You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
taabu! hiyo haitawai work! itabidi<br />
uanze na bizna ndogo mpaka<br />
i-grow, so kwanza ufikirie penye<br />
unaweza kuanza... steps<br />
ndogo tu...<br />
kumbukeni,<br />
haba na haba<br />
hujaza<br />
kibaba!<br />
uko na<br />
kuku ngapi<br />
sasa?<br />
nne.<br />
hehe<br />
hehe!<br />
mbona<br />
unanisengenya?<br />
si unishow nini<br />
kufanya?<br />
unafaa kuwa<br />
realistic:<br />
uanze na kuku<br />
chache na<br />
uongeze pole<br />
pole.<br />
sina dooh za<br />
kununua hata<br />
kuku moja extra<br />
na ukinipa soo<br />
tano unataka<br />
ngiri kesho?<br />
si basi uombe soo<br />
moja kutoka kila<br />
bro, soo tano hizo,<br />
nikuongezee moja,<br />
na utulipe 110<br />
baada ya kuuza<br />
kuku?<br />
interest<br />
ya ten<br />
bob.<br />
interest?! wah,<br />
hiyo stori inanitisha...<br />
sasa nitamake dooh<br />
aje?<br />
ukinunua kuku<br />
mbili, moja ni<br />
soo tatu,<br />
halafu uuze<br />
kwa soo<br />
tano,<br />
utakuwa na<br />
ngiri moja, pesa<br />
mfukoni.<br />
halafu ukilipa hizo<br />
deni za akina bro,<br />
yenye ni 660 bob,<br />
utabaki na 340 bob<br />
profit!<br />
Enyewe,wasee hawafai kuchagua jobs,kuna wale husema jobs kaa hizo ni za uchafu<br />
bt kazi ni kazi bora inakupa doh na ni halali. Gladys Maloba 29