Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices
Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices
Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
<strong>Utambulisho</strong><br />
A1
<strong>Utambulisho</strong><br />
Jina langu naitwa <strong>Sarah</strong>. Nina umri wa miaka 38 na nina biashara ndogo <strong>ya</strong> kuuza nguo za wanawake.<br />
Duka langu liko karibu na jengo tunalomiliki mimi na mume wangu, Davinder. Maisha <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong><br />
kipindi cha nyuma ha<strong>ya</strong>kuwa mazuri kama <strong>ya</strong>livyo sasa. Wazazi wangu wanaishi karibu na mtaa ovyo,<br />
pembezoni mwa jiji. Siku zote wamekuwa wakifan<strong>ya</strong> kazi kwa bidii lakini pesa wanazopata hazijawahi<br />
kukidhi mahitaji <strong>ya</strong>o kwa kiwango cha kutosha.<br />
pamoja na binamu <strong>ya</strong>ngu. Tulipendana tangu tulipoonana kwa mara <strong>ya</strong> kwanza. Hakuona aibu<br />
walimpenda sana, na mama <strong>ya</strong>ngu aliniambia nisipoteze fursa hiyo kwa sababu sio wavulana wengi<br />
wa kada <strong>ya</strong>ke wanaweza kupenda kuoa msichana masikini kama mimi. Aliniomba niwe mchumba<br />
wake. Japokuwa nilikuwa bado mdogo, lakini maneno <strong>ya</strong> mama <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>lipen<strong>ya</strong> masikioni mwangu.<br />
Tulifan<strong>ya</strong> harusi kubwa sana na wazazi wangu walipokea zawadi nyingi.<br />
Davinder alikuwa na sifa zote nilizotamani mume wangu awe nazo. Alikuwa mwema, na alinipeleka<br />
kufan<strong>ya</strong>. Hapo ndipo nilipomwelezea Davinder mpango wangu wa kuanza biashara. Aliniunga mkono<br />
kutekeleza mpango wangu huo. Tulinunua eneo na muda si mrefu nilipata na wateja wengi sana<br />
kwenye dukani langu baada <strong>ya</strong> wao kupashana habari kuhusu nguo nzuri nilizouza. Nilivaa nguo<br />
mrembo na jinsi biashara <strong>ya</strong>ngu ilivyoendelea vizuri. Mwanzoni mume wangu ali<strong>ya</strong>furahia sana,<br />
lakini kadri nilivyozidi kuwa maarufu na wateja walivyozidi kuongezeka, alianza kuwa na wivu.<br />
Hapo ndipo mambo <strong>ya</strong>lipoanza kunipindukia…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
B1
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Ukatili Watokea 1<br />
A2
Ukatili Watokea 1<br />
Mtazamo wa Davinder juu <strong>ya</strong>ko na kazi <strong>ya</strong>ko unaendelea kubadilika. Anakwambia hakuna sababu<br />
<strong>ya</strong> wewe kuvaa vizuri na kuonekana mrembo unapokuwa kazini kwa sababu biashara imekwisha<br />
shamiri. Unamwambia kwamba ni vizuri kuonekana maridadi na kwamba kuvaa vizuri kunakufan<strong>ya</strong><br />
wewe mwenyewe ujisikie vizuri. Anapokulaumu kwamba una mahusiano mwanamume mwingine,<br />
unadhani anakutania.<br />
Davinder anaendelea kuja dukani kukutama mara kwa mara tena bila taarifa, anakagua simu <strong>ya</strong>ko<br />
na kukagua matumizi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> pesa. Hali hii inakera, lakini unapomwambia aache kufan<strong>ya</strong> hivyo,<br />
anakwambia yeye ni mwanamume na ana haki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> vyovyote anavyojisikia kufan<strong>ya</strong>. Hofu<br />
unabaki ukiwa hujui nini cha kufan<strong>ya</strong> na unajihisi kukataliwa. Unajaribu kununua nguo za ndani<br />
