22.11.2014 Views

Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices

Hadithi ya Sarah Utambulisho - Raising Voices

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

<strong>Utambulisho</strong><br />

A1


<strong>Utambulisho</strong><br />

Jina langu naitwa <strong>Sarah</strong>. Nina umri wa miaka 38 na nina biashara ndogo <strong>ya</strong> kuuza nguo za wanawake.<br />

Duka langu liko karibu na jengo tunalomiliki mimi na mume wangu, Davinder. Maisha <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong><br />

kipindi cha nyuma ha<strong>ya</strong>kuwa mazuri kama <strong>ya</strong>livyo sasa. Wazazi wangu wanaishi karibu na mtaa ovyo,<br />

pembezoni mwa jiji. Siku zote wamekuwa wakifan<strong>ya</strong> kazi kwa bidii lakini pesa wanazopata hazijawahi<br />

kukidhi mahitaji <strong>ya</strong>o kwa kiwango cha kutosha.<br />

pamoja na binamu <strong>ya</strong>ngu. Tulipendana tangu tulipoonana kwa mara <strong>ya</strong> kwanza. Hakuona aibu<br />

walimpenda sana, na mama <strong>ya</strong>ngu aliniambia nisipoteze fursa hiyo kwa sababu sio wavulana wengi<br />

wa kada <strong>ya</strong>ke wanaweza kupenda kuoa msichana masikini kama mimi. Aliniomba niwe mchumba<br />

wake. Japokuwa nilikuwa bado mdogo, lakini maneno <strong>ya</strong> mama <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>lipen<strong>ya</strong> masikioni mwangu.<br />

Tulifan<strong>ya</strong> harusi kubwa sana na wazazi wangu walipokea zawadi nyingi.<br />

Davinder alikuwa na sifa zote nilizotamani mume wangu awe nazo. Alikuwa mwema, na alinipeleka<br />

kufan<strong>ya</strong>. Hapo ndipo nilipomwelezea Davinder mpango wangu wa kuanza biashara. Aliniunga mkono<br />

kutekeleza mpango wangu huo. Tulinunua eneo na muda si mrefu nilipata na wateja wengi sana<br />

kwenye dukani langu baada <strong>ya</strong> wao kupashana habari kuhusu nguo nzuri nilizouza. Nilivaa nguo<br />

mrembo na jinsi biashara <strong>ya</strong>ngu ilivyoendelea vizuri. Mwanzoni mume wangu ali<strong>ya</strong>furahia sana,<br />

lakini kadri nilivyozidi kuwa maarufu na wateja walivyozidi kuongezeka, alianza kuwa na wivu.<br />

Hapo ndipo mambo <strong>ya</strong>lipoanza kunipindukia…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

B1


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Ukatili Watokea 1<br />

A2


Ukatili Watokea 1<br />

Mtazamo wa Davinder juu <strong>ya</strong>ko na kazi <strong>ya</strong>ko unaendelea kubadilika. Anakwambia hakuna sababu<br />

<strong>ya</strong> wewe kuvaa vizuri na kuonekana mrembo unapokuwa kazini kwa sababu biashara imekwisha<br />

shamiri. Unamwambia kwamba ni vizuri kuonekana maridadi na kwamba kuvaa vizuri kunakufan<strong>ya</strong><br />

wewe mwenyewe ujisikie vizuri. Anapokulaumu kwamba una mahusiano mwanamume mwingine,<br />

unadhani anakutania.<br />

Davinder anaendelea kuja dukani kukutama mara kwa mara tena bila taarifa, anakagua simu <strong>ya</strong>ko<br />

na kukagua matumizi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> pesa. Hali hii inakera, lakini unapomwambia aache kufan<strong>ya</strong> hivyo,<br />

anakwambia yeye ni mwanamume na ana haki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> vyovyote anavyojisikia kufan<strong>ya</strong>. Hofu<br />

unabaki ukiwa hujui nini cha kufan<strong>ya</strong> na unajihisi kukataliwa. Unajaribu kununua nguo za ndani<br />

namba 1.<br />

Ikiwa unataka kuomba ushauri kutoka kwa wazazi wako, nenda kwenye Familia na uchukue kadi<br />

namba 1.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B2


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Marafiki na Majirani 1<br />

