Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile <strong>na</strong>penda kutoa elimu kidogo kwa Wabunge wenzangukwamba ratio ya Walimu wa vyuo ni tofauti kidogo <strong>na</strong> ratio ya Walimu wa sekondari. Ratio yaWalimu wa sekondari tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja awe <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>funzi 40 darasani lakini kwenyevyuo vya ufundi tu<strong>na</strong>sema Mwalimu mmoja kwa ratio ya wa<strong>na</strong>funzi 16 tu. Kwa hiyo, udahili wawalimu utakuwa u<strong>na</strong>endelea kuongezeka kadri ya <strong>cha</strong>ngamoto hii ya ratio ya Walimu.NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge maswali ya leo yamekwisha <strong>na</strong> mudawetu <strong>na</strong>o umekwisha, nimekuo<strong>na</strong> Mheshimiwa Silinde umesimama.TAARIFAMHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, wakati kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa WaziriMkuu ki<strong>na</strong>kwisha nilisima kutaka kutoa taarifa <strong>na</strong> taarifa yangu ni kama ifuatavyo…..NAIBU SPIKA: Kabla hujatoa taarifa, taarifa hiyo u<strong>na</strong>mpa <strong>na</strong>ni?MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa hiyo ni<strong>na</strong>ipeleka kwa MheshimiwaWaziri Mkuu kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> jibu alilolitoa…..NAIBU SPIKA: U<strong>na</strong>tumia kifungu gani <strong>cha</strong> Kanuni, <strong>na</strong>omba ukisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika, kanuni ya 68(8).NAIBU SPIKA: Naomba uisome.MHE. DAVID E. SILINDE: Kanuni ya 68 i<strong>na</strong>sema; Vilevile Mbunge yeyote a<strong>na</strong>weza kusimamamahali pake <strong>na</strong> kusema taarifa <strong>na</strong> kwa ruhusa ya Spika atatoa taarifa au ufafanuzi wa Mbungea<strong>na</strong>yesema ambapo Spika atamtaka Mbunge a<strong>na</strong>yeketi kusikiliza taarifa hiyo.’NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, ukisoma kifungu hiki ki<strong>na</strong>husu Mbungea<strong>na</strong>ye<strong>cha</strong>ngia wakati akizungumza katika mazungumzo yake kama ku<strong>na</strong> jambo ambalo u<strong>na</strong>hitajikumpa taarifa utamtaarifu Spika ili amwambie huyo a<strong>na</strong>yesema wakati huo aketi ili umpe taarifayako. Lakini huwezi kukitumia kifungu hiki baada ya jambo hilo kuwa limepita, i<strong>na</strong>takiwa utafuteutaratibu te<strong>na</strong> mwingine lakini siyo utaratibu wa taarifa.Naomba niendelee <strong>na</strong> matangazo baada ya hapo tutaendelea kama ku<strong>na</strong> jambolingine, uendelee kujipanga lakini kwa Kanuni hiyo umechemsha.Lakini la pili si rahisi Mbunge yeyote kumpa taarifa Waziri kwa sababu Waziria<strong>na</strong>chokisema ni msimamo wa Serikali. Wewe umeuliza swali, Waziri a<strong>na</strong>kujibu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikaliambavyo imeo<strong>na</strong> kufuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> jambo hilo, sasa utampa taarifa ipi? Lakini kama ni u<strong>cha</strong>ngiaji wakawaida au mambo ya <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hiyo i<strong>na</strong>takiwa utumie jambo lingine lakini taarifa kidogo i<strong>na</strong>kuwahaikai sawasawa. Kipindi <strong>cha</strong> maswali kwa kawaida tradition ya Bunge hili huwa hatutoleanitaarifa, ku<strong>na</strong> mtu a<strong>na</strong>tikisa kichwa <strong>na</strong>dhani ni Esther Matiko au <strong>na</strong>ni? Ni<strong>na</strong>poelekeza sibishani,ni<strong>na</strong>poelekeza, u<strong>na</strong>nisikiliza vizuri, u<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>chokisema ili hoja yako iweze kufika vizuri <strong>na</strong>ili uweze kuzitumia Kanuni hizi vizuri kwa sababu siyo la kwake ni la Serikali.Si<strong>na</strong> haja ya kufundisha ziko <strong>na</strong>m<strong>na</strong> <strong>na</strong> vifungu vingine vya kuvitumia ili ujumbe wakouweze kufika lakini taarifa siyo mahali pake, waulizeni Wabunge ambao ni Ma-se<strong>na</strong>tor hapawatawaeleza.Waheshimiwa Wabunge ni<strong>na</strong> matangazo, wageni waliopo katika jukwaa la Spika niwageni wa Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Dokta EmmanuelNchimbi ambao ni pamoja <strong>na</strong> Ndugu Jane Kijazi Nchimbi ambaye ni mke wake, Mama Nchimbikaribu sa<strong>na</strong>. Alex Nchimbi ambaye ni mdogo wake <strong>na</strong> Dokta Margreth Mtaki, Mwenyekiti waTUGHE. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)14
