12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Matangazo ya kazi <strong>na</strong>anza <strong>na</strong> tangazo la Mheshimiwa Waziri wa Kilimo, Chakula <strong>na</strong>Ushirika Mheshimiwa Profesa Jumanne Abdallah Maghembe ambaye a<strong>na</strong>tangaza kwamba kikao<strong>cha</strong> wadau wa Korosho kitafanyika hapa Dodoma, Jumamosi tarehe 20 Agosti, 20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Profesa David Homeli Mwakyusa, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu yaBunge ya Kilimo, Mifugo <strong>na</strong> Maji, a<strong>na</strong>tangaza kuwa kikao <strong>cha</strong> Kamati ya Kudumu ya Bunge yaKilimo, Mifugo <strong>na</strong> Maji, a<strong>na</strong>watangazia Wajumbe wa Kamati yake kwamba, saa 7.15 m<strong>cha</strong><strong>na</strong> leokutakuwa <strong>na</strong> kikao <strong>cha</strong> Kamati hiyo katika ukumbi wa Pius Msekwa C.Makamu Mwenyekiti, Dia<strong>na</strong> M. Chilolo, Kamati ya Nishati <strong>na</strong> Madini a<strong>na</strong>waombaWajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati <strong>na</strong> Madini tarehe <strong>11</strong> Agosti, kutakuwa <strong>na</strong>kikao <strong>cha</strong> Kamati, ukumbi <strong>na</strong>mba 231 bila kukosa.Baada ya matangazo hayo, nitamwita… Karibu.MWONGOZO <strong>WA</strong> SPIKAMHE. JOHN J. MNYIKA: Mwongozo wa Spika!NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mnyika u<strong>na</strong>simama mahali pako kwa kawaida nitakuo<strong>na</strong> hujahaja ya kuweka microphone on, nikishakuo<strong>na</strong> nitakupa <strong>na</strong>fasi. Sasa <strong>na</strong>kupa <strong>na</strong>fasi!Kwa Mbunge mwingine yeyote, usiwashe microphone mpaka nimekuruhusu ufanye hivyo.Mheshimiwa Mnyika!MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>kushukuru. Naomba mwongozo wakokwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni ya 68(7) <strong>na</strong> Kanuni ya 133.Kanuni ya 68(7) i<strong>na</strong>sema; “Halikadhalika Mbunge a<strong>na</strong>weza kusimama wakati wowoteambapo haku<strong>na</strong> Mbunge mwingine a<strong>na</strong>yesema <strong>na</strong> kuomba Mwongozo wa Spika kuhusu jamboambalo limetokea mapema Bungeni ili Spika atoe ufafanuzi kama jambo hilo li<strong>na</strong>ruhusiwa <strong>na</strong>kama haliruhusiwi kwa mujibu wa Kanuni <strong>na</strong> taratibu za Bunge <strong>na</strong> majibu ya Spika yatatolewapapo kwa papo au kadri atakavyoo<strong>na</strong> i<strong>na</strong>faa.”Kanuni ya 133 i<strong>na</strong>sema; ‘……NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> huja haja ya kwenda huko kwa kuwa hii imekidhi.MHE. JOHN J. MNYIKA: Kanuni ya 133(1) i<strong>na</strong>sema; “Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kutoa taarifaya maandishi kwa Spika ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu kwa mujibuwa Ibara ya 53(a) ya Katiba.Mheshimiwa Naibu Spika, kumekuwa <strong>na</strong> kawaida katika kipindi <strong>cha</strong> maswali <strong>na</strong> majibukwa Waziri Mkuu, kwa Waziri Mkuu kutoa majibu yenye upotoshaji…NAIBU SPIKA: Hebu kaa chini! Mheshimiwa John Mnyika, <strong>na</strong>waombeni tuheshimu sa<strong>na</strong>kikao hiki. Kanuni u<strong>na</strong>yotaka kuitumia hiyo ya huko mbele i<strong>na</strong>sema: “Mbunge yeyote awezakuleta taarifa ya maandishi” kama hivyo ndivyo u<strong>na</strong>takiwa ukaandike uilete katika maandishi.Huwezi kutumia fursa hiyo hiyo badala ya kuleta taarifa ya maandishi, wewe u<strong>na</strong>anza kusemahumu ndani. Ni kutumia vibaya Kanuni. Usitikise kichwa! Hapa<strong>na</strong>! U<strong>na</strong>chotakiwa utumie hapa nihiyo uliyoanza <strong>na</strong>yo Kanuni ya 7 ya Mwongozo, lakini kama ni ya maandishi hebu isome te<strong>na</strong>.Irudie hiyo ya maandishi!MHE. JOHN J. MNYIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba unisikilize.NAIBU SPIKA: Isome te<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wabunge wote wafungue Kanuni zao ili tuendelee.16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!