06.11.2015 Views

Chapter 44

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

taabu! hiyo haitawai work! itabidi<br />

uanze na bizna ndogo mpaka<br />

i-grow, so kwanza ufikirie penye<br />

unaweza kuanza... steps<br />

ndogo tu...<br />

kumbukeni,<br />

haba na haba<br />

hujaza<br />

kibaba!<br />

uko na<br />

kuku ngapi<br />

sasa?<br />

nne.<br />

hehe<br />

hehe!<br />

mbona<br />

unanisengenya?<br />

si unishow nini<br />

kufanya?<br />

unafaa kuwa<br />

realistic:<br />

uanze na kuku<br />

chache na<br />

uongeze pole<br />

pole.<br />

sina dooh za<br />

kununua hata<br />

kuku moja extra<br />

na ukinipa soo<br />

tano unataka<br />

ngiri kesho?<br />

si basi uombe soo<br />

moja kutoka kila<br />

bro, soo tano hizo,<br />

nikuongezee moja,<br />

na utulipe 110<br />

baada ya kuuza<br />

kuku?<br />

interest<br />

ya ten<br />

bob.<br />

interest?! wah,<br />

hiyo stori inanitisha...<br />

sasa nitamake dooh<br />

aje?<br />

ukinunua kuku<br />

mbili, moja ni<br />

soo tatu,<br />

halafu uuze<br />

kwa soo<br />

tano,<br />

utakuwa na<br />

ngiri moja, pesa<br />

mfukoni.<br />

halafu ukilipa hizo<br />

deni za akina bro,<br />

yenye ni 660 bob,<br />

utabaki na 340 bob<br />

profit!<br />

Enyewe,wasee hawafai kuchagua jobs,kuna wale husema jobs kaa hizo ni za uchafu<br />

bt kazi ni kazi bora inakupa doh na ni halali. Gladys Maloba 29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!