09.10.2015 Views

Chapter 35

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Jaguar A5ai.pdf 1 11/16/12 3:12 PM


3


4


5


6


7


8


9


10


11


12


13


14


15


16


17


dan, huyu ni<br />

slim. yeye ni volunteer<br />

kwa clinic ya<br />

amua kwenye nilienda<br />

ku-get advice juu ya<br />

contraceptives.<br />

oh...<br />

ah... mimi<br />

nimeishia!<br />

ala! nini<br />

mbaya naye?<br />

kila wakati<br />

nikiongea juu ya<br />

contraceptives...<br />

hataki<br />

kusikia hiyo<br />

story.<br />

baadaye kwa maria kim...<br />

usiwe na<br />

wasiwasi.<br />

nitashow slim<br />

aongee naye. i’m<br />

sure atasikiza.<br />

thanks,<br />

maria kim.<br />

18


siku nyingine...<br />

sasa dan?<br />

eh! hizi<br />

sunguch zenyu<br />

ni biggie!<br />

slim...<br />

ninajua mbona<br />

umecome hapa. mimi<br />

sitaki kusikia hizo<br />

stori za<br />

ma-contraceptives!<br />

sifa anataka<br />

tuende naye kwa<br />

clinic... mimi<br />

sielewi... mbona<br />

tusitumie methods<br />

natural? eh?<br />

hiyo mambo ya<br />

ma-chemicals<br />

mimi sipendi!<br />

dan, hizi stori si<br />

game. acha<br />

niku-show stori<br />

ya mine...<br />

najua hujui, lakini<br />

kitambo nilikuwa na<br />

sista. alikuwa mpoa.<br />

alikuwa na dreams na<br />

ambitions... alitaka<br />

kuenda cole apate<br />

degree...<br />

...halafu akapata<br />

boyfriend...<br />

19


...mimi nilikuwa na<br />

ma-worry, lakini<br />

familia yetu hatukuwa<br />

tunaongea stori za<br />

sex openly ...<br />

...aliget ball lakini<br />

hakuambia mtu...<br />

...mapero wetu<br />

wangezusha...<br />

...masomo yake<br />

ingeishia hapo...<br />

...so alienda kwa mnyanye<br />

fulani huku mtaani...<br />

...hakuna mtu alijua chenye<br />

kilifanyika. lakini alikuwa msick<br />

sana, tukampeleka kwa dokte...<br />

...mnyanye<br />

hutoanga<br />

ball<br />

kienyeji...<br />

...dokte akatushow<br />

chenye kilikuwa<br />

kimehappen...<br />

...siku tatu baadaye,<br />

siste ali-die...<br />

20


sijawahi<br />

kujisamehe juu ya vile<br />

sikumuongelesha.<br />

hange-die<br />

iza man...<br />

madem wengi wana-die juu ya<br />

kuto-take responsibility...<br />

na sisi,<br />

machali wao ndio<br />

tunawaweka kwa noma,<br />

na mtoi akipatikana<br />

tunawaruka wanakosa<br />

options. Chunga<br />

manzi yako kama<br />

unamjali.<br />

ongea na sifa.<br />

sijui kama uliona<br />

ile copy ya<br />

shujaaz ilikuwa<br />

na namba ya<br />

clinic?<br />

shika hii copy<br />

yangu. namba<br />

ndio hii, wapigie<br />

simu wakupe<br />

appointment!<br />

siku kadhaa baadaye...<br />

sifa!<br />

sifa!<br />

nimekutafuta!<br />

nilienda kwa<br />

clinic ya amua!<br />

ni kupoa!<br />

hao wasee<br />

ni wapoa... hawakunijudge!<br />

hawakuniwekea<br />

pressure! na sikuambiwa<br />

eti ningoje sijui masaa<br />

ngapi. walinipa information<br />

mara that that!<br />

eh, dan!<br />

kuna nini?<br />

Dan!<br />

Sikujua ungetaka<br />

kuenda? Hiyo ni<br />

poa!<br />

21


22


23


24


25


oho!<br />

ni yule kijana<br />

wa foota!<br />

ana-do what leo?<br />

pesa mkononi<br />

26


27


28


29


30


31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!