11.11.2015 Views

Chapter 58

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

DJ Bo thank kwa kujitoa kuenlighten mayouths.as for me kuna hustle nime-learn kwa shujaa na am courageous kuji-engage<br />

nayo. Kareithi Mwangi//Hi DJ B uko juu vi mo faya keep it up. John Mweya//Tunakupenda DJ B ,endelea na xame spirt,<br />

tunakufuata wewe na ideas zako. K.C.O Cnty,Kimtai Ryan.//Haez naitwa verroh na napnda Shujaaz tu xana DJ B naeza taka<br />

3


4<br />

kkuona in re-al. Verro Kim//Hi DJ B!kwetu msimu wa mvua kunakuaka na maji mingi juu kuna mto karibu ,lakini<br />

ukauka haraka mvua ikiisha.naplan kubuy mitungi ya 20litres nichoteleange nitumie kupada mbonga wakati wa<br />

kiangazi,ni advice kama iko poa. Stephen Musyoka//Thanks 4 encourging mayouth. Leo nimekucheki kwa NTV.


Shadrack Sheddy’//Na lyk ur show iko poa 2 sana. Sirquiz Young//show yako ya Shujaaz TV iko fyam kabisa<br />

thanxs DJ B. Stephen Mbugz//Nashkuru sana DJB. Ndimi Ali, tumetoka kujuana mda usio mrefu na ukanielekeza<br />

kwenye hii akauti yako. Nimeipenda Sana. Ahsante kwa kuimiliki kwa kuwa wakuza vijana vilevile na hata<br />

5


6


jamii nzima. Ali di vybez//Dj B show imekuwa juu 2 sana na mi huilike ata ctaki kumiss ata a single minute. Delilah<br />

Kayla//Na count down hadi show yako i start. The biggest show in southern sahara . Kipngetich Vincent//I like your<br />

creativity. Edwin Okoth//walala DJ B uko mbele sana na hizo mradi zote. Amos Xatamu//Mtu wangu waguan,we<br />

7


8


9


10


11<br />

ni literate kwa idea kadhaa, Hatutaqiv up, tumefainika sana Ikiwezekana ututembelee hapa Kapkatet Kericho County<br />

one of the weekdays especially wednesday. shukran. Kimtay Kemooda Ryan//Hi DJ B umenice tu xana. Stiff Shan//<br />

Vipi mtuguyas?boy wako hpa nakusaluti joh, we n herro ju ya kucharge mayouth’s. Bernjac,//kuna vile hizo mar comic


12<br />

unibamba ka mchongoano big up dude 4 gret work. Elly Jaiva//Hi DJ B ile idea ya kupanda swtpotatoes imeniinua sana<br />

gunia moja nauza 1500 thnks mtu wangu niwewe tu. Eliud Mwendwa//Hy DJ B nallyke qila advice unapea mayuth,coz<br />

nyxhatumia advice mob tu xana ulizozyweq qwa gaazo ya shujaaz.Thanqs 2 xana. Jimmy Boboy//Nalike quotes zako


tu sana. Wycliff Oyolo//Aje aje DJ B mh n fan wko na nalyk comics zko btw umechnge lyfstly ya ma uth ile mbya<br />

endelea ivo ivo kenya wil b a beta plce. Ale Crybaz Derambo//Mambo DJ B nimelyk xana comic zako nd am one of<br />

ur fans big up. Addi Fyeda//Man unamake impact bwaku xana kwa mayuth wa mtaani big up bro. Zacharia Oyugi//<br />

13


14<br />

Niaje ni collins sanya tena manze jo show imenijengea,respect. Wolf ManTunapenda show yako mbaya juu hiko juu tew<br />

xana. May God bless u 4 hlpng fellow Kenyans. Lilian Winnie//Haki DJ B m n lyk 2 zle ma advice ugei ma yuds,big up a<br />

xana. Achalode De Frash


16<br />

Big up DJ Boyie..comics zako za hustles zna tuinspire tu sana.mathew mwenda from maua..//Nimewapata na advic<br />

yenyu imenifanya ni chg. Geoffrey Govogi//Nafurahi xana kupata hizo maristo zko 2 kali xanah na inaelimisha<br />

manze,,tho wasee wengi hawana idea yoyote hii place,,,tnx 2 uh DJ Boyie. Supa Yaska//Niaje mzito kama ilivyo