A3


Marafiki na Majirani 1<br />

kuona dhahiri kwamba huko kawaida kutokana na jinsi ulivyopunguza uzito wako. Wanakwambia<br />

umebadilika sana na umepoteza kunawiri kwako. Unawaambia kwamba mume wako amebadilika;<br />

unatembea na mwanamume mwingine. Wanashtuka kwa sababu wanakufahamu vizuri uaminifu<br />

wako.<br />

Wanakushika mkono na kusikiliza uchungu ulionao. Wanakwambia ni wanawake wachache sana<br />

cha kawaida kwa wanaume na kwamba hali itabadilika muda si mrefu. Mwingine anathubutu<br />

kuangalia maisha <strong>ya</strong>o wenyewe. Mmoja wao hafanyi kazi zaidi <strong>ya</strong> kubaki nyumbani na kulea watoto;<br />

mwingine anafan<strong>ya</strong> kazi na anapaswa kulipa kodi <strong>ya</strong> nyumba, ada za watoto na kugharamia mahitaji<br />

<strong>ya</strong> chakula; na mwingine ana mume ambaye si mwaminifu – hivi majuzi akiwa amemleta nyumbani<br />

mtoto wa nje <strong>ya</strong> ndoa. Ukilinganisha na wao, maisha <strong>ya</strong>ko sio maba<strong>ya</strong>. Lakini huwezi kujua kesho<br />

<strong>ya</strong>ke itakuwaje…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B3


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Familia 1<br />

A4


Familia 1<br />

furaha isiyo na kifani kwa kukuona na anapenda kujua kila kitu kuhusu wewe na biashara <strong>ya</strong>ko.<br />

Anaongea na wewe huku anaandaa chai na anapanga vitu sebuleni ili paonekane nadhifu. Baada<br />

<strong>ya</strong> kujadilia juu <strong>ya</strong> watoto pamoja na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ko, anakuuliza kuhusu Davinder, jambo ambalo<br />

linakufan<strong>ya</strong> kuhisi viba<strong>ya</strong>.<br />

kuwa na wanaume wengine. Unaelezea jinsi ambavyo hataki mshiriki ngono naye, hana muda wa<br />

kukaa na wewe wala watoto wake. Mamako anakukata kauli, “Kwa sababu <strong>ya</strong> kuwalinda watoto<br />

wasiwasi juu <strong>ya</strong>ko kwasababu anakupenda. Hivyo, nakusihi, nenda nyumbani ukaandae chakula cha<br />

jioni. Na uhakikishe hufanyi jambo lolote la kumkasirisha mumeo.”<br />

Hujisumbui kumjibu kwa sababu mama <strong>ya</strong>ko anaamini bado mnaishi maisha mazuri <strong>ya</strong> kawaida<br />

gari na pia kuwa na watoto ambao wanasomea shule za mijini.<br />

Kwa ku<strong>ya</strong>angalia maisha <strong>ya</strong>ko kwa mtazamo wa wazazi wako, unarudi nyumbani ukiwa unamshukuru<br />

Mungu kwa yote, lakini hisia hiyo haidumu kwa muda mrefu…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B4


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Ukatili Watokea 2<br />

A5


Ukatili Watokea 2<br />

-<br />

la cha jioni na kutotaja mambo <strong>ya</strong> kazi wala kuvaa mavazi mazuri mbele <strong>ya</strong> Davinder. Mume wako<br />

mnatazama taarifa <strong>ya</strong> habari, unapokea simu kutoka kwa mteja wako mmoja wa kiume. Kwa hasira,<br />

kesho <strong>ya</strong>ke jioni ambapo anaichukua simu <strong>ya</strong>ko na kuigonga ukutani. Anakwambia wewe huna<br />

maana, ulikubali kuolewa naye kwa sababu <strong>ya</strong> pesa zake. Anakukokota chumbani na kukusukumiza<br />