namba 1.<br />
Ikiwa unataka kuomba ushauri kutoka kwa wazazi wako, nenda kwenye Familia na uchukue kadi<br />
namba 1.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B2
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Marafiki na Majirani 1<br />
A3
Marafiki na Majirani 1<br />
kuona dhahiri kwamba huko kawaida kutokana na jinsi ulivyopunguza uzito wako. Wanakwambia<br />
umebadilika sana na umepoteza kunawiri kwako. Unawaambia kwamba mume wako amebadilika;<br />
unatembea na mwanamume mwingine. Wanashtuka kwa sababu wanakufahamu vizuri uaminifu<br />
wako.<br />
Wanakushika mkono na kusikiliza uchungu ulionao. Wanakwambia ni wanawake wachache sana<br />
cha kawaida kwa wanaume na kwamba hali itabadilika muda si mrefu. Mwingine anathubutu<br />
kuangalia maisha <strong>ya</strong>o wenyewe. Mmoja wao hafanyi kazi zaidi <strong>ya</strong> kubaki nyumbani na kulea watoto;<br />
mwingine anafan<strong>ya</strong> kazi na anapaswa kulipa kodi <strong>ya</strong> nyumba, ada za watoto na kugharamia mahitaji<br />
<strong>ya</strong> chakula; na mwingine ana mume ambaye si mwaminifu – hivi majuzi akiwa amemleta nyumbani<br />
mtoto wa nje <strong>ya</strong> ndoa. Ukilinganisha na wao, maisha <strong>ya</strong>ko sio maba<strong>ya</strong>. Lakini huwezi kujua kesho<br />
<strong>ya</strong>ke itakuwaje…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B3
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Familia 1<br />
A4
Familia 1<br />
furaha isiyo na kifani kwa kukuona na anapenda kujua kila kitu kuhusu wewe na biashara <strong>ya</strong>ko.<br />
Anaongea na wewe huku anaandaa chai na anapanga vitu sebuleni ili paonekane nadhifu. Baada<br />
<strong>ya</strong> kujadilia juu <strong>ya</strong> watoto pamoja na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ko, anakuuliza kuhusu Davinder, jambo ambalo<br />
linakufan<strong>ya</strong> kuhisi viba<strong>ya</strong>.<br />
kuwa na wanaume wengine. Unaelezea jinsi ambavyo hataki mshiriki ngono naye, hana muda wa<br />
kukaa na wewe wala watoto wake. Mamako anakukata kauli, “Kwa sababu <strong>ya</strong> kuwalinda watoto<br />
wasiwasi juu <strong>ya</strong>ko kwasababu anakupenda. Hivyo, nakusihi, nenda nyumbani ukaandae chakula cha<br />
jioni. Na uhakikishe hufanyi jambo lolote la kumkasirisha mumeo.”<br />
Hujisumbui kumjibu kwa sababu mama <strong>ya</strong>ko anaamini bado mnaishi maisha mazuri <strong>ya</strong> kawaida<br />
gari na pia kuwa na watoto ambao wanasomea shule za mijini.<br />
Kwa ku<strong>ya</strong>angalia maisha <strong>ya</strong>ko kwa mtazamo wa wazazi wako, unarudi nyumbani ukiwa unamshukuru<br />
Mungu kwa yote, lakini hisia hiyo haidumu kwa muda mrefu…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B4
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Ukatili Watokea 2<br />
A5
Ukatili Watokea 2<br />
-<br />
la cha jioni na kutotaja mambo <strong>ya</strong> kazi wala kuvaa mavazi mazuri mbele <strong>ya</strong> Davinder. Mume wako<br />
mnatazama taarifa <strong>ya</strong> habari, unapokea simu kutoka kwa mteja wako mmoja wa kiume. Kwa hasira,<br />
kesho <strong>ya</strong>ke jioni ambapo anaichukua simu <strong>ya</strong>ko na kuigonga ukutani. Anakwambia wewe huna<br />
