12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile <strong>na</strong>penda kutoa elimu kidogo kwa Wabunge wenzangukwamba ratio ya Walimu wa vyuo ni tofauti kidogo <strong>na</strong> ratio ya Walimu wa sekondari. Ratio yaWalimu wa sekondari tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja awe <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>funzi 40 darasani lakini kwenyevyuo vya ufundi tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja kwa ratio ya wa<strong>na</strong>funzi 16 tu. Kwa hiyo, udahili wawalimu utakuwa u<strong>na</strong>endelea kuongezeka kadri ya <strong>cha</strong>ngamoto hii ya ratio ya Walimu.NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge maswali ya leo yamekwisha <strong>na</strong> mudawetu <strong>na</strong>o umekwisha, nimekuo<strong>na</strong> Mheshimiwa Silinde umesimama.TAARIFAMHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, wakati kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa WaziriMkuu ki<strong>na</strong>kwisha nilisima kutaka kutoa taarifa <strong>na</strong> taarifa yangu ni kama ifuatavyo…..NAIBU SPIKA: Kabla hujatoa taarifa, taarifa hiyo u<strong>na</strong>mpa <strong>na</strong>ni?MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa hiyo ni<strong>na</strong>ipeleka kwa MheshimiwaWaziri Mkuu kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> jibu alilolitoa…..NAIBU SPIKA: U<strong>na</strong>tumia kifungu gani <strong>cha</strong> Kanuni, <strong>na</strong>omba ukisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, kanuni ya 68(8).NAIBU SPIKA: Naomba uisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Kanuni ya 68 i<strong>na</strong>sema; Vilevile Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kusimamamahali pake <strong>na</strong> kusema taarifa <strong>na</strong> kwa ruhusa ya Spika atatoa taarifa au ufafanuzi wa Mbungea<strong>na</strong>yesema ambapo Spika atamtaka Mbunge a<strong>na</strong>yeketi kusikiliza taarifa hiyo.’NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, ukisoma kifungu hiki ki<strong>na</strong>husu Mbungea<strong>na</strong>ye<strong>cha</strong>ngia wakati akizungumza katika mazungumzo yake kama ku<strong>na</strong> jambo ambalo u<strong>na</strong>hitajikumpa taarifa utamtaarifu Spika ili amwambie huyo a<strong>na</strong>yesema wakati huo aketi ili umpe taarifayako. Lakini huwezi kukitumia kifungu hiki baada ya jambo hilo kuwa limepita, i<strong>na</strong>takiwa utafuteutaratibu te<strong>na</strong> mwingine lakini siyo utaratibu wa taarifa.Naomba niendelee <strong>na</strong> matangazo baada ya hapo tutaendelea kama ku<strong>na</strong> jambolingine, uendelee kujipanga lakini kwa Kanuni hiyo umechemsha.Lakini la pili si rahisi Mbunge yeyote kumpa taarifa Waziri kwa sababu Waziria<strong>na</strong>chokisema ni msimamo wa Serikali. Wewe umeuliza swali, Waziri a<strong>na</strong>kujibu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikaliambavyo imeo<strong>na</strong> kufuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> jambo hilo, sasa utampa taarifa ipi? Lakini kama ni u<strong>cha</strong>ngiaji wakawaida au mambo ya <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hiyo i<strong>na</strong>takiwa utumie jambo lingine lakini taarifa kidogo i<strong>na</strong>kuwahaikai sawasawa. Kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa kawaida tradition ya Bunge hili huwa hatutoleanitaarifa, ku<strong>na</strong> mtu a<strong>na</strong>tikisa kichwa <strong>na</strong>dhani ni Esther Matiko au <strong>na</strong>ni? Ni<strong>na</strong>poelekeza sibishani,ni<strong>na</strong>poelekeza, u<strong>na</strong>nisikiliza vizuri, u<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>chokisema ili hoja yako iweze kufika vizuri <strong>na</strong>ili uweze kuzitumia Kanuni hizi vizuri kwa sababu siyo la kwake ni la Serikali.Si<strong>na</strong> haja ya kufundisha ziko <strong>na</strong>m<strong>na</strong> <strong>na</strong> vifungu vingine vya kuvitumia ili ujumbe wakouweze kufika lakini taarifa siyo mahali pake, waulizeni Wabunge ambao ni Ma-se<strong>na</strong>tor hapawatawaeleza.Waheshimiwa Wabunge ni<strong>na</strong> matangazo, wageni waliopo katika jukwaa la Spika niwageni wa Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Dokta EmmanuelNchimbi ambao ni pamoja <strong>na</strong> Ndugu Jane Kijazi Nchimbi ambaye ni mke wake, Mama Nchimbikaribu sa<strong>na</strong>. Alex Nchimbi ambaye ni mdogo wake <strong>na</strong> Dokta Margreth Mtaki, Mwenyekiti waTUGHE. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)14

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!