juu <strong>ya</strong> kitanda. Unajaribu kujikwamua lakini anakukandamizia kitandani na kukulazimisha kujamiana<br />

wakikuuliza baba <strong>ya</strong>o kaenda wapi. Anarudi baada <strong>ya</strong> siku chache akiwa na shada la maua na<br />

anakuomba msamaha. Anaahidi atakuwa baba na mume bora daima na anawaonyesha watoto<br />

ukarimu wa kila namna. Unapata wasiwasi sana kwa vurugu zake lakini hujui hata ufanye nini.<br />

namba 2.<br />

kadi namba 1.<br />

Ikiwa unataka kumpa Davinder fursa nyingine, nenda kwenye Songa Mbele na uchukue kadi<br />

namba 1.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B5


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Marafiki na Majirani 2<br />

A6


Marafiki na Majirani 2<br />

Majirani wamekuwa wakisikia kelele kutoka nyumbani kwenu. Wanakutazama kwa shaka kila<br />

wanapokuona. Wanaona majeraha na uvimbe. Mke na mume kutoka mlango jirani wanaposimama<br />

kuongea na wewe wanakuuliza umemfanyia nini cha kumkasirisha Davinder. Unajaribu kuwaelezea<br />

kwamba amekuwa na wivu pasipo sababu yoyote. Wanashindwa kuelewa kwa sababu siku zote<br />

Woga wako unakufan<strong>ya</strong> uwaombe wakisikia tena makelele waje washuhudie kwani unaogopa huenda<br />

akakufanyia jambo ba<strong>ya</strong>. Mwanaume anajibu hawezi kuingilia mambo binafsi <strong>ya</strong> mwanamume<br />

kisirisiri anakushauri utafute ushauri wa kisheria, akiongezea kwamba kwa ajili <strong>ya</strong> watoto wako<br />

inabidi ujihakikishie usalama. Huna fununu uanzie wapi kutafuta ushauri wa kisheria, kwa sababu<br />

waweze kukusaidia.<br />

Ikiwa unaamua kutafuta ushauri wa kisheria, nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi<br />

namba 1.<br />

Ikiwa unaamua kwenda kwa wazazi wako kuomba msaada, nenda kwenye Familia na uchukue<br />

kadi namba 2.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B6


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Huduma za Kisheria 1<br />

A7


Huduma za Kisheria 1<br />

Hujawahi kumtembelea mwanasheria hapo awali. Unaenda sehemu ambayo mke wa jirani yenu<br />

kuna mlinzi. Ni mkarimu na anakuruhusu uingie bila kukawia.<br />

Kwa sababu hukuwa na ahadi naye, unakaa kwenye mahali pa mapokezi ukisubiri kwa wasiwasi<br />

na anakwambia usubiri kidogo. Anachukua muda mrefu sana bila kurudi, na unakaa ukimsubiri kwa<br />

wasiwasi kubwa kiasi cha kutaka hata kutoroka uondoke.<br />

Unamuomba akufafanulie maana <strong>ya</strong> hayo, lakini anakupa makaratasi ukasome wewe mwenyewe na<br />

naye kama hujatoa taarifa. Akikutazama kutoka juu mpaka chini, anakwambia sio kazi rahisi na<br />

liwezekanalo kujilinda, lakini kwa sasa unaweza tu kwenda nyumbani ambako unatumai utakuwa<br />

salama…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B7


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Kazi 1<br />

A8


Kazi 1<br />

wanapoona baba <strong>ya</strong>o ameanza kurudi nyumbani akiwa amelewa. Hali <strong>ya</strong> kukosa amani inamwathiri<br />

ashughulikie mambo yote, huku wewe unakaa chini kuwazia jinsi <strong>ya</strong> kukuza biashara <strong>ya</strong>ko. Unaamua<br />

zaidi kwenye kazi <strong>ya</strong>ko. Unatunza n<strong>ya</strong>raka zako vizuri na kuzifungia nyumbani na Davinder haoneshi<br />

kuhisi chochote. Muda si mrefu wateja wako wameongezeka maradufu, na unaanza kupata faida<br />

