12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

· Kuandaa onyesho moja la sarakasi kwa kushirikisha wasanii wa ndani <strong>na</strong> nje ya nchi kwalengo la kutunisha mfuko kwa ajili ya utekelezaji Mpango Mkakati wa BASATA.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012 Bodi ya Filamuimepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kupitia Miswada 240 ya Filamu <strong>na</strong> kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu maboresho ya filamu<strong>na</strong> uzingatiaji wa maadili.· Kukagua filamu 240, kutoa ushauri wa maboresho ya filamu hizo <strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kama maadiliyamezingatiwa, pia kuhakikisha filamu hizo zi<strong>na</strong>kidhi viwango vya kuingia sokoni <strong>na</strong>kupanga filamu hizo katika madaraja.· Kuhakikisha kwamba filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa zi<strong>na</strong>zingatia maadili ya Kitanzania,zi<strong>na</strong>tangaza Taifa <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zingatia Sheria ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaani Na. 4ya mwaka 1976 <strong>na</strong> Kanuni zake.· Kutoa vibali 60 vya kutengeneza filamu kwa watengenezaji wa filamu wa nje <strong>na</strong> ndani yanchi.· Kutoa vibali saba (7) vya uzinduzi <strong>na</strong> matamasha ya filamu.· Kutoa vibali vitano (5) vya wasanii wa filamu kutoka nje ya nchi wa<strong>na</strong>okuja kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>watengeneza filamu wa nchini.· Kuandaa Tamasha la Filamu za Kitanzania kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirikisho la Filamu.· Kutoa leseni za uendeshaji kumbi za maonyesho ya filamu.· Kuendelea <strong>na</strong> zoezi la kuandaa orodha ya filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa nchini kwa lengo lakufahamu idadi ya filamu, maudhui, watengenezaji, wasambazaji, mapato <strong>na</strong> idadi yafilamu zi<strong>na</strong>zouzwa nje ya nchi.· Kuendelea <strong>na</strong> ukusanyaji wa takwimu za Tasnia ya Filamu nchini ili kuwajua <strong>na</strong>kuwatambua watunzi wa filamu, watengenezaji, wasambazaji, waigizaji, wapiga pi<strong>cha</strong>,mapromota <strong>na</strong> vibanda visivyo rasmi ili kudhibiti kuzagaa kwa filamu zi<strong>na</strong>zokiuka maadiliya Kitanzania.· Kuweka alama kwenye filamu zote zilizokaguliwa.· Kutoa vitambulisho kwa wasambazaji wa filamu, vitambulisho hivyo vitakuwa vikihuishwakila mwaka.· Kusambaza vipeperushi 3,000 <strong>na</strong> kanuni kwa wadau nchini kote ili kuitangaza Bodi yaFilamu, kutambulisha wajibu wake <strong>na</strong> kuifahamisha jamii maadili ya Taifa.· Kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Filamu, lengo likiwa ni kupata Sheria itakayoenda<strong>na</strong><strong>na</strong> wakati <strong>na</strong> hivyo kuendelea kulinda maadili ya Taifa katika tasnia ya filamu.· Kuimarisha Bodi za Wilaya <strong>na</strong> kutafuta fursa ya kuwapa semi<strong>na</strong> elekezi.· Kufanya operesheni ya filamu zote zisizokaguliwa mara Kanuni za Sheria ya Filamuzitakapotangazwa katika Gazeti la Serikali.· Kusimamia mapato yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> tasnia ya filamu ili kuongeza pato la Taifa, pato lamsanii <strong>na</strong> kuhakikisha mapato yote ya<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> filamu ya<strong>na</strong>fika Serikalini.30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!