12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umegusa kidogo juu ya Madhehebu ya Dini. Natakajamani tuseme ukweli, Rais alipolisema lile wakati alipokuwa amealikwa kwenye shughuli ile ya dini,hakuwa a<strong>na</strong>yashitaki Madhehebu ya Dini yote kwamba, ni watu wa<strong>na</strong>ojihusisha <strong>na</strong> dawa zakulevya, hata kidogo! Alitumia <strong>na</strong>fasi ile kwa sababu, liko dhehebu moja <strong>na</strong> lilikuwa reported sa<strong>na</strong>kwenye gazeti <strong>na</strong> wote tu<strong>na</strong>jua; kidhehebu kidogo sa<strong>na</strong>, ambacho kilijitokeza <strong>na</strong> askofu mmojahivi, Mswahili, Mswahili hivi, kumbe mambo yake ni kutaka kufi<strong>cha</strong>ma tu kwa kificho <strong>cha</strong> dini.Alikuwa a<strong>na</strong>toa angalizo ni caution tu! Lakini hakuwa a<strong>na</strong>-accuse Madhehebu, Madhehebumengi ni mazuri, hawafanyi hizo biashara hata kidogo, lakini alitaka tu wajue kwamba, baadhiyao hasa vikanisa vidogovidogo vi<strong>na</strong>weza kuwa vi<strong>na</strong>tumia fursa hiyo vibaya. That’s the messageambayo niliio<strong>na</strong> alitaka Viongozi wa Madhehebu ya Dini waipate <strong>na</strong> waisadie Serikali kuwezakusimamia jambo hili kwa pamoja.Vile vile <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> nimegusa mambo mengi. Utaniwia radhi kamanimesema mengi kuliko ulivyotegemea. Nakushukuru sa<strong>na</strong>. (Makofi)NAIBU SPIKA: Tu<strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri Mkuu, kama heshima imeshuka, lakinisio ya Bunge hili. Nakushukuru sa<strong>na</strong> kwa majibu mazuri kwa kipindi hiki muhimu sa<strong>na</strong> kwa nchi yetu,majibu mazuri sa<strong>na</strong> ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, tu<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. (Makofi)Tulikuwa <strong>na</strong> wauliza maswali tisa, saba wameweza kupata <strong>na</strong>fasi ya kuuliza, wawili kwabahati mbaya muda wetu umekwisha. Katibu.MAS<strong>WA</strong>LI YA KA<strong>WA</strong>IDAMBUNGE FULANI: Mheshimiwa Naibu Spika, Taarifa.NAIBU SPIKA: Baada ya Kipindi <strong>cha</strong> Maswali, ndio nitapokea Taarifa. Maswali ya Kawaida,swali la kwanza ni la Mheshimiwa Rachel Mashishanga Robert.MHE. RACHEL M. ROBERT aliuliza:-Na. 402Matumizi Mabaya <strong>na</strong> Wizi wa Fedha Za UmmaTaarifa ya CAG <strong>na</strong> Kamati ya Bunge ya LAAC ya 2007/2008, 2008/2009 i<strong>na</strong>oneshamatumizi mabaya <strong>na</strong> wizi wa fedha za umma:-(a) Je, ni Halmashauri zipi (kwa maji<strong>na</strong>) 10, zi<strong>na</strong>ongoza kwa matumizi mabaya (yaai<strong>na</strong> gani) ya fedha za umma <strong>na</strong> Serikali imechukua hatua gani kati ya Januari 2008 hadi 30Disemba 2010, kwa waliohusika kusababisha matumizi mabaya <strong>na</strong> wizi huo?(b)Je, Serikali i<strong>na</strong>zichukulia hatua gani Halmashauri hizo?(c) Katika Manispaa ya Ilala, yapo matumizi ya miradi hewa ya sh. 180,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa zaha<strong>na</strong>ti ambazo hazipo kwenye Kata zake. Je, Serikali i<strong>na</strong> taarifa hiyo? Kama ipotaarifa, itachukua hatua gani kwa Halmashauri hiyo kwa kutumia kiasi hicho <strong>cha</strong> fedha kwa miradihewa?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI, OFISI YA <strong>WA</strong>ZIRI MKUU (TA<strong>WA</strong>LA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - ELIMU)alijibu :-Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, <strong>na</strong>omba kujibu swali laMheshimiwa Rachel Mashishanga Robert, Mbunge wa Viti Maalum, lenye sehemu tatu, kwapamoja kama ifuatavyo:-7


(a) Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri zilizobainika zaidi kuwa <strong>na</strong> matumizi yafedha yasiyoridhisha ni pamoja <strong>na</strong> Halmashauri za Wilaya za Kishapu, Kilosa, Bagamoyo,Mkuranga, Ileje, Geita, Rombo, Tarime, Bunda <strong>na</strong> Rorya.(b) Mheshimiwa Naibu Spika, hatua zi<strong>na</strong>zochukuliwa kwa watumishi wotewa<strong>na</strong>osababisha matumizi mabaya ya fedha za umma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nipamoja <strong>na</strong> kufanyiwa uchunguzi <strong>na</strong> vyombo vya kisheria kama TAKUKURU, kupewa onyo kali,kushushwa ngazi za mishahara, kuvuliwa madaraka <strong>na</strong> kufikishwa Mahakamani.Aidha, Kamati ya kudumu ya Bunge, ya Hesabu za Serikali za Mitaa, hupendekeza kwaWaziri mwenye dhama<strong>na</strong> ya Serikali za Mitaa kwa watumishi wote waliosababisha ubadhirifu,kukatwa asilimia fulani ya mshahara wa mtumishi ili kufidia upotevu huo.(c) Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu kuwepo kwa miradi hewa, Halmashauri yaManispaa ya Ilala, wakati wa maandalizi ya taarifa ya mafanikio ya Serikali katika mwaka 2005ilifanya kosa la kiuandishi kwa kuhusisha Mtaa wa Mogo katika Kata ya Kipawa kuwa <strong>na</strong> Zaha<strong>na</strong>ti.Ukweli ni kwamba, Halmashauri hii imetekeleza miradi saba ya ujenzi wa zaha<strong>na</strong>ti katika kipindihicho. Hivyo, <strong>na</strong>thibitisha kuwa zaha<strong>na</strong>ti ya Mogo haipo <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> mipango ya hivi karibuni yakujenga zaha<strong>na</strong>ti katika Mtaa huu kwa mujibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Manispaa ya Ilala.MHE. RACHEL M. ROBERT: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Nashukuru MheshimiwaWaziri, ameitaja Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kuwa ni ki<strong>na</strong>ra wa ubadhirifu wa fedha <strong>na</strong>Mkaguzi wa Hesabu za Serikali mwaka 2009/2010, ameendelea kuitaja Halmashauri hii ya Kishapu<strong>na</strong> Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Balele, alipigia kelele sa<strong>na</strong> hili jambo <strong>na</strong> baada ya kulipigiakelele, baadhi ya watumishi walihamishwa. Sasa <strong>na</strong>taka kuiuliza Serikali, kwa nini imekuwa <strong>na</strong> huuutaratibu wa kuwahamisha watumishi wa Halmashauri, hasa wa<strong>na</strong>ooneka<strong>na</strong> wamefanyaubadhirifu kwenye Halmashauri?Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, katika majibu yake ya msingi, Mheshimiwa Waziri,amekubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimi kwamba, zaha<strong>na</strong>ti ya Mogo katika manispaa ya Ilala iliyoko katika Jimbola Segerea, haipo. Lakini Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya TAMISEMI <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>lo gazeti hapa laJanuari, alikubali kwamba, hizi pesa ziliidhinishwa <strong>na</strong> zikatumika. Sasa <strong>na</strong>taka kujua ni aki<strong>na</strong> <strong>na</strong>niwalizitumia <strong>na</strong> zilitumika kwa ajili ya nini?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI OFISI YA <strong>WA</strong>ZIRI MKUU (TA<strong>WA</strong>LA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - ELIMU):Mheshimiwa Naibu Spika, ubadhirifu wa fedha za Halmashauri ya Kishapu ambao piaulishafanyiwa ukaguzi, lakini pia Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alishalitoa kauli <strong>na</strong>taka nikujulishe tuMheshimiwa Mbunge kwamba hatua dhidi ya wale wote ambao wa<strong>na</strong>bainika kufanya ubadhirifuwa fedha zi<strong>na</strong>endelea kuchukuliwa, wala si tu kwa kuwahamisha watendaji lakini pia kwa kufanyauchukuzi <strong>na</strong> pindi i<strong>na</strong>pobainika hayo huwa hatua zi<strong>na</strong>chukuliwa. Kwa mfano, katika kipindi <strong>cha</strong>mwaka 2006 mpaka 2010 tu<strong>na</strong> jumla ya Halmashauri 30 ambazo hatua mbalimbali za kinidhamuzilichukuliwa kwa Wakurugenzi wao. Wengine wameshavuliwa madaraka lakini wengine kesi zaozi<strong>na</strong>endelea Mahakamani <strong>na</strong> mi<strong>cha</strong>kato ya kinidhamu i<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> wale walioshinda kesilabda wale ndiyo ambao wa<strong>na</strong>weza kuhamishwa kupelekwa mahali pengine. Lakini kama ku<strong>na</strong>tuhuma yoyote ile adhabu kali i<strong>na</strong>chukuliwa. Lakini pia kwa watumishi wa kawaida ambao piawa<strong>na</strong>ingia kwenye ubadhirifu wa mali lakini pia <strong>na</strong> kutokuwa <strong>na</strong> nidhamu mahali pa kazi <strong>na</strong>o piahatua mbalimbali zi<strong>na</strong>chukuliwa.Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, ya<strong>na</strong>yozungumzia fedha za Halmashauri yaManispaa, ni kweli kwamba Naibu Katibu Mkuu aliwahi kutoa taarifa, sasa <strong>na</strong>taka nikupe taarifakwamba katika kipindi kile kulikuwa <strong>na</strong> fedha jumla ya bilioni 1,206,000,338 ambazo zilikuwazimetengwa kuendesha miradi mbalimbali kwenye eneo lile. Nilipozungumza kwamba ku<strong>na</strong> tatizola maandishi ambalo lilijitokeza <strong>na</strong> kwamba haku<strong>na</strong> zaha<strong>na</strong>ti kwenye Mtaa wa Mogo, ni kwambaHalmashauri ilitumia zile fedha zote zilizokuwa zimetengwa kupitia Baraza la Madiwani <strong>na</strong> fedhazote zilitumika katika Kata ya Ukonga, Kata ya Segerea, Kinyerezi, Kivule <strong>na</strong> Chanika <strong>na</strong> miradiyote imebainishwa <strong>na</strong> jumla ya fedha imekwenda <strong>na</strong> ile ambayo iliridhiwa. Kwa hiyo, kuingia kwazaha<strong>na</strong>ti ya Mogo ilikuwa ni kwa makosa kama ambavyo nimeeleza. Ahsante.8


NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> UCHUKUZI: Mheshimiwa Naibu Spika, makubaliano ya usafiri wa angahayawezi kutukataza sisi tusimruhusu mtu ambaye a<strong>na</strong> ndege a<strong>na</strong>taka kuja <strong>na</strong>yo hapa. Kwanza,tu<strong>na</strong>pata malipo kwa kutua ile ndege <strong>na</strong> kupaki ile ndege <strong>na</strong> atanunua mafuta hapa lakini piaa<strong>na</strong>pofanya hivyo a<strong>na</strong>tutangazia kule wa<strong>na</strong>kotoka ili watalii wengi zaidi waje. Kwa hiyo tu<strong>na</strong>mpaoption yule mtalii kama akitaka kutumia usafiri wa ndani hapa pia tu<strong>na</strong>ruhusu, wazo ni zuri lakiniSheria za Usafiri wa Anga, hazitukatazi kumruhusu mtu kuja <strong>na</strong> ndege yake, in fact mapatoya<strong>na</strong>kuwa mengi zaidi kwa kufanya hivyo.MHE. LUCY P. OWENYA aliuliza:-Na. 404Utengenezaji <strong>na</strong> Uuzaji Vyakula KiholelaKumekuwepo <strong>na</strong> utengenezaji <strong>na</strong> uuzaji wa vyakula kiholela jambo ambalo ni hatari kwawalaji kama haku<strong>na</strong> uangalifu katika zoezi hili:-Je, ni kwa jinsi gani mamlaka husika (TFDA) i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwa kutoa elimu au kuzuiaukiukwaji wa taratibu <strong>na</strong> kanuni za utengenezaji wa vyakula?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> AFYA NA USTAWI <strong>WA</strong> JAMII alijibu:-Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kujibu swali la Mheshimiwa Lucy Fidelis Owenya, VitiMaalum kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Naibu Spika, usindikaji, hifadhi, usafirishaji wa <strong>cha</strong>kula u<strong>na</strong>simamiwa kwamujibu wa Sheria ya Chakula, Dawa <strong>na</strong> Vipodozi Na. 1 ya mwaka 2003 pamoja <strong>na</strong> kanuni zilizochini ya Sheria hiyo. Lengo ni kuhakikisha kuwa <strong>cha</strong>kula ki<strong>na</strong>chowafikia walaji ni salama ili kulindaafya zao.Mheshimiwa Naibu Spika, kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kukua kwa sekta isiyo rasmi, kumekuwa <strong>na</strong>ongezeko la wafanyabiashara wa<strong>na</strong>otengeneza <strong>na</strong> kuuza vyakula bila kuzingatia mashartiyaliyowekwa chini ya sheria ya Chakula, Dawa <strong>na</strong> Vipodozi ya mwaka 2003. Pamoja <strong>na</strong> kuwepokwa sheria hiyo kumekuwepo <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto ya wajasiriamali wadogo wa vyakulawa<strong>na</strong>oshindwa kutimiza masharti ya biashara kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mitaji midogo waliyokuwa <strong>na</strong>yo.Mheshimiwa Naibu Spika, baadhi ya mbinu zi<strong>na</strong>zotumiwa <strong>na</strong> TFDA kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamoto hiyo <strong>na</strong> kuimarisha usalama <strong>na</strong> ubora wa vyakula vi<strong>na</strong>vyozalishwa <strong>na</strong> sekta isiyorasmi ni kama ifuatavyo:-(i) Kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wa<strong>na</strong>ojihusisha <strong>na</strong> uzalishaji wa vyakula hususanviwanda vidogo, juu ya mbinu za utayarishaji wa <strong>cha</strong>kula salama <strong>na</strong> bora, hata katika mazingiramagumu. Mafunzo haya hutolewa kwa ushirikiano <strong>na</strong> SIDO. Aidha, elimu hutolewa kupitiamaonesho mbalimbali kama wiki ya Utumishi wa Umma, Sabasaba <strong>na</strong> Nane<strong>na</strong>ne.(ii) Kutoa elimu kwa umma kupitia vyombo vya habari juu ya misingi ya usindikajibora, kanuni za usafi <strong>na</strong> matakwa ya sheria katika uanzishwaji wa biashara za usindikaji kwa lengola kuwapa wa<strong>na</strong>nchi uelewa wa kubaini vyakula ambavyo vi<strong>na</strong>weza kuhatarisha afya zao.(iii) Kuendesha ukaguzi wa mara kwa mara kwenye maeneo ya kutengeneza <strong>na</strong>kuuza vyakula <strong>na</strong> pale i<strong>na</strong>pooneka<strong>na</strong> mazingira ni tishio kwa afya ya jamii biashara hufungwa <strong>na</strong>hatua zaidi za kisheria kuchukuliwa.(iv) Ili kuimarisha ukaguzi huu TFDA imeanzisha Ofisi za Kanda, Kanda za Ziwa,Kaskazini, Mashariki <strong>na</strong> Nyanda za Juu Kusini. Matarajio ni kuongeza Ofisi za Kanda ya Kati,Magharibi <strong>na</strong> Kusini. Hatua hii itaongeza udhibiti wa bidhaa ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> vyakula. Aidha,mamlaka i<strong>na</strong>kasimu baadhi ya majukumu kwenye ngazi ya Halmashauri kwa lengo la kuongezaufanisi.<strong>11</strong>


Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kutoa maelezo hayo, <strong>na</strong>toa rai kwa wa<strong>na</strong>nchi wotepamoja <strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge, kutoa taarifa za ukiukwaji wa sheria kwenye Ofisi ya TFDAMakao Makuu, Ofisi za Kanda <strong>na</strong> Ofisi za Afya za Mkoa <strong>na</strong> Halmashauri, wa<strong>na</strong>pogundua ukiukwajiwa sheria ili kuwezesha mamlaka ya kuchukua hatua zi<strong>na</strong>zostahili <strong>na</strong> kulinda afya za wa<strong>na</strong>nchi.Aidha, <strong>na</strong>washukuru wote ambao wamekuwa wakitoa taarifa kwani kwa kufanya hivyo, wa<strong>na</strong>toam<strong>cha</strong>ngo <strong>cha</strong>nya katika shughuli za udhibiti <strong>na</strong> usalama wa vyakula.MHE. LUCY F. OWENYA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi yakuuliza swali la nyongeza. Si<strong>na</strong> uhakika kama TFDA huwa i<strong>na</strong>waangalia mama nitilie, mama nitiliehuwa wa<strong>na</strong>pika vyakula kwenye mazingira ya hali ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> sehemu nyingine huwahawa<strong>na</strong> hata maji ya kusafishia vyombo vile, hali ambayo i<strong>na</strong>pelekea saa nyingine kupatamagonjwa ya mlipuko, sijui Serikali i<strong>na</strong>wasaidiaje ili kuhakikisha kwamba wa<strong>na</strong>tengeneza vyakulavile kwenye mazingira ya hali ya usafi ili kupunguza magonjwa ya mlipuko? (Makofi)Pili, ningependa kupata jibu kutoka kwa Mheshimiwa Naibu Waziri, ni kwa jinsi gani vyakulahivi vi<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia magonjwa sugu kama vile kisukari, blood pressure ya juu, saratani pamoja <strong>na</strong>hayo magonjwa ya mlipuko?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> AFYA NA USTAWI <strong>WA</strong> JAMII: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwamba, hawaaki<strong>na</strong>mama nitilie wa<strong>na</strong>pika kwenye maeneo ya Halmashauri ama Serikali za Mitaa, majukumuhaya tumeyakasimu kwa bwa<strong>na</strong> afya wa Halmashauri ndiye a<strong>na</strong>yetakiwa kuwa a<strong>na</strong>wazungukia<strong>na</strong> kuwapa elimu. Pale ambapo a<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba mazingira ni ma<strong>cha</strong>fu kabisa basi watafutemaeneo mbadala ili wale aki<strong>na</strong>mama waweze kujikimu kiuchumi siyo kuwafungia, ila <strong>na</strong>semakwamba wapate elimu <strong>na</strong> wahamishiwe sehemu ambazo ni salama. Jukumu hili limekasimiwaHalmashauri.Swali la pili, ni kwa kiasi gani vyakula hivi ambavyo vi<strong>na</strong>pikwa, <strong>na</strong>fikiri siyo mama nitilie tu,hebu tuulize kwamba ni vyakula gani ambavyo au ni kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani vyakula vi<strong>na</strong>wezavika<strong>cha</strong>ngia maradhi ya kisukari, vika<strong>cha</strong>ngia saratani <strong>na</strong> maradhi mengine sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, kila kitu ambacho bi<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>kula haki<strong>na</strong> usalama ndani yamwili wake kama hatakula kwa kiasi, ila <strong>na</strong>omba kusema kwamba ku<strong>na</strong> ai<strong>na</strong> nyingine za mafutaambayo tu<strong>na</strong>fuatilia sasa hivi ambayo <strong>na</strong>jua kwamba, kama tukifuatilia vizuri tutao<strong>na</strong> kwambaku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo gani katika ku<strong>cha</strong>ngia sukari, ku<strong>cha</strong>ngia hypertension pamoja <strong>na</strong> maradhimengine ambayo ni sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kusema kwamba, sisi kama Watanzania tuangalie ni<strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani tu<strong>na</strong>rudi kula vyakula walivyokuwa wa<strong>na</strong>kula wazazi wetu wa zamani vyakuchemsha, tusipende sa<strong>na</strong> kukaanga ila <strong>na</strong>penda kutoa tahadhari kwamba hizi biashara zaChips Mayai zi<strong>na</strong>zokaangwa barabarani, <strong>na</strong>omba kusema kwamba havi<strong>na</strong> usalama sa<strong>na</strong> ilajuhudi tutakayofanya kama Wizara ya Afya ni kuwaelimisha waweze kupika <strong>cha</strong>kula ambacho nisalama.NAIBU SPIKA: Tuitendee haki Wizara ya Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, swali la mwishoasubuhi ya leo <strong>na</strong> li<strong>na</strong>ulizwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa.MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong> aliuliza:-Na. 405Walimu wa Ufundi KutoajiriwaWalimu wote wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo ya ualimu wa ufundi hukosa ajira Serikalini ingawaSerikali i<strong>na</strong> upungufu mkubwa wa walimu wa ufundi.Je, ni sababu zipi zi<strong>na</strong>ifanya Serikali isiajiri walimu hao, mfano walimu waliomaliza VETAMorogoro mwaka 2010?12


NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI alijibu:-Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, <strong>na</strong>ombakujibu swali la Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa, Mbunge wa Kibiti kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Naibu Spika, mafunzo ya ualimu wa ufundi nchini yapo ya ai<strong>na</strong> mbili <strong>na</strong>hutolewa katika vyuo viwili tu. Chuo <strong>cha</strong> Ualimu Kleruu hutoa mafunzo ya ualimu katika ngazi yastashahada <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Ufundi Stadi Morogoro hutoa mafunzo ya Ualimu wa Ufundi katika ngaziya Cheti <strong>na</strong> Stashahada. Walimu wa ufundi huandaliwa kufundisha katika shule za sekondari zaufundi <strong>na</strong> walimu wa ufundi stadi huandaliwa maalum kufundisha katika vyuo vya ufundi stadi <strong>na</strong>kujiajiri wenyewe.Mheshimiwa Naibu Spika, wahitimu wa Chuo <strong>cha</strong> Ualimu <strong>cha</strong> VETA, Morogoro wa mwaka2010 walikuwa 87, kati yao 35 walitoka vyuo mbalimbali vya ufundi stadi yaani in service, hivyobaada ya kuhitimu walirudi kazini. Hata hivyo, wahitimu 13 kati ya 52 walijigharamia wenyewewaliajiriwa katika vyuo vya VETA.Mheshimiwa Naibu Spika, Chuo <strong>cha</strong> VETA, Morogoro ki<strong>na</strong>andaa walimu wa ufundi stadikwa ajili ya soko la ajira ambalo li<strong>na</strong>panuka <strong>na</strong> vilevile kuwawezesha kuajiriwa katika vyuo bi<strong>na</strong>fsivya ufundi ambavyo kwa sasa ni 672 nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa lengokubwa la Serikali ni kuwawezesha wahitimu wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo hayo ya ufundi stadi kuingiakatika ujasiriamali au kushinda<strong>na</strong> katika soko huria. Hivyo, walimu wa ufundi wasio <strong>na</strong> ajira ambaopia ni mafundi wa<strong>na</strong>weza kutumia fursa zilizopo kujiajiri au kujiunga pamoja <strong>na</strong> hivyo kuwezakupata mikopo kutoka Taasisi za fedha kuendesha maisha yao.NAIBU SPIKA: Afisa Elimu, Mheshimiwa Abdul Marombwa!MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi <strong>na</strong>pia nimshukuru Naibu Waziri kwa majibu mazuri aliyonipatia. Pamoja <strong>na</strong> majibu mazuri hayo ni<strong>na</strong>maswali mawili ya nyongeza. Kwa kuwa Serikali yetu i<strong>na</strong>tarajia kuanzia mwakani kufungua vyuovya ufundi katika kila Wilaya. Je, Serikali imejiandaa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani ili kuhakikisha kuwa Walimuwa<strong>na</strong>patika<strong>na</strong>, yasije kutokea kama yaliyotokea katika mpango wa MMES ambao tulijenga shuleza sekondari bila kuwa <strong>na</strong> Walimu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpango gani kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hilo?Pili, ni kwamba kwa kuwa mpaka sasa bado katika vyuo vyetu vingi sa<strong>na</strong> vya ufundi vyaSerikali vi<strong>na</strong> upungufu mkubwa <strong>na</strong> kwa kuwa Walimu waliobaka ni 39 tu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpangogani wa kuwachukua Walimu hawa kwa dharura ili waweze kuajiriwa <strong>na</strong> kufundisha katika Vyuovya Ufundi vya Serikali?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kabisaSerikali imedhamiria kujenga au kuanzisha Vyuo vya Ufundi Stadi kila Wilaya <strong>na</strong> pale ambapotutashindwa kwa miaka hii miwili au mitatu basi tu<strong>na</strong>vibadilisha vile vyuo vya FDCs kuwa Vyuo vyaUfundi, VETA. Lakini tu<strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto hii ya Walimu kama a<strong>na</strong>vyosema kwamba katika Mpangowa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), tatizo lilikuwa ni Walimu, tulianza kujenga kabla yaWalimu lakini vile vile hata katika mpango huu wa hivi vyuo vya VETA tumeshapata fundisho hilo<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jitahidi sasa kudahili Walimu wengi wa ufundi.Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali i<strong>na</strong>o utaratibu wa kupata Walimu wa ufundi stadi kamanilivyosema Vyuo vya Kleruu, Iringa <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Morogoro kwa ajili ya ualimu. Lakini vile viletu<strong>na</strong>vyo vyuo vingi, tu<strong>na</strong>cho Chuo <strong>cha</strong> DIT yaani Dar es Salaam Institute of Technology, tu<strong>na</strong> MISTChuo <strong>cha</strong> Ufundi, Mbeya yaani Mbeya Institute of Science and Technology, tu<strong>na</strong>yo AIT yaaniArusha Technical College <strong>na</strong> St. Joseph. Vyote hivyo tumeongeza udahili <strong>na</strong> maa<strong>na</strong> yake kilamwaka tu<strong>na</strong>tegemea Walimu wa vyuo wamalize kuanzia 550. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong> uhakika ndani yamiaka miwili mpaka mitatu tutapata Walimu wengi wa Vyuo vya Ufundi VETA.13


Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile <strong>na</strong>penda kutoa elimu kidogo kwa Wabunge wenzangukwamba ratio ya Walimu wa vyuo ni tofauti kidogo <strong>na</strong> ratio ya Walimu wa sekondari. Ratio yaWalimu wa sekondari tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja awe <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>funzi 40 darasani lakini kwenyevyuo vya ufundi tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja kwa ratio ya wa<strong>na</strong>funzi 16 tu. Kwa hiyo, udahili wawalimu utakuwa u<strong>na</strong>endelea kuongezeka kadri ya <strong>cha</strong>ngamoto hii ya ratio ya Walimu.NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge maswali ya leo yamekwisha <strong>na</strong> mudawetu <strong>na</strong>o umekwisha, nimekuo<strong>na</strong> Mheshimiwa Silinde umesimama.TAARIFAMHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, wakati kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa WaziriMkuu ki<strong>na</strong>kwisha nilisima kutaka kutoa taarifa <strong>na</strong> taarifa yangu ni kama ifuatavyo…..NAIBU SPIKA: Kabla hujatoa taarifa, taarifa hiyo u<strong>na</strong>mpa <strong>na</strong>ni?MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa hiyo ni<strong>na</strong>ipeleka kwa MheshimiwaWaziri Mkuu kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> jibu alilolitoa…..NAIBU SPIKA: U<strong>na</strong>tumia kifungu gani <strong>cha</strong> Kanuni, <strong>na</strong>omba ukisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, kanuni ya 68(8).NAIBU SPIKA: Naomba uisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Kanuni ya 68 i<strong>na</strong>sema; Vilevile Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kusimamamahali pake <strong>na</strong> kusema taarifa <strong>na</strong> kwa ruhusa ya Spika atatoa taarifa au ufafanuzi wa Mbungea<strong>na</strong>yesema ambapo Spika atamtaka Mbunge a<strong>na</strong>yeketi kusikiliza taarifa hiyo.’NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, ukisoma kifungu hiki ki<strong>na</strong>husu Mbungea<strong>na</strong>ye<strong>cha</strong>ngia wakati akizungumza katika mazungumzo yake kama ku<strong>na</strong> jambo ambalo u<strong>na</strong>hitajikumpa taarifa utamtaarifu Spika ili amwambie huyo a<strong>na</strong>yesema wakati huo aketi ili umpe taarifayako. Lakini huwezi kukitumia kifungu hiki baada ya jambo hilo kuwa limepita, i<strong>na</strong>takiwa utafuteutaratibu te<strong>na</strong> mwingine lakini siyo utaratibu wa taarifa.Naomba niendelee <strong>na</strong> matangazo baada ya hapo tutaendelea kama ku<strong>na</strong> jambolingine, uendelee kujipanga lakini kwa Kanuni hiyo umechemsha.Lakini la pili si rahisi Mbunge yeyote kumpa taarifa Waziri kwa sababu Waziria<strong>na</strong>chokisema ni msimamo wa Serikali. Wewe umeuliza swali, Waziri a<strong>na</strong>kujibu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikaliambavyo imeo<strong>na</strong> kufuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> jambo hilo, sasa utampa taarifa ipi? Lakini kama ni u<strong>cha</strong>ngiaji wakawaida au mambo ya <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hiyo i<strong>na</strong>takiwa utumie jambo lingine lakini taarifa kidogo i<strong>na</strong>kuwahaikai sawasawa. Kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa kawaida tradition ya Bunge hili huwa hatutoleanitaarifa, ku<strong>na</strong> mtu a<strong>na</strong>tikisa kichwa <strong>na</strong>dhani ni Esther Matiko au <strong>na</strong>ni? Ni<strong>na</strong>poelekeza sibishani,ni<strong>na</strong>poelekeza, u<strong>na</strong>nisikiliza vizuri, u<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>chokisema ili hoja yako iweze kufika vizuri <strong>na</strong>ili uweze kuzitumia Kanuni hizi vizuri kwa sababu siyo la kwake ni la Serikali.Si<strong>na</strong> haja ya kufundisha ziko <strong>na</strong>m<strong>na</strong> <strong>na</strong> vifungu vingine vya kuvitumia ili ujumbe wakouweze kufika lakini taarifa siyo mahali pake, waulizeni Wabunge ambao ni Ma-se<strong>na</strong>tor hapawatawaeleza.Waheshimiwa Wabunge ni<strong>na</strong> matangazo, wageni waliopo katika jukwaa la Spika niwageni wa Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Dokta EmmanuelNchimbi ambao ni pamoja <strong>na</strong> Ndugu Jane Kijazi Nchimbi ambaye ni mke wake, Mama Nchimbikaribu sa<strong>na</strong>. Alex Nchimbi ambaye ni mdogo wake <strong>na</strong> Dokta Margreth Mtaki, Mwenyekiti waTUGHE. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)14


Pili, Wakurugenzi <strong>na</strong> Wakurugenzi wasaidizi, Wakuu wa Asasi <strong>na</strong> Taasisi zilizo chini ya Wizarapamoja <strong>na</strong> wadau wote wa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo wakiongozwa <strong>na</strong> Sethi Kamhuhanda,Katibu Mkuu <strong>na</strong> Sihaba Nkinga, Naibu Katibu Mkuu. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Kwa hatua hii niwatambue endapo wapo jukwaa la Spika, Wahariri wote mliopo humundani <strong>na</strong> <strong>na</strong>omba kama mpo msimame mahali mlipo. Ahsanteni <strong>na</strong> karibuni sa<strong>na</strong> katika Bungeletu. (Makofi)Naomba niwatambue Wenyeviti wa Bodi <strong>na</strong> Mabaraza ambao ni Ndugu Rose Sayore,Dokta Frowin Nyoni, Profesa Elias Jengo, Ndugu Lalua Simba <strong>na</strong> Ndugu Ka<strong>na</strong>li Iddi Kipingu. Karibunisa<strong>na</strong>. (Makofi)<strong>Nne</strong>, ni wageni wa Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya, Mheshimiwa Sugu,Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ambao ni Ndugu ThabitiMtambuzi, Baba mlezi wake wakati akiwa nchini Marekani. Ahsante sa<strong>na</strong> kwa kumlea MheshimiwaMbunge. (Makofi)Wasanii wa Bongo Fleva pia wamefika ukumbini hapa, lakini <strong>na</strong>omba niwatambuewa<strong>cha</strong>che miongoni mwao ni Ndugu Afande Selle oooh! Uko kwenye Jukwaa jekundu! Karibusa<strong>na</strong>. Pia ndugu Soggy Doggy, Dokta Levy, Ndugu Dani Msimamo, Ndugu Hisabati <strong>na</strong> NduguRama Dee. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Wapo pia watangazaji wa Mbeya FM Ndugu Stan Lambat <strong>na</strong> Ndugu Jackline. Karibunisa<strong>na</strong>. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Charles Muhangwa Kitwanga, Naibu Waziri waMawasiliano, Sayansi <strong>na</strong> Teknolojia (Mawe Matatu) Ndugu Pammla Petrueka, Associate Professor,University of Saskatchewan. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Ndugu Emmanuel Makongoro Programme Coordi<strong>na</strong>tor, Green Hope Tanzania, NduguTumaini Lusenga Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l Liaison Director Green House USA <strong>na</strong> Ndugu Juma Waziri NdondeCoordi<strong>na</strong>tor. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Lakini pia wapo wageni muhimu sa<strong>na</strong> asubuhi ya leo <strong>na</strong>o ni, Kamati ya Utendaji ya Umojawa Vija<strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi Taifa, wa<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> Mfaume Ally Kizito, Naibu Katibu MkuuBara. Karibuni vija<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jua m<strong>na</strong>fanya kazi nzuri <strong>na</strong> hivi karibuni tu<strong>na</strong>watarajia katika baadhi yamaeneo kule Tabora <strong>na</strong> Arusha, kazi nzuri. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Waheshimiwa Wabunge waliopo katika jukwaa la wageni ni pamoja<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki kutoka Taasisi ya Kijerumani ya FES hapanchini wakiongozwa <strong>na</strong> Dokta Stephan Chrobot Mkurugenzi Mkazi. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Wageni waliofika kwa ajili ya mafunzo ni wa<strong>na</strong>funzi 70 kutoka Shule ya Sekondari yaJamhuri Dodoma, kama kawaida yenu wa<strong>na</strong>funzi wa Jamhuri kwa kweli mko smart, <strong>na</strong>ombawa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>oo<strong>na</strong> sasa hivi nchi nzima waangalie wa<strong>na</strong>funzi wa Shule ya Jamhuri Dodoma <strong>na</strong>waige utaratibu huu. Karibuni sa<strong>na</strong> Bungeni, wa<strong>na</strong>funzi wengine <strong>na</strong>o wa<strong>na</strong>karibishwa Bungeni <strong>na</strong>u-smart huu uendane <strong>na</strong> utendaji mzuri zaidi katika kufaulu mitihani yetu. Tu<strong>na</strong>watakia kila la kheriwa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> Walimu wote mliokuja. (Makofi)Vile vile ku<strong>na</strong> Wasanii sita wa KISUVITA kutoka Manispaa ya Dodoma <strong>na</strong> Wasanii wa tasniaya filamu kutoka, Dar es Salaam, karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Murtaza Ally Mangungu ambao ni Baraka Kange, Raiswa wa<strong>na</strong>funzi India, karibu sa<strong>na</strong> utupelekee salam kwa vija<strong>na</strong> wenzako. Waziri Mushashimwa<strong>na</strong>funzi wa CBE <strong>na</strong> Ahmed Mikohe mwa<strong>na</strong>funzi wa Kairuki University. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)15


Matangazo ya kazi <strong>na</strong>anza <strong>na</strong> tangazo la Mheshimiwa Waziri wa Kilimo, Chakula <strong>na</strong>Ushirika Mheshimiwa Profesa Jumanne Abdallah Maghembe ambaye a<strong>na</strong>tangaza kwamba kikao<strong>cha</strong> wadau wa Korosho kitafanyika hapa Dodoma, Jumamosi tarehe 20 Agosti, 20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Profesa David Homeli Mwakyusa, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu yaBunge ya Kilimo, Mifugo <strong>na</strong> Maji, a<strong>na</strong>tangaza kuwa kikao <strong>cha</strong> Kamati ya Kudumu ya Bunge yaKilimo, Mifugo <strong>na</strong> Maji, a<strong>na</strong>watangazia Wajumbe wa Kamati yake kwamba, saa 7.15 m<strong>cha</strong><strong>na</strong> leokutakuwa <strong>na</strong> kikao <strong>cha</strong> Kamati hiyo katika ukumbi wa Pius Msekwa C.Makamu Mwenyekiti, Dia<strong>na</strong> M. Chilolo, Kamati ya Nishati <strong>na</strong> Madini a<strong>na</strong>waombaWajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati <strong>na</strong> Madini tarehe <strong>11</strong> Agosti, kutakuwa <strong>na</strong>kikao <strong>cha</strong> Kamati, ukumbi <strong>na</strong>mba 231 bila kukosa.Baada ya matangazo hayo, nitamwita… Karibu.MWONGOZO <strong>WA</strong> SPIKAMHE. JOHN J. MNYIKA: Mwongozo wa Spika!NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mnyika u<strong>na</strong>simama mahali pako kwa kawaida nitakuo<strong>na</strong> hujahaja ya kuweka microphone on, nikishakuo<strong>na</strong> nitakupa <strong>na</strong>fasi. Sasa <strong>na</strong>kupa <strong>na</strong>fasi!Kwa Mbunge mwingine yeyote, usiwashe microphone mpaka nimekuruhusu ufanye hivyo.Mheshimiwa Mnyika!MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>kushukuru. Naomba mwongozo wakokwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni ya 68(7) <strong>na</strong> Kanuni ya 133.Kanuni ya 68(7) i<strong>na</strong>sema; “Halikadhalika Mbunge a<strong>na</strong>weza kusimama wakati wowoteambapo haku<strong>na</strong> Mbunge mwingine a<strong>na</strong>yesema <strong>na</strong> kuomba Mwongozo wa Spika kuhusu jamboambalo limetokea mapema Bungeni ili Spika atoe ufafanuzi kama jambo hilo li<strong>na</strong>ruhusiwa <strong>na</strong>kama haliruhusiwi kwa mujibu wa Kanuni <strong>na</strong> taratibu za Bunge <strong>na</strong> majibu ya Spika yatatolewapapo kwa papo au kadri atakavyoo<strong>na</strong> i<strong>na</strong>faa.”Kanuni ya 133 i<strong>na</strong>sema; ‘……NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> huja haja ya kwenda huko kwa kuwa hii imekidhi.MHE. JOHN J. MNYIKA: Kanuni ya 133(1) i<strong>na</strong>sema; “Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kutoa taarifaya maandishi kwa Spika ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu kwa mujibuwa Ibara ya 53(a) ya Katiba.Mheshimiwa Naibu Spika, kumekuwa <strong>na</strong> kawaida katika kipindi <strong>cha</strong> maswali <strong>na</strong> majibukwa Waziri Mkuu, kwa Waziri Mkuu kutoa majibu yenye upotoshaji…NAIBU SPIKA: Hebu kaa chini! Mheshimiwa John Mnyika, <strong>na</strong>waombeni tuheshimu sa<strong>na</strong>kikao hiki. Kanuni u<strong>na</strong>yotaka kuitumia hiyo ya huko mbele i<strong>na</strong>sema: “Mbunge yeyote awezakuleta taarifa ya maandishi” kama hivyo ndivyo u<strong>na</strong>takiwa ukaandike uilete katika maandishi.Huwezi kutumia fursa hiyo hiyo badala ya kuleta taarifa ya maandishi, wewe u<strong>na</strong>anza kusemahumu ndani. Ni kutumia vibaya Kanuni. Usitikise kichwa! Hapa<strong>na</strong>! U<strong>na</strong>chotakiwa utumie hapa nihiyo uliyoanza <strong>na</strong>yo Kanuni ya 7 ya Mwongozo, lakini kama ni ya maandishi hebu isome te<strong>na</strong>.Irudie hiyo ya maandishi!MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba unisikilize.NAIBU SPIKA: Isome te<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wabunge wote wafungue Kanuni zao ili tuendelee.16


MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisikilize kama nimekiuka Kanuni unihukumu baada yakumaliza maelezo yangu.NAIBU SPIKA: Isome te<strong>na</strong> tusibishane!MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, nimenukuu Kanuni ya 133.NAIBU SPIKA: Kanuni ya 133MHE. JOHN J. MNYIKA: Ambayo <strong>na</strong>inukuu te<strong>na</strong>.NAIBU SPIKA: Subiri kidogo! Kanuni ya 133, kila mwenye Kanuni yake aifungue.MHE. JOHN J. MNYIKA: Ambayo <strong>na</strong>inukuu te<strong>na</strong>.NAIBU SPIKA: Subiri nitakupa <strong>na</strong>fasi. Kila mtu afungue Kanuni ya 133. Kanuni ya 133, sasau<strong>na</strong>ruhusiwa kuisoma.MHE. JOHN J. MNYIKA: “Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kutoa taarifa ya maandishi kwa Spikaya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu kwa mujibu wa Ibara ya 53A yaKatiba.” Mwisho wa kunukuu.NAIBU SPIKA: Sasa kaa chini.MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisikilize!NAIBU SPIKA: Kaa chini!<strong>WA</strong>BUNGE FULANI: Mmmh!NAIBU SPIKA: Naomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa John Mnyika <strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge wotemwelewe <strong>na</strong> tuheshimiane. Ni vizuri kuzitumia Kanuni kadri ambavyo zi<strong>na</strong>takiwa zitumiwe. Kanunii<strong>na</strong>sema: “Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kutoa taarifa ya maandishi kwa Spika ya kutaka kuleta hojaya kutokuwa <strong>na</strong> imani kwa Waziri Mkuu kwa mujibu wa Ibara ya 53A ya Katiba.MHE. JOHN J. MNYIKA: Nisikilize.NAIBU SPIKA: Nisikilize nini wakati Mbunge yeyote u<strong>na</strong>ruhusiwa kuleta hoja ya maandishi?U<strong>na</strong>chopaswa ni kuleta hoja ya maandishi. Basi! Yah! (Makofi)HOJA ZA SERIKALIMakadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo<strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO: Mheshimiwa Naibu Spika, kufuatiataarifa iliyowasilishwa leo kwenye Bunge lako Tukufu <strong>na</strong> Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu yaBunge ya Maendeleo ya Jamii, <strong>na</strong>omba sasa kutoa hoja ya kuliomba Bunge lako likubali kupitishamakadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo <strong>na</strong> Asasizake katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, awali ya yote <strong>na</strong>omba kutumia <strong>na</strong>fasi hii kumshukuru MwenyeziMungu, mwingi wa rehema, kwa kutuwezesha kukuta<strong>na</strong> te<strong>na</strong> kwenye Bunge lako Tukufu tukiwawenye afya <strong>na</strong> uzima. Namshukuru pia kwa kuijalia nchi yetu kubaki katika amani <strong>na</strong> utulivu hasabaada ya kupita katika kipindi muhimu <strong>cha</strong> U<strong>cha</strong>guzi Mkuu mwezi Oktoba, 2010.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba nitumie fursa hii kumpongeza Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete, kwa ku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Raiskwa kipindi <strong>cha</strong> pili <strong>na</strong> Mheshimiwa Dokta Mohamed Gharib Bilali, kuwa Makamu wake. Pia,17


<strong>na</strong>penda kutumia <strong>na</strong>fasi hii kuwapongeza Mheshimiwa Dokta Ali Mohamed Shein kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar <strong>na</strong> Mheshimiwa Mizengo KayanzaPeter Pinda, Mbunge wa Katavi kwa kuteuliwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Rais kwa mara nyingine kuwaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Aidha, <strong>na</strong>omba nimpongeze Mheshimiwa, An<strong>na</strong> Makinda, Mbunge wa Njombe, kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Spika wa kwanza mwa<strong>na</strong>mke wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania. Nakupongeza wewe bi<strong>na</strong>fsi Mheshimiwa Job Ndugai, Mbunge wa Kongwa kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Naibu Spika. Nawapongeza pia walio<strong>cha</strong>guliwa kuwa Wenyeviti wa Bunge <strong>na</strong>Wenyeviti wa Kamati mbalimbali.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee niwapongeze viongozi wotewalioteuliwa <strong>na</strong> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuongoza Wizara <strong>na</strong> Taasisimbalimbali za Serikali. Pongezi za pekee pia ziwaendee Wabunge wote walio<strong>cha</strong>guliwa <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> wengine kuteuliwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Rais <strong>na</strong> ambao wamejiunga katika Bunge lakoTukufu kutoka katika Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi <strong>na</strong> Vyama vingine.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kusimamambele ya Bunge lako Tukufu kwa mara ya kwanza kama Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong>Michezo. Napenda kumshukuru kwa dhati Mheshimiwa Rais Dokta Jakaya Mrisho Kikwete, kwaheshima aliyonipa ya kuniteua kuwa Waziri a<strong>na</strong>yesimamia majukumu ya Wizara hii <strong>na</strong> pia kumteuaMheshimiwa Dokta Fenella Mukangara kuwa Naibu Waziri.Aidha, <strong>na</strong>washukuru kipekee wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo langu la U<strong>cha</strong>guzi la Songea Mjini, kwamoyo wao wa upendo wa kuni<strong>cha</strong>gua te<strong>na</strong> ili niendelee kusaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong>o katika utekelezaji wamajukumu ya kuleta maendeleo katika Jimbo letu.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>washukuru pia Watanzania wote hususan Vija<strong>na</strong>,Wa<strong>na</strong>michezo, Wasanii <strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>habari kwa ushirikiano mkubwa wa<strong>na</strong>oendelea kunipatia tangunilipoteuliwa. Kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee, <strong>na</strong>omba nikishukuru Chama Cha Mapinduzi, kwa kuniteuakuwa mgombea wa Jimbo la Songea Mjini.Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, sitaisahau familia yangu, hasa mke wangu mpendwa,Jane Kijazi Nchimbi <strong>na</strong> watoto wangu, kwa uvumilivu wao wa kukosa kuwa <strong>na</strong>mi muda mwingini<strong>na</strong>pokuwa nikitekeleza majukumu ya Kitaifa.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>tumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwa kuzindua rasmi, Rasimu ya Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitanoambayo kwa mara ya kwanza i<strong>na</strong>toa vipaumbele <strong>na</strong> mwelekeo wa nchi yetu kwa miaka mitanoijayo. Nawapongeza Mawaziri waliotangulia kuwasilisha hoja zao, hususan Waziri Mkuu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, kwa hotuba yake fasahayenye maelekezo ya utekelezaji wa kazi za Serikali kwa kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012.Waziri Mkuu ameainisha malengo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo, Malengo yaMilenia <strong>na</strong> Mkakati wa Kukuza Uchumi <strong>na</strong> Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II).Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, <strong>na</strong>mpongeza Mheshimiwa Stephen Wasira, Waziri, Ofisiya Rais Mahusiano ya Jamii; kwa kuwasilisha rasmi Rasimu ya Mpango wa Maendeleo wa MiakaMitano kwenye Bunge lako Tukufu. Namshukuru pia, Mheshimiwa Mustafa Haidi Mkullo, Mbunge<strong>na</strong> Waziri wa Fedha kwa hotuba yake nzuri i<strong>na</strong>yoonesha hali ya uchumi nchini <strong>na</strong> mipango yamaendeleo ambayo imetoa mwelekeo wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, hotuba hiyo pia imetoa mwelekeo wa hali ya uchumi wa nchiulivyo <strong>na</strong> mapato ya Serikali. Naomba kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee niwashukuru Waheshimiwa Wabungewalio<strong>cha</strong>ngia hotuba za Mawaziri walionitangulia. Maoni waliyotoa yamesaidia kuboreshamipango ya Serikali katika sekta mbalimbali, zikiwemo sekta zilizoko chini ya Wizara hii.Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya maelezo hayo ya awali, <strong>na</strong>omba sasa kutumia fursahii kuipongeza <strong>na</strong> kuishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, ambayo18


i<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama <strong>na</strong>Makamu Mwenyekiti wake Mbunge wa Jimbo la Kondoa Kusini, Mheshimiwa Juma Nkamia kwaku<strong>cha</strong>guliwa kwao kuiongoza Kamati hii. Aidha, <strong>na</strong>ishukuru Kamati hii kwa kujadili <strong>na</strong> kutoa ushaurikuhusu Makadirio ya Mapato <strong>na</strong> Matumizi ya Wizara tarehe 2 hadi 3 Juni, 20<strong>11</strong>. Wizara i<strong>na</strong>endeleakufanyia kazi ushauri pamoja <strong>na</strong> maelekezo yaliyotolewa <strong>na</strong> Kamati ya Bunge lako Tukufu wakatiwa kujadili bajeti ya mwaka huu ili kuendelea kuboresha zaidi utekelezaji wa majukumu yetu kwawa<strong>na</strong>nchi.Mheshimiwa Naibu Spika, hotuba yangu imegawanyika katika maeneo makuu mannekama ifuatavyo: Sehemu ya kwanza majukumu ya Wizara, sehemu ya pili ni Mapitio ya utekelezajiwa bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong>, sehemu ya tatu i<strong>na</strong>husu Malengo ya Mpango <strong>na</strong>Bajeti kwa Mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012 <strong>na</strong> sehemu ya nne ni makadirio ya bajeti kwa mwaka waFedha 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara i<strong>na</strong>tekeleza majukumu yafuatayo:-• Kuendeleza, kusimamia, kutathimini <strong>na</strong> kupitia utekelezaji wa sera, viwango <strong>na</strong> miongozoya Sekta za Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.• Msemaji Mkuu wa Serikali juu ya masuala ya sera <strong>na</strong> programu zake.• Kuandikisha Magazeti, Majarida <strong>na</strong> Ma<strong>cha</strong>pisho mbalimbali.• Kuratibu vitengo vya mawasiliano vya Serikali.• Kuendeleza, kuwezesha <strong>na</strong> kuratibu masuala ya kuwajengea uwezo watumishi wa Idaraza Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.• Kufuatilia <strong>na</strong> kutathmini utendaji kazi wa vyombo vya habari.• Kuainisha <strong>na</strong> kuishauri Serikali juu ya <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kuendeleza juhudi bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> kubunimikakati ya kuwaendeleza Vija<strong>na</strong>.• Kuainisha <strong>na</strong> kuendeleza fursa mbalimbali za uwezeshaji wa vija<strong>na</strong>.• Kuwezesha kwa kuhusisha masuala ya maendeleo ya vija<strong>na</strong> katika sekta zote.• Kuhuisha utengenezaji wa sinema, maigizo, maonyesho <strong>na</strong> utoaji wa leseni.• Kufuatilia <strong>na</strong> kuratibu utendaji kazi wa Taasisi zi<strong>na</strong>zohusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Utamaduni chini ya Wizara.• Kuanzisha njia za kusukuma ubadilisha<strong>na</strong>ji wa programu za Utamaduni wa Kimataifa.• Kuainisha mahitaji <strong>na</strong> kutoa misaada <strong>na</strong> zawadi kwenye maeneo ya<strong>na</strong>yoonesha ufanisikatika masuala ya Utamaduni.• Kutoa miongozo ya maadili Kitaifa.• Kuweka njia za kukuza tamaduni, mila, sa<strong>na</strong>a, lugha <strong>na</strong> michezo.• Kuanzisha, kuendeleza <strong>na</strong> kuratibu usambazaji wa habari zi<strong>na</strong>zohusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> michezokutoka ngazi ya Kijiji hadi Taifa; <strong>na</strong>• Kuanzisha miundombinu endelevu ya michezo.19


Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailipanga kukusanya Mapato ya jumla ya shilingi 697,601,000 kutoka vyanzo mbalimbali. Hadi kufikiamwishoni mwa mwezi Juni, 20<strong>11</strong> jumla ya sh. 442,899,176/= zilikuwa zimekusanywa ambazo ni sawa<strong>na</strong> asilimia 63 ya lengo la makusanyo ya mwaka. M<strong>cha</strong>nganuo wa makusanyo hayo upo kwenyeKiambatisho Na I. Kadhalika Wizara ilitengewa jumla ya sh. 18,786,123,491/= kwa ajili ya Matumiziya Kawaida, fedha hizo zilijumuisha mishahara ya Wizara sh. 2,204,370,168/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.5,322,056,000/=. Matumizi Mengineyo (OC) ya Wizara sh. 7,017,626,323/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.4,242,071,000/=. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, jumla ya sh. 17,993,171,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Idara upo katika Kiambatisho Na. II.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong> Wizarailitengewa jumla ya shilingi 7,982,562,000 fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong>moja ya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, shilingi 5,600,000,000 zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na III.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailitengewa jumla ya sh. 7,982,562,000/= fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong> mojaya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, Sh. 5,600,000,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na. III.Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu sekta ya habari. Katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>,Wizara ilitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari wapatao 150 kutoka katika Vitengovya Habari vya Wizara mbalimbali, Idara, Wakala, Taasisi za Umma, Mashirika ya Umma, Mikoa,Majiji, Miji <strong>na</strong> Halmashauri za Wilaya. Hivi sasa, Wizara i<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kukamilishaSera mpya ya Habari <strong>na</strong> ukamilishaji wa rasimu ya mapendekezo ya kutunga Sheria ya KusimamiaVyombo vya Habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kupitia Idara ya Habari imefanikiwa kukusanya taarifambalimbali za Serikali, kuandika habari <strong>na</strong> kuzitoa katika vyombo vya habari, kupiga pi<strong>cha</strong> zamatukio mbalimbali ya Kitaifa, kuzitoa katika magazeti <strong>na</strong> kuzihifadhi katika maktaba yakumbukumbu ya pi<strong>cha</strong> kwa njia ya elektroniki. Aidha, Wizara imeboresha u<strong>cha</strong>pishaji wa jarida laNchi Yetu <strong>na</strong> kuhakikisha li<strong>na</strong><strong>cha</strong>pishwa kwa wakati uliopangwa. Matoleo mawili yenye <strong>na</strong>kala8,000 za jarida hili yame<strong>cha</strong>pishwa <strong>na</strong> kusambazwa. Kadhalika Wizara ime<strong>cha</strong>pisha bango laBaraza la Mawaziri li<strong>na</strong>lowatambulisha kwa wa<strong>na</strong>nchi Mawaziri <strong>na</strong> Naibu Mawaziri <strong>na</strong> Wizarawa<strong>na</strong>zoziongoza.Mheshimiwa Naibu Spika, Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi imeanzishwa <strong>na</strong> Serikali ili kuhakikisha kuwawa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>pata haki yao ya kikatiba ya kutoa maoni kwa uhuru katika masualaya<strong>na</strong>yowahusu. Tovuti imewawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuwa <strong>na</strong> mawasiliano ya moja kwa moja <strong>na</strong>Serikali. Changamoto iliyopo kwa sasa ni kuhakikisha kwamba hoja za wa<strong>na</strong>nchi zi<strong>na</strong>jibiwa kwawakati <strong>na</strong> kwa ufasaha ili kutatua matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuzihamasishaWizara nyingine, Idara zi<strong>na</strong>zojitegemea, Taasisi <strong>na</strong> wadau wengine ili kujibu hoja zote zi<strong>na</strong>zotolewa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa muda muafaka. Kwa kipindi <strong>cha</strong> mwaka ulioanza mwezi Julai, 2010 hadi Juni,20<strong>11</strong> jumla ya hoja <strong>11</strong>,934 zimepokelewa kupitia Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> kujibiwa.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha ku<strong>na</strong> uelewa mzuri wa matumizi ya Tovuti yaWa<strong>na</strong>nchi, Wizara imetoa mafunzo juu ya tovuti hiyo kwa watendaji waandamizi wa Wizarambalimbali, Idara <strong>na</strong> Wakala. Aidha, ili kuhakikisha kuwa kumbukumbu za matukio mbalimbali yaKitaifa zilizohifadhiwa tangu mwaka 1948 katika mfumo wa pi<strong>cha</strong> <strong>na</strong> negatives hazipotei, Wizarailianzisha mradi wa maktaba ya pi<strong>cha</strong> ili kuhifadhi pi<strong>cha</strong> zote kwa njia ya digitali. Jumla ya pi<strong>cha</strong>2,500,000 zilizokuwepo zimehifadhiwa kwa teknolojia hiyo. Hivi sasa pi<strong>cha</strong> zote zi<strong>na</strong>zopigwa kwakutumia kamera za kisasa za digitali zi<strong>na</strong>endelea kuingizwa katika maktaba hiyo.Aidha, Wizara imeanza m<strong>cha</strong>kato wa kuanzisha mtandao wa kulinda <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong>popote duniani kupitia internet, e–commerce project. Utaratibu huu utahakikisha kuwa pi<strong>cha</strong> zakumbukumbu za Kitaifa <strong>na</strong> Kimataifa zi<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> kwa urahisi mahali popote duniani lakinihazichukuliwi kwa njia ya mtandao bila idhini ya Serikali.20


Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> pi<strong>cha</strong> Wizaraimetoa jumla ya vibali <strong>11</strong>1 vya kuandika habari <strong>na</strong> kupiga pi<strong>cha</strong>. Kati ya vibali hivyo 102 ni vyawaandishi kutoka nje <strong>na</strong> tisa ni wa ndani <strong>na</strong> vitambulisho (press cards) 400 vya waandishi wahabari vimetolewa kwa wa<strong>na</strong>taaluma.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza uhuru wa upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> vyombovya habari, Wizara imeendelea <strong>na</strong> usajili wa magazeti <strong>na</strong> majarida. Hadi Juni, 20<strong>11</strong> jumla yamagazeti <strong>na</strong> majarida 7<strong>11</strong> yalikuwa yamesajiliwa yakiwemo yale ya kila siku <strong>na</strong> ya kila wiki. Usajiliwa magazeti kwa mwaka 2010/20<strong>11</strong>, ulikuwa mdogo kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali kusitisha usajili huo kwamuda ili kupitia upya taratibu za usajili.Aidha, katika kipindi hicho gazeti moja lilifutwa kutoka katika kitabu <strong>cha</strong> Msajili kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> kwenda kinyume <strong>na</strong> masharti ya usajili <strong>na</strong> maadili ya uandishi. Magazeti mengine <strong>na</strong>neyaliyokiuka maadili ya uandishi wa habari yalipewa onyo.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa upande wa utangazaji ku<strong>na</strong> vituo 70 vya rediovilivyoandikishwa <strong>na</strong> 26 vya televisheni. Vituo vingine saba vi<strong>na</strong>toa huduma ya kupokeamatangazo ya vituo vya nje vya televisheni (Cable pay TV) <strong>na</strong> kuwauzia wa<strong>na</strong>nchi. Aidha, Shirikala Utangazaji Tanzania (TBC) limetimiza miaka mitatu tangu lilipobadilishwa <strong>na</strong> kuzinduliwa rasmitarehe 26 Machi, 2008 <strong>na</strong> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta JakayaMrisho Kikwete. Kuanzia kipindi hicho, Shirika limejitahidi kutimiza malengo yake kwa kupanuausikivu wake ili uweze kuwafikia wa<strong>na</strong>nchi nchini kote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uongozi wa Serikali Mikoani, TBC imepatamaeneo <strong>na</strong> kujenga vyumba vya kufunga mitambo ya FM katika Mikoa ya Shinyanga, Manyara,Kilimanjaro, Morogoro, Iringa, Rukwa, Mtwara <strong>na</strong> Ruvuma. Shirika limenunua mitambo ya FM 18yenye uwezo wa kilowatt mbili ambayo imefikishwa kwenye vituo vya Shinyanga, Babati, Moshi,Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru. Kila kituo ki<strong>na</strong> mitambo ya trasmittersmbili, moja kwa ajili ya matangazo ya TBC Taifa<strong>na</strong> nyingine kwa ajili ya TBC FM.Mheshimiwa Naibu Spika, ufungaji wa mitambo hiyo katika Mikoa ya Morogoro, Iringa,Kilimanjaro <strong>na</strong> Manyara umekamilika. Kuanzia Novemba, 2010 vituo vya Morogoro, Iringa, Moshi<strong>na</strong> Babati vimeanza kurusha matangazo. M<strong>cha</strong>kato wa kufunga mitambo kwa vituo vya Newala,Tunduru, Songea, Mpanda <strong>na</strong> Shinyanga umeanza mwezi Mei, 20<strong>11</strong> <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika hivikaribuni.Mheshimiwa Naibu Spika, Kampuni ya Magazeti ya Serikali, (TSN) i<strong>na</strong>yo<strong>cha</strong>pisha magazetiya Daily News, Sunday News <strong>na</strong> HabariLeo i<strong>na</strong>jiendesha kwa faida bila kutegemea ruzuku kutokaSerikalini. Tangu mwaka 2004 Kampuni imekuwa ikitoa gawio kwa Serikali kupitia Hazi<strong>na</strong>. Kampuniya Magazeti ya Serikali imeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kuzalisha magazeti <strong>na</strong> kufunga mashine yapili ya kompyuta (CTP) ili kuongeza uwezo wa ku<strong>cha</strong>pa magazeti. Kampuni pia imekamilishaununuzi wa majengo kwa ajili ya mtambo wa u<strong>cha</strong>paji <strong>na</strong> imekabidhiwa hati ya umiliki wamajengo hayo.Mheshimiwa Naibu Spika, ukarabati wa jengo la ofisi lililoko Barabara ya Mandela Jijini, Dares Salaam u<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika mwezi Agosti, 20<strong>11</strong>. Kampuni ya TSNimeendelea <strong>na</strong> harakati za kutafuta wabia wa kuendeleza viwanja vya kampuni vilivyopo Dar esSalaam <strong>na</strong> Dodoma. Amepatika<strong>na</strong> mbia wa uhakika ambaye ameonyesha nia ya kuendelezakiwanja <strong>cha</strong> Dodoma. Kampuni pia imetoa mwaliko <strong>na</strong> imetangaza kwa wabia wenginewatakaohusika <strong>na</strong> uendelezaji wa viwanja viwili vya Dar es Salaam. Aidha, katika mwaka wafedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Kampuni imekamilisha <strong>na</strong> kuzindua maktaba ya Elektroniki. Aidha, taratibu zakuzindua huduma ya pi<strong>cha</strong> zi<strong>na</strong>endelea.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza Sekta ya Habari, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> kwa karibu <strong>na</strong>Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) katika kusajili <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya redio <strong>na</strong>televisheni nchini. Pamoja <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya radio <strong>na</strong> televisheni, TCRA kupitia Kamatiya Maudhui i<strong>na</strong>ratibu utendaji wa vituo hivyo <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa vyote vi<strong>na</strong>zingatia maadili21


yaliyoainishwa katika Sera ya Utangazaji ya mwaka 2003, Sheria ya Bunge <strong>na</strong>mba (3) ya mwaka2010 pamoja <strong>na</strong> Kanuni za Utangazaji za mwaka 2005.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 2010/<strong>11</strong>, Kamati ilishughulikiamalalamiko ya ukiukwaji wa maadili ya utangazaji <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa kanuni za utangazajizi<strong>na</strong>zingatiwa. Jumla ya malalamiko ya maudhui ya vipindi tisa (9) yalipokelewa. Kati ya hayomalalamiko <strong>na</strong>ne yalishughulikiwa <strong>na</strong> lalamiko moja li<strong>na</strong>endelea kufanyiwa kazi.Mheshimiwa Naibu Spika, m<strong>cha</strong>ngo wa vyombo vya Habari bi<strong>na</strong>fsi. Tangu mabadiliko ya sera zakiuchumi <strong>na</strong> kisiasa ya miaka ya 90 kumekuwa <strong>na</strong> ukuaji mkubwa wa sekta ya habari nchini.Mabadiliko hayo yameshuhudia kuanzishwa kwa vyombo vingi vya habari bi<strong>na</strong>fsi, hususanmagazeti. Hivi sasa Tanzania ni moja ya nchi <strong>cha</strong>che Barani Afrika zenye idadi kubwa ya vyombovya habari <strong>na</strong> uhuru mpa<strong>na</strong> wa vyombo hivyo. Hali hiyo ime<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> katika kukuza <strong>na</strong>kupanua uelewa wa wa<strong>na</strong>nchi wa mambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yohusu maisha <strong>na</strong> maendeleo yao.Watanzania wengi hivi sasa wa<strong>na</strong> uelewa wa hali ya juu wa mambo ya<strong>na</strong>yotokea hapa nchini <strong>na</strong>duniani kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, dhima ya vyombo vya habari duniani kote ni kuhabarisha,kuelimisha <strong>na</strong> kuburudisha. Wizara yangu ambayo i<strong>na</strong> dhama<strong>na</strong> ya kusimamia vyombo vyahabari nchini itahakikisha kuwa dhima hiyo i<strong>na</strong>tekelezwa kikamilifu kwa kuzingatia weledi <strong>na</strong>maadili ya taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwa sababu hiyo Wizara imeamua kuimarisha utaratibu wakuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo vya habari hususan vyombo vya habari bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> wadau mbalimbali wahabari kwa lengo la kuboresha utendaji wa vyombo hivyo ili viwahudumie wa<strong>na</strong>nchi kwa ufanisizaidi. Katika hili, Wizara yangu imedhamiria kwa dhati kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau wote wa habarikatika kuweka mazingira endelevu yatakayowezesha kuwepo kwa ukuaji zaidi wa uhuru wavyombo vya habari hapa nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, hivi sasa sehemu kubwa ya vyombo vya habari nchinii<strong>na</strong>milikiwa <strong>na</strong> watu bi<strong>na</strong>fsi. Wizara yangu i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini m<strong>cha</strong>ngo mkubwa <strong>na</strong> muhimuwa vyombo hivi katika kutoa habari <strong>na</strong> taarifa mbalimbali kwa wa<strong>na</strong>nchi. Vyombo vya habaribi<strong>na</strong>fsi vi<strong>na</strong>fanya kazi nzuri kwa Taifa letu ukiondoa kasoro ndogo ndogo zilizopo ambazo Wizarayangu i<strong>na</strong>zifanyia kazi kwa ushirikiano wa karibu <strong>na</strong> vyombo hivyo.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wake mkubwa katika maendeleo ya Taifaletu, vyombo vya habari vya bi<strong>na</strong>fsi pia vimekuwa tegemeo la ajira kwa wa<strong>na</strong>habari wengi vija<strong>na</strong>.Idadi kubwa ya vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ohitimu mafunzo ya uandishi wa habari wa<strong>na</strong>pata ajira kwenyevyombo hivyo, jambo ambalo limesaidia kwa kiwango fulani kupunguza tatizo la ajira miongonimwa vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara itaendelea kuhakikisha kwamba mafunzo ya uandishi wahabari ya<strong>na</strong>boreshwa ili kuwawezesha vija<strong>na</strong> wengi zaidi kupata ajira kwenye sekta hii muhimu.Tayari Wizara yangu imeanzisha mazungumzo <strong>na</strong> Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) kuhusuuwezekano wa Mfuko huo kufadhili mafunzo ya muda mrefu kwa baadhi ya waandishi wa habariwenye sifa stahiki.Aidha, vyombo vya habari kwa ujumla wake vi<strong>na</strong>isaidia Serikali katika kupata mrejeshokutoka kwa wa<strong>na</strong>nchi kuhusu sera <strong>na</strong> mipango ya maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwa nchini. Kwamfano, katika miaka ya karibuni tumeshuhudia jinsi vyombo vya habari vilivyokuwa katika mstariwa mbele kupiga vita dha<strong>na</strong> potofu kama vile mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino)kwa shabaha za kupata utajiri; vikongwe kwa kuwatuhumu u<strong>cha</strong>wi; unyanyapaa dhidi yawaathirika wa UKIMWI <strong>na</strong> watu wenye ulemavu pamoja <strong>na</strong> unyanyasaji wa kijinsia.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi za Wa<strong>na</strong>habari zisizo za Kiserikali. Miongoni mwa taasisi<strong>na</strong> vyombo vi<strong>na</strong>vyosaidia katika kuboresha utendaji wa vyombo vya habari hapa nchini ni Barazala Habari Tanzania (MCT), Jukwaa la Wahariri (TEF) <strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong> Wamiliki wa Vyombo vyaHabari (MOAT).22


Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la Habari Tanzania limekuwa likifanya kazi kwa ushirikiano<strong>na</strong> Wizara yangu <strong>na</strong> tumekuwa tukishauria<strong>na</strong> katika mambo mbalimbali kwa manufaa ya taalumaya habari. Hivi sasa Baraza, chini ya ushauri wa kitaalam wa Natio<strong>na</strong>l Council for TechnicalEducation (NACTE) <strong>na</strong> udhamini wa UNESCO limekamilisha mtaala wa mafunzo ya uandishi wahabari kwa ngazi za 4 hadi 6 (level 4 – 6) ambazo ni ngazi za cheti (basic certificate), cheti <strong>cha</strong> juu(advanced cerificate) <strong>na</strong> diploma. Mtaala huu utaviwezesha Vyuo vya Uandishi wa Habariambavyo vimesajiliwa kuweza kupata ithibati ya NACTE <strong>na</strong> hivyo vyeti vyake kutambuliwa rasmi.Wizara i<strong>na</strong>fuatilia kwa karibu m<strong>cha</strong>kato huu ambao Serikali i<strong>na</strong>amini utasaidia kukuza kiwango<strong>cha</strong> taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara yangu i<strong>na</strong>penda pia kulipongeza Baraza la Habari kwakazi nzuri li<strong>na</strong>loifanya ya kusikiliza malalamiko ya wa<strong>na</strong>nchi ambao hawatendewi haki <strong>na</strong> baadhiya vyombo vya habari. Baraza li<strong>na</strong>fanya kazi hiyo nzuri li<strong>cha</strong> ya kutokuwa <strong>na</strong> uwezo waKimahakama wa kutoa adhabu. Wizara itaendelea kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza katika utekelezaji wajukumu lake hilo muhimu kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kutambua umuhimu wa maadili katika kuendeleza taalumaya habari nchini, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Jukwaa la Wahariri <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> wamiliki wa vyombovya Habari katika kuelimisha <strong>na</strong> kuhimiza waandishi wa habari kuzingatia maadili katika utendajiwao wa kazi. Jitihada hizi za ushirikiano tayari zimeanza kuzaa matunda.Mheshimiwa Naibu Spika, ni matumaini ya Wizara yangu kuwa juhudi hizi za pamoja katiya Serikali <strong>na</strong> wadau wote wa habari zitasaidia katika kuimarisha sekta ya habari ili iendelee kutoam<strong>cha</strong>ngo mkubwa katika kuharakisha maendeleo <strong>na</strong> ustawi wa nchi yetu.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko wa Maendeleo yaVija<strong>na</strong> umeendelea kuimarishwa ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kutoa mikopo kwa vija<strong>na</strong> kupitia SACCOS.Mpaka kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, jumla ya SACCOS 242 zilikopeshwa Shilingi 1,210,000,000. Aidha,muda wa marejesho ya fedha, ambao ni mwaka mmoja tangu SACCOS ilipokopeshwa,umekamilika. Mpaka sasa, jumla ya Shilingi 46,350,000 zimerejeshwa <strong>na</strong> SACCOS tisa (9) kutokaHalmashauri za Wilaya ya Muheza, Kilolo, Mbarali, Manispaa ya Lindi <strong>na</strong> SACCOS moja kutokaManispaa ya Ilala. SACCOS zilizorejesha zitakopeshwa te<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2010 zimeratibiwa <strong>na</strong>kukimbizwa katika Mikoa yote 26 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya kaulimbiu “MalizaMalaria, Malaria haikubaliki”. Mbio hizo pia zilitumika kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> hasa vija<strong>na</strong>kushiriki katika shughuli za maendeleo hususan zile za kiuchumi, kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> maambukizi yavirusi vya UKIMWI, dawa za kulevya, vitendo vya rushwa <strong>na</strong> ukatili dhidi ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong>kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi kujitokeza kupiga kura kwa amani wakati wa U<strong>cha</strong>guzi Mkuu wa Rais,Wabunge <strong>na</strong> Madiwani mwaka 2010. Kupitia mbio za Mwenge wa Uhuru, jumla ya miradi 1,393yenye thamani ya shilingi 146,464,203,<strong>11</strong>6.29 iliwekewa mawe ya msingi <strong>na</strong> mingine ilizinduliwawakati wa mbio hizo. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuratibu maandalizi ya mbio za Mwenge kwa mwaka20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, vija<strong>na</strong> kutoka sehemu mbalimbali za nchi yetu walishiriki katikaWiki ya Vija<strong>na</strong>, kilele <strong>cha</strong> mbio za Mwenge wa Uhuru <strong>na</strong> maonesho ya wajasiriamali <strong>na</strong>waelimishaji vija<strong>na</strong> yaliyofanyika katika viwanja vya Mwanga Mjini Kigoma. Jumla ya taasisi 176 zavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali walishiriki maonesho hayo yaliyoanza tarehe 8 hadi 13 Oktoba, 2010.Wakati wa maonesho ya Wiki ya Vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi walielimishwa masuala mbalimbali ikiwa nipamoja <strong>na</strong> majukumu ya<strong>na</strong>yotekelezwa <strong>na</strong> Serikali <strong>na</strong> taasisi zake, wadau wa maendeleo <strong>na</strong>kupewa elimu ya ujasiriamali, afya ya uzazi <strong>na</strong> VVU/UKIMWI. Pamoja <strong>na</strong> maonesho hayo, jumla yawatu 936 walijitokeza kupima VVU, kati yao wa<strong>na</strong>ume walikuwa 556 <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake walikuwa 380ambapo watu 15 kati yao wa<strong>na</strong>wake wa<strong>na</strong>ne (8) <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ume saba (7) walikuwawameambukizwa VVU, sawa <strong>na</strong> asilimia mbili ya watu waliojitokeza kupima VVU.Mheshimiwa Naibu Spika, katika jitihada za kuhakikisha vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>pata stadi zamaisha <strong>na</strong> kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto za utandawazi zi<strong>na</strong>zowakabili, ikiwa ni pamoja <strong>na</strong>kuwapatia elimu sahihi ya afya ya uzazi <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> VVU/UKIMWI, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>23


Shirika la Idadi ya watu Duniani (UNFPA) ime<strong>cha</strong>pisha Mwongozo wa Stadi za Maisha kwa vija<strong>na</strong>kwa lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> Kiingereza. Mwangozo huo utatumiwa <strong>na</strong> waelimishaji rika, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>wadau mbalimbali katika kuwapatia Vija<strong>na</strong> stadi za maisha. Aidha Mwongozo huo umezinduliwa rasmitarehe 25 Juni, mwaka 20<strong>11</strong>. Mafunzo ya awali yametolewa kwa Maofisa Vija<strong>na</strong> wa Wilaya <strong>na</strong>Mikoa juu ya matumizi sahihi ya mwongozo huo ili waweze kuutumia katika majukumu yao yakuwaendeleza vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi nyingine za Kitaifa <strong>na</strong>Kimataifa imeendelea kuwahamasisha <strong>na</strong> kuwahimiza wa<strong>na</strong>nchi juu ya umuhimu wa kushirikikatika shughuli za kujitolea. Aidha, siku ya kujitolea duniani imeadhimishwa Kitaifa Mkoani Dar esSalaam tarehe 5 Desemba, 2010.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara pia, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi za Vija<strong>na</strong>, Shirika laMaendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) <strong>na</strong> wadau wa maendeleo ya Vija<strong>na</strong>, imeadhimisha sikuya Vija<strong>na</strong> Duniani sambamba <strong>na</strong> uzinduzi wa mwaka wa Vija<strong>na</strong>, iliyofanyika tarehe 12 Agosti,2010 Mkoani Dar es Salaam ambapo vija<strong>na</strong> wapatao 200 kutoka asasi mbalimbali za vija<strong>na</strong>, VyuoVikuu <strong>na</strong> Taasisi nyingine za elimu walikuta<strong>na</strong> <strong>na</strong> kujadili kwa pamoja utekelezaji wa Mpango waVija<strong>na</strong> Duniani uliopitishwa <strong>na</strong> Umoja wa Mataifa (World Programme of Action for Youth) <strong>na</strong>kuweka maazimio ya pamoja ya utekelezaji wa mpango huo kwa mwaka 20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali ya Japan kupitia Ubaloziwake hapa Nchini imeendeleza Mpango wa Vija<strong>na</strong> wa Meli (Ship for the World Youth Program),ambao huwakutanisha vija<strong>na</strong> kutoka nchi mbalimbali duniani <strong>na</strong> kujadili masuala mbalimbali yakiuchumi <strong>na</strong> kijamii ndani ya Meli i<strong>na</strong>yosafiri kwa takribani miezi mitatu. Katika programu hii, mwaka2010/20<strong>11</strong>, vija<strong>na</strong> <strong>11</strong> kutoka Mikoa ya Morogoro, Manyara, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaampamoja <strong>na</strong> Zanzibar waliunga<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzao kutoka nchi zifuatazo:- Australia, Bahrain, Jamhuri yaBrazil, Chile, Jamhuri ya kisiwa <strong>cha</strong> Fiji, Japan, Mexico, “Oman”, Kisiwa <strong>cha</strong> Solomon, <strong>na</strong> Jamhuriya Vanuata. Shughuli hiyo ilianza mwezi Januari hadi Machi 20<strong>11</strong>, ambapo jumla ya vija<strong>na</strong> 274walishiriki.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Kazi Duniani (ILO) iliendeleakuratibu utekelezaji wa shughuli zilizo chini ya Kamisheni ya Afrika zi<strong>na</strong>zolenga kukuza ujasiriamalikwa vija<strong>na</strong>. Halmashauri za Wilaya 12 za majaribio ya kukuza utamaduni wa ujasiriamali kwavija<strong>na</strong> ziliteuliwa. Aidha, vija<strong>na</strong> 50 wenye Shahada ya Kwanza waliteuliwa <strong>na</strong> kupewa mafunzochini ya mpango huu <strong>na</strong> kupewa jukumu la kusimamia <strong>na</strong> kuratibu programu hiyo ya ujasiriamalikatika Wilaya hizo 12. Wilaya hizo ni Lindi Mjini, Mtwara Vijijini, Bagamoyo, Handeni, Mpanda,Musoma Mjini, Rufiji, Singida Mjini, Manispaa ya Tabora, Unguja Kaskazini A, Micheweni <strong>na</strong>Urambo. Chini ya mpango huu Mfuko wa Kuwawezesha Vija<strong>na</strong> Wajasiriamali (Youth to YouthFund) umeanza kazi ambapo vija<strong>na</strong> wajasiriamali walitangaziwa juu ya kutayarisha Andiko laMiradi (Business Proposal) <strong>na</strong> walioshinda kwa vigezo vilivyowekwa <strong>na</strong> mpango huu walipatiwafedha za kuendesha shughuli zao za kiuchumi. Mpango huu ulitenga shilingi 160,557,821.35 kwalengo hilo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Watoto Duniani (UNICEF)imefuatilia utendaji wa shughuli za maendeleo ya Vija<strong>na</strong> katika mitandao sita ya vija<strong>na</strong> walio njeya shule (Out of School Youth Network) i<strong>na</strong>yofadhiliwa <strong>na</strong> UNICEF katika Wilaya sita za mfanoambazo ni Makete, Temeke, Bagamoyo, Hai, Siha <strong>na</strong> Magu. Lengo ni kuhakikisha kuwa mitandaoya vija<strong>na</strong> i<strong>na</strong>fanya shughuli zi<strong>na</strong>zolenga maendeleo ya vija<strong>na</strong> kama ilivyoelekezwa katika Sera yaMaendeleo ya Vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizaraimeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kufanya Maboresho ya Sera ya Utamaduni ya mwaka 1997 pamoja<strong>na</strong> Sheria Na.4 ya mwaka 1976 ya Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Jukwaani. Kadhalikaimeboresha Sheria Na. 23 ya BASATA ya mwaka 1984 pamoja <strong>na</strong> kukamilisha Hati ya kuanzishaMfuko wa Utamaduni Tanzania (Trust Deed) ya mwaka 1998. Aidha, Wizara imesimamia <strong>na</strong>kuendesha Tamasha la 29 la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wa Mtanzania la Bagamoyo tarehe 27Septemba hadi 2 Oktoba, 2010. Tamasha hili liliongozwa <strong>na</strong> kaulimbiu “Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni24


katika kukuza <strong>na</strong> kuimarisha Demokrasia”. Vikundi mbalimbali vya fani za utamaduni vya ndani <strong>na</strong>nje ya nchi vilishiriki.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imeandaa <strong>na</strong> kurusha jumla ya vipindi 50 vya “Lugha yaTaifa”, vipindi 49 vya “Kumepambazuka” katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili”katika televisheni ambavyo vimesaidia wa<strong>na</strong>nchi kuelewa maa<strong>na</strong>, matumizi <strong>na</strong> maendeleo yaKiswahili. Wizara pia, iliandaa Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni uliofanyika Jijini Mwanzatarehe 12 hadi 17 Desemba, 2010 ulioshirikisha wadau 300. Mkutano huu uliongozwa <strong>na</strong> kaulimbiu“Sa<strong>na</strong>a ni Ajira, Tuithamini”. Kadhalika Wizara iliratibu <strong>na</strong> kusimamia vikundi tisa (9) vya ngoma zaasili vilivyoshiriki Maadhimisho ya sherehe za kitaifa pamoja <strong>na</strong> maadhimisho ya Siku ya UtamaduniDuniani, yaliyofanyika Mkoani Mara tarehe 19 hadi 21 Mei, 20<strong>11</strong> ambapo vikundi 13 vilishiriki.Kimoja kilitoka katika kijiji <strong>cha</strong> Butiama kwa lengo la kumuenzi muasisi wa Taifa letu, hayati Babawa Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imesimamia kazi ya ujenzi wa Jumba la Utamaduni eneola Kiromo Mkoani Pwani <strong>na</strong> hadi sasa kibali <strong>cha</strong> kumiliki eneo hilo la ekari 100 kimepatika<strong>na</strong>,barabara i<strong>na</strong>younganisha barabara kuu ya Bagamoyo – Dar es Salaam <strong>na</strong> eneo la mradiimetengenezwa. Kadhalika, eneo la ekari 25 katika eneo la Mabwepande huko Bunju Mkoani Dares Salaam, ambapo kitajengwa Kituo <strong>cha</strong> Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrikalimepatika<strong>na</strong>. Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika imetambulishwa kwa kufanyaMikutano <strong>na</strong> wadau watakaowezesha <strong>na</strong> kusaidia utekelezaji wake. Wadau hao ni viongozi wangazi za juu wakiwemo Makatibu Wakuu <strong>na</strong> Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara zote za Serikali yaMuungano <strong>na</strong> Serikali ya Mapinduzi Zanzibar <strong>na</strong> Watendaji Wakuu wa Wizara, Idara <strong>na</strong> Taasisimbalimbali za Serikali <strong>na</strong> zisizo za Serikali.Mheshimiwa Naibu Spika, ni wajibu wa Wizara kuimarisha, kukuza <strong>na</strong> kuendesha lughayetu ya Kiswahili kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano. Wajibu huo ni pamoja <strong>na</strong> kuratibu <strong>na</strong>kuhakikisha ustawi <strong>na</strong> maendeleo ya utumiaji wa Kiswahili kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> asasi zi<strong>na</strong>zohusika <strong>na</strong>uendelezaji wa lugha hii hapa nchini. Ili kusimamia <strong>na</strong> kufuatilia matumizi fasaha <strong>na</strong> sanifu yalugha hii hapa nchini, Wizara i<strong>na</strong>o wajibu wa kutoa ithibati ya vitabu vya kiada vi<strong>na</strong>vyotungwa aukufasiriwa kwa Kiswahili kwa mahitaji ya shule <strong>na</strong> kwa watu bi<strong>na</strong>fsi ili kusimamia <strong>na</strong> kufuatiliamatumizi fasaha <strong>na</strong> sanifu.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Baraza la Kiswahili laTaifa (BAKITA) limeratibu <strong>na</strong> kutoa huduma ya ukalimani wa Kiswahili kwenye Mikutano ya Umojawa Afrika (AU) iliyofanyika Kampala, <strong>na</strong> Addis Ababa, Mikutano ya Bunge la Afrika iliyofanyikaMidrand, Afrika Kusini mwezi Oktoba 2010 <strong>na</strong> Mei 20<strong>11</strong>. Vilevile lilitoa huduma ya kutafasiri hatimbalimbali zikiwemo hati za bidhaa zi<strong>na</strong>zopitishwa bandarini, vyeti vya shule, ndoa, kuzaliwa <strong>na</strong>hati za talaka. Hali kadhalika Kitabu <strong>cha</strong> “Mwongozo kwa Waandishi wa Kiswahili Sanifu”kimefanyiwa marekebisho <strong>na</strong> kupelekwa Wizara ya Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi kupatiwa cheti<strong>cha</strong> ithibati ili kiweze kutumika katika shule za msingi, sekondari <strong>na</strong> vyuoni kama kitabu <strong>cha</strong> kiada.Aidha, makala ndefu zikiwemo Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ushirikiano wa AfrikaMashariki <strong>na</strong> Kanuni za Uvuvi za Wizara ya Maendeleo ya Mifugo <strong>na</strong> Uvuvi, baadhi zimefasiriwakutoka lugha ya Kiswahili kwenda Kiingereza <strong>na</strong> nyingine kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA) liliundwa kwa Sheria yaBunge Na. 23 ya mwaka 1984. Baraza lilipewa dhama<strong>na</strong> ya kuhimiza Maendeleo ya Sa<strong>na</strong>a zaMuziki, Sa<strong>na</strong>a za Maonyesho, Pi<strong>cha</strong> Jongefu (filamu) <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi. Pamoja <strong>na</strong> majukumuhayo Baraza limezindua Programu Maalum ya Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a kwa lengo la kutoa habari zasa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> utamaduni kwa wa<strong>na</strong>nchi. Jumla ya midahalo 41 ilifanyika iliyowashirikisha wasanii,wa<strong>na</strong>habari <strong>na</strong> wadau wa Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wapatao 4353. Kupitia Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a, BASATAimeendesha makongamano yenye lengo la kutoa elimu ya maadili, umuhimu wa usajili, hakimiliki<strong>na</strong> vyama vya wasanii.Mheshimiwa Naibu Spika, BASATA imefanya utafiti wa m<strong>cha</strong>ngo wa sa<strong>na</strong>a katika kuongezapato, ajira <strong>na</strong> kuondoa umaskini, katika Wilaya ya Dodoma, Kibaha, Kinondoni <strong>na</strong> Morogoro.Taarifa imeshatayarishwa <strong>na</strong> kukabidhiwa kwa menejimenti ya BASATA. Utafiti umebaini kwambawasanii hujipatia kipato <strong>na</strong> ajira kupitia shughuli za sa<strong>na</strong>a. Baraza pia limetoa mafunzo ya stadi za25


uchoraji <strong>na</strong> utambaji wa hadithi kwa watoto 200 wa shule nne (4) za msingi kutoka mkoa wa Dares Salaam.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniiliundwa kwa Sheria ya Bunge Na. 4 ya mwaka 1976 kwa lengo la kusimamia maadili katika tasniaya filamu nchini, utoaji wa vibali vya utengenezaji wa filamu <strong>na</strong> leseni za kumbi za sinema. Katikakipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniimesambaza jumla ya <strong>na</strong>kala 150 za Kanuni <strong>na</strong> Sheria ya Filamu Na.4 ya mwaka 1976 kwa wadaumbalimbali. Bodi imeendesha semi<strong>na</strong> kwa wasambazaji wa filamu ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirikisho laFilamu <strong>na</strong> Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni, pia imefahamisha wadau wengine kuhusuSheria hii. Kazi nyingine zilizofanyika ni pamoja <strong>na</strong> kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Filamu <strong>na</strong>Michezo ya Jukwaani <strong>na</strong> kuandaa Waraka wa Baraza la Mawaziri, <strong>na</strong> baadaye kupata Sheriaitakayolinda maadili ya Taifa kupitia tasnia ya filamu.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi imeandaa orodha ya filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa nchinikwa lengo la kufahamu idadi ya filamu, maudhui, watengenezaji, wasambazaji <strong>na</strong> mapatoya<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> eneo hili. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hatua hiyo, filamu 96 zilitengenezwa, <strong>na</strong>kala 66,800zilizalishwa <strong>na</strong> wastani wa shillingi 1,226,500,000/= zilipatika<strong>na</strong>. Filamu 50 za African Magic ziliuzwakwa takribani shillingi 57,765,000/= <strong>na</strong> nyingine kupelekwa Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda,Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Zambia, Malawi, Madagascar, Nigeria, Italia, Australia,Marekani <strong>na</strong> Ufaransa. Bodi imekagua filamu 105 <strong>na</strong> Miswada ya Filamu 65 <strong>na</strong> kuiweka katikamadaraja. Filamu 5 kati ya hizo zilipewa Daraja la R kwa maa<strong>na</strong> ya kukataza filamu hizokuoneshwa katika hadhara kwa kuwa zimekiuka maadili ya Kitanzania. Kadhalika imetoa vibali 53vya utengenezaji wa filamu kwa watengenezaji wa filamu kutoka nje ya nchi. Bodi imeendeleakutoa ushauri kwa wadau wake ili kuinua viwango <strong>na</strong> kuboresha kazi zao kimaadili.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi ya Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa) ilianzishwatarehe 2 Novemba, 2007 kwa Tangazo la Serikali Na. 220 kwa mujibu wa Sheria ya kuanzishwa kwaWakala wa Serikali Na. 30 ya mwaka 1997. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>,TaSuBa imeendesha mafunzo ya Stashahada kwa washiriki 122 <strong>na</strong> mafunzo ya muda mfupi kwawasanii 80 walioko kazini. Aidha imekamilisha mitaala ya Shahada ya Kwanza kwa masomo yaSa<strong>na</strong>a za Maonyesho <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi. Pia, imekamilisha kuandaa mtaala wa mafunzo yaCheti ya Uzalishaji <strong>na</strong> Usanifu wa Muziki. Mtaala huu utawasilishwa Baraza la Taifa la Mafunzo yaUfundi ili kupata ithibati <strong>na</strong> kwamba TaSUBa i<strong>na</strong>tarajia kuanza kutoa mafunzo hayo mwaka wamasomo wa 20<strong>11</strong>/12.Mheshimiwa Naibu Spika, TaSUBa imeendeleza ushirikiano <strong>na</strong> washirika wake, kikiwemo ChuoKikuu <strong>cha</strong> Stavanger <strong>na</strong> Shule ya Utamaduni ya Stavanger ya Norway chini ya mradi wa NorwayTanzania (NOTA). Awamu ya pili ya mradi huu ilikwisha mwezi Juni 20<strong>11</strong>. Hata hivyo, Taasisiimeandaa andiko la mradi wa NOTA awamu ya tatu. Andiko hili litawasilishwa kwa Serikali yaNorway ambao ni wahisani wa mradi huu. Taasisi iliendesha Tamasha la Sa<strong>na</strong>a la 29 la Bagamoyo,lililofanyika tarehe 27 Septemba, hadi tarehe 2 Oktoba, 2010 <strong>na</strong> kaulimbiu yake ilikuwa ‘Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>Utamaduni katika kukuza <strong>na</strong> kuimarisha Demokrasia’.Mheshimiwa Naibu Spika, Mfuko wa Utamaduni Tanzania ni chombo ambachokilianzishwa <strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wahisani wa nje ili kusaidia vikundi vya wasanii vyenye miradiya maendeleo. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko umeendeleza vituo vyautamaduni <strong>na</strong> masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong> Morogoro kwa kulipia ada za viwanja <strong>na</strong>kuanza maandalizi ya utengenezaji wa sehemu za kufanyia maonyesho wakati wa Maadhimishoya Nane Nane. Kadhalika, Mfuko umeendeleza viwanda vidogovidogo asilia vya nguo katikaMikoa ya Tanga, Singida, Ruvuma <strong>na</strong> Pemba.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Wizara kupitiaIdara ya Maendeleo ya Michezo imeboresha Uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam kwa kuwekaviti vya kukaa watazamaji 20,000. Ukarabati huo u<strong>na</strong>endelea. Kadhalika, Wizara iligharamia ushirikiwa timu za Taifa zenye wachezaji 30 <strong>na</strong> viongozi 13 wa michezo ya Riadha, Kuogelea, Mpira waMeza, Ngumi katika Michezo ya Jumuiya ya Madola iliyofanyika huko India. Aidha, ilishiriki katikamikutano ya kimataifa ya kujenga uwezo <strong>na</strong> mahusiano ya kimichezo Kimataifa. Washiriki wakuu26


wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Barani Afrika, TAFISA CABOS <strong>na</strong> Jumuiya ya Madola. Pia, Wizaraimetoa huduma mbalimbali kwa mako<strong>cha</strong> wageni wa michezo ya Riadha, Ngumi, Netiboli, Judo<strong>na</strong> Mpira wa Miguu kwa lengo la kuinua viwango vya michezo hiyo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imefanya kazi ya kudurusu Katiba za Vyama vyaMichezo 55 <strong>na</strong> kusajili vyama, vituo <strong>na</strong> vilabu vya michezo 299. Kutoa huduma ya tiba <strong>na</strong> kinga <strong>na</strong>upimaji wa wachezaji wa michezo ya mpira wa miguu, ngumi za ridhaa, netiboli, mpira wa mikono<strong>na</strong> mpira wa kikapu. Kadhalika, imeendelea kutoa huduma ya ushauri kwa wadau kuhusumasuala mbalimbali ya michezo, kujenga bweni la wa<strong>na</strong>funzi lenye uwezo wa kulala wa<strong>na</strong>funzi 64<strong>na</strong> kuweka umeme wa gridi ya Taifa katika Chuo <strong>cha</strong> Maendeleo ya Michezo kilichoko MalyaMkoani Mwanza. Wizara imeendelea kutoa mafunzo ya Stashahada ya ufundishaji Michezo <strong>na</strong>Stashahada ya Uongozi wa Michezo katika Chuo hiki. Pia imeendelea kutoa mafunzo ya mudamfupi ya uongozi <strong>na</strong> utawala katika michezo, ufundishaji <strong>na</strong> uamuzi katika vituo vya michezo vyaKanda ya Arusha, Songea <strong>na</strong> Dar es Salaam ambapo jumla ya wataalamu <strong>na</strong> Walimu wamichezo 230 walipata mafunzo hayo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imeendelea <strong>na</strong> zoezi la kuwapandisha vyeo watumishi wa<strong>na</strong>ostahilikulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> miundo ya utumishi ya kada zao <strong>na</strong> kwa kuzingatia Sera ya Menejimenti <strong>na</strong> Ajira katika Utumishi waUmma ya mwaka 1999 <strong>na</strong> 2008. Katika mwaka wa 2010/20<strong>11</strong>, watumishi 47 walipandishwa vyeo, watumishi 12walithibitishwa kazini <strong>na</strong> watumishi 13 waliajiriwa katika <strong>na</strong>fasi mbalimbali kupitia Sekretarieti ya Ajira. Aidha, Wizaraimewezesha kutoa mafunzo kwa Watumishi 49, kati ya hao 39 wamepata mafunzo ya muda mfupi ndani <strong>na</strong> nje yanchi <strong>na</strong> watumishi 10 wa<strong>na</strong>hudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka 2010/20<strong>11</strong>, Wizaraimekamilisha uandaaji wa Miundo ya Utumishi ya Kada za Maofisa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Miundo hii imezingatia matakwa <strong>na</strong> mahitaji ya watumishi hawa ndani ya Wizara <strong>na</strong> Mamlaka zaMikoa <strong>na</strong> Serikali za Mitaa. Miundo hii tayari imewasilishwa katika Ofisi ya Rais, Menejimenti yaUtumishi wa Umma, ambayo kupitia Baraza Kuu la Utumishi Serikalini itairidhia ili ianze kutumiwa <strong>na</strong>Mamlaka za Ajira nilizozitaja.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuimarisha Utawala Bora <strong>na</strong> ushirikishwaji wa WafanyakaziSehemu za kazi, Wizara imekuwa ikifanya vikao vya Baraza la Wafanyakazi ili kuweza kutatua kerombalimbali zi<strong>na</strong>zowakabili watumishi wa Wizara. Aidha, Wizara imehakikisha kwamba Watumishiwapya waliojiunga <strong>na</strong> Utumishi wa Umma kwa mara ya kwanza wa<strong>na</strong>pewa mafunzo elekeziambayo lengo lake ni kuwapa mwelekeo wa utendaji katika Serikali ikiwemo kuwafahamishamatarajio ya mwajiri, taratibu za utumishi <strong>na</strong> Maadili katika Utumishi wa Umma.Mheshimiwa Naibu Spika, ili kuhakikisha kuwa rasilimali za Wizara zi<strong>na</strong>tumika vizuri <strong>na</strong> kwamadhumuni yaliyowekwa, Wizara imeendelea kutumia Kamati ya Kuratibu, Kusimamia <strong>na</strong> KudhibitiMapato <strong>na</strong> Matumizi ya Serikali pamoja <strong>na</strong> Kamati ya Ukaguzi ya Wizara kuhakikisha ku<strong>na</strong>kuwepomatumizi sahihi ya fedha zilizotengwa kutekeleza shughuli mbalimbali. Aidha, Wizara imeendeleakusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2001 kama ilivyorekebishwamwaka 2004 pamoja <strong>na</strong> Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2001 kwa lengo la kupunguza mianya yarushwa <strong>na</strong> kutoa huduma zenye viwango vi<strong>na</strong>vyokubalika.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Habari, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekelezayafuatayo:-· Kukusanya maoni ya wa<strong>na</strong>nchi kupitia Tovuti ya Wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> kufuatilia ili kuo<strong>na</strong> hoja hizo zi<strong>na</strong>patiwa majibustahiki.· Kuratibu shughuli za Vitengo vya Habari, Elimu <strong>na</strong> Mawasiliano, kutoa mafunzo ya utoaji habari za Serikalikwa maofisa habari wa vitengo hivyo katika Wizara, Idara zi<strong>na</strong>zojitegemea, Wakala za Serikali, Taasisi zaUmma, Mashirika ya Umma <strong>na</strong> Serikali za Mitaa.· Kuendeleza mipango <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kuanzisha mtandao wa kulinda <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong> popote dunianikupitia mradi wa “e-commerce”. Mtandao huo utawawezesha wadau kupata pi<strong>cha</strong> hizi popote walipokwa gharama <strong>na</strong>fuu kutoka katika maktaba ya pi<strong>cha</strong> lakini pia utalinda pi<strong>cha</strong> hizo zisiibiwe.27


· Kutafuta <strong>na</strong> kuanzisha sehemu nyingine nje ya maktaba ya pi<strong>cha</strong> ya Dar es Salaam ambapo pi<strong>cha</strong>zilizohifadhiwa katika CD zitaweza kuhifadhiwa ili kuepuka uwezekano wa kupoteza kumbukumbu hizoendapo litatokea janga lolote kama moto katika maktaba ya pi<strong>cha</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)pamoja <strong>na</strong> shughuli zake za kawaida limejipanga kuweka mfumo bora zaidi wa kudhibiti matangazo <strong>na</strong> kununuajenereta la kituo <strong>cha</strong> Mbeya.Mheshimiwa Naibu Spika, malengo ya utekelezaji ya mwaka 20<strong>11</strong>/2012, kwa upande waKampuni ya Magazeti ya Serikali ni kuimarisha <strong>na</strong> kuongeza ubora wa magazeti <strong>na</strong> kupanuausambazaji Mikoani. Kadhalika, kuanzisha Gazeti la Kiswahili la Michezo <strong>na</strong> kutafuta fedha zaununuzi wa mashine za ku<strong>cha</strong>pa vitabu, kalenda <strong>na</strong> vipeperushi.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya vija<strong>na</strong>. Katika mwaka wa fedha20<strong>11</strong>/2012, Wizara imepanga kutekeleza malengo yafuatayo:-· Kuratibu Mbio za Mwenge wa Uhuru <strong>na</strong> Wiki ya Vija<strong>na</strong>.· Kufuatilia marejesho ya fedha walizokopeshwa Vija<strong>na</strong> kupitia SACCOS <strong>na</strong> kuendeleakuwawezesha Vija<strong>na</strong> kiuchumi kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vija<strong>na</strong> chini ya utaratibuwa SACCOS za Vija<strong>na</strong>.· Ku<strong>cha</strong>pisha <strong>na</strong> kusambaza mkakati wa ushiriki <strong>na</strong> ushirikishwaji wa Vija<strong>na</strong> katika shughuliza maendeleo ya kijamii.· Kuendeleza ushirikiano bai<strong>na</strong> ya Wizara, Taasisi za Serikali <strong>na</strong> Jumuiya za Kikanda <strong>na</strong> zileza Kimataifa, pia kuwezesha vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> watendaji wa masuala ya vija<strong>na</strong> kushiriki <strong>na</strong>kutekeleza mikakati ya Jumuiya za Kimataifa ya maendeleo ya vija<strong>na</strong>.· Kuendelea kuwahamasisha vija<strong>na</strong> kuunda vikundi vya pamoja vya kuzalisha mali,kuwashauri <strong>na</strong> kuwaelekeza jinsi ya kusajili taasisi <strong>na</strong> vikundi vyao <strong>na</strong> kuzishawishi taasisi zakifedha <strong>na</strong> mamlaka nyingine kutoa huduma rafiki kwa vija<strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zolenga ustawi wavija<strong>na</strong> kiuchumi.· Kuendelea kuwahimiza vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa ujumla kushiriki katika shughuli za kujitoleakatika maeneo yao.· Kuendelea <strong>na</strong> mpango wa kuwawezesha waelimishaji rika juu ya Mwongozo mpya waStadi za Maisha kwa Vija<strong>na</strong> kwa lengo la kufahamu matumizi yake <strong>na</strong> kisha kuutumiakatika shughuli zao za kila siku za utoaji wa elimu kwa vija<strong>na</strong>.· Kuendelea <strong>na</strong> kazi ya ukarabati wa Vituo vya Vija<strong>na</strong> vya Ilonga- Kilosa, Sasanda-Mbozi <strong>na</strong>Marangu- Moshi.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya utamaduni. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwakawa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekeleza yafuatayo:-· Kuhifadhi <strong>na</strong> kusambaza matokeo ya utafiti <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>pisha vijarida vya mila <strong>na</strong> desturi.· Kuendesha utafiti wa mila <strong>na</strong> desturi katika jamii 20.· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya radio <strong>na</strong> runinga vya Maadili ya Mtanzania.· Kuratibu <strong>na</strong> kuendesha Mpango wa kuibua vipaji kwa watoto wa shule za msingi katikafani mbalimbali.· Kusimamia <strong>na</strong> kuratibu vikundi vya ngoma za asili vi<strong>na</strong>vyoshiriki katika Maadhimisho yaSherehe za Kitaifa.28


· Kusimamia usambazaji wa ma<strong>cha</strong>pisho, majarida <strong>na</strong> vitabu vya Kiswahili katika vituo vyautamaduni vya ofisi za ubalozi wa Tanzania zilizoko nje ya nchi pamoja <strong>na</strong> kutathminiufundishaji wa Kiswahili katika vituo hivyo.· Kufanya utafiti wa lugha za asili katika jamii 12 nchini.· Kuendesha mafunzo ya lugha ya Kiswahili sanifu kwa Waandishi <strong>na</strong> Wahariri wa Vyombovya Habari <strong>na</strong> kuendesha maonyesho ya ma<strong>cha</strong>pisho ya lugha ya Kiswahili Kitaifa <strong>na</strong>Kimataifa.· Kuratibu <strong>na</strong> kusimamia maadhimisho ya siku ya Utamaduni Duniani.· Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha Mpango wa Kudumu wa Utamaduni katika kanda sita zaUtamaduni.· Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha Tamasha la 30 la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wa Mtanzanialitakalofanyika huko Bagamoyo.· Kusimamia ujenzi wa Jumba la Utamaduni eneo la Kiromo, Mkoa wa Pwani. Kushughulikiaumilikishwaji wa eneo kitakapojengwa Kituo <strong>cha</strong> Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Barala Afrika <strong>na</strong> kuandaa vikao vya Kamati ya uongozi vitakavyopitia <strong>na</strong> kujadili utekelezaji wam<strong>cha</strong>kato wa ujenzi.· Kukusanya taarifa muhimu zi<strong>na</strong>zohusu Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kwakushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wizara, Idara <strong>na</strong> Taasisi mbalimbali.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Baraza la KiswahiliTanzania (BAKITA) limepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa”, vipindi 52 vya “Kumepambazuka”katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili” katika televisheni.· Kuendelea kusoma Miswada ya vitabu vya taaluma <strong>na</strong> kuipatia ithibati ya lugha.· Kuratibu <strong>na</strong> kutoa huduma ya tafsiri <strong>na</strong> ukalimani katika mikutano ya kitaifa <strong>na</strong> kimataifa<strong>na</strong> shughuli za Mashirika, makampuni <strong>na</strong> watu bi<strong>na</strong>fsi.· Kuendelea kuchunguza makosa ya Kiswahili ya<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> vyombo vya habari <strong>na</strong>watumiaji wengine <strong>na</strong> kusambaza masahihisho yake.· Kukarabati <strong>na</strong> kuboresha baadhi ya majengo ya NIC yaliyopo Kijitonyama, Dar esSalaam, yaliyonunuliwa ili yaweze kukidhi mahitaji ya kiofisi ili Balaza la Kiswahili Tanzania(BAKITA) lihamie katika majengo hayo <strong>na</strong> kuyatumia kama ofisi zake mpya.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, BASATA imepangakutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuratibu midahalo 52 kupitia Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a kwa Wasanii, Waandishi wa Habari <strong>na</strong>Wadau wa Sa<strong>na</strong>a 3,600.· Kuendesha mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a kwa Walimu 100 katika Wilaya mbili za Mkoa wa Morogorokuhusu utambaji wa hadithi <strong>na</strong> uchoraji.· Kuratibu <strong>cha</strong>guzi za viongozi wa mashirikisho manne ya Sa<strong>na</strong>a.· Kuandaa mkutano wa wahisani wa utunishaji Mfuko kwa ajili ya kutekeleza MpangoMkakati wa Baraza la Sa<strong>na</strong>a Tanzania (BASATA) wa mwaka 20<strong>11</strong> hadi 2014.29


· Kuandaa onyesho moja la sarakasi kwa kushirikisha wasanii wa ndani <strong>na</strong> nje ya nchi kwalengo la kutunisha mfuko kwa ajili ya utekelezaji Mpango Mkakati wa BASATA.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012 Bodi ya Filamuimepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kupitia Miswada 240 ya Filamu <strong>na</strong> kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu maboresho ya filamu<strong>na</strong> uzingatiaji wa maadili.· Kukagua filamu 240, kutoa ushauri wa maboresho ya filamu hizo <strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kama maadiliyamezingatiwa, pia kuhakikisha filamu hizo zi<strong>na</strong>kidhi viwango vya kuingia sokoni <strong>na</strong>kupanga filamu hizo katika madaraja.· Kuhakikisha kwamba filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa zi<strong>na</strong>zingatia maadili ya Kitanzania,zi<strong>na</strong>tangaza Taifa <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zingatia Sheria ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaani Na. 4ya mwaka 1976 <strong>na</strong> Kanuni zake.· Kutoa vibali 60 vya kutengeneza filamu kwa watengenezaji wa filamu wa nje <strong>na</strong> ndani yanchi.· Kutoa vibali saba (7) vya uzinduzi <strong>na</strong> matamasha ya filamu.· Kutoa vibali vitano (5) vya wasanii wa filamu kutoka nje ya nchi wa<strong>na</strong>okuja kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>watengeneza filamu wa nchini.· Kuandaa Tamasha la Filamu za Kitanzania kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirikisho la Filamu.· Kutoa leseni za uendeshaji kumbi za maonyesho ya filamu.· Kuendelea <strong>na</strong> zoezi la kuandaa orodha ya filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa nchini kwa lengo lakufahamu idadi ya filamu, maudhui, watengenezaji, wasambazaji, mapato <strong>na</strong> idadi yafilamu zi<strong>na</strong>zouzwa nje ya nchi.· Kuendelea <strong>na</strong> ukusanyaji wa takwimu za Tasnia ya Filamu nchini ili kuwajua <strong>na</strong>kuwatambua watunzi wa filamu, watengenezaji, wasambazaji, waigizaji, wapiga pi<strong>cha</strong>,mapromota <strong>na</strong> vibanda visivyo rasmi ili kudhibiti kuzagaa kwa filamu zi<strong>na</strong>zokiuka maadiliya Kitanzania.· Kuweka alama kwenye filamu zote zilizokaguliwa.· Kutoa vitambulisho kwa wasambazaji wa filamu, vitambulisho hivyo vitakuwa vikihuishwakila mwaka.· Kusambaza vipeperushi 3,000 <strong>na</strong> kanuni kwa wadau nchini kote ili kuitangaza Bodi yaFilamu, kutambulisha wajibu wake <strong>na</strong> kuifahamisha jamii maadili ya Taifa.· Kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Filamu, lengo likiwa ni kupata Sheria itakayoenda<strong>na</strong><strong>na</strong> wakati <strong>na</strong> hivyo kuendelea kulinda maadili ya Taifa katika tasnia ya filamu.· Kuimarisha Bodi za Wilaya <strong>na</strong> kutafuta fursa ya kuwapa semi<strong>na</strong> elekezi.· Kufanya operesheni ya filamu zote zisizokaguliwa mara Kanuni za Sheria ya Filamuzitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali.· Kusimamia mapato yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> tasnia ya filamu ili kuongeza pato la Taifa, pato lamsanii <strong>na</strong> kuhakikisha mapato yote ya<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> filamu ya<strong>na</strong>fika Serikalini.30


· Kutoa taarifa katika magazeti kuhusu filamu zote zilizopitishwa, zilizokatazwa <strong>na</strong> madarajazilizopatiwa.· Kuimarisha Sekretarieti ya Bodi kwa kuongeza wataalamu <strong>na</strong> kutafuta fursa za masomo yamuda mrefu <strong>na</strong> mfupi.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, TaSUBa imepangakutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendesha mafunzo ya Stashahada kwa washiriki 120 <strong>na</strong> mafunzo ya muda mfupi kwawasanii 150 walio kazini.· Kukamilisha Mtaala wa shahada ya kwanza ya Sa<strong>na</strong>a za Maonyesho <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi.· Kuendesha Tamasha la 30 la Bagamoyo la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni.· Kuimarisha mafunzo ya cheti katika fani ya uzalishaji <strong>na</strong> usanifu wa muziki kwa washiriki 30.· Kujenga jengo la utawala ikiwa ni sehemu ya mpango kabambe wa TaSUBa.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Mfuko wa Utamaduniumepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendeleza tasnia ya utamaduni katika utaalamu asilia wa usukaji kwa aki<strong>na</strong> mamawaishio vijijini katika Mikoa ya Tanga, Iringa <strong>na</strong> Dodoma.· Uendelezaji wa Vituo vya Utamaduni <strong>na</strong> Masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong> Morogoro.· Kuendeleza tasnia ya utamaduni katika utaalamu asilia wa nguo kwenye Mikoa yaSingida <strong>na</strong> Ruvuma pamoja <strong>na</strong> Visiwa vya Pemba.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya michezo. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wafedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendelea <strong>na</strong> jitihada za kutafuta fedha kwa ajili ya uendelezaji wa awamu ya pili yaUjenzi wa eneo Changamani la Michezo lililoko Jijini Dar es salaam.· Kuanzisha mfumo maalum wa Kitaifa wa kutathmini sifa <strong>na</strong> kutoa madaraja ya Walimuwa Michezo mbalimbali kwa ushirikiano <strong>na</strong> Vyama vya Michezo vya Kitaifa <strong>na</strong> UK-SportInter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l.· Kuratibu maandalizi <strong>na</strong> kuwezesha timu za taifa kushiriki katika michezo ya nchi za Afrikaitakayofanyika nchini Msumbiji mwezi Septemba, 20<strong>11</strong>.· Kuendesha mafunzo ya Stashahada ya Elimu ya ufundishaji michezo, Stashahada yaUongozi <strong>na</strong> Utawala wa Michezo kwa wa<strong>na</strong>chuo wa Chuo <strong>cha</strong> Maendeleo ya MichezoMalya.· Kutoa mafunzo ya muda mfupi ya fani mbalimbali za michezo kwa washiriki katika vituovya michezo Kanda ya Kaskazini (Arusha) <strong>na</strong> Kanda ya Kusini (Songea).· Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu miundombinu <strong>na</strong> vifaa bora vya michezo kwawamiliki, mameneja wa viwanja <strong>na</strong> wadau wengine.· Kuimarisha huduma za Kinga <strong>na</strong> Tiba kwa wa<strong>na</strong>michezo kwa kupima afya, kuendeshakliniki za wazi <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya Kimataifa jijini Dar es Salaam <strong>na</strong> Arusha.31


· Kuhamasisha mamlaka mbalimbali kujenga viwanja vya michezo kama vitega uchumivya mamlaka hizo <strong>na</strong> kuboresha viwanja vilivyopo.· Kuendelea kusajili Vyama <strong>na</strong> Vilabu vya Michezo.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Baraza la Michezo laTaifa (BMT) litatekeleza kazi zifuatazo :-· Kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Halmashauri za Manispaa, Miji <strong>na</strong> Wilaya kuhamasisha <strong>na</strong> kuendeshamatamasha ya michezo kwa jamii.· Kuanzisha <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya ufundishaji michezo kwa viongozi vija<strong>na</strong> kwaushirikiano <strong>na</strong> vyama vya Michezo vya Taifa <strong>na</strong> UK-Sport Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l.· Kuendesha mafunzo ya muda mfupi ya ufundishaji kwa Walimu wa Michezo wapatao 500katika Wilaya 10 za Tanzania Bara.· Kuandaa, Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya Uongozi kwa Vija<strong>na</strong> kupitia michezo kwawashiriki wapatao 1,200 <strong>na</strong> pia kuwashirikisha katika mabo<strong>na</strong>nza wa<strong>na</strong>funzi wapatao2,000 wa shule za Msingi <strong>na</strong> Sekondari.· Kuanzisha mpango maalum wa mafunzo ya Uongozi wa Michezo kwa Wa<strong>na</strong>wake.· Kuendesha mafunzo ya Utawala Bora, kwa Viongozi wa vyama vya Michezo vya Taifakwa lengo la kuongeza ufanisi <strong>na</strong> kuongeza tija katika Sekta ya Michezo.· Kujenga uwezo wa Wafanyakazi wa Baraza la Michezo la Taifa <strong>na</strong> vyama vya Michezovya Taifa kwa kuwaandalia mafunzo ya kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mahitaji yaliyopo.· Kukamilisha marekebisho ya Sheria Na.12 ya Baraza ya mwaka 1967 <strong>na</strong> marekebisho yakeNa.6 ya mwaka 1971.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Utawala <strong>na</strong> Rasilimali Watu. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimekusudia kutekeleza yafuatayo:-· Kufanya mapitio ya mahitaji ya mafunzo kwa watumishi (Training Needs Assessment).· Kuandaa <strong>na</strong> kutekeleza mpango wa mafunzo utakaojumuisha mafunzo ya muda mfupi <strong>na</strong> mrefu ndani<strong>na</strong> nje ya nchi kwa watumishi wa Wizara.· Kupandisha vyeo watumishi wa Wizara walio <strong>na</strong> sifa kwa mujibu wa Nyaraka za Maendeleo ya Utumishiwa Umma.· Kuelimisha Watumishi kuhusu rushwa <strong>na</strong> maadili sehemu za kazi <strong>na</strong> kutoa mafunzo kwa wajumbe waKamati ya Maadili ya Wizara.· Kufanya mafunzo ya mpango wa maendeleo ya rasilimali watu <strong>na</strong> maandalizi ya mfumo wa taarifa zakiutumishi <strong>na</strong> mshahara (Human Capital Ma<strong>na</strong>gement Information system – HCMIS).· Kuendesha kampeni ya ushauri <strong>na</strong>saha <strong>na</strong> kupima Virus vya UKIMWI kwa hiari <strong>na</strong> kutoa huduma ya lishe<strong>na</strong> madawa kwa watumishi walioathirika.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Sera <strong>na</strong> Mipango. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha20<strong>11</strong>/2012 Wizara itatekeleza yafuatayo:-· Kuratibu <strong>na</strong> kukamilisha mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Michezo ya mwaka 1995pamoja <strong>na</strong> Sheria za BAKITA, BASATA, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaani <strong>na</strong>Baraza la Michezo la Taifa.32