kubwa.<br />

Kwa sababu hukusoma sana, unamuuliza jinsi <strong>ya</strong> kuweka akiba mteja wako mmoja ambaye anafan<strong>ya</strong><br />

kazi <strong>ya</strong> uhasibu na mara nyingi hununua nguo na zawadi nyingi kwa mke wake na bibi <strong>ya</strong>ke. Anakubali<br />

kukutana na wewe ili akusaidie kuhusu jinsi <strong>ya</strong> kutunza pesa zako, na kwa muda wa juma moja ta<strong>ya</strong>ri<br />

siri. Tabia <strong>ya</strong>ke bado haiaminiki, anaendelea kulala nje kwa siku kadhaa na hivyo faraja <strong>ya</strong>ko inakuwa<br />

kwa sababu huna uhakika juu <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>takayojiri siku zijazo…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

B8


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Familia 2<br />

A9


Familia 2<br />

jinsi ambavyo wivu wa mumeo umegeuka kuwa vita ndani <strong>ya</strong> nyumba na kwamba hata watoto<br />

wanamwogopa. Wanajitahidi kadri wawezavyo kukufariji na baba <strong>ya</strong>ko anakwambia kwamba<br />

<strong>ya</strong>ko anapiga ngumi mezani na kukwambia kwamba haiwezekani ufanye hivyo. Anasema kwamba<br />

Davinder ni mwanamume tajiri na kwamba hawana uwezo wa kurudisha mahari <strong>ya</strong>ke aliyokulipia.<br />

Davinder atakana kila kitu, au atakukasirikia zaidi kwa kuwahusisha wanafamilia.<br />

Ukitazama ndani <strong>ya</strong> nyumba ndogo <strong>ya</strong> wazazi wako, unajivuna kuona samani na zawadi nyingi<br />

ambazo wazazi wako wamepata tangu ulipoolewa, na moyoni mwako unakiri kwamba ni kweli<br />

Kwa mazungumzo uliyofan<strong>ya</strong> na wazazi wako unagundua kwamba hawawezi kukusaidia kutatua<br />

Ikiwa unaamua kutafuta ushauri wa kisheria, nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi<br />

namba 1.<br />

Ikiwa unataka kwenda kwenye Shirika Lisilo la Kiserikali linalosaidia wanawake, nenda kwenye<br />

Shirika Lisilo la Kiserikali na uchukue kadi namba 1.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

B9


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Shirika Lisilo la<br />

Kiserikali 1<br />

A10


Shirika Lisilo la Kiserikali 1<br />

unatumaini mambo <strong>ya</strong>takuwa mazuri.<br />

“Habari?” unauliza, hata huelewielewi nini kinaendelea. “Sawa, nikusaidieje?” mwanamke<br />

anakuuliza bila kuinua macho kukutazama, huku akiendelea kutazama kwenye kompyuta na kufan<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> vipeperushi na kufan<strong>ya</strong> miadi uje kwenye siku nyingine. Unamuuliza huduma gani zinatolewa<br />

hapo, lakini anakukata kauli na kuashiria mkono wake kwenye kipeperushi, “Huduma zetu zote ziko<br />

hapa. Tafadhali <strong>ya</strong>some ha<strong>ya</strong> na kisha unipigie simu.” Unavunjwa moyo kwa haraka aliyonayo na<br />

unamshukuru huku ukigeuka na vipeperushi v<strong>ya</strong>ko na unaondoka zako.<br />

mwanasheria.<br />

Nenda kwenye Huduma za Kisheria na uchukue kadi namba 1.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B10


