12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la Habari Tanzania limekuwa likifanya kazi kwa ushirikiano<strong>na</strong> Wizara yangu <strong>na</strong> tumekuwa tukishauria<strong>na</strong> katika mambo mbalimbali kwa manufaa ya taalumaya habari. Hivi sasa Baraza, chini ya ushauri wa kitaalam wa Natio<strong>na</strong>l Council for TechnicalEducation (NACTE) <strong>na</strong> udhamini wa UNESCO limekamilisha mtaala wa mafunzo ya uandishi wahabari kwa ngazi za 4 hadi 6 (level 4 – 6) ambazo ni ngazi za cheti (basic certificate), cheti <strong>cha</strong> juu(advanced cerificate) <strong>na</strong> diploma. Mtaala huu utaviwezesha Vyuo vya Uandishi wa Habariambavyo vimesajiliwa kuweza kupata ithibati ya NACTE <strong>na</strong> hivyo vyeti vyake kutambuliwa rasmi.Wizara i<strong>na</strong>fuatilia kwa karibu m<strong>cha</strong>kato huu ambao Serikali i<strong>na</strong>amini utasaidia kukuza kiwango<strong>cha</strong> taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara yangu i<strong>na</strong>penda pia kulipongeza Baraza la Habari kwakazi nzuri li<strong>na</strong>loifanya ya kusikiliza malalamiko ya wa<strong>na</strong>nchi ambao hawatendewi haki <strong>na</strong> baadhiya vyombo vya habari. Baraza li<strong>na</strong>fanya kazi hiyo nzuri li<strong>cha</strong> ya kutokuwa <strong>na</strong> uwezo waKimahakama wa kutoa adhabu. Wizara itaendelea kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza katika utekelezaji wajukumu lake hilo muhimu kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kutambua umuhimu wa maadili katika kuendeleza taalumaya habari nchini, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Jukwaa la Wahariri <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> wamiliki wa vyombovya Habari katika kuelimisha <strong>na</strong> kuhimiza waandishi wa habari kuzingatia maadili katika utendajiwao wa kazi. Jitihada hizi za ushirikiano tayari zimeanza kuzaa matunda.Mheshimiwa Naibu Spika, ni matumaini ya Wizara yangu kuwa juhudi hizi za pamoja katiya Serikali <strong>na</strong> wadau wote wa habari zitasaidia katika kuimarisha sekta ya habari ili iendelee kutoam<strong>cha</strong>ngo mkubwa katika kuharakisha maendeleo <strong>na</strong> ustawi wa nchi yetu.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko wa Maendeleo yaVija<strong>na</strong> umeendelea kuimarishwa ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kutoa mikopo kwa vija<strong>na</strong> kupitia SACCOS.Mpaka kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, jumla ya SACCOS 242 zilikopeshwa Shilingi 1,210,000,000. Aidha,muda wa marejesho ya fedha, ambao ni mwaka mmoja tangu SACCOS ilipokopeshwa,umekamilika. Mpaka sasa, jumla ya Shilingi 46,350,000 zimerejeshwa <strong>na</strong> SACCOS tisa (9) kutokaHalmashauri za Wilaya ya Muheza, Kilolo, Mbarali, Manispaa ya Lindi <strong>na</strong> SACCOS moja kutokaManispaa ya Ilala. SACCOS zilizorejesha zitakopeshwa te<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2010 zimeratibiwa <strong>na</strong>kukimbizwa katika Mikoa yote 26 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya kaulimbiu “MalizaMalaria, Malaria haikubaliki”. Mbio hizo pia zilitumika kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> hasa vija<strong>na</strong>kushiriki katika shughuli za maendeleo hususan zile za kiuchumi, kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> maambukizi yavirusi vya UKIMWI, dawa za kulevya, vitendo vya rushwa <strong>na</strong> ukatili dhidi ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong>kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi kujitokeza kupiga kura kwa amani wakati wa U<strong>cha</strong>guzi Mkuu wa Rais,Wabunge <strong>na</strong> Madiwani mwaka 2010. Kupitia mbio za Mwenge wa Uhuru, jumla ya miradi 1,393yenye thamani ya shilingi 146,464,203,<strong>11</strong>6.29 iliwekewa mawe ya msingi <strong>na</strong> mingine ilizinduliwawakati wa mbio hizo. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuratibu maandalizi ya mbio za Mwenge kwa mwaka20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, vija<strong>na</strong> kutoka sehemu mbalimbali za nchi yetu walishiriki katikaWiki ya Vija<strong>na</strong>, kilele <strong>cha</strong> mbio za Mwenge wa Uhuru <strong>na</strong> maonesho ya wajasiriamali <strong>na</strong>waelimishaji vija<strong>na</strong> yaliyofanyika katika viwanja vya Mwanga Mjini Kigoma. Jumla ya taasisi 176 zavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali walishiriki maonesho hayo yaliyoanza tarehe 8 hadi 13 Oktoba, 2010.Wakati wa maonesho ya Wiki ya Vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi walielimishwa masuala mbalimbali ikiwa nipamoja <strong>na</strong> majukumu ya<strong>na</strong>yotekelezwa <strong>na</strong> Serikali <strong>na</strong> taasisi zake, wadau wa maendeleo <strong>na</strong>kupewa elimu ya ujasiriamali, afya ya uzazi <strong>na</strong> VVU/UKIMWI. Pamoja <strong>na</strong> maonesho hayo, jumla yawatu 936 walijitokeza kupima VVU, kati yao wa<strong>na</strong>ume walikuwa 556 <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake walikuwa 380ambapo watu 15 kati yao wa<strong>na</strong>wake wa<strong>na</strong>ne (8) <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ume saba (7) walikuwawameambukizwa VVU, sawa <strong>na</strong> asilimia mbili ya watu waliojitokeza kupima VVU.Mheshimiwa Naibu Spika, katika jitihada za kuhakikisha vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>pata stadi zamaisha <strong>na</strong> kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto za utandawazi zi<strong>na</strong>zowakabili, ikiwa ni pamoja <strong>na</strong>kuwapatia elimu sahihi ya afya ya uzazi <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> VVU/UKIMWI, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!