· Kufanya tathmini <strong>na</strong> ufuatiliaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwaWizarani, <strong>na</strong> kusimamia utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitatu (2010/20<strong>11</strong> –2012/2013).· Kuratibu masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya<strong>na</strong>yohusu sekta za Wizara, pamoja <strong>na</strong>kubaini fursa za ushirikiano wa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mheshimiwa Naibu Spika, hitimisho, Serikali itaendeleza mafanikio yaliyopatika<strong>na</strong> katika Sektazi<strong>na</strong>zosimamiwa <strong>na</strong> Wizara ili ziweze ku<strong>cha</strong>ngia zaidi katika maendeleo ya nchi yetu. Matarajio yaSerikali ni kuo<strong>na</strong> kuwa Sekta za Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo zi<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi muhimu katikaku<strong>cha</strong>ngia ukuaji wa uchumi wa nchi yetu. U<strong>cha</strong>ngiaji ambao ni pamoja <strong>na</strong> kuongeza ajira,kipato, kulinda mazingira, kuleta amani <strong>na</strong> furaha katika jamii. Katika kutumia fursa hizo bado ku<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamoto ambazo zi<strong>na</strong>hitaji zipatiwe ufumbuzi ili kuzitumia ipasavyo katika kuleta maendeleoya nchi. Matarajio yangu ni kwamba <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo zitaendelea kupatiwa ufumbuzi hatuakwa hatua hasa kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi kupitia mfumo wa “Public-Private-Partnership”(PPP) <strong>na</strong> wadau wengine wa maendeleo. Tukidhamiria i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, shukrani, kwa niaba ya Serikali <strong>na</strong> kwa niaba yangu, <strong>na</strong>ombakuwashukuru kwa dhati wale wote walioshirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>si katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa2010/20<strong>11</strong>, katika kutimiza malengo yetu. Mafanikio ya utekelezaji wa majukumu <strong>na</strong> malengo yaWizara umewezeka<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ushirikiano uliopo miongoni mwa viongozi <strong>na</strong> wafanyakazi waWizara <strong>na</strong> wadau wengine walio nje ya Wizara. Shukrani zangu za pekee ziende kwa MheshimiwaDkt. Fenella E. Mukangara, (Mb), Naibu Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ambayeamekuwa msaada mkubwa kwangu, Bwa<strong>na</strong> Sethi Kamuhanda, Katibu Mkuu, Bibi Sihaba Nkinga,Naibu Katibu Mkuu, Wakurugenzi, Wataalamu <strong>na</strong> Watumishi wote wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo pamoja <strong>na</strong> Asasi zilizo chini ya Wizara kwa juhudi walizofanya kuhakikishakwamba wa<strong>na</strong>timiza ipasavyo majukumu tuliyokabidhiwa <strong>na</strong> Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kuwashukuru wale wote walioshiriki katikakutekeleza majukumu ya Wizara. Aidha, <strong>na</strong>washukuru wahisani wote ambao wametusaidia <strong>na</strong><strong>na</strong>amini kuwa wataendelea kutusaidia. Siyo rahisi kuwataja wote lakini nitaje wa<strong>cha</strong>che ambaowa<strong>na</strong>endelea kutusaidia wakiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Chi<strong>na</strong>, Finland, Uingereza,Denmark, Japan, Sweden, Norway <strong>na</strong> Ujerumani; Pia Mashirika ya kimataifa ya UNESCO <strong>na</strong>UNICEF. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kuvishukuru vyombo vyote vya habari nchini. Vyombo hivivimefanya kazi nzuri <strong>na</strong> fasaha ya kuitangaza nchi yetu. Naamini kuwa vyombo hivyo vitaendelea<strong>na</strong> kazi ya kuhabarisha, kuburudisha <strong>na</strong> kuelimisha kwa kuzingatia maadili. Aidha, <strong>na</strong>mshukurusa<strong>na</strong> Mpiga Chapa wa Serikali kwa ku<strong>cha</strong>pisha hotuba hii kwa wakati, bila kuvisahau vituo vyaTelevisheni ambavyo kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee vimerusha hotuba hii hewani.Mheshimiwa Naibu Spika, mapato, katika mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara imepanga kukusanyajumla ya shilingi 670,009,000 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa bajeti ya shilingi 14,671,877,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida (MatumiziMengineyo <strong>na</strong> Mishahara), fedha hizo zi<strong>na</strong>jumuisha:-· Mishahara ya Idara Shilingi 2,076,869,000.· Mishahara ya Asasi Shilingi 5,991,270,000.· Matumizi Mengineyo ya Idara Shilingi 3,806,163,200.· Matumizi Mengineyo ya Asasi Shilingi 2,797,574,800.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa jumla ya shilingi 3,880,851,000 kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati yahizo, shilingi 770,6<strong>11</strong>,000 ni fedha za kigeni <strong>na</strong> shilingi 3,<strong>11</strong>0,240,000 ni fedha za ndani.33


Mheshimiwa Naibu Spika, ili Wizara iweze kutekeleza majukumu <strong>na</strong> malengo yake yamwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, <strong>na</strong>omba Bunge lako Tukufu liidhinishe bajeti ya jumla ya shilingi18,552,728,000 ambapo kati ya hizo, fedha za Matumizi ya Kawaida ni shilingi 14,671,877,000 <strong>na</strong>fedha za Miradi ya Maendeleo ni shilingi 3,880,851,000.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda nitoe te<strong>na</strong> shukrani zangu za dhati kwako bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong>kwa Waheshimiwa Wabunge kwa kunisikiliza. Hotuba hii i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> pia katika tovuti ya Wizarakwa anuani ya www.hum.go.tz.Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya maelezo haya, <strong>na</strong>omba kutoa hoja.<strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>afiki.(Hoja ilitolewa iamuliwe)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, MheshimiwaDkt. Emmanuel Nchimbi kwa hotuba yake nzuri sa<strong>na</strong>.Kabla sijamwita Mwenyekiti wa Kamati kwa ajili ya kuwasaidia Waheshimiwa Wabungewengine <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>otusikiliza ili kuelewa<strong>na</strong> katika mambo ya msingi hapa nilitaka kutoasomo lifuatalo.Mheshimiwa Mnyika alisimama hapa kusema a<strong>na</strong>taka kutumia Kanuni ya 133 kwa ajili yakutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri Mkuu. Natoa somo kwa Wabunge wote. Kutokuwa <strong>na</strong>imani kwa Waziri Mkuu haimaanishi kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Pinda. Kutokuwa <strong>na</strong> imani<strong>na</strong> Waziri Mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba Bunge hili likiungwa mkono hali<strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Serikali nzima.Tafsiri yake ni kwamba hoja hiyo ikipita Serikali hii lazima ivunjwe. Rais atumie utaratibu wa Kikatibakama ni kuita u<strong>cha</strong>guzi mwingine au ni kuteua Serikali mpya. Langu mimi ni la utaratibu tu. Kwahiyo, si jambo dogo la kulibeba te<strong>na</strong> kunyanyuka kila mtu a<strong>na</strong>vyotaka kama tu<strong>na</strong>vyofikiri, lakiniu<strong>na</strong>weza kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu, kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Naibu Spika imo kwenyeKanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Spika imo katika Kanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong>Mheshimiwa Rais wa Nchi imo katika Kanuni hizihizi lakini ukitaka kufanya jambo hili kubwa lazimauwe umejiandaa vizuri, si jambo la kukurupuka.Kujiandaa kwake kukoje, kwa Waziri Mkuu, ni kwamba utatoa taarifa ya maandishi katikaOfisi <strong>na</strong> kwa hakika tutaipokea kwa sababu ndio utaratibu u<strong>na</strong>osemwa. Cha pili taarifa hiyoiwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono, ni matakwa ya Kanuni sio ya kwangu, ndio maa<strong>na</strong> kila mmojalazima asome hivi vitu. Taarifa hiyo iwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono <strong>na</strong> Wabunge wasiopunguaasilimia 20 ya Wabunge wote <strong>na</strong> ili kukidhi matakwa haya asilimia 20 ya Wabunge wote,Wabunge wote humu ni 357, kwa hiyo asilimia 20 maa<strong>na</strong> yake ni lazima iwe <strong>na</strong> Wabunge 72kwenda mbele. Tukishaipokea taarifa hiyo kwa maandishi <strong>na</strong> i<strong>na</strong> saini za Wabunge 72 kwendambele walioweka saini zao <strong>na</strong> kuunga mkono kwamba hoja hii sasa iingie humu, itaingia,itajadiliwa, itapigwa kura za siri, sio zile za kuhoji za wote <strong>na</strong> maamuzi yake yatakuwa ndiomaamuzi ya Bunge wala sio ya Naibu Spika au Spika au mtu mwingine yeyote. Nilitaka nieleze hili ilituelewane, ni vizuri tuendeshe mambo haya katika taratibu ambazo zimewekwa. (Makofi)Naomba sasa nimwite Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii aualiyeandaliwa kwa ajili hiyo.MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII):Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Kanuni ya 99(7) <strong>na</strong> Kanuniya <strong>11</strong>4(<strong>11</strong>) Toleo la Mwaka 2007 <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwasilisha mbele ya Bunge lako Tukufu maoniya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezai wa Bajeti ya Wizara yaHabari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo kwa Mwaka 2010/20<strong>11</strong> <strong>na</strong> Makadirio ya Mapato <strong>na</strong>Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilifanya kazi ya kufikiria<strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>mbua Bajeti ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo tarehe 02 <strong>na</strong> 03 Juni,34


20<strong>11</strong> wakati wa vikao vya Kamati vilivyofanyika Jijini Dar es Salaam. Katika vikao hivyo,Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb), Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezoalitoa taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Kamati kwa kipindi <strong>cha</strong> Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong>.Aidha, Kamati ilielezwa kwa ki<strong>na</strong> kuhusu utekelezaji wa mpango wa maendeleo, mapato <strong>na</strong>matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi ya fedha pamoja <strong>na</strong> kazizilizopangwa kutekelezwa <strong>na</strong> Wizara kwa mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, malengo ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012.· Kuendeleza mafunzo ya Utawala Bora, mpango wa kazi kwa Viongozi wa Vyamavya Michezo vya Taifa kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi zao katikakuendeleza michezo nchini;· Kusimamia <strong>cha</strong>guzi za Vyama vya michezo vya Taifa vitano ili kuimarisha UtawalaBora katika michezo <strong>na</strong> kuondoa migogoro ndani ya Vyama vya Michezo;· Uendelezaji wa Vituo vya Utamaduni <strong>na</strong> Masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong>Morogoro;· Kuendeleza Tasnia ya Utamaduni katika utaalamu asilia wa usukaji kwaaki<strong>na</strong>mama waishio vijijini katika Mikoa ya Tanga, Iringa <strong>na</strong> Dodoma kwa lengo lakuanzisha viwanda vidogo vidogo katika maeneo hayo;· Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa litaendesha mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a kwa Walimu 100 katikaWilaya mbili za mkoa wa Morogoro kuhusu utambaji wa hadithi <strong>na</strong> uchoraji;· Kuhakikisha filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa zi<strong>na</strong>zingatia maadili ya Kitanzania,zi<strong>na</strong>tangaza Taifa <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zingatia Sheria ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Na. 4 yaMwaka 1976 <strong>na</strong> Kanuni zake;· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa” vipindi 52 vya“Kumepambazuka” katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili” katikatelevisheni;· Kujenga kituo <strong>cha</strong> kurushia Matangazo (FM Trasmitting Station) huko Zanzibar;· Kuimarisha vituo tisa vya FM vya kurushia matangazo ya TBC huko Shinyanga,Manyara, Moshi, Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru; <strong>na</strong>· Kuweka mfumo wa kudhibiti matangazo (TV & Radio Monitoring System of Airtime,sales and billing).Mheshimiwa Naibu Spika, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012. Ilikutekeleza vyema majukumu yaliopangwa kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara ya Habari,Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, i<strong>na</strong>omba kuidhinishiwa Shilingi bilioni 18.5. Kiasi hiki kimeongezekaukilinganisha <strong>na</strong> Bajeti ya Mwaka ja<strong>na</strong> ambapo Wizara ilipewa Shilingi bilioni 18.4. Ongezeko hilibado ni dogo <strong>na</strong> halikidhi mahitaji ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali ya Wizara.Mheshimiwa Naibu Spika, maoni <strong>na</strong> ushauri wa Kamati kuhusu Bajeti ya Wizara kwaMwaka 20<strong>11</strong>/2012. Kwanza, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Kamati i<strong>na</strong>lipongeza Shirika kwakazi nzuri zilizofanyika kwa Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> Mradi wa vituo tisa (9)vya redio FM, mradi wa kuboresha studio ya Mikocheni kuwa ya dijitali, kuonesha matangazo yakombe la dunia 2010 <strong>na</strong> kutangaza harakati za u<strong>cha</strong>guzi mkuu 2010. Pamoja <strong>na</strong> mafanikio hayo,Shirika la Utangazaji Tanzania li<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto mbalimbali zikiwemo:-· Ucheleweshwaji wa kupatiwa fedha za maendeleo zilizotengwa mahususi kwa ajiliya miradi ya Shirika. Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> Shirika lilitengewa shilingi1,200,000,000 <strong>na</strong> hadi kufikia mei 20<strong>11</strong>, Shirika lilikuwa limepokea shilingi600,000,000 tu;35


· Ufinyu wa fedha za ruzuku kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kwa mwaka wafedha 20<strong>11</strong>/2012, Shirika limetengewa kwa mwezi shilingi 100,079,416 ambazo nipungufu kwa asilimia 44.6 ikilinganishwa <strong>na</strong> kiwango <strong>cha</strong> mwaka wa fedha2010/20<strong>11</strong>. Hali hii i<strong>na</strong>kwamisha utekelezaji wa shughuli za maendeleo <strong>na</strong> miradimbalimbali;· Kutotekelezwa kwa Mkataba wa Utendaji wa mradi wa dijitali ambapo Serikalihaijatoa udhamini wa Mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Benki ya Maendeleo ya Chi<strong>na</strong>yaani Chi<strong>na</strong> Development Bank;· Ukarabati wa vifaa vya kurushia matangazo (OB VAN equipments) vya televishenibado haujafanyika kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa fedha za mradi kwa wakati;· Shirika li<strong>na</strong> upungufu wa watumishi 33 pamoja <strong>na</strong> vitendea kazi kwa ajili ya vituovipya vya FM vilivyoanzishwa; <strong>na</strong>· Wizara <strong>na</strong> Idara nyingi za Serikali hazijalipa madeni yao kwa TBC kwa muda mrefukutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huduma za vipindi mbalimbali vilivyotangazwa katika Shirika hilojambo ambalo li<strong>na</strong>kwamisha baadhi ya shughuli za TBC kutofanyika kwa wakati.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali itambue umuhimu wa Shirika hili <strong>na</strong> kulitengea fedha za kutoshakujiendesha <strong>na</strong> Fedha za Maendeleo zitolewe kwa wakati ili kurahisisha utekelezajiwa miradi mbalimbali;· Kufuatia ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia kwa nchi za Afrika Masharikiifikapo mwaka 2012, Shirika la Star Media lenye ubia <strong>na</strong> Shirika la Utangazaji TBClimeanza kutekeleza mradi wa televisheni wa digitali. Hata hivyo, mradi huoumekuwa mgumu kutekelezeka kwani Serikali haijatekeleza baadhi ya vipengelevya mkataba wa utendaji ikiwemo udhamini wa mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Chi<strong>na</strong>Development Bank ambao u<strong>na</strong>tarajiwa kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wamitambo hiyo ya dijitali nchi nzima.NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, <strong>na</strong>waomba tumsikilize vizuri Mheshimiwa Nkamiakwa sababu usomaji wake ndivyo i<strong>na</strong>vyotakiwa taarifa zisomwe. Sasa wale wote wa<strong>na</strong>okujambele hapa tujifunze, Mheshimiwa Nkamia endelea. (Kicheko)MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII): Kamatii<strong>na</strong>shauri Serikali ione umuhimu wa kutoa udhamini wa mkopo haraka kwani ucheleweshaji huuutaathiri mradi kutosambaa nchi nzima kabla ya ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia;· Serikali iboreshe jengo la TBC Mikocheni kwa kukamilisha jengo lililowekewa msingi<strong>na</strong> Rais mstaafu Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi zaidi ya muongo mmoja uliopita iliTBC nzima ihamie eneo la Mikocheni. Hii itasaidia kutoa <strong>na</strong>fasi ya eneo la Ofisi zaNyerere Road kutumiwa <strong>na</strong> Wizara ya Habari badala ya kuendelea kutumiafedha nyingi kugharamia kodi ya pango katikati ya mji kama ilivyo sasa; <strong>na</strong>· Serikali kuziagiza Taasisi <strong>na</strong> Idara zake zi<strong>na</strong>zotangaza vipindi vyake mbalimbalikupitia TBC kulipa madeni kwa wakati ili kuliwezesha Shirika hili kujiendeshakikamilifu katika maeneo ambayo halitegemei fedha za Serikali moja kwa moja.Aidha, Shirika lione umuhimu wa kutangaza habari za michezo i<strong>na</strong>yohusisha timuzetu za Taifa zi<strong>na</strong>pokwenda nje ya nchi badala ya kutegemea wafadhili tu.(Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kuwa ku<strong>na</strong> umuhimu wa Serikali kupitisha Sheriaya Huduma za Vyombo vya Habari nchini pamoja <strong>na</strong> ile ya Haki ya kupata Habari <strong>na</strong> kushirikia<strong>na</strong>36


<strong>na</strong> Mfuko wa Vyombo vya Habari <strong>na</strong> Baraza la Habari Tanzania (MCT) ili kuwawezesha Waandishiwa Habari, wamiliki wa vyombo vya habari <strong>na</strong> vyombo vya habari vyenyewe kufanya kazi zaokwa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari makini zenye tija kwa Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, pili, Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Ni dhahiri kuwa lughaya Kiswahili imezidi kukua <strong>na</strong> kusambaa duniani ikiwa sasa ni Lugha ya Kimataifa i<strong>na</strong>yotumiwamathalani kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki <strong>na</strong> Umoja wa Afrika. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> umuhimu waKiswahili Katika Taifa letu <strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli kuwa lugha hii ndio kiunganishi kikuu <strong>cha</strong>mawasiliano kwa Watanzania, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali kuwa makini katika kauli zake kuhusu matumizi ya lugha ya Kiswahili katikashughuli rasmi za Serikali <strong>na</strong> kusisitiza matumizi ya Kiswahili katika semi<strong>na</strong>, warsha,mabango ya matangazo barabarani, maelekezo ya bidhaa zi<strong>na</strong>zotengenezwanchini <strong>na</strong> matangazo ya biashara; <strong>na</strong>· Serikali kuo<strong>na</strong> umuhimu wa kulishirikisha Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)katika kuandaa vitabu vya Bajeti za Serikali kwa miaka ijayo kwa Lugha yaKiswahili ili kuwawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuelewa muelekeo wa hali ya Uchumi <strong>na</strong>Mapato ya Serikali pamoja <strong>na</strong> maeneo yaliyopewa kipaumbele.Mheshimiwa Naibu Spika, tatu, Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA). Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Upungufukatika Sheria ya Haki Miliki ya Mwaka 1999 <strong>na</strong> pia kutokuwepo utekelezaji wa Sheria hii kikamilifu,bado unyonyaji wa wasanii u<strong>na</strong>fanywa <strong>na</strong> mawakala, wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wakazi za wasanii. Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> umuhimu mkubwa wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni<strong>na</strong> Michezo <strong>na</strong> Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara ziharakishe kuleta Muswada wa Marekebisho yaSheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki Na. 7 ya Mwaka 1999 kwani upatika<strong>na</strong>ji wa Sheria hii utasaidiaukuaji wa pato la wasanii <strong>na</strong> hata Serikali kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, u<strong>cha</strong>mbuzi wa Kiuchumi wa Sekta ya Muziki uliofanywa <strong>na</strong> Idaraya Uchumi ya Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam <strong>na</strong> kuwasilishwa mbele ya Kamati tarehe 19 Juni20<strong>11</strong>, umebaini kuwa mara baada ya marekebisho ya Sheria hii <strong>na</strong> utekelezaji wake utakapoanza,Taifa litapata <strong>cha</strong>nzo kipya <strong>cha</strong> mapato ya Serikali kwani utafiti u<strong>na</strong>onyesha kuwa:-· Pato la Taifa li<strong>na</strong>lotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a ya Muziki hapa nchini li<strong>na</strong>kadiriwa kuwashilingi bilioni 71, ikiwa ni karibia asilimia 0.5 ya jumla ya pato lote la Taifa (GDP);· Mapato ya<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kwenye Sekta ya Muziki, ya<strong>na</strong>toka katika asilimia 12 tuya kiwango kilichotakiwa kulipiwa kodi ya mapato kwenye sekta hiyo; <strong>na</strong>· Hasara i<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ulipaji mdogo wa kodi kwa Taifa (kwenye sekta ya muziki)i<strong>na</strong>kadiriwa kuwa asilimia 0.1 ya GDP ilitegemewa kuongezeka kwa kiasi <strong>cha</strong>asilimia <strong>11</strong> katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitatu kuanzia 2007.Mheshimiwa Naibu Spika, kama Sheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki ya Mwaka 1999,ikifanyiwa marekebisho <strong>na</strong> kutekelezwa, faida kwa Wadau wa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a itakuwa kamaifuatavyo:-· Kipato <strong>cha</strong> wadau wote wa sekta hii ikiwemo Serikali kitaongezeka;· Kutakuwa <strong>na</strong> ongezeko la kipato kwa walioajiriwa katika sa<strong>na</strong>a ya muziki <strong>na</strong>filamu <strong>na</strong> kwa hali hii itavutia ajira mpya katika sa<strong>na</strong>a hizi; <strong>na</strong>· Makadirio ya walioajiriwa (kudumu) katika sekta ya muziki ni asilimia 48 ya walewote wa<strong>na</strong>ojishughulisha <strong>na</strong> muziki, asilimia 52 hufanya muziki kama kazi ya ziadahivyo baada ya kufanyia marekebisho Sheria hii, kipato kitakuwa zaidi <strong>na</strong>kitafanya wengi kwenye sekta hii kuithamini kazi ya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuifanya yakudumu kwani itakuwa i<strong>na</strong>walipa vizuri.37


Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuzingatia faida zilizo orodheshwa hapo juu, Kamati i<strong>na</strong>toamaoni yafuatayo:-· Baraza la Sa<strong>na</strong>a kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bodi ya Filamu Tanzania lihakikishe li<strong>na</strong>dhibitifilamu zi<strong>na</strong>zoiingizwa nchini kiholela <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zokiuka mila <strong>na</strong> desturi za Kitanzaniaambazo hazi<strong>na</strong> manufaa kwa Taifa letu;· Taasisi za Serikali, Polisi, Forodha <strong>na</strong> Mahakama washirikiane <strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong>Hakimiliki Tanzania (Copyright Society of Tanzania - COSOTA) kukomeshauharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a;· COSOTA imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki Namba 7ya Mwaka 1999. Toka COSOTA ianzishwe bado kumekuwa <strong>na</strong> malalamiko yawasanii kuhusu haki zao <strong>na</strong> malipo katika kazi za kisanii. Kamati i<strong>na</strong>shauri Serikalikupitia Wizara husika kufanya mapitio ya Sheria ya COSOTA ili kuzipa hadhi kazi zasa<strong>na</strong>a kwani nchi nyingi za jirani zimeweza kulinda kazi za sa<strong>na</strong>a za wasanii wake<strong>na</strong> kuzifanya kuwa ajira kwa kutumia vyombo vya kisheria vilivyomo katika nchizao mfano mzuri ni Malawi <strong>na</strong> Nigeria.· Kumekuwa <strong>na</strong> utekelezaji mdogo wa Sheria kwenye ulipaji wa mirabaha <strong>na</strong> kodikutoka kwenye sekta ya sa<strong>na</strong>a ikijumuisha muziki <strong>na</strong> filamu. Wazalishaji,wasambazaji <strong>na</strong> watumiaji wa kazi za sa<strong>na</strong>a hawalipi mirabaha kamai<strong>na</strong>vyostahili kwa mujibu wa Sheria. Kamati i<strong>na</strong>shauri Serikali kupitia Mamlaka yaMapato Tanzania (TRA) isimamie kuhakikisha mirabaha <strong>na</strong> kodi zi<strong>na</strong>lipwa kwaniSerikali i<strong>na</strong>poteza mapato mengi ambayo yangesaidia katika kuinua uchumi wanchi;· Serikali iboreshe vyuo vilivyokuwepo kwa ajili ya Walimu wa kufundisha sa<strong>na</strong>a.Kwa mfano Chuo <strong>cha</strong> Butimba <strong>na</strong> vingine vilivyopo nchini ili kusaidia kukuza vipajivya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kutengeneza ajira kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> pia kukuza pato la Taifa; <strong>na</strong>· Serikali kuo<strong>na</strong> haja ya Jumba la Sa<strong>na</strong>a Bagamoyo kuwa chini ya Wizara yaHabari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara yaMaliasili <strong>na</strong> Utalii. Vilevile, COSOTA kutoka Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara <strong>na</strong>kuwa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. Hii itasaidia ufuatiliaji wakaribu <strong>na</strong> utekelezaji mzuri kwani Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezondio haswa Wizara husika kwa taasisi hizi.Mheshimiwa Naibu Spika, nne, Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Pamoja <strong>na</strong> ufinyu wabajeti bado Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limekuwa likitekeleza majukumu yake kwa mujibu washeria iliyoliunda ya mwaka 1967 ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kuvisimamia vyama 30 vya michezo <strong>na</strong>kuandaa mafunzo kwa viongozi mbalimbali wa michezo nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> kuwa Baraza li<strong>na</strong>tekeleza majukumu yake, badoku<strong>na</strong> maeneo ambayo Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> juhudi zaidi zi<strong>na</strong>hitajika <strong>na</strong> i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Upo umuhimu wa baraza hili kupewa ofisi katika Uwanja Mpya wa Taifa badalaya kuendelea kutumia majengo ambayo ni mabovu <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>yohatarishausalama <strong>na</strong> maisha ya wafanyakazi;· Wizara iangalie vizuri uwepo wa Baraza la michezo <strong>na</strong> wakati huo huo kuwa <strong>na</strong>kurugenzi ya michezo katika Wizara kwani i<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kusababisha mwingilianowa majukumu ya kazi;· Serikali iteuwe Baraza Jipya la Michezo kwani kwa mujibu wa Sheria, Baraza lililopolilishamaliza muda wake tangu mwaka 2009;38


· Serikali itenge fedha za mafunzo kwa wataalamu wa Wizara kwani Sheria zaMichezo zi<strong>na</strong>badilika mara kwa mara;· Wataalamu wa<strong>na</strong>oagizwa kutoka nje kuja kufundisha michezo mbalimbali nchiniwapewe <strong>na</strong>fasi ya kutoa mafunzo kwa wataalamu wetu wa ndani ili baada yamikataba yao kuisha, Taifa libaki <strong>na</strong> wataalam wa ndani <strong>na</strong> hivyo kuepukagharama za kukodisha wataalam wengine kutoka nje;· Baraza la Michezo lihakikishe li<strong>na</strong>ondoa ama kupunguza uwingi wa Vyama vyaMichezo nchini jambo ambalo limekuwa likisababisha vurugu <strong>na</strong> misuguano isiyo<strong>na</strong> manufaa kwa maendeleo ya michezo nchini;· Pamoja <strong>na</strong> Serikali kuhakikisha kuwa ku<strong>na</strong> Afisa Maendeleo ya Michezo katika kilaMkoa bado Afisa huyu hajatengewa fungu la maendeleo ya michezo hivyohutegemea hisani ya Mkuu wa Mkoa ama Katibu Tawala Mkoa (RAS), jamboambalo li<strong>na</strong>muwia vigumu kutekeleza kazi zake. Vilevile, Halmashauri nyingi zaWilaya nchini hazitengi fedha kwa ajili ya maendeleo ya michezo <strong>na</strong> hivyokumfanya Afisa huyu kushindwa kufanya kazi zake ipasavyo; <strong>na</strong>· Serikali ianze kutenga bajeti kwa timu zi<strong>na</strong>zowakilisha nchi katika mashindano yakimataifa kuliko kila mara kutegemea ufadhili. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, tano, sekta ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>. Takribani nusu yaWatanzania ni vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> watoto lakini asilimia 60 mpaka 70 ya Watanzania wako katika maeneoya vijijini ambapo ajira kubwa ni kilimo. Hata hivyo, lipo tatizo kubwa la ukosefu wa ajira nchiniingawa Serikali imejitahidi kusomesha vija<strong>na</strong> katika sekta mbalimbali. Kamati i<strong>na</strong>ishauri kwa kuwamaendeleo ya vija<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>simamiwa <strong>na</strong> Wizara hii, ni wakati muafaka sasa Serikali kuboreshasekta ya maendeleo ya vija<strong>na</strong> ili kukidhi mahitaji yao <strong>na</strong> hasa katika ajira.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> kazi nzuri i<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> Wizara ya kuwaendelezavija<strong>na</strong> katika vituo vyake vya Ilonga, Sasanda <strong>na</strong> Marangu, Kamati i<strong>na</strong>shauri yafuatayo yafanyikeili kuboresha mafunzo katika vyuo hivi:-· Vituo hivi visajiliwe katika Natio<strong>na</strong>l Council for Technical Education (NACTE) iliviweze kutoa mafunzo yenye hadhi ya Cheti, Stashahada <strong>na</strong> hata Shahada kwawahitimu;· Serikali iongeze Wakufunzi katika Fani ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong> katika Kilimo,Maarifa ya Nyumbani <strong>na</strong> Ufundi;· Serikali itenge bajeti kwa ajili ya vituo hivyo badala ya utaratibu wa sasa wakuendendesha mafunzo kwa mtindo wa zima moto;· Serikali kuendelea kutoa elimu kwa vija<strong>na</strong> kuhusu kujikinga <strong>na</strong> maambukizi yaVirusi Vya Ukimwi (VVU) <strong>na</strong> athari za mimba za utotoni hasa katika Mikoa ambayoi<strong>na</strong>ongoza kwa matatizo hayo;· Wizara kuandaa programu ya kuwaelimisha vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ambayo watewezakujiajiri wenyewe <strong>na</strong> kua<strong>cha</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> makundi yasiofaa pamoja <strong>na</strong> kushinda vijiweni;<strong>na</strong>· Awamu ya pili ya ujenzi wa uwanja wa Taifa ianze mapema kwani ule uliojengwauta<strong>cha</strong>kaa kabla ya awamu ya pili kujengwa. Hii pia itasaidia katika kuongezapato la TaifaMheshimiwa Naibu Spika, maoni ya jumla. Pamoja <strong>na</strong> maoni yote, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauriwa jumla wa kisekta kama ifuatavyo:-39


1. Mfuko wa Uwezeshaji maarufu kama Mfuko wa JK umeonesha kuwasaidia sa<strong>na</strong>Watanzania, hata hivyo vija<strong>na</strong> wengi vijijini hawakufaidika <strong>na</strong>o japokuwa ndiowazalishaji wakuu. Serikali itengeneze mpango maalum wa kuwafikishia rasilimalifedha vija<strong>na</strong> vijijini;2. Kwa kuwa kumekuwa <strong>na</strong> mazoea ya kuundwa kwa vigenge vya vija<strong>na</strong>wasiojishughulisha Mijini <strong>na</strong> Vijijini, Serikali irejee Sheria ya Nguvu Kazi <strong>na</strong> kuvigeuzavijiwe au vigenge hivyo vya vija<strong>na</strong> kuwa vikundi vya ajira <strong>na</strong> uzalishaji. Vikundihivyo vipewe nyenzo,mitaji <strong>na</strong> mafunzo ili pia kutatua tatizo la ajira;3. Kuanzishwe mfumo wa kutambua kazi rasmi <strong>na</strong> zisizo rasmi ili kuwaruhusu vija<strong>na</strong>kujiajiri;4. Vyuo vya VETA virudishwe Wizara ya Kazi <strong>na</strong> Ajira au Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ili kusimamia vizuri sekta hiyo ya vija<strong>na</strong> kwani Vyuo hivyovi<strong>na</strong>lenga maendeleo ya vija<strong>na</strong> hususan ajira;5. Kutambua vikwazo vi<strong>na</strong>vyosababisha kutokuwepo kwa maendeleo endelevu yavija<strong>na</strong>; <strong>na</strong>6. Mikataba yote iliyosainia yenye kukuza <strong>na</strong> kuleta tija kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> utamaduni waTaifa itungiwe Sheria haraka ili Taifa linufaike <strong>na</strong> Mikataba hiyo.Mheshimiwa Naibu Spika, shukrani. Kwa niaba ya Kamati, <strong>na</strong>omba kukushukuru wewebi<strong>na</strong>fsi kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> u<strong>na</strong>vyoendesha Vikao vya Bunge kwa umahiri <strong>na</strong> busara <strong>na</strong> kwa kunipatia<strong>na</strong>fasi ya kuwasilisha maoni ya Kamati. Aidha, <strong>na</strong>wapongeza Wenyeviti wote wa Kamati zaKudumu za Bunge kwa jinsi wa<strong>na</strong>vyokusaidia kuendesha shughuli za Bunge.Mheshimiwa Spika, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb)Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Fenella EphraimMukangara (Mb), Katibu Mkuu Ndugu Sethi Kamuhanda, Naibu Katibu Mkuu, Ndugu SihabaNkinga <strong>na</strong> watumishi wote wa Wizara <strong>na</strong> Mashirika yaliyo chini ya Wizara hii kwa ushirikianomkubwa waliotupatia wakati wa kutekeleza kazi za Kamati. Kamati i<strong>na</strong>washukuru sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>kuwatakia mafanikio makubwa zaidi katika kazi za ujenzi wa Taifa letu.Mheshimiwa Naibu Spika, Kwa umuhimu wa kipekee, <strong>na</strong>washukuru Wajumbe wa Kamatiyangu kwa ushirikiano mkubwa katika kutekeleza kazi za Kamati. Naomba niwatambue wajumbewa Kamati ya Maendeleo ya Jamii kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Jenista J. Mhagama, Mwenyekiti <strong>na</strong> Mheshimiwa Juma Suleiman Nkamia,Makamu Mwenyekiti. (Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Capt. John Damian Komba, Mheshimiwa Dkt.Getrude PangalileRwakatare, Mheshimiwa Fatuma Abdallah Mikidadi, Mheshimiwa Agnes Elias Hokororo,Mheshimiwa Mary Pius Chatanda, Mheshimiwa Moza Abedi Saidy, Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Kevin Max,Mheshimiwa Joseph Osmund Mbilinyi, Mheshimiwa Mhe. Hamad Ali Hamad, Mheshimiwa AbdallahSharia Ameir, Mheshimiwa Salum Khalfan Barwany, Mheshimiwa Mariam Salum Msabaha,Mheshimiwa Mch.Assumpter Nshunju Mshama, Mheshimiwa Asha Mohamed Omar, MheshimiwaRamadhan Haji Salehe, Mheshimiwa Dkt. Seif Seleman Rashid, Mheshimiwa Rebecca Mi<strong>cha</strong>elMngodo, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, Mheshimiwa Hussein Mussa Mzee <strong>na</strong> MheshimiwaLivingstone Joseph Lusinde. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kuwashukuru kwa dhati sa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo laKondoa Kusini <strong>na</strong> Kondoa kwa ujumla <strong>na</strong> familia yangu yote kwa ujumla, lakini pia niwashukuruviongozi wote wa Vyama vya Upinzani katika Wilaya ya Kondoa wa<strong>na</strong>oshirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimisitowataja maji<strong>na</strong> kwa sababu <strong>na</strong>ogopa huenda wakafukuzwa.40


Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, <strong>na</strong>penda kumshukuru Katibu wa Bunge Dkt. ThomasKashillilah akisaidiwa <strong>na</strong> Makatibu wa Kamati Ndugu Hosia<strong>na</strong> John <strong>na</strong> Ndugu Grace Bidya kwakuratibu shughuli za Kamati hadi Taarifa hii kutoka.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba kuwasilisha <strong>na</strong> <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Juma Nkamia kwa hotuba hiyo kwa niaba yaMwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, ukiwa kama Makamu wa Mwenyekiti wa Kamatihiyo. Tu<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa mara nyingine kwa usomaji wako ambao umetufundisha <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yakuweka mambo sawasawa hapa, maa<strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong> uzoefu wa kutumia Mic hizi kwa miaka mingi.Waheshimiwa Wabunge, Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo wa<strong>na</strong>fanyamaonyesho ya shughuli za Wizara hiyo katika eneo letu la maonyesho <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong> za viongoziwa Kitaifa.Pia kampuni ya Freedom Electronic i<strong>na</strong>fanya maonyesho ya vifaa vya umeme vya ai<strong>na</strong>ya SAMSUNG. Wa<strong>na</strong>toa bei <strong>na</strong>fuu kwa ajili ya Wabunge wa<strong>na</strong>okwenda kununua vifaa hivyo <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wengine walio katika maeneo haya.Waheshimiwa Wabunge, lingine ni kwamba mtao<strong>na</strong> maoni ya leo ya Kamati pamojaKambi ya Upinzani hayaku<strong>cha</strong>pwa katika vijitabu vyetu vile vya kawaida ambavyo tumevizoeabadala yake yako katika katarasi za A4, ni kwa sababu ile mashine yetu ya kudurusu i<strong>na</strong> matatizokidogo, tu<strong>na</strong>omba tuvumiliane.Nimepata vikaratasi vingi vikinukuu ile Kanuni ya “Mheshimiwa Mbunge kutotumia lughaya kuudhi” kutoka kwa Wabunge kadhaa wakisema kwamba Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, alipotangaza kwamba Yanga wamekuwa Mabingwa peke yao bilakuwapongeza sa<strong>na</strong> Simba, kidogo imewakwaza baadhi yao. Naomba niseme Mheshimiwa Wazirihakuwa <strong>na</strong> nia mbaya. (Kicheko)Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Msemaji wa Kambi ya Upinzani, nitoe Mwongozowa Spika kuhusu suala liliombewa Mwongozo humu Bungeni <strong>na</strong> Mheshimiwa Faida MohamedBakar ja<strong>na</strong> kama ifuatavyo kwa mujibu wa Kanuni ile ya 68(1) <strong>na</strong> (7) ya Kanuni za Kudumu zaBunge, Toleo la 2007.Waheshimiwa Wabunge, ja<strong>na</strong> wakati wa kipindi <strong>cha</strong> asubuhi mara baada ya kipindi <strong>cha</strong>maswali, nilipokea maombi ya Mwongozo wa Spika kutoka kwa Mheshimiwa Faida MohamedBakar, Mwenyekiti alikuwa Mheshimiwa George Simba<strong>cha</strong>wene. Akasema <strong>na</strong> <strong>na</strong>nukuu:-“Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Mwongozo wako, kwa kuwa katika kipindi <strong>cha</strong>maswali <strong>na</strong> majibu, Mheshimiwa Esther Matiko alisema Wa<strong>na</strong>jeshi wa<strong>na</strong>po<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>baka watoto wa shule <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri hakusita, akamsifia, ahsante sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>akasema kweli. Alivyomjibu kuwa ni kweli <strong>na</strong> amempongeza muuliza swali, <strong>na</strong>omba Mwongozowako, Bunge hili li<strong>na</strong>penda kujua kama hii ndiyo kauli ya Serikali hapa Bungeni kuwa Wa<strong>na</strong>jeshiwa<strong>na</strong>baka watoto wa shule?” Mwisho wa kunukuu kwa aliyoyasema Mheshimiwa Faida Bakar.Waheshimiwa Wabunge, Mwongozo wangu. Nimepitia Taarifa Rasmi za Majadiliano yaBunge ili kupata mtiririko wa swali la Mheshimiwa Esther Matiko ambalo aliuliza <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu:-“Kwa kuwa uwepo wa Wa<strong>na</strong>jeshi wame<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kumepelekeamatendo mengine maovu kutendeka kama ubakaji wa wa<strong>na</strong>funzi wa shule za msingi, je, Serikalihaioni hiki kitu ni kibaya sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>hitaji uharaka wa ai<strong>na</strong> yake kuwahamisha wa<strong>na</strong>nchi haoharaka sa<strong>na</strong> iwezeka<strong>na</strong>vyo?” Mwisho wa kunukuu swali la Mheshimiwa Matiko.Waheshimiwa Wabunge, jibu la Mheshimiwa Waziri wa Ardhi <strong>na</strong> Maendeleo ya Makazililikuwa <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu alivyosema:-41


“Kuhusu vitendo vya ubakaji ambavyo nimevisikia, ni kweli. Tu<strong>na</strong>mshukuru MheshimiwaMbunge kwa kutuletea taarifa hizo <strong>na</strong> <strong>na</strong>amini wenzangu katika Wizara husika suala hililitachunguzwa kwa sababu kwa vyovyote vile lazima Jeshi litakuwa <strong>na</strong> majirani. Kwa hiyo, <strong>na</strong>dhanitatizo hapa siyo kwamba liko karibu ila ni tabia, kama ni kweli, litashughulikiwa”. Mwisho wakunukuu.Waheshimiwa Wabunge, kwa kuzingatia jibu la Mheshimiwa Waziri, ni dhahiri kwambaMheshimiwa Waziri hakutamka kwamba Wa<strong>na</strong>jeshi wa<strong>na</strong>baka watoto wa shule, bali alichokisemani kwamba Serikali ilikuwa imesikia <strong>na</strong> kumshukuru Mheshimiwa aliyeuliza swali kwa kutoa taarifahiyo Serikalini ili iweze kufanyiwa kazi <strong>na</strong> hatua ziweze kuchukuliwa. (Makofi)Nawaomba Waheshimiwa wote ambao tu<strong>na</strong>jibu maswali au kutoa maelezo humuBungeni kuendelea kuwa <strong>na</strong> umakini ambao tumekuwa <strong>na</strong>o kwa ajili ya kufanya shuguli za Bungeletu kuwa bora zaidi.Waheshimiwa Wabunge, huu ndiyo Mwongozo wangu kuhusu suala hili. Nawashukurunikwa kunisikiliza. Tutaendelea kufafanua Miongozo mingine kadri muda utakavyokuwa ukiruhusu.Kwa sababu ya muda, kabla sijamwita Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Habari,Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, <strong>na</strong>omba sasa nimwite Mheshimiwa Mwenyekiti wa Bunge,Mheshimiwa Mabumba ili aje kuendeleza hili jahazi hapa mbele. Mheshimiwa Mabumba!I<strong>na</strong>elekea ku<strong>na</strong> mawasiliano kidogo, basi nimwite Msemaji wa Kambi ya Upinzani.MHE. JOSEPH O. MBILINYI - MSEMAJI MKUU <strong>WA</strong> KAMBI YA UPINZANI (WIZARA YA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO): Mheshimiwa Naibu Spika, ni<strong>na</strong> matatizo kidogo ya macho,wakati mwingine u<strong>na</strong>weza ukao<strong>na</strong> machozi ya<strong>na</strong>toka, silii! Ni matatizo kidogo ya macho,nimepata eye infections.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia uhai, afya njema <strong>na</strong>kunipa fursa ya kipekee ya kufanya maajabu yenye manufaa kwa taifa langu; kwa baraka zake,niliweza kung’ara kwenye sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuwa nyota wa muziki wa Bongofleva, ukipenda – Hip Hop;kwa uwezo wake leo nimekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini <strong>na</strong> kwa mapenzi yake, mimiMsanii wa Bongofleva sasa nimekuwa Waziri Kivuli wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.(Makofi)NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mbilinyi, sekunde tu! Sasa, <strong>na</strong>omba kumkaribisha MheshimiwaMabumba ili aweze kuendelea.Mwenyekiti (Mheshimiwa Sylivester Massele Mabumba) Alikalia KitiMWENYEKITI: Mheshimiwa, endelea!MHE. JOSEPH O. MBILINYI - MSEMAJI MKUU <strong>WA</strong> KAMBI YA UPINZANI (WIZARA YA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO): Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Nakushukuru kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ya kusimama mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha maoni <strong>na</strong> mapendekezo ya KambiRasmi ya Upinzani kuhusu Bajeti ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, kwa mwakawa fedha 20<strong>11</strong>/2012, kwa mujibu wa Kanuni za Bunge Kifungu <strong>cha</strong> 99 (7) toleo la 2007.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini imani <strong>na</strong> heshima kubwa niliyopewa <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo la Mbeya Mjini katika U<strong>cha</strong>guzi Mkuu uliopita. Li<strong>cha</strong> ya kuletewa mabomu yamachozi, virungu <strong>na</strong> bado haku<strong>na</strong> yeyote kati yetu aliyeogopa. Uwongo haukuweza kufunikaukweli <strong>na</strong> hata rushwa haikuweza kurubuni akili. Wa<strong>na</strong>nchi kwa umoja wao walijitoa mhangakulinda kura zetu bila woga <strong>na</strong> hatimaye Dunia nzima i<strong>na</strong>jua <strong>na</strong> imekubali kuwa mimi ndiye SUGU<strong>na</strong> CHADEMA si <strong>cha</strong>ma legelege, bali ni Chama makini <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>choaminika mbele ya jamii.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mshukuru <strong>na</strong> kumpongeza kwa moyo wa dhati kabisa KatibuMkuu wa Chama <strong>cha</strong>ngu, Dkt. Wilbrod Peter Slaa <strong>na</strong> Makamanda wote wa CHADEMA nchi nzimakwa kazi kubwa tuliyoifanya katika U<strong>cha</strong>guzi Mkuu uliopita <strong>na</strong> kwa harakati nzito tu<strong>na</strong>zoendelea42


kuzifanya za kuielimisha jamii juu ya haki zao za msingi. Watapiga kelele sa<strong>na</strong> lakini hatutarudinyuma, tu<strong>na</strong>songa mbele mpaka kieleweke. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa heshima <strong>na</strong> taadhima, <strong>na</strong>mshukuru Kiongozi Mkuu waKambi Rasmi ya Upinzani <strong>na</strong> Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe kwakuniamini <strong>na</strong> kuniteua kuwa Waziri Kivuli wa Wizara hii nyeti. Namshukuru pia Naibu KiongoziMheshimiwa Kabwe Zuberi Zitto (Mbunge) <strong>na</strong> M<strong>na</strong>dhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani,Mheshimiwa Tundu Lissu, kwa ushirikiano wao mkubwa wa<strong>na</strong>onipa katika kutekeleza majukumuyangu ya Kibunge.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>chukua fursa hii pia kuwashukuru kwa dhati wadau wote waSekta ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, kwa kutuamini <strong>na</strong> kuthamini kazi kubwa yauwakilishi i<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, hata kuamua kutupa ushirikianomkubwa katika maandalizi ya hotuba hii. Naomba niwatambue baadhi ya wadau hao kwashukrani kama ifuatavyo:- Baraza la Habari Tanzania (MCT), Umoja wa Klabu za Waandishi waHabari Tanzania (UTPC), Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA), Rulu Arts Promotions i<strong>na</strong>yosimamiasa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Wasanii wote waliokuja kuunga mkono hotuba hii ya Kambi ya Upinzani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sekta ya habari, weledi <strong>na</strong> maadili ya uandishi wa habari. Vyombovya habari ni taasisi muhimu sa<strong>na</strong> katika ujenzi wa Taifa lenye kufuata misingi ya demokrasia <strong>na</strong>utawala bora. Vyombo vya habari vi<strong>na</strong> dhima kubwa ya kutoa habari <strong>na</strong> taarifa kwa umma waWatanzania kuhusu mambo ya<strong>na</strong>yohusu maisha yao <strong>na</strong> vilevile kutoa elimu <strong>na</strong> burudani. Vyombovya habari ni kiungo muhimu <strong>cha</strong> kuunganisha jumuiya mbalimbali, kujenga Utaifa, umoja <strong>na</strong>kuhimiza maendeleo.Mheshimiwa Mwenyekiti, vyombo vya habari kwa ujumla wake, ni taasisi yenye nguvu. I<strong>na</strong>uwezo mkubwa wa kujenga <strong>na</strong> vilevile kubomoa ikiwa vitatumiwa <strong>na</strong> kujiendesha vibaya aukuingiliwa uhuru wake. Hivyo basi, wakati vyombo vya habari vi<strong>na</strong> wajibu wa kufanya kazi kwakuzingatia umakini, weledi <strong>na</strong> maadili ya uandishi wa habari, Serikali <strong>na</strong>yo i<strong>na</strong> wajibu mkubwa wakuhakikisha uhuru <strong>na</strong> haki za kutafuta <strong>na</strong> kupata habari vi<strong>na</strong>lindwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa baadhi ya vyombo vya habarivimekuwa vikikiuka kabisa maadili ya uandishi wa habari. Ki<strong>na</strong>chosikitisha zaidi ni pale ambapobaadhi ya Waandishi wa Habari <strong>na</strong> baadhi ya Vyombo vya Habari <strong>na</strong> ambavyo vimepewadhama<strong>na</strong> kubwa <strong>na</strong> jamii wa<strong>na</strong>pokubali kutumiwa <strong>na</strong> baadhi ya watu wenye nguvu ama zakisiasa au za kifedha ili kuendeleza ajenda zao bi<strong>na</strong>fsi. Hili ni jambo lisilopendeza hata kidogo <strong>na</strong>hali<strong>na</strong> mustakabali mzuri kwa amani <strong>na</strong> maendeleo ya nchi yetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, ki<strong>na</strong>chosikitisha zaidi, vyombo vya habari vya Serikali <strong>na</strong> hapa<strong>na</strong>lizungumzia Gazeti la Serikali Daily News kuongoza katika ukiukwaji wa maadili ambapo katikakipindi <strong>cha</strong> m<strong>cha</strong>kato wa U<strong>cha</strong>guzi Mkuu uliopita, gazeti hili lili<strong>cha</strong>pisha tahariri ya uchocheziiliyosema, “Kamwe Dkt. Slaa hatakuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.”Maoni haya ya Mhariri yalilenga kuleta uchochezi <strong>na</strong> kujenga hoja kwamba hata kamaWatanzania watam<strong>cha</strong>gua Dkt. Slaa kuwa Rais wao, lakini kamwe hatakabidhiwa jukumu lauongozi, jambo ambalo ni la hatari kwa usalama wa Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la hatari zaidi hapa ni kwamba walioendesha vitendo hivivya uchochezi ni Wahariri wa Gazeti la Serikali ambalo lilitakiwa kuwa mfano wa kuigwa kwavyombo vingine vya habari nchini.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi ya upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ilieleze Bunge hili Tukufuimemchukulia hatua gani Kaimu Mhariri Mtendaji wa gazeti hilo ambaye aliidhinisha ku<strong>cha</strong>pishwakwa tahariri hiyo? Je, Idara ya Habari Maelezo iliwahi kuandika barua kwa Mhariri huyu kumuonyakama ambavyo imekuwa ikifanya hivyo kwa magazeti mengine; hata kabla ya habarihaijaandikwa, tayari barua i<strong>na</strong>kuwa imeandaliwa <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chosubiriwa ni gazeti ku<strong>cha</strong>pishwa <strong>na</strong>barua hiyo kufika kwa wahusika? Kama Serikali haijamchukulia hatua, Waziri a<strong>na</strong>weza vipi kuwa<strong>na</strong> mamlaka ya kuadhibu vyombo vingine vi<strong>na</strong>vyodaiwa kukiuka maadili ya uandishi wa habari43


wakati yenyewe imeshindwa kuwajibisha Wahariri wa gazeti lake? Uchochezi huu u<strong>na</strong>paswakukemewa <strong>na</strong> kila Mtanzania kwa nguvu zetu zote. (Makofi)Mheshimiwa Spika, ku<strong>na</strong> tabia imezuka ya viongozi wa Serikali kuvitisha vyombo ya habaripale vi<strong>na</strong>potoa udhaifu wa Watendaji Serikalini, kama ilivyotokea hapa Bungeni hivi karibuniwakati Mheshimiwa Waziri Ofisi ya Rais (Mahusiano) alipotoa vitisho kwa gazeti la Mwa<strong>na</strong>nchi.Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>laani kitendo hicho <strong>na</strong> kuitaka Serikali iache mara moja vitisho kwa vyombovya habari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hili ni jambo ambalo wote tu<strong>na</strong>takiwa tulikemee kwa nguvu zetuzote <strong>na</strong> kila i<strong>na</strong>powezeka<strong>na</strong> tuwaumbue <strong>na</strong> tuwataje wale wote wa<strong>na</strong>oshiriki katika matendohaya ambayo haya<strong>na</strong> nia njema sio tu kwa tasnia yenyewe ya habari kwa kuipa ji<strong>na</strong> baya <strong>na</strong>kuipaka matope, bali pia kwa nchi yetu kwani tu<strong>na</strong> mifano dhahiri hapa Afrika <strong>na</strong> kwinginekoduniani juu ya athari ambazo zimewahi kutokea vyombo vya habari vilipotumika vibaya. Sotetu<strong>na</strong>kumbuka yaliyofanywa <strong>na</strong> vyombo vya habari vya Serikali kule Rwanda <strong>na</strong> maafayaliyotokea.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria ya Haki ya Kupata Habari. Haki ya kupata habari ni haki yamsingi ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong> i<strong>na</strong>lindwa <strong>na</strong> Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania. Ni haki ambayo i<strong>na</strong>mhusu kila Mtanzania bila ya kujali wadhifa au daraja lake kwenyejamii, umri au jinsia. Mwaka 2006, <strong>na</strong>taka niamini kwa nia njema kabisa, Serikali ilianzisham<strong>cha</strong>kato wa kutunga Sheria ya Uhuru wa Habari kwa kutoa Rasimu ya Muswada wa Sheria hiyo.Hata hivyo Rasimu ya Muswada huo ilikataliwa <strong>na</strong> wadau kwa sababu haikukidhi haja walaviwango vya Sheria kama hiyo vi<strong>na</strong>vyotakika<strong>na</strong>. Mwaka 2007, Serikali iliitikia wito wa Wadau waHabari <strong>na</strong> Haki za Bi<strong>na</strong>damu wa kutaka kuwepo <strong>na</strong> sheria mbili tofauti <strong>na</strong> kutenganisha Rasimuyake ya Muswada wa Sheria ya Uhuru wa Habari <strong>na</strong> kutengeneza Rasimu mbili, moja ya Sheria yaHaki ya Kupata Habari <strong>na</strong> nyingine ya Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari.Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja ya kutenganisha Muswada huo ilikuwa <strong>na</strong> bado ni muhimusa<strong>na</strong> kwa sababu Sheria ya Haki ya Kupata Habari ni mtambuka <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husu haki ya Kikatiba yaWatanzania wote. Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari ni ya kisekta <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husia<strong>na</strong> zaidi <strong>na</strong>kutoa mwelekeo wa jinsi vyombo vya habari vitakavyofanya kazi nchini.Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>cha</strong>kato huo ulipata mwitiko mzuri kutoka kwa Wadaumbalimbali wa Habari <strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>harakati wa Haki za Bi<strong>na</strong>damu ambao kwa umoja waowalitembea nchi nzima kukusanya mawazo <strong>na</strong> mapendekezo ya wa<strong>na</strong>nchi kuhusu Sheria ya Hakiya Kupata Habari. Walipeleka mapendekezo yao kwa Serikali ili yaweze kujumuishwa katikam<strong>cha</strong>kato wa utungaji wa Sheria.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>sisitiza kuwa Sheria hii ni muhimusa<strong>na</strong>, kwani itaimarisha utawala wa wazi <strong>na</strong> uwajibikaji. Utawala ulioshamiri katika mila za usiri ndioulioifikisha Tanzania yetu mahali pabaya. Ndio <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> mikataba mibovu <strong>na</strong> kushindwa kwauwajibikaji kwa sababu tu Watendaji wabovu wa<strong>na</strong>weza kujifi<strong>cha</strong> katika kinga ya usiri.Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imekuwa ikitoa ahadi mwaka hadi mwaka kuhusum<strong>cha</strong>kato wa utungaji wa Sheria hii muhimu lakini hadi leo hatujao<strong>na</strong> Muswada wa Sheria hiyoukia<strong>cha</strong> ule ambao wadau wamependekeza. Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali kuuletaBungeni Muswada wa Sheria hiyo ndani ya mwaka huu, ili tuujadili <strong>na</strong> kupitisha Sheria hiyo bila yakukawia zaidi.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itahadharisha Serikali kuwa isijaribuku<strong>cha</strong>kachua hata kidogo maoni hayo ya wadau kwa sababu tumejiridhisha kuwa ya<strong>na</strong> msingi<strong>na</strong> dhamira ya dhati ya kuboresha tasnia nzima ya habari <strong>na</strong> uhuru wake. Tu<strong>na</strong>chukua fursa hiikuwataarifu mapema wadau wote wa habari kwamba tutakuwa pamoja <strong>na</strong>o wakati wote waharakati za kushinikiza Muswada huo uletwe Bungeni ndani ya mwaka huu. Tu<strong>na</strong>taka Sheria hiyoipatikane mapema iwezekavyo ikiwa imebeba maoni yote ya wadau.44


Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> umuhimu wa kupata Sheria Mpya ya Vyombo vyaHabari, ni muhimu pia kuwapo kwa Sheria i<strong>na</strong>yokidhi mahitaji <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yokubalika kwa jamii yote yawa<strong>na</strong>nchi. Sheria ya Habari katu si mali ya Waandishi wa Habari <strong>na</strong> wamiliki wa vyombo vyahabari pekee yao. Ni Sheria ya Watanzania wote. Hii ni kwa sababu, haki ya kupata <strong>na</strong> kutoahabari, ni haki ya asili.Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>subiri Sheria mpya ya Habari, Kambi yaUpinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali kuleta Bungeni Muswada wa kufuta Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976kwa kuwa Sheria hiyo ni kinyume <strong>na</strong> Katiba.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari. Katika Sera ya Habari<strong>na</strong> Utangazaji iliyotolewa <strong>na</strong> Serikali <strong>na</strong> kupitishwa <strong>na</strong> Bunge lako Tukufu mwaka 2003, kipengele<strong>cha</strong> 2.2.2 ki<strong>na</strong>elekeza kwamba; “Sheria mbovu za habari ambazo zimekuwa zikikosolewa <strong>na</strong>kulalamikiwa kwa kuwa haziendani <strong>na</strong> misingi ya kidemokrasia zitadurusiwa, kurekebishwa aukufutwa.” Hivyo basi, Serikali iliahidi kuwa itatunga Sheria mpya zi<strong>na</strong>zoenda<strong>na</strong> <strong>na</strong> wakati <strong>na</strong> kukidhimahitaji ya kidemokrasia ya wa<strong>na</strong>nchi.Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>sisitiza kuwa mapendekezo ya wadau ya<strong>na</strong>kidhi kwakiwango kikubwa ahadi hiyo ya Serikali <strong>na</strong> wadau walizipitia Sheria 27 zi<strong>na</strong>zogusa habari <strong>na</strong>kupendekeza Sheria 17 miongoni mwa hizo ama zidurusiwe, zirekebishwe au kufutwa. Kambi Rasmiya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali isiendelee kusuasua katika jambo hili <strong>na</strong> ilete Muswada Bungeni waSheria ya Huduma za Vyombo vya Habari ndani ya mwaka huu wa fedha.Mheshimiwa Mwenyekiti, hadi sasa Shirika li<strong>na</strong>lo<strong>cha</strong>pisha Magazeti ya Serikali (Daily News<strong>na</strong> Habari Leo) hali<strong>na</strong> Mtendaji Mkuu, toka alipoondolewa Mtendaji aliyekuwepo. Tangazo lakumtafuta Mtendaji mpya mwenye sifa <strong>na</strong> hadhi ya kuongoza liliondolewa katika mazingiratatanishi. Hivi sasa Shirika hilo limeyumba kiuongozi jambo ambalo limesababisha kushuka kwauzalishaji. Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali kuanzisha m<strong>cha</strong>kato wa kumpata Mtendaji Mkuu waShirika hilo mwenye sifa <strong>na</strong> hadhi, kabla ya mwaka huu haujamalizika.Mheshimiwa Mwenyekiti, maendeleo ya vija<strong>na</strong>. Benki ya Taifa ya Vija<strong>na</strong> ianzishwe.Sehemu kubwa ya watu wa Taifa hili ni vija<strong>na</strong>, tukiendeleza vija<strong>na</strong> basi tutakuwa tumeendelezasehemu kubwa ya Taifa. Ni muhimu kama Taifa tuweke vipaumbele vya makusudi vya kibajeti vyakuhakikisha vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>pewa kipaumbele <strong>cha</strong> kutosha <strong>na</strong> kujengewa mazingira mazuri yakujikomboa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuanza kujenga mazingira mazuri ya kuchochea ajira nyingikwa vija<strong>na</strong> kupitia shughuli za ujasiriamali <strong>na</strong> shughuli nyingine za kiuchumi, Kambi Rasmi yaUpinzani, i<strong>na</strong>itaka Serikali ianzishe Benki ya Taifa ya Vija<strong>na</strong>. Tu<strong>na</strong>pendekeza kuwa m<strong>cha</strong>kato wakuanzishwa kwa benki hiyo uanze ndani ya mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012 <strong>na</strong> benki hiyo iwe <strong>na</strong>masharti <strong>na</strong>fuu kwa manufaa ya vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>cha</strong>kato wa Baraza la Vija<strong>na</strong> la Taifa. Kwa mara ya kwanzaSerikali iliahidi kuanzisha Baraza la Taifa la Vija<strong>na</strong> kupitia Sera ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka1996 <strong>na</strong> tangu wakati huo kila mwaka Serikali imekuwa ikiahidi hivyo hivyo lakini hadi leo haku<strong>na</strong>kilichofanyika.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani haiko tayari te<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> Serikali hiiikiwapotezea muda vija<strong>na</strong> wa nchi hii. Tu<strong>na</strong>mtaka Waziri atoe kauli ya moja kwa moja yakuhakikisha kuwa m<strong>cha</strong>kato wa kuanzishwa kwa Baraza la Taifa la Vija<strong>na</strong> u<strong>na</strong>anza mara moja <strong>na</strong>Baraza li<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> ndani ya mwaka huu wa fedha.Mheshimiwa Mwenyekiti, haja ya mabadiliko Idara ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>. Kambi Rasmiya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwa hali mbaya ya maendeleo ya vija<strong>na</strong> nchini, pia i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngiwa <strong>na</strong>uongozi dhaifu usiokuwa <strong>na</strong> ubunifu wa kutosha wa Idara ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>, ambao kwatakribani miaka 10 umekuwa <strong>na</strong> watu walewale kwenye nyadhifa takribani zote ikiwemo ile ya45


Mkurugenzi. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>taka Serikali kuifanyia mabadiliko ya viongozi Idara hii, ili kuleta ari <strong>na</strong>ubunifu mpya kikazi. Sanjari <strong>na</strong> hilo, tu<strong>na</strong>pendekeza Idara hii iongezewe nguvu <strong>na</strong> raslimali.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Utamaduni. Ni ukweli ulio wazi kuwa sekta yautamaduni kwa sasa imepoteza mwelekezo kwa sababu mipango mingi ya maendeleo haizingatiiumuhimu wa utamaduni wetu kwa tafsiri pa<strong>na</strong>. Maendeleo ya jamii yoyote ile ya<strong>na</strong>tegemeautamaduni wa nchi husika, hivyo Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>sisitiza kuwa ni lazima Serikali irudi nyuma<strong>na</strong> kujitathimini vizuri katika sekta ya Utamaduni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tu<strong>na</strong>ishi katika kipindi muhimu <strong>cha</strong> mpito wa historia<strong>na</strong> utamaduni ya tangu kizazi <strong>cha</strong> uhuru <strong>na</strong> kile kilichozaliwa baada ya uhuru, ni muhimukuhakikisha kuwa historia <strong>na</strong> utamaduni wetu, u<strong>na</strong>kusanywa, u<strong>na</strong><strong>cha</strong>mbuliwa <strong>na</strong> kuhifadhiwavizuri kwa ajili ya kizazi <strong>cha</strong> sasa <strong>na</strong> vizazi vijavyo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaSerikali iunde Kamisheni Maalum ya Rais ya Historia, ambayo pamoja <strong>na</strong> mambo mengine, iwe <strong>na</strong>majukumu yafuatayo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)(vi)Kufanya utafiti wa watu wote waliotoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kihistoria katikakupigania Uhuru wa Tanganyika, Mapinduzi ya Zanzibar <strong>na</strong> Muungano iliwaweze kukumbukwa <strong>na</strong> mi<strong>cha</strong>ngo yao kuenziwa.Kutambua maeneo, majengo, <strong>na</strong> sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwawa kihistoria.Kupitia matukio muhimu ya historia yetu ili yaweze kuelezewa katika mwangawa kihistoria. Hii ni pamoja <strong>na</strong> Uhuru, Mapinduzi, Muungano, Uasi wa Jeshi,Azimio la Arusha, Operesheni Vijijini, Vita ya Kagera, Enzi za Soko Huria <strong>na</strong>kadhalika.Kukusanya vielelezo mbalimbali vyenye umuhimu mkubwa wa kihistoria kutokawatu bi<strong>na</strong>fsi, taasisi bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> nje ya nchi ili hatimaye vitu hivyo, viwezekuingizwa katika historia yetu kwa ajili ya kuwa ni urithi wa vizazi vijavyo.Kuandika ripoti maalum juu ya historia yetu <strong>na</strong> matukio mbalimbali ili yawezekutunzwa kama sehemu ya historia yetu maalum.Kutoa mapendekezo ya jinsi ya kuenzi utamaduni wetu muhimu pamoja <strong>na</strong>watu mbalimbali ambao wali<strong>cha</strong>ngia katika matukio mbalimbali kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong>ya pekee <strong>na</strong> ambao historia yetu haijawakumbuka ipasavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Sa<strong>na</strong>a. Nianze kwa kutangaza maslahi kwenye sekta hii,kuwa mimi ni Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongofleva) <strong>na</strong> nimekuwa kwenye fani hii kwamuda mrefu sasa. Kwa uzoefu wangu <strong>na</strong> kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani, <strong>na</strong>chukua fursahii kuieleza Serikali kwamba: “Sa<strong>na</strong>a si mapambo au burudani tu kama ilivyozoeleka, bali sa<strong>na</strong>a niajira i<strong>na</strong>yoweza kubadilisha maisha ya Mtanzania yeyote a<strong>na</strong>yejihusisha <strong>na</strong>yo <strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza kabisakuwa moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya Bajeti ya Serikali, ikiwa Serikali yenyewe itadhamiriakwa dhati kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia hii”.Mheshimiwa Mwenyekiti, taarifa mbalimbali kutoka nchini Marekani za mwaka 2007zilionyesha kuwa; “Makampuni ya<strong>na</strong>yotengeneza <strong>na</strong> kuuza kazi za hatimiliki yataendelea kuwamoja ya nguvu kubwa za uchumi wa Marekani, kwani mapato yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> filamu, muziki,michezo ya video <strong>na</strong> mifumo ya kompyuta ya<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia zaidi ya asilimia 6.5 ya Pato la Taifa <strong>na</strong>kuajiri takribani watu milioni 5.4…” mwisho wa kunukuu.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni dhahiri kuwa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ikifanyiwa mapinduzi makubwai<strong>na</strong>weza kabisa kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya bajeti ya Serikali yetu <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngiamaendeleo ya Taifa hili. Ikiwa Sa<strong>na</strong>a i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kubwa kamaMarekani, je, Tanzania tu<strong>na</strong> maendeleo gani ya kujivunia hata tupuuze sa<strong>na</strong>a? Bado hatujaipasekta hii umuhimu wake u<strong>na</strong>ostahili.Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii pamoja <strong>na</strong> Serikali bila kujua, wamekuwa wakinyonywakimapato <strong>na</strong> wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wa kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan kwenye biasharaya kuuza muziki <strong>na</strong> filamu. Kwa mujibu wa utafiti wa Dkt. Jehovaness Aikaeli ambaye ni Mchumi46


wa Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam (UDSM), alisema sekta ya muziki pekee ikifanyiwa maboresho,i<strong>na</strong>weza kuiingizia Serikali mapato ya kodi ya wastani wa shilingi bilioni 50 kwa mwaka.Mheshimiwa Mwenyekiti, tafiti <strong>cha</strong>che zilizowahi kufanyika, ukiwemo utafiti wa Taasisi yaRULU/BEST – AC, wa mwaka 2007/2008, zimeonyesha kuwa Wasanii <strong>na</strong> Serikali kwa pamoja,wamekuwa wakipoteza mapato mengi yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan muziki<strong>na</strong> filamu kama ifuatavyo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)Maharamia wameendelea kurudufisha santuri <strong>na</strong> kanda za muziki, filamu <strong>na</strong>kazi nyingine za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kujipatia mapato haramu kwa jasho la Wasanii, lakinihaku<strong>na</strong> hatua kali zi<strong>na</strong>zochukuliwa kukomesha hali hii.Wasanii wengi wamekuwa wakiingia mikataba isiyo <strong>na</strong> manufaa kwao bai<strong>na</strong>yao <strong>na</strong> Wadhamini, Wazalishaji, Wasambazaji wa kazi za Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> hivyokunyonywa kimapato, kwa sababu tu ya kukosa uelewa mzuri wa masuala yamikataba <strong>na</strong> kutokuwepo udhibiti wa kutosha wa Serikali.Serikali kwa mwaka 2007 pekee, ilipoteza mapato ya muziki ya jumla ya shilingibilioni 71.Kodi i<strong>na</strong>yokusanywa <strong>na</strong> Serikali katika Sekta ya Muziki, i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katikaasilimia 12 tu ya kiwango <strong>cha</strong> mapato ki<strong>na</strong>chotakiwa kulipiwa kodi kwenyesekta hiyo.Wakati wa utafiti iligundulika kuwa ni asilimia 12.5 tu ya Wafanyabiashara wakazi za Sa<strong>na</strong>a, ndio waliokuwa wamelipa mirabaha, asilimia 87.5 hawakuwawamelipa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wizi <strong>na</strong> uharamia huu wa kazi za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>kuokoa mapato ya Wasanii <strong>na</strong> ya Serikali, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, COSOTA iwe Mamlaka. Kambi Rasmi ya Upinzanii<strong>na</strong>pendekeza kuwa Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki Na.7 ya mwaka 1999 ifanyiwe marekebishokwa lengo la kuipa meno zaidi ya kulinda haki <strong>na</strong> kuhakikisha Wasanii wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong> kazi zao.Moja ya mapendekezo ni kuifanya COSOTA kuwa chombo chenye nguvu zaidi katika kulinda kaziza Wasanii kuliko ilivyo hivi sasa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo katika sehemu ya marekebisho tu<strong>na</strong>yopendekeza,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>taka Sura Na. 218 ya Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki, ifanyiwemarekebisho ili kuunda Mamlaka ya Hakimiliki Tanzania (Copyright Regulatory Authority ofTanzania (CORATA) badala ya kuia<strong>cha</strong> COSOTA kama ilivyo hivi sasa. Mamlaka hayayakishaundwa yatakuwa <strong>na</strong> nguvu zaidi ya kushughulikia mambo mbalimbali ya kazi za wasanii,yawe ndio msimamizi <strong>na</strong> mratibu wa masuala ya Hakimiliki kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Vyama vya Msingivya Wasanii vilivyopo chini ya BASATA, kama vile Chama <strong>cha</strong> Muziki Wa Dansi Tanzania(CHAMUDATA) <strong>na</strong> kile <strong>cha</strong> Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya yaani Tanzania Urban MusicAssociation (T.U.M.A), tofauti <strong>na</strong> sasa ambapo COSOTA imebakiwa <strong>na</strong> kazi ya kusajili kazi zawasanii <strong>na</strong> kukosa nguvu ya kuzilinda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> kuwa mwenye Hakimiliki a<strong>na</strong> jukumu la kulinda hakizake kwa kwenda Mahakamani pale a<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> haki yake imepokwa <strong>na</strong> mtu au kikundichochote, bado ipo haja ya kuhakikisha kuwa Polisi wetu wa Upelelezi wa<strong>na</strong>husika moja kwa mojakatika kulinda haki za Wasanii. Mathalani, nchini Marekani hawa<strong>na</strong> Polisi wa kulinda hakimiliki mojakwa moja, lakini Shirika lao la Upelelezi (FBI), limekuwa likifanya uchunguzi wa mara kwa marakuhusu hakimiliki za wasanii, kila ku<strong>na</strong>poripotiwa suala la wizi wa kazi za msanii <strong>na</strong> limekuwali<strong>na</strong>husika moja kwa moja katika kutoa ushahidi <strong>na</strong> kusaidia kupatika<strong>na</strong> kwa haki ya msanii husika.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwa Taasisi za Serikali,Polisi <strong>na</strong> Forodha washirikiane kwa karibu <strong>na</strong> Mamlaka ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe (CORATA), kukomesha uharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Forodha watengeneze utaratibu wa47


kutoza kodi kikamilifu kwenye kazi za muziki, filamu <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a nyingine zote zi<strong>na</strong>zouzwa nje ya nchi<strong>na</strong> Mashirika ya Uzalishaji wa Kazi za Muziki –waunde ushirikiano <strong>na</strong> taratibu zao za kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong>uharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a kwa mapa<strong>na</strong> yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Februarimwaka huu, wakati akizindua kampeni ya kuzuia malaria ambayo iliwashirikisha baadhi yawasanii, aliahidi kuundwa Kikosi Kazi (Task Force) kitakachowashirikisha COSOTA, Polisi, Tume yaushindani, TRA, BRELA, Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara pamoja <strong>na</strong> wasanii mbalimbaliwa<strong>na</strong>ojihusisha <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a ili kutafuta ufumbuzi dhidi ya uharamia <strong>na</strong> wizi wa kazi za sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Wizara kuliarifu Bunge hili, je,Kikosi Kazi hicho kiko wapi mpaka leo? Kama kiliundwa, kiliundwa kwa taratibu zipi <strong>na</strong> kwa ninisuala hilo haliko wazi?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mradi wa Stickers kwenye kazi za sa<strong>na</strong>a. Mbali <strong>na</strong> marekebishohayo ya kisheria <strong>na</strong> kimfumo tuliyopendekeza, Kambi Rasmi ya Upinzani pia tu<strong>na</strong>itaka Serikalindani ya mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, itenge fedha za kutosha kwa ajili ya kuanzisha utaratiburasmi wa kuwa <strong>na</strong> Stickers kwa ajili ya kazi zote za sa<strong>na</strong>a, hususan kwenye kanda <strong>na</strong> Santuri zamuziki, filamu <strong>na</strong> kazi zote za sa<strong>na</strong>a zi<strong>na</strong>zoshikika <strong>na</strong> kuuzika. Hapa tu<strong>na</strong>shauri kuwa mamlakatu<strong>na</strong>yotaka ianzishwe, yaani (Copyright Regulatory Authority of Tanzania) ishirikiane kwa karibu <strong>na</strong>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kuandaa utaratibu mzima wa kuwa <strong>na</strong> Stickers hizo <strong>na</strong>jinsi ya kuusimamia <strong>na</strong> si kuwaachia watu bi<strong>na</strong>fsi te<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwa utaratibu rasmi wa kuwa<strong>na</strong> Stickers ukitumika, sekta ya biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a i<strong>na</strong>weza kupata mafanikio ya kuridhishandani ya muda mfupi. Mfano mzuri ni Sticker yenye nembo ya TRA i<strong>na</strong>yowekwa kwenye bidhaa zaKonyagi. Faida kubwa ambayo itapatika<strong>na</strong> kwa kuwa <strong>na</strong> Stickers kwenye kazi za sa<strong>na</strong>a ni kuwaStickers hizi zitawezesha kubaini kazi halisi (origi<strong>na</strong>l) iliyofanywa <strong>na</strong> msanii mhusika dhidi ya kazi zabandia zilizorudufishwa au kughushiwa. Sambamba <strong>na</strong> hilo, mapato ya Wa<strong>na</strong>muziki, Watunzi waFilamu <strong>na</strong> washirika wao pamoja <strong>na</strong> Serikali yataongezeka <strong>na</strong> hivyo m<strong>cha</strong>ngo halisi ya sekta hiikwenye uchumi wa nchi utakuwa wazi.Mheshimiwa Mwenyekiti, pia tu<strong>na</strong> taarifa kuwa Wasanii wengi kutoka nje ya nchiwa<strong>na</strong>ofanya maonyesho mbalimbali hapa nchini wamekuwa hawatozwi kodi li<strong>cha</strong> ya kulipwafedha nyingi. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>itaka Serikali kuanzia mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, ihakikishe kuwaWasanii hao wa nje ya nchi ambao wamekuwa wakilipwa dola laki moja hadi dola laki nne kwaonyesho moja hapa nchini, wawe wa<strong>na</strong>tozwa kodi ya kutosha, ili fedha hizo ziongezee bajeti kuuya Serikali <strong>na</strong> kuwasaidia Watanzania wengi maskini. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>itaka Serikali kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo husika, iwekeutaratibu wa kuhakikisha kuwa pale Msanii wa ndani a<strong>na</strong>pofanya onyesho au kazi ya pamoja <strong>na</strong>Msanii kutoka nje, basi kuwe <strong>na</strong> mgawanyo mzuri <strong>na</strong> wa haki wa mapato kati ya Msanii huyo waNje <strong>na</strong> Msanii Mzawa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuboresha Sekta nzima ya Sa<strong>na</strong>a nchini <strong>na</strong> kuhakikishai<strong>na</strong>ongeza ajira zenye tija <strong>na</strong> kutoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa katika ukuaji uchumi, Kambi Rasmi yaUpinzani i<strong>na</strong>pendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe:-(i)Serikali ndani ya mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, pamoja <strong>na</strong> kufanyia kazitafiti zilizokwishafanywa <strong>na</strong> wadau mbalimbali wa sa<strong>na</strong>a, ifanye utafiti mahsusi<strong>na</strong> wa ki<strong>na</strong> kuhusu Sekta nzima ya sa<strong>na</strong>a (feasibility study), ili kubaini fursa <strong>na</strong>vikwazo vyote vilivyopo, <strong>na</strong> kuainisha njia <strong>na</strong> mikakati kabambe ya kuboresha<strong>na</strong> kuisimamia sekta husika, kwa manufaa ya Wasanii <strong>na</strong> uchumi wa nchi.(ii) Kupitia matokeo ya utafiti huo, Wizara ndani ya mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012,iandae Mpango mahsusi wa Maboresho ya Sekta ya Sa<strong>na</strong>a, ambao pamoja<strong>na</strong> mambo mengine, ulenge kuziba mianya yote ya upotevu wa mapato yaSa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuchochea ajira nyingi <strong>na</strong> zenye tija kwa vija<strong>na</strong>.48


(iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Sa<strong>na</strong>a <strong>cha</strong> Bagamoyo kipandishwe hadhi <strong>na</strong> kuwa ChuoKikuu <strong>cha</strong> Kumbukumbu ya Kawawa <strong>cha</strong> Bagamoyo (Kawawa MemorialUniversity – Bagamoyo). Lengo liwe ni kuhakikisha kuwa Chuo hiki ki<strong>na</strong>toamafunzo yote ya hali ya juu ya mambo ya sa<strong>na</strong>a, michezo <strong>na</strong> utamaduni kwavija<strong>na</strong> wa Kitanzania <strong>na</strong> wale wa<strong>na</strong>otoka ng’ambo, huku tukimuenzi HayatiMzee Rashid Mfaume Kawawa, kwa m<strong>cha</strong>ngo wake mkubwa katika Taifa hilialioutoa kwenye uongozi <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a. (Makofi)Serikali ihakikishe kuwa asilimia 90 ya bajeti zote za Wizara, Idara, Taasisi <strong>na</strong>Wakala wa Serikali zi<strong>na</strong>zotengwa kwa ajili ya ku<strong>na</strong>ksisha ofisi, iwe i<strong>na</strong>tumia kaziza sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> samani zi<strong>na</strong>zopatika<strong>na</strong> hapa Tanzania au zi<strong>na</strong>zotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>ubunifu wa Watanzania. Hii itachochea ajira katika kazi za Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuwekaushindani wa kibiashara ambao utainua ubora wa kazi hizo.Masomo ya Sa<strong>na</strong>a yarudishwe katika ngazi zote za elimu katika shule zabi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> Serikali, ili kuchochea ubunifu <strong>na</strong> umahiri wa vija<strong>na</strong> katika kazi zasa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuinua vipaji vyao mbalimbali.Serikali ihakikishe Mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a ya<strong>na</strong>tolewa kwa vyuo vya elimu ilikuweza kupata Walimu wa kutosha wa sekta hii.Mashindano ya ubunifu wa kazi za Sa<strong>na</strong>a yaanzishwe yakiwa ni sehemu yamashindano ya michezo ya UMISHUMTA <strong>na</strong> UMISETA.Mheshimiwa Mwenyekiti, kashfa ya Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a. Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a ilianzishwam<strong>na</strong>mo 1972 kwa madhumuni ya kutoa mafunzo ya sa<strong>na</strong>a kwa vija<strong>na</strong>, wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> wasiojiwezapamoja <strong>na</strong> kutafuta masoko ya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kazi za mikono. Hata hivyo, kuanzia mwaka 1995kumekuwepo hali ya kutoelewa<strong>na</strong> bai<strong>na</strong> ya Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini baada ya kutilia<strong>na</strong>shaka wenyewe kwa wenyewe, pia kati ya Bodi ya Wadhamini <strong>na</strong> Wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma Waanzilishi waNyumba ya Sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, matokeo ya hali hiyo ni kufunguliwa kwa kesi Mahakamani.Katika kesi hiyo, iliyotolewa hukumu tarehe 24 Februari, 2005, Msajili aliamua kufuta rasmi usajili waBodi ya Wadhamini ya Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a akiwataka wakabidhi mali <strong>na</strong> shughuli za Nyumba kwaasasi mbadala. Uchunguzi uliofanywa <strong>na</strong> Kambi Rasmi ya Upinzani umebaini kuwa tangu kutolewakwa hukumu hiyo, Bodi haijawahi kukasimisha amali <strong>na</strong> majukumu ya Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a kwa asasimbadala <strong>na</strong> badala yake imeendelea kuwepo <strong>na</strong> kupelekea Nyumba hiyo kuendeshwa kamakampuni bi<strong>na</strong>fsi kwa faida ya Wajumbe wa<strong>cha</strong>che wa Bodi.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong> taarifa kuwa Mwenyekiti wa Bodihiyo iliyofutwa <strong>na</strong> baadhi ya Wajumbe wake wameleta mwekezaji ambaye wameshaingia <strong>na</strong>yeubia kimkataba, kwa ajili ya kujenga jengo la ghorofa katika eneo lenye jengo la sasa. Izingatiwehapa kuwa mwekezaji atapaswa kulivunja au kubadilisha mfumo wa jengo la sasa la Nyumba yaSa<strong>na</strong>a, ndipo aweze kujengwa la ghorofa.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani, i<strong>na</strong>itaka Serikali <strong>na</strong> Bunge lako Tukufulizingatie yafuatayo:-(i)(ii)Tujue kuwa Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a hivi sasa i<strong>na</strong>wanufaisha wa<strong>cha</strong>che ambao siwalengwa waliokusudiwa. Tufahamu kwamba wanufaika hawa hawa<strong>na</strong>rekodi ya uwekezaji katika Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a, hivyo wa<strong>na</strong>vu<strong>na</strong> matundayaliyopandwa <strong>na</strong> wengine hasa kupitia ushirikiano mwema bai<strong>na</strong> ya Serikaliya Tanzania (kupitia Ikulu), Norway (kupitia Shirika la NORAD) <strong>na</strong> Uholanzi(kupitia Shirika la NOVIB).Tutambue kuwa Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a ilikuwa ni mlango wa masoko ya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>kazi za mikono, hivyo kutokuwepo kwake ku<strong>na</strong>kwamisha juhudi za wazalishaji kazi49


za sa<strong>na</strong>a wa Tanzania kuweza kushiriki vyema masoko <strong>na</strong> hasa soko la pamoja laAfrika Mashariki.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuyazingatia yote hayo <strong>na</strong> kwa manufaa ya wadau wotewa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Taifa zima kwa ujumla, Kambi rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ichukue hatuazifuatazo kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a irudishwe Serikalini kwaMdhamini Mkuu wa Serikali ili m<strong>cha</strong>kato wa uanzishwaji wa Bodi huru ya kusimamia malengo yakeanuai ufanyike. Uhuishaji wa Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a uta<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> kuongeza ajira <strong>na</strong> pato la Taifa,hivyo kupunguza tatizo la uzururaji <strong>na</strong> kilio <strong>cha</strong> masoko ya kazi za sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tangu kufutwa kwake m<strong>na</strong>mo mwaka 2005, Nyumbaya Sa<strong>na</strong>a imeendelea kufanya biashara pamoja <strong>na</strong> kuingia mikataba ya biashara mpaka sasa,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali ifanye tathmini <strong>na</strong> ilipwe kodi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> faida yabiashara zilizoendeshwa mara baada ya kusitishwa uendeshaji wake.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali isitishe mara mojauvunjwaji wa jengo lililopo sasa, kwani ni utalii <strong>na</strong> ni alama ya Taifa i<strong>na</strong>yoonyesha jinsi Serikali zaNorway <strong>na</strong> Tanzania zilivyothamini juhudi za wasanii <strong>na</strong> wazalishaji kujikwamua kiuchumi <strong>na</strong>ku<strong>cha</strong>ngia pato la Taifa. (Makofi)Tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a ifufuliwe upya bila kubadili malengo yaliyopelekea kujengwakwake <strong>na</strong> badala yake kila kitu kiboreshwe kwa kuheshimu malengo yale yale. Tu<strong>na</strong>amini Serikalihii i<strong>na</strong>yojiita Serikali sikivu, itaheshimu matakwa ya Watanzania hususan Wasanii ambao pasiposhaka yoyote ile wa<strong>na</strong>taka Nyumba yao irudi kwenye mikono salama kama tulivyopendekeza.Mheshimiwa Mwenyekiti, ahadi ya Studio ya Wasanii. Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kupitia Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muunganoalitangaza kuwa amewapa Wasanii Studio ya kufanyia kazi zao. Hata hivyo, baadaye wa<strong>na</strong>nchi<strong>na</strong> wadau wengi wa sa<strong>na</strong>a, nikiwemo mimi bi<strong>na</strong>fsi, tulishangaa kusikia Studio hiyo wamepewaNGO bi<strong>na</strong>fsi ya Tanzania House of Talent (THT)! Pia Rais aliahidi kutoa pango ambapo alitoanyumba ya Serikali kwa Wasanii ambayo ingetumika kuendeshea Studio husika, lakini nyumba hiyoya Serikali iliyotolewa <strong>na</strong> Rais sasa iko chini ya THT <strong>na</strong> ndio makao ya THT!Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>hoji, kwa nini ahadi hizo zitolewe kwakikundi kimoja tu <strong>cha</strong> THT, te<strong>na</strong> kilichojikita zaidi katika biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, wakati ahadi hizoza Rais zililenga Wasanii wote wa Tanzania? Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthaminim<strong>cha</strong>ngo wa THT katika Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ya nchi hii, lakini si sahihi kwa Taasisi hiyo bi<strong>na</strong>fsi kupewajukumu la kuhodhi Studio <strong>na</strong> Nyumba iliyotolewa <strong>na</strong> Rais kwa ajili ya Wasanii wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala yake, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaStudio <strong>na</strong> Nyumba hiyo iliyotolewa <strong>na</strong> Rais ambazo ni za Serikali iwe chini ya Baraza la Sa<strong>na</strong>a laTaifa (BASATA) kwa manufaa ya Wasanii wote <strong>na</strong> si THT peke yao kama ilivyo sasa.Tu<strong>na</strong>tahadharisha kuwa hili lisipozingatiwa, ji<strong>na</strong> la Rais <strong>na</strong> hadhi ya Urais ita<strong>cha</strong>fuka kwakuoneka<strong>na</strong> kufanya kazi kwa maslahi ya watu bi<strong>na</strong>fsi (THT) badala ya kufanya kazi kwa maslahi yaumma (Wadau wa Sa<strong>na</strong>a).Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Michezo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwaMichezo ni Afya, Michezo ni Burudani, Michezo ni Ajira <strong>na</strong> Michezo ni Uchumi. Hata hivyo,mwenendo <strong>na</strong> hali halisi ya Sekta ya Michezo nchini, vi<strong>na</strong>dhihirisha kuwa sekta hii imekuwaikichukuliwa kuwa ni ya burudani pekee. Timu zetu za Taifa zifungwe au zitolewe kwenye michuanoya kimataifa, limekuwa ni jambo la kawaida, haku<strong>na</strong> hatua zozote kali zi<strong>na</strong>zochukuliwakuwajibisha<strong>na</strong> wala kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha hali ya kufanya vibaya haijurudiite<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, ushahidi kuwa Sekta ya Michezo haijapewa umuhimu u<strong>na</strong>ostahiliupo wazi. Taifa letu limeendelea kuwa kichwa <strong>cha</strong> mwendawazimu, kwa timu zetu za Taifa50


kuendelea kufanya vibaya <strong>na</strong> kuambulia mafanikio kidogo kwenye michuano ya Kimataifa. KamaTaifa tumeshindwa kuzalisha Walimu wa kutosha wa michezo mbalimbali <strong>na</strong> mbaya zaidi hataWalimu wa<strong>cha</strong>che wazalendo hususan wa mpira wa miguu, wenye ujuzi <strong>na</strong> umahiri wa kuridhishawamekuwa hawapewi motisha, pindi wa<strong>na</strong>poteuliwa kufundisha timu za Taifa. Badala yake,Serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kuwapa ajira Walimu wa kigeni.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>mtaka Waziri alieleze Bunge katika kipindichote timu ya Taifa ya Vija<strong>na</strong> ilipokuwa chini ya ko<strong>cha</strong> Tinoco toka Brazil, mkataba wake kwamwezi alilikuwa akilipwa kiasi gani <strong>na</strong> Ko<strong>cha</strong> wa sasa Jamhuri Kiwelu (Julio) (Hurio kwa Spanish)mzawa a<strong>na</strong>lipwa kiasi gani?Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ilieleze Bunge ni kwa niniko<strong>cha</strong> wa netiboli, Simone Mcknnis raia wa Australia aliyetia saini Septemba mwaka ja<strong>na</strong> kwamkataba wa miaka mitatu kufundisha mchezo huo alikatiza mkataba wake <strong>na</strong> kuondoka kurudikwao Australia kwa kile kilichoelezwa kuwa Serikali kushindwa kutimiziwa masharti ya mkatabawake <strong>na</strong> haswa malipo yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, mkakati wa kuagiza mako<strong>cha</strong> kutoka nje, ni sharti uendesambamba <strong>na</strong> mpango wa kuwapatia ujuzi <strong>na</strong> uzoefu mako<strong>cha</strong> wetu wa ndani ili pale mako<strong>cha</strong>wa nje wa<strong>na</strong>poondoka tuweze kuwatumia mako<strong>cha</strong> hao wazalendo kuendeleza michezo nchini.Kambi ya Upinzani, i<strong>na</strong>shauri kuwa pale ambapo mako<strong>cha</strong> wa kigeni wa<strong>na</strong>poajiriwa nchinikufundisha timu mbalimbali basi wapewe sharti la kuwa <strong>na</strong> wasaidizi ambao ni wazawa ilimikataba yao itakapomalizika basi wazawa wabakie <strong>na</strong> ujuzi <strong>na</strong> kuweza kuendeleza michezohusika.Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>toa hoja kuwa Bunge hili Tukufuliweze kuutambua m<strong>cha</strong>ngo mkubwa uliofanywa <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wazalendo <strong>na</strong> ikiwezeka<strong>na</strong>waweze kupata nishani ya Bunge kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo mkubwa kwenye sekta ya michezoakiwemo Julio. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, miaka 50 baada ya Uhuru, Tanzania i<strong>na</strong> uwanja mmoja tu wenyehadhi ya kimataifa ambao ni Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam uliojengwa kwa msaada wakatiwa Serikali ya Awamu ya Tatu lakini kiwanja hicho sawa <strong>na</strong> viwanja vingine nchini kimekuwahakiendeshwi vizuri, hata kulitia aibu Taifa kwa huduma mbovu, ikiwemo ya kukatika kwa umemekama ilivyotokea hivi karibuni wakati wa fai<strong>na</strong>li za michuano ya Kombe la Kagame ambaloTanzania ilikuwa mwenyeji.Mheshimiwa Mwenyekiti, Mamlaka ya Viwanja vya Michezo ianzishwe. Serikali ianzisheMamlaka ya Viwanja vya Michezo nchini <strong>na</strong> kuipa jukumu la kusimamia <strong>na</strong> kuendesha viwanjavyote vya michezo vilivyopo. Aidha, Mamlaka hiyo kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo mbalimbali vyaSerikali, ipewe jukumu la kuhakikisha kila mwaka i<strong>na</strong>jenga Vituo vya Kisasa vya Mazoezi <strong>na</strong> Hostelikwa ajili ya Wa<strong>na</strong>michezo, <strong>na</strong> angalau kiwanja kimoja kikubwa <strong>cha</strong> michezo chenye hadhi yakimataifa i<strong>na</strong>yolinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> hadhi ya Uwanja mpya wa Taifa uliopo Dar es Salaam.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa pendekezo hilo, baada ya miaka tisa, nchi yetu itakuwa <strong>na</strong>jumla ya viwanja 10 vya kimataifa. Mbali ya kuchochea maendeleo ya michezo nchini <strong>na</strong> kuajiriWatanzania wengi kutoa huduma mbalimbali, Viwanja hivi pia vitakuza hadhi ya nchi <strong>na</strong>kuiwezesha nchi kukidhi vigezo vya kuwa Mwenyeji wa michuano mikubwa ya kimataifa kamakuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN).Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, sanjari <strong>na</strong> mpango huo wa Ujenzi wa Viwanja vyaKisasa, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali kuweka lengo la kuhakikisha Tanzania i<strong>na</strong>kuwaMwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) mwaka 2018 <strong>na</strong>mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019. Aidha, Serikali iandae programu <strong>na</strong>kampeni kabambe ya kuhakikisha timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) i<strong>na</strong>andaliwa vema<strong>na</strong> kupatiwa mechi nyingi <strong>na</strong> ngumu za kujipima nguvu, kwa ajili ya kuhakikisha i<strong>na</strong>fuzu kuingiakwenye michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2014 iliyopangwa kufanyika nchini Brazil.51


Mheshimiwa Mwenyekiti, pili, viwanja vyote vya michezo, kama Uwanja wa MajimajiSongea, Sheikh Amri Abeid Arusha, Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Uwanja wa Jamhuri Dodoma,ule u<strong>na</strong>oitwa Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza <strong>na</strong> viwanja vingine vyote vilivyomilikishwa kwaCCM, virejeshwe Serikalini <strong>na</strong> viwe chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe, ili viboreshwe <strong>na</strong> kutumika kwa maslahi ya Watanzania wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala ya kutegemea tu vituo vya michezo vi<strong>cha</strong>chevilivyoanzishwa <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali iandae mpango wakukuza vipaji vya wa<strong>na</strong>michezo wadogo kwa kuanzisha Vituo vya Michezo (Sports Academy)katika kila Halmashauri kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tuliyopendekezaianzishwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> hali mbaya ya sekta ya michezo nchini, bado zipotimu <strong>na</strong> wapo wachezaji ambao wamekuwa wajitutumua <strong>na</strong> kufanya vizuri kwenye ushindani wakimataifa. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>chukua fursa hii kuzipongeza timu za soka za Simba <strong>na</strong>Yanga kwa kufanikiwa kufika fai<strong>na</strong>li ya Kombe la Kagame baada ya kuzitoa timu nyingine zaAfrika Mashariki <strong>na</strong> Kati. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> utamaduni wetu. Kuhusu maendeleo yaKiswahili, Tanzania i<strong>na</strong>sifika kwa kuongea Kiswahili fasaha, lakini leo ukiingia katika tovuti yeyoteduniani, ukiuliza Kiingereza utaambiwa asili yake ni Uingereza, Kifaransa asili yake Ufaransa, Kijapa<strong>na</strong>sili yake Japan, Kijerumani asili yake Ujerumani, Kispanyola asili yake Hispania, lakini u<strong>na</strong>poulizaKiswahili, wa<strong>na</strong>sema asili yake ni Kenya.Mheshimiwa Mwenyekiti, elimu bora hutolewa kwa lugha ya Taifa i<strong>na</strong>vyosemwa <strong>na</strong> karibukila mtu <strong>na</strong> lugha hiyo hapa kwetu ni lugha ya Kiswahili. Kwa mujibu wa wataalamu <strong>na</strong> watafiti wamasuala ya lugha <strong>na</strong> maendeleo (Kwa mfano Prof. Kahigi), ni kwamba haku<strong>na</strong> nchi yoyoteDuniani ambayo imeendelea kwa lugha ya kukopa. Hivyo basi, Tanzania haiwezi kuendelea kwakutumia lugha ya Kiingereza tuu katika kutoa elimu kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa hiyo lugha zote mbilizitumike kikamilifu katika kufundishia. Hata hivyo, Kambi ya Upinzani tu<strong>na</strong>pongeza taasisi zoteambazo zimeendelea kukikuza Kiswahili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi tumeshindwa hata kulinda huu utamaduni wetu wa asili?Kwa sababu hata juhudi ambazo Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) wa<strong>na</strong>zifanya kuendelezaKiswahili duniani, zi<strong>na</strong>ishia kutolisaidia Taifa kwa sababu ya mtazamo wa Serikali juu ya lugha yakufundishia shule za sekondari <strong>na</strong> vyuo vya juu.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani,<strong>na</strong>omba kuwasilisha.(Makofi)MWENYEKITI: Ahsante kwa hotuba yako nzuri. Waheshimiwa Wabunge sasa tu<strong>na</strong>ingiakatika majadiliano, <strong>na</strong>omba niwataje watakaoanza asubuhi hii, tutaanza <strong>na</strong> Mheshimiwa EstherBulaya, Mheshimiwa Abdallah Ameir, Mheshimiwa Mohamed Seif Khatib ajiandaye.MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>miniweze ku<strong>cha</strong>ngia ikizingatiwa mimi ni mdau muhimu, by Profession ni Mwandishi wa Habari lakinipia ni Mbunge wa Vija<strong>na</strong>, kwa hiyo Wizara hii i<strong>na</strong>nihusu vilivyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwapongeza Waandishi wenzangu Tanzanianzima kwa kufanya kazi katika mazingira magumu, lakini bado wameweza kutoa m<strong>cha</strong>ngo wakutoa elimu kwa wa<strong>na</strong>nchi wa Tanzania. Pia <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza vija<strong>na</strong>wote Tanzania kwa kuendelea kujitutumua kupiga<strong>na</strong> <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukata wa maishau<strong>na</strong>owakabili kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo kubwa la ajira i<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wetu ambao ni asilimia sitini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza wajumbe wenzanguwa Kamati ya Utekelezaji wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa kwa kuumiza kichwa <strong>na</strong> kufikiria ni kitu ganiambacho wa<strong>na</strong>weza kukianzisha kuleta suluhu ya matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wenzetu <strong>na</strong>kuamua kuanzisha Benki ya Vija<strong>na</strong> ambayo wenzetu wa Kambi ya Upinzani walikuwa wa<strong>na</strong>omba52


Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa Vija<strong>na</strong> tumeshaanzisha benki hiyo. Tu<strong>na</strong>omba tushirikiane ili vija<strong>na</strong>wote bila kujali itikadi yao ya vyama waweze kupata fursa ya kupata mikopo kwa bei <strong>na</strong>fuu.Hongera sa<strong>na</strong> Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza Kuu la Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa.Naamini kabisa pia fursa hiyo ya mikopo watapata hata vija<strong>na</strong> wenzetu wa Igunga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, sasa <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia.Nianze kwa kumnukuu Mheshimiwa Mbunge mwenzangu Zai<strong>na</strong>b Kawawa wakati aki<strong>cha</strong>ngiakatika Hotuba ya Wizara ya Kazi alisema vija<strong>na</strong> ni bomu lingine ambalo li<strong>na</strong>kuja. Ni kweli kabisawakati Serikali i<strong>na</strong>fikiri kushughulikia tatizo la migogoro ya wafanyakazi lakini vija<strong>na</strong> ni bomu kubwali<strong>na</strong>lokuja mbele. Vija<strong>na</strong> wengi hawa<strong>na</strong> ajira <strong>na</strong> hii si kwa Tanzania peke yake ni kwa Afrika nzima<strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> Umoja wa Nchi za Afrika walilio<strong>na</strong> hilo <strong>na</strong> kuweka mikakati ya miaka 10 kuanziamwaka 2009 mpaka 2019 kwamba ajenda ya vija<strong>na</strong> ni agenda muhimu <strong>na</strong> wengi sasa hiviwa<strong>na</strong>elekea kukata tamaa <strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>shiriki katika mageuzi kwenye nchi zao. Mimi<strong>na</strong>omba Serikali iwe makini katika hili tusifike huko, tuwasikilize vija<strong>na</strong> tuweze kutatua matatizo yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mbali ya Tanzania kuwa ya tatu Afrika katika kuzalisha dhahabulakini <strong>na</strong>sikitika kwamba sekta hii ya madini haijatoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wala haijatoa ufumbuziwa kumaliza tatizo la umaskini kwa vija<strong>na</strong>. Mbali <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wa<strong>cha</strong>che ambao wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya madini labda kwa kuwa <strong>na</strong> ma-Godfather kwenye migodi lakini bado vija<strong>na</strong> wengiwa<strong>na</strong>ofanya kazi kwenye migodi wa<strong>na</strong>fanya kazi kama vibarua, hawajui hatma yao ya keshoikoje lakini pia hata hawa wachimbaji wadogo hawajawezeshwa vya kutosha ambao wengi waoni vija<strong>na</strong> kuweza kumudu gharama za vifaa vya uchimbaji wala kumiliki migodi ya nchi yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika sekta ya madini, vija<strong>na</strong> wenzetu wamekuwa watazamajiwa kuo<strong>na</strong> tu madini ya<strong>na</strong>chukuliwa <strong>na</strong> kwenda nchi zingine. Sasa angalizo langu kwa Serikali kwasababu tayari sekta ya madini imeshindwa kutoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kumaliza umaskini kwavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutatuta tatizo la ajira, sekta muhimu ambayo itamaliza tatizo hili ni kilimo. Naomba piavija<strong>na</strong> wasije wakawa ma<strong>na</strong>mba katika ardhi yao. Asilimia 80 ya Watanzania wa<strong>na</strong>pata ajirakatika sekta ya kilimo. Sasa Wizara hii ya Vija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya kilimo? Wakati Waziri wa Fedha a<strong>na</strong>wasilisha bajeti yake alielezea mikakati mbalimbali yaTanzania kuwa <strong>na</strong> mageuzi ya kilimo <strong>na</strong> kuwezesha kulisha dunia, fine, si<strong>na</strong> tatizo <strong>na</strong>lo lakini je,Wizara hii ambayo <strong>na</strong>amini ndio coordi<strong>na</strong>tor ya Wizara mbalimbali katika issue zi<strong>na</strong>zowahusuvija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetu watanufaika katika sekta ya kilimo?Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa <strong>na</strong>pitia vitabu mbalimbali ku<strong>na</strong> hekta milioni 25 ambazozi<strong>na</strong>faa katika kilimo <strong>cha</strong> umwagiliaji, je, Wizara imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetuwatawezeshwa ili <strong>na</strong> wenyewe kuweza kumiliki <strong>na</strong> kuweza kushiriki vyema katika kilimo <strong>cha</strong>umwagiliaji <strong>na</strong> hii ipo kwenye mpango wa muda mrefu. Katika mpango wa muda mfupi nilikuwa<strong>na</strong>angalia ku<strong>na</strong> hekta milioni moja ambazo zi<strong>na</strong>faa katika umwagiliaji katika kipindi hiki <strong>cha</strong> 2015.Sasa je, Wizara i<strong>na</strong>tuambia nini vija<strong>na</strong> hapa wataweza kumiliki hekta ngapi, mtawawezeshaji kwakutumia mito, maziwa kuhakikisha <strong>na</strong>o hizi hekta milioni moja kwa kipindi hiki hawaziangalii tuzi<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> bado wao wa<strong>na</strong>endelee kugubikwa <strong>na</strong> umaskini?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Waziri, <strong>na</strong>mwamini kabisa, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>mwamini,aliweza kulea Taasisi muhimu ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> kwa miaka 10, <strong>na</strong>omba awasaidie vija<strong>na</strong>wenzake waondokane <strong>na</strong> umaskini kupitia sekta ya kilimo. Waziri Mkullo hapa alishatuambiakwamba tutafanya Mapinduzi ya kilimo <strong>na</strong> watashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wawekezaji mbalimbali kwakugharimu mabilioni ya dola. Tayari tumeshashuhudia ku<strong>na</strong> baadhi ya maeneo yameshaanzakutengwa kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta ya kilimo. Tu<strong>na</strong>omba <strong>na</strong> hili <strong>na</strong>lo vija<strong>na</strong> wasiwewatazamaji kuangalia ardhi yao tu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> hawafaidiki <strong>na</strong>yo. Namwomba MheshimiwaWaziri awe coordi<strong>na</strong>tor mzuri kwa issues zi<strong>na</strong>zowahusu vija<strong>na</strong> katika Wizara zote. Kilimo sasa hivindio itakuwa mkombozi wa vija<strong>na</strong> wasiwe wa<strong>na</strong>imba tu kauli ya Kilimo Kwanza halafu hawanufaiki<strong>na</strong>yo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hawa vija<strong>na</strong> asilimia 60 ndio wa<strong>na</strong>otengeneza asilimia 14.4 yawatu wasiokuwa <strong>na</strong> ajira Tanzania, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tuwasaidie vija<strong>na</strong> wenzetu wasikate tamaa,53


wasije kupoteza matumizi kabisa <strong>na</strong> Serikali yao kwamba haiwajali. Wamekosa fursa katika sektaya ya madini, wapate fursa katika sekta ya kilimo, waweze kujiajiri wenyewe ili waweze kuondoaumaskini u<strong>na</strong>owakabili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa nizungumzie profession yangu ya habari. Tumekuwatukiwategemea sa<strong>na</strong> Waandishi wa Habari katika mambo yetu mbalimbali. Nashukuru hapa leo<strong>na</strong>sema wazi hizi pande mbili zote zi<strong>na</strong>miliki media. Upande wa Opposition <strong>na</strong> Serikali lakini badowa<strong>na</strong>shindwa kuboresha maslahi ya Waandishi wa Habari. I<strong>na</strong>sikitisha <strong>na</strong> i<strong>na</strong>tia aibu humu ndanitu<strong>na</strong>kuwa tu<strong>na</strong>jidai kupigania haki za watu lakini watu tu<strong>na</strong>owaajiri, Waandishi wa Habaritu<strong>na</strong>wanyonya kwa sababu wao wenyewe hawawezi kujitetea. Si vizuri tukawa tu<strong>na</strong>ji<strong>na</strong>fikishahumu ndani wakati Waandishi kwenye vyombo vyetu hatuwalipi vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha eti Mwandishi a<strong>na</strong>lipwa shilingi 1000 kwa story. Asilimia80 ya Waandishi waliokuwepo kwenye vyombo vya habari ni corresponded, wa<strong>na</strong>lipwa kutoka<strong>na</strong>habari. Labda kwa wiki akijitahidi ataandika habari 100 lakini zitatoka mbili, kwa hiyo, kwa wiki a<strong>na</strong>shilingi 2000 tu<strong>na</strong>kwenda wapi, halafu baadaye tu<strong>na</strong>sema wawe wazalendo wawe wazalendohata maslahi yao hatuwaboreshei? Naomba Mheshimiwa Waziri alichukue hilo <strong>na</strong> sisi tuliomohumu ndani tu<strong>na</strong>omiliki vyombo vya habari tuache u<strong>na</strong>fiki, tuwalipe vizuri Waandishi wa Habari.Tuache kuwatumia kwa maslahi yetu bi<strong>na</strong>fsi, tuwalipe vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuwaomba Waandishi wa Habari wenzangu, tupokwenye Mfumo wa Vyama Vingi <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jua kila mtu a<strong>na</strong> mapenzi ya Chama <strong>cha</strong>ke lakini tutendefair. Tutumie ethics zetu zi<strong>na</strong>vyosema, tuandike habari zilizo sahihi bila kujali itikadi zetu <strong>na</strong>zitakazotoa elimu kwa umma hata kama wewe haikufurahishi, lakini tulitendee haki Taifa hili tuwewazalendo, tutende haki. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>penda kuzungumzia Timu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake,imesahaulika. Hapa sasa ndipo tu<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> unyanyasaji wa kijinsia, Timu ya Twiga Stars. Hii timuhaipewi hadhi kama Timu ya Taifa, haipewi hadhi kama jinsi i<strong>na</strong>vyopewa hadhi Timu ya Mpira waMiguu (Taifa Stars). Timu ya Taifa Stars imekuwa ikelelewa kama yai, Twiga Stars i<strong>na</strong>lelewa kamajiwe, siyo haki. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Timu ya Twiga Stars mbali <strong>na</strong> matatizo yote waliyokuwa <strong>na</strong>yo,wamekuwa wakifanya mazoezi kwenye mazingira magumu sometimes wa<strong>na</strong>kosa hata majimazoezi eti timu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jitahidi. Tumeo<strong>na</strong> mwaka ja<strong>na</strong> wameshirikiMichuano ya Mpira wa Miguu ya Wa<strong>na</strong>wake Afrika lakini mwaka huu wameshiriki COSAFA <strong>na</strong> piawalishika <strong>na</strong>fasi ya tatu <strong>na</strong> wamepata fursa kushiriki Michuano ya All African Game ambayoitarajia kuanzia mwezi Septemba lakini maandalizi duni, timu hii i<strong>na</strong>fanya mazoezi katika mazingiramagumu. Hapa hata tukiuliza maandalizi yake yakoje hatujui lakini watoto wa watu wa<strong>na</strong>-strugglekwa ajili ya Taifa hili. Wa<strong>na</strong>fanya mazoezi katika mazingira magumu mpaka ku<strong>na</strong> Mmarekanimmoja ameandaa DVD, a<strong>na</strong>itwa Nishal Legal ameelezea the way Twiga Stars i<strong>na</strong>vyofanyamazoezi katika mazingira magumu mbali ya kuipa heshima Taifa letu. Namwomba sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri, atupie macho Timu hii ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake hata kama TFFwa<strong>na</strong>muongopea, <strong>na</strong>mshauri afanye research, <strong>na</strong>amini a<strong>na</strong> uwezo huo wa kupata taarifa sahihiili tuisaidie timu hii tusi-base kwa Taifa Stars ambayo sometimes i<strong>na</strong>boronga, tuisaidie Timu ya TwigaStars. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>penda kujua wa<strong>na</strong> mikakati gani ya kuibua soko lawa<strong>na</strong>wake. Tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> tu Kopa Cocacola lakini je, kwa upande wa timu ya wa<strong>na</strong>wake kuibuawachezaji wa mpira wa miguu wa kike ukoje? Kule kwetu Tarime ku<strong>na</strong> timu nzuri tu ya wa<strong>na</strong>wakelakini sijasikia mikakati yoyote ya Serikali ya kuendeleza soko la wa<strong>na</strong>wake Tanzania. NamwombaMheshimiwa Waziri waache kuwanyanyapaa wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> unyanyapaa huu umeanza kwenyeTimu ya Twiga Stars.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeangalia kwenye Hotuba, mbele yake ku<strong>na</strong> Timu ya Taifa yaTaifa Stars, nilitegemea hata huku upande wa nyuma ingekuwepo Timu ya Twiga Stars.Mheshimiwa Waziri Waziri <strong>na</strong>kuomba, dada yangu Mheshimiwa Naibu Waziri timu hii ya Twiga54


iangaliwe. Te<strong>na</strong> <strong>na</strong>shukuru hii Wizara yote ime-balance gender. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> muisaidieTimu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake.Mheshimiwa Mwenyekiti, issue ya wasanii imezungumzwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> hawa ni vija<strong>na</strong> wenzetu<strong>na</strong> <strong>na</strong>shukuru Kambi ya Upinzani kwa wazo lake la shughuli ya kusimamia kazi za wasanii zihamieWizara ya Habari <strong>na</strong> mimi hilo <strong>na</strong>liafiki kabisa. Wasanii wetu wamechoka, wa<strong>na</strong>tumia mudamwingi kutunga nyimbo lakini hawathaminiwi. Fedha wa<strong>na</strong>zozipata haziendani kabisa <strong>na</strong> kazi zao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja lakini niliyosema <strong>na</strong>omba yazingatiwe.(Makofi)MWENYEKITI: Kabla sijamwita msemaji a<strong>na</strong>yefuata, <strong>na</strong>omba Idara ya Hansard, Hotuba yaMsemaji wa Kambi ya Upinzani muichukue kama ilivyokuwa kwa sababu hakuweza kuimaliza.(Makofi)MHE. ABDALLAH SHARIA AMEIR: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunio<strong>na</strong> <strong>na</strong> kunipa<strong>na</strong>fasi kuzungumza katika Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya kwanzakabisa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijalia mimi kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Dimani kwatiketi ya Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nitaongelea zaidi katika suala zima la mchezo wa mpira wamiguu kwa sababu kama m<strong>na</strong>vyofahamu mimi ni mdau mkubwa wa mchezo wa mpira wamiguu. Kule Zanzibar nilikuwa Katibu Mkuu wa Chama <strong>cha</strong> Mpira wa Miguu kwa miaka 12 <strong>na</strong> zaidi.Kwa maa<strong>na</strong> hiyo, <strong>na</strong>penda kumpongeza Mheshimiwa Waziri kwa kutoa hotuba yake nzuriambayo i<strong>na</strong>weza kutekelezeka ndani ya miaka mitano. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira ni fedha <strong>na</strong> bila ya fedha huwezi kuwa <strong>na</strong> mpira.Tukiangalia juzi hapa tulikuwa tu<strong>na</strong> Mashindano ya Kagame, kwa kweli tukiangalia kwa undanifedha zilitumika zaidi hasa kwa timu zote za Tanzania ambazo ziliweza kuingia katika hatua yafai<strong>na</strong>li <strong>na</strong> hatimaye timu yetu ya Yanga ya Dar es Salaam kuwa Mabingwa wa Kombe la Kageralakini <strong>na</strong>sema fedha zilitumika, Yanga imesajili wachezaji wengi hasa Asamoo kutoka Gha<strong>na</strong>. Kwahiyo, <strong>na</strong>chotaka kusema, Serikali <strong>na</strong>iomba sa<strong>na</strong> ipange bajeti madhubuti kabisa ambayoitasimamia mpira huu wa miguu wa Tanzania ili tuweze kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> aibu ambayo tuliipata juzi,timu yetu ya Taifa imeshindwa kwenda Sudan <strong>na</strong> yote hii i<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa fedha. Sasa<strong>na</strong>dhani Serikali itakapokuwa i<strong>na</strong> bajeti nzuri, i<strong>na</strong> uhusiano <strong>na</strong> mambo ya michezo basi tutawezakufanya vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>iomba Serikali ifanye mambo haya yafuatayo ili kuwezakuinua mpira wetu wa miguu Tanzania. Kwanza, Wizara ya Michezo ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ambayoi<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> mambo ya viwanja tuhakikishe kwamba kila sehemu ambayo i<strong>na</strong>tolewa viwanja kwaajili ya makazi ya wa<strong>na</strong>damu basi kuwe <strong>na</strong> viwanja vya michezo. Viwanja hivi vya michezo sikwamba viwepo tu <strong>na</strong> Serikali iweze kuvisimamia ipasavyo. Kwa sababu kama vitakuwavimetengenezwa viwanja lakini havikusimamiwa vizuri <strong>na</strong> Serikali watatokea wajanja wa<strong>cha</strong>chekuweza kuvitumia <strong>na</strong> kufanya mambo yao ambayo wa<strong>na</strong>yahitaji. Mfano mzuri ni Uwanja waJangwani, ku<strong>na</strong> eneo ambalo limezingirwa sasa hivi watu wa<strong>na</strong>taka kulitumia kwa manufaa yaoambalo ni eneo kwa ajili ya michezo lakini kwa makusudi watu kwa ubi<strong>na</strong>fsi wao wa<strong>na</strong>takakulitumia kwa manufaa yao. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba Serikali ianzishe viwanja vya michezo kila sehemuzilizopimwa <strong>na</strong> isimamie.Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili, kipindi <strong>cha</strong> nyuma Zanzibar kulikuwa ku<strong>na</strong> madukaya michezo ambayo ya<strong>na</strong>hudumiwa <strong>na</strong> Serikali yenyewe. Sasa <strong>na</strong>iomba sa<strong>na</strong> Wizara wetuianzishe Mfuko Maalum wa kuanzisha maduka ya michezo <strong>na</strong> yasambazwe katika kila Wilaya ilikuhakikisha kuwe <strong>na</strong> u<strong>na</strong>fuu wa vifaa vya michezo <strong>na</strong> upatika<strong>na</strong>ji wake uwe katika kila Wilaya <strong>na</strong>waweze kuvimudu kwa bei rahisi zaidi. Kwa hiyo, <strong>na</strong>iomba Serikali kupitia Wizara yetu basi ianzishe55


