Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
mark<br />
Aiii! K<br />
zin<br />
heh
market..<br />
kwetu<br />
market<br />
Aiii! Kwani vitunguu zako<br />
zinakuja na ndege?<br />
hio bei ni ghali.<br />
Kama hamna pesa<br />
songeni niongee<br />
na mwenye duka.<br />
Nkt! Maskini!<br />
aaaargh<br />
mnacheka nini...<br />
hehehe<br />
?
Mheshimiwa!<br />
Mheshimiwa!<br />
Mheshimiwa!<br />
Tutakutana kwa<br />
maskan!?<br />
…t<br />
wan<br />
1<br />
2<br />
3<br />
7<br />
8<br />
9<br />
14<br />
15<br />
16 ...kwani<br />
minister<br />
ana-need gari<br />
ngapi<br />
Hata<br />
tax<br />
Mnaona? ...He<br />
knows class<br />
Auuu uu!<br />
Wameharibu<br />
biashara yangu…<br />
H<br />
wa
…tunaumia huku nao<br />
wananona na magari<br />
kubwa kubwa!<br />
Hao watu<br />
wana-deserve.<br />
Unadhani<br />
wanauza<br />
mangoes?<br />
Nyinyi ni watu wadogo<br />
sana kuelewa vile<br />
government ina-spend.<br />
Vile ina-spend<br />
pesa yao inahusu<br />
Wakenya wote.<br />
wani<br />
er<br />
d gari<br />
pi<br />
Gas na mafuta<br />
imependa,<br />
nilipeleka mtoto wangu<br />
hospitali na hakukuwa<br />
na madaktari<br />
Hata hao MP hawalipi<br />
taxes wananunua<br />
unga ghali,<br />
Hizi shida zote ni<br />
juu hawa watu<br />
wanatumia pesa zetu<br />
vibaya.<br />
hahaha! Wewe<br />
Mama Mboga<br />
unajua nini?
Poleni sana!<br />
Msi pigane<br />
Hehe! Nimetumwa<br />
hapa na<br />
mheshimiwa<br />
kulipia hasara.<br />
Stop!<br />
Cheki…<br />
...<br />
Pesa ya serikali<br />
ina husu watu<br />
wadogo kama<br />
hawa?<br />
Actually… wako<br />
right.<br />
Serikali ikitumia pesa<br />
mingi kwa barabara,<br />
pesa ya mahospitali<br />
ina punguka.<br />
Kwa hivyo vitu ni ghali<br />
juu wananunua<br />
magari wasiohitaji?<br />
Aaaah, yes!
tumwa<br />
a<br />
iwa<br />
sara.
m<br />
kunif<br />
kuniu<br />
nying<br />
m
sasa chuxx!<br />
umeona...<br />
janet!<br />
unatafutwa!<br />
unafanya nini na<br />
huyu chuxx?<br />
oh, puulizz!<br />
natafutwa<br />
kwani nime-win<br />
lottery?<br />
mbona<br />
huji<br />
shule?<br />
nywele<br />
yako ni<br />
orange siku<br />
hizi?!<br />
mtakoma<br />
kunifuata-fuata na<br />
kuniuliza maswali<br />
nyingi kama clinic!<br />
none<br />
of your<br />
business!<br />
eh...<br />
maria kim, si<br />
unajua ni wewe tu?<br />
huyu janet sikuwa<br />
serious na yeye...<br />
wameanza<br />
machozi. mimi<br />
nime-bounce!<br />
aki maria kim,<br />
mimi ni bure sana! hakuna kitu<br />
naeza-do! hata kusoma<br />
imenishinda. hata in future<br />
sijui nita-do nini.<br />
familia yetu<br />
ni masikini... umeona<br />
mamangu? kwani life<br />
yangu pia itakuwa hivo?<br />
kuosha manguo na<br />
kuzaa watoto tu?<br />
afadhali nikule raha<br />
saa hizi!<br />
eh, usiongee hivyo.<br />
kuacha masomo juu<br />
ya raha si poa. kuna<br />
vitu mob sana unaeza<br />
achieve.<br />
najua<br />
hauniamini, lakini<br />
i can prove it!<br />
siku kadhaa baadaye...<br />
haiya, nimewaita<br />
hapa leo juu kuna mtu<br />
ningependa abonge<br />
nanyi. stori yake ni kali<br />
sana...
6<br />
nita<br />
hizi<br />
had<br />
bro<br />
sh
nitachoma<br />
hizi seeds<br />
hadi ziwe<br />
brown na<br />
shiny!<br />
halafu<br />
nitakuwa na<br />
vifaa vya<br />
kuuza<br />
sokoni!<br />
na vile<br />
nazipenda!<br />
asante,<br />
baba!<br />
sikukupikia!<br />
na vile hizo<br />
njugu ni<br />
mbaya!<br />
6