18.01.2013 Views

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

TPCC Annual Report 2008.indd - HeidelbergCement

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Tanzania Portland Cement Company Ltd, <strong>Annual</strong> <strong>Report</strong> 2008<br />

Taarifa ya Wakurugenzi kwa Mwaka ulioishia<br />

31 Desemba 2008<br />

Wakurugenzi wanayo furaha kuwasilisha taarifa yao pamoja na hesabu zilizokaguliwa kwa mwaka ulioishia 31 Desemba<br />

2008.<br />

Shughuli kuu<br />

Shughuli kuu ya Kampuni ni uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa saruji.<br />

Wajibu wa Wakurugenzi<br />

Kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni Na.12 ya mwaka 2002, ni wajibu wa wakurugenzi kuandaa hesabu za Kampuni<br />

kila mwaka zenye kutoa hali halisi ya Kampuni kifedha mwishoni mwa kila kipindi.<br />

Wakurugenzi wanathibitisha kwamba katika kutayarisha hesabu ambazo zinaonyesha hali halisi ya Kampuni kila wakati,<br />

wametumia sera na kanuni za kiuhasibu zinazohakikisha kuwa hesabu zinakidhi matakwa ya viwango vya kimataifa vya<br />

utayarishaji hesabu na taarifa za fedha. Hesabu zimeandaliwa kwa kuzingatia kuwa Kampuni itaendelea kufanya shughuli<br />

zake kwa muda mrefu ujao.<br />

Wakurugenzi wanawajibika kutunza vitabu na nyaraka za kiuhasibu zenye kuonyesha hali halisi na sahihi ya Kampuni<br />

na kuhakikisha kuwa hesabu zinazotayarishwa zinaendana na matakwa ya Sheria ya Makampuni Na.12 ya mwaka 2002.<br />

Wanawajibika pia kuhakikisha kwamba mali zote za Kampuni ziko katika hali ya usalama na kuweka mifumo ya udhibiti<br />

wa shughuli za Kampuni inayofanya kazi ya kuzuia au kugundua wizi, ufujaji au makosa kuwa rahisi.<br />

Wakurugenzi<br />

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wakati huu ambao wamekuwa wajumbe katika kipindi chote cha mwaka 2008 ni<br />

hawa:<br />

Bw. Jean-Marc Junon Mfaransa Mwenyekiti<br />

Bw. Klaus Hvassing Mnorwei Mjumbe<br />

Bw. William Mlaki Mtanzania Mjumbe<br />

Bw. George Fumbuka Mtanzania Mjumbe<br />

Bw. Daniel Gauthier Mbeljiji Mjumbe<br />

Bw. Arne J. Selen Mnorwei Mjumbe mbadala wa Daniel Gauthier<br />

Bw. Ola Schippert Mswedi Mjumbe<br />

Wajumbe wote wa Bodi siyo watendaji katika Kampuni, isipokuwa Bw. Klaus Hvassing ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji.<br />

Wakurugenzi Wanahisa<br />

Bw. William Mlaki ana hisa 49,927 katika Kampuni<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!