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Songa Mbele 1<br />

A11


Songa Mbele 1<br />

Unajihisi kama mgeni ndani <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong>ko mwenyewe ukipitapita hapa na pale, ukijaribu<br />

kumfurahisha Davinder na kujiepusha kumkwaza. Unajifunza kuzisoma hisia zake mara tu anapoingia<br />

na kuhakikisha watoto wako salama.<br />

Biashara <strong>ya</strong>ko polepole inaanza kuporomoka kwa sababu huwezi tena kukaa masaa mengi kwa<br />

mauzo <strong>ya</strong> dukani na wala kuleta bidhaa za matoleo map<strong>ya</strong>. Umelazimika kumwajiri msaidizi awe<br />

wako. Wateja wako wanalalamika kwamba hawakuoni sana, na unaacha kutengeneza nywele zako<br />

cha kulalamikia na ta<strong>ya</strong>ri ameshaanza kukukumbusha kwamba ulitoka kwenye ufukara, na angetaka<br />

angekurudisha kwenu.<br />

Maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nachoma moyoni, lakini unajitahidi ku<strong>ya</strong>vumilia, na unamshukuru Mungu kwamba<br />

zaidi hadi…<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B11


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Ukatili Watokea 3<br />

A12


Ukatili Watokea 3<br />

kwamba wasije wakaathirika na hali mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> hisia za baba <strong>ya</strong>o. Pia unatumaini kwamba huenda<br />

mkibaki peke yenu mtarejesha mapenzi ambayo awali mlifurahia wewe na Davinder.<br />

Jioni moja, unarudi nyumbani ukiwa umechelewa kwa sababu ulikuwa unahudumia mteja. Unanywea<br />

unapoona gari la Davinder ta<strong>ya</strong>ri limeegeshwa ndani, unahofu sana na unajiandaa kwa tuhuma<br />

hali nzuri. Hata amemwambia likizo msaidizi wa nyumbani. Akiwa anapika chakula ukipendacho,<br />

anakukumbusha viapo v<strong>ya</strong> ndoa ambavyo mliapa na anakupa mahaba matamu usiku huo.<br />

Asubuhi <strong>ya</strong>ke unaamka ukiwa umechelewa. Unajinyoosha kwenye mwanga wa jua, huku ukikumbuka<br />

na unaona vitu vyote vilivyokuwa kwenye mkoba wako vimemwagwa sakafuni. Kwenye makaratasi<br />

unakuta fomu zako za benki, na unakimbia kuvaa. Davinder haonekani, wala hapokei simu <strong>ya</strong>ko.<br />

dukani. Madirisha <strong>ya</strong>mebomolewa na kubaki wazi; mlango unaning’inia ukiwa vipande vipande; na<br />

nguo, viatu na bidhaa nyingine vikiwa vimebaki rundo la majivu. Harufu <strong>ya</strong> moto na moshi wake<br />

Ikiwa unakimbia kurudi kwa mwanasheria kutafuta msaada wa kisheria, nenda kwenye Huduma<br />

za Kisheria na uchukue kadi namba 2.<br />

uchukue kadi namba 1.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B12


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Polisi 1<br />

A13


Polisi 1<br />

kifamilia” na anakuelekeza uende kwenye chumba kingine kilichojaa watu.<br />

wa polisi anakazi nyingi, hawezi kusubiri zaidi, hivyo unasimulia habari zako kwa ufupi, ukimwambia<br />

anauliza akionyesha kutojali mateso <strong>ya</strong> kupigwa uliyo<strong>ya</strong>taja. “Unasemaje?” Umechanganyikiwa.<br />

“Duka lilikuwa la kwako au la mume wako?” anarudia. “Mimi, sisi, uh, nadhani...” huna uhakika<br />

useme nini. Mume wako alisaini mkataba mlipogangisha chumba cha duka. “Mama, sina uhakika ni<br />

mume wako ndiye amelichoma moto, hatuwezi kukusaidia.” Unaanza kumshawishi afande, “Lakini<br />

ishara <strong>ya</strong> kusitasita, na anakwambia nenda nyumbani kwa jamaa zako ili mlitatue suala hili kifamilia<br />

kwa faragha.<br />

hawawezi kukuhakikishia usalama, na sasa duka lako limechomwa moto, huna tena biashara <strong>ya</strong><br />

kukuwezesha kulipia huduma za kisheria kwa ajili <strong>ya</strong> kutaka talaka. Ila unajua kwamba, wewe na<br />

watoto wako inabidi muondoke mkae mbali na baba <strong>ya</strong>o. Lazima ufanye maamuzi.<br />