maana, ulikubali kuolewa naye kwa sababu <strong>ya</strong> pesa zake. Anakukokota chumbani na kukusukumiza<br />
juu <strong>ya</strong> kitanda. Unajaribu kujikwamua lakini anakukandamizia kitandani na kukulazimisha kujamiana<br />
wakikuuliza baba <strong>ya</strong>o kaenda wapi. Anarudi baada <strong>ya</strong> siku chache akiwa na shada la maua na<br />
anakuomba msamaha. Anaahidi atakuwa baba na mume bora daima na anawaonyesha watoto<br />
ukarimu wa kila namna. Unapata wasiwasi sana kwa vurugu zake lakini hujui hata ufanye nini.<br />
namba 2.<br />
kadi namba 1.<br />
Ikiwa unataka kumpa Davinder fursa nyingine, nenda kwenye Songa Mbele na uchukue kadi<br />
namba 1.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B5
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Marafiki na Majirani 2<br />
A6
Marafiki na Majirani 2<br />
Majirani wamekuwa wakisikia kelele kutoka nyumbani kwenu. Wanakutazama kwa shaka kila<br />
wanapokuona. Wanaona majeraha na uvimbe. Mke na mume kutoka mlango jirani wanaposimama<br />
kuongea na wewe wanakuuliza umemfanyia nini cha kumkasirisha Davinder. Unajaribu kuwaelezea<br />
kwamba amekuwa na wivu pasipo sababu yoyote. Wanashindwa kuelewa kwa sababu siku zote<br />
Woga wako unakufan<strong>ya</strong> uwaombe wakisikia tena makelele waje washuhudie kwani unaogopa huenda<br />
akakufanyia jambo ba<strong>ya</strong>. Mwanaume anajibu hawezi kuingilia mambo binafsi <strong>ya</strong> mwanamume<br />
kisirisiri anakushauri utafute ushauri wa kisheria, akiongezea kwamba kwa ajili <strong>ya</strong> watoto wako<br />
inabidi ujihakikishie usalama. Huna fununu uanzie wapi kutafuta ushauri wa kisheria, kwa sababu<br />
waweze kukusaidia.<br />
Ikiwa unaamua kutafuta ushauri wa kisheria, nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi<br />
namba 1.<br />
Ikiwa unaamua kwenda kwa wazazi wako kuomba msaada, nenda kwenye Familia na uchukue<br />
kadi namba 2.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B6
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Huduma za Kisheria 1<br />
A7
Huduma za Kisheria 1<br />
Hujawahi kumtembelea mwanasheria hapo awali. Unaenda sehemu ambayo mke wa jirani yenu<br />
kuna mlinzi. Ni mkarimu na anakuruhusu uingie bila kukawia.<br />
Kwa sababu hukuwa na ahadi naye, unakaa kwenye mahali pa mapokezi ukisubiri kwa wasiwasi<br />
na anakwambia usubiri kidogo. Anachukua muda mrefu sana bila kurudi, na unakaa ukimsubiri kwa<br />
wasiwasi kubwa kiasi cha kutaka hata kutoroka uondoke.<br />
Unamuomba akufafanulie maana <strong>ya</strong> hayo, lakini anakupa makaratasi ukasome wewe mwenyewe na<br />
naye kama hujatoa taarifa. Akikutazama kutoka juu mpaka chini, anakwambia sio kazi rahisi na<br />
liwezekanalo kujilinda, lakini kwa sasa unaweza tu kwenda nyumbani ambako unatumai utakuwa<br />
salama…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B7
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Kazi 1<br />
A8
Kazi 1<br />
wanapoona baba <strong>ya</strong>o ameanza kurudi nyumbani akiwa amelewa. Hali <strong>ya</strong> kukosa amani inamwathiri<br />
ashughulikie mambo yote, huku wewe unakaa chini kuwazia jinsi <strong>ya</strong> kukuza biashara <strong>ya</strong>ko. Unaamua<br />
zaidi kwenye kazi <strong>ya</strong>ko. Unatunza n<strong>ya</strong>raka zako vizuri na kuzifungia nyumbani na Davinder haoneshi<br />