17<br />

kikawa nalike your advice na nakuwishia gud luck kwa everything you do nko na chapter 56 na npoa xana continue<br />

encouraging us. God bless you poa. Charbel Chimaswa//Mamboz DJ B nliangalia shujaaz chapter 56 inanbamba poa.<br />

Mercy//DJ Boyie we ni role model wa myn koz umeniteach xo many thinks in lyf.apo nyuma nlikuwa cna pa kuhustle bt


18


nowadays nahustle kwa kudunga maworkz ya boda mtaani na per day nko na 4k bna .denkz 2 sana m2 nguyaz.<br />

Daniel Muyasco//Vipi Dj B? Si nimemada kuchop chapter 56 na nimebambika sana na hio story ya Ababubakar<br />

ya kumobilise mayuts kuchange society. Thnx xana kwa kutuencourage.keep it up.” -Jonathan Mitto 4m Got<br />

19


20<br />

matar;Bondo.//Shujaaz ile story ya cheezy,kitu angefanya angetumia condom ile kuprotect aganist unwanted pregnancies,kitu<br />

ingine hustle yake ya kila siku ni ka si poa ju ukicheki ni mara mob anaunda bike yake kwa jano na halipi<br />

doo,so kitu cheezy yafaa adu,asake idea poa ya job,ineza muokolea in lyf. Gerry wa malava. Hae DJ B, jana nilitry


kubonga beshte wa mie kuhusu hii stori ya contraceptives na nikaona amenyita kuruka.thenks DJ B! ur one in an m.<br />

Patrick B//Nimefurahi cz mimi nabf maen wehv xex & natuna 2mia protection na sitaki kajunia now thnx kwakutuhlp<br />

kujua alot poa DJ B. Naitwa Aka Shkz Aka Kshi//Hae DJ B aki uko juu kwa risto ya kusaidia madem ku avoid early<br />

21


22<br />

pregnancy thnx 4 ua advice. Elizabeth Nyakio//DJ BOYIE.imgn nilikua na kuku mmoja kwa kutanga mayai,alikua<br />

anatanga mayai ishirini nakula mbili ana angua zote vifaranga kwa xaxa niko na kuku hamsini nataka kuuza nilete<br />

cow ni poa kweli. Brian Kariuki//DJ B mimi nimepanda miwa kwetu halafu nikaask maparents wangu waninunulie


24<br />

blender halafu inatumia batery ya solar .kila day after school nauza juice ya miwa.Nauza glas moja 4o bob nanget upto<br />

1500.ambia mayut wainvest badala ya kuwaste life yao. Joe//DJ Boyie maze ulini-inspire vinoma na ile risto ya bee<br />

keeping, sahi niko na 3 hives na natarajia ku-harvest honey soon.George Kenya Blush//Ajez DJ B??!.una2nyc xana bt