Ikiwa unaamua huwezi kulipia gharama za msaada wa kisheria na unataka kwenda kukaa na<br />

binamu <strong>ya</strong>ko kwa usalama wako, nenda kwenye Familia na uchukue kadi namba 3.<br />

namba 2.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B13


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Familia 3<br />

A14


Familia 3<br />

Unajisikia salama zaidi ukiwa nyumbani kwa binamu <strong>ya</strong>ko. Watoto wako wanahamia kwenye shule<br />

Baada <strong>ya</strong> muda, unaanzisha tena biashara <strong>ya</strong> kuuza nguo za wanawake. Mume wa binamu <strong>ya</strong>ko<br />

wengi zaidi. Wazazi wako wanapata taarifa kwamba umeshaondoka nyumbani kwako, na wanakusihi<br />

urudi kwa Davinder, lakini unawaambia kwamba wewe na watoto wako mna amani na furaha kukaa<br />

kwa binamu <strong>ya</strong>ko kuliko kwa Davinder.<br />

Binamu <strong>ya</strong>ko anasema Davinder amekuwa akimpigia simu kuomba kama unaweza kukubali<br />

mzungumze, lakini unakataa. Baada <strong>ya</strong> majuma machache kupita, ukiwa unatoka kuwachukua<br />

watoto kutoka shuleni, unamkuta Davinder akiwa amekaa jikoni kwa binamu <strong>ya</strong>ko akikusubiri. Mara<br />

unapopata nguvu kutoka kwenye mshtuko uliopata kwa kumuona, unapata ujasiri wa kumwamuru<br />

aondoke nyumbani hapo. Lakini haondoki na binamu <strong>ya</strong>ko anakusihi mtoke nje ukamsikilize. Davinder<br />

anakuomba muondoke naye kurudi nyumbani kwa sababu huwa anatamani sana kuwaona watoto.<br />

Unaanza kulia kwa uchungu. Binamu <strong>ya</strong>ko anakwambia mwanaume mwenye hekima ndiye huweza<br />

kumuomba radhi mke wake.<br />

Ikiwa unaamua kurudi nyumbani na Davinder, nenda kwenye Kurudi Nyumbani na uchukue kadi<br />

namba 1.<br />

biashara <strong>ya</strong>ko, nenda kwenye Kazi na uchukue kadi namba 2.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B14


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Kurudi Nyumbani 1<br />

A15


Kurudi Nyumbani 1<br />

Huwezi kuukana ukweli kwa faraja unayopata baada <strong>ya</strong> kurudi kwenye mji ambao mmeujenga na<br />

Davinder. Watoto wenu wameonaa furaha kwa kurudi nyumbani na kuona wazazi wao wamerudiana.<br />

Unajisikia vizuri kuwa naye tena na kujulikana kama mke wa mtu.<br />

Unaachana na wazo la biashara <strong>ya</strong>ko daima, ukiapa kujitoa kwa ajili <strong>ya</strong> kutunza familia <strong>ya</strong>ko na kuwa<br />

mke bora na mama bora wa familia kadri iwezekenavyo. Unaandaa v<strong>ya</strong>kula mbalimbali ambavyo<br />

ninachukua masaa kuwa ta<strong>ya</strong>ri; unatengeneza bustani kuzunguka nyumba yenu; na unaandaa<br />

sherehe <strong>ya</strong> kukumbuka siku alipozaliwa Davinder pasipo kumjulisha ili kumstaajabisha, sherehe<br />

na kuwa mwenye wivu kama alivyokuwa, na anaanza kutotulia nyumbani, akikudharau na kukupiga<br />

mara kwa mara anaporudi nyumbani.<br />

Hasira zake zinawaka na kutulia. Hujui kama atarudia kutaka ngono kwa nguvu, kukagua simu <strong>ya</strong>ko, au<br />

kukuita majina maba<strong>ya</strong>, lakini unaamua kwamba hayo ni mambo mandogo tu kwa wewe kuvumilia<br />

ili kulinda ndoa <strong>ya</strong>ko, ili uheshimiwe na jamii inayokuzunguka, na pia kulinda hadhi <strong>ya</strong> jina la familia<br />

yenu. Ha<strong>ya</strong> ndiyo maisha ambayo umechagua kuishi, hivyo huna budi kufan<strong>ya</strong> vizuri iwezekanavyo<br />

kwa manufaa <strong>ya</strong> watoto wako.<br />

MWISHO<br />

Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>Sarah</strong>.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B15