Pili, Wakurugenzi <strong>na</strong> Wakurugenzi wasaidizi, Wakuu wa Asasi <strong>na</strong> Taasisi zilizo chini ya Wizarapamoja <strong>na</strong> wadau wote wa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo wakiongozwa <strong>na</strong> Sethi Kamhuhanda,Katibu Mkuu <strong>na</strong> Sihaba Nkinga, Naibu Katibu Mkuu. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Kwa hatua hii niwatambue endapo wapo jukwaa la Spika, Wahariri wote mliopo humundani <strong>na</strong> <strong>na</strong>omba kama mpo msimame mahali mlipo. Ahsanteni <strong>na</strong> karibuni sa<strong>na</strong> katika Bungeletu. (Makofi)Naomba niwatambue Wenyeviti wa Bodi <strong>na</strong> Mabaraza ambao ni Ndugu Rose Sayore,Dokta Frowin Nyoni, Profesa Elias Jengo, Ndugu Lalua Simba <strong>na</strong> Ndugu Ka<strong>na</strong>li Iddi Kipingu. Karibunisa<strong>na</strong>. (Makofi)<strong>Nne</strong>, ni wageni wa Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya, Mheshimiwa Sugu,Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ambao ni Ndugu ThabitiMtambuzi, Baba mlezi wake wakati akiwa nchini Marekani. Ahsante sa<strong>na</strong> kwa kumlea MheshimiwaMbunge. (Makofi)Wasanii wa Bongo Fleva pia wamefika ukumbini hapa, lakini <strong>na</strong>omba niwatambuewa<strong>cha</strong>che miongoni mwao ni Ndugu Afande Selle oooh! Uko kwenye Jukwaa jekundu! Karibusa<strong>na</strong>. Pia ndugu Soggy Doggy, Dokta Levy, Ndugu Dani Msimamo, Ndugu Hisabati <strong>na</strong> NduguRama Dee. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Wapo pia watangazaji wa Mbeya FM Ndugu Stan Lambat <strong>na</strong> Ndugu Jackline. Karibunisa<strong>na</strong>. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Charles Muhangwa Kitwanga, Naibu Waziri waMawasiliano, Sayansi <strong>na</strong> Teknolojia (Mawe Matatu) Ndugu Pammla Petrueka, Associate Professor,University of Saskatchewan. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Ndugu Emmanuel Makongoro Programme Coordi<strong>na</strong>tor, Green Hope Tanzania, NduguTumaini Lusenga Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l Liaison Director Green House USA <strong>na</strong> Ndugu Juma Waziri NdondeCoordi<strong>na</strong>tor. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Lakini pia wapo wageni muhimu sa<strong>na</strong> asubuhi ya leo <strong>na</strong>o ni, Kamati ya Utendaji ya Umojawa Vija<strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi Taifa, wa<strong>na</strong>ongozwa <strong>na</strong> Mfaume Ally Kizito, Naibu Katibu MkuuBara. Karibuni vija<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jua m<strong>na</strong>fanya kazi nzuri <strong>na</strong> hivi karibuni tu<strong>na</strong>watarajia katika baadhi yamaeneo kule Tabora <strong>na</strong> Arusha, kazi nzuri. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Waheshimiwa Wabunge waliopo katika jukwaa la wageni ni pamoja<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki kutoka Taasisi ya Kijerumani ya FES hapanchini wakiongozwa <strong>na</strong> Dokta Stephan Chrobot Mkurugenzi Mkazi. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)Wageni waliofika kwa ajili ya mafunzo ni wa<strong>na</strong>funzi 70 kutoka Shule ya Sekondari yaJamhuri Dodoma, kama kawaida yenu wa<strong>na</strong>funzi wa Jamhuri kwa kweli mko smart, <strong>na</strong>ombawa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>oo<strong>na</strong> sasa hivi nchi nzima waangalie wa<strong>na</strong>funzi wa Shule ya Jamhuri Dodoma <strong>na</strong>waige utaratibu huu. Karibuni sa<strong>na</strong> Bungeni, wa<strong>na</strong>funzi wengine <strong>na</strong>o wa<strong>na</strong>karibishwa Bungeni <strong>na</strong>u-smart huu uendane <strong>na</strong> utendaji mzuri zaidi katika kufaulu mitihani yetu. Tu<strong>na</strong>watakia kila la kheriwa<strong>na</strong>funzi <strong>na</strong> Walimu wote mliokuja. (Makofi)Vile vile ku<strong>na</strong> Wasanii sita wa KISUVITA kutoka Manispaa ya Dodoma <strong>na</strong> Wasanii wa tasniaya filamu kutoka, Dar es Salaam, karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Pia ku<strong>na</strong> wageni wa Mheshimiwa Murtaza Ally Mangungu ambao ni Baraka Kange, Raiswa wa<strong>na</strong>funzi India, karibu sa<strong>na</strong> utupelekee salam kwa vija<strong>na</strong> wenzako. Waziri Mushashimwa<strong>na</strong>funzi wa CBE <strong>na</strong> Ahmed Mikohe mwa<strong>na</strong>funzi wa Kairuki University. Karibuni sa<strong>na</strong>. (Makofi)15
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66:
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68:
Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70:
namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72:
Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74:
pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76:
Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest