy new year mastude wapoa! Kumbukeni, ni responsibility<br />

yenu kama ma-stude kuhakikisha chuo yenu ni the best na<br />

place safe kabisa.<br />

Kuna mafans wangu kadhaa wamenipa suggestions kibao juu<br />

ya vitu wasee wanaweza do kuhakikisha chuo yao ni Shule<br />

Poa. Mkishazi-do, zi-tick off alafu mnishow ndio ni-share<br />

experiences zenu na mafans wangu wote Kenya nzima.<br />

Form club ya Shule Poa –<br />

chukueni responsibility<br />

yaku-make shule yenu iwe the<br />

best it can be. Unaweza pata<br />

ideaz kibao za ku-make shule<br />

yenu iwe poa kutoka kwa<br />

stories za Shujaaz.FM!<br />

Andika list ya safety<br />

equipment zote na emergency<br />

phone numbers kisha<br />

uzi-display publicly. Kama<br />

shule yenu haina ile kit ya first<br />

aid, unaweza raise dooh ya<br />

kuzi-buy ukiosha ndai.<br />

Ku-bully wasee ni sign ya kuwa<br />

weak na cruel. Fanya shule yenu<br />

iwe bullying-free zone.<br />

Msii-tolerate bullies.<br />

Wa-report!!<br />

Ma mode hawafai ku-date ma stude.<br />

Mode akijaribu kukushika vile haifai,<br />

m-report immediately kwa ma-paro<br />

wako na princi<br />

Badala ya ku-complain,come up na<br />

solutions na pia uliza princi ka mnaweza<br />

meet m-discuss hizo solutions.<br />

Ku-complain haitawasaidia ku-achieve<br />

kitu yoyote.<br />

Encourage mabeste wake wa chuo<br />

wa-perform poa na wa behave vile<br />

inafaa ndio chuo ikue poa<br />

Weka ma dustbins za<br />

takataka all around chuo<br />

yenu na u-organize rota<br />

ya venye hiyo takataka<br />

itakuwa collected.<br />

Winner<br />

Shule Poa Essay<br />

competition<br />

18


Mulika Daktari<br />

daktari!<br />

daktari!<br />

hapa!<br />

saidia hapa!<br />

msichana<br />

yangu anashindwa<br />

kupumua... si<br />

umuletee ile<br />

machine ya<br />

oxygen?<br />

aaaah!<br />

mama acha<br />

kunisumbua! mwenye<br />

kifunguu ya oxygen<br />

ameenda lunch!<br />

na uwache<br />

kuniitaita hivyo.<br />

huoni niko<br />

busy?<br />

alice jikaze<br />

tu... mungu atakuponya.<br />

jikaze msichana<br />

yangu...<br />

sasa mama<br />

alice. nime-come<br />

kumcheki.<br />

anaendeleaje?<br />

ako tu.<br />

ana shida<br />

sana ya kupumua<br />

lakini hawa<br />

madaktari... mimi<br />

sijui!<br />

19


20


21


22


mama junior,<br />

si utachukua<br />

junior kutoka<br />

shule leo?<br />

sawa.<br />

haya!<br />

breakfast show hapa! it’s<br />

twenty minutes to 8 a.m.<br />

na tuko na show kali<br />

leo! unakula<br />

breakfast? haya basi,<br />

kula na mdomo lakini<br />

utupatie sisi masikio<br />

maanake you don’t want<br />

to miss this!<br />

kuna dem fulani<br />

ametutumia clip noma<br />

sana! madaktari wengi<br />

ni wapoa, lakini kuna<br />

some rotten fish<br />

among them! sisemi<br />

zaidi, sikiza mwenyewe<br />

uniambie...<br />

siku ya next...<br />

daktari! rafiki yangu<br />

anaitwa alice ali-die<br />

hapa leo. mathe yake<br />

anaomba umpe mwili<br />

azike. yeye hu-do bizna<br />

ya kuuza fish. to be<br />

honest, hawezi afford<br />

hizo doh mnataka.<br />

tafadhali...<br />

oh, unajuana<br />

na huyo mama?<br />

mwambie<br />

aache kunisumbua. na<br />

hiyo mwili ya mtoto<br />

wake hatuwezi<br />

kumpatia.<br />

asipolipa by<br />

friday, mimi mwenyewe<br />

nitatupa hiyo msichana<br />

yake huko tunatupanga<br />

takataka.<br />

my friend, umesikia<br />

huyo daktari vile anaongea?<br />

huyo ni binadamu kweli?<br />

yaani hana huruma hata<br />

kidogo! sasa nakuuliza<br />

wewe mwezangu, umewahi<br />

kuenda kwa hospitali ama<br />

clinic kutibiwa halafu...<br />

aaaahh!!<br />

nini<br />

mbaya?<br />

unasikia<br />

baridi?<br />

aaah...<br />

ndio...<br />

hapana...<br />

ndio...<br />

aaaah...<br />

aaaah!<br />

mimi nimeenda<br />

job. kuna kitu<br />

nataka<br />

kufanya kabla<br />

saa mbili...<br />

aaaah...<br />

<strong>23</strong>


24


ai,<br />

biashara<br />

siku hizi ni<br />

mbaya!<br />

yule<br />

daktari wa<br />

wanyama, uncle<br />

rosie, ameniibia<br />

customers<br />

wengi tu<br />

sana...<br />

itabidi nianze<br />

ku-strategize<br />

aggressively...<br />

...kabla<br />

nianze<br />

kuisha!<br />

wah!<br />

vile<br />

figure yangu<br />

inakuwanga<br />

sweet...<br />

grrr!<br />

ngoja tu<br />

nimpate huyo<br />

uncle rosie!<br />

weweeeee!!!<br />

nimejazzika<br />

tu sana!<br />

ai!<br />

sasa<br />

hawa ni<br />

akina<br />

nani?<br />

ni taabu<br />

na mwenye<br />

kelele nyingi,<br />

charlie pele!<br />

naenda<br />

home ku-make<br />

dye ni-colour<br />

hizi chicks<br />

mpya!<br />

25


nizi-make<br />

pink kama zile<br />

zingine? Ama<br />

labda ni<br />

orange this<br />

time?<br />

ama green,<br />

kuzitofautisha?<br />

wah,<br />

unajua hizi<br />

chicks ni vile<br />

nitaanza<br />

kuchanga dowry<br />

ya komwoa<br />

purity?<br />

itabidi<br />

nizilee<br />

vizuri...<br />

ama<br />

blue?<br />

ama<br />

purple???<br />

oho!<br />

baadaye...<br />

strategy<br />

imeiva!<br />

...unajua, hizi<br />

kuku ni pesa!<br />

huwezi kuzilea<br />

bila mimi<br />

kuzi-bless!<br />

zitakufa!<br />

na vile<br />

wewe ni customer<br />

mpoa, niko na<br />

special offer, kuku<br />

moja tu badala ya<br />

mbili zangu za<br />

kawaida...<br />

...ni dj B kwenye<br />

dial, na leo<br />

tunawakilisha<br />

wakulima!<br />

sikizeni stori<br />

fulani...<br />

eh, sijui<br />

mambo ya hizi<br />

chicks za taabu,<br />

lakini siwezi<br />

kuhata offer...<br />

uncle<br />

rosie?!?<br />

umeshafika???<br />

sangoma!<br />

habari<br />

yako?<br />

26


unafanya<br />

nini hapa?<br />

nimekuja<br />

ku-vaccinate<br />

hizi chicks...<br />

kwenda huko<br />

na hizo madawa<br />

zako! blessings<br />

zangu pekee ndio<br />

zinahitajika<br />

hapa!<br />

ehm,<br />

taabu ndiye<br />

ameniita...<br />

aaaah, hawa<br />

watoto wanajua<br />

nini? wacha<br />

kudanganya watu<br />

na hizi madawa<br />

zako!<br />

wasee!<br />

sikizeni!<br />

DJ B<br />

anaongea<br />

juu ya stori<br />

kama hii<br />

yetu!<br />

dj b, thanx 4 da tip<br />

about chicken vac. i've<br />

started a project 2<br />

help generate sme<br />

income.<br />

pia nimeweka trees<br />

flowers nursery coz we<br />

need them and also i'll<br />

get some money big ups<br />

4da gudwork. lydia<br />

amagoro.<br />

lydia,<br />

asante sana<br />

kwa hiyo message<br />

yako, hiyo ni stori<br />

poa sana... si<br />

utuelezee more<br />

kuhusu project<br />

yako?<br />

27


Base: Webuye, lakini nasoma<br />

Machakos Technical<br />

Age:<br />

33 years<br />

Name:<br />

Lydia Amagoro Namaemba<br />

Tulikuwa na kuku mob sana kwetu time nilikuwa mdogo. Then later vile nilienda<br />