kuhisi chochote. Muda si mrefu wateja wako wameongezeka maradufu, na unaanza kupata faida<br />
kubwa.<br />
Kwa sababu hukusoma sana, unamuuliza jinsi <strong>ya</strong> kuweka akiba mteja wako mmoja ambaye anafan<strong>ya</strong><br />
kazi <strong>ya</strong> uhasibu na mara nyingi hununua nguo na zawadi nyingi kwa mke wake na bibi <strong>ya</strong>ke. Anakubali<br />
kukutana na wewe ili akusaidie kuhusu jinsi <strong>ya</strong> kutunza pesa zako, na kwa muda wa juma moja ta<strong>ya</strong>ri<br />
siri. Tabia <strong>ya</strong>ke bado haiaminiki, anaendelea kulala nje kwa siku kadhaa na hivyo faraja <strong>ya</strong>ko inakuwa<br />
kwa sababu huna uhakika juu <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>takayojiri siku zijazo…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
B8
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Familia 2<br />
A9
Familia 2<br />
jinsi ambavyo wivu wa mumeo umegeuka kuwa vita ndani <strong>ya</strong> nyumba na kwamba hata watoto<br />
wanamwogopa. Wanajitahidi kadri wawezavyo kukufariji na baba <strong>ya</strong>ko anakwambia kwamba<br />
<strong>ya</strong>ko anapiga ngumi mezani na kukwambia kwamba haiwezekani ufanye hivyo. Anasema kwamba<br />
Davinder ni mwanamume tajiri na kwamba hawana uwezo wa kurudisha mahari <strong>ya</strong>ke aliyokulipia.<br />
Davinder atakana kila kitu, au atakukasirikia zaidi kwa kuwahusisha wanafamilia.<br />
Ukitazama ndani <strong>ya</strong> nyumba ndogo <strong>ya</strong> wazazi wako, unajivuna kuona samani na zawadi nyingi<br />
ambazo wazazi wako wamepata tangu ulipoolewa, na moyoni mwako unakiri kwamba ni kweli<br />
Kwa mazungumzo uliyofan<strong>ya</strong> na wazazi wako unagundua kwamba hawawezi kukusaidia kutatua<br />
Ikiwa unaamua kutafuta ushauri wa kisheria, nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi<br />
namba 1.<br />
Ikiwa unataka kwenda kwenye Shirika Lisilo la Kiserikali linalosaidia wanawake, nenda kwenye<br />
Shirika Lisilo la Kiserikali na uchukue kadi namba 1.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
B9
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Shirika Lisilo la<br />
Kiserikali 1<br />
A10
Shirika Lisilo la Kiserikali 1<br />
unatumaini mambo <strong>ya</strong>takuwa mazuri.<br />
“Habari?” unauliza, hata huelewielewi nini kinaendelea. “Sawa, nikusaidieje?” mwanamke<br />
anakuuliza bila kuinua macho kukutazama, huku akiendelea kutazama kwenye kompyuta na kufan<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> vipeperushi na kufan<strong>ya</strong> miadi uje kwenye siku nyingine. Unamuuliza huduma gani zinatolewa<br />
hapo, lakini anakukata kauli na kuashiria mkono wake kwenye kipeperushi, “Huduma zetu zote ziko<br />
hapa. Tafadhali <strong>ya</strong>some ha<strong>ya</strong> na kisha unipigie simu.” Unavunjwa moyo kwa haraka aliyonayo na<br />
unamshukuru huku ukigeuka na vipeperushi v<strong>ya</strong>ko na unaondoka zako.<br />
mwanasheria.<br />
Nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi namba 1.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B10
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Songa Mbele 1<br />
A11
Songa Mbele 1<br />
Unajihisi kama mgeni ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong>ko mwenyewe ukipitapita hapa na pale, ukijaribu<br />
