You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Jaguar A5ai.pdf 1 11/16/12 3:12 PM
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
dan, huyu ni<br />
slim. yeye ni volunteer<br />
kwa clinic ya<br />
amua kwenye nilienda<br />
ku-get advice juu ya<br />
contraceptives.<br />
oh...<br />
ah... mimi<br />
nimeishia!<br />
ala! nini<br />
mbaya naye?<br />
kila wakati<br />
nikiongea juu ya<br />
contraceptives...<br />
hataki<br />
kusikia hiyo<br />
story.<br />
baadaye kwa maria kim...<br />
usiwe na<br />
wasiwasi.<br />
nitashow slim<br />
aongee naye. i’m<br />
sure atasikiza.<br />
thanks,<br />
maria kim.<br />
18
siku nyingine...<br />
sasa dan?<br />
eh! hizi<br />
sunguch zenyu<br />
ni biggie!<br />
slim...<br />
ninajua mbona<br />
umecome hapa. mimi<br />
sitaki kusikia hizo<br />
stori za<br />
ma-contraceptives!<br />
sifa anataka<br />
tuende naye kwa<br />
clinic... mimi<br />
sielewi... mbona<br />
tusitumie methods<br />
natural? eh?<br />
hiyo mambo ya<br />
ma-chemicals<br />
mimi sipendi!<br />
dan, hizi stori si<br />
game. acha<br />
niku-show stori<br />
ya mine...<br />
najua hujui, lakini<br />
kitambo nilikuwa na<br />
sista. alikuwa mpoa.<br />
alikuwa na dreams na<br />
ambitions... alitaka<br />
kuenda cole apate<br />
degree...<br />
...halafu akapata<br />
boyfriend...<br />
19
...mimi nilikuwa na<br />
ma-worry, lakini<br />
familia yetu hatukuwa<br />
tunaongea stori za<br />
sex openly ...<br />
...aliget ball lakini<br />
hakuambia mtu...<br />
...mapero wetu<br />
wangezusha...<br />
...masomo yake<br />
ingeishia hapo...<br />
...so alienda kwa mnyanye<br />
fulani huku mtaani...<br />
...hakuna mtu alijua chenye<br />
kilifanyika. lakini alikuwa msick<br />
sana, tukampeleka kwa dokte...<br />
...mnyanye<br />
hutoanga<br />
ball<br />
kienyeji...<br />
...dokte akatushow<br />
chenye kilikuwa<br />
kimehappen...<br />
...siku tatu baadaye,<br />
siste ali-die...<br />
20
sijawahi<br />
kujisamehe juu ya vile<br />
sikumuongelesha.<br />
hange-die<br />
iza man...<br />
madem wengi wana-die juu ya<br />
kuto-take responsibility...<br />
na sisi,<br />
machali wao ndio<br />
tunawaweka kwa noma,<br />
na mtoi akipatikana<br />
tunawaruka wanakosa<br />
options. Chunga<br />
manzi yako kama<br />
unamjali.<br />
ongea na sifa.<br />
sijui kama uliona<br />
ile copy ya<br />
shujaaz ilikuwa<br />
na namba ya<br />
clinic?<br />
shika hii copy<br />
yangu. namba<br />
ndio hii, wapigie<br />
simu wakupe<br />
appointment!<br />
siku kadhaa baadaye...<br />
sifa!<br />
sifa!<br />
nimekutafuta!<br />
nilienda kwa<br />
clinic ya amua!<br />
ni kupoa!<br />
hao wasee<br />
ni wapoa... hawakunijudge!<br />
hawakuniwekea<br />
pressure! na sikuambiwa<br />
eti ningoje sijui masaa<br />
ngapi. walinipa information<br />
mara that that!<br />
eh, dan!<br />
kuna nini?<br />
Dan!<br />
Sikujua ungetaka<br />
kuenda? Hiyo ni<br />
poa!<br />
21
22
23
24
25
oho!<br />
ni yule kijana<br />
wa foota!<br />
ana-do what leo?<br />
pesa mkononi<br />
26
27
28
29
30
31