uchoraji <strong>na</strong> utambaji wa hadithi kwa watoto 200 wa shule nne (4) za msingi kutoka mkoa wa Dares Salaam.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniiliundwa kwa Sheria ya Bunge Na. 4 ya mwaka 1976 kwa lengo la kusimamia maadili katika tasniaya filamu nchini, utoaji wa vibali vya utengenezaji wa filamu <strong>na</strong> leseni za kumbi za sinema. Katikakipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniimesambaza jumla ya <strong>na</strong>kala 150 za Kanuni <strong>na</strong> Sheria ya Filamu Na.4 ya mwaka 1976 kwa wadaumbalimbali. Bodi imeendesha semi<strong>na</strong> kwa wasambazaji wa filamu ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirikisho laFilamu <strong>na</strong> Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni, pia imefahamisha wadau wengine kuhusuSheria hii. Kazi nyingine zilizofanyika ni pamoja <strong>na</strong> kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Filamu <strong>na</strong>Michezo ya Jukwaani <strong>na</strong> kuandaa Waraka wa Baraza la Mawaziri, <strong>na</strong> baadaye kupata Sheriaitakayolinda maadili ya Taifa kupitia tasnia ya filamu.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi imeandaa orodha ya filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa nchinikwa lengo la kufahamu idadi ya filamu, maudhui, watengenezaji, wasambazaji <strong>na</strong> mapatoya<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> eneo hili. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hatua hiyo, filamu 96 zilitengenezwa, <strong>na</strong>kala 66,800zilizalishwa <strong>na</strong> wastani wa shillingi 1,226,500,000/= zilipatika<strong>na</strong>. Filamu 50 za African Magic ziliuzwakwa takribani shillingi 57,765,000/= <strong>na</strong> nyingine kupelekwa Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda,Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Zambia, Malawi, Madagascar, Nigeria, Italia, Australia,Marekani <strong>na</strong> Ufaransa. Bodi imekagua filamu 105 <strong>na</strong> Miswada ya Filamu 65 <strong>na</strong> kuiweka katikamadaraja. Filamu 5 kati ya hizo zilipewa Daraja la R kwa maa<strong>na</strong> ya kukataza filamu hizokuoneshwa katika hadhara kwa kuwa zimekiuka maadili ya Kitanzania. Kadhalika imetoa vibali 53vya utengenezaji wa filamu kwa watengenezaji wa filamu kutoka nje ya nchi. Bodi imeendeleakutoa ushauri kwa wadau wake ili kuinua viwango <strong>na</strong> kuboresha kazi zao kimaadili.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi ya Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa) ilianzishwatarehe 2 Novemba, 2007 kwa Tangazo la Serikali Na. 220 kwa mujibu wa Sheria ya kuanzishwa kwaWakala wa Serikali Na. 30 ya mwaka 1997. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>,TaSuBa imeendesha mafunzo ya Stashahada kwa washiriki 122 <strong>na</strong> mafunzo ya muda mfupi kwawasanii 80 walioko kazini. Aidha imekamilisha mitaala ya Shahada ya Kwanza kwa masomo yaSa<strong>na</strong>a za Maonyesho <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi. Pia, imekamilisha kuandaa mtaala wa mafunzo yaCheti ya Uzalishaji <strong>na</strong> Usanifu wa Muziki. Mtaala huu utawasilishwa Baraza la Taifa la Mafunzo yaUfundi ili kupata ithibati <strong>na</strong> kwamba TaSUBa i<strong>na</strong>tarajia kuanza kutoa mafunzo hayo mwaka wamasomo wa 20<strong>11</strong>/12.Mheshimiwa Naibu Spika, TaSUBa imeendeleza ushirikiano <strong>na</strong> washirika wake, kikiwemo ChuoKikuu <strong>cha</strong> Stavanger <strong>na</strong> Shule ya Utamaduni ya Stavanger ya Norway chini ya mradi