12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

· Kusimamia usambazaji wa ma<strong>cha</strong>pisho, majarida <strong>na</strong> vitabu vya Kiswahili katika vituo vyautamaduni vya ofisi za ubalozi wa Tanzania zilizoko nje ya nchi pamoja <strong>na</strong> kutathminiufundishaji wa Kiswahili katika vituo hivyo.· Kufanya utafiti wa lugha za asili katika jamii 12 nchini.· Kuendesha mafunzo ya lugha ya Kiswahili sanifu kwa Waandishi <strong>na</strong> Wahariri wa Vyombovya Habari <strong>na</strong> kuendesha maonyesho ya ma<strong>cha</strong>pisho ya lugha ya Kiswahili Kitaifa <strong>na</strong>Kimataifa.· Kuratibu <strong>na</strong> kusimamia maadhimisho ya siku ya Utamaduni Duniani.· Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha Mpango wa Kudumu wa Utamaduni katika kanda sita zaUtamaduni.· Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha Tamasha la 30 la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wa Mtanzanialitakalofanyika huko Bagamoyo.· Kusimamia ujenzi wa Jumba la Utamaduni eneo la Kiromo, Mkoa wa Pwani. Kushughulikiaumilikishwaji wa eneo kitakapojengwa Kituo <strong>cha</strong> Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Barala Afrika <strong>na</strong> kuandaa vikao vya Kamati ya uongozi vitakavyopitia <strong>na</strong> kujadili utekelezaji wam<strong>cha</strong>kato wa ujenzi.· Kukusanya taarifa muhimu zi<strong>na</strong>zohusu Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kwakushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wizara, Idara <strong>na</strong> Taasisi mbalimbali.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Baraza la KiswahiliTanzania (BAKITA) limepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa”, vipindi 52 vya “Kumepambazuka”katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili” katika televisheni.· Kuendelea kusoma Miswada ya vitabu vya taaluma <strong>na</strong> kuipatia ithibati ya lugha.· Kuratibu <strong>na</strong> kutoa huduma ya tafsiri <strong>na</strong> ukalimani katika mikutano ya kitaifa <strong>na</strong> kimataifa<strong>na</strong> shughuli za Mashirika, makampuni <strong>na</strong> watu bi<strong>na</strong>fsi.· Kuendelea kuchunguza makosa ya Kiswahili ya<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> vyombo vya habari <strong>na</strong>watumiaji wengine <strong>na</strong> kusambaza masahihisho yake.· Kukarabati <strong>na</strong> kuboresha baadhi ya majengo ya NIC yaliyopo Kijitonyama, Dar esSalaam, yaliyonunuliwa ili yaweze kukidhi mahitaji ya kiofisi ili Balaza la Kiswahili Tanzania(BAKITA) lihamie katika majengo hayo <strong>na</strong> kuyatumia kama ofisi zake mpya.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, BASATA imepangakutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuratibu midahalo 52 kupitia Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a kwa Wasanii, Waandishi wa Habari <strong>na</strong>Wadau wa Sa<strong>na</strong>a 3,600.· Kuendesha mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a kwa Walimu 100 katika Wilaya mbili za Mkoa wa Morogorokuhusu utambaji wa hadithi <strong>na</strong> uchoraji.· Kuratibu <strong>cha</strong>guzi za viongozi wa mashirikisho manne ya Sa<strong>na</strong>a.· Kuandaa mkutano wa wahisani wa utunishaji Mfuko kwa ajili ya kutekeleza MpangoMkakati wa Baraza la Sa<strong>na</strong>a Tanzania (BASATA) wa mwaka 20<strong>11</strong> hadi 2014.29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!