12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kamati, watafute kwa nini hili tatizo lipo <strong>na</strong> wafanye jitihada ili limalizike <strong>na</strong> huyu Katibu Mkuuarudishwe kwenye <strong>na</strong>fasi yake. (Makofi)Wa<strong>cha</strong> sisi tulichukue Kibunge, maa<strong>na</strong> Wizara wameshindwa <strong>na</strong> Baraza wameshindwa.Wa<strong>cha</strong> sisi katika <strong>na</strong>fasi yetu kwa kutumia Kamati yetu, <strong>na</strong> Mheshimiwa Nkamia waifanye hiyo kazi.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa football ni<strong>na</strong> kila sababu ya kumpongezaMheshimiwa Tenga kwa kazi nzuri ambayo a<strong>na</strong>ifanya toka ameingia kwenye uongozi wa TFF,amefanya mambo mengi sa<strong>na</strong>. Najua <strong>cha</strong>ngamoto zipo. Najua mapungufu yapo, lakini ukweli<strong>na</strong>sema amefanya kazi nzuri <strong>na</strong> yako mafanikio makubwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, huko nyuma, mimi nilikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji waFAT Taifa, kwa hiyo, <strong>na</strong>yafahamu. Sisi tulipokuwa pale, ukilinganisha <strong>na</strong> sasa yako mafanikio mengitu. Kwa mfano, ratiba <strong>na</strong> kalenda ya football sasa hivi u<strong>na</strong>kwenda sambamba <strong>na</strong> FIFAkiulimwengu mzima. Mashindano ya kirafiki, haya mashindano rasmi ya klabu, friendly matches,yote haya sasa hivi tu<strong>na</strong>kwenda in line <strong>na</strong> wenzetu wa FIFA.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini toka ameingia Tenga, moja ya problem ambayo ilikuweponi kwamba, kulikuwa haku<strong>na</strong> imani kwa Chama <strong>cha</strong> Mpira kutoka kwa Wafadhili <strong>na</strong> Wahisani, <strong>na</strong>matokeo yake tulikuwa hatupati ufadhili wala uhisani kwenye Chama <strong>cha</strong> Mpira. Leo wewe nishahidi Mheshimiwa Mwenyekiti kwamba, TFF wamejenga imani kwa wafadhili kiasi kwamba, TFFwa<strong>na</strong>pata ufadhili mzuri sa<strong>na</strong> kutoka katika vyombo mbalimbali.NMB wa<strong>na</strong>fadhili, TBL wa<strong>na</strong>fadhili, Vodacom wa<strong>na</strong>fadhili, hawa wasingekuja kamawangekuwa <strong>na</strong> wasiwasi kwamba, fedha zao hizi wa<strong>na</strong>zotoa, basi zi<strong>na</strong>punjwa hivi. Ni kaziambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga <strong>na</strong> Kamati yake ya Utendaji. Naomba niipongezesa<strong>na</strong> kwa mafanikio haya ambayo wameyapata <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>omba uniruhusu vilevile niwapongezesa<strong>na</strong> TBL, niwapongeze sa<strong>na</strong> Vodacom <strong>na</strong> niwapongeze sa<strong>na</strong> NMB kwa kuthubutu kufadhilimasuala ya mpira ambayo hata kama u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> kwenye Kagame Cup iliyopita, basi ufadhiliwao ndiyo umesababisha Tanzania tukaweza kushiriki <strong>na</strong> alhamdulilah, Yanga wakawamabingwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vilevile huko nyuma kulikuwa <strong>na</strong> migogoro mingi katika TFFau katika FAT. Leo wewe mwenyewe u<strong>na</strong>o<strong>na</strong>, hata magazeti siku hizi hayaandiki te<strong>na</strong> mambohayo. Ni kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga. Lakini kama alivyosemaMheshimiwa Mohamed Seif, tulifika <strong>na</strong>mba ya 89 mwaka 2009 kama nipo sawasawa, yeyeamesema mwaka 2007, lakini nipo tayari kuwa corrected kati ya mwaka 2007 <strong>na</strong> 2009 tulifika<strong>na</strong>mba mbili (two digits), <strong>na</strong>mba ya 89 katika ubora katika ulimwengu, 89 sio kazi ndogo hiyo, chiniya kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> wenzetu hawa. Sasa tumeporomoka tuko 123, 127, 129,vyovyote itakavyokuwa lakini tumeshuka chini, lakini awali tulifika mahali pazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwa TFF mimi <strong>na</strong>omba niwapongeze, lakininiwaombe <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo waziangalie. Moja ya <strong>cha</strong>ngamoto waliyo<strong>na</strong>yo, kwa kweliwazungumze <strong>na</strong> waamuzi. Yako malalmiko mengi sa<strong>na</strong> kwa timu zetu za mpira wakilalamika. TimuA, timu B, timu C, mimi sitaki kuwataja, lakini kimsingi yako malalamiko mengi ya waamuzi,ningeomba sa<strong>na</strong> TFF waliangalie hili kwa sababu li<strong>na</strong>weza likaharibu sifa nzuri hii ambayoni<strong>na</strong>jaribu kuieleza.Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Mohamed Seif, amezungumza vizuri. Changamotowaliyo<strong>na</strong>yo ni kukazania timu za vija<strong>na</strong>, klabu zetu hizi ziwe <strong>na</strong> timu za viaja<strong>na</strong>. Haya mambo yakusajili sijui kutoka wapi, kutoka wapi, mambo ya kuanza kushutumia<strong>na</strong> siyo mazuri. Lakini kamawa<strong>na</strong> timu nzuri za vija<strong>na</strong>, kama ambavyo ilikuwa miaka ya nyuma ile miaka ya 1960 <strong>na</strong> 1970aki<strong>na</strong> Ko<strong>cha</strong> Victor Stansilaus alivyokuja hapa kutoka Romania <strong>na</strong> Simba wenzetu walimletamwingine, mambo yalikuwa mazuri. Kwa hiyo, tuimarishe timu zetu za vija<strong>na</strong>, Footbal Academyzetu tuzifungue <strong>na</strong> tuziimarishe. Hapa <strong>na</strong>omba nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Mwenyekiti waBaraza la Michezo - Mheshimiwa Kipingu, ni mfano mzuri kwa kusimamia soka la vija<strong>na</strong>, amekuwa60

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!