wa NorwayTanzania (NOTA). Awamu ya pili ya mradi huu ilikwisha mwezi Juni 20<strong>11</strong>. Hata hivyo, Taasisiimeandaa andiko la mradi wa NOTA awamu ya tatu. Andiko hili litawasilishwa kwa Serikali yaNorway ambao ni wahisani wa mradi huu. Taasisi iliendesha Tamasha la Sa<strong>na</strong>a la 29 la Bagamoyo,lililofanyika tarehe 27 Septemba, hadi tarehe 2 Oktoba, 2010 <strong>na</strong> kaulimbiu yake ilikuwa ‘Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>Utamaduni katika kukuza <strong>na</strong> kuimarisha Demokrasia’.Mheshimiwa Naibu Spika, Mfuko wa Utamaduni Tanzania ni chombo ambachokilianzishwa <strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wahisani wa nje ili kusaidia vikundi vya wasanii vyenye miradiya maendeleo. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko umeendeleza vituo vyautamaduni <strong>na</strong> masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong> Morogoro kwa kulipia ada za viwanja <strong>na</strong>kuanza maandalizi ya utengenezaji wa sehemu za kufanyia maonyesho wakati wa Maadhimishoya Nane Nane. Kadhalika, Mfuko umeendeleza viwanda vidogovidogo asilia vya nguo katikaMikoa ya Tanga, Singida, Ruvuma <strong>na</strong> Pemba.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Wizara kupitiaIdara ya Maendeleo ya Michezo imeboresha Uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam kwa kuwekaviti vya kukaa watazamaji 20,000. Ukarabati huo u<strong>na</strong>endelea. Kadhalika, Wizara iligharamia ushirikiwa timu za Taifa zenye wachezaji 30 <strong>na</strong> viongozi 13 wa michezo ya Riadha, Kuogelea, Mpira waMeza, Ngumi katika Michezo ya Jumuiya ya Madola iliyofanyika huko India. Aidha, ilishiriki katikamikutano ya kimataifa ya kujenga uwezo <strong>na</strong> mahusiano ya kimichezo Kimataifa. Washiriki wakuu26
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Barani Afrika, TAFISA CABOS <strong>na</strong> Jumuiya ya Madola. Pia, Wizaraimetoa huduma mbalimbali kwa mako<strong>cha</strong> wageni wa michezo ya Riadha, Ngumi, Netiboli, Judo<strong>na</strong> Mpira wa Miguu kwa lengo la kuinua viwango vya michezo hiyo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imefanya kazi ya kudurusu Katiba za Vyama vyaMichezo 55 <strong>na</strong> kusajili vyama, vituo <strong>na</strong> vilabu vya michezo 299. Kutoa huduma ya tiba <strong>na</strong> kinga <strong>na</strong>upimaji wa wachezaji wa michezo ya mpira wa miguu, ngumi za ridhaa, netiboli, mpira wa mikono<strong>na</strong> mpira wa kikapu. Kadhalika, imeendelea kutoa huduma ya ushauri kwa wadau kuhusumasuala mbalimbali ya michezo, kujenga bweni la wa<strong>na</strong>funzi lenye uwezo wa kulala wa<strong>na</strong>funzi 64<strong>na</strong> kuweka umeme wa gridi ya Taifa katika Chuo <strong>cha</strong> Maendeleo ya Michezo kilichoko MalyaMkoani Mwanza. Wizara imeendelea kutoa mafunzo ya Stashahada ya ufundishaji Michezo <strong>na</strong>Stashahada ya Uongozi wa Michezo katika Chuo hiki. Pia imeendelea kutoa mafunzo ya mudamfupi ya uongozi <strong>na</strong> utawala katika michezo, ufundishaji <strong>na</strong> uamuzi katika vituo vya michezo vyaKanda ya Arusha, Songea <strong>na</strong> Dar es Salaam ambapo jumla ya wataalamu <strong>na</strong> Walimu wamichezo 230 walipata mafunzo hayo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imeendelea <strong>na</strong> zoezi la kuwapandisha vyeo watumishi wa<strong>na</strong>ostahilikulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> miundo ya utumishi ya kada zao <strong>na</strong> kwa kuzingatia Sera ya Menejimenti <strong>na</strong> Ajira