07.10.2015 Views

Chapter 27

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mark<br />

Aiii! K<br />

zin<br />

heh


market..<br />

kwetu<br />

market<br />

Aiii! Kwani vitunguu zako<br />

zinakuja na ndege?<br />

hio bei ni ghali.<br />

Kama hamna pesa<br />

songeni niongee<br />

na mwenye duka.<br />

Nkt! Maskini!<br />

aaaargh<br />

mnacheka nini...<br />

hehehe<br />

?


Mheshimiwa!<br />

Mheshimiwa!<br />

Mheshimiwa!<br />

Tutakutana kwa<br />

maskan!?<br />

…t<br />

wan<br />

1<br />

2<br />

3<br />

7<br />

8<br />

9<br />

14<br />

15<br />

16 ...kwani<br />

minister<br />

ana-need gari<br />

ngapi<br />

Hata<br />

tax<br />

Mnaona? ...He<br />

knows class<br />

Auuu uu!<br />

Wameharibu<br />

biashara yangu…<br />

H<br />

wa


…tunaumia huku nao<br />

wananona na magari<br />

kubwa kubwa!<br />

Hao watu<br />

wana-deserve.<br />

Unadhani<br />

wanauza<br />

mangoes?<br />

Nyinyi ni watu wadogo<br />

sana kuelewa vile<br />

government ina-spend.<br />

Vile ina-spend<br />

pesa yao inahusu<br />

Wakenya wote.<br />

wani<br />

er<br />

d gari<br />

pi<br />

Gas na mafuta<br />

imependa,<br />

nilipeleka mtoto wangu<br />

hospitali na hakukuwa<br />

na madaktari<br />

Hata hao MP hawalipi<br />

taxes wananunua<br />

unga ghali,<br />

Hizi shida zote ni<br />

juu hawa watu<br />

wanatumia pesa zetu<br />

vibaya.<br />

hahaha! Wewe<br />

Mama Mboga<br />

unajua nini?


Poleni sana!<br />

Msi pigane<br />

Hehe! Nimetumwa<br />

hapa na<br />

mheshimiwa<br />

kulipia hasara.<br />

Stop!<br />

Cheki…<br />

...<br />

Pesa ya serikali<br />

ina husu watu<br />

wadogo kama<br />

hawa?<br />

Actually… wako<br />

right.<br />

Serikali ikitumia pesa<br />

mingi kwa barabara,<br />

pesa ya mahospitali<br />

ina punguka.<br />

Kwa hivyo vitu ni ghali<br />

juu wananunua<br />

magari wasiohitaji?<br />

Aaaah, yes!


tumwa<br />

a<br />

iwa<br />

sara.


m<br />

kunif<br />

kuniu<br />

nying<br />

m


sasa chuxx!<br />

umeona...<br />

janet!<br />

unatafutwa!<br />

unafanya nini na<br />

huyu chuxx?<br />

oh, puulizz!<br />

natafutwa<br />

kwani nime-win<br />

lottery?<br />

mbona<br />

huji<br />

shule?<br />

nywele<br />

yako ni<br />

orange siku<br />

hizi?!<br />

mtakoma<br />

kunifuata-fuata na<br />

kuniuliza maswali<br />

nyingi kama clinic!<br />

none<br />

of your<br />

business!<br />

eh...<br />

maria kim, si<br />

unajua ni wewe tu?<br />

huyu janet sikuwa<br />

serious na yeye...<br />

wameanza<br />

machozi. mimi<br />

nime-bounce!<br />

aki maria kim,<br />

mimi ni bure sana! hakuna kitu<br />

naeza-do! hata kusoma<br />

imenishinda. hata in future<br />

sijui nita-do nini.<br />

familia yetu<br />

ni masikini... umeona<br />

mamangu? kwani life<br />

yangu pia itakuwa hivo?<br />

kuosha manguo na<br />

kuzaa watoto tu?<br />

afadhali nikule raha<br />

saa hizi!<br />

eh, usiongee hivyo.<br />

kuacha masomo juu<br />

ya raha si poa. kuna<br />

vitu mob sana unaeza<br />

achieve.<br />

najua<br />

hauniamini, lakini<br />

i can prove it!<br />

siku kadhaa baadaye...<br />

haiya, nimewaita<br />

hapa leo juu kuna mtu<br />

ningependa abonge<br />

nanyi. stori yake ni kali<br />

sana...


6<br />

nita<br />

hizi<br />

had<br />

bro<br />

sh


nitachoma<br />

hizi seeds<br />

hadi ziwe<br />

brown na<br />

shiny!<br />

halafu<br />

nitakuwa na<br />

vifaa vya<br />

kuuza<br />

sokoni!<br />

na vile<br />

nazipenda!<br />

asante,<br />

baba!<br />

sikukupikia!<br />

na vile hizo<br />

njugu ni<br />

mbaya!<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!