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Kazi 2<br />

A16


Kazi 2<br />

Binamu <strong>ya</strong>ko anashtuka kwa maamuzi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kubaki na kuendelea kuishi nyumbani kwake.<br />

Anakwambia kwamba hueleweki na hujafan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi kumwacha Davinder aondoke. Hata<br />

wewe unajishangaa kwa kufan<strong>ya</strong> maamuzi hayo, huna namna <strong>ya</strong> kujisaidia bali unamkumbuka mume<br />

wako. Lakini unapowaangalia watoto na kukumbuka mambo ambayo Davinder alikuwa anawafanyia,<br />

unajua umefan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi.<br />

Siku hadi siku, unawaza kwenda kumuona mshauri kwenye Shirika lisilo la Kiserikali ambalo linatetea<br />

vyovyote kwa kufan<strong>ya</strong> hivyo. Isitoshe, hakuna mtu yeyote ambaye ameshafanikiwa kukusaidia.<br />

Unapata nguvu kihisia biashara <strong>ya</strong>ko inapoendelea kukua, lakini unajua haitakuwa rahisi kutunza<br />

watoto ukiwa peke <strong>ya</strong>ko. Hofu <strong>ya</strong> kwamba Davinder anaweza kukudhuru au anaweza kuja kuwachukua<br />

mara tu utakapopata pesa <strong>ya</strong> kutosha kulipia gharama hiyo.<br />

utapata talaka kisheria na kuwa huru kutoka kwa Davinder moja kwa moja.<br />

MWISHO<br />

Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>Sarah</strong>.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B16


<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong><br />

Huduma za Kisheria 2<br />

A17


Huduma za Kisheria 2<br />

Hujisikii vizuri hata kidogo kuanzisha mchakato mgumu wa talaka na unachoshwa na kiburi na jeuri<br />

pekee ndiyo suluhu <strong>ya</strong> shida zako. Gharama za kisheria ni kubwa sana, na inachukua muda mrefu<br />

Hatua ambayo ni ngumu kuliko zote ni kufungua mashitaka <strong>ya</strong> kisheria dhidi <strong>ya</strong> Davinder. Siku ileile<br />

nyumbani akute mmekwishaondoka. Mnaomba Mungu kwamba asije kuwapata tena.<br />

Pesa ambazo umeweka akiba ni kidogo na zinatosha tu kulipia kodi <strong>ya</strong> nyumba ndogo na pia<br />

kulipa ada <strong>ya</strong> shule kwa watoto wako. Hakuna kiasi chochote kinachosalia kukuwezesha kuanza<br />

biashara nyingine. Hujui utaendeleaje kulipia gharama za mwanasheria ili kukamilisha mchakato<br />

wa talaka <strong>ya</strong>ko. Wazazi wako hawana pesa, na hata wangekuwa nazo wasingekusaidia kwa sababu<br />

Unakaa nyumbani ukiwa hujui nini cha kufan<strong>ya</strong>, ukiwaza utawezaje kuwatunza watoto peke <strong>ya</strong>ko.<br />

huku ukishuhudia akiba <strong>ya</strong>ko inayozidi kupungua, lakini kuna kazi chache sana ambazo mwanamke<br />

kama wewe anaweza kufan<strong>ya</strong>.<br />

MWISHO<br />

Huu ndio mwisho wa hadithi <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong>. Tumia dakika chache kukaa kim<strong>ya</strong> na utafakari tajiriba <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>Sarah</strong>.<br />

<strong>Hadithi</strong> <strong>ya</strong> <strong>Sarah</strong> B17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!