12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi sioni kama i<strong>na</strong>fundisha chochote, kwa a<strong>na</strong>yeangalia ile BigBrother Africa, jamani sisi Waafrika tu<strong>na</strong>tumiwa, tu<strong>na</strong>tumiwa ili tupotoshe maadili yetu, Big BrotherAfrica rafiki yangu mimi siikubali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> basi watu wetu Watanzania tusiwapeleke kulekwa sababu, kweli sipendi kuongea mengi u<strong>na</strong>jua mimi nikisema te<strong>na</strong> i<strong>na</strong>kuwa tatizo, lakini <strong>na</strong>ulizaBig Brother Africa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani, i<strong>na</strong>funza jamii zetu hasa za Afrika? Mmh! (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu michezo, mimi <strong>na</strong>-declare interest, mimi ni Yanga te<strong>na</strong>Yanga damu kwa sababu ni<strong>na</strong>lipia ada, <strong>na</strong>penda kuwapongeza sa<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>yanga kwa ushinditulioupata wa Kombe la Kagame, lakini pia <strong>na</strong>waambia Simba Mheshimiwa Sitta samahani,<strong>na</strong>waambia Simba <strong>na</strong> wao wasinyonge roho, mwakani wa<strong>na</strong>weza wakachukua wao, lakiniYanga Oyeee. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuipongeza timu hii, ilikuja juzi hapa Bungenitukaipongeza hapa, lakini vilevile <strong>na</strong>penda kupongeza pia timu ya mpira ya wa<strong>na</strong>wake ya Taifa,timu ya mpira ya Yanga <strong>na</strong> timu zingine zi<strong>na</strong>kuwa ziko high class, lakini <strong>na</strong>shangaa kwa nini timuyetu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wa<strong>na</strong>wake haipewi msukumo. Hivi sasa wa<strong>na</strong> mechi zaochungu mzima, hawa<strong>na</strong> hela, nilio<strong>na</strong> kwenye TV ja<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>omba wafadhili, wafadhilimpaka lini? Kwa nini Serikali haiwawekei fungu lao hawa wa<strong>na</strong>michezo? Hawa Yanga <strong>na</strong> Simbakila siku hawatengewi fungu lao, kila siku TBL wa<strong>na</strong>fadhali. Ni vizuri Tanzania Breweries, Vodacomwa<strong>na</strong>fanya vizuri sa<strong>na</strong> wafadhili wetu hawa lakini haileti moyo mzuri kwa Taifa tu<strong>na</strong>omba Serikaliiji-commit kwenye mambo haya kwa sababu michezo ni ajira. (Makofi)Mheshimiwa Spika, <strong>na</strong>omba kuunga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>, ni<strong>na</strong>omba nichukue fursa hii kutambua uwepo wa NaibuKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ndani ya ukumbi huu wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Asha-RoseMigiro. (Makofi)Karibu sa<strong>na</strong> mama, karibu sa<strong>na</strong> Tanzania <strong>na</strong> Bunge hili lote li<strong>na</strong>jivunia kazi njemau<strong>na</strong>yoifanya huko duniani, tu<strong>na</strong>kuombea maisha marefu ya furaha <strong>na</strong> utendaji uliotukuka katikaUmoja wa Mataifa, karibu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, sasa <strong>na</strong>omba tuendelee Mheshimiwa Stephen Ngonyanimaarufu Profesa Maji Marefu <strong>na</strong> Mheshimiwa Maryam Msabaha ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa HamadAli Hamad ajiandaye. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka nimpongeze WaziriMkuu kwa kuwa makini sa<strong>na</strong> ndani ya Bunge hili, vilevile <strong>na</strong>taka nimpongeze Waziri wa Michezo<strong>na</strong> Utamaduni Ndugu yangu Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa amepata Wizaraisiyopandishiwa Bajeti kwa miaka mitatu lakini mvumilivu, Mungu akubariki.Mhehsimiwa Mwenyekiti, kwanza nitoe fani yangu mimi ni mganga, <strong>na</strong>taka Wabungewajue kwamba mimi ni mganga <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wajue hivyo mimi ni mganga. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Ngonyani, samahani <strong>na</strong>omba ukae kwanza. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>mume wake Profesa Migiro, tu<strong>na</strong>mkaribisha sa<strong>na</strong>, karibu sa<strong>na</strong>. Pia amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> wasaidizi wakea<strong>na</strong>itwa Mheshimiwa Tuvako Manongi, pamoja <strong>na</strong> ujumbe wote ambao mmefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>otu<strong>na</strong>wakaribisha sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge <strong>na</strong>omba tuendelee. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru maa<strong>na</strong> kazi ya ugangahata watu wengine wa<strong>na</strong>sahaulika ndiyo maa<strong>na</strong> yake. (Makofi)86

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!