12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

uchoraji <strong>na</strong> utambaji wa hadithi kwa watoto 200 wa shule nne (4) za msingi kutoka mkoa wa Dares Salaam.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniiliundwa kwa Sheria ya Bunge Na. 4 ya mwaka 1976 kwa lengo la kusimamia maadili katika tasniaya filamu nchini, utoaji wa vibali vya utengenezaji wa filamu <strong>na</strong> leseni za kumbi za sinema. Katikakipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaaniimesambaza jumla ya <strong>na</strong>kala 150 za Kanuni <strong>na</strong> Sheria ya Filamu Na.4 ya mwaka 1976 kwa wadaumbalimbali. Bodi imeendesha semi<strong>na</strong> kwa wasambazaji wa filamu ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirikisho laFilamu <strong>na</strong> Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni, pia imefahamisha wadau wengine kuhusuSheria hii. Kazi nyingine zilizofanyika ni pamoja <strong>na</strong> kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Filamu <strong>na</strong>Michezo ya Jukwaani <strong>na</strong> kuandaa Waraka wa Baraza la Mawaziri, <strong>na</strong> baadaye kupata Sheriaitakayolinda maadili ya Taifa kupitia tasnia ya filamu.Mheshimiwa Naibu Spika, Bodi imeandaa orodha ya filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa nchinikwa lengo la kufahamu idadi ya filamu, maudhui, watengenezaji, wasambazaji <strong>na</strong> mapatoya<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> eneo hili. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hatua hiyo, filamu 96 zilitengenezwa, <strong>na</strong>kala 66,800zilizalishwa <strong>na</strong> wastani wa shillingi 1,226,500,000/= zilipatika<strong>na</strong>. Filamu 50 za African Magic ziliuzwakwa takribani shillingi 57,765,000/= <strong>na</strong> nyingine kupelekwa Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda,Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Zambia, Malawi, Madagascar, Nigeria, Italia, Australia,Marekani <strong>na</strong> Ufaransa. Bodi imekagua filamu 105 <strong>na</strong> Miswada ya Filamu 65 <strong>na</strong> kuiweka katikamadaraja. Filamu 5 kati ya hizo zilipewa Daraja la R kwa maa<strong>na</strong> ya kukataza filamu hizokuoneshwa katika hadhara kwa kuwa zimekiuka maadili ya Kitanzania. Kadhalika imetoa vibali 53vya utengenezaji wa filamu kwa watengenezaji wa filamu kutoka nje ya nchi. Bodi imeendeleakutoa ushauri kwa wadau wake ili kuinua viwango <strong>na</strong> kuboresha kazi zao kimaadili.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi ya Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa) ilianzishwatarehe 2 Novemba, 2007 kwa Tangazo la Serikali Na. 220 kwa mujibu wa Sheria ya kuanzishwa kwaWakala wa Serikali Na. 30 ya mwaka 1997. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>,TaSuBa imeendesha mafunzo ya Stashahada kwa washiriki 122 <strong>na</strong> mafunzo ya muda mfupi kwawasanii 80 walioko kazini. Aidha imekamilisha mitaala ya Shahada ya Kwanza kwa masomo yaSa<strong>na</strong>a za Maonyesho <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi. Pia, imekamilisha kuandaa mtaala wa mafunzo yaCheti ya Uzalishaji <strong>na</strong> Usanifu wa Muziki. Mtaala huu utawasilishwa Baraza la Taifa la Mafunzo yaUfundi ili kupata ithibati <strong>na</strong> kwamba TaSUBa i<strong>na</strong>tarajia kuanza kutoa mafunzo hayo mwaka wamasomo wa 20<strong>11</strong>/12.Mheshimiwa Naibu Spika, TaSUBa imeendeleza ushirikiano <strong>na</strong> washirika wake, kikiwemo ChuoKikuu <strong>cha</strong> Stavanger <strong>na</strong> Shule ya Utamaduni ya Stavanger ya Norway chini ya mradi wa NorwayTanzania (NOTA). Awamu ya pili ya mradi huu ilikwisha mwezi Juni 20<strong>11</strong>. Hata hivyo, Taasisiimeandaa andiko la mradi wa NOTA awamu ya tatu. Andiko hili litawasilishwa kwa Serikali yaNorway ambao ni wahisani wa mradi huu. Taasisi iliendesha Tamasha la Sa<strong>na</strong>a la 29 la Bagamoyo,lililofanyika tarehe 27 Septemba, hadi tarehe 2 Oktoba, 2010 <strong>na</strong> kaulimbiu yake ilikuwa ‘Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>Utamaduni katika kukuza <strong>na</strong> kuimarisha Demokrasia’.Mheshimiwa Naibu Spika, Mfuko wa Utamaduni Tanzania ni chombo ambachokilianzishwa <strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wahisani wa nje ili kusaidia vikundi vya wasanii vyenye miradiya maendeleo. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko umeendeleza vituo vyautamaduni <strong>na</strong> masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong> Morogoro kwa kulipia ada za viwanja <strong>na</strong>kuanza maandalizi ya utengenezaji wa sehemu za kufanyia maonyesho wakati wa Maadhimishoya Nane Nane. Kadhalika, Mfuko umeendeleza viwanda vidogovidogo asilia vya nguo katikaMikoa ya Tanga, Singida, Ruvuma <strong>na</strong> Pemba.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Wizara kupitiaIdara ya Maendeleo ya Michezo imeboresha Uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam kwa kuwekaviti vya kukaa watazamaji 20,000. Ukarabati huo u<strong>na</strong>endelea. Kadhalika, Wizara iligharamia ushirikiwa timu za Taifa zenye wachezaji 30 <strong>na</strong> viongozi 13 wa michezo ya Riadha, Kuogelea, Mpira waMeza, Ngumi katika Michezo ya Jumuiya ya Madola iliyofanyika huko India. Aidha, ilishiriki katikamikutano ya kimataifa ya kujenga uwezo <strong>na</strong> mahusiano ya kimichezo Kimataifa. Washiriki wakuu26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!