kumfurahisha Davinder na kujiepusha kumkwaza. Unajifunza kuzisoma hisia zake mara tu anapoingia<br />
na kuhakikisha watoto wako salama.<br />
Biashara <strong>ya</strong>ko polepole inaanza kuporomoka kwa sababu huwezi tena kukaa masaa mengi kwa<br />
mauzo <strong>ya</strong> dukani na wala kuleta bidhaa za matoleo map<strong>ya</strong>. Umelazimika kumwajiri msaidizi awe<br />
wako. Wateja wako wanalalamika kwamba hawakuoni sana, na unaacha kutengeneza nywele zako<br />
cha kulalamikia na ta<strong>ya</strong>ri ameshaanza kukukumbusha kwamba ulitoka kwenye ufukara, na angetaka<br />
angekurudisha kwenu.<br />
Maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nachoma moyoni, lakini unajitahidi ku<strong>ya</strong>vumilia, na unamshukuru Mungu kwamba<br />
zaidi hadi…<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B11
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Ukatili Watokea 3<br />
A12
Ukatili Watokea 3<br />
kwamba wasije wakaathirika na hali mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> hisia za baba <strong>ya</strong>o. Pia unatumaini kwamba huenda<br />
mkibaki peke yenu mtarejesha mapenzi ambayo awali mlifurahia wewe na Davinder.<br />
Jioni moja, unarudi nyumbani ukiwa umechelewa kwa sababu ulikuwa unahudumia mteja. Unanywea<br />
unapoona gari la Davinder ta<strong>ya</strong>ri limeegeshwa ndani, unahofu sana na unajiandaa kwa tuhuma<br />
hali nzuri. Hata amemwambia likizo msaidizi wa nyumbani. Akiwa anapika chakula ukipendacho,<br />
anakukumbusha viapo v<strong>ya</strong> ndoa ambavyo mliapa na anakupa mahaba matamu usiku huo.<br />
Asubuhi <strong>ya</strong>ke unaamka ukiwa umechelewa. Unajinyoosha kwenye mwanga wa jua, huku ukikumbuka<br />
na unaona vitu vyote vilivyokuwa kwenye mkoba wako vimemwagwa sakafuni. Kwenye makaratasi<br />
unakuta fomu zako za benki, na unakimbia kuvaa. Davinder haonekani, wala hapokei simu <strong>ya</strong>ko.<br />
dukani. Madirisha <strong>ya</strong>mebomolewa na kubaki wazi; mlango unaning’inia ukiwa vipande vipande; na<br />
nguo, viatu na bidhaa nyingine vikiwa vimebaki rundo la majivu. Harufu <strong>ya</strong> moto na moshi wake<br />
Ikiwa unakimbia kurudi kwa mwanasheria kutafuta msaada wa kisheria, nenda kwenye Huduma<br />
za Kisheria na uchukue kadi namba 2.<br />
uchukue kadi namba 1.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B12
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Polisi 1<br />
A13
Polisi 1<br />
kifamilia” na anakuelekeza uende kwenye chumba kingine kilichojaa watu.<br />
wa polisi anakazi nyingi, hawezi kusubiri zaidi, hivyo unasimulia habari zako kwa ufupi, ukimwambia<br />
anauliza akionyesha kutojali mateso <strong>ya</strong> kupigwa uliyo<strong>ya</strong>taja. “Unasemaje?” Umechanganyikiwa.<br />
“Duka lilikuwa la kwako au la mume wako?” anarudia. “Mimi, sisi, uh, nadhani...” huna uhakika<br />
useme nini. Mume wako alisaini mkataba mlipogangisha chumba cha duka. “Mama, sina uhakika ni<br />
mume wako ndiye amelichoma moto, hatuwezi kukusaidia.” Unaanza kumshawishi afande, “Lakini<br />
ishara <strong>ya</strong> kusitasita, na anakwambia nenda nyumbani kwa jamaa zako ili mlitatue suala hili kifamilia<br />
kwa faragha.<br />
hawawezi kukuhakikishia usalama, na sasa duka lako limechomwa moto, huna tena biashara <strong>ya</strong><br />