maduka ya vifaa vya michezo katika kila Wilaya kwa ajili ya kupata vifaa vya michezo vya mpirawa miguu <strong>na</strong> kadhalika.Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la tatu ambalo <strong>na</strong>taka kuli<strong>cha</strong>ngia katika kuendelezampira wetu wa miguu Tanzania, mashuleni ndio chimbuko letu la michezo. Kama ni chimbuko letu<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>amini kwamba mashuleni tu<strong>na</strong>toa vipaji vizuri vya wa<strong>na</strong>michezo basi kuanzishwe somomaalum la michezo katika shule <strong>na</strong> wapatikane Walimu ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha masomoya michezo katika shule zetu ili kuweza kuibua vipaji ambavyo vitaweza kusaidia kukuza mchezowetu wa mpira wa miguu.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo niende kwenye TFF, Chama chetu <strong>cha</strong> MpiraTanzania kifanye haya yafuatayo. Moja, kuanzisha academy <strong>na</strong> academy hizi ziwe zi<strong>na</strong>simamiwa<strong>na</strong> Chama chenyewe <strong>cha</strong> michezo siyo zianzishwe academy halafu baadaye ziachiwe huru.Ndani ya academy basi kuwe <strong>na</strong> Sheria ndogondogo ambazo zitaweza kuwaba<strong>na</strong> wale ambaowa<strong>na</strong>watamani wachezaji wadogo wawe <strong>na</strong> utaratibu maalum wa kuweza kuwachukua <strong>na</strong>kuweza kuwatumia ili faida ziweze kupatika<strong>na</strong> katika sehemu zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili ambalo <strong>na</strong>liomba kwa TFF, mako<strong>cha</strong> kama walivyosemaKambi ya Upinzani, tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wazuri wa Tanzania ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>tumia hela nyingi zaidi kuwachukua mako<strong>cha</strong> wa njeambao wazalendo wako hapa ambao wa<strong>na</strong>weza kutumia hela ndogo tu <strong>na</strong> wakaweza kufanyakazi vizuri kama alivyotoa ndugu yangu hapa, aki<strong>na</strong> Julio ni ko<strong>cha</strong> mzuri <strong>na</strong> amefanya kazi nzurisa<strong>na</strong> ya kuweza kuitangaza Tanzania katika mashindano mbalimbali. Kwa hiyo, hawa ni mako<strong>cha</strong>ambao tu<strong>na</strong>wahitaji tuwaenzi, tuwaenzi kabisa waweze kuendeleza vipaji vya watoto wetu.(Makofi)Kama walivyosema wenzangu kwamba ni lazima mako<strong>cha</strong> watakaokuja kutoka nje, basini vizuri zaidi wale tukawatumia kuwafundisha mako<strong>cha</strong> wetu wa Tanzania. Halafu baadayewatakapoondoka, basi wa<strong>na</strong>a<strong>cha</strong> hazi<strong>na</strong> siyo wa<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> utamu wao, hapa<strong>na</strong>.Wa<strong>na</strong>ondoka, lakini wa<strong>na</strong>tuachia hekima ambayo tu<strong>na</strong>weza tukaitumia siku hadi siku.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo, niende katika TFF <strong>na</strong> ZFA. Kwa kweli <strong>na</strong>shukurusa<strong>na</strong> uhusiano uliokuwepo kati ya TFF <strong>na</strong> ZFA Zanzibar katika muda mrefu <strong>na</strong> ushirikiano ambaoumetoka katika kuhakikisha kwamba Zanzibar <strong>na</strong>yo i<strong>na</strong>kuwa mwa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa FIFA. Lakini bila yaZanzibar, haku<strong>na</strong> Tanzania. Zanzibar ndiyo i<strong>na</strong>yofanya kuwe <strong>na</strong> Tanzania. Lakini muda woteambao nilikuwa nimeweza kufanya kazi ndani ya ZFA Zanzibar, sijao<strong>na</strong> ruzuku hata moja ambayoimetokea TFF kwenda ZFA katika kuisaidia. Ile ruzuku i<strong>na</strong>yotoka FIFA ni ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> kamani ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> Zanzibar <strong>na</strong>yo wa<strong>na</strong>yo haki waweze kuipata. (Makofi)Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri atakapokuja, atuelezee: Je, a<strong>na</strong>elewa nini? TFFi<strong>na</strong>pata ruzuku gani kutoka FIFA? Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong>gawiwa katika mfumo gani kama ipo haki yakuweza kugawiwa? Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri atakapokuja, hili <strong>na</strong>ombaatuelezee ili tuweze kufahamu: Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong> haki ya kuweza kupata fungu kutoka FIFAambayo imepitia TFF au fungu lolote liko ndani ya TFF peke yake?Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuwapongeza sa<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wangu wa Dimani kwa kuni<strong>cha</strong>gua mimi kuwa Mbunge <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waahidi kwambasitawaangusha katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitano. Baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>unga mkono hoja.Asante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Abdallah Sharia. Naomba kumwita sasaMheshimiwa Muhammed Seif Khatib, Mheshimiwa Alhaj Mohamed Missanga ajiandae <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe atafuatia. Mheshimiwa Mohammed.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa heshima hii<strong>na</strong> mimi kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kusimama tangu u<strong>cha</strong>guzi mkuu kumalizika,ningeomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuwashukuru wapiga kura wangu wa Jimbo la Uzini Zanzibar kwa56


kuni<strong>cha</strong>gua kuwa Mbunge wao kwa mara nyingine te<strong>na</strong> kwa kura za kishindo. Mimi <strong>na</strong>ahidikwamba nitajitahidi kuwasaidia <strong>na</strong> kuwapa matumaini yao katika muda ujao. (Makofi)Pili, ningependa niwashukuru sa<strong>na</strong> Madaktari wa hapa Dodoma, madaktari wa Muhimbili<strong>na</strong> madaktari wa Hydrabadi kule India kwa kunisaidia pale nilipokuwa <strong>na</strong> matatizo ya kiafya.Nimerejea mzima <strong>na</strong> salama kabisa. Nawaambia ndugu zangu wa Uzini bado mzima <strong>na</strong> <strong>na</strong>wezakuwatumikia kwa nguvu zangu zote kabisa. Nawashukuru sa<strong>na</strong>. Mwisho, <strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri Nchimbi kwa hotuba yake nzuri <strong>na</strong> nimefarijika kuo<strong>na</strong> kwamba wakati mimiMwenyekiti wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> mwaka 1977/1988 yeye alikuwa chipukizi. Baadaye akajakuchukua <strong>na</strong>fasi yangu ya Uenyekiti. Nilipokuwa Waziri wake wa Wizara ya Habari <strong>na</strong> Utamaduniakawa Naibu wangu. Sasa ni Waziri wa Habari. Hongera sa<strong>na</strong> kwa kunifuata nyuma. Endeleasa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ni ishara kwamba vija<strong>na</strong> wa Tanzania wale ambaowa<strong>na</strong>lelewa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma wa<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nzuri katika uongozi katika nchi hii <strong>na</strong> Nchimbi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nimfano nzuri. Kwa hiyo vija<strong>na</strong>, endeleeni kukitumia <strong>cha</strong>ma chenu. Asanteni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mazungumzo yangu yatakuwa katika maeneo matatu. Suala laUandishi, michezo <strong>na</strong> suala la lugha ya Taifa. Uandishi wa habari ni taaluma. Ni lazima mtuasomee, hata kama u<strong>na</strong> kalamu yako nzuri ya Perker lazima uende chuoni ukasome. Uandishi wahabari siyo kazi ya wale ambayo wamekosa kazi, ndio waende kwenye habari. Maa<strong>na</strong> yake ku<strong>na</strong>mazoea kwamba kama umekosa kwenda shuleni basi, kachukue uandishi wa habari. Maa<strong>na</strong>u<strong>na</strong>pata makanjanja huko! Kwa sababu watu wa<strong>na</strong>kwenda kule bila kukusudia kwa sababuhawa<strong>na</strong> kazi nyingine.Ni vyema wafuate maadili ya uandishi. Uandishi wa habari pia ni maadili. Ku<strong>na</strong> maadiliya uandishi wenyewe <strong>na</strong> maadili ya Taifa. Kwa hiyo, <strong>na</strong>shauri waandishi wa habari wafuatemaadili ya uandishi wa habari, maadili ya Taifa <strong>na</strong> pia uzalendo. Mimi <strong>na</strong>angalia televisheni maranyingi sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong> sijao<strong>na</strong> hata siku moja maiti wa maaskari wa Marekani, siyo kama hawafi,wa<strong>na</strong>kufa, Iraq, Pakistan, lakini hawaonyeshi. Lakini hapa utao<strong>na</strong> waandishi wetu wapiga pi<strong>cha</strong>,wa<strong>na</strong>onyesha maiti, watu hali zao mbaya kabisa. Sidhani kama ni uzalendo ule. Lazima tujizuie,mambo mengine hayafai kuonyesha katika hadhara. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, uandishi wa habari siyo umbeya wala uzushi. Kwa hiyo, siyofahari kwamba wewe hodari kuandika umbeya <strong>na</strong> uzushi. Kila mtu a<strong>na</strong> haki ya faragha zake.Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba waandishi wa habari fuateni maadili, andikeni habari, msiandike umbeya <strong>na</strong>uzushi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati wa u<strong>cha</strong>guzi hapa Tanzania, waandishi wa habari huwawa<strong>na</strong>nunuliwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>siasa <strong>na</strong> kuwa vibaraka wao ili wawasemee wao. Hii siyo uandishi wahabari mzuri. Mimi <strong>na</strong>shauri Serikali iwe <strong>na</strong> mpango kwamba kila wakati wa u<strong>cha</strong>guzi vyombo vyahabari vijisajili vyenyewe kwamba mimi kipindi hiki nitasaidia <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> CHADEMA ili tuwajue.Mimi CUF ni kadhalika. Ndivyo wa<strong>na</strong>vyofanya Marekani. Marekani u<strong>na</strong>jua kabisa kwamba gazetifulani li<strong>na</strong>unga mkono <strong>cha</strong>ma kadhaa. Tufanye hivyo ili kupunguza u<strong>na</strong>fiki ulioko katika baadhi yawaandishi wetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwamba hili ni muhimu sa<strong>na</strong> kwa waandishiwa habari kwamba wajitambulishe wao kwamba wa<strong>na</strong>fanya nini. Nilikuwa <strong>na</strong>msikiliza Msemajiwa Upinzani, rafiki yangu, akizungumza kuhusu gazeti la Daily News. Mimi <strong>na</strong>fikiri lile ni gazeti mojaambalo li<strong>na</strong>fuata maadili ya uandishi ni Daily News. Ni<strong>na</strong> heshima kubwa sa<strong>na</strong> hapa nchini <strong>na</strong> njeya nchi yetu. (Makofi)Yule mhariri alisema kwamba Dkt. Slaa hatashinda, ametabiri tu <strong>na</strong> utabiri siyo vibayakutabiri. Mtu kama kasema hivyo, kama safari hii Dkt. Slaa hatashinda, katabiri. Pia siyo vibayakwa mwandishi wa habari kutabiri. Pili, niende kwenye michezo. Michezo, ni sehemu nyingineambayo i<strong>na</strong>zungumzia kwamba michezo ni furaha. Haku<strong>na</strong> mtu ambaye ha<strong>na</strong> mchezoaupendao, ku<strong>na</strong> wa faragha <strong>na</strong> dhahiri. Ku<strong>na</strong> kukaa kitako <strong>na</strong> kusimama <strong>na</strong> kukimbia, kila mmojaa<strong>na</strong> mchezo wake. Kwa hiyo, michezo ni furaha kwa kila mtu <strong>na</strong> michezo ni afya <strong>na</strong> afya maa<strong>na</strong>57


yake, u<strong>na</strong>punguza gharama ya kwenda hospitali. Afya maa<strong>na</strong> yake u<strong>na</strong>fanya kazi vizuri kazinikwako. Michezo pia ni ajira. Michezo ni itifaki <strong>na</strong> michezo pia i<strong>na</strong>leta amani <strong>na</strong> umoja <strong>na</strong> utulivu.Kwa hiyo, michezo ni muhimu sa<strong>na</strong> kwamba ipate <strong>na</strong>fasi katika nchi yetu tuendelee.Mheshimiwa Mwenyekiti, michezo katika Tanzania, <strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> haja ya Serikalikuiendeleza kwa kuwekeza. Bila kuwekeza michezo haiwezi kuendelea. Lazima tu-invest kwenyemichezo ili tuendelee. Bila hivyo, hatuwezi kuendelea. Kuwekeza wapi? Tutaanza kwenyemaeneo mbalimbali. Kwa mfano, kuwekeza katika viwanja vya michezo, <strong>na</strong> siyo kwenye kiwanja<strong>cha</strong> Taifa tu, lakini viwanja vyote vya Mikoa viwekezwe ili michezo ipate kuendelea zaidi. Piamchezo usiwe mmoja tu katika riadha <strong>na</strong> kadhalika. Tuwekeze katika kutafuta walimu bora.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nilikuwa <strong>na</strong>msikia Mheshimiwa Mbunge mwenzangu hapa,<strong>na</strong>fikiri siyo busara kwa sababu ni Mswahili tu, basi a<strong>na</strong>kuwa ko<strong>cha</strong> wa Taifa, hapa<strong>na</strong>. Michezo nisayansi. Lazima awe <strong>na</strong> ujuzi. Tusidhanie kwamba lazima awe ni Mswahili, hata Wazunguwa<strong>na</strong>chukua kila mahali.Kwa hiyo, <strong>na</strong>sema michezo ni sayansi, lazima tuwapate wataalamu wenye kujua michezo,siyo kwa sababu alicheza mpira zamani <strong>na</strong> kadhalika. Wakati wao walicheza mpira kulikuwa <strong>na</strong>formation ya mpira ikiitwa WM. Sasa ku<strong>na</strong> four to four, haiwezekani kabisa. Kucheza mpira wamiguu chini, sasa watu wa<strong>na</strong>cheza <strong>na</strong> viatu. Kwa hiyo, wakati umebadilika kabisa, ku<strong>na</strong> sayansi,ku<strong>na</strong> televisheni <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, ni lazima tutafute waalimu wa<strong>na</strong>ofa<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> wakati huu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuongelea kuhusu michezo pia vifaa. Bila vifaahatuwezi kucheza. Lazima Serikali isaidie kwa vifaa vya bei rahisi ili wa<strong>na</strong>michezo wawe <strong>na</strong> vifaa.Kuwe <strong>na</strong> mipango bora vya wa<strong>na</strong>michezo. Mimi nilikuwa Waziri pale <strong>na</strong> Bwa<strong>na</strong> Nchimbia<strong>na</strong>kumbuka <strong>na</strong> Bendera. Hali mbaya sa<strong>na</strong> kwenye vyama vya michezo ni mbaya sa<strong>na</strong>, sijuimpaka leo ni vipi. Kwa hiyo, lazima viongozi wa michezo wapate taaluma, wajifunze kazi kwaufanisi mkubwa sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria za Michezo lazima zifundishwe. Chimbuko bora lawachezaji bora lazima tuwe <strong>na</strong> mahali ambapo pa<strong>na</strong> chemchemi ya kupata wachezaji bora.M<strong>na</strong>pata wapi? Nashauri, moja ni majeshi. Majeshi ni sehemu kubwa ya kuwapata wachezajibora. Wachezaji bora wa zamani walikuwa wakikimbia mbio katika majeshi. Kwa hiyo, lazimatuzungumze <strong>na</strong>o tuwasaidie, tuwape vifaa ili watutolee wachezaji bora katika Taifa letu.Eneo la pili, ni viwanda. Zamani tulikuwa <strong>na</strong> viwanda <strong>na</strong> makampuni kama TPC, Bandari<strong>na</strong> kadhalika. Sasa haku<strong>na</strong>. Humu tulipata wachezaji bora zaidi. Eneo la tatu, ni Shule za Primary,Secondary <strong>na</strong> Vyuo <strong>na</strong> Vyuo Vikuu. Sasa tu<strong>na</strong>fanya michezo, lakini siyo kama zamani, hatakidogo. Ku<strong>na</strong> haja ya kuo<strong>na</strong> njia zaidi kutafuta vija<strong>na</strong> katika Shule za Msingi <strong>na</strong> Shule za Sekondari.Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni vilabu. Vilabu vikubwa vi<strong>na</strong>baki kutafuta wachezajibora tu, lakini hawaandai wenyewe. Lazima Sheria ile ya TFF zamani kwamba lazima kila klabu iwe<strong>na</strong> timu yake ya vija<strong>na</strong> iwe ni lazima, bila hivyo wasiingizwe katika mashindano. Bila hivyowatapata wapi wachezaji? Kwa hiyo, sasa pengine ni vilabu vyenyewe vijitahiji kufanya hivyo.Lakini pia kuwe <strong>na</strong> shule za michezo acadamy. Mimi siamini kwamba TFF wa<strong>na</strong>weza kufanyahivyo. Lakini vilabu wafanye hivyo. Watu bi<strong>na</strong>fsi wafanye hivyo ili tuwe <strong>na</strong> mtandao mkubwa wawachezaji kutoka sehemu mbalimbali, bila hivyo hatushindi. Nchi zote za West Africa zi<strong>na</strong>fanikiwakwa sababu wa<strong>na</strong>zo acadamy. Mimi nilikwenda kule <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>jua.Pia TFF iunde chombo maalum <strong>cha</strong> kuendesha mashindano ya vija<strong>na</strong> ya miaka 15, 17, 19<strong>na</strong> 21. Bila hivyo, bila <strong>na</strong> mashindano ya vija<strong>na</strong> Watanzania, itakuwa kichwa <strong>cha</strong> mwenda wazimukila siku. Vilabu <strong>na</strong>vyo pia lazima vipewe <strong>na</strong>fasi hiyo. Riadha ni mchezo ambao hau<strong>na</strong> gharamakubwa sa<strong>na</strong>, kwa sababu wa<strong>na</strong>kimbia mmoja mmoja tu. Kwenye mpira wa miguu wako <strong>11</strong>. Lakinimbio ni mtu mmoja tu basi. Rahisi kuucheza mchezo huo. Ningemshauri Mheshimiwa Nchimbi,mimi nilikuwa pale, Waziri wako nilitaka kwenda Kenya <strong>na</strong> Ethiopia kujifunza, kwa niniwa<strong>na</strong>tushinda watu hawa? Kwa nini? Mimi ningeshauri kwamba tafuta timu yako uende Kenya <strong>na</strong>Ethiopia ukaone kwa nini wa<strong>na</strong>tupita watu hawa jirani zetu kwenye riadha?58


Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa miguu mwaka 2005 kiwango <strong>cha</strong> FIFA tulikuwa 175.Mwaka 2007 tulipanda mpaka kufika 89. Leo <strong>na</strong>fikiri tuko 128. Kwa nini? Kwa nini tu<strong>na</strong>poromoka?Tu<strong>na</strong>poroka kwa nini? Tujitahidi kwa sababu hii ni heshima kubwa sa<strong>na</strong>. Hatukuwahi hata maramoja kufika fai<strong>na</strong>li la Kombe la Afrika toka mwaka elfu moja <strong>na</strong> thelathini mpaka leo hatukuwahikuingia katika Kombe la Dunia. Kwa nini? Tujiulize. Tuache ushabiki huu wa Usimba <strong>na</strong> Uyangahapa! Twende mbele! Mpira sijui Simba <strong>na</strong> Yanga tu! Lazima tujitahidi tutoke hapa tulipo. Mimi<strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> tatizo kubwa sa<strong>na</strong>. Lazima Serikali ije <strong>na</strong> mpango kabambe kuo<strong>na</strong> ni <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ganitu<strong>na</strong>weza kuuendeleza mpira wa miguu ambao u<strong>na</strong>pendwa <strong>na</strong> watu wengi sa<strong>na</strong> duniani.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kombe la Dunia li<strong>na</strong>angaliwa <strong>na</strong> watu zaidi ya bilioni 26.Wa<strong>na</strong>nchi wengi wa<strong>na</strong>penda mpira wa miguu, tu<strong>na</strong>wakera Watanzania. Tu<strong>na</strong>waudhiWatanzania kwa sababu hatuuendelezi mpira wa miguu. Ningeshauri Serikali kuchukua hatua yakufanya hivyo. Bado ni<strong>na</strong> dakika tano.MWENYEKITI: Ni ya pili hiyo. Ahsante Mheshimiwa.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Aaah, Basi bwa<strong>na</strong>.MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba kumwita sasa Alhaj Mohamed Missanga <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe ajiandae.MHE. MOHAMED H. MISSANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze kwa kukushukuru sa<strong>na</strong>kwa kunipa <strong>na</strong>fasi mapema tu ku<strong>cha</strong>ngia katika hoja hii muhimu. Nampongeza sa<strong>na</strong> MheshimiwaWaziri Nchimbi pamoja Naibu wake, Katibu Mkuu <strong>na</strong> wote wa<strong>na</strong>oshiriki katika Wizara hii kwamaandalizi mazuri ya hotuba ya bajeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, masuala ya habari, mimi sitaki kujikita sa<strong>na</strong> kwa sababu wakowenyewe <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa Mohammed Seif yeye ni mtaalam, amesema mambo yavija<strong>na</strong> wako, Mheshimiwa Esther kazungumza vizuri. Mambo ya sa<strong>na</strong>a wako wenyewe, aki<strong>na</strong> Mr.Sugu. Kwa hiyo, mimi sitaki kuingia sa<strong>na</strong> huko. Mimi <strong>na</strong>omba nijikite kwenye michezo. Nikipata<strong>na</strong>fasi, nitazungumza mambo ya Netiboli <strong>na</strong> football <strong>na</strong> riadha.Naomba nianze <strong>na</strong> netiboli.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa muda mrefu katika netiboli kulikuwa <strong>na</strong> utulivu <strong>na</strong> amani,mchezo ambao uliendeshwa vizuri bila migogoro, bila matatizo yoyote kwa muda mrefu sa<strong>na</strong>.Lakini hivi karibuni kumezuka tatizo katika netiboli. Umezuka mgogoro ambao umesabisha KatibuMkuu wa Chama hiki A<strong>na</strong> Kibira kusimamishwa kuwa Katibu Mkuu toka mwezi Agosti, 2009.Nilipofuatilia sababu za msingi ambazo zimemfanya A<strong>na</strong> au Katibu Mkuu huyu asimamishwe, kwakweli mimi nimeo<strong>na</strong> ni mambo ya hovyo hovyo tu, wala haku<strong>na</strong> jambo la msingi. Kwa sababu,<strong>na</strong>ambiwa msingi wa kumsimamisha ni kwa sababu eti ame-side <strong>na</strong> CHANEZA au wenzetu wanetiboli wa upande wa Zanzibar katika kudumisha mashirikiano <strong>na</strong> mahusiano mazuri kati yaTanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Visiwani juu ya kuendeleza mchezo wa netiboli, jambo ambalo sikuzote hapa tu<strong>na</strong>sisitiza habari ya kuimarisha Muungano <strong>na</strong> hivi ni vyombo vya kuendelezaMuungano.Sasa mwenzetu huyu ambaye a<strong>na</strong>tekeleza azma ya kudumisha Muungano kwa utaratibuhuu kwenye CHANETA <strong>na</strong> kujaribu kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> viongozi wetu wa Zanzibar wa CHANEZAaonekane kuwa ni mtovu wa nidhamu, kwa nini ame-side <strong>na</strong> Wanzibar? Au kwa nini a<strong>na</strong>takakushirikia<strong>na</strong> vizuri <strong>na</strong> Wazanzibar? Kwa nini a<strong>na</strong>kuwa karibu <strong>na</strong> CHANEZA? Mimi <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong>.Kama kweli sababu ni hiyo <strong>na</strong> siku zote hapa tu<strong>na</strong>zungumzia habari ya kudumishaMuungano, mimi <strong>na</strong>dhani bibi huyu hakutendewa haki. Ki<strong>na</strong>chonisikitisha zaidi kwamba tokamwaka huo wa 2009 Baraza la Michezo lipo, limeshindwa kutatua, Wizara yenyewe ipo,imeshindwa kutatua. Kweli Baraza limeshindwa kutatua mgogoro huu mpaka sasa ni miakatakribani miwili, huyu binti wa watu kasimamishwa kwa sababu ambazo hazi<strong>na</strong> msingi wowote. Hilili<strong>na</strong>sikitisha, ningependa maelezo ya Mheshimiwa Waziri atakapokuwa a<strong>na</strong>-sum up. Lakini kwasababu Baraza wameshindwa <strong>na</strong> Wizara imeshindwa, nimwombe Mheshimiwa Mwenyekiti JenistaMhagama <strong>na</strong> ndugu yangu Juma Nkamia kama Makamu Mwenyekiti, wachukie hili, waunde59


Kamati, watafute kwa nini hili tatizo lipo <strong>na</strong> wafanye jitihada ili limalizike <strong>na</strong> huyu Katibu Mkuuarudishwe kwenye <strong>na</strong>fasi yake. (Makofi)Wa<strong>cha</strong> sisi tulichukue Kibunge, maa<strong>na</strong> Wizara wameshindwa <strong>na</strong> Baraza wameshindwa.Wa<strong>cha</strong> sisi katika <strong>na</strong>fasi yetu kwa kutumia Kamati yetu, <strong>na</strong> Mheshimiwa Nkamia waifanye hiyo kazi.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa football ni<strong>na</strong> kila sababu ya kumpongezaMheshimiwa Tenga kwa kazi nzuri ambayo a<strong>na</strong>ifanya toka ameingia kwenye uongozi wa TFF,amefanya mambo mengi sa<strong>na</strong>. Najua <strong>cha</strong>ngamoto zipo. Najua mapungufu yapo, lakini ukweli<strong>na</strong>sema amefanya kazi nzuri <strong>na</strong> yako mafanikio makubwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, huko nyuma, mimi nilikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji waFAT Taifa, kwa hiyo, <strong>na</strong>yafahamu. Sisi tulipokuwa pale, ukilinganisha <strong>na</strong> sasa yako mafanikio mengitu. Kwa mfano, ratiba <strong>na</strong> kalenda ya football sasa hivi u<strong>na</strong>kwenda sambamba <strong>na</strong> FIFAkiulimwengu mzima. Mashindano ya kirafiki, haya mashindano rasmi ya klabu, friendly matches,yote haya sasa hivi tu<strong>na</strong>kwenda in line <strong>na</strong> wenzetu wa FIFA.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini toka ameingia Tenga, moja ya problem ambayo ilikuweponi kwamba, kulikuwa haku<strong>na</strong> imani kwa Chama <strong>cha</strong> Mpira kutoka kwa Wafadhili <strong>na</strong> Wahisani, <strong>na</strong>matokeo yake tulikuwa hatupati ufadhili wala uhisani kwenye Chama <strong>cha</strong> Mpira. Leo wewe nishahidi Mheshimiwa Mwenyekiti kwamba, TFF wamejenga imani kwa wafadhili kiasi kwamba, TFFwa<strong>na</strong>pata ufadhili mzuri sa<strong>na</strong> kutoka katika vyombo mbalimbali.NMB wa<strong>na</strong>fadhili, TBL wa<strong>na</strong>fadhili, Vodacom wa<strong>na</strong>fadhili, hawa wasingekuja kamawangekuwa <strong>na</strong> wasiwasi kwamba, fedha zao hizi wa<strong>na</strong>zotoa, basi zi<strong>na</strong>punjwa hivi. Ni kaziambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga <strong>na</strong> Kamati yake ya Utendaji. Naomba niipongezesa<strong>na</strong> kwa mafanikio haya ambayo wameyapata <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>omba uniruhusu vilevile niwapongezesa<strong>na</strong> TBL, niwapongeze sa<strong>na</strong> Vodacom <strong>na</strong> niwapongeze sa<strong>na</strong> NMB kwa kuthubutu kufadhilimasuala ya mpira ambayo hata kama u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> kwenye Kagame Cup iliyopita, basi ufadhiliwao ndiyo umesababisha Tanzania tukaweza kushiriki <strong>na</strong> alhamdulilah, Yanga wakawamabingwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vilevile huko nyuma kulikuwa <strong>na</strong> migogoro mingi katika TFFau katika FAT. Leo wewe mwenyewe u<strong>na</strong>o<strong>na</strong>, hata magazeti siku hizi hayaandiki te<strong>na</strong> mambohayo. Ni kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga. Lakini kama alivyosemaMheshimiwa Mohamed Seif, tulifika <strong>na</strong>mba ya 89 mwaka 2009 kama nipo sawasawa, yeyeamesema mwaka 2007, lakini nipo tayari kuwa corrected kati ya mwaka 2007 <strong>na</strong> 2009 tulifika<strong>na</strong>mba mbili (two digits), <strong>na</strong>mba ya 89 katika ubora katika ulimwengu, 89 sio kazi ndogo hiyo, chiniya kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> wenzetu hawa. Sasa tumeporomoka tuko 123, 127, 129,vyovyote itakavyokuwa lakini tumeshuka chini, lakini awali tulifika mahali pazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwa TFF mimi <strong>na</strong>omba niwapongeze, lakininiwaombe <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo waziangalie. Moja ya <strong>cha</strong>ngamoto waliyo<strong>na</strong>yo, kwa kweliwazungumze <strong>na</strong> waamuzi. Yako malalmiko mengi sa<strong>na</strong> kwa timu zetu za mpira wakilalamika. TimuA, timu B, timu C, mimi sitaki kuwataja, lakini kimsingi yako malalamiko mengi ya waamuzi,ningeomba sa<strong>na</strong> TFF waliangalie hili kwa sababu li<strong>na</strong>weza likaharibu sifa nzuri hii ambayoni<strong>na</strong>jaribu kuieleza.Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Mohamed Seif, amezungumza vizuri. Changamotowaliyo<strong>na</strong>yo ni kukazania timu za vija<strong>na</strong>, klabu zetu hizi ziwe <strong>na</strong> timu za viaja<strong>na</strong>. Haya mambo yakusajili sijui kutoka wapi, kutoka wapi, mambo ya kuanza kushutumia<strong>na</strong> siyo mazuri. Lakini kamawa<strong>na</strong> timu nzuri za vija<strong>na</strong>, kama ambavyo ilikuwa miaka ya nyuma ile miaka ya 1960 <strong>na</strong> 1970aki<strong>na</strong> Ko<strong>cha</strong> Victor Stansilaus alivyokuja hapa kutoka Romania <strong>na</strong> Simba wenzetu walimletamwingine, mambo yalikuwa mazuri. Kwa hiyo, tuimarishe timu zetu za vija<strong>na</strong>, Footbal Academyzetu tuzifungue <strong>na</strong> tuziimarishe. Hapa <strong>na</strong>omba nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Mwenyekiti waBaraza la Michezo - Mheshimiwa Kipingu, ni mfano mzuri kwa kusimamia soka la vija<strong>na</strong>, amekuwa60


<strong>na</strong> Academy yake, huyu ndiye mtu wa kuungwa mkono ili kusudi vija<strong>na</strong> wetu waweze kufanyavizuri. Huko ndiko ambako kutaweza kutusaidia sisi tuweze kupata matokeo mazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, yako malalamiko kuhusu makato ya 20% ya Uwanja wa Taifa.Vilabu vi<strong>na</strong>lalamika sa<strong>na</strong>, u<strong>na</strong>tangaza pale umepata shilingi milioni 400 lakini klabu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong>Shilingi milioni 100 <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, yako malalamiko mengi. Nadhani ni vizuri kuliangaliahilo ili kusudi kusaidia vilabu vyetu hivi viweze kupata chochote kitu.Mheshimiwa Mwenyekiti, usalama Uwanja wa Taifa, hali sio nzuri. Pale VIP ngazi yakuteremkia ni moja, lift ile haifanyi kazi. Ikitokea dharura kama iliyotokea juzi, jamaa walipigwabao, wamekasirika wamezima taa, basi i<strong>na</strong>kuwa ni vurugu tu! Kwa hiyo, nikuombe sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri, uliangalie hili kwamba, ni lazima kwa kweli ile lift ifanye kazi <strong>na</strong> kama ku<strong>na</strong> njianyingine, au control ya wale walioingilia milango mingine wasilazimike kuja pale kwenye ulemlango wa VIP ambao kidogo u<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa riadha, tarehe 13 July, niliuliza swali hapa <strong>na</strong>nikasema yale ambayo Mheshimiwa Mohamed Seif amesema, twende Kenya tukajifunze wenzetuwa<strong>na</strong>fanya nini kwa sababu, mazingira yetu yako sawasawa. Napenda niseme MheshimiwaWaziri, jibu lako halikuwa safi, sikuridhika <strong>na</strong>lo. Ni<strong>na</strong>lo hapa <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa MohamedSeif, ambaye alikuwepo pale amelizungumza vizuri.Kwanza, u<strong>na</strong>sema aah, a<strong>cha</strong> kwanza tujiangalie tufanye kongamano. Ku<strong>na</strong> ubaya ganikwenda Kenya? Ku<strong>na</strong> ubaya gani kwenda Ethiopia? Kwenda kujifunza wenzetu hawa wa<strong>na</strong>fanyanini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa <strong>na</strong> sisi hatufanikiwi! Kwanza Kenya, hapa Nairobi u<strong>na</strong>kwenda kwa garitu, hu<strong>na</strong> habari ya ndege, labda kwa Ethiopia,lakini ni karibu pale. Sikwambii uende Chi<strong>na</strong> walasikwambii uende wapi. Mimi bado <strong>na</strong>sema sikuridhika <strong>na</strong> jibu lako <strong>na</strong> bahati nzuri MheshimiwaMohamed Seif, amelizungumza hili. Naomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri, nendeni Kenya, nendeniEthiopia mkajifunze wenzetu wa<strong>na</strong>fanya nini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa katika mashindano ya riadha.Sisi tu<strong>na</strong> matatizo gani kiasi kwamba hatufanikiwi?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Rais alizungumzia akasema turudishe mashindanoya Primary School <strong>na</strong> Secondary School, <strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong>. Mmefanya hivyo <strong>na</strong> kweli mashindanoyamerudishwa, tu<strong>na</strong>wapata wale vija<strong>na</strong>. Sasa tukishawapata wale vija<strong>na</strong> wa Primary <strong>na</strong>Secondary waliofanya vizuri, what next? U<strong>na</strong>wapata tu, basi.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni lazima kuwe <strong>na</strong> kitu pale ambacho ki<strong>na</strong>weza kusaidiakuwaendeleza hawa vija<strong>na</strong>. Wenzetu katika nchi nyingine wa<strong>na</strong> kitu wa<strong>na</strong>ita High PerformanceTraining Centre, ambayo hii Training Centre ndiyo i<strong>na</strong>wachukua wale ambao wameshindakwenye UMISETA, sijui kwenye nini kule, wa<strong>na</strong>wekwa pamoja pale wa<strong>na</strong>pigwa msasa kama nimiezi miwili, miezi mitatu, wa<strong>na</strong>endelezwa pale <strong>na</strong> baadaye wa<strong>na</strong>rudi te<strong>na</strong>. Sisi hii hatu<strong>na</strong>. Hebubasi kama hatu<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri, tuwe <strong>na</strong> High Performance Training Centre, iliiweze kusaidia kuendeleza vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, basi kama hivyo ndivyo, <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini suala lanetball lishughulikiwe haraka.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Lakini vilevile nichukue<strong>na</strong>fasi hii kuipongeza Wizara hii kwa kutuandalia bajeti ambayo imetupa fursa kusimama hivi sasakuweza kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fsi hii kwa makusudi mazima kumpongezaWaziri Mkuu – Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kwa kazi nzuri a<strong>na</strong>yoifanya ya kutuongoza hapaBungeni. Mheshimiwa Pinda amekuwa msikivu, amekuwa akishaurika, tumekuwa tukimshaurimambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yojitokeza ndani ya Bunge <strong>na</strong> amekuwa akiyatafutia majibu ya kuletaufanisi wa kazi katika Bunge letu <strong>na</strong> kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wetu.61


Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeshuhudia hivi majuzi, tumekuwa tukilumba<strong>na</strong> humu ndanikatika masuala ya mafuta. Lakini tulipolipeleka kwa Waziri Mkuu, amechukua hatua za makusudi<strong>na</strong> hivi leo watu wa<strong>na</strong>anza kupata huduma. Lakini siyo hilo tu, tu<strong>na</strong>tarajia hoja ya Waziri wa Nishati<strong>na</strong> Madini, kwa kuwa tuliirejesha, <strong>na</strong>tumaini Mheshimiwa Waziri Mkuu atakuja <strong>na</strong> majibu mazuriitakapofikia siku ya siku. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>mwomba Waziri Mkuu, tumhakikishie kwamba, sisi Wabungetuko nyuma yake, tutaendelea kumshauri <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>omba aendelee kutusikiliza. Akaze buti, asihofujambo lolote ili kuifikisha nchi yetu mahali pa<strong>na</strong>pokusudiwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, shukrani zangu za tatu, <strong>na</strong>omba niwapongeze wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong>wangu kutoka kwenye Jimbo langu la Masasi, wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong> kutoka Kijiji <strong>cha</strong> Ndanda, pale Njenga,ambao walishiriki ligi ya Netball ngazi ya Mkoa <strong>na</strong> kushika <strong>na</strong>fasi ya pili kwa kujitegemea waowenyewe bila msaada wowote. Nawapongeza sa<strong>na</strong>. Nasema nipo nyuma yao <strong>na</strong> hayo ndiyomatunda niliyokuwa ni<strong>na</strong>wahamasisha wakati <strong>na</strong>pita kushukuru. Nawashukuru sa<strong>na</strong> kwakunisikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nianze ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu uhuru wa vyombo vya habari.Vyombo vya habari ni vyombo ambavyo vi<strong>na</strong>tusaidia sa<strong>na</strong> katika kutoa elimu <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchiwa<strong>na</strong>elimika kupitia vyombo vya habari <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wamekuwa wadau wakubwa katikavyombo hivi vya habari. Lakini niseme kwa masikitiko makubwa kwamba wapo wadau mbalimbaliwa<strong>na</strong>shindwa kuvitumia vyombo vyetu hivi vya habari kwa kutoa taarifa ambazo zi<strong>na</strong>wezazikasaidia katika nchi yetu <strong>na</strong> kupeleka taarifa kwenye vyombo vya habari zi<strong>na</strong>zopotosha ummazisizokuwa <strong>na</strong> maslahi, zisizofundisha wa<strong>na</strong>nchi wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Ku<strong>na</strong> matangazo mbalimbali ambayotumekuwa tukishuhudia katika television, masuala kwa mfano ya Haki Elimu, tumekuwa tukiangaliajinsi wa<strong>na</strong>vyoonyesha shule zetu zilivyo mbovu huko vijijini. Tumekuwa tukishuhudia matangazombalimbali ya<strong>na</strong>yotangaza jinsi aki<strong>na</strong> mama tu<strong>na</strong>vyolundika<strong>na</strong> kwenye kitanda kimoja penginewatu sita <strong>na</strong> wakati wa kujifungua kupata matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa mimi ni<strong>na</strong>omba niwe tofauti <strong>na</strong> matangazo haya. Niwetofauti <strong>na</strong> wadau wa<strong>na</strong>opeleka matangazo haya kwa sababu, kwa fikira zangu mara nyinginimekuwa nikifikiria kwamba, mwa<strong>na</strong>nchi au mwa<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>weza akajifunza jambo zuri kwayale mazuri ambayo ya<strong>na</strong>tendwa <strong>na</strong> mtu mwingine. Nilichokuwa ni<strong>na</strong>kitarajia, kama ku<strong>na</strong> hawawadau wa<strong>na</strong>peleka haya matangazo, wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingi sa<strong>na</strong> katika kufanya utafiti hukokwenye vijiji vyetu, kwa sababu, matangazo haya ni<strong>na</strong>amini ya<strong>na</strong>lipiwa. Wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingisa<strong>na</strong>!Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>fikiri hawa wadau kama wangekuwa wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwambaWatanzania walio wengi hawa<strong>na</strong> shule bora, tu<strong>na</strong>pata shida ya maji, badala ya kutumia pesanyingi kwa utafiti huu, fedha hizo zote wa<strong>na</strong>zozitumia wangekuwa wa<strong>na</strong>peleka pale mahaliambapo pa<strong>na</strong> tatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Sisi Waheshimiwa Wabunge, tutakuwamashahidi, yupo ndugu yetu mmoja a<strong>na</strong>itwa Mustapha Sabodo. Yule baba a<strong>na</strong> huruma sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>a<strong>na</strong> uzalendo wa nchi yetu. Ametambua matatizo mengi yaliyopo katika nchi yetu, ameo<strong>na</strong> jinsiwatu wa<strong>na</strong>vyopata shida ya maji, ameo<strong>na</strong> jinsi madarasa yetu huko vijijini yalivyo mabovu, lakiniyeye badala ya kutumia pesa zake kupeleka matangazo kwenye vyombo vya habari <strong>na</strong> kutoamatangazo haya, amekuwa akitumia pesa zake kwa ajili ya kusaidia kuondoa kero mbalimbalizilizopo katika nchi yetu. Nampongeza sa<strong>na</strong> mdau huyu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waomba sasa wale wadau wengine ambao wa<strong>na</strong>tumiamuda mwingi <strong>na</strong> pesa nyingi kupeleka mambo mabaya katika vyombo vya habari, waige mfanowa Mustapha Sabodo. Hizo pesa kama wa<strong>na</strong>zo, basi wanisaidie hata mimi Mama Kasembekupeleka kwenye Jimbo langu ziende zikajenge shule, niende nikachimbiwe visima, kwa sababuyale matangazo wasije wakafikiria kwamba, wa<strong>na</strong>nchi ya<strong>na</strong>wafurahisha <strong>na</strong> hayaleti tija yoyotewala hayaleti manufaa yoyote. Naomba vyombo vya habari m<strong>na</strong>onisikiliza, leo hii <strong>na</strong>omba mtoekwamba, Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Masasi, a<strong>na</strong>waomba wadau wote ambao wa<strong>na</strong>leta62


matangazo ya kudhalilisha nchi yetu, pesa hizo watupelekee Majimboni. Wabunge tu<strong>na</strong> matatizomakubwa Majimboni kwetu. Hongera sa<strong>na</strong> ndugu yangu Mustapha Sabodo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niendelee kuzungumzia suala la michezo. Suala la michezo, mimi<strong>na</strong>fikiri katika nchi yetu bado hatujatilia mkazo. Lakini vile vile suala la michezo ukiangalia kwaundani, kwa sehemu kubwa tumekuwa tukiachiwa wa<strong>na</strong>siasa. Sisi Wabunge, Madiwani, kwenyemaeneo yetu kama hatuhamasishi michezo, basi ujue huko Mikoani michezo imekwisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii nimkumbushe Mheshimiwa Waziri,tulipoanza Bunge hili, nilifanya makusudi mazima ya kumpatia mpango uliopo kwenye Jimbolangu la Masasi kwa ajili ya kuwasaidia vija<strong>na</strong> ambao wao wenyewe wameamua kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>kukaa katika vijiwe <strong>na</strong> kuunda vikundi vya kiuchumi, lakini jioni wa<strong>na</strong>shiriki michezo. Nilikuletea <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>fikiri umeisoma, umeipitia, sidhani kama ku<strong>na</strong> Mbunge amefanya hivyo. Ni<strong>na</strong>chokitarajiaMheshimiwa Waziri, hawa vija<strong>na</strong> walikuwa wa<strong>na</strong>kaa vijiweni, wao wenyewe ndio wameamuakusajili vilabu ambavyo ndani yake ku<strong>na</strong> vikundi vya kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi sasa ni<strong>na</strong>vyozungumza, Jimbo la Masasi, ku<strong>na</strong> vikundivilivyosajiliwa 85, vikundi vya utamaduni vinne vimesajiliwa, lakini hawa wote ndani ya klabu zaowameanzisha vikundi vya kiuchumi. Asubuhi wa<strong>na</strong>fanya kazi za kiuchumi kuzalisha mali, jioniwa<strong>na</strong>kwenda kushiriki michezo. Naomba Mheshimiwa Waziri, atakapokuwa a<strong>na</strong>fanyamajumuisho, anipe jibu la lile ombi langu. Naomba nisaidiwe, tusiwavunje moyo hawa vija<strong>na</strong>ambao kwa kweli sasa hivi wameamua kua<strong>cha</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> mambo yote waliyokuwa wa<strong>na</strong>yafanyamaovu <strong>na</strong> kurudi katika mstari kama Serikali i<strong>na</strong>vyoshauri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini la mwisho, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuzungumzia sualala utamaduni. Suala la utamaduni katika nchi yetu tumekuwa <strong>na</strong> tofauti makabila kwa makabila.Kila kabila li<strong>na</strong> utamaduni wake, lakini hivi sasa utamaduni mkubwa uliopo ndani ya makabila yetuumekuwa ukipotea. Naomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kupongeza kabila moja bila hiya<strong>na</strong> ya ai<strong>na</strong>yoyote, <strong>na</strong>omba niwapongeze wamasai.Mheshimiwa Mwenyekiti, wenzetu Wamasai ukiangalia katika nchi yetu ndiyo badowa<strong>na</strong>endeleza tamaduni zao. Lakini pamoja <strong>na</strong> kuwapongeza <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>omba niwaambie, kwasababu, ni<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong>, hata wao utamaduni wao utapotea kwa sababu, sasa hivi wameenea nchinzima, wamekuwa wamachinga wa kuuza dawa. Sasa ni<strong>na</strong> wasiwasi, wale Wwamasai wanguwaliopo Mtwara, kama bado wa<strong>na</strong>endeleza mila <strong>na</strong> utamaduni waliokuwa wa<strong>na</strong>uendelezawalipokuwa huko Arusha, <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>sema sisi wengine tuliobakiatuangalie mila tulizo<strong>na</strong>zo katika makabila yetu. Zile mila <strong>na</strong> desturi ambazo kwa kweli zi<strong>na</strong>wezazikatujengea heshima katika nchi yetu, hebu tuziangalie tuzirejeshe te<strong>na</strong> kwa manufaa ya kizazikijacho. Iko hatari kabisa, kizazi kijacho hakitajua utamaduni wetu ulikuwa ni upi? Kwa sababu sasahivi watoto wetu wamekuwa wakiangalia luninga. Kwa hiyo, watoto wa<strong>na</strong>fikiria kwamba,tamaduni ni yale mambo wa<strong>na</strong>yoyao<strong>na</strong> katika TV zetu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tushirikiane,Serikali pamoja <strong>na</strong> sisi viongozi <strong>na</strong> wazee kule vijijini wa<strong>na</strong>onisikiliza, kurudisha heshima ya nchi yetuhii kupitia suala la utamaduni wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwenye suala hilo hilo la michezo, mwaka huu hatukufanyavizuri katika kuwandaa vija<strong>na</strong> wetu wa Shule za Msingi pamoja <strong>na</strong> Sekondari. Kazi ilikuwa kama niya Zimamoto. Dakika za mwisho, Serikali ndiyo i<strong>na</strong>agiza kwenye Halmashauri zetu kwamba,Halmashauri zisaidie Shule za Msingi katika kuendesha haya mashindano. Kama tutakuwatu<strong>na</strong>kwenda kwa utaratibu huu, hatutapata vija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji <strong>na</strong> huko vijijini wamejaavija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji vya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Kama tukiwasaidia, ni<strong>na</strong>amini kabisa tutakuwa <strong>na</strong>vija<strong>na</strong> wa fani mbalimbali wa michezo ya ai<strong>na</strong> mbalimbali kwenye Taifa letu hili.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vile vile tuangalie suala la viwanja. Hata tukiangaliakwenye sekondari zetu za Kata tu<strong>na</strong>zojenga, viwanja tu<strong>na</strong>vyovikuta, sa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong> ni viwanja vyampira wa miguu. Sekondari <strong>cha</strong>che utakazozikuta ambazo zi<strong>na</strong> viwanja vya mpira wa miguu,netball, labda basket ball, haku<strong>na</strong>.63


Mheshimiwa Mwenyekiti, hapo hapo tu<strong>na</strong>himiza kwamba, vija<strong>na</strong> wetu mashuleni washirikimashindano ya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Bila kuwa <strong>na</strong> viwanja, hili suala halitafanikiwa. Lakinitu<strong>na</strong>pozungumzia michezo, tusizungumzie suala la netball pamoja <strong>na</strong> mpira wa miguu tu. Ikomichezo mingi, zamani nilikuwa <strong>na</strong>o<strong>na</strong>, kwa mfano, masuala ya riadha, kupokeza<strong>na</strong> vijiti, watuwalikuwa wa<strong>na</strong>kimbia kwa magunia. Ile pia ilikuwa i<strong>na</strong>leta <strong>cha</strong>ngamoto kwa sababu, ipo michezoambayo m<strong>na</strong>weza mkashiriki watu wa rika zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi kwa mfano tukikazania mashindano, kwa mfano, yale yakukimbiza mbuzi, atakayempata wa kwake, u<strong>na</strong>wasaidia hata wazee wetu <strong>na</strong> wao washirikikatika suala la michezo. Ku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngiaji mmoja hapa amesema michezo ni afya. U<strong>na</strong>pofanyamichezo <strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong>punguza gharama za kwenda hospitali kupata matibabu.Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, <strong>na</strong>omba nitoe hamasa kwa Waheshimiwa Wabungekwamba <strong>na</strong> sisi tusiwe wasemaji tu, tushiriki katika michezo, tu<strong>na</strong>pokuwa hapa Bungeni <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>porudi majumbani kwetu. Kwa sababu, sisi tukishiriki suala la michezo, <strong>na</strong>fikiri hata jamiii<strong>na</strong>yotuzunguka <strong>na</strong> wao wataiga mfano wetu, tutajikuta jamii yote i<strong>na</strong>shiriki katika michezo.Mheshimiwa Waziri, Mheshimiwa Naibu Waziri, hapa Bungeni tu<strong>na</strong> timu zetu, tu<strong>na</strong> klabu yetu…(Hapa kengele iligonga kuashiria muda wamzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Nakushukuru, Mheshimiwa.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. Ahsante.MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa badala ya Mheshimiwa MozaAbeid Said, <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa Kombo Hamisi Kombo.MHE. KOMBO HAMISI KOMBO: Mheshimiwa Mwenyekiti, awali ya yote, <strong>na</strong>chukua <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fsi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Nianze <strong>na</strong> Sekta ya Habari.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Habari ni chombo muhimu katika jamii yoyote <strong>na</strong> katikanchi yoyote. Sekta ya Habari ni sekta ambayo i<strong>na</strong>weza ikaliletea Taifa maendeleo. Lakini sekta hiiya habari i<strong>na</strong> uwezo mkubwa wa kuweza kuliletea janga Taifa lolote. Hali iendako, vyombo vyahabari vitatumiwa vibaya.Mheshimiwa Mwenyekiti, niseme kwamba, kweli Tanzania tu<strong>na</strong>o utaalam wa vyombo vyahabari, lakini wengi wao wa<strong>na</strong>vitumia vyombo vya habari kinyume <strong>na</strong> maadili ya vyombo vyahabari vi<strong>na</strong>vyotakiwa vitumike. Tuangalie miaka ya nyuma wenzetu wa Burundi kulikuwa <strong>na</strong> rediomoja iliyokuwa ikiitwa Redio Intarahamwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa redio hii ilitumika vibaya katika nchi ya Burundi, iliwezakuwaletea Warundi maafa makubwa mno, sasa <strong>na</strong> Tanzania upeo wetu wa kutumia vyombo vyahabari tu<strong>na</strong>utumia vibaya. I<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> kwamba baadhi ya waandishi wa habari wa<strong>na</strong>chukuahongo kutoka kwa watu fulani, ili waweze kuandika habari zao vile ambavyo wa<strong>na</strong>taka wao. Sasahaya, siyo maadili mema ya uandishi wa habari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, habari ni elimu, <strong>na</strong> endapo itatumiwa vizuri kama i<strong>na</strong>vyotakiwa,basi wa<strong>na</strong>nchi wetu wataweza kuzifuatilia habari zetu. Lakini <strong>na</strong>taka nikuhakikishie kwamba, ku<strong>na</strong>baadhi ya magazeti hivi sasa, baadhi ya wa<strong>na</strong>nchi wengi hawayatumii kwa sababu manenoyaliyomo mle, hayaleti <strong>cha</strong>ngamoto yoyote ya maendeleo isipokuwa ni kupiga<strong>na</strong> vijembe,kulumba<strong>na</strong> bai<strong>na</strong> ya viongozi <strong>na</strong> kiongozi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda niseme kwamba waandishi wetu tusiwatumie vibaya.Kama tu<strong>na</strong> chochote <strong>cha</strong> kuwasaidia waandishi, kama alivyosema Mheshimiwa Bulaya, basituwasaidie waandishi, lakini isiwe ni kichocheo <strong>cha</strong> rushwa <strong>cha</strong> kutaka tuandikiwe habari zetu viletu<strong>na</strong>vyotaka sisi. (Makofi)64


Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni utamaduni. Tukitaka tusitake, utamaduni waMtanzania umeanza kuathirika kwa kiasi kikubwa mno kwa kufuata tamaduni za wageni. Siyotamaduni ya Watanzania kuvaa rasta hata siku moja, wala siyo utamaduni wa Mtanzania kuvaanguo nusu uchi. Siyo utamaduni wetu! Siyo heshima zetu! Siyo silika zetu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa leo tumefikia hatua ya kwamba Watanzania hatuthaminihata miili yetu au ngozi yetu ambayo tumejaliwa kupewa <strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ku<strong>na</strong> Watanzaniaambao wa<strong>na</strong>diriki kula vidonge, eti wabadilishe ngozi za miili yao. Sasa hii, ni kuchuma maradhi yamakusudi kwa sababu rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata ambayo siyo majaliwa yako, rangi yako uliyojaliwa<strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ndiyo hiyo hiyo, basi rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata haikusaidii chochote. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong>kubali kwamba wasanii Tanzania hawajapewaumuhimu u<strong>na</strong>ostahiki, <strong>na</strong> ni jukumu la Serikali kupitia Wizara husika kuhakikisha kwambaimewaandaa wasanii wa Kitanzania ili waweze kuliletea Taifa hili maendeleo ya kweli. Lakinisa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>zo zi<strong>na</strong> mipaka yake, sa<strong>na</strong>a nyingine zi<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ku<strong>na</strong>baadhi ya michezo ambayo i<strong>na</strong>chezwa <strong>na</strong> baadhi ya wasanii wa<strong>na</strong>onyesha mambo ya siri zandani za baba <strong>na</strong> mama mbele ya watoto jambo ambalo siyo somo la kuweza kumpa mtoto waTanzania, li<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ni aibu, kashifa, baadhi ya CD au kandazi<strong>na</strong>zoonyeshwa kwa hadhara ya vija<strong>na</strong> wetu wadogo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nirudie kusema kwamba siyo utamaduni wa Mtanzaniamwa<strong>na</strong>mke kuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyokuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyo. Haku<strong>na</strong> dinii<strong>na</strong>yomtaka mwa<strong>na</strong>mke atembee nusu uchi. Haya ya<strong>na</strong>tendeka. Leo tu<strong>na</strong>kaa tu<strong>na</strong>wasemavija<strong>na</strong> kwamba vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa ni wakorofi, wakati sisi wazazi ndiyo source wa matatizoyale. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije katika suala la michezo. Nakubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzanguwaliosema kwamba michezo ni sehemu ya ajira. Hivyo, kwanini kama kweli Tanzania tu<strong>na</strong>takatuonekane katika medani ya kimataifa kwamba <strong>na</strong> sisi tu<strong>na</strong>weza, tusiweze kuwatoa vija<strong>na</strong> wetukuwapeleka popote nchini, lakini wakaenda wakasoma sekta hii ya michezo wakaja hapawakalitumikia Taifa lao <strong>na</strong> kulipatia faida Taifa lao? (Makofi)Tu<strong>na</strong>chukua mtu kutoka nje kwa ajili ya kuja kusomesha hapa, lakini u<strong>na</strong>pochukua kundi lavija<strong>na</strong> ukawapeleka nje kwa ajili ya kwenda kusoma, aidha, iwe mpira wa miguu au mpiramwingine wowote, basi wa<strong>na</strong>poingia hapa, wao watakuwa ni walimu bora wa kuwasomesha,wengine <strong>na</strong> Taifa hili halitakuwa te<strong>na</strong> <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>che wa wa<strong>na</strong>michezo utakaoweza kuwafundishawengine. (Makofi)Sasa niseme kama Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo imetengewa Shilingibilioni 18.5 <strong>na</strong> hiki ndicho walichoomba <strong>na</strong> wao wamesema kwamba kumeongezeka point moja.Hatufiki popote katika Sekta ya Michezo. Bado tutaendelea kurudi chini, bado tutakuwahatuendelei kimichezo <strong>na</strong> bado tutatafuta walimu wa kuja hapa kuchukua riziki zao ambazohazitawasaidia Watanzania halafu warudi kwao, ni matajiri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>toa pendekezo kwamba ku<strong>na</strong> haja ya kujenga kiwanja kilaMkoa ambacho kitashirikisha michezo yote, lakini vilevile kuwe <strong>na</strong> viwanja angalau vinne, iwe niKanda ya Ziwa kiwanja kimoja, Kusini kiwanja kimoja, Kati kiwanja kimoja <strong>na</strong> Kaskazini kiwanjakimoja. Hivi viwe ni viwanja ambavyo vitatambuliwa kuwa ni viwanja vya kimataifa vilivyopoTanzania, <strong>na</strong> Zanzibar kuwe <strong>na</strong> kiwanja kimoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>dhani siyo Watanzania wengi ambao hawapendi michezo.Mimi mwenyewe ni mwa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong> tayari nimeshatunga kitabu <strong>cha</strong>ngu, rasimu ipo hapa,nimeieleza wakati nilipotakiwa nikijaza fomu, nilifikiria angalau nitaitwa nihojiwe juu ya rasimu hii <strong>na</strong>vipi i<strong>na</strong>weza ikatoa m<strong>cha</strong>ngo kwa Taifa? Lakini sijaulizwa mpaka leo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)65


MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>kushuru Mheshimiwa kwa vile muda umeshatuishia,<strong>na</strong>omba niwataje ambao wata<strong>cha</strong>ngia tukirudi saa kumi tutaanza <strong>na</strong> Mheshimiwa Susan Lyimo,Mheshimiwa Vicky Kamata, Mheshimiwa Victor Mwambalaswa, Mheshimiwa Murtaza Mangungu,wakajiandae, tukirejea hapa wataanza ku<strong>cha</strong>ngia.Ni<strong>na</strong> tangazo moja. Mheshimiwa Pindi Cha<strong>na</strong> - Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria <strong>na</strong>Utawala a<strong>na</strong>watangazia wa<strong>na</strong>sheria Wabunge wote, kesho tarehe 12 kutakuwa <strong>na</strong> Mkutano waTanganyika Law Society, ambao utafanyika Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dodoma, College of Humanitieskuanzia saa tatu asubuhi.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya tangazo hili, <strong>na</strong>omba kusitisha shughuli za Bunge hadisaa 10.00 Alasiri.(Saa 7.14 m<strong>cha</strong><strong>na</strong> Bunge lilifungwa mpaka Saa 10.00 jioni)(Saa 10.00 jioni Bunge lilirudia)MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, tu<strong>na</strong>endelea. Kama nilivyotangaza m<strong>cha</strong><strong>na</strong>,tu<strong>na</strong>anza <strong>na</strong> Mheshimiwa Susan Anselm Jerome Lyimo <strong>na</strong> Mheshimiwa Vick Pas<strong>cha</strong>l Kamata <strong>na</strong>Mheshimiwa Victor K. Mwambalaswa ajiandae.Mheshimiwa Susan A. J. Lyimo i<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> hajaingia, basi <strong>na</strong>omba nimwite MheshimiwaVick P. Kamata.MHE. VICK P. KAMATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa <strong>na</strong>fasi iliniweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja hii iliyopo mbele yetu. Lakini kabla ya yote, <strong>na</strong>mshukuru Mwenyezi Mungukwa afya njema iliyoniwezesha niwe mahali hapa sasa hivi <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngia bajeti hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, awali ya yote, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuvipongeza vyombo vya habari<strong>na</strong> kuwapongeza waandishi wa habari kwa kazi nzuri <strong>na</strong> kubwa ambayo wa<strong>na</strong>ifanya <strong>na</strong> kaziambayo i<strong>na</strong>tambulika <strong>na</strong> kuheshimika. Kwa kweli <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sijawapongeza zaidi <strong>na</strong> zaidi, ningependa pia ku-declareinterest kwamba <strong>na</strong> mimi ni mwandishi wa habari, nimesoma Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Mtakatifu Augustine,ni<strong>na</strong>jua ugumu, <strong>cha</strong>ngamoto, mazuri <strong>na</strong> kila kila kitu ndani ya vyombo vya habari japositazungumza kwa kirefu sa<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> muda.Mheshimiwa Mwenyekiti, wenzetu Wamarekani wa<strong>na</strong>sema katika ile mihimili mitatu kamakungekuwa <strong>na</strong> wa nne, basi ingekuwa ni vyombo vya habari, <strong>na</strong>mi <strong>na</strong>unga<strong>na</strong> <strong>na</strong>o <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>kubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong>o kwa kuamini <strong>na</strong> kutambua m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa Vyombo vya Habari.Vyombo vya Habari vikiamua kujenga, vi<strong>na</strong>jenga kweli kweli <strong>na</strong> vikikorofishwa vikaamua kuharibu,vi<strong>na</strong>weza kuharibu kweli. Hivyo, tu<strong>na</strong>takiwa tuvithamini <strong>na</strong> kuviheshimu.Mheshimiwa Mwenyekiti, wa<strong>na</strong>sema Jour<strong>na</strong>list is a watchdog of the society. Kazi ya mbwani nini? Kazi ya mbwa ni kubweka pale a<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> mambo hayaendi sawa <strong>na</strong> kazi ya mbwani kubweka pale a<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> kitu ki<strong>na</strong>tia mashaka. Hivyo, waandishi wa habari wakibweka auwakiandika kitu, tu<strong>na</strong>takiwa tushirikiane <strong>na</strong>o. I<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kuwa wameo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> tatizo mahalifulani, au ku<strong>na</strong> kitu ki<strong>na</strong> utata mahali fulani. Hivyo, sisi kama Serikali tu<strong>na</strong>takiwa kuunga<strong>na</strong> <strong>na</strong>kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>o ili tuweze kulisukuma gurudumu tu<strong>na</strong>kotaka lifike.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi ni<strong>na</strong> tatizo kidogo <strong>na</strong> sielewi kwa nini Serikali i<strong>na</strong>chelewasa<strong>na</strong> kufanya maamuzi kwenye baadhi ya vitu muhimu. Kwenye vyombo vya Habari ku<strong>na</strong>Wakurugenzi ambao wame-act muda mrefu, kwa mfano, Habari, Maelezo <strong>na</strong> Daily News wa<strong>na</strong>actzaidi ya miaka mitatu sasa. Kwa hali ya kawaida, bi<strong>na</strong>damu yeyote ukiwekwa mahali u<strong>na</strong>kaakama vile kwa muda, hujiamini kwamba wewe uko pale, huwezi kutoa ubunifu wako sawasawakwamba mimi niko hapa, ngoja ni-deliver au ngoja nifanye kazi watu waone au ngoja nifanye kaziambayo ni<strong>na</strong>iamini <strong>na</strong> kuijua vizuri. Hata kama a<strong>na</strong>taka kuanzisha kitu fulani atasita kwamba ah!pengine nikikianzisha kabla hakijafika popote, ataletwa mtu mwingine.66


Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni zaidi ya miaka mitatu kama sikosei hawa watu wa<strong>na</strong>actkama Watendaji wazuri. Kwa huu muda mrefu, wameshajulika<strong>na</strong> kama hawa watuwa<strong>na</strong>weza, basi wawekwe wawe full directors, wafanye kazi kwa kujiamini kwamba wako kazinikweli <strong>na</strong> kama basi hamwaoni kama wa<strong>na</strong>fanya kazi vizuri, basi wateuliwe wale ambaom<strong>na</strong>dhani watafanya kazi. Wakati mwingine tu<strong>na</strong>takiwa sisi kama Serikali tushirikiane <strong>na</strong> hivivyombo vya habari ili tufanye kazi vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, nisingependa kuongea sa<strong>na</strong> kwenye eneo hili, lakini pia kablasijatoka kwenye eneo hili la vyombo vya habari, ku<strong>na</strong> Sheria ambayo ilikuwa i<strong>na</strong>zungumzwaBunge lililopita, sikuwepo, lakini nilikuwa <strong>na</strong>fuatilia. Ku<strong>na</strong> Sheria ya vyombo vya habari, ni<strong>na</strong>aminikabisa Sheria hii ndiyo itakayoweza kuleta tija kwa waandishi wa habari <strong>na</strong> kwa vyombo vyahabari kwa ujumla. Ni<strong>na</strong>omba basi Serikali ilete hii Sheria hapa ili tuweze kuijadili. Ni<strong>na</strong>amini kabisaSheria hii ndiyo itakayoleta tija kama nilivyosema pale mwanzo.Mheshimiwa Mwenyekiti, sheria hii i<strong>na</strong>sisitiza <strong>na</strong> ni lazima iangalie maslahi ya waandishi wahabari. Naomba Sheria hii iangalie maslahi pia ya vyombo vya habari ili tuweze kufanya kazi kwapamoja kama mhimili wa nne japo haujawa rasmi. Nimesema Wamarekani wamesema kamakungekuwa <strong>na</strong> mhimili mwingine, vyombo vya habari vingekuwa ni muhimili wa nne. Basi <strong>na</strong> mimi<strong>na</strong>amini <strong>na</strong> wote m<strong>na</strong>amini vyombo vya habari vingekuwa vikifanya kazi kubwa, tushirikiane<strong>na</strong>vyo ili tuweze kufika kule tu<strong>na</strong>kotaka kufika.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimepitia randama ya Wizara, nimeangalia katika mipango yamaendeleo, nimeo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> mpango wa kuibua fursa ya ajira kwa vija<strong>na</strong>. Mpango huo umelengakutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vija<strong>na</strong>, mpango huo umeandaliwa <strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>Shirika la Kazi Duniani, kitu ambacho ni kizuri, <strong>na</strong>furahi sa<strong>na</strong>. Lakini ni<strong>na</strong>penda tu kujua ni vija<strong>na</strong>wangapi kutoka Mkoa wa Geita watanufaika <strong>na</strong> mpango huu?Mwisho wa siku, nitapenda kuuliza kama tutajaaliwa mwakani nijue ni vija<strong>na</strong> wangapiwamenufaika <strong>na</strong> mradi huu mzuri, maa<strong>na</strong> kama u<strong>na</strong>toa mafunzo ya ujasiriamali kwa vija<strong>na</strong>, basivija<strong>na</strong> walio wengi maeneo mbalimbali wakipata hii elimu itawasaidia kujikwamua <strong>na</strong> ugumu wamaisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, pia katika hii bajeti, nimeo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> mradi wa kinga dhidi yaUKIMWI. Mradi huu lengo lake kubwa ni kuhamasisha vija<strong>na</strong> kubadili tabia ili kupunguzamaambukizi ya UKIMWI, mimba zisizotarajiwa, <strong>na</strong> watoto wa mitaani.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>omba Wizara hii kama ambavyo vyombo mbalimbalivimejitokeza kuwaibua wa<strong>na</strong>ovuta madawa ya kulevya, wametambulika <strong>na</strong> wakasaidiwa <strong>na</strong>wengine wamepatiwa elimu, sasa wamerudi kuwa katika hali nzuri ya kawaida. Ku<strong>na</strong> kundi dogola vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>dhani limesahaulika kidogo, ni kundi la hawa mabinti ambao wa<strong>na</strong>jiuza usiku, yaanima<strong>cha</strong>ngudoa. Ni<strong>na</strong> imani kabisa kupitia Wizara hii kama litawekwa dirisha <strong>na</strong> ukawekwautaratibu wa kuwapata hawa mabinti ni<strong>na</strong> uhakika siyo wote ambao wa<strong>na</strong>penda kufanya hiibiashara haramu <strong>na</strong> mbaya, ni<strong>na</strong>amini wa<strong>na</strong>fanya biashara hii pengine kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazingira,ugumu wa maisha <strong>na</strong> wengine pengine ni kukosa elimu.Hivyo dirisha hilo kama litakuwepo litawasaidia hata hawa mabinti ambao hawapendikufanya hii biashara, pengine wa<strong>na</strong>fanya kwa sababu ya kukosa elimu <strong>na</strong> kukosa misaadamuhimu, hii i<strong>na</strong>weza ikawasaidia wakabadilika <strong>na</strong> kubadilisha tabia. Kwa sababu fungu lipo kwaajili ya kuwasaidia <strong>na</strong> kuwahamasisha waweze kubadili tabia. Ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Serikali izingatie hilo<strong>na</strong> iwasaidie, maa<strong>na</strong> hilo ni kundi la vija<strong>na</strong> ambalo limetengewa hili fungu, itakuwa ni vizuri pia <strong>na</strong>wao wakanufaika <strong>na</strong>lo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba niende kwenye Idara ya Utamaduni ambayo ndiyoi<strong>na</strong>beba hasa ji<strong>na</strong> la Wizara, moja ya jukumu la Idara ya hii ni kuimarisha <strong>na</strong> kuwezesha sekta yautamaduni iweze kushiriki kikamilifu katika kuinua pato la mwa<strong>na</strong>nchi.67


Mheshimiwa Mwenyekiti, Geita <strong>na</strong> maeneo mengine, sisi Wabunge wote ni mashahidi,tu<strong>na</strong>pokwenda katika majimbo <strong>na</strong> Mikoa yetu tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> makundi mbalimbali ya ngoma za asili.Hawa watu wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri, wa<strong>na</strong>dumisha utamaduni wetu, wa<strong>na</strong>imba nyimbo nzuri,wa<strong>na</strong>elimisha jamii <strong>na</strong> wakati huo huo wa<strong>na</strong>tuburudisha. Lakini sioni kama m<strong>cha</strong>ngo waou<strong>na</strong>tambulika sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali. Ku<strong>na</strong> hawa Maafisa Utamaduni, hivi kweli wa<strong>na</strong>jua nini wajibuwao? Hivi kweli Serikali i<strong>na</strong>wajengea uwezo ili waweze kujua majukumu yao kule waliko?Mimi ni<strong>na</strong> imani kabisa kama Maafisa Utamaduni watapatiwa elimu ya kutosha,wakaelekezwa majukumu yao, wakashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kijiji wakaweka program ya kushindanishavikundi <strong>na</strong> kikundi <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chofanya vizuri ki<strong>na</strong>patiwa motisha fulani. Kama wakishinda<strong>na</strong> kutokaTarafa <strong>na</strong> Tarafa au Kata <strong>na</strong> Kata mpaka kufikia Wilaya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ofanya vizuri labda wa<strong>na</strong>pewaTrekta. Hii itawaongezea motisha <strong>na</strong> kuipenda sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kufanya kazi kwa kujituma ili iwezekuwaongezea pato, maa<strong>na</strong> hata hii ni ajira <strong>na</strong> kama Serikali itaitambua itakuwa ni ajira nzurikwao.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni ambaowa<strong>na</strong>lipwa mishahara kwa ajili ya kazi hizo, basi watoe elimu, wahamasishe hivi vikundi ili vijitume,vitunge nyimbo nzuri, viburudishe <strong>na</strong> wakati huo huo waone wa<strong>na</strong>burudisha, lakini wa<strong>na</strong>patafaida ya burudani wa<strong>na</strong>yoitoa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sijaendelea, ni<strong>na</strong> tatizo kidogo ambalo limenisumbuaakilini mwangu. Nimekuwa nikizungumza <strong>na</strong> wasanii wa Bongo Movie <strong>na</strong> wakati huo huonimezungumza <strong>na</strong> wasanii wa TAF ambao ndiyo shirikisho la wasanii nchini. Ku<strong>na</strong> mgogoromkubwa, ni<strong>na</strong>amini kabisa Waziri au Serikali i<strong>na</strong>weza ikawa <strong>na</strong> taarifa <strong>na</strong> mgogoro huu. Hivyo,ni<strong>na</strong>omba basi, Serikali ijaribu kuwaita hawa watu wakae pamoja wazungumze <strong>na</strong> kujua tatizolao ni nini. Maa<strong>na</strong> mimi baada ya kuwasikiliza nimeo<strong>na</strong> kila upande u<strong>na</strong> mazito.Naomba sa<strong>na</strong> Serikali mara baada ya mimi kuzungumza hapa, Waziri azungumze <strong>na</strong>hawa watu ili kila mtu aeleze ni nini tatizo <strong>na</strong> wajue ni jinsi gani watalitatua, kwani lengo ni kufanyakazi kwa kushirikia<strong>na</strong> tuijenge nchi yetu, kwani wasanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii.Sasa hivi ukiangalia kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huu mgogoro, kila siku tu<strong>na</strong>angalia kwenye magazeti,utao<strong>na</strong> msanii kaandikwa vibaya, kumbe kundi hili limechochea maneno, limepeleka storykwenye gazeti, wakati mwingine story hai<strong>na</strong> ukweli, tayari huyo mtu amesha<strong>cha</strong>fuliwa. Hiii<strong>na</strong>sababisha watu waone fani ya sa<strong>na</strong>a hapa nchini hai<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba Serikaliisaidie kuwaweka sawa hawa watu ili mgogoro uishe ili tuungane tufanye kazi kwa pamoja,tushirikiane <strong>na</strong> tuweze kufika mahali ambako tu<strong>na</strong>taka kufika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> muda u<strong>na</strong>nitupa mkono, lakini <strong>na</strong>omba nimzungumziemtu mmoja a<strong>na</strong>itwa Msama ambaye amejitahidi sa<strong>na</strong>. Kwanza <strong>na</strong>omba nimpongeze. Amejitahidisa<strong>na</strong> kuhakikisha a<strong>na</strong>tetea wasanii waliokuwa wa<strong>na</strong>ibiwa kazi zao. Mtu huyu amefanya kazikubwa <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yotisha. Ameshakamata kazi ambazo zi<strong>na</strong>zidi shilingi milioni 150 mpaka sasa, hatamaisha yake pia yako hatarini kwa sababu mtu a<strong>na</strong>ye-produce hizo CD umemkamata <strong>na</strong>kumpeleka Mahakamani. A<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kabisa sasa umeshamzibia mwanya wake wa kuiba, kufaidi <strong>na</strong>kuishi kama alivyokuwa a<strong>na</strong>taka kuishi. Huyu mtu yuko hatarini, hivyo tu<strong>na</strong>omba Serikali ishirikiane<strong>na</strong>ye.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeo<strong>na</strong> pia Polisi hawa<strong>na</strong> uelewa mkubwa wa jinsi yakuwakamata hawa watu wa<strong>na</strong>oiba kazi zetu sisi wasanii. Hivyo, iwape elimu kubwa ya kutosha ilivita hii tuweze kushinda.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa haya ma<strong>cha</strong>che, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa VictorMwambalaswa.MHE. VICTOR K. M<strong>WA</strong>MBALAS<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja hii iliyo mbele yetu. Pamoja <strong>na</strong> kukushukuru wewe, lakini68


<strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong> Mwenyezi Mungu kwa kunipa zawadi ya uhai <strong>na</strong> nguvu mpaka nimesimamaku<strong>cha</strong>ngia hoja hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja ya Mheshimiwa Waziri wa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Vija<strong>na</strong> ninzuri sa<strong>na</strong>, lakini nitaanza kuongelea vija<strong>na</strong>. Vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo, vija<strong>na</strong> ni Taifa la kesho <strong>na</strong> vija<strong>na</strong>ni Taifa la kesho kutwa. Taifa la Tanzania li<strong>na</strong>itwa Kisiwa <strong>cha</strong> Upendo, Uvumilifu, Umoja <strong>na</strong>Mshikamano kwa sababu sisi vija<strong>na</strong> wa zamani tulifundwa <strong>na</strong> kulelewa <strong>na</strong> waasisi wetu <strong>na</strong> wazaziwetu. Pia tulifundwa <strong>na</strong> kuwekwa unyago tukawa <strong>na</strong> moyo wa upendo, wa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>kuheshimu watu dunia nzima. Ndiyo maa<strong>na</strong> nchi yetu i<strong>na</strong>heshimika duniani kote. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vija<strong>na</strong> wetu sasa hivi ku<strong>na</strong> hatari ya kumomonyoka kwaupendo <strong>na</strong> uvumilivu <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>pa kazi, i<strong>na</strong>bidi vija<strong>na</strong> hawa tuwapeleke jandoni, i<strong>na</strong>bidi tuwafunde.Mheshimiwa Mwenyekiti, ku<strong>na</strong> jando ya ai<strong>na</strong> mbili. Jando ya mila ambayo u<strong>na</strong>wekwakambini, u<strong>na</strong>funzwa mambo ya maisha, u<strong>na</strong>funzwa kuheshimu <strong>na</strong> kuwatii wakubwa, kupendakazi, ndoa <strong>na</strong> kila kitu. Lakini lipo jando la pili ambalo ni la hospitali. Hilo wa<strong>na</strong>shughulika tu hukohospitali, basi. Sasa ukimwo<strong>na</strong> kija<strong>na</strong> leo a<strong>na</strong>mwambia mtu mzima ambaye umri wake nisawasawa <strong>na</strong> baba yake kwamba wewe muongo, ujue hii ni matokeo ya jando la hospitali.Mjomba wangu a<strong>na</strong>nio<strong>na</strong> pale a<strong>na</strong>cheka. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Wizara ifanye ubia <strong>na</strong> Wizara ya Ulinzi <strong>na</strong> Jeshi laKujenga, Jeshi la JKT kwa vija<strong>na</strong>, lirudi <strong>na</strong> usimamie wewe. Mimi nimekwenda JKT, ukifika JKT kitu<strong>cha</strong> kwanza u<strong>na</strong>pewa kitanda, godoro, mess tin, nguo zote u<strong>na</strong>beba kichwani. Kitanda u<strong>na</strong>bebakichwani ndiyo u<strong>na</strong>kwenda kutafutiwa chumba. Utakaa huko miezi sita au mwaka, utadhaniu<strong>na</strong>pata mateso sa<strong>na</strong> ya kufanya kazi <strong>na</strong> kupiga kwata lakini mwisho wa siku ukitoka JKTutakuwa <strong>na</strong> moyo wa uzalendo, upendo, uvumilivu, kupenda kazi <strong>na</strong> utaifa, u<strong>na</strong>kuwa umevipatakutoka JKT. Jambo la muhimu sa<strong>na</strong> ni utaifa <strong>na</strong> kupenda kazi <strong>na</strong> kutokupenda dezo u<strong>na</strong>fundishwaJKT.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Wizara hii ifanye ubia <strong>na</strong> Wizara ya Jeshila Kujenga kusimamia vija<strong>na</strong>, waanze mara moja kupelekwa jandoni JKT ili tuwe <strong>na</strong> Watanzaniawazuri wa kesho kutwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, miaka ya 1960 <strong>na</strong> 1970 ukichukua mchezo wa mpira wa miguutu, Tanzania ilikuwa katika Afrika Mashariki <strong>na</strong> Kati kila a<strong>na</strong>yekuja hapa a<strong>na</strong>chukua mbao. AjeZambia a<strong>na</strong>chukua mbao, akija Malawi m<strong>na</strong>mhesabia mbao, Kenya, Ethiopia, Rwanda <strong>na</strong>Burundi ndiyo usiseme, lakini sasa kila tukienda huko tu<strong>na</strong>chukua mbao sisi, yaani Tanzaniai<strong>na</strong>chukua mbao. Nadhani ku<strong>na</strong> kitu kimepotea hapo katikati.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kuomba sa<strong>na</strong>, Wizara hii ianze kusimamia michezo yotekuanzia kwenye shule za msingi. Kwenye shule za msingi kuwe <strong>na</strong> viwanja vya kutosha, vifaa vyamichezo vya kutosha, yaani Halmashauri itoe, kuwe <strong>na</strong> Walimu wa michezo wa kutosha. Shule zaSekondari kuwe <strong>na</strong> viwanja vya kutosha. Sasa hivi ku<strong>na</strong> watu wengi wa<strong>na</strong>jenga Shule za Sekondaribi<strong>na</strong>fsi, wa<strong>na</strong>jenga majengo tu <strong>na</strong> maghorofa, lakini hawaweki viwanja vya michezo, kwa hiyo,watoto wa<strong>na</strong>kwenda kusoma tu <strong>na</strong> kwenda mjini. Viwanja vya michezo viwepo <strong>na</strong> Wizara yakoishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Elimu, kila pa<strong>na</strong>pojengwa Shule, Wizara ihakikishe kwamba pale pa<strong>na</strong>viwanja vya michezo, vifaa vya michezo <strong>na</strong> pa<strong>na</strong> walimu wa michezo.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nimekwenda kwenye Chuo Kikuu ambacho Serikali yetu yaawamu ya nne imefanya jambo kubwa <strong>na</strong> zuri sa<strong>na</strong>. Ni Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dodoma, yaani UDOM.Ndiyo! Pa<strong>na</strong> viwanja viwili au vitatu vya michezo. Wa<strong>na</strong>funzi 20,000, viwanja viwili havitoshi, ndiyomaa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wetu wa sasa hivi spear time yao ni tofauti <strong>na</strong> sisi. Sisi zamani ilikuwa spear timewakati tu<strong>na</strong>soma u<strong>na</strong>itumia kwa michezo au kujisomea. Lakini wao sasa hivi spear time yaowa<strong>na</strong>itumia kwenda kuzurura mjini. Nakuomba sa<strong>na</strong> Wizara yako ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Elimu yaJuu ili kuhakikisha Vyuo Vikuu vyetu vyote vi<strong>na</strong> viwanja vya michezo, vi<strong>na</strong> Walimu wa michezokama Mwalimu Zambia wa zamani, wa kutosha ili Taifa letu liache kuwa kichwa <strong>cha</strong>mwendawazimu.69


Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>omba Wizara ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Ardhi. Nchi nyingiukio<strong>na</strong> kwenye miji wa<strong>na</strong>weka open spaces, siyo za kupumzikia tu, bali hata michezo, vija<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>cheza michezo pale. Sasa Dar es Salaam imevamiwa, <strong>na</strong>shukuru Wizara ya Ardhi imeanzakulishughulikia suala hili <strong>na</strong> hata Dodoma imeanza kuvamiwa sasa hivi. Open spaces zotewa<strong>na</strong>jenga watu. Kwa hiyo, vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa hawa<strong>na</strong> pa kucheza, ndiyo maa<strong>na</strong> muda waspare wa<strong>na</strong>kwenda kuzurura mjini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri, Wizara yake ishirikiane <strong>na</strong>Wizara ya Ardhi ili kuhakikisha kwamba open spaces zi<strong>na</strong>tumiwa kwa mambo ya kupumzika <strong>na</strong> piavija<strong>na</strong> kucheza michezo mbalimbali.Mheshimiwa Mwenyekiti, haya ya<strong>na</strong>yofuata <strong>na</strong>tataka ufafanuzi <strong>na</strong> maelezo kidogo kwaMheshimiwa Waziri. Jambo la kwanza niongelee uwanja wa Taifa wa Mpira. Serikali ya Awamu yaTatu imefanya jambo zuri sa<strong>na</strong>, tumejengewa uwanja wa michezo mkubwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa kisasa <strong>na</strong>uwanja huo ni mzuri sa<strong>na</strong> katika Afrika mashariki, kwani u<strong>na</strong>chukua watu wengi. Nia ya Serikali nikuinua viwango vya michezo vya vija<strong>na</strong> wetu.Sasa uwanja wa Taifa, viti vyote vilivyopo kule ndani vimewekewa <strong>na</strong>mba. Maa<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>mba zile ni kwamba, utakapokuwa u<strong>na</strong>nunua tiketi, <strong>na</strong>mba ya kiti <strong>cha</strong>ko i<strong>na</strong>kuwa kwenye tiketi.Ili nunue tiketi ambayo i<strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako, zipo mashine ambazo zi<strong>na</strong>tumika kuingiza watu kwenyeviwanja vya michezo, cinema halls, kwenye stations za treni ambayo i<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako.Hiyo i<strong>na</strong>saidia kuhesabu watu <strong>na</strong> kuhesabu kiasi <strong>cha</strong> fedha. Hizi mashine zi<strong>na</strong>itwa turnstilemachines. Zipo za electronic <strong>na</strong> zipo nyingine ambazo ni manual ambazo zi<strong>na</strong>fanya kazi hatakama umeme umezimika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo ya Mheshimiwa Waziri, kwanini wa<strong>na</strong>ohusikahawaweki mashine hizi Uwanja wa Taifa? Wa<strong>na</strong>taka tuwaelewe vipi? Serikali kwa nia nzuri i<strong>na</strong>takakuinua michezo <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> Mheshimiwa Rais ameamua kumlipa mshahara ko<strong>cha</strong> wa timuya Taifa ya mpira wa Miguu. Sasa badala ya kufanya juhudi mpate mapato ya kutosha uwanjanipale, mumlipe wenyewe huyo ko<strong>cha</strong>. Mmeufanya kuwa ni mradi wenu wa kutunisha matumboyenu. Nataka maelezo kwa ki<strong>na</strong> ni kwanini hawaweki mashine hizo pale uwanjani? Hilo la kwanza!(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili, nitataka maelezo. Shirila letu la Utangazaji, TBC miaka yakaribuni hapa waliingia ubia <strong>na</strong> Serikali ya Japani, wakapewa fedha nyingi, wakajengewamtambo wa kisasa wa masafa mafupi kule Mabibo ili waweze kurusha vipindi vya shule kwa Shuleza Msingi ili kuweza kuziba pengo lililopo la walimu ili wa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>ingia darasani, wa<strong>na</strong>ikutaredio iko pale, wa<strong>na</strong>msikiliza mtu ambaye yuko studio Dar es Salaam, a<strong>na</strong>wafundisha. Lakini <strong>cha</strong>ajabu ni kwamba TBC mradi huo wameuzima, wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamkia mambo mengine. Huu mradiuko wapi?Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. Kila wakatitu<strong>na</strong>piga kelele kwamba, walimu hawatoshi katika Shule za Msingi. Serikali ya Japani imetusaidiatuwafundishe watoto wetu kwa kutumia vipindi vya redio, TBC wamepeleka wapi mradi huo?Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia kumezuka mtindo sasa hivi wa vituo vya television cables vyaMikoani, huko Dodoma, Iringa, Mwanza, wa<strong>na</strong>rusha matangazo ya TV wao wenyewe bila yakupitisha kwa authority, bila kupitisha kwa Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA).Ipo imezuka sa<strong>na</strong>, hiyo ya cable TVs. Nataka maelezo ni kwanini Wizara imea<strong>cha</strong> hizi televisioncables zi<strong>na</strong>rusha matangazo kienyeji huko Mikoani? Hao ndiyo wa<strong>na</strong>opotosha hata maadili,wa<strong>na</strong>rusha vipindi vingine vya ajabu ajabu hata vya ngono. Wizara i<strong>na</strong>chukua hatua gani kuwezakushughulikia suala hili? Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri.Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>taka nizungumze juu ya mengine ambayo ni mazurizaidi kwa TBC. TBC wa<strong>na</strong>porusha matangazo yetu haya kama ni<strong>na</strong>vyoongea sasa hivi i<strong>na</strong>bidiwalipwe <strong>na</strong> Bunge, hivi ni<strong>na</strong>vyoongea, wa<strong>na</strong>lipwa <strong>na</strong> Bunge. Mwaka ja<strong>na</strong> TBC wamedai fedhazao muda mrefu sa<strong>na</strong>, mpaka Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati ndipo wakalipwa <strong>na</strong>70


Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati, ndiyo wakalipwa <strong>na</strong> Bunge shilingi milioni 700.Kwanini Hazi<strong>na</strong> isiwalipe TBC moja kwa moja? Kwanini wa<strong>na</strong>toa cheki huku, halafu te<strong>na</strong> chekiitoke huku iende kule? Nitataka maelezo ya ki<strong>na</strong> kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kwamba TBC pia wa<strong>na</strong> kituo <strong>cha</strong>o Mikocheni ambapowa<strong>na</strong>jenga studio ya kisasa, <strong>na</strong> Serikali iliwaahidi kwamba itawapa fedha za kutosha ili wawezekujenga kituo hicho kwa gharama ya shilingi bilioni 1.2. Toka mwaka 2009, huu ni mwaka 20<strong>11</strong>Serikali imetoa shilingi milioni 600 tu <strong>na</strong> Mkandarasi ambaye wamemweka kule a<strong>na</strong>tishiakuwapeleka TBC Mahakamani. Naomba Serikali ifanye kila njia iipe TBC hizo shilingi milioni 600zilizobaki ili aweze kumlipa huyu mkandarasi <strong>na</strong> kujengewa kituo <strong>cha</strong>ke <strong>cha</strong> kisasa huko Mikocheni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyosema, Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, mimi ni mjomba wake <strong>na</strong> u<strong>na</strong>jua mjomba ni mama. Kwa hiyo, siwezikusema kwamba sitaunga mkono hoja ya mjomba ambaye mimi ni mama yake, lakini nitaungamkono hoja hii baada ya kunieleza <strong>na</strong> kunifafanulia mambo haya matatu, manne ambayonimemwuliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita Mheshimiwa MozaAbedi Saidi, kama hayupo, <strong>na</strong>omba nimwite Mheshimiwa An<strong>na</strong>MaryStella John Mallac.Mheshimiwa Magreth Mkanga ajiandae, pia Mheshimiwa Murtaza Mangungu atamfuatia.MHE. ANNAMARYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Aidha, kwanza <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyenipatia afya <strong>na</strong> uzima wa kusimamambele ya Bunge lako Tukufu.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Wizara hii ya leo, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitaongelea zaidi upande wavija<strong>na</strong>. Tu<strong>na</strong>poongelea vija<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ongelea nguvu kazi ya Taifa ambayo ikitetereka tu Taifa loteli<strong>na</strong>tetereka pia. Kijamii, tu<strong>na</strong>poongelea sura ya umasikini, huoneka<strong>na</strong> pia kupitia katika vija<strong>na</strong>hasa wa<strong>na</strong>pokosa ajira, elimu, afya <strong>na</strong> kipato kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo tulilo<strong>na</strong>lo sasa katika nchi yetu ni sera <strong>na</strong> mipangoisiyotekelezeka, kwani vija<strong>na</strong> hawa hawa tu<strong>na</strong>owazungumzia ndiyo hao hao ambao Serikali kwa<strong>na</strong>m<strong>na</strong> moja ama nyingine imewasahau sa<strong>na</strong>. Serikali haitoi fursa sawa kwa vija<strong>na</strong> wote, imekuwazaidi i<strong>na</strong>tenga Mikoa hasa nikiangalia wenzetu wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha <strong>na</strong> miji mingineiliyoendelea. Lakini kwa sisi wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi, tumesahaulika sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wetu wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi kwa kweliwa<strong>na</strong>nyanyasika <strong>na</strong> kuhangaika sa<strong>na</strong>. Serikali ilisema kwamba, vija<strong>na</strong> waji-group waunde vikundi<strong>na</strong> kuanzisha miradi, baada ya hapo Serikali itawa-support. Lakini nikiangalia mfano wa vija<strong>na</strong> waMkoa wa Katavi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> hata aibu kuongea. Vija<strong>na</strong> wamekuwa <strong>na</strong> moyo wa kuitikia mwito waSerikali, wameunda vikundi vyao, wameanzisha ajira mbalimbali kama vile ufyatuaji wa matofali,kilimo <strong>cha</strong> bustani kwa maa<strong>na</strong> ya mboga <strong>na</strong> matunda, kilimo, lakini badala yake wale MaafisaMaendeleo ya vija<strong>na</strong> katika Halmashauri wamekuwa hawako karibu <strong>na</strong>o.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>pojaribu kutaka kuo<strong>na</strong> ni jinsi gani watapatamikopo, ile mikopo kwa kweli hawapati, wa<strong>na</strong>ishia kuhangaika, hata kale kadogo walikokuwawameanzisha wa<strong>na</strong>jikuta ka<strong>na</strong>teketea <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kosa mwelekeo <strong>na</strong> ndiyo mwanzo wa vija<strong>na</strong>kukaa vikundi badala ya kuji-group wazalishe mtandao wa kufanya kazi, lakini badala yakewa<strong>na</strong>kaa sasa vijiweni kupoteza muda <strong>na</strong> kuanza kushawishia<strong>na</strong> kushiriki katika mambo potofu yatabia za ajabu kama uvutaji wa bangi <strong>na</strong> kutuka<strong>na</strong> watu. Hawa<strong>na</strong> kazi ya kufanya, sasa wafanyenini? (Makofi)71


Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>iomba Serikali iwaangalie hawa vija<strong>na</strong> kwa macho mawili.Vija<strong>na</strong> ndiyo nguzo ya Taifa, hasa ukizingatia kwamba wao ndiyo wengi, kwani ni asilimia 60. Kwahiyo, Serikali ingewaangalia sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, jamani tu<strong>na</strong>kokwenda ni kugumu sa<strong>na</strong> kwa sababuhawa ndio tegemeo letu katika Taifa.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya vija<strong>na</strong>, kundi li<strong>na</strong>lofuatia ni aki<strong>na</strong> mama.Ukimwelimisha au ukimpa (support) nguvu mama mmoja, basi umeokoa familia <strong>na</strong> Taifa lote kwaujumla. Hata hivyo, aki<strong>na</strong> mama wamekuwa wakijaribu <strong>na</strong> kujihangaikia wenyewe katika kutafuta<strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kuzalisha mali, mikopo wa<strong>na</strong>isikia tu lakini hawajui watafanyaje waipate.Mheshimiwa Mwenyekiti, kulikuwa ku<strong>na</strong> huu mfuko wa hizi fedha za Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete. Hizo kwa kweli aki<strong>na</strong> mama au vija<strong>na</strong> wamezitegemea kwamba zingewasaidia.Lakini kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama wa Mpanda tuliishia kufukuza inzi tu, hatujui tufanye nini. Mikopotu<strong>na</strong>isikia tu hiyoo, i<strong>na</strong>ruka, i<strong>na</strong>pita, i<strong>na</strong>tua<strong>cha</strong> Katavi tumetulia. Naomba kwa kweli Serikaliiangalie, iwawezeshe aki<strong>na</strong> mama <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> kupata mikopo ili tuweze kwa kweli kuwaokoa vija<strong>na</strong>hawa, warudi katika maadili mema. Maa<strong>na</strong> yake tutaishia kuwalaumu tu, lakini tu<strong>na</strong>wao<strong>na</strong>.Vija<strong>na</strong>, wafanye nini sasa? (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hapo nimemaliza, sasa <strong>na</strong>omba niende kwenye suala lautamaduni. Katika suala la utamaduni, kwa kweli maadili yameporomoka sa<strong>na</strong>. Utamaduni waMtanzania sasa u<strong>na</strong>tukimbia, japokuwa bado utamaduni upo, lakini maadili yameanza kupotea.Labda <strong>na</strong>weza kuwasifu wenzetu wa kabila la Wamasai kwamba, kidogo ndiyo bado wa<strong>na</strong><strong>na</strong>takwenye utamaduni wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi wa makabila mengine, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwa kweli tumepotezamwelekeo <strong>na</strong> hii yote <strong>na</strong>ilaumu Serikali kwa sababu ndiyo imekuwa ikikumbatia mambo mengikatika vyombo vya habari. Vyombo vya habari vimekuwa vikitangaza mambo mengine ambayokwa kweli ni kinyume <strong>cha</strong> maadili. Lakini Serikali i<strong>na</strong>angalia tu <strong>na</strong> macho. Mimi <strong>na</strong>io<strong>na</strong> Serikali kuwani sawa <strong>na</strong> mama ambaye a<strong>na</strong>lea familia, watoto wote wa<strong>na</strong>mwangalia mama atasema nini,kiasi kwamba kama mtoto akipotea kimaadili labda amepita akiwa amevaa mavazi yasiyofaa.Mama a<strong>na</strong>takiwa kung’aka ili mtoto aelewe yuko katika upande gani au afuate msimamo gani.Lakini Serikali yetu imekuwa ikiangalia <strong>na</strong> macho <strong>na</strong> haitangazi kipi kibaya <strong>na</strong> kipi ni kizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano, katika suala la ushindani huu wa ma-miss, kwa kwelihawa ma-miss wa<strong>na</strong>pokuwa katika ushindani, watoto wetu <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong>.Sijui ni biashara za kimataifa au ni nini? Nashindwa kuelewa. Kwani nikijiuliza, sipati jibu. Yaani hatakama baba amekaa a<strong>na</strong>angalia mtoto wake, amekwenda kugombea u-miss kule, kama babaa<strong>na</strong> wageni wamemfikia pale, sidhani kama atamtambulisha yule mgeni kwamba haloo, mwonemwa<strong>na</strong>ngu yule a<strong>na</strong>gombea u- miss. Sidhani! Ni aibu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa, wa<strong>na</strong>vishwa vichupi, wa<strong>na</strong>vaavinguo ambavyo havi<strong>na</strong> heshima. Sasa sijui tu<strong>na</strong>shindania nini? Hivi Serikali imeshindwa kutafutakigezo kingine <strong>cha</strong> kumtambua mshindi kwa kumpima mtoto labda uwezo! Eeh! mpaka tupitiehatua ya kuvaa nguo za kuonyesha nusu uchi! Jamani, <strong>na</strong>omba turudi katika maadili. Serikaliijitahidi kurudi katika maadili ili kusudi tupate Taifa la kesho lililo bora <strong>na</strong> vizazi vijavyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiangalia upande wa utamaduni huo, watu tu<strong>na</strong>iga mamboya nje, hatujui tu<strong>na</strong>kokwenda, ni wapi <strong>na</strong> vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja tu<strong>na</strong>vipeleka wapi? Wenginetumefikia hata hatua ya kukataa vyakula ambavyo ni asili yetu. Mtu hawezi kula kiazikilichochemshwa kwa maganda, a<strong>na</strong>taka mikate, a<strong>na</strong>taka jam, vitu kutoka nje, wakati sisiwenyewe Watanzania tu<strong>na</strong> uwezo wa kuzalisha vitu vizuri <strong>na</strong> vyakula vizuri kama hivyo te<strong>na</strong> vyaasili, ambavyo vi<strong>na</strong> faida sa<strong>na</strong> katika miili yetu. Lakini tu<strong>na</strong>iga iga, tu<strong>na</strong>pata vitu ambavyo wakatimwingine havi<strong>na</strong> faida <strong>na</strong> sisi <strong>na</strong> kwa vizazi vijavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>iomba Serikali iwajali sa<strong>na</strong> hawa wacheza ngoma zaasili kwani wamesahaulika sa<strong>na</strong>. Serikali haiwajali, i<strong>na</strong>wahitahi tu labda u<strong>na</strong>popita Mwenge, ndiyoi<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong> thamani. Mwenge ukipita ndiyo tu<strong>na</strong>agiza sasa ngoma za asiliwakahangaike juani <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> Serikali i<strong>na</strong>chowalipa zaidi ya wao kuhangaika <strong>na</strong> kupewa labda72


pombe tu, wa<strong>na</strong>ishia kunywa pombe, basi. Lakini wacheza ngoma za asili ni muhimu sa<strong>na</strong> katikaTaifa letu.Naomba Serikali ingewakumbuka sa<strong>na</strong> kwa sababu hawa ndio watarudisha utamaduniwa nchi yetu kupitia vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja. Hiyo ni kumbukumbu tosha. Lakini hata Mawaziriwa<strong>na</strong>potembelea labda mashule, ni aibu sa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>imbiwa nyimbo za Bongo Fleva <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>funzi; wapi <strong>na</strong> wapi jamani! Ngoma za asili ndiyo utambulisho wa nchi yetu <strong>na</strong> makabilayetu. Naomba Serikali iliangalie hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ingefanya michezo ni lazima, siyo hiyari. Michezoirudishwe mashuleni te<strong>na</strong> kuanzia Shule ya Msingi ikiwezeka<strong>na</strong> ianzie katika Shule za Chekecheakabisa. Pia kuwe <strong>na</strong> ushindani, hata katika baadhi ya sikukuu za kitaifa, tuwe tu<strong>na</strong>shuhudia mechiya Shule za Chekechea. Miaka 12 wa<strong>na</strong>anza <strong>na</strong> wenyewe kuandaliwa mashindano <strong>na</strong> hapondiyo tu<strong>na</strong>tafuta watoto wabunifu <strong>na</strong> wachezaji wazuri wa baadaye badala ya kusubiri mpakawamemaliza Darasa la Saba ndipo tuanze kutafuta watoto wa kucheza mpira.Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kupata wachezaji wazuri kama tutaanza kuwatafutawatoto wa kucheza mpira wakiwa labda <strong>na</strong> miaka 20, hatuwezi kumpata mchezaji mzuri.Mchezaji mzuri ni kuanzia utotoni. Tu<strong>na</strong>omba Serikali irudishe michezo kuanzia Shule za Msingi auChekechea kabisa. Kipaji <strong>cha</strong> mtoto tu<strong>na</strong>anza kukio<strong>na</strong> akiwa mdogo. Kwa hiyo, michezoirudishwe, iwe ni lazima <strong>na</strong> siyo hiari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, zamani kulikuwa <strong>na</strong> michezo sa<strong>na</strong>. Katika masomo kulikuwa <strong>na</strong>kipindi kimetengwa kwa ajili ya michezo. Naomba sasa hivi vipindi vya michezo virudishwemashuleni. Kuwe <strong>na</strong> kipindi kabisa <strong>cha</strong> michezo, baada ya masomo mengine i<strong>na</strong>fuata michezo.Kama ilivyokuwa enzi zetu, kulikuwa <strong>na</strong> michezo mingi. Riadha, netball, football, high jump, longjump, michezo kama kukimbia kwenye magunia, eeh! Ni afya tosha kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa sababumichezo ni afya, ni ajira <strong>na</strong> ni burudani. Leo katika vizazi vyetu hivi ukimwo<strong>na</strong> kija<strong>na</strong> wa sasa nikama bamia. Jamani! Eeh, kwa sababu hawa<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong>fasi ya kushiriki katika michezo.Hawapati michezo shuleni, wa<strong>na</strong>ipata kwa muda kama pale tu<strong>na</strong>poandaa mashindano yaUMITASHUMTA au UMISETA. Hapo ndiyo mazoezi ya<strong>na</strong>anza. Wapi <strong>na</strong> wapi! (Makofi)(Hapa kengele ya pili iligonga kuashiria muda wa mzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa.MHE. ANNAMARRYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>.MHE. MARGARETH A. MKANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa wasaa ili<strong>na</strong>mi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Kwanza, niwapongeze Waziri, Naibu Waziri <strong>na</strong>wote kabisa waliohusika katika kuandaa bajeti au hotuba hii. Hotuba imeeleweka vizuri tu sa<strong>na</strong>,i<strong>na</strong>tia matumaini, lakini kuwa <strong>na</strong> hotuba ya matumaini ni kitu kingine <strong>na</strong> kuweza kuitekeleza nisuala lingine. Tu<strong>na</strong>waomba tu kwamba pamoja <strong>na</strong> pesa ndogo waliyoipata, basi ndani yampangilio waendelee kupangilia kipaumbele zaidi <strong>cha</strong> haya yaliyomo, vinginevyo, yoteya<strong>na</strong>weza yakashindika<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>anza kwanza kujikita kwenye masuala ya michezo.Nilivyo sio mchezaji, <strong>na</strong>jua tu karata, lakini <strong>na</strong>dhani <strong>na</strong>wajibika kwa vile mengine <strong>na</strong>yafahamu,hivyo nizungumzie mawili, matatu.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeisoma hii hotuba kwa makini kidogo, lakini imenipa majonziya kutosha tu, kwa sababu sikuo<strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chonifurahisha kuhusu michezo ya watu wenye ulemavu.Kumekuwepo <strong>na</strong> kutokuwezesha kikamilifu sehemu hii ya michezo ya jamii hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>vyofahamu mimi, watoto wenye ulemavu, wakubwa zao,mababu zao wa<strong>na</strong>shiriki kwenye michezo i<strong>na</strong>yoweza kuchezwa <strong>na</strong> wao. Kwa mfano, ile michezo73


ya ya kutupa vifaa vizito, basketball ya kutumia baiskeli, riadha, football, wa<strong>na</strong>cheza hawa. Katikakucheza kwao, wameshawahi kutuwakilisha huko kwenye Mataifa ya mbali. Kila mara timu hizizi<strong>na</strong>pojaribu kwenda nje, mara zote wamerudi <strong>na</strong> medali tofauti <strong>na</strong> michezo i<strong>na</strong>yochezwa <strong>na</strong>watu wenye macho, miguu <strong>na</strong> masikio wakati mwingine wa<strong>na</strong>rudi bila kitu (zero). Hawa wa<strong>na</strong>rudi<strong>na</strong> medali, <strong>na</strong> medali hizi ni sifa ya Taifa hili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini mpaka kufikia hatua ya nchi yetu kufahamika nje kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> walemavu hawa kufanya juhudi, wenye ulemavu hawa hawasaidiwi kikamilifu wakati wamaandalizi ya hayo mashindano. Ku<strong>na</strong> walioleta medali <strong>11</strong> mwezi wa Sita tu, kama Vyombo vyaHabari <strong>na</strong>vyo tu<strong>na</strong>visikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, nitumie fursa hii kuvishukuru kabisa vyombo vya habari, kwambavi<strong>na</strong>thubutu kabisa kutoa taarifa ya mambo haya. Wale walikuwa watu wenye ulemavu wa akilichini ya Olimpiki maalum, walikwenda kushinda<strong>na</strong> kimataifa, wakarudi <strong>na</strong> Medali <strong>11</strong> mwezi wasita, nchini hapa. Lakini maandalizi yao pale walipoweka Kambi salvation army Dar es Salaamyalikuwa ya<strong>na</strong>sikitisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha kwa sababu hata huduma muhimu za maa<strong>na</strong> zilezilikoseka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mjue kwamba, kwa watu wenye ulemavu kama ni elimu yao, kama ni kazi zaozi<strong>na</strong>gharimu zaidi kuliko michezo ya wazima. Kwa hiyo, hata kuangaliwa wa<strong>na</strong>hitajika waangaliwezaidi kwa sababu wa<strong>na</strong> mahitaji maalum ya ziada ili kuweza kufanikisha chochote kile ambachomtu mwenye ulemavu a<strong>na</strong>paswa kukitekeleza au kukifanikisha nchini. Hata <strong>cha</strong>kula kilikuwa tatizo,wasaidizi waliwekewa wa<strong>cha</strong>che tu.Kwa mfano, kwa upande wa ulemavu wa akili mtoto mmoja a<strong>na</strong>hitaji kuwa <strong>na</strong> wasaidizihata wawili. Mwingine a<strong>na</strong>cheka hovyo, mwingine a<strong>na</strong>fanya hivi, wa<strong>na</strong>paswa kusaidiwa wale,lakini wasaidizi walikuwa wa<strong>cha</strong>che. Mako<strong>cha</strong> walikuwa wawili tu wa kuwaelekeza hiyo michezoyote ambayo walikwenda kushiriki huko mbele ya safari. Hivi Serikali hawakulijua hili? Kwaninitu<strong>na</strong>achia tu <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chohusika? Kama vyama vikubwa vi<strong>na</strong>saidiwa sijui <strong>na</strong> TFF, sijui <strong>na</strong>wadhamini gani, sembuse vyama vya michezo vya watu wenye ulemavu?Hamjui kwamba havi<strong>na</strong> fedha wala uwezo ni moyo tu wa kwenda kuwakilisha nchi za nje,hawakusaidiwa. Kama ni msaada u<strong>na</strong>kuwa sijui wa tiketi ile ya kwenda kule, lakini hii tiketiutampeleka huko kwa kushinda kitu gani kama huku nyumbani hujamsaidia kumtayarisha huyumtu. Matayarisho ya wa<strong>na</strong>michezo wetu te<strong>na</strong> hapa sio tu kwamba wenye ulemavu, matayarishoya wa<strong>na</strong>michezo wetu katika michezo mbalimbali wa<strong>na</strong>pokwenda nje, jamani i<strong>na</strong>kuwa sio mizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, ja<strong>na</strong> nimesikiliza kwenye vyombo vya habari wa<strong>na</strong>riadhawa<strong>na</strong>okwenda sijui Mozambique wa<strong>na</strong>lalamika, netball Taifa Stars sijui timu gani ile Twigawa<strong>na</strong>lalamika, i<strong>na</strong>kuwaje hatuwezi kushinda kama maandalizi huku nyumbani hatuyavalii njuga,halafu tu<strong>na</strong>sema tu<strong>na</strong>rudi watu wendawazimu. Sasa kama huku nyumbani kwenyewe ndiotu<strong>na</strong>karibisha uendawazimu, kule watakwenda kuponyeka <strong>na</strong> uendawazimu si watarudi tu hivyohivyo. Kwa hiyo, hili limenisikitisha pamoja <strong>na</strong> kwamba watoto hawa wamerudi <strong>na</strong> medali lakinihawakusaidiwa. Sasa ki<strong>na</strong>chofurahisha ni kwamba tu<strong>na</strong>furahia tu ushindi, lakini maandalizihatuyakamilishi. Mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> michezo ya kundi hili ithaminiwe wasaidiwe kuandaliwa kwasababu mara zote wamerudi <strong>na</strong> ushindi. Kila mwaka wa<strong>na</strong>poshiriki wa<strong>na</strong>rudi <strong>na</strong> ushindi sasa kwanini tusiendelee kuwapa moyo? Kwa nini tusiwathamini <strong>na</strong> wao wa<strong>na</strong>tuletea ki<strong>na</strong>chofaa?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kingine ambacho ningependa kukizungumzia ni juu ya vyombovya habari. Vyombo vya habari <strong>na</strong>vishukuru kwa ujumla wake televesheni, magazeti pamoja <strong>na</strong>kwamba wakati mwingine ndio hivyo tu<strong>na</strong>walalamikia kwamba aah, wa<strong>na</strong>andika andikawa<strong>na</strong>tuonyesha vitu ambavyo havisaidii, <strong>na</strong>dhani wameshasikia itabidi wajirekebishe. Lakini kwaupande wangu <strong>na</strong>shukuru vyombo vya habari vi<strong>na</strong>poenda kwa masuala ya watu wenye ulemavukwa kweli hawaoni kuvitoa vile vitu hadharani. Kwa mfano mwenye ulemavu a<strong>na</strong>pohitaji kitu, juzitu hapa kama mme-note TBC Dodoma ilimsaili kija<strong>na</strong> mmoja ambaye ametoka Kondoa <strong>na</strong>baiskeli iliyotengenezwa <strong>na</strong> mbao, sijui wenzangu mliio<strong>na</strong>? Kokocho kokocho amejieleza TBCwamemuonyesha. (Makofi)74


Nishukuru wafadhili <strong>na</strong> hasa TBC basi iliyo disclose hiyo scenery yule kija<strong>na</strong> ja<strong>na</strong> tuamepata baiskeli <strong>na</strong> mfadhili amekataa kumuelewa ni <strong>na</strong>ni lakini mimi kama mwakilishi waoimebidi nimshukuru sa<strong>na</strong> yule baba, <strong>na</strong>ishukuru sa<strong>na</strong> TBC kama chombo kimojawapo <strong>cha</strong> habari<strong>na</strong> vingine vyote vimeshawahi kufanya hivyo, watu wa<strong>na</strong>saidiwa watu wa<strong>na</strong>elewa kwamba ni kitugani ki<strong>na</strong>choeleweka. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwa TBC hapo hapo <strong>na</strong>omba niiulize Serikali. Ni muhimusa<strong>na</strong> utamaduni wetu tuenzi <strong>na</strong> tuuhifadhi. Hivi kwa nini kiashiria <strong>cha</strong> Taarifa ya Habari ndani yaTBC mmeweka sasa mviringo tu nje nje nje nje!!! Yule aliyekuwa a<strong>na</strong>piga tarumbeta juu ya Mlimawa Kilimanjaro kwa nini mlimtoa? Mbo<strong>na</strong> yule alikuwa a<strong>na</strong>onyesha utamaduni <strong>na</strong> alikuwaa<strong>na</strong>onyesha fahari ya Tanzania ule mlima. Sasa hivi utasikia so so so so!!!Mimi hata sivielewi vitu vile vi<strong>na</strong>elimisha nini? Vile vi<strong>na</strong>elimisha nini, utamaduni tu<strong>na</strong>uenzivipi? Kwa taarifa ile mimi <strong>na</strong>dhani wengine walitaka kuo<strong>na</strong> aah!! Hii Kilimanjaro ndivyo ilivyo hatahao waliopo nje. Sasa yametolewa yale, sijui ndio uzungu, sijui ndio utamaduni tu<strong>na</strong>usahau mimihata hakinifurahishi. Akinifurahishi Mheshimiwa Mwenyekiti <strong>na</strong> nilishauliza swali hapa, nilivyojibiwajibiwa basi hivyo hivyo. Niliuliza kwa ajili ya kuumia sioni maa<strong>na</strong> utamaduni ule urudishwe. Kamahatumrudishi Mzee Nyunyusa yule wa ngoma 12 kwamba ni old fashion lakini hata huyu mbo<strong>na</strong>bado ilikuwa i<strong>na</strong>leta ile essence ya Utaifa jamani. Nadhani mmenielewa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hapo nizungumzie Mfuko wa Maendeleo wa Vija<strong>na</strong>.Naipongeza Serikali kwamba mwaka hadi mwaka i<strong>na</strong>sema i<strong>na</strong>imarisha Mfuko huu kwa kuongezafedha ili kwa kupitia SACCOS vija<strong>na</strong> kukopeshwa. Lakini hapa tu <strong>na</strong>omba nitoe ushauri fedha hiziza Mifuko ya Vija<strong>na</strong> hasa kwa kupitia Halmashauri kule, vija<strong>na</strong> wenye ulemavu katika maeneomengi walikuwa hawapati. Naipongeza Shinyanga tu waliweza kufanya kitu kama hicho, lakinikwingine kote hawaangaliwi hawa. Kwanza hawajui, kwa hilo la msingi hapa Maafisa Maendeleowa Vija<strong>na</strong> kwenye Halmashauri zetu basi wa-take effort kuwaelimisha hawa ndugu zangukwamba m<strong>na</strong>paswa kujiunga ndipo iwe hivyo, vinginevyo ni haki ambayo i<strong>na</strong>potea tu kwasababu hawaijui <strong>na</strong> wala hawashirikishwi.Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba pawe <strong>na</strong> maelekezo maalum kwa Maafisa wa<strong>na</strong>ohusika kuweza kumobilisehawa watu ili waweze kufaidika kama vija<strong>na</strong> wenzao wa<strong>na</strong>vyofaidika pamoja <strong>na</strong>kwamba msemaji aliyepita a<strong>na</strong>sema hata huko kwao hawafaidiki. Kwa kweli huu Mfuko u<strong>na</strong>matatizo kweli kweli. Sijui sasa hivi kwa sababu m<strong>na</strong>upitishia kwenye ma-SACCOS, vinginevyoilikuwa ni shughuli nzito. Afadhali hata ule Mfuko wa Maendeleo wa aki<strong>na</strong>mama kwa sababu miminilikuwa ni mmojawapo wa kukadiria kwamba kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, huu Mfuko<strong>na</strong>o uweze kuangaliwa kikamilifu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> ndugu zangu hawa waweze kufaidika<strong>na</strong> mabadiliko haya <strong>na</strong> wao ndio maskini wa maskini katika maisha. Kama kija<strong>na</strong> wa kawaidam<strong>na</strong>sema ni maskini a<strong>na</strong> hali ngumu hawa vija<strong>na</strong> wenye ulemavu ndio tatizo kupita kiasi. Ndiohao mtawao<strong>na</strong> mabarabarani wa<strong>na</strong>endelea kuomba <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kuwa ni mzigo wa Taifakwa sababu tumewasahau mno kuliko hata wao wengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema haya <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini <strong>na</strong>ombahaya niliyoyashauri timu za michezo za watoto wenye ulemavu zipate support <strong>na</strong> Serikaliwa<strong>na</strong>tuletea faida. Mfuko huu wa wenye ulemavu <strong>na</strong>o wafaidike <strong>na</strong> TBC mrudisheni yule babawa kipenga juu ya Mlima wa Kilimanjaro. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>mwita sasa Mheshimiwa Murtaza Mangungupia Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max ajiandae, Mheshimiwa Martha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa SusanLyimo ajiandae. (Makofi)MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika hotuba ya Makadirio ya Wizara husika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sija<strong>cha</strong>ngia ningependa ku-declare interest kwamba kwamujibu wa Kanuni 61 ya Bunge. Mimi ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF kwa maa<strong>na</strong> kwambakule tukienda tu<strong>na</strong>lipwa posho, kwa hiyo, ku<strong>na</strong> mengine <strong>na</strong>weza nikasema ya<strong>na</strong> maslahi yakifedha <strong>na</strong> mimi. (Makofi)75