high school, kuku zetu zilianza ku-reduce pole pole. Sikujua reason then, but<br />

baadaye Mum aliniambia diseases zilikuwa zimeongezeka sana.<br />

Later on long baada ya kumaliza shule, nilikuwa tu home. Most of the time nilikuwa<br />

free. Around hiyo time ndio niliona story ya chicken vaccines kwa Shujaaz.FM.<br />

Nili-realize kuwa kama ningechukua hatua, maybe kuku zangu zingeacha kufa ovyo<br />

ovyo. That is when niliamua kutafuta place yak u-buy vaccines.<br />

Kulingana na wasee wa hapa mtaani, kuku zinalindwa na Mungu. In case of<br />

disease outbreak, wanaziacha tu zife na zile zina-survive ndio wanaanza nazo<br />

afresh. Mimi niliamuanii-give a try nione kama ita-make a difference.<br />

28


So outbreak ilipo-come,<br />

nilienda kwa agrovet na<br />

nikam-show symptoms. Huyo<br />

msee anajua kazi yake. Alinipa<br />

dawa flani inaitwa Coprsol<br />

ambayo hu-prevent chicks<br />

kupata magonja. Ali-advise<br />

nizipe for 4 days only.<br />

According to instructions, hii<br />

dawa inafaa kuwekwa kwa maji<br />

ili chicken zikunywe maji<br />

pamoja na dawa. Yeye<br />

alini-advise nizipatie drops za<br />

hiyo maji mwenyewe kwa<br />

sababu haiko guaranteed<br />

zitakunywa ukiiweka hapo nje.<br />

After the 4 days nilianza<br />

kuzipatia Avapox ambayo<br />

nilizidunga kwa mabawa.<br />

Imagine hiyo dawa yote<br />

ilini-cost 65 bob! Of the 13<br />

chicks ambazo zilikuwa na<br />

dalili ya ugonjwa, only 1 died.<br />

Saa hii niko na over 60<br />

chickens, nimeuza more than<br />

10 na zenye nimepeana kwa<br />

harambee hazihesabiki.<br />

Thanks to Shujaaz.FM, nina<br />

project inani-susutain nikirudi<br />

home during holidays. Pia<br />

pocket money ni constant.<br />

29


TUMA SMS NA NENO KUKU KWA 3008 UTOE MAONI JUU YA HII RISTO.<br />

Advise yangu kwa ma-youth na farmers ni, tuwe wajanja. C ati kuku<br />

zinajilinda. Hizo kuku zinakula uchafu na ni lazima tuzitunze sisi ili kupata a faida<br />

zaidi. Vaccine ni cheap lakini outcome ni rewarding. Kuku moja inauzwa 450<br />

at the moment huku ocha. Imagine utapata how much kwa kuku 60! Pia<br />

<br />

tunauza mayai, na tunakula incase tunataka mboga.<br />

3008<br />

Thanks sana DJ B! <br />

na-hope<br />

stori ya lydia<br />

imewasaidia,<br />

wasee! tupatane<br />

next time!<br />

tuko<br />

gangare!<br />

agh,<br />

sawa, basi.<br />

mnaweza<br />

kuzivaccinate.<br />

30<br />

grrr... uncle<br />

rosie... ngoja<br />

tu! siku moja<br />

nitakupata...


texts moto<br />

Niaje mafans. Valentines iko kwa<br />

corner, hebu mnitumie text zenu kwa<br />

3008 mkianza na jina “LOVE” alafu<br />

zile text moto zitakua announced na<br />

DJ B kwa show yake kila siku!<br />

31


Shujaaz.FM radio show inapenya kwa hizi station<br />

kenya mzima. pata story zote za comic kwa show<br />

yangu. cheki time na ukae rada!

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!