kukuwezesha kulipia huduma za kisheria kwa ajili <strong>ya</strong> kutaka talaka. Ila unajua kwamba, wewe na<br />
watoto wako inabidi muondoke mkae mbali na baba <strong>ya</strong>o. Lazima ufanye maamuzi.<br />
Ikiwa unaamua huwezi kulipia gharama za msaada wa kisheria na unataka kwenda kukaa na<br />
binamu <strong>ya</strong>ko kwa usalama wako, nenda kwenye Familia na uchukue kadi namba 3.<br />
namba 2.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B13
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Familia 3<br />
A14
Familia 3<br />
Unajisikia salama zaidi ukiwa nyumbani kwa binamu <strong>ya</strong>ko. Watoto wako wanahamia kwenye shule<br />
Baada <strong>ya</strong> muda, unaanzisha tena biashara <strong>ya</strong> kuuza nguo za wanawake. Mume wa binamu <strong>ya</strong>ko<br />
wengi zaidi. Wazazi wako wanapata taarifa kwamba umeshaondoka nyumbani kwako, na wanakusihi<br />
urudi kwa Davinder, lakini unawaambia kwamba wewe na watoto wako mna amani na furaha kukaa<br />
kwa binamu <strong>ya</strong>ko kuliko kwa Davinder.<br />
Binamu <strong>ya</strong>ko anasema Davinder amekuwa akimpigia simu kuomba kama unaweza kukubali<br />
mzungumze, lakini unakataa. Baada <strong>ya</strong> majuma machache kupita, ukiwa unatoka kuwachukua<br />
watoto kutoka shuleni, unamkuta Davinder akiwa amekaa jikoni kwa binamu <strong>ya</strong>ko akikusubiri. Mara<br />
unapopata nguvu kutoka kwenye mshtuko uliopata kwa kumuona, unapata ujasiri wa kumwamuru<br />
aondoke nyumbani hapo. Lakini haondoki na binamu <strong>ya</strong>ko anakusihi mtoke nje ukamsikilize. Davinder<br />
anakuomba muondoke naye kurudi nyumbani kwa sababu huwa anatamani sana kuwaona watoto.<br />
Unaanza kulia kwa uchungu. Binamu <strong>ya</strong>ko anakwambia mwanaume mwenye hekima ndiye huweza<br />
kumuomba radhi mke wake.<br />
Ikiwa unaamua kurudi nyumbani na Davinder, nenda kwenye Kurudi Nyumbani na uchukue kadi<br />
namba 1.<br />
biashara <strong>ya</strong>ko, nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 2.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B14
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Kurudi Nyumbani 1<br />
A15
Kurudi Nyumbani 1<br />
Huwezi kuukana ukweli kwa faraja unayopata baada <strong>ya</strong> kurudi kwenye mji ambao mmeujenga na<br />
Davinder. Watoto wenu wameonaa furaha kwa kurudi nyumbani na kuona wazazi wao wamerudiana.<br />
Unajisikia vizuri kuwa naye tena na kujulikana kama mke wa mtu.<br />
Unaachana na wazo la biashara <strong>ya</strong>ko daima, ukiapa kujitoa kwa ajili <strong>ya</strong> kutunza familia <strong>ya</strong>ko na kuwa<br />
mke bora na mama bora wa familia kadri iwezekenavyo. Unaandaa v<strong>ya</strong>kula mbalimbali ambavyo<br />
ninachukua masaa kuwa ta<strong>ya</strong>ri; unatengeneza bustani kuzunguka nyumba yenu; na unaandaa<br />
sherehe <strong>ya</strong> kukumbuka siku alipozaliwa Davinder pasipo kumjulisha ili kumstaajabisha, sherehe<br />
na kuwa mwenye wivu kama alivyokuwa, na anaanza kutotulia nyumbani, akikudharau na kukupiga<br />
mara kwa mara anaporudi nyumbani.<br />
Hasira zake zinawaka na kutulia. Hujui kama atarudia kutaka ngono kwa nguvu, kukagua simu <strong>ya</strong>ko, au<br />
kukuita majina maba<strong>ya</strong>, lakini unaamua kwamba hayo ni mambo mandogo tu kwa wewe kuvumilia<br />
ili kulinda ndoa <strong>ya</strong>ko, ili uheshimiwe na jamii inayokuzunguka, na pia kulinda hadhi <strong>ya</strong> jina la familia<br />
yenu. Ha<strong>ya</strong> ndiyo maisha ambayo umechagua kuishi, hivyo huna budi kufan<strong>ya</strong> vizuri iwezekanavyo<br />
kwa manufaa <strong>ya</strong> watoto wako.<br />
MWISHO<br />
Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>Sarah</strong>.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B15
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Kazi 2<br />
A16
Kazi 2<br />
Binamu <strong>ya</strong>ko anashtuka kwa maamuzi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kubaki na kuendelea kuishi nyumbani kwake.<br />
Anakwambia kwamba hueleweki na hujafan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi kumwacha Davinder aondoke. Hata<br />
wewe unajishangaa kwa kufan<strong>ya</strong> maamuzi hayo, huna namna <strong>ya</strong> kujisaidia bali unamkumbuka mume<br />
wako. Lakini unapowaangalia watoto na kukumbuka mambo ambayo Davinder alikuwa anawafanyia,<br />
unajua umefan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi.<br />
Siku hadi siku, unawaza kwenda kumuona mshauri kwenye Shirika lisilo la Kiserikali ambalo linatetea<br />
vyovyote kwa kufan<strong>ya</strong> hivyo. Isitoshe, hakuna mtu yeyote ambaye ameshafanikiwa kukusaidia.<br />
Unapata nguvu kihisia biashara <strong>ya</strong>ko inapoendelea kukua, lakini unajua haitakuwa rahisi kutunza<br />
watoto ukiwa peke <strong>ya</strong>ko. Hofu <strong>ya</strong> kwamba Davinder anaweza kukudhuru au anaweza kuja kuwachukua<br />
mara tu utakapopata pesa <strong>ya</strong> kutosha kulipia gharama hiyo.<br />
utapata talaka kisheria na kuwa huru kutoka kwa Davinder moja kwa moja.<br />
MWISHO<br />
Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>Sarah</strong>.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B16
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />
Huduma za Kisheria 2<br />
A17
Huduma za Kisheria 2<br />
Hujisikii vizuri hata kidogo kuanzisha mchakato mgumu wa talaka na unachoshwa na kiburi na jeuri<br />
pekee ndiyo suluhu <strong>ya</strong> shida zako. Gharama za kisheria ni kubwa sana, na inachukua muda mrefu<br />
Hatua ambayo ni ngumu kuliko zote ni kufungua mashitaka <strong>ya</strong> kisheria dhidi <strong>ya</strong> Davinder. Siku ileile<br />
nyumbani akute mmekwishaondoka. Mnaomba Mungu kwamba asije kuwapata tena.<br />
Pesa ambazo umeweka akiba ni kidogo na zinatosha tu kulipia kodi <strong>ya</strong> nyumba ndogo na pia<br />
kulipa ada <strong>ya</strong> shule kwa watoto wako. Hakuna kiasi chochote kinachosalia kukuwezesha kuanza<br />
biashara nyingine. Hujui utaendeleaje kulipia gharama za mwanasheria ili kukamilisha mchakato<br />
wa talaka <strong>ya</strong>ko. Wazazi wako hawana pesa, na hata wangekuwa nazo wasingekusaidia kwa sababu<br />
Unakaa nyumbani ukiwa hujui nini cha kufan<strong>ya</strong>, ukiwaza utawezaje kuwatunza watoto peke <strong>ya</strong>ko.<br />
huku ukishuhudia akiba <strong>ya</strong>ko inayozidi kupungua, lakini kuna kazi chache sana ambazo mwanamke<br />
kama wewe anaweza kufan<strong>ya</strong>.<br />
MWISHO<br />
Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>Sarah</strong>.<br />
<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B17