M<strong>cha</strong>ngo wangu utasimama katika mambo matatu, kwanza kabisa nitakuwa <strong>na</strong>lawama, pili nitakuwa <strong>na</strong> ushauri, lakini pia nitakuwa <strong>na</strong> pongezi. Lakini kwa kuwa fikra zamwa<strong>na</strong>damu zimejengeka zaidi katika mambo mazuri kwa hiyo <strong>na</strong>omba Mwenyekiti nianze kwapongezi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pongezi za kwanza <strong>na</strong>wapongeza Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi pamoja <strong>na</strong> Naibu wake kwa hali yamoyo wa kujitolea katika kusimamia <strong>na</strong> kuendeleza michezo <strong>na</strong> utamaduni katika nchi yetu.Pongezi za pili <strong>na</strong>penda nikipongeze Chama <strong>cha</strong> Waandishi wa Habari wa Michezo chini yaMwenyekiti wake Bwa<strong>na</strong> Juma Pinto kwa tukio la kihistoria kabisa ambalo wamelianzisha kutoazawadi kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ofanya vizuri lakini zaidi kwa kumtunukia tuzo maalum Rais waAwamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa katika tuzo hizo zilizofanyika mwezi uliopitakwa jitihada zake za kukuza michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia nimpongeze Rais wa TFF Leodgar Tenga kwakuteuliwa kwake kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).Lakini pia <strong>na</strong>mpongeza Naibu wake Athumani Nyamrani kwa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi yaRufaa katika Shirikisho hilo la Soka la Afrika. Napenda pia kuzipongeza timu za Azam <strong>na</strong> Mtibwakwa jitihada zake za makusudi kwa mshikamano wake wa dhati kabisa katika kuendeleza soka laTanzania, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>stahili kupata pongezi za kutosha kabisa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mako<strong>cha</strong> wazawa ni<strong>na</strong>o wa<strong>cha</strong>che ambao nitawatamka hapalakini ni wengi ambao wa<strong>na</strong>stahili pongezi. Jamhuri Kiwelu, Silvester Mashi, Salum Mayanga <strong>na</strong>Ramadhani Aluko wamefanya kazi kubwa sa<strong>na</strong> ya kuibua vipaji katika nchi yetu. Michezo marazote i<strong>na</strong>hitaji ioneshwe <strong>na</strong> isikike.Lakini wapo waandishi ambao wamekuwa wa<strong>na</strong>andika makala ya ai<strong>na</strong> mbalimbalikusaidia kuinua michezo <strong>na</strong> kusaidia kuelimisha michezo. Nampongeza sa<strong>na</strong> Keny Mwaisabula,Kambi Mbwa<strong>na</strong>, Abdurahman Kipenga <strong>na</strong> Edo Kumwembe kwa makala ambayo wa<strong>na</strong>toa katikavyombo mbalimbali vya habari, lakini siwezi kumsahau Shafii Dauda <strong>na</strong> Alex Luambano kwau<strong>cha</strong>mbuzi wao makini wa michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, upande wa michezo, nikifuata kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba <strong>na</strong>semakabisa sitoweza ku<strong>cha</strong>ngia kama vile ambavyo mwenyewe mtazamo wangu u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> <strong>na</strong> halihalisi ilivyo. M<strong>cha</strong>ngo wangu wa maandishi nimeuwasilisha hapo kwa Mheshimiwa Waziri, kwahiyo, utawia<strong>na</strong> zaidi <strong>na</strong> kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba ambacho wametugawia. (Makofi)Mimi ni mkweli <strong>na</strong> dua yangu kwa Mwenyezi Mungu kila siku <strong>na</strong>omba aniue nikiwa<strong>na</strong>sema ukweli. Sasa hivi timu yetu ya Taifa imepoteza mwelekeo <strong>na</strong> hai<strong>na</strong> dira, ni ukweliusiofichika ko<strong>cha</strong> hatufai. Ko<strong>cha</strong> wa Timu ya Taifa haku<strong>na</strong> jambo hata moja ambalo amewezakutufanyia mpaka hii leo tusisubiri mpaka tuzidi kuharibikiwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye suala la michezo mapendekezo niliyoyatoa hapo kwaSerikali kupitia Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wetu wa Awamu ya <strong>Nne</strong> ametoa fedha nyingisa<strong>na</strong> ukiangalia wastani zaidi ya dola 30,000 zi<strong>na</strong>potea kila mwezi kuwalipa mako<strong>cha</strong> wa kigeni.Malazi yao <strong>na</strong> usafiri wao mako<strong>cha</strong> hawa hawa<strong>na</strong> msaada wowote, kwa nini fedha hizitusijielekeze kuwasaidia vija<strong>na</strong> wetu hapa Watanzania wenzetu wakaenda Ulaya kwendakujifunza au kwenye nchi zilizoendelea wakaja kufundisha mpira hapa? Ni jambo ambaloli<strong>na</strong>stajaabisha sa<strong>na</strong> u<strong>na</strong>wezaje kutengeneza timu ya Taifa bila ya kutengeneza msingi? Walimuwa shule za msingi ambao wa<strong>na</strong>kuza vija<strong>na</strong> hawa<strong>na</strong> elimu ya michezo, mako<strong>cha</strong> ambaowa<strong>na</strong>fundisha timu za daraja la pili, la tatu, timu za mikoa, wilaya hawa<strong>na</strong> ujuzi. Sasa kwa ninitu<strong>na</strong>elekeza fedha hizi zote kuwanufaisha watu wawili tu wakati tungeweza kuwanufaisha watuwengi zaidi? Hili <strong>na</strong>sema mliangalie vizuri <strong>na</strong> mliangalie kwa makini. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa hapa tu<strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong> Serikali, tu<strong>na</strong>ishauri Serikalikama Katiba i<strong>na</strong>vyotamka Bunge kazi yake mojawapo ni kuisimamia Serikali, <strong>na</strong>ishauri Serikali ifute76


ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vifaa vya michezo vi<strong>na</strong>kuwa ni ghali sa<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> beikuwa juu <strong>na</strong> ushuru kuwa mkubwa. (Makofi)Kwa kuwa kengele ya kwanza imelia mengine itabidi niyaruke, lakini <strong>na</strong>taka nizungumziesuala la wasanii pia. Wasaidiwe kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kipekee, wameonyesha wa<strong>na</strong>weza. Wasaniihawa siku zote wamekuwa wa<strong>na</strong>lalamika ni jambo la kustaajabisha kwamba kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa,kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> hatua zi<strong>na</strong>zochukuliwa. Imekuwa ni hoja hapa hata masteringstudio kwa nini tusianzishe kwa umoja walio<strong>na</strong>o? Tuwagawie japo mastering studio moja wakawawa<strong>na</strong>hifadhi kazi zao <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jizalishia wenyewe kuliko kuhangaika <strong>na</strong> hawa watu ambaowa<strong>na</strong>wanyonya kila siku. Lakini pamoja <strong>na</strong> hayo kupitia Bunge hili <strong>na</strong>omba niwashauri wasanii <strong>na</strong>ovilevile wajiheshimu. Tumechoka kusoma kashfa katika magazeti <strong>na</strong> vyombo vya habarizi<strong>na</strong>zowahusu wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hapa asubuhi kulikuwa <strong>na</strong> hoja kwamba vyombo vya habarivi<strong>na</strong>potosha ukweli, i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> ikawa ni kweli, lakini Serikali <strong>na</strong>yo ivunje ukimya iwe i<strong>na</strong>toataarifa za kweli wasisubiri mpaka vyombo vya habari vipotoshe, tusiwakemee tu. Mimi ni Mjumbekatika Bunge hili kwenye Kamati ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma, <strong>na</strong>mshukuru MzeeMwambalaswa hapa amezungumza, lakini ni<strong>na</strong>chosema kwamba vyombo vya Serikali vyaTBC/TSN visaidiwe kulipa madeni yake. Tumepitia hesabu zao wa<strong>na</strong>dai karibu shilingi bilioni 4.5.M<strong>na</strong>taka wajiendeshe wapanue huduma, watajiendeshaje <strong>na</strong> Serikali yenyewe <strong>na</strong> Mawizarahayalipi fedha katika vyombo hivi? Sasa tusifanye hadithi za kuwahimiza kuwafanya wafanye kazibora wakati sisi wenyewe hatupo tayari kuwasaidia kwa kuwalipa kazi ambazo wa<strong>na</strong>zifanyakupitia vyombo hivi.Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho kabisa nitaomba hili nipatiwe maelezo <strong>na</strong> Waziri waMichezo hali iliyokuwepo kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>okwenda kwenye All Africa GamesMozambique ni mbaya. Malalamiko hayaishi kila siku vyombo vya habari, wa<strong>na</strong>riadha wa<strong>na</strong>lia,wa<strong>na</strong> ngumi wa<strong>na</strong>lalamika kila ai<strong>na</strong> ya michezo. Hivi kweli kama Serikali kutoka hapa kwendaMozambique tumeshindwa kupeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi tu<strong>na</strong>peleka wa<strong>na</strong>michezo 60 kati yaokaribu 20 ni viongozi.Mimi nimeongea <strong>na</strong> Mheshimiwa Shabiby hapa alikuwa yupo tayari kutoa mabasi yakekupeleka mpaka Mozambique. Serikali kweli hai<strong>na</strong> uwezo wa kukodi mabasi mawili kuwapelekawa<strong>na</strong>michezo zaidi ya 100. Ku<strong>na</strong> maboti, Mozambique tu<strong>na</strong>weza kwenda kila <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hatamajahazi yapo. Kwa sababu kama tungesema kwamba tuchukue waogeleaji wasingeogopakusafiri kwenda Mozambique kwa kutumia majahazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hili ni jambo ambalo <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri sio kwakusubiri mpaka tupate adha kwa kusubiri mpaka jambo lingine lolote. Nataka litolewe tamkokwamba wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ongezeka kwa sababu hatutokuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nyingine zaidi yakuwapeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi katika mashindano ya All Africa Game. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita sasa Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max, MheshimiwaMartha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura ajiandae. (Makofi)MHE. DONALD K. MAX: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii. Awaliya yote <strong>na</strong>omba nimpongeze Waziri wa Wizara hii Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwasababu mimi ni Mjumbe kwenye Wizara hii. Nimpongeze Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara,nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Jenista Mhagama ambaye ndiye Mwenyekiti wetu. Lakini pongezizaidi ziende kwa Msemaji Mkuu aliyezungumza leo, mdogo wangu ambaye ametoa hotuba nzurisa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutukumbusha alikotoka ndugu yetu Juma Nkamia, nimpongeze sa<strong>na</strong>. Hotuba imesikikavizuri, simu tumepokea nyingi kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba awe <strong>na</strong> moyo wa kuendelea kutuelimishakwenye hilo. Naomba tufike mahali sasa haya masuala ya makabrasha yaanze kupungua.Tu<strong>na</strong>weka mikakati, tu<strong>na</strong>toa fedha utekelezaji u<strong>na</strong>shindika<strong>na</strong>. Marehemu Baba wa Taifaalipofanya makosa aliandika vitabu <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>visoma kwamba ingekuwa nianze upya miaka 25mingine makosa haya nisingefanya. Hapa tulipo tu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> makosa. (Makofi)77


Mheshimiwa Mwenyekiti, Mzee Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu amezungumziasa<strong>na</strong> umangimeza, ubi<strong>na</strong>fsi kwenye Wizara zetu. Huu ni mzigo mzito kwa sababu bahati nzuriWaziri Mkuu yuko hapa labda wengine wa<strong>na</strong>ogopa kusema lakini ukweli ndio huo. Mawaziri <strong>na</strong>Naibu Mawaziri sio wenye mzigo mle ndani ya Wizara, matatizo yako kwenye utendaji. Washaurihawapo, utakuta Wizara i<strong>na</strong> Msemaji wa Wizara, utakuta i<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>sheria, lakini wa<strong>na</strong>shindwakuwashauri, kwa sababu mtu kama Waziri a<strong>na</strong>beba Taifa, habebi jimbo a<strong>na</strong>angalia mikoa 24,Wilaya 100 <strong>na</strong> kitu yeye a<strong>na</strong> mzigo mzito kuliko mimi mwenye Jjimbo lenye kata 19, vijiji 136.(Makofi)Kwa hiyo, a<strong>na</strong>pofanya kazi yake a<strong>na</strong>angalia Taifa kama Taifa, haangalii Jimbo lakehaangalii Mkoa wake. Sasa kama hawasaidiwi maendeleo yatakuwa magumu sa<strong>na</strong>. Kwakiingereza tu<strong>na</strong>sema <strong>cha</strong>rity begins at home. Hapa nyumbani tu<strong>na</strong>shindwa hata Mheshimiwa Raism<strong>na</strong>shindwa kumshauri. Nimshukuru Mheshimiwa Mwambalaswa, Mheshimiwa Mangunguwamezungumza vizuri. Tu<strong>na</strong>tumia five billion kumweka Maximo hapa nchini for ten years. Hiyo fivebillion sasa hivi tungekuwa <strong>na</strong> walimu wa michezo <strong>na</strong> tungejigawa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ni mia moja wangekwenda kwa sababu <strong>na</strong> sisitulisomeshwa <strong>na</strong> Serikali zilikuwa zi<strong>na</strong>kuja scholarship mia moja tu<strong>na</strong>soma nje tu<strong>na</strong>rudi kutumikiaTaifa. Kule wenzetu kila mmoja a<strong>na</strong> utalaam wake. Mimi kama mimi ukinipa watu mia moja, watu25 nitawapeleka Latin America, kama Brazil au Argenti<strong>na</strong>, wengine 25 nitawapeleka Seria A, 25nikawapeleka pale Uingereza waliobaki nitawapaleka hata kama ni Ujerumani au wapi ili kusudiMikoa yetu 24 i<strong>na</strong>weza kuwa <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wa Kimataifa kila baada ya miaka mitano tukitoamako<strong>cha</strong> hata 20 au 30 nchi hii itakwenda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>posema kuihamasisha michezo ni kama kwenye kilimo tupopale pale. Wewe u<strong>na</strong>niambia Kilimo Kwanza leo <strong>na</strong>kulimia hekari 1,000 sijui nyanya nikilima<strong>na</strong>ipeleka wapi kutengeneza Tomato Sauce <strong>na</strong> kwenye michezo ni hivyo hivyo. Tumehamasishandugu zetu vijijini kila mahali. Mpango wa MMEM tumekamilisha <strong>na</strong> Mpango wa MMES. Leotu<strong>na</strong>zungumzia michezo, sijasikia Serikali i<strong>na</strong>sema kwamba tujiandae vipi <strong>na</strong> michezo. Tumelipigiakelele <strong>na</strong> mpaka leo li<strong>na</strong>endelea. U<strong>na</strong>pojiandaa kwa michezo watu wenye taaluma wapo wenginchi hii. Tupo milioni arobaini <strong>na</strong> kitu <strong>na</strong> wakati <strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara ya Uchukuzi nilisemawataalam wengi wamo humu ndani ya Bunge. Lakini <strong>na</strong>shangaa Wizara hazitaki kuwatumia walaSerikali haiwahitaji kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yao. Siamini kama Serikali itashindwa kutoa exemption kuletahata konte<strong>na</strong> 20 za mipira <strong>na</strong> jezi tukaanzia mashuleni, hilo siliamini. Kwa sababu kama tumesemavifaa vya michezo watoto wetu hawa<strong>na</strong> pesa, Serikali itoe exemption, makonte<strong>na</strong> yaingie hapa,Halmashauri zipo, Madiwani wapo, Wenyeviti watendaji wapo, wenyeviti wa Serikali wapo. Shulezote zitakuwa accommodated. Huyo huyo Diwani a<strong>na</strong>yebeba Kata sita m<strong>na</strong>mpa kazi kwambaongea <strong>na</strong> walimu wako, pekua shule zako, kila shule itutolee wachezaji wawili tuanze kuchuja,sasa hizo programu hatuoni. Tu<strong>na</strong>andika kwenye makabrasha makubwa kama haya mambomengi sa<strong>na</strong> lakini kwenye utendaji huwa haku<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije kwenye uwajibikaji. Kama nilivyosema watendaji wetu lazimawasaidie Mawaziri. Tu<strong>na</strong>lipa pesa, tu<strong>na</strong>pitisha haya mahela, mtu a<strong>na</strong>kaa ofisini hali ambayotu<strong>na</strong>yoikabili sisi vija<strong>na</strong>, mtendaji hajakanyaga hata siku moja, Afisa Michezo yuko pale Wilayaniha<strong>na</strong> pikipiki, kupewa gari <strong>na</strong> Halmashauri ni kazi, hiyo michezo itaendeleaje?Kwa hiyo, u<strong>na</strong>kuta kwamba zile takwimu za kujua shule ziko ngapi zi<strong>na</strong>zocheza mipira,shule za sekondari ni ngapi, form five <strong>na</strong> form six wangapi, vyuo wako wangapi? Lakini Waingerezawalisema <strong>cha</strong>rity begins at home. Humu ndani tupo Wabunge 367 tukiwaa<strong>cha</strong> dada zetu <strong>na</strong>mama zetu hapa, humu ndani peke yake ku<strong>na</strong> timu ishirini za watu kumi <strong>na</strong> moja, kumi <strong>na</strong> moja.Lakini i<strong>na</strong>shangaza kwamba Bunge li<strong>na</strong>unda timu moja. Kwa nini sisi tu<strong>na</strong>kuwa wazembe, bilakuonyesha mfano hatuendi.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba hata wale ambao wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> hawawezikukimbia. Tuanze humu, iwepo A, B, C, tuwe <strong>na</strong> hata timu tatu. Leo katika watu 367 katimu kamojakashindane <strong>na</strong> British Council, ni aibu. Kwa sababu <strong>na</strong> sisi lazima tuonyeshe mfano, wacheza mpiratumo humu humu. (Makofi)78


Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC, tu<strong>na</strong>sema kwamba Serikali hairuhusiwi kufanyabiashara, mimi hilo kwa upande huu <strong>na</strong>omba Miswada mingine iwe i<strong>na</strong>kuja tu<strong>na</strong>jadilia<strong>na</strong>. Mimisiwezi kukubali zile nyaraka za TBC ambapo ile maktaba imechoka, ukiangalia zile kanda za plastikitoka Uhuru zimo mle <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>ota ukungu. Tuwe <strong>na</strong> machungu, hii nchi ni yetu. Vita ya Majimaji,Machifu wetu aki<strong>na</strong> Adam Sapi, marehemu Masanja <strong>na</strong> Fundikira nyaraka zitapotea. Mimi sidhanikama Taifa letu litakuwa li<strong>na</strong>elewa hawa wazee walitutoa vipi kwa mkoloni, zile nyarakazi<strong>na</strong>popata ukungu zikaharibika hatuzipati te<strong>na</strong>.Mimi ni<strong>na</strong>iomba Serikali <strong>na</strong>jua si<strong>na</strong> ubavu huo, ni<strong>na</strong>chokiomba ni kitu kimoja, TBC i<strong>na</strong>jengo, Serikali itoe guarantee wakope hela benki, wamalizie hili jengo kubwa, kuliko haliwaliyo<strong>na</strong>yo sasa. Wa<strong>na</strong> jengo dogo ambalo ni la zamani <strong>na</strong> haliwatoshi lile jengo jipya wa<strong>na</strong>tumiafloor <strong>cha</strong>che baada ya kutembelea huko u<strong>na</strong>o<strong>na</strong> mafaili ya<strong>na</strong>pitishwa barabarani kutoka TBC - Akupelekwa TBC - B. Yule mtu a<strong>na</strong>yepitisha hayo mafaili siku akipigwa ngwala zikaibiwa nyaraka i<strong>na</strong>maa<strong>na</strong> Taifa lipo kwenye janga. (Makofi)Kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba itafutwe <strong>na</strong>m<strong>na</strong> Serikali i<strong>na</strong>weza kuidhamini TBC ikapewa pesatumalize hilo jengo, wote wakae kwenye kivuli kimoja <strong>na</strong> lile jengo li<strong>na</strong>weza kuuzwa ili kusudi TBCipate mtaji mkubwa kwa sababu tu<strong>na</strong>angalia miaka 50 mbele. Leo tu<strong>na</strong>timiza miaka 50 tupo watumilioni arobaini <strong>na</strong> miaka 50 ijayo tutakuwa almost eighty. Kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba hilo.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye michezo, TFF i<strong>na</strong>pokea dola laki tano kila mwaka karibushilingi milioni 600. Kwa nini haiwezi kutenga asilimia hata kumi kwa ajili vija<strong>na</strong>? Wao wamekuwa<strong>na</strong>ni? Watasifiwa sa<strong>na</strong> lakini <strong>na</strong>sema hela ile i<strong>na</strong>tolewa <strong>na</strong> FIFA kuendeleza michezo, vija<strong>na</strong> kwanini wa<strong>na</strong>tengwa? Kwa sababu taarifa ya habari ya asubuhi leo, dada zetu wa<strong>na</strong>tafuta pesawacheza gofu kwa ajili ya <strong>na</strong>uli ya kwenda kwenye mashindano. Ni aibu sa<strong>na</strong> kwa Taifa <strong>na</strong> wakatiTFF ipo <strong>na</strong> ndiyo chombo chetu kikuu. Kwenye utamaduni hapo ndipo pa<strong>na</strong>chosha, utamaduniumeisha. Kwa sababu vija<strong>na</strong> wa leo hata nchi hawaijui i<strong>na</strong> makabila mangapi, ngoma ganitulikuwa tu<strong>na</strong>zicheza. Ni aibu sa<strong>na</strong>. Mimi ni<strong>na</strong>choomba ile dhama<strong>na</strong> yetu ndani ya maktaba,vija<strong>na</strong> wetu wajue Watanzania tu<strong>na</strong>ishi kwa amani <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>cheka pamoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, ahante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong>. Namshukuru MwenyeziMungu kwa kupata <strong>na</strong>fasi hii. Nampongeza Waziri <strong>na</strong> Naibu Waziri <strong>na</strong> timu yake yote kwa hotubaambayo ameiwasilisha hapa. Lakini <strong>na</strong>omba nianze kwa kutoa pongezi za dhati kabisa kwa timuya msamaria ya mpira wa miguu ya Manyoni ambayo imefanikiwa kuingia daraja la kwanza <strong>na</strong>sasa hivi wako Tanga. Kwa hiyo, <strong>na</strong>watakia kheri <strong>na</strong> ushindi tupo pamoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niseme pia Mkoa wa Singida u<strong>na</strong> hazi<strong>na</strong> kubwa sa<strong>na</strong> ya watuwenye vipaji hasa vija<strong>na</strong> wenye mbio <strong>na</strong> mara nyingi wamekuwa wakikimbilia Arusha. Sasani<strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri kwa kutambua hilo <strong>na</strong>omba utuletee chuo <strong>cha</strong> mafunzo yariadha pale Singida ili uweze kupata hazi<strong>na</strong> kubwa sa<strong>na</strong> katika Taifa hili <strong>na</strong> kuongeza ajira kwavija<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>omba niwazungumzie <strong>na</strong> kuwapongeza waandishi wahabari wa Mkoa wa Singida kwa kweli wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri, kazi kubwa sa<strong>na</strong> japokuwa kaziyenyewe imekuwa ni kwa mazingira magumu sa<strong>na</strong>, hawa<strong>na</strong> vitendea kazi wengi wamekuwawakijitolea kwa fedha zao wenyewe, hawa<strong>na</strong> usafiri, hawa<strong>na</strong> jengo. Kwa kweli wamekuwawakifanya kazi katika mazingira magumu lakini ni kazi nzuri. Niwaombe tu wadau <strong>na</strong> wapenzi wamambo ya habari kwa ile Press Club ya Singida tuwasaidie waweze kuwa <strong>na</strong> jengo lao <strong>na</strong>vitendea kazi kwa ajili ya kuinua Mkoa wetu wa Singida, pia ku<strong>na</strong> suala la utamaduni hasaMaafisa Utamaduni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sielewi Mheshimiwa Waziri <strong>na</strong>o<strong>na</strong> amezungumza tu lakini a<strong>na</strong>Maafisa Utamaduni ambao yeye a<strong>na</strong>dhani ni wa kwake lakini ha<strong>na</strong> Maafisa Utamaduni. MaafisaUtamaduni waliopo kwenye Wilaya wapo chini ya Mkurugenzi kwa hiyo wapo chini ya TAMISEMI79


<strong>na</strong> TAMISEMI hawa<strong>na</strong> fungu la utamaduni. Sasa sielewi atafanyaje <strong>na</strong>o kazi kama alivyosemakwenye hotuba yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya swali hilo mimi ni<strong>na</strong>omba nizungumze kuhusu suala lawasanii. Labda leo nizungumze maa<strong>na</strong> siku zote <strong>na</strong> miaka mitano iliyopita nimekuwa nikilia ndaniBunge hili <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> sasa nimepata wasemaji wengi wa kutetea jambo hili. Leo<strong>na</strong>omba nizungumze lakini nikizidiwa basi nitalia, la hasha nitashindwa kuunga mkono hoja kwamambo yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli wasanii wengi wa Tanzania mpaka sasa hivi hatimayao haijulikani iko mikononi mwa <strong>na</strong>ni. Niliwahi kuzungumza hapa, nikasema kwamba hili dawati lautamaduni kwanza li<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> hali<strong>na</strong> mwenyewe, hata fungu lake halionekani <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>hata kazi zake haziendi. Matokeo yake imebaki kuwa ugomvi kati ya wasanii kwa wasanii, kwasababu hawa<strong>na</strong> mwenyewe. Sasa mimi niliwahi kusema kwa nini isiundwe Wizara ya Utamadunipeke yake, mbo<strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza ikazalisha sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuleta pato kubwa sa<strong>na</strong> nchini. Kwa nini badom<strong>na</strong>ipachi pachika. Ni<strong>na</strong>omba itengwe <strong>na</strong> ikae peke yake kama Wizara nyingine ili kuwezakuainisha mambo mengi ambayo ya<strong>na</strong>weza yakaleta tija. Sa<strong>na</strong>a ni biashara, sasa nisemekwamba ni<strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri pamoja <strong>na</strong> hayo ameweza kusimamia <strong>na</strong> kuundamashirikisho ambayo yako manne, ku<strong>na</strong> la filamu, muziki, sa<strong>na</strong>a za maonyesho pamoja <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>aza ufundi. Lakini hivi u<strong>na</strong>wezaje kumpa mtu mpini wa jembe <strong>na</strong> u<strong>na</strong>mwambia aende akalime?Hawa watu hawa<strong>na</strong> fungu lolote, haku<strong>na</strong> Bajeti yoyote hivi wataanzia wapi hata kufanya kazizao. Matokeo yake i<strong>na</strong>baki kwamba ku<strong>na</strong> maji<strong>na</strong>, ku<strong>na</strong> mashirikisho sijui lakini vitendea kazihaku<strong>na</strong>. Nilikuwa <strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong>o hapo nje, hata <strong>na</strong>uli za kuwaleta hapa wamejileta wenyewe.Sasa hizo kazi watafanyaje <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>sema wazunguke nchi nzima kuangalia vipaji vya vija<strong>na</strong> iliwaweze kupata ajira. Mheshimiwa Waziri ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> litengwe fungu au Bajeti kwa ajili hayamashirikisho manne wapatiwe fedha kwa ajili ya kuanzia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, labda niseme kwamba ku<strong>na</strong> jambo ambalo mimi li<strong>na</strong>nisikitishasa<strong>na</strong>. Si<strong>na</strong> hakika kama COSOTA kule ilipo ipo mahala pale. Sidhani kama ni mahala pake, kwasababu imeshindwa kufanya kazi yake. Wasanii wamekuwa wakiibiwa kazi zao lakini bado sasahivi tu<strong>na</strong>sema sijui mastering studio, sijui Mheshimiwa Rais ameipeleka wapi <strong>na</strong> sijui imekuwaje. Hilowala si kosa la Rais, wala si kosa la wasanii. Bali Wizara imeshindwa kutimiza wajibu wake kwenyeupande wa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> mlishindwa kumwelekeza. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge kidogo samahani. Naomba u-declare interest yakokatika fani hii, itakugharimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Ni kweli mimi pia ni mtunzi <strong>na</strong>ni mwimbaji wa nyimbo za injili. Kwa hiyo, ni msanii <strong>na</strong> pia ni mwigizaji. Nimekuwa niki-declareinterest mara nyingi labda ndiyo maa<strong>na</strong> leo nimejisahau. Lakini ni kweli <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>fanya hiyo biasharalakini sasa hivi i<strong>na</strong>nishinda kwa sababu ya mfumo mbovu uliopo. U<strong>na</strong>peleka kazi zako lakini hupatipesa yoyote, a<strong>na</strong>faidika mtu mwingine, tumewatajirisha watu wengine ambao hawajatokwa <strong>na</strong>jasho lolote. Kwa hiyo niseme, Wizara mlishindwa kumwelekeza Rais ni wapi apeleke kile chombondiyo maa<strong>na</strong> kikaangukia mahala ambapo wao walikuwa tayari <strong>na</strong> ndiyo wao walioneka<strong>na</strong>mbele ya Mheshimiwa Rais. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ni<strong>na</strong>chosema ni hivi, wasanii Watanzania hawahitajimastering studio bali wa<strong>na</strong>hitaji usalama wa kazi zao zisiibiwe, wa<strong>na</strong>hitaji faida ya kazi zaowa<strong>na</strong>pofanya kazi zao. Kwa hiyo, wasanii hawahitaji studio maa<strong>na</strong> zipo nyingi wa<strong>na</strong>wezawakarekodi popote hata majumbani zipo. Lakini usalama wa kazi zao. COSOTA i<strong>na</strong>fanya nini?Sasa hivi amejitokeza Msama Promotion ndiye a<strong>na</strong>yekamata kazi za wasanii, a<strong>na</strong>saidiwaje sasa?Kazi zingine zipo polisi, tu<strong>na</strong>sema Sheria iletwe hapa, kazi zikipelekwa Mahakamani faini shilingi200,000/=. Yaani hivi kweli Wizara ipo serious?Kwa hiyo, mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> hasa mikataba hii ya wasanii <strong>na</strong> hawa wa<strong>na</strong>ojiitamapromota, mameneja sijui washauri <strong>na</strong> wasambazaji, ni feki yote. Wizara wekeni utaratibu ilimuweke wa<strong>na</strong>sheria wa kusimamia mikataba ya wasanii <strong>na</strong> wasanii waweze kufaidika. Ni<strong>na</strong>ombasa<strong>na</strong>. (Makofi)80


Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ku<strong>na</strong> jambo lingine ambalo <strong>na</strong>omba niliongee mapema<strong>na</strong>lo ni kuhusu Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a. Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a kile kiwanja kilitolewa <strong>na</strong> Baba wa TaifaMwalimu Nyerere kwa wasanii. (Makofi)Mimi mwenyewe nimefanya biashara pale kwa kupeleka kazi zangu za sa<strong>na</strong>a, kutoka kuleSingida kwa aki<strong>na</strong>mama walifuma visonzo, nimekuta Tatu<strong>na</strong>ne wapo pale, nimekuta walemavuwapo pale, wale watu walikuwa wa<strong>na</strong>tafuta masoko nje. Lakini sasa hivi <strong>na</strong>taka kujua, ni <strong>na</strong>nialiyepeleka kesi Mahakamani ya jengo lile? Jengo lile lilijengwa <strong>na</strong> Wanorway <strong>na</strong> Waswedish. Nanimwenye haki ambaye amemilikishwa sasa hivi?Mimi siungi mkono mpaka niambiwe jengo lile li<strong>na</strong>rudi mikononi mwa Wizara ile ni mali yaSerikali. Wale walikuwa ni Bodi tu. Bodi u<strong>na</strong>weza ukajimilikisha kitu kikawa ni <strong>cha</strong> kwako? Sasa hivisijui tu<strong>na</strong>ambiwa wameingia ubia, u<strong>na</strong>ingia ubia who are you? U<strong>na</strong>ingia ubia <strong>na</strong> <strong>na</strong>ni?Ni<strong>na</strong>omba jengo lile niambiwe kwamba litarudi mikononi mwa Serikali ili wasanii <strong>na</strong> vija<strong>na</strong>,walemavu, aki<strong>na</strong>mama wote wakapate faida kwenye lile jengo. Tulikuwa tu<strong>na</strong>tafutiwa masokompaka nje ya nchi. Wa<strong>na</strong>wake wote Tanzania walikuwa wa<strong>na</strong>peleka bidhaa zao pale, vija<strong>na</strong>wote walikuwa wa<strong>na</strong>kwenda kujifunza kazi za sa<strong>na</strong>a pale, halafu leo eti watu wa<strong>na</strong>sematu<strong>na</strong>gawa<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ingia ubia. Who are you? Tumuezi Baba wa Taifa, alitoa kwa nia nzuri <strong>na</strong> si kwaajili ya mtu mmoja. Ni<strong>na</strong>taka nipate maelezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo ni<strong>na</strong>omba TCRA <strong>na</strong> TRA washirikiane <strong>na</strong>COSOTA kwa ajili ya kuweka nembo kwa ajili ya kudhibiti wizi <strong>na</strong> ujangili u<strong>na</strong>ofanywa <strong>na</strong> hawawatu wa<strong>na</strong>odhulumu <strong>na</strong> kuiba kazi za wasanii. Watu wa<strong>na</strong>sema eti niseme COSOTA ni nini?Mheshimiwa Mwenyekiti, COSOTA ni <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia Hakimiliki <strong>na</strong> Hatimiliki, lakini<strong>na</strong>amini wameshindwa kufanya kazi yao, ama kitolewe kule kiletwe kwenye Wizara yako maa<strong>na</strong><strong>na</strong>amini u<strong>na</strong>weza ukakisimamia vizuri. Lakini msimamo wangu bado ni<strong>na</strong>sema utamaduniinyofoeni pale maa<strong>na</strong> imeongezewa te<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, habari, michezo kila kitu <strong>na</strong> hela umepewandogo sijui utafanyaje kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, siungi mkono hoja. Ahsante. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba niwakumbushe Kanuni 61(2) i<strong>na</strong>yohitaji kamau<strong>na</strong> interest <strong>na</strong> suala lolote u-declare interest mapema. Ni muhimu <strong>na</strong> ukisha-declare interestu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wako.TAARIFAMBUNGE FULANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Taarifa.MWENYEKITI: Tumeelekeza kwanza usimame utulie sehemu yako, nitakuo<strong>na</strong> <strong>na</strong> usiongeekabla ya ruhusu. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba tuendelee. Naomba kumwita Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura.MHE. SABREENA H. SUNGURA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongezaWaislam wote wa<strong>na</strong>ofunga mwezi huu Mtukufu. Pili, <strong>na</strong>penda kuwashukuru Wabunge wote humundani kwa ushirikiano waliotupa hasa katika mwezi huu. Hatu<strong>na</strong> <strong>cha</strong> kuwalipa ila Mwenyezi Munguatawalipeni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika hoja hii <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Idara yaHabari. Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara i<strong>na</strong> Idara ya Habari ambayo wa<strong>na</strong>nchi wamekuwawakituma hoja mbalimbali kupitia tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi, kutuma sms <strong>na</strong> hata wakati mwinginekuandika barua <strong>na</strong> wakipatiwa majibu mbalimbali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ningependa kumwambia Mheshimiwa Waziri kwamba njiahii imekuwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto zake hasa hasa kwa upande wa tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi. Watanzania81


wengi hawajawa makini sa<strong>na</strong> katika masuala mazima ya computer <strong>na</strong> internet, kwa hiyo, sidhanikama hoja nyingi zi<strong>na</strong>zohusu maslahi ya Taifa zi<strong>na</strong>tumwa kwa ufasaha ama kwa uhakika <strong>na</strong>kupatiwa majibu. Kwa hiyo, <strong>na</strong>fikiri hizi njia nyinginezo za barua ama za kuo<strong>na</strong><strong>na</strong> a<strong>na</strong> kwa a<strong>na</strong> <strong>na</strong>wenzetu Maafisa Habari, zingeweza kutumika zaidi <strong>na</strong> <strong>na</strong>fikiri zi<strong>na</strong>weza zikasaidia kusogeza mbeleTaifa letu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza Wa<strong>na</strong>habari,wamekuwa ni <strong>cha</strong>chu ya maendeleo. Lakini kwa kiasi kidogo wamekuwa <strong>na</strong> wenyewe ni<strong>cha</strong>ngamoto katika maendeleo yetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kipekee kabisa kumpongezaMwandishi wa Gazeti la Mwa<strong>na</strong>halisi, Ndugu Saed Kubenea kwa kazi nzuri ambayo ameifanyakatika Taifa letu. Li<strong>cha</strong> ya vitisho, kumwagiwa tindikali, kutaka kugongwa <strong>na</strong> gari, lakiniamesimama imara <strong>na</strong> kutetea fani yake. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sasa nigusie suala zima la utamaduni. Utamaduni katikanchi yetu kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> moja ama nyingine u<strong>na</strong>poromoka. Pamoja <strong>na</strong> kuvisifia vyombo vya habari,lakini <strong>na</strong> vyenyewe kwa wakati mwingine vimekuwa vi<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia katika uporomokaji wa maadilihaya. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba moja kwa moja sasa nigusie sekta nyeti, sekta ya vija<strong>na</strong>.Kama tu<strong>na</strong>vyojua, asilimia zaidi ya 60 katika nchi hii ni vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> ndiyo nguvukazi ya Taifa. Kulikuwaku<strong>na</strong> msemo kwamba vija<strong>na</strong> ni Taifa la kesho, lakini hapa<strong>na</strong>, vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo, lazimawawezeshwe leo hii ili waweze kujenga nchi yao wakati bado wa<strong>na</strong> nguvu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Halmashauri zetu imekuwa i<strong>na</strong>tengwa takribani asilimiatano ya mapato ili vija<strong>na</strong> waweze kusaidiwa <strong>na</strong> kukopeshwa. Lakini ni<strong>na</strong>kotoka mimi Manispaa yaKigoma Ujiji, hali hii sijaikuta <strong>na</strong> nilipomuuliza Mkurugenzi, akasema kwamba katika usimamiaji wakurudisha fedha hizi kumekuwa <strong>na</strong> utata <strong>na</strong> usumbufu ndiyo maa<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>shindwa kutoa kiwangohiki. Lakini mimi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> ni kuwanyima haki zao za msingi wakazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu ajira kwa vija<strong>na</strong>, Mkoa wa Kigoma umetengewa takribanihekta 3,000 kwa ajili ya Special Economic Zone. Eneo hili li<strong>na</strong>hitaji wawekezaji waende wakajengeviwanda, lakini tu<strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto kubwa, tu<strong>na</strong>tumia umeme wa jenereta. Hivi ni <strong>na</strong>ni ataendakuwekeza viwanda katika umeme huo? Kwa hiyo, hii ni <strong>cha</strong>ngamoto, lakini kama tungepataviwanda vya kutosha, vija<strong>na</strong> wetu wangepata ajira. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kule mjini tu<strong>na</strong>lima, mjini tu<strong>na</strong> zao la mawese, wenzetu wa Kasuluwa<strong>na</strong> zao la mhogo, Kibondo wa<strong>na</strong> asali <strong>na</strong> nta, Kigoma Vijijini wa<strong>na</strong> mawese. Vitu hivi vingewezakusaidia vija<strong>na</strong> wetu kupata ajira za kutosha <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngia uchumi wa Mkoa <strong>na</strong> Taifa kwa ujumla.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia, suala la elimu Kanda ya Magharibi, <strong>na</strong>penda kusikitikapamoja <strong>na</strong> Tanzania sasa hivi Vyuo Vikuu vi<strong>na</strong>ota kama uyoga, lakini Kanda ya Magharibi hatu<strong>na</strong>Chuo Kikuu hata kimoja. Kwa hiyo, ningeomba Serikali iweze kutuangalia watu wa Kanda yaMagharibi tuweze kupata chuo ili vija<strong>na</strong> wetu waweze kusoma <strong>na</strong> kupata ajira mbalimbali.Ningependekeza kama suala hili litafanyiwa kazi, basi chuo hicho kiwekwe Mkoa wa Kigoma iliwenzetu wa Tabora waje wasome, wenzetu wa Rukwa waje, wenzetu wa Kagera, Burundi, Kongo<strong>na</strong> Rwanda kwa sababu ni maeneo ya karibu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumekuwa <strong>na</strong> tatizo la Maafisa Vija<strong>na</strong> katika Halmashauri zetu.Kwanza, mimi bi<strong>na</strong>fsi sijamuo<strong>na</strong>. Nimeenda kwenye vikao vya RCC, nimeenda kwenye vikao vyaFull Council, kwa kweli sijawahi kutambulishwa kwamba huyu ni Afisa Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>. Hii ni<strong>cha</strong>ngamoto kubwa kwa Serikali. Jamani Serikali m<strong>na</strong> mipango mizuri, m<strong>na</strong>weka sera nzuri, kwanini hamfuatilii utekelezaji wake? Kwa nini hamhakikishi kwamba huu uteule m<strong>na</strong>outoa, m<strong>na</strong>endakuangalia huko?82


Je, hawa watu wapo <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>fanya kazi ya vija<strong>na</strong>? Hii ni <strong>cha</strong>ngamoto kwa Serikali.Tu<strong>na</strong>omba mhakikishe kwamba Maafisa Vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> <strong>na</strong> ni maeneo mengi tu ya nchi hiihawapo <strong>na</strong> waliokuwepo wa<strong>na</strong>kaimu. U<strong>na</strong>kuta Afisa Utamaduni ndiye a<strong>na</strong>kaimu <strong>na</strong>fasi ya AfisaVija<strong>na</strong>. Hili ni tatizo. Ama u<strong>na</strong>mkuta mtu ni mtu mzima a<strong>na</strong>wekwa kwenye Idara ya Vija<strong>na</strong>. Jamanimtu huyo kweli atajua <strong>cha</strong>ngamoto za vija<strong>na</strong>! Serikali hili ilifanyie kazi, Waziri pale uchukue kama<strong>cha</strong>ngamoto hii, upite katika Halmashauri zako za Wilaya <strong>na</strong> Manispaa mbalimbali, tu<strong>na</strong>takaMaafisa Vija<strong>na</strong> wawe vija<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda sasa nigusie suala lingine, suala zima la michezo.Michezo imekuwa <strong>na</strong> faida kubwa sa<strong>na</strong> katika nchi yetu, katika uchumi wa nchi, katika afya zetu<strong>na</strong> katika mazingira mengine. Napenda bi<strong>na</strong>fsi katika sekta ya michezo niugusie hasa Mkoa waKigoma <strong>na</strong> kama sitauongelea Mkoa wa Kigoma katika maendeleo ya michezo ya nchi hii,nitakuwa sijautendea haki Mkoa huu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Kigoma tu<strong>na</strong>fanya vizuri katika sekta ya michezo, lakini hatupatisupport ya kutosha kutoka Serikalini <strong>na</strong> hata i<strong>na</strong>pofikia hatua tu<strong>na</strong>kua <strong>na</strong> mashindano mbalimbalikwa mfano, Taifa Cup ama Copa Coca Cola, Mkoa u<strong>na</strong>kuwa u<strong>na</strong>kosa pesa za kutosha kuwezaku-support shughuli hizi za michezo. Mara nyingi tumekuwa tuaambiwa kwamba RAS a<strong>na</strong>patabarua kutoka kwa Waziri Mkuu, a<strong>na</strong>ambiwa ashughulikie masuala haya, lakini hali sivyo, imekuwawa<strong>na</strong>nchi ndiyo wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngishwa <strong>na</strong> Wabunge hapa wakati mwingine tu<strong>na</strong>-support <strong>na</strong> wadaumbalimbali wa michezo. (Makofi)Kwa hiyo, Serikali isikae pembeni ikao<strong>na</strong> hili jukumu ni la wa<strong>na</strong>nchi peke yake <strong>na</strong> yenyeweisaidie kukuza sekta hii hasa kwa Mkoa wa Kigoma. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Kigoma tu<strong>na</strong>omba tujengewe shule ambazo zitakuwa ni SportAcademy. Mfano mzuri Kigoma tumekuwa <strong>na</strong> wachezaji wazuri wakiwemo aki<strong>na</strong> Sunday Ma<strong>na</strong>ra,Ismail Mwarabu, Makumbi Juma, Abeid Mziba, Thomas Kipese, Hamza Maneno, Kaseja <strong>na</strong> hataaki<strong>na</strong> Akilimali Yahaya. Hawa ni wachezaji wazuri katika nchi hii wakitokea Mkoa wa Kigoma. Kwanini hamtupi vipaumbele? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeo<strong>na</strong> juzi juzi kwenye Shindano la Copa Coca Cola, timu yavija<strong>na</strong> chini ya miaka 17 kutoka Kigoma, michezo yote kumi waliyoshiriki wamekuwa wakitandikawatu bao nne, tatu, nne, tatu, michezo yote kumi, ham<strong>na</strong> aliyevimbisha kifua mbele yao. Namwishoni wakaja kuwa<strong>cha</strong>pa Morogoro hapa. Kwa nini tusichukulie fursa hii kuinua michezo katikaMkoa huu? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika timu hiyo, watoto sita wameachwa wachezee timu yavija<strong>na</strong> ya Taifa, wanne wakipelekwa chini ya Azam FC under seventeen. Jamani hatuoni kamaMkoa huu umekuwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto kubwa katika sekta ya michezo? Na huu ni wakati muafakasasa tuwatengezee Sport Academy kwa sababu wamekuwa wa<strong>na</strong>fanya vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>cha</strong>ngamoto nyingine i<strong>na</strong>yotukabili kama Mkoa, MaafisaMichezo hatu<strong>na</strong>. Katika Halmashauri tulikuwa <strong>na</strong>ye, lakini hapa juzi juzi tumeambiwa kaletwaDodoma. Kwa hiyo, pamoja <strong>na</strong> kufanya kwetu vizuri, lakini bado tu<strong>na</strong>hitaji Maafisa Michezoambao wataweza kuzishauri timu zetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini <strong>cha</strong>ngamoto nyingine imekuwa ni hizi kozi za kuwafundishawenzetu waamuzi <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong>, zimekuwa zi<strong>na</strong>kuja mara <strong>cha</strong>che sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> hata zikifika, vyetivi<strong>na</strong>kuwa vi<strong>na</strong>chelewa kutolewa. Kwa mfano, Februari mwaka ja<strong>na</strong> watu walipatiwa mafunzombalimbali, lakini mpaka mwaka huu, leo hii <strong>na</strong>ongea, watu hawa hawajapatiwa vyeti, kwa hiyo,hii ni <strong>cha</strong>ngamoto. Mheshimiwa Waziri, hakikisha mafunzo haya ya<strong>na</strong>potolewa, basi wa<strong>na</strong>nchihawa wa<strong>na</strong>patiwa vyeti vyao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini <strong>cha</strong>ngamoto ya mwisho i<strong>na</strong>yotukabili kama Mkoa niUwanja wa Lake Tanganyika. Uwanja ule ni mkubwa, ni mzuri, lakini Serikali mmeusahau. Uwanjaumeanza kufifia, hau<strong>na</strong> mainte<strong>na</strong>nce. Mheshimiwa Waziri, tu<strong>na</strong>hitaji mainte<strong>na</strong>nce,<strong>na</strong> sisi tu<strong>na</strong>hitajimainte<strong>na</strong>nce ya ule uwanja ili watoto wetu waweze kuibua vipaji mbalimbali. (Makofi)83


Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, muda wangu mfupi. (Makofi)MHE. FAIDA MOHAMMED BAKAR: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipatia<strong>na</strong>fasi <strong>na</strong> mimi niweze kuongelea hotuba ya Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Naunga mkono hoja kabla sijaanza kuongea. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa leotukiwa katika hali ya amani <strong>na</strong> usalama. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii adhimu kumshukuru MheshimiwaWaziri wa Wizara hii kwa kazi kubwa a<strong>na</strong>yoifanya kila siku katika kuliendeleza Taifa hili <strong>na</strong>kuidumisha Wizara hii. Mheshimiwa Waziri, Dkt. Emmanuel Nchimbi <strong>na</strong>mwelewa sa<strong>na</strong> kwa sababualikuwa Mwenyekiti wangu wa Vija<strong>na</strong> Taifa, Umoja wa Vija<strong>na</strong> wa Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi. Natu<strong>na</strong>mwelewa kwa kazi yake kubwa ambayo alikuwa a<strong>na</strong>ifanya katika kipindi chote. Kwa hiyo,<strong>na</strong>muamini <strong>na</strong> a<strong>na</strong>weza kufanya kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia kumpongeza Mheshimiwa Naibu Waziri, rafikiyangu Dkt. Fenella Mukangara, a<strong>na</strong>cheka cheka pale, a<strong>na</strong>jua, kwa kazi kubwa ya ushirikiano <strong>na</strong>Mheshimiwa Dkt. Nchimbi kwa kuiongoza Wizara hii. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda ku<strong>cha</strong>ngia yafuatayo, kwanza kabla sijaingia hapa,niombe Wizara hii ikisaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bunge iweze kutuletea wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha kwa walio <strong>na</strong>ulemavu wa<strong>na</strong>otuangalia kule kwa sababu Bunge li<strong>na</strong>toka live. Wale ambao wa<strong>na</strong>kuwahawasikii, hawawezi kujua sisi tu<strong>na</strong>ongea nini, hawawezi kujua Wabunge wao wa<strong>na</strong>ongea nini.Nawahurumia sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> iweze kutekelezwa hiyo kwa heshima <strong>na</strong> taadhima <strong>na</strong> vilevilekatika vyombo vya habari vyote, wawemo wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha zile kwa hao walemavu, <strong>na</strong>wao wa<strong>na</strong>taka kujua maendeleo ya nchi yao, lakini hawawezi kusikia. Naomba sa<strong>na</strong> hilolitekelezwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari. Nawapongezasa<strong>na</strong> waandishi wa habari wa nchi yetu ya Tanzania kwa kazi kubwa, nzuri <strong>na</strong> ngumuwa<strong>na</strong>yoifanya usiku <strong>na</strong> m<strong>cha</strong><strong>na</strong> katika kutuhabarisha sisi wa<strong>na</strong>nchi. Kazi ya habari ni ngumu sa<strong>na</strong>,mimi nilijaribu kuisomea kidogo hii habari, lakini nikaio<strong>na</strong> ni ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>sikumalizia kwa sababu niliio<strong>na</strong> ni ngumu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo hii kazi ni ngumu sa<strong>na</strong>. Hawa waandishi wa habarii<strong>na</strong>paswa Serikali iwaangalie. Iwaangalie kwa sababu bila ya waandishi wa habari nchi yetuhaiwezi kwenda mbele kwa sababu hatuwezi kupata taarifa. Bila taarifa hatuwezi kujua niniki<strong>na</strong>fanyika katika nchi hii. Lakini waandishi wa habari leo, hawa waandishi wa habariwa<strong>na</strong>nyimwa haki zao mbalimbali ingawa Serikali i<strong>na</strong>jitahidi kuwasaidia kwa kila hali.Mheshimiwa Mwenyekiti, o<strong>na</strong>, mfano kama kwenye maandamano pengine ya kisiasa jinsiambavyo waandishi wa habari wa<strong>na</strong>vyokuwa mstari wa mbele kutuhabarisha <strong>na</strong> mambombalimbali. Lakini pale huwa wa<strong>na</strong>pata athari nyingi sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimi siku moja nilisema hapaBungeni, ku<strong>na</strong> mwandishi mmoja wa habari alipigwa <strong>na</strong> ile camera yake ikapasuliwa <strong>na</strong> sijui kesiile ilifikia hatua gani mpaka leo sijui i<strong>na</strong>endeleaje.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli <strong>na</strong>muomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri alione hilo, wawe<strong>na</strong> vitendea kazi kwani hawa ni vibaya kuwa <strong>na</strong> magari? U<strong>na</strong>jua, kama wakienda kutafuta habari,waandishi wa habari wa<strong>na</strong>enda kwa miguu. Wakopeshwe magari ili waweze kuzifuatilia habarikwa uharaka. Hata kama hawa<strong>na</strong> magari, basi hata Vespa waweze kukopeshwa katika Wizarahii, Serikali iwakopeshe, mwenzangu a<strong>na</strong>niambia hata Bajaj, lakini Bajaj hazifai. Wapatiwe usafiri iliwaweze kutekeleza kazi zao kwa haraka kwa sababu ni watu muhimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hata hapa Bungeni, hawa waandishi wa habari wa hapaBungeni, ku<strong>na</strong> sehemu yao kule wametengewa. Tulisema hapa, mimi mwenyewe niliongea hapakwamba angalau wapatiwe computer mbalimbali ziwasaidie. Lakini ukienda kule ham<strong>na</strong>,wa<strong>na</strong>tumia tu laptop zao <strong>na</strong> vilevile kulikuwa <strong>na</strong> TV, haipo. Sasa mfano kama mwandishi hayupo84


hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofisi yake, atamwo<strong>na</strong> vipi Faida akiongea hapa Bungeni?Atachukuaje habari? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> waandishi wa habari waangaliwe <strong>na</strong>vilevile waandishi wa habari hasa wa vyombo bi<strong>na</strong>fsi wawekewe bima. Kazi hii ni ngumu sa<strong>na</strong>,ku<strong>na</strong> mambo makubwa ya<strong>na</strong>yowapata waandishi wa habari. Kila siku tu<strong>na</strong>lisema jambo hili, lakinimpaka leo halijatekelezwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unganisha hapo hapo, hivi waandishi wa habari wa Zanzibarwako wapi hapa Bungeni? Hili ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, <strong>na</strong>iomba Serikali <strong>na</strong>wao waandishi wa habari wa Zanzibar wawe wa<strong>na</strong>kuja katika vipindi vya Bunge hapa ili <strong>na</strong> waowaweze kuwahabarisha wa<strong>na</strong>nchi kule Zanzibar <strong>na</strong> vilevile waweze kuo<strong>na</strong> jinsi gani Bungeli<strong>na</strong>endeshwa <strong>na</strong> wao waweze kufanya, kuandika habari za Bunge lao kwa sababu hili ni Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iwaandae waandishiwake wa habari wawe wa<strong>na</strong>kuja wakati wa Bunge hapa ili <strong>na</strong> wao kule Zanzibar wawezekuelimika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> mikopo. Vija<strong>na</strong> niasilimia kubwa katika nchi yetu, haku<strong>na</strong> asiyejua <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> ndiyo wapiga kura wakubwawakiwemo aki<strong>na</strong> baba <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama. Vija<strong>na</strong> kwa kweli wametengewa mfuko wao huu, lakiniku<strong>na</strong> mfuko mkubwa huu wa JK, lakini huoni vija<strong>na</strong> wengi ambao wa<strong>na</strong>pata mikopo hii. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wapatiwe mikopo kwa sababu vija<strong>na</strong> niTaifa la leo. Wasipokuwa <strong>na</strong> kazi hawa vija<strong>na</strong> watakuwa wa<strong>na</strong>zurura zurura, mwisho watavutabangi <strong>na</strong> unga. Itakuwa kazi bure sisi hapa nchini kwetu, itakuwa hapa<strong>na</strong> salama. Naomba sa<strong>na</strong>vija<strong>na</strong> waangaliwe katika mikopo mbalimbali ili kuweza kuendeshea miradi yao mbalimbali <strong>na</strong>kujitafutia maisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> ajira. Hata kama vija<strong>na</strong> wako wengi sa<strong>na</strong>, lakini huonikwamba vija<strong>na</strong> ni wengi sa<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi katika sekta mbalimbali katika Serikali.Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wawe wa<strong>na</strong>ajiriwa. Hii Wizara iwe <strong>na</strong> database, ijue hasa vija<strong>na</strong> wake niwangapi katika nchi yetu ya Tanzania <strong>na</strong> wapi hawajaajiriwa. Vija<strong>na</strong> wengi ni wasomi, lakinihawa<strong>na</strong> ajira. Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> waweze kuajiriwa ili wasije wakapotoka. Vija<strong>na</strong> wasipokuwa<strong>na</strong> ajira i<strong>na</strong>kuwa ni tatizo, sisi ndiyo wazazi, tu<strong>na</strong>jua. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wizi wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Jamani, wasanii ni watu muhimu sa<strong>na</strong>.Msanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii. Tu<strong>na</strong>wahitaji sa<strong>na</strong> wasanii kwa sababu ya kuendeleza mila <strong>na</strong> desturi zetukatika nchi yetu ya Tanzania. Ku<strong>na</strong> wasanii mbalimbali, wenyewe wa<strong>na</strong>sema wale wasanii wazamani wa<strong>na</strong>oimba taarabu za kizamani, wa<strong>na</strong>oimba muziki wa kizamani, aki<strong>na</strong> King Kiki. Lakiniwapo pia wa Bongo Fleva, tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>toa elimu kubwa sa<strong>na</strong>. Wasanii wa BongoFleva wa<strong>na</strong>toa fundisho kubwa sa<strong>na</strong> kwa jamii. (Makofi)Lakini wakifanya kazi zao hazionekani, mapato hayaonekani, wa<strong>na</strong>iba watu wa<strong>na</strong>pelekanje, wa<strong>na</strong>peleka sehemu mbalimbali. Sasa hivi ku<strong>na</strong> ufuatiliaji, lakini sijui, <strong>na</strong>penda tu kusema sijuikama utafanikiwa! Lakini Mwenyezi Mungu aujalie. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii aki<strong>na</strong> Ferouz, Chege, Tundaman, Madee, Diamond,Lady Jay Dee, TID, wote ni wasanii wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wengine tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> nyimbo zao wakatiwa kupumzika u<strong>na</strong>furahi <strong>na</strong> u<strong>na</strong> elimika. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, tuwapendelee sa<strong>na</strong> wasanii, tuwatunze wasanii, tuwawekeefungu lake <strong>na</strong> wao wasanii katika Bajeti zetu ili nchi yetu <strong>na</strong> wasanii wetu hawa wawezekuendelea mbele.Mheshimiwa Mwenyekiti, mashindano ya Big Brother Africa, hapa sasa ndiyo kwenyemaneno. Ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>shirikishwa kwenye Big Brother. Hivi, mimi <strong>na</strong>muuliza MheshimiwaWaziri, ukija ujibu, hii Big Brother Africa maa<strong>na</strong> yake nini? Yafundisha nini? (Makofi)85


Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi sioni kama i<strong>na</strong>fundisha chochote, kwa a<strong>na</strong>yeangalia ile BigBrother Africa, jamani sisi Waafrika tu<strong>na</strong>tumiwa, tu<strong>na</strong>tumiwa ili tupotoshe maadili yetu, Big BrotherAfrica rafiki yangu mimi siikubali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> basi watu wetu Watanzania tusiwapeleke kulekwa sababu, kweli sipendi kuongea mengi u<strong>na</strong>jua mimi nikisema te<strong>na</strong> i<strong>na</strong>kuwa tatizo, lakini <strong>na</strong>ulizaBig Brother Africa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani, i<strong>na</strong>funza jamii zetu hasa za Afrika? Mmh! (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu michezo, mimi <strong>na</strong>-declare interest, mimi ni Yanga te<strong>na</strong>Yanga damu kwa sababu ni<strong>na</strong>lipia ada, <strong>na</strong>penda kuwapongeza sa<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>yanga kwa ushinditulioupata wa Kombe la Kagame, lakini pia <strong>na</strong>waambia Simba Mheshimiwa Sitta samahani,<strong>na</strong>waambia Simba <strong>na</strong> wao wasinyonge roho, mwakani wa<strong>na</strong>weza wakachukua wao, lakiniYanga Oyeee. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuipongeza timu hii, ilikuja juzi hapa Bungenitukaipongeza hapa, lakini vilevile <strong>na</strong>penda kupongeza pia timu ya mpira ya wa<strong>na</strong>wake ya Taifa,timu ya mpira ya Yanga <strong>na</strong> timu zingine zi<strong>na</strong>kuwa ziko high class, lakini <strong>na</strong>shangaa kwa nini timuyetu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wa<strong>na</strong>wake haipewi msukumo. Hivi sasa wa<strong>na</strong> mechi zaochungu mzima, hawa<strong>na</strong> hela, nilio<strong>na</strong> kwenye TV ja<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>omba wafadhili, wafadhilimpaka lini? Kwa nini Serikali haiwawekei fungu lao hawa wa<strong>na</strong>michezo? Hawa Yanga <strong>na</strong> Simbakila siku hawatengewi fungu lao, kila siku TBL wa<strong>na</strong>fadhali. Ni vizuri Tanzania Breweries, Vodacomwa<strong>na</strong>fanya vizuri sa<strong>na</strong> wafadhili wetu hawa lakini haileti moyo mzuri kwa Taifa tu<strong>na</strong>omba Serikaliiji-commit kwenye mambo haya kwa sababu michezo ni ajira. (Makofi)Mheshimiwa Spika, <strong>na</strong>omba kuunga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>, ni<strong>na</strong>omba nichukue fursa hii kutambua uwepo wa NaibuKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ndani ya ukumbi huu wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Asha-RoseMigiro. (Makofi)Karibu sa<strong>na</strong> mama, karibu sa<strong>na</strong> Tanzania <strong>na</strong> Bunge hili lote li<strong>na</strong>jivunia kazi njemau<strong>na</strong>yoifanya huko duniani, tu<strong>na</strong>kuombea maisha marefu ya furaha <strong>na</strong> utendaji uliotukuka katikaUmoja wa Mataifa, karibu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, sasa <strong>na</strong>omba tuendelee Mheshimiwa Stephen Ngonyanimaarufu Profesa Maji Marefu <strong>na</strong> Mheshimiwa Maryam Msabaha ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa HamadAli Hamad ajiandaye. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka nimpongeze WaziriMkuu kwa kuwa makini sa<strong>na</strong> ndani ya Bunge hili, vilevile <strong>na</strong>taka nimpongeze Waziri wa Michezo<strong>na</strong> Utamaduni Ndugu yangu Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa amepata Wizaraisiyopandishiwa Bajeti kwa miaka mitatu lakini mvumilivu, Mungu akubariki.Mhehsimiwa Mwenyekiti, kwanza nitoe fani yangu mimi ni mganga, <strong>na</strong>taka Wabungewajue kwamba mimi ni mganga <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wajue hivyo mimi ni mganga. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Ngonyani, samahani <strong>na</strong>omba ukae kwanza. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>mume wake Profesa Migiro, tu<strong>na</strong>mkaribisha sa<strong>na</strong>, karibu sa<strong>na</strong>. Pia amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> wasaidizi wakea<strong>na</strong>itwa Mheshimiwa Tuvako Manongi, pamoja <strong>na</strong> ujumbe wote ambao mmefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>otu<strong>na</strong>wakaribisha sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge <strong>na</strong>omba tuendelee. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru maa<strong>na</strong> kazi ya ugangahata watu wengine wa<strong>na</strong>sahaulika ndiyo maa<strong>na</strong> yake. (Makofi)86


Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka niwapongeze waandishi wa habari, mtua<strong>na</strong>yesema kwamba sijui waandishi wa habari wawe wa<strong>na</strong>andika mambo kwa kuzingatia mimi<strong>na</strong>taka waandike. (Makofi)MWENYEKITI: Naomba u-declare interest.MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kazi yangu ni mganga wa kienyeji,mganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumewazungumzia sa<strong>na</strong> waandishi wa habari, kwa kweli mimi<strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwamba waandishi wa habari wa<strong>na</strong>pendwa wakati wa u<strong>cha</strong>guzi tu kwa ajiliya kuwaweka watu katika mazingira mazuri ya ushindi, lakini wakishamaliza u<strong>cha</strong>nguzi <strong>na</strong> watuwakishashinda wakianza kuandika mapungufu yao watu wa<strong>na</strong>sema waandishi wa habarihawafai. Mimi <strong>na</strong>taka waandike tu kwa nini wazuiwe? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu lengo la waandishi wa habari watu wa<strong>na</strong>taka kujuakwamba wa<strong>na</strong>nchi au Wabunge wamefanya nini au wapiga kura wamewa<strong>cha</strong>gua watu ambaowa<strong>na</strong>fanya nini, sasa kama watakuwa wa<strong>na</strong>andika mazuri tu bila kuandika mapungufu yetu, sionikama tu<strong>na</strong>watendea haki <strong>na</strong> ukizingatia kwamba hiyo ni kazi kama kazi ya watu wengine. Waopia wa<strong>na</strong>hitaji waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi. Kama ku<strong>na</strong> mapungufu Mwenyezi Mungu tua<strong>na</strong>waumba watu wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> mapungufu wamepinda miguu, ije kuwa waandishi wa habariwasiandike kasoro? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>fikiria sa<strong>na</strong> kwa upande wa waandishi wa habaritusiwanyanyase, ni<strong>na</strong>choomba tu Wizara ya Utamaduni <strong>na</strong> Michezo waangaliwe, ili kama ku<strong>na</strong>kiwango maalum <strong>cha</strong> waandishi wa habari wapewe ili wafanye kazi vizuri zaidi kuliko kila saaakimwandika mtu vibaya matokeo yake a<strong>na</strong>tishiwa kwamba atauawa au atamtishia manenoma<strong>cha</strong>fu au hata atamtishia kwamba wewe tuone kama uandishi wako wa habari au matokeoyake kuwamwagia tindikali, sasa hii siyo kitendo halali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili <strong>na</strong>taka niongelee kuhusu wasanii, kama ku<strong>na</strong> watuwa<strong>na</strong>pata matatizo sa<strong>na</strong> ni wasanii, haku<strong>na</strong> kitu kizuri ambacho msanii ataitwa, kila mtua<strong>na</strong>pofanya makosa a<strong>na</strong>ambiwa wewe kazi yako ni msanii, sasa usanii ni kazi, wasilinganishemabaya ya maji marefu ukaweka kwenye usanii. Sasa hivi ku<strong>na</strong> mtindo wa watu, mtu a<strong>na</strong>fanyamakosa yake <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>julika<strong>na</strong> kwamba amefanya utapeli fulani, wa<strong>na</strong>kuambia aah, hao siwasanii tu! Sasa usanii maa<strong>na</strong> yake ni nini? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, usanii ni kazi kama kazi nyingine, wasiwe wa<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nisha wasanii<strong>na</strong> mtu akosee basi msanii aonekane kwamba ndiye yeye ambaye a<strong>na</strong>haribu, Wabunge wengihapa wamepitia kwenye usanii, yupo ndugu yangu Mbilinyi, yupo ndugu yangu hapa mwandishiwa habari hapa Nkamia, yupo Mheshimiwa Martha, yupo Mheshimiwa Kamata. Sasa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>Mheshimiwa Kamata ni msanii? Ni msanii katika fani yake lakini siyo usanii ule m<strong>na</strong>ochukua wakuwafanya watu waonekane watu wasanii ni watu wa duni sa<strong>na</strong>, ni watu wa dhiki sa<strong>na</strong>, kilamfano mbaya upelekwe kwa wasanii, hii siyo halali, wasanii wapewe heshima kama vile watuwengine hata kama tu<strong>na</strong>yopewa sisi Wabunge <strong>na</strong> wao wapewe heshima hiyo kwa sababu ni kaziambayo ni sawasawa <strong>na</strong> kazi nyingine. Nataka waheshimiwe kama wa<strong>na</strong>vyoheshimiwa watuwengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni suala la michezo, <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwambamichezo i<strong>na</strong>fanyika mikoani tu lakini Wilayani haku<strong>na</strong> michezo. Kitu <strong>cha</strong> kushangaza zaidi nikwamba maafisa utamaduni hawapati nyenzo <strong>na</strong> hawaonekani kama ni watu wa busara mbeleya watu. Wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri lakini kule hawaonekani. Maafisa Utamaduni wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> wakatiwa kukimbiza Mwenge peke yake, Mwenge ukikimbizwa Tanzania ndiyo Afisa Utamadunia<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> <strong>na</strong> yeye a<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi kwa nini, wakati yeye ndiye a<strong>na</strong>yelea vija<strong>na</strong> wote Wilayani, yeyendiye a<strong>na</strong>jua ngoma zote Wilayani, yeye ndiyo a<strong>na</strong>jua waganga wote Wilayani, yeye ndiyea<strong>na</strong>jua kila kitu ki<strong>na</strong>chofanyika katika Wilaya, kwa nini hawa watu hawapewi motisha <strong>na</strong>wenyewe waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi vizuri?87


Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Maofisa Utamaduni wapewe nyenzo kwa ajili yamambo ya michezo. Kama kweli tu<strong>na</strong>itaka Tanzania iendelee katika michezo basi ianzie kuleWilayani <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni wapewe uwezo wa kufanya kazi zao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu suala la viwanja vya michezo, nimeo<strong>na</strong> tuvi<strong>na</strong>shughulikiwa viwanja vya Dar es Salaam, kwani huko mikoani haku<strong>na</strong> viwanja? Hata kama niviwanja vya Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi kwani wa<strong>na</strong>ofanya michezo hawaji kufanyia michezo kwenyeviwanja hivyo, viwanja vya Watanzania, kama ni viwanja vya Tanzania kwa nini vi<strong>na</strong>tengenezwatu viwanja vya Dar es Salaam kiwanja <strong>cha</strong> Kirumba hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Arushahakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Maji Maji hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Hassan Mwinyihakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Kigoma sasa hivi kimekuwa gofu hakitengenezwi, uwanja waMkwakwani hautengenezwi. Leo hii tu<strong>na</strong>taka maendeleo ya michezo ni maendeleo gani kamatusipotengeneza viwanja, watu wataenda kucheza wapi mpira wakacheze kwenye mizimu?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> mambo ya michezo yaangaliwe ili watuwaendelee kupenda michezo hasa kwa kutengenezewa viwanja, kisiangaliwe kwamba kiwanjahiki ni <strong>cha</strong> Chama gani, tu<strong>na</strong>chotaka ni michezo ndani ya Tanzania. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa <strong>na</strong>kuja kwenye fani yangu…MBUNGE FULANI: Hapo sasa!MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kitendo <strong>cha</strong>waganga wa tiba asilia wa<strong>na</strong>vyodhalilishwa. Waganga wa tiba asilia sasa hivi wa<strong>na</strong>itika sehemumbili, wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Afya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Habari. Wakiwa Mjini wa<strong>na</strong>ambiwawaende wakachukue vibali Wizara ya Afya, wakiwa vijijini wa<strong>na</strong>enda kwa Afisa Utamaduniwakachukue vibali. Sasa hawa watu kwa nini wa<strong>na</strong>yumbishwa? (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, haku<strong>na</strong> hapa ndani mtu ambaye hamjui mganga wa tiba zaasili. Kama siyo kumjua kwa ji<strong>na</strong> basi ni kumjua kwa maandishi, si<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> kwamba watu wotemliopo ndani m<strong>na</strong>enda kwa waganga, hapa<strong>na</strong>, la hasha! Lakini wote m<strong>na</strong>jua kwamba wagangawa<strong>na</strong>fanya kazi gani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, siku za nyuma hapa hakukuwa <strong>na</strong> hospitali, ninyi wote mlikuwam<strong>na</strong>tumia tu. Wakati hospitali hazijajengwa watu walikuwa wa<strong>na</strong>tumia majani, wa<strong>na</strong>chemshamajani wa<strong>na</strong>kunywa mtu a<strong>na</strong>po<strong>na</strong> malaria. Lakini ikifika wakati wa u<strong>cha</strong>guzi wa<strong>na</strong>kimbiliwawaganga, wakishapita wa<strong>na</strong>wafa<strong>na</strong>nisha waganga ni watu matapeli <strong>na</strong> ni watu wasiokuwa <strong>na</strong>uwezo, sasa utapeli wa mganga ni nini, wakati wewe mwenyewe u<strong>na</strong> shida zako umeenda kwamganga amekutengenezea umeshinda, umekuja umepata hiyo <strong>na</strong>fasi uliyoitaka, akianza kutajwamganga kila kibaya wa<strong>na</strong>fafanisha <strong>na</strong> waganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tabia hii tafadhali <strong>na</strong>omba waangalie waganga wa tiba asiliasiyo watu lelemama kama wa<strong>na</strong>vyofikiria. Hospitali watu wamefanyiwa operesheni mkasiukabakia tumboni hawakusemwa, mtu amekwenda kufanyiwa operesheni ya mguu badala yakeamefanyiwa operesheni ya kichwa hawakusemwa, lakini mganga wa kienyeji akimpa mtu dawabahati mbaya ameharibikiwa imekuwa ndiyo wimbo, sasa wapi <strong>na</strong> wapi? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, leo hii si Shinyanga mtu akioneka<strong>na</strong> tu tu<strong>na</strong>ambiwa waganga,ku<strong>na</strong> uganga <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>wi, mganga siyo m<strong>cha</strong>wi, msifa<strong>na</strong>nishe waganga kwamba ni wa<strong>cha</strong>wi, mtumkio<strong>na</strong> a<strong>na</strong> macho mekundu a<strong>na</strong>ambiwa m<strong>cha</strong>wi. Ku<strong>na</strong> watu wa<strong>na</strong>kaa kwenye mazizi ambapomacho ya<strong>na</strong>kuwa mekundu kwa ajili ya moshi, mtu akioneka<strong>na</strong> m<strong>na</strong>sema akauwawe m<strong>cha</strong>wijamani hebu wapeni heshima zao waganga. Huu utamaduni umeaniza kwa waganga. Zipo ai<strong>na</strong>tatu za waganga ku<strong>na</strong> asilia, ku<strong>na</strong> elimu dunia, ku<strong>na</strong> mizimu ambayo watu wa<strong>na</strong>enda kuombewawa<strong>na</strong>fanikiwa, sasa kila kitu kibaya ki<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nishwa <strong>na</strong> mganga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Wizara hii iangalie vizuri kama ni waganga wa<strong>na</strong>endaWizara ya Afya tujue tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Afya, kama tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Utamaduni tujue88


tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Utamaduni kwa sababu ku<strong>na</strong> vitu vingi ambavyo wa<strong>na</strong>fanyiwa wagangahalafu hawaonekani kama wa<strong>na</strong>fanya <strong>na</strong> hawaonekani kama ni bi<strong>na</strong>damu. Haku<strong>na</strong> mgangatapeli. Mganga ni mganga u<strong>na</strong>pomsaidia mtu u<strong>na</strong> mawili, u<strong>na</strong>msaidia apate <strong>na</strong>fuu u<strong>na</strong>msaidiaapone au la hasha Mungu hakukubali imani ya mtu ndiyo i<strong>na</strong>yomsaidia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeshangaa sa<strong>na</strong> hata hapa ndani mtu aki<strong>cha</strong>ngia a<strong>na</strong>semawaganga, waganga isiwe sera ya hapa ndani wote tu<strong>na</strong>fahamu mababu zetu walikuwawaganga, miti hii ndiyo i<strong>na</strong>yosababisha watu mpaka leo wa<strong>na</strong>kunywa dawa za hospitali zimetokakwenye miti. Babu zetu walikuwa wa<strong>na</strong>kula matunda wa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, walikuwa wa<strong>na</strong>kula mitiwa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, wa<strong>na</strong>kula mizizi wa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, ndiyo maa<strong>na</strong> ya tiba asili. Lakini kila kibaya ki<strong>na</strong>chotokeamtu a<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nisha <strong>na</strong> uganga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>waomba ndugu zangu mimi ni mganga asilia, nimefanya kazi<strong>na</strong> waganga wenzangu hata hivi <strong>na</strong>washukuru sa<strong>na</strong> walinisaidia sa<strong>na</strong> kwa hali <strong>na</strong> mali mpakanimefika hapa. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, aah, ni lazima tuelezane ukweli kwani nini bwa<strong>na</strong>! (Kicheko)MBUNGE FULANI: Hata <strong>na</strong> Mawaziri umewasaidia. (Kicheko)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Ku<strong>na</strong> watu wengi wa<strong>na</strong>jua asili hiyo, hata Mwenyekitimwenzangu wa Kamati ya ufundi a<strong>na</strong>jua yupo pale, sasa mkisema kwamba waganga, siyo vizurihivyo! (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo nilikuwa <strong>na</strong>taka tu kuliweka sawa sualala waganga wa tiba asili wachukuliwe kama madaktari wengine wa nchi nyingine au madaktariwengine mabingwa kama mabingwa wengine kwa sababu ku<strong>na</strong> sehemu tofauti kama yeyeamesomea hospitali <strong>na</strong> vitabu <strong>na</strong> sisi tumesomea miti tu<strong>na</strong>ifahamu kama wewe u<strong>na</strong>takiwaukafanye operesheni sisi hatufanyi operesheni. Wasanii wapewe heshima zao, waandishi wahabari waache kunyanyaswa, kwa sababu m<strong>na</strong>powanyanyasa waandishi wa habari i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>m<strong>na</strong>taka ule ukweli wasiuseme, wasipousema ukweli watausemea wapi? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>unga<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong> wenzangu walionitangulia kwasababu wameongea vitu vizuri <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> niwaunge mkono wenzangu wali<strong>cha</strong>ngiamengi sa<strong>na</strong>. Ndugu yangu Nkamia ni<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa hotuba uliyoitoa leo asubuhi, umetoahotuba nzuri sa<strong>na</strong> ikizingatiwa kwamba wewe ni mwandishi wa habari lakini hukuyatetea yalemaslahi ya waandishi. Waambie wapandishe posho kama wa<strong>na</strong>vyopewa wengine, kwa sababuwakipandishiwa posho hawatakuwa wa<strong>na</strong>fanya kazi kwa kusema kwamba labda nikaombe kwamtu, <strong>na</strong> waandishi wa habari i<strong>na</strong>kuwa ni maneno m<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>taka rushwa, sasa watafanyaje?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>na</strong>wachukua watu m<strong>na</strong>enda kuwalipa shilingi 5,000/=, shilingi5,000/= i<strong>na</strong>msaidia nini, mtu u<strong>na</strong>mzungusha huko kwenye kampeni zako akirudi hata nyumbanikwake watu wa<strong>na</strong>mkimbia halafu akipewa hela m<strong>na</strong>sema amepewa rushwa, acheni kuwafikiriamabaya. Waandishi wa habari fanyeni mambo yenu, mkifanya makosa wenzenu watajuatumewashika, fanyeni kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba kumwita sasa Mheshimiwa Maryam Msabaha <strong>na</strong>Mheshimiwa Hamad Ali Hamad ajiandae. (Makofi)MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii ilinipate ku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. Kwanza kabisa <strong>na</strong>mshukuruMwenyezi Mungu Subha<strong>na</strong> Wataallah <strong>na</strong> Ramadhani hii kunijalia leo nimesimama hapa <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>washukuru vija<strong>na</strong> wote wa Wilaya ya Mjini Magharibi kwa <strong>cha</strong>ngamoto zao walizonipa wakatinilipokuwa <strong>na</strong>gombea. (Makofi)89


Mhehsimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>ipongeza Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo,Wizara hii imekuwa ikifanya kazi katika mazingira magumu <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>ipongeza hotuba ya Waziri Kivuli<strong>na</strong> yale mazuri tuliyoyasema pia myachukue <strong>na</strong> myafanyie kazi. (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, Wizara hii imekuwa ikisahaulika sa<strong>na</strong>, Wizara hii imekuwa niWizara nyeti lakini imekuwa ikisahaulika, hata wakati maswali ya Wizara hii ya<strong>na</strong>ulizwa ya<strong>na</strong>kuwaya<strong>na</strong>wekwa nyuma. Ni<strong>na</strong>omba Wizara hii ipewe kipaumbele, kwa sababu Wizara hii ndiyoi<strong>na</strong>beba mambo nyeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo wala siyo Taifa la kesho. Vija<strong>na</strong> hawatu<strong>na</strong>watumia kwa mambo mengi, ukifika kipindi <strong>cha</strong> u<strong>cha</strong>guzi tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, tukifikakwenye mambo fulani fulani tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, lakini kwa nini vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sahaulika? Nasemavija<strong>na</strong> wakumbukwe <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wakumbukwe kwa <strong>na</strong>fasi mbalimbali za uongozi, za ajira hatakwenye mikopo ya Rais i<strong>na</strong>yotoka, vija<strong>na</strong> wapewe kipaumbele kwenye mikopo hiyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wengi hapa Tanzania wamekuwa ni vija<strong>na</strong> sijui nisemewa<strong>na</strong>sindikiza siku, kwa sababu ku<strong>na</strong> wachezaji wa mipira, wachezaji hawa sijui wa<strong>na</strong>pofikia umriwa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi kiinua mgongo, <strong>na</strong>taka Waziri aniambie wa<strong>na</strong>lipwa wapi wachezajiambao wa<strong>na</strong>chezea timu zetu za Taifa wapostaafu au ujira wao wa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi?Naomba muangalie suala hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Waziri huwezi kutaja kama hujataja Zanzibar, Zanzibar ipo ndaniya Jamhuri ya Muungano, <strong>na</strong>omba m<strong>na</strong>poshiriki kwenye maonesho au kwenye michezombalimbali ya nje ya nchi muwakumbuke vija<strong>na</strong> wa Zanzibar <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>fasi zao muwape. Vija<strong>na</strong>hawa wamekuwa wakilalamika, wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>sahaulika sa<strong>na</strong>, lakini <strong>na</strong>jua Zanzibar ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>wazuri sa<strong>na</strong>, wacheza mpira wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Zanzibar tu<strong>na</strong> tamaduni mbalimbali, ku<strong>na</strong> ngoma zaasili za Zanzibar, ngoma ambayo hata Tanzania Bara haipatikani, ngoma hii ipo Pemba, ngoma hiiya mchezo wa ng’ombe ni ngoma ambayo i<strong>na</strong>ingizia Serikali Pato la Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba mambo mazuri ya Zanzibar yaliyopo katikaKisiwa <strong>cha</strong> Pemba <strong>na</strong> Kisiwa <strong>cha</strong> Unguja <strong>na</strong> mambo haya ni adimu kwa Tanzania Bara <strong>na</strong>ombamuuenzi utamaduni wetu kwa kupitia sekta ya Muungano <strong>na</strong> sisi Wazanzibar pia tunufaike kwenyesekta hii ya Muungano katika mambo ya utamaduni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> kama studio, hii studioisaidie kwa vija<strong>na</strong> wote ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi za miziki, kazi zao za sa<strong>na</strong>a. Asitoe kwa mtummoja au kwa vikundi vi<strong>cha</strong>che. Hili litaleta tatizo <strong>na</strong> litaleta malumbano kwa Rais. Nilikuwa<strong>na</strong>muomba Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> awasaidie vija<strong>na</strong> wote bila kuwabagua.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ambalo li<strong>na</strong>niuma kama mama <strong>na</strong> mtoto wa kiislam leonitalisemea katika Bunge hili <strong>na</strong> nilikuwa <strong>na</strong>omba nipate <strong>na</strong>fasi ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ndiomaa<strong>na</strong> nimeomba <strong>na</strong> nimeipata <strong>na</strong>shukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuipata. Mimi kwakweli ku<strong>na</strong> mambo ya<strong>na</strong>yonishangaza kwenye TV, kwenye vyombo vya habari. Sasa <strong>na</strong>sema kwanini watoto wa kike wamekuwa wakidhalilishwa sa<strong>na</strong> ndani ya TV katika matangazo mbalimbali?Ni kwa nini wa<strong>na</strong>ume wao hawavai nguo za uchi kama wa<strong>na</strong>wake? Utakuta hata kwenye muzikikama ni benki u<strong>na</strong>kuta wale aki<strong>na</strong> baba wamevaa vizuri, vija<strong>na</strong> wamevaa vizuri. Ukikuta kwenyefilamu u<strong>na</strong>mkuta mwa<strong>na</strong>ume kavaa vizuri lakini ukimwangalia mwa<strong>na</strong>mke kakaa nusu uchi. Hiisheria ni ya kumlinda tu mwa<strong>na</strong>ume? (Makofi)Nataka Bunge lako Tukufu litoe sheria hapa ya wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>tembea nusuuchi. Ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>ume hawaoi. Wa<strong>na</strong>ume watawaoa vipi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wakewa<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kila kitu <strong>cha</strong>o kiko nje? Sasa huyu mwa<strong>na</strong>ume atakwenda kuoa vipi <strong>na</strong> huku kila kituameshakio<strong>na</strong>? Naomba sheria hii ifanyiwe kazi. Naomba watoto wetu wa Kitanzania, vija<strong>na</strong> ku<strong>na</strong>mambo yale ya kulegeza suruali ngoja jamani <strong>na</strong>omba niwaambie. (Makofi/Kicheko)MWENYEKITI: Naomba tumsikilize vizuri.90


MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wenzetu kule Marekani ambao wa<strong>na</strong>legeza surualiwalikuwa wafungwa ambao walikuwa wa<strong>na</strong>kosa mikanda ya kufungia suruali, ni kwa nini mlegezesuruali halafu mkiangalia <strong>na</strong> nguo zenu za ndani ni <strong>cha</strong>fu. Kwa nini msikae katika maadili yaKitanzania <strong>na</strong> ukakaa kama mtoto wa Kitanzania? Wewe u<strong>na</strong>taka ukae kama mfungwa waMarekani aliyekosa mkanda wa kufungia suruali? Hili mimi <strong>na</strong>likemea kwa nguvu zote. Kaeni katikamaadili ya Kitanzania. (Makofi/Kicheko)Ni<strong>na</strong>omba dada zangu, watoto wangu <strong>na</strong> wadogo zangu ambao m<strong>na</strong>-act filamumbalimbali muache kutembea uchi ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>wake wamekuwa wengi <strong>na</strong>hawapati wachumba <strong>na</strong> hawaolewi, kisa kila kitu mwa<strong>na</strong>ume a<strong>na</strong>kio<strong>na</strong> ndani ya TV. Wakatimwingine umekuwa u<strong>na</strong>tazama TV uko <strong>na</strong> watu wa heshima upo <strong>na</strong> baba yako, upo <strong>na</strong> watotowakati mwingine u<strong>na</strong>badilisha hata matangazo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu matangazo, mtu akitaka biashara yake itoke a<strong>na</strong>tafutamwa<strong>na</strong>mke mzuri a<strong>na</strong>mdhalilisha kwenye TV. Kwa nini mwa<strong>na</strong>ume <strong>na</strong>ye asiwekwe pale kwenyeTV akadhalilishwa? Kila tangazo a<strong>na</strong>wekwa mwa<strong>na</strong>mke, ni kwa nini, <strong>na</strong>omba hii sheria jamanituige maadili ya Kitanzania tusiige maadili ya kutoka nje. (Makofi/Kicheko)Naomba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Big Brother, nimemuo<strong>na</strong> ndugu yangu pale Faida Bakarkasema lakini kaogopa kusema. Big Brother i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani? Kweli Big brother u<strong>na</strong>kuau<strong>na</strong>kwenda kushiriki mashindano yale ya<strong>na</strong>kudhalilisha, nyie wenyewe ni wafuatiliaji wa vyombovya habari <strong>na</strong> mengi pia mmeyao<strong>na</strong> yaliyotokea kwenye Big Brother <strong>na</strong>omba kabisa kwendakudhalilishwa Watanzania huko a<strong>na</strong>dhalilishwa Mtanzania alivyokuwa mweusi. Sijui mimi <strong>na</strong>semawazungu wa<strong>na</strong>penda ngozi yetu, kama wa<strong>na</strong>penda hii ngozi basi watuoe, kwa sababu hapa<strong>na</strong>jua ku<strong>na</strong> mabinti wengi sa<strong>na</strong> wa Kiswahili waolewe <strong>na</strong> hao wazungu mkaone ngozi yaKitanzania lakini msidhalilishe kwa kupitia hii Big Brother. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Big Brother ipigwe marufuku <strong>na</strong> Waziri utakapokujakutoa majumuisho yako uniambie hii Big Brother imeingizia Pato gani la Taifa? Ku<strong>na</strong> pato ganitu<strong>na</strong>lopata kwenye Big Brother hii. Nataka uje uniambie kama ku<strong>na</strong> pato tu<strong>na</strong>lopata kwenye BigBrother? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye haya mambo ya Miss Tanzania, haya mambo ya Missyaleta UKIMWI <strong>na</strong> UKIMWI hauwezi kuisha kwa sababu watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong> jamani.Kama ninyi ni wazazi roho lazima zitawauma. Hebu nendeni huko kwenye mahoteli makubwawatoto wa<strong>na</strong>kokwenda kuweka makambi ya u-miss kama wewe u<strong>na</strong> tumbo la uchungu la uzaziu<strong>na</strong>weza kuzaa bila siku zako. Naomba haya masuala yakomeshwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari.Waandishi wetu wa habari mimi <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habari m<strong>na</strong> matatizo,humo ndani katika Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ku<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake wajasiriwa<strong>na</strong>ongea sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> hoja nzito sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> waibua hoja nzito sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habarimmekuwa mkipiga pi<strong>cha</strong> zote ni wa<strong>na</strong>ume, wengine wamesinzia, wengine yaani sijui.(Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa nini pi<strong>cha</strong> zile za kusinzia au pi<strong>cha</strong> nyingine zile za ajabu zakuonyesha tu aki<strong>na</strong> baba tu, kwa nini msiweke hawa wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>ibua hoja nzito? Aummetuo<strong>na</strong> sisi wa<strong>na</strong>wake ni mabubu humu ndani hatuwezi kuongea? Lakini <strong>na</strong>jua tu<strong>na</strong>wezakuongea. Hata kama habari zetu tukiongea basi utakuta habari nzuri i<strong>na</strong>uzwa kwa mtu mwingine.Naomba waandishi wa habari muwe waadilifu katika kazi hii. Najua wa<strong>na</strong>wake wengi hapa niwasemaji. Sitaki muweke pi<strong>cha</strong> za ajabu ajabu kwenye magazeti za aki<strong>na</strong> baba mara wenginewamelala, sitaki. Wekeni pi<strong>cha</strong> za aki<strong>na</strong>mama ambao wa<strong>na</strong>zungumza katika Bunge hili. Hiyo<strong>na</strong>sema hiyo ni message send imekwenda hiyo. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kuhusu mambo ya utamaduni, mambo ya uasiliakutangaza wewe ni Mtanzania. Hivi leo hii ukitazama jamani kwenye TV huwezi kumfa<strong>na</strong>nishaMmarekani <strong>na</strong> Mtanzania kwa sababu vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>iga mambo mbalimbali kutoka nchi zawenzetu. Kwa nini msiige mambo mazuri? Ku<strong>na</strong> mambo mazuri, ku<strong>na</strong> vitenge vizuri tu mkisho<strong>na</strong>91


m<strong>na</strong>pendeza, kwa nini m<strong>na</strong>tembea uchi? Sasa tu<strong>na</strong>tangaza nini? Hata kama pale kwenye hizibongo flava wa<strong>na</strong>vyoimba wa<strong>na</strong>imba pale huwezi kuelewa a<strong>na</strong>imba Kiswahili, a<strong>na</strong>imbaKiingereza. Sasa imba kitu kijulikanike kama u<strong>na</strong>imba Kiswahili tujue u<strong>na</strong>imba Kiswahili, kamau<strong>na</strong>imba Kizaramo tukujue u<strong>na</strong>imba Kizaramo, kama u<strong>na</strong>imba Kiingereza basi tujue u<strong>na</strong>imbaKiingereza kuliko ku<strong>cha</strong>nganya lugha i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani? (Makofi/Kicheko)Leo ukienda kwenye mabango yote jamani mimi <strong>na</strong>sema si Watanzania wote wa<strong>na</strong>juaKiingereza, mabango mengi utakuta yameandikwa lugha ya Kiingereza, kwani haku<strong>na</strong> Taifalililoendelea kwa kuiga lugha za watu. Kwa nini tusienzi lugha yetu? (Makofi)Mimi <strong>na</strong>sema tuienzi lugha yetu aliyotuachia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Raiswetu wa kwanza, kwa sababu ku<strong>na</strong> watu wa<strong>na</strong>toka labda vijijini huko mikoani wa<strong>na</strong>kuja hapaDar es Salaam wa<strong>na</strong>tafuta shule labda shule a<strong>na</strong>weza kuipita mara tatu, tatu lakini a<strong>na</strong>kutabango limeandikwa Kiingereza hajui jamani. Kwa nini tusiwe kama Watanzania, kwani ukifika kwaMjerumani leo u<strong>na</strong>kuta a<strong>na</strong>ongea Kijerumani <strong>na</strong> a<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> mkalimani, kwa nini ukienda kwenyemaduka ya Kikorea kama Kikorea huwezi kuuziwa kitu dukani, kwa nini ukienda Japan u<strong>na</strong>kutaMjapani a<strong>na</strong>ongea Kijapani kama wewe hu<strong>na</strong> mkalimani huwezi kuuziwa kitu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi tutafikisha wapi hili Taifa ambalo tu<strong>na</strong>lia<strong>cha</strong> vija<strong>na</strong> ambaotu<strong>na</strong>waa<strong>cha</strong> tu<strong>na</strong>sema ni Taifa la kesho lakini mimi <strong>na</strong>sema kija<strong>na</strong> ni Taifa la leo. Hapo nimetoka.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu hawa waporaji wa kazi zawatoto wetu. Hawa wasanii wa<strong>na</strong>fanyakazi katika mazingira magumu. Sasa <strong>na</strong>sema mtu yeyote<strong>na</strong> <strong>na</strong>omba Bunge hili lipitishe Sheria atakayekamatwa <strong>na</strong> kazi ya msanii ambaye hajaitolea jashobasi achukuliwe hatua. Siyo apigwe faini ya 200,000 halafu arudi te<strong>na</strong> kwenda kuiba sitaki. Hawawatoto <strong>na</strong>taka waenziwe kwa kazi zao <strong>na</strong> wapate ajira. Kwa kweli vija<strong>na</strong> hawa wa<strong>na</strong>kata tamaa.Kukata tamaa kwa vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kwenda kwenye magenge. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli siungi mkono hoja hii mpaka vija<strong>na</strong> hawa wapateufumbuzi wake. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> kwa mi<strong>cha</strong>ngo yako mizuri ya kizalendo. (Makofi)MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mi <strong>na</strong>shukuru kupata <strong>na</strong>fasi hii yaku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. (Makofi)Awali ya yote <strong>na</strong>omba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia waislam wotetukamaliza kumi la rehema, <strong>na</strong>muomba Mwenyezi Mungu atulipe rehema kwa kumaliza siku kumihizi za awali. Lakini nimuombe Mwenyezi Mungu atuwezesha kuifunga Ramadhani hii kwa salama<strong>na</strong> amani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya shukrani hizo kwa Mwenyezi Mungu <strong>na</strong>ombani<strong>cha</strong>ngie Wizara hii <strong>na</strong> <strong>na</strong>omba nianze kwa kusema kwamba michezo ni kazi <strong>na</strong> michezo ni ajira.Mataifa yote duniani wa<strong>na</strong> michezo wa<strong>na</strong>faidika <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong>uwezo wa hatakusaidia mambo mbalimbali katika nchi nyingine kwa sababu ya vipato wa<strong>na</strong>vyopata kwasababu ya kazi za michezo.Lakini kwa nchi yetu ya Tanzania michezo i<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kama ni burudani ndio maa<strong>na</strong>haku<strong>na</strong> wachezaji wa michezo mbalimbali ambao wamestaafu michezo <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>mudu maishayao hivi leo. I<strong>na</strong>sikitisha kwamba mchezaji siku akitundika jezi a<strong>na</strong>kuwa ji<strong>na</strong> lake <strong>na</strong>lo limepotea.Vinginevyo labda kwa imani yake aseme kwamba bado ni<strong>na</strong> hamu ya kufundisha michezo fulanifulani katika nchi yangu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hata pale mchezaji a<strong>na</strong>popata bahati mbaya ndani ya michezoya kuwakilisha Taifa i<strong>na</strong>sikitisha kwamba haku<strong>na</strong> chochote ki<strong>na</strong>chomlinda kwa maslahi ya maishayake baada ya kupata bahati mbaya ya kuumia kwenye michezo. Naiomba Wizara izingatie92


jambo hili la kuhakikisha kwamba ku<strong>na</strong> bima kwa wachezaji wa<strong>na</strong>popata bahati mbaya katikamichezo hasa pale wa<strong>na</strong>powakilisha Taifa letu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, ukitaja Tanzania katika <strong>na</strong>fasi ya michezo maa<strong>na</strong> yake piau<strong>na</strong>izungumza Zanzibar lakini pia u<strong>na</strong>izungumza Tanganyika. Nchi hizi mbili zi<strong>na</strong> vyama vyao vyamichezo, kwa Zanzibar ku<strong>na</strong> ZFA ndio <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia mambo ya michezo Zanzibar. Lakinikwa Tanzania Bara ku<strong>na</strong> chombo ki<strong>na</strong>itwa TFF. Lakini Tanzania Bara kutumia neno hili la TFF <strong>na</strong>wakalipa tafsiri ya Tanzania kwamba ni Chama <strong>cha</strong> Mpira <strong>cha</strong> Tanzania hapa mimi <strong>na</strong>dhani sisahihi. Lakini kwa kuwa imezoeleka <strong>na</strong> ndio wa<strong>na</strong>vyoitumia wenzetu wa Tanzania Baraimepelekea kupoteza haki nyingi za Wazanzibar. (Makofi)MWENYEKITI: Ku<strong>na</strong> Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar. Hatu<strong>na</strong> Tanganyika.MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Mwenyekiti, samahani <strong>na</strong>omba iingie kwenyeHansard Tanzania Bara. Tanzania i<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo ya Kimataifa, TFF i<strong>na</strong>tumia ji<strong>na</strong> hilika<strong>na</strong> kwamba ni mwakilishi wa Tanzania. Lakini hata pale tu<strong>na</strong>popata misaada ama ruzukukutoka vyama vya mpira duniani (FIFA) ruzuku hizi au mgao huu u<strong>na</strong>okuja kwa ji<strong>na</strong> la Tanzaniau<strong>na</strong>ishia Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar hatuambulii chochote. Ni miaka mingi sasa FIFAimekuwa ikitoa fedha kwa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma <strong>na</strong> kwa sasa i<strong>na</strong>sadikika kwamba ni dola 500,000kwa mwaka, fedha hizi pia i<strong>na</strong>semeka<strong>na</strong> Tanzania tu<strong>na</strong>pata. Lakini Zanzibar sijui kama ku<strong>na</strong> hataasilimia ndogo i<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> fedha hizi. Taarifa niliyo<strong>na</strong>yo ni kwamba Zanzibarimefaidika kidogo hivi karibuni kwa fedha ambazo zilitumika kwa kuotesha nyasi katika uwanja waGombani Pemba. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kuikandamiza <strong>na</strong> kuidhalilisha Zanzibar kimichezo.Isingekuwa i<strong>na</strong>stahiki TFF kutumia koti la Jamhuri ya Muungano kama wakala/mhusika kwenyemichezo ya Kimataifa. Naomba sa<strong>na</strong> jambo hili lifikie mwisho <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo yaKimataifa kama Tanzania basi Zanzibar kwa maa<strong>na</strong> ya ZFA ishirikiane <strong>na</strong> Tanzania Bara (TFF) ilituone ni vipi tutakuwa tu<strong>na</strong>iwakilisha Tanzania kwenye michezo ya Kimataifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika suala la watalaam ndani ya michezo kwa Tanzaniatumekuwa <strong>na</strong> tabia ya Tanzania kuo<strong>na</strong> kwamba wenzetu wa Mataifa ya Ulaya kwamba wa<strong>na</strong>viwango vizuri <strong>na</strong> utaalam mzuri katika mambo ya michezo, mimi silikatai hilo. Ni kweli kwa sababuwenzetu walianza tangu awali wakiamini kwamba michezo ni kazi. Lakini kama tu<strong>na</strong>amini hivyo <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba wa<strong>na</strong>weza kuisaidia Tanzania si vibaya kuwa <strong>na</strong>o kama mako<strong>cha</strong> wa michezombalimbali. Lakini wakati huo huo ingekuwa vema sa<strong>na</strong> tukawachukua wazalendo wetutukawapeleka katika Mataifa hayo kwenda kupata <strong>na</strong> wao utalaam <strong>na</strong> ujuzi wa kuja kuisaidiaTanzania katika mambo haya ya michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong> wachezaji wa mpira wa miguu ambao walikuwa <strong>na</strong> maji<strong>na</strong>hapa Tanzania <strong>na</strong> baada ya kuo<strong>na</strong> kwamba wameshindwa kuendelea <strong>na</strong> michezo wameamuakulisaidia Taifa hili kwa fani hii waliyo<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> sasa ni mako<strong>cha</strong>. Tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> ambaowamesaidia sa<strong>na</strong> Taifa hili.Lakini tu<strong>na</strong>pomchukua ko<strong>cha</strong> wa kigeni kuja kumweka pale <strong>na</strong> ko<strong>cha</strong> mzalendo Juliomaa<strong>na</strong> ni kumdumaza Julio ama ko<strong>cha</strong> mzalendo katika fani ile ya kufundisha. Tu<strong>na</strong>pomfanyako<strong>cha</strong> wa kigeni kwamba yeye ndio awe ko<strong>cha</strong> mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kupunguza kiwango <strong>cha</strong>ufundishaji <strong>cha</strong> ko<strong>cha</strong> wetu mzalendo. Tatizo li<strong>na</strong>kuja kwamba mgeni yule a<strong>na</strong>poamua kuondokakwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote tu<strong>na</strong>fika mahali tu<strong>na</strong>kuwa tu<strong>na</strong>jiuliza tufanyeje kuziba pengo lililokuwepobaada ya kuondoka? Hali kadhalika kwa upande wa wachezaji tumekuwa <strong>na</strong> taratibu zakuchukua wachezaji <strong>na</strong> sheria i<strong>na</strong>sema kwamba timu i<strong>na</strong>ruhusiwa kuchukua wachezaji si zaidi yawatano, klabu iweze kusajili wachezaji wasiozidi watano wa kigeni, sawa sawa lakini mimi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitatizo, <strong>na</strong>ishauri Serikali kupitia Wizara kwamba kama ku<strong>na</strong> ulazima basi tuchukue angalauwachezaji wasiozidi watatu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa wale wa<strong>na</strong>oelewa mpira <strong>na</strong> hasa wale wachezaji <strong>na</strong>waliopitia kwenye kucheza mpira u<strong>na</strong>powachukua wachezaji watano wa kigeni ukawawekauwanjani, ukaweka kwenye kablu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba u<strong>na</strong>wachukua wachezaji wazalendo93


watano u<strong>na</strong>waweka bench. U<strong>na</strong>powaweka bench wazalendo u<strong>na</strong>ua viwango vyao vya mpira.Kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote mchezaji profession uliyemchukua u<strong>na</strong>pokosa<strong>na</strong> <strong>na</strong>ye kwa mkatabavinginevyo <strong>na</strong> mchezaji mzalendo tayari umemdumaza kiuwezo wake maa<strong>na</strong> yake u<strong>na</strong> kazi yakujiuliza te<strong>na</strong> kwamba nitawezaje kuziba pengo la position hii ambayo alikuwa a<strong>na</strong>cheza mgeniambaye amekimbia. Utaratibu huu u<strong>na</strong>dumaza viwango vya michezo kwa wachezaji wetu.(Makofi)Lakini kama hilo halitoshi tungekuwa <strong>na</strong> utaratibu wa kuibua vipaji vya wachezaji tanguwatoto wadogo tukaweza kuwaendeleza <strong>na</strong> wakafikia mahali tukawa tu<strong>na</strong>jua kwamba tukihitajiwachezaji eneo fulani tu<strong>na</strong>weza tukapata wachezaji wazuri wa kulitetea Taifa hili katika fani hii yamichezo. Naomba nizungumzie suala la Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kama ji<strong>na</strong> lake nichombo <strong>cha</strong> Taifa.MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Mbunge. (Makofi)MHE. HAMAD ALI HAMAD: Nakushukuru.MHE. JUMA S. NKAMIA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> kupata <strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong>mimi nitoe m<strong>cha</strong>ngo wangu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hoja iliyo mbele yetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nianze moja kwa moja <strong>na</strong> vyombo vya habari sijui nideclareinterest kuwa nilikuwa mwandishi wa habari lakini bado ni mwandishi wa habari, taalumahuwa haifi. Nianze kidogo kuzungumzia vyombo vya habari kama wenzangu waliotanguliawamesema. Vyombo vya habari vimefanya kazi kubwa sa<strong>na</strong> kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letutangu <strong>na</strong> baada ya Uhuru. Naamini vitaendelea kufanyakazi yake ipasavyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi kwa maoni yangu tu yapo mambo ma<strong>cha</strong>che sa<strong>na</strong>ambayo kama Taifa tukirekebisha vyombo vyetu vya habari vitafanya kazi yake vizuri sa<strong>na</strong>. LeoTanzania tu<strong>na</strong> Media Council of Tanzania, tu<strong>na</strong> Tanzania Media Fund, tu<strong>na</strong> Wizara/Serikali.Nilikuwa <strong>na</strong>jaribu kuangalia <strong>na</strong>o<strong>na</strong> hawa wa Tanzania Media Funds wa<strong>na</strong>toa ruzuku/misaadakuwasomesha waandishi wa habari kwa kiwango kikubwa. Lakini vilevile wamekuwa wakitoaruzuku kwa baadhi ya vyombo vya habari vya watu bi<strong>na</strong>fsi. Lengo ni kuboresha taaluma yenyeweya waandishi wa habari. Imani yangu <strong>na</strong> niombe Wizara pamoja <strong>na</strong> Serikali kama watashirikia<strong>na</strong>vizuri kati ya Tanzania Media Funds <strong>na</strong> Media Council of Tanzania <strong>na</strong>amini tutafanikiwa <strong>na</strong> tutafikamahali pazuri zaidi kuboresha taaluma hii ya waandishi wa habari. (Makofi)Kwa mtazamo wangu <strong>na</strong> hali ni<strong>na</strong>vyoio<strong>na</strong> niliwahi kushauri siku moja, <strong>na</strong>shauri te<strong>na</strong> leo nivizuri tukawa <strong>na</strong> Sera ya Habari ndani ya Tanzania. Kwa nini <strong>na</strong>sema hivi, sasa hivi vyombo vyetuvya habari vi<strong>na</strong>kwenda tu, vingi vi<strong>na</strong>andika maoni badala ya habari. Ni<strong>na</strong> wasiwasi kwambakama ku<strong>na</strong> baadhi ya watu watafariki dunia katika nchi hii baadhi ya vyombo vya habari <strong>na</strong>vyovitakufa. Vyombo vya habari vi<strong>na</strong>andika maoni badala ya habari kitu ambacho <strong>na</strong>dhani tukiwa<strong>na</strong> Sera ya Habari tutafanikiwa sa<strong>na</strong>. (Makofi)Kwa mfano Rwanda mwaka 1994 leo wapo waandishi wa habari <strong>na</strong> wahariri watatuwalikwenda kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda ya Makosa ya Ji<strong>na</strong>i kwa sababuvyombo hivi vili<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> yale matatizo ya mwaka 1994 pale Rwanda. Tukiachia hali hii hapakwetu kama i<strong>na</strong>vyokwenda uwezekano wa kufika huko ni mkubwa <strong>na</strong> sisi ni bi<strong>na</strong>damu pia.Nadhani jambo hili lazima tuchukue hatua haraka sa<strong>na</strong> kama Serikali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watu wa<strong>na</strong>zungumzia kuhusu rushwa kwenye mediai<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> ikawepo. Lakini sisi ndio tu<strong>na</strong>oendekeza waandishi wa habari, tu<strong>na</strong>wapa sisi fedha iliwatuandike vizuri kutujenga lakini ni hawa hawa watakaotubomoa pia kesho. (Makofi)Katika nchi zilizoendelea, mimi bahati nzuri nimefanyakazi kwenye media, giants zoteduniani, wakati wa vita vya Iraq nilikuwa <strong>na</strong>fanya kazi BBC pale ilipokuja vita ya Iraq vyombovyote vya habari vya Uingereza vilikuwa vi<strong>na</strong>i-support nchi yao kwamba tu<strong>na</strong>kwenda kupiga<strong>na</strong>kwa ajili ya Taifa la Uingereza tofauti <strong>na</strong> kwetu sasa hali ilivyo. Waziri Mkuu siku a<strong>na</strong>hitimisha Bajetiyake hapa lilikuwa ni jambo zito sa<strong>na</strong>, lakini vyombo vya habari hasa magazeti, kichwa <strong>cha</strong> habari94


<strong>na</strong> yakizungumza habari ya interest ya Taifa, walikuwa wa<strong>na</strong>zungumza habari za watu wa<strong>cha</strong>che.Hili lazima tuliangalie. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nikitoka huko nije kidogo kwenye Baraza la Michezo la Taifa(BMT) sheria za michezo zi<strong>na</strong>badilika siku hata siku. Huwezi kuwa <strong>na</strong> watalaam wa mwaka 1962 leoukategemea wata-produce kitu kizuri kwa maendeleo ya Taifa hili katika michezo. Hatu<strong>na</strong> fungula kutosha lililotengwa kwa ajili ya kuwasomesha watalaam wetu, Baraza la Michezo lilishamalizamuda wake kutoka mwaka 2009, jengo lao walilo<strong>na</strong>lo pale li<strong>na</strong>vuja, mvua ikiwa i<strong>na</strong>nyeshawa<strong>na</strong>kimbia kwa sababu zile nyaya za umeme pale zi<strong>na</strong>leta matatizo. (Makofi)Mimi nilikuwa <strong>na</strong>shauri tu<strong>na</strong> uwanja mzuri sa<strong>na</strong> pale uwanja wa Taifa, tu<strong>na</strong> vyumba zaidiya mia moja <strong>na</strong> kitu kwa nini BMT wasihamishiwe pale wakatumia zile ofisi pale TFF. AmesemaMheshimiwa Hamad kwamba TFF wa<strong>na</strong>pata fedha kutoka FIFA, ni ruzuku ambayo kesho <strong>na</strong> keshokubwa i<strong>na</strong>weza ikafa. Lakini fedha hizi haziendi katika mikoa ipasavyo. Kwa mujibu wakumbukumbu zangu vyama vya mikoa vimepewa shilingi milioni mbili tu <strong>na</strong> kompyuta tangu fedhahizi zianze kutolewa <strong>na</strong> Tanzania Football Federation. Viongozi wa vyama vya michezo vya mikoakazi yao ni kwenda kupiga kura kum<strong>cha</strong>gua Rais wa TFF. Hatuwezi kuendeleza michezo <strong>na</strong>m<strong>na</strong>hiyo. Ile fedha ishuke huku kwenye grassroots ili tuweze kuwatengeneza vija<strong>na</strong> katika mikoa tuwe<strong>na</strong> timu nzuri za Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, timu ya Taifa ya Tanzania zamani Serikali ilikuwa i<strong>na</strong>toa ruzukutimu i<strong>na</strong>pokwenda kwenye mashindano ya Kimataifa, siku hizi haipo. Nchi nyingine zote zilizopigahatua maendeleo ya michezo katika timu zao za Taifa ku<strong>na</strong> fedha zi<strong>na</strong>tengwa kwa ajili yamaandalizi ya timu za Taifa. Ningeomba sa<strong>na</strong> Serikali ione hili, michezo ni ajira <strong>na</strong> sisitu<strong>na</strong>vyofahamu kwamba michezo umuhimu wake leo kila Mbunge, Bunge likivunjwa ataondoka<strong>na</strong> mipira kwenda jimboni kwake hapa kwa ajili ya vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ompigia kura kule. NingeombaSerikali itazame jambo hili iweze kusaidia ili timu zetu za Taifa zifanye vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watalaam wa<strong>na</strong>okuja kutoka nje, ikiwa tu<strong>na</strong> watalaam wapopale watu kutoka Cuba, tu<strong>na</strong> Paulsen wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu tu<strong>na</strong> wengine. Ku<strong>na</strong>mwingine a<strong>na</strong>itwa Paulsen wa vija<strong>na</strong> tungewa-task hawa <strong>na</strong> TFF wakisaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wizara kwambawa<strong>na</strong>saidia kuwafundisha mako<strong>cha</strong> wetu wa ndani walau kozi fupi fupi ili wa<strong>na</strong>poondoka at leasttuwe <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> kadhaa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, kwanza <strong>na</strong>penda niwashukuru wote kwa ushirikianowenu kwa mi<strong>cha</strong>ngo mizuri mliyoonyesha kwa ajili ya nchi yetu. Kabla sijaahirisha shughuli <strong>na</strong>ombaniwataje ambao kesho baada ya Maswali <strong>na</strong> Majibu wata<strong>cha</strong>ngia. Tutaanza <strong>na</strong> MheshimiwaSusan Lyimo, Mheshimiwa Moza Saidy pia Mheshimiwa Profesa Kulikoyela Kahigi <strong>na</strong> wenginewatatajwa <strong>na</strong> watakaokuwa mezani kesho.Naahirisha shughuli za Bunge hadi kesho saa tatu asubuhi. (Makofi)(Saa 12.29 jioni Bunge liliahirishwa hadi siku ya Ijumaa, <strong>Tarehe</strong> 12 Agosti, 20<strong>11</strong> saa tatu asubuhi)95

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!