leo nafunza<br />

sheng’ word mlitumia<br />

DJ B kwa 20308. Cheki<br />

vile WAS wanaita<br />

was panganga<br />

mt yao.<br />

Majina za mtu Panganga kwa hood<br />

Aljazeera<br />

Allan Kiama, Sheng ya Ruai<br />

Mdomo ya Bensouda<br />

Robbah Mutiso, sheng ya Kibra<br />

Amemeza Radio<br />

Paul Mark Dornald, sheng ya<br />

Kisumu<br />

Msene<br />

Justus Havie,sheng ya Pango<br />

Mapashkuna<br />

Sharon Abob, sheng ya<br />

Komarock<br />

Mambenyee<br />

Devoke Deprinx, sheng ya<br />

Eastleigh<br />

mbona<br />

umechora<br />

dame anak mimi?<br />

EHE! lakini hizi<br />

sheng ni moto<br />

moto...<br />

Mama Anyone<br />

Brian Wasuna, sheng ya Naivasha<br />

Ana Perenyonyo Mob<br />

Çôl Âbrâhâm Kîprønø, sheng ya Embu<br />

Ana Parasha<br />

Benn Mugo sheng ya Ruaka<br />

teacher magret ni piriton<br />

1234...marto was here<br />

class ya wa huni.com<br />

ahsante wazito!<br />

singe tengeneza<br />

h comic bila<br />

nyinyi!<br />

Shujaaz (TM) is published by Well Told Story Ltd, P. O. Box 1700-00502<br />

Nairobi, Kenya. Tel: +254 719 407 512 Web: www.welltoldstory.co.ke.<br />

Printed by Colourprint Limited, P. O. Box 44466-00100 Nairobi GPO.<br />

Produced in collaboration with: Hewlett Foundation, Twaweza, Bill and Melinda Gates Foundation,<br />

Sainsbury’s & ESHE. Distributed by Nation and Safaricom.<br />

PRODUCER: Paul Ekuru ASSISTANT PRODUCERS: Jared Ngugi | Stephanie Boy | Paul Peter Kades<br />

ART: Maurice Odede | Mmbasu Mbwabi | Dan Muli | Eric Muthoga | Joe Barasa<br />

ART DIRECTOR: Esphan Kamau GRAPHIC DESIGNER: Ann Ndichu SOCIAL MEDIA: Farida Nzilani<br />

Winnie Nduta RESEARCH: Sylvia Thuku | Lavinca Achieng | Norah Kopi<br />

OUTREACH COORDINATOR: Koome Mwiti | Getrude Bosire EDITORS: Blizzy Raura | Louiza Wanjiku<br />

ASST. EDITOR: Wangari Murage DISTRIBUTION: Joram Kioko PHOTOGRAPHER: Alex Kamweru<br />

FINANCE: Ranjeeta Jani | Carol Ariga | Mary Muthoni INTERNS: Ronny Omondi | Wambui Gathee<br />

Special thanks to JUNE RAPSHA for his Music on ShujaazFM<br />

Well Told Story © 2014 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced,stored in any retrieval<br />

system or be transmitted in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the<br />

publishers. Although every effort has been taken to ensure the accuracy of information contained in this publication,<br />

in no event shall the publishers be liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind<br />

without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication.<br />

25


26<br />

kukuget on airwaves ndo ngori.woixhe jaribu ulete shows zako on popular radio stations km radio maixha n citizen.<br />

Mercie//Dj B leo nimekuskia kwa q fm man uko juu ata hustle ya uyo msee iko tops poa jamaa endelea ivo ivo! Mburu//<br />

Naje DJ B kwani kinyonyi uomba ka ten always pls si umsave na ma ideas ajihustlelie thanks alot for your good job still


27<br />

going strong good night. Esther//Bydaway Dj b,nadai nianze biz but cna capital,niko motivated sana na article yako.naeza<br />

get help,sitaki kuwa kinyonyi. Dickens//Hi Dj Boyie,Nime note ukitumia ‘nisaidie na 10bob nibuy kitu...kinyonyi tu’ ni kweli<br />

watu kama hao wako. Na hao ni wasee wazii,badala ya kufanya kazi na kuget dooh. Thumbs up though. Dennis//Kinyonyi


28<br />

wanaboo.mbona wasipik hizi ideaz zako noma wajiendeleze.yafaa wajihustlie hako ka-ashu men. Mercy//Hiyo ni idea poa<br />

na everything you do bro zina tu inspire tu sana kwa hivyo tuko ngangare kuruka sss! hebu angaria hikyo kinyonyi kazi<br />

yake ni kuombd omba tu. Kennedy//DJ B sauti yako imenibamba 2 xana Doreen wa kishushe mbela high 4m 1.Doreen//


29


30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!