orodha ya shughuli za leo mkutano wa tisa kikao cha sita 6 ...
orodha ya shughuli za leo mkutano wa tisa kikao cha sita 6 ...
orodha ya shughuli za leo mkutano wa tisa kikao cha sita 6 ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
68. MHESHIMIWA HALIMA JAMES MDEE<br />
(KAWE):<br />
Atamuuli<strong>za</strong> Mheshimi<strong>wa</strong> Waziri Mkuu:- Shule <strong>za</strong><br />
umma zinakabili<strong>wa</strong> na <strong>cha</strong>ngamoto nyingi iki<strong>wa</strong><br />
ni pamoja na upungufu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>limu, mada<strong>wa</strong>ti,<br />
vitabu, vifaa v<strong>ya</strong> TEHAMA na Maabara:-<br />
Je, Serikali ina mikakati gani mahsusi <strong>ya</strong> muda<br />
mfupi na mrefu kukabiliana na <strong>cha</strong>ngamoto hizo.<br />
WIZARA YA UCHUKUZI:<br />
69. MHESHIMIWA JOYCE JOHN MUKYA<br />
(VITI MAALUM):<br />
Atamuuli<strong>za</strong> Mheshimi<strong>wa</strong> Waziri <strong>wa</strong> Uchukuzi:<br />
Mwezi Agosti, 2012 Serikali ilitanga<strong>za</strong> kuzuia<br />
utaratibu <strong>wa</strong> abiria kuchimba da<strong>wa</strong> njiani <strong>wa</strong>kati<br />
<strong>wa</strong>naposafiri na mabasi <strong>ya</strong> abiria:-<br />
(a) Je, ni sheria gani ilitumika kutoa tamko hilo;<br />
(b) Je, Serikali imeweka miundombinu gani<br />
mbadala kuwezesha huduma hiyo muhimu<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>safiri;<br />
3