katika Utumishi waUmma ya mwaka 1999 <strong>na</strong> 2008. Katika mwaka wa 2010/20<strong>11</strong>, watumishi 47 walipandishwa vyeo, watumishi 12walithibitishwa kazini <strong>na</strong> watumishi 13 waliajiriwa katika <strong>na</strong>fasi mbalimbali kupitia Sekretarieti ya Ajira. Aidha, Wizaraimewezesha kutoa mafunzo kwa Watumishi 49, kati ya hao 39 wamepata mafunzo ya muda mfupi ndani <strong>na</strong> nje yanchi <strong>na</strong> watumishi 10 wa<strong>na</strong>hudhuria mafunzo ya muda mrefu ndani ya nchi. Katika mwaka 2010/20<strong>11</strong>, Wizaraimekamilisha uandaaji wa Miundo ya Utumishi ya Kada za Maofisa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Miundo hii imezingatia matakwa <strong>na</strong> mahitaji ya watumishi hawa ndani ya Wizara <strong>na</strong> Mamlaka zaMikoa <strong>na</strong> Serikali za Mitaa. Miundo hii tayari imewasilishwa katika Ofisi ya Rais, Menejimenti yaUtumishi wa Umma, ambayo kupitia Baraza Kuu la Utumishi Serikalini itairidhia ili ianze kutumiwa <strong>na</strong>Mamlaka za Ajira nilizozitaja.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuimarisha Utawala Bora <strong>na</strong> ushirikishwaji wa WafanyakaziSehemu za kazi, Wizara imekuwa ikifanya vikao vya Baraza la Wafanyakazi ili kuweza kutatua kerombalimbali zi<strong>na</strong>zowakabili watumishi wa Wizara. Aidha, Wizara imehakikisha kwamba Watumishiwapya waliojiunga <strong>na</strong> Utumishi wa Umma kwa mara ya kwanza wa<strong>na</strong>pewa mafunzo elekeziambayo lengo lake ni kuwapa mwelekeo wa utendaji katika Serikali ikiwemo kuwafahamishamatarajio ya mwajiri, taratibu za utumishi <strong>na</strong> Maadili katika Utumishi wa Umma.Mheshimiwa Naibu Spika, ili kuhakikisha kuwa rasilimali za Wizara zi<strong>na</strong>tumika vizuri <strong>na</strong> kwamadhumuni yaliyowekwa, Wizara imeendelea kutumia Kamati ya Kuratibu, Kusimamia <strong>na</strong> KudhibitiMapato <strong>na</strong> Matumizi ya Serikali pamoja <strong>na</strong> Kamati ya Ukaguzi ya Wizara kuhakikisha ku<strong>na</strong>kuwepomatumizi sahihi ya fedha zilizotengwa kutekeleza shughuli mbalimbali. Aidha, Wizara imeendeleakusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2001 kama ilivyorekebishwamwaka 2004 pamoja <strong>na</strong> Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2001 kwa lengo la kupunguza mianya yarushwa <strong>na</strong> kutoa huduma zenye viwango vi<strong>na</strong>vyokubalika.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Habari, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekelezayafuatayo:-· Kukusanya maoni ya wa<strong>na</strong>nchi kupitia Tovuti ya Wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> kufuatilia ili kuo<strong>na</strong> hoja hizo zi<strong>na</strong>patiwa majibustahiki.· Kuratibu shughuli za Vitengo vya Habari, Elimu <strong>na</strong> Mawasiliano, kutoa mafunzo ya utoaji habari za Serikalikwa maofisa habari wa vitengo hivyo katika Wizara, Idara zi<strong>na</strong>zojitegemea, Wakala za Serikali, Taasisi zaUmma, Mashirika ya Umma <strong>na</strong> Serikali za Mitaa.· Kuendeleza mipango <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kuanzisha mtandao wa kulinda <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong> popote dunianikupitia mradi wa “e-commerce”. Mtandao huo utawawezesha wadau kupata pi<strong>cha</strong> hizi popote walipokwa gharama <strong>na</strong>fuu kutoka katika maktaba ya pi<strong>cha</strong> lakini pia utalinda pi<strong>cha</strong> hizo zisiibiwe.27
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest