Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi sioni kama i<strong>na</strong>fundisha chochote, kwa a<strong>na</strong>yeangalia ile BigBrother Africa, jamani sisi Waafrika tu<strong>na</strong>tumiwa, tu<strong>na</strong>tumiwa ili tupotoshe maadili yetu, Big BrotherAfrica rafiki yangu mimi siikubali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> basi watu wetu Watanzania tusiwapeleke kulekwa sababu, kweli sipendi kuongea mengi u<strong>na</strong>jua mimi nikisema te<strong>na</strong> i<strong>na</strong>kuwa tatizo, lakini <strong>na</strong>ulizaBig Brother Africa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani, i<strong>na</strong>funza jamii zetu hasa za Afrika? Mmh! (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu michezo, mimi <strong>na</strong>-declare interest, mimi ni Yanga te<strong>na</strong>Yanga damu kwa sababu ni<strong>na</strong>lipia ada, <strong>na</strong>penda kuwapongeza sa<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>yanga kwa ushinditulioupata wa Kombe la Kagame, lakini pia <strong>na</strong>waambia Simba Mheshimiwa Sitta samahani,<strong>na</strong>waambia Simba <strong>na</strong> wao wasinyonge roho, mwakani wa<strong>na</strong>weza wakachukua wao, lakiniYanga Oyeee. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuipongeza timu hii, ilikuja juzi hapa Bungenitukaipongeza hapa, lakini vilevile <strong>na</strong>penda kupongeza pia timu ya mpira ya wa<strong>na</strong>wake ya Taifa,timu ya mpira ya Yanga <strong>na</strong> timu zingine zi<strong>na</strong>kuwa ziko high class, lakini <strong>na</strong>shangaa kwa nini timuyetu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wa<strong>na</strong>wake haipewi msukumo. Hivi sasa wa<strong>na</strong> mechi zaochungu mzima, hawa<strong>na</strong> hela, nilio<strong>na</strong> kwenye TV ja<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>omba wafadhili, wafadhilimpaka lini? Kwa nini Serikali haiwawekei fungu lao hawa wa<strong>na</strong>michezo? Hawa Yanga <strong>na</strong> Simbakila siku hawatengewi fungu lao, kila siku TBL wa<strong>na</strong>fadhali. Ni vizuri Tanzania Breweries, Vodacomwa<strong>na</strong>fanya vizuri sa<strong>na</strong> wafadhili wetu hawa lakini haileti moyo mzuri kwa Taifa tu<strong>na</strong>omba Serikaliiji-commit kwenye mambo haya kwa sababu michezo ni ajira. (Makofi)Mheshimiwa Spika, <strong>na</strong>omba kuunga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>, ni<strong>na</strong>omba nichukue fursa hii kutambua uwepo wa NaibuKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ndani ya ukumbi huu wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Asha-RoseMigiro. (Makofi)Karibu sa<strong>na</strong> mama, karibu sa<strong>na</strong> Tanzania <strong>na</strong> Bunge hili lote li<strong>na</strong>jivunia kazi njemau<strong>na</strong>yoifanya huko duniani, tu<strong>na</strong>kuombea maisha marefu ya furaha <strong>na</strong> utendaji uliotukuka katikaUmoja wa Mataifa, karibu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, sasa <strong>na</strong>omba tuendelee Mheshimiwa Stephen Ngonyanimaarufu Profesa Maji Marefu <strong>na</strong> Mheshimiwa Maryam Msabaha ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa HamadAli Hamad ajiandaye. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka nimpongeze WaziriMkuu kwa kuwa makini sa<strong>na</strong> ndani ya Bunge hili, vilevile <strong>na</strong>taka nimpongeze Waziri wa Michezo<strong>na</strong> Utamaduni Ndugu yangu Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa amepata Wizaraisiyopandishiwa Bajeti kwa miaka mitatu lakini mvumilivu, Mungu akubariki.Mhehsimiwa Mwenyekiti, kwanza nitoe fani yangu mimi ni mganga, <strong>na</strong>taka Wabungewajue kwamba mimi ni mganga <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wajue hivyo mimi ni mganga. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Ngonyani, samahani <strong>na</strong>omba ukae kwanza. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>mume wake Profesa Migiro, tu<strong>na</strong>mkaribisha sa<strong>na</strong>, karibu sa<strong>na</strong>. Pia amefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong> wasaidizi wakea<strong>na</strong>itwa Mheshimiwa Tuvako Manongi, pamoja <strong>na</strong> ujumbe wote ambao mmefuata<strong>na</strong> <strong>na</strong>otu<strong>na</strong>wakaribisha sa<strong>na</strong>. (Makofi)Waheshimiwa Wabunge <strong>na</strong>omba tuendelee. (Makofi)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru maa<strong>na</strong> kazi ya ugangahata watu wengine wa<strong>na</strong>sahaulika ndiyo maa<strong>na</strong> yake. (Makofi)86
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka niwapongeze waandishi wa habari, mtua<strong>na</strong>yesema kwamba sijui waandishi wa habari wawe wa<strong>na</strong>andika mambo kwa kuzingatia mimi<strong>na</strong>taka waandike. (Makofi)MWENYEKITI: Naomba u-declare interest.MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kazi yangu ni mganga wa kienyeji,mganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumewazungumzia sa<strong>na</strong> waandishi wa habari, kwa kweli mimi<strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwamba waandishi wa habari wa<strong>na</strong>pendwa wakati wa u<strong>cha</strong>guzi tu kwa ajiliya kuwaweka watu katika mazingira mazuri ya ushindi, lakini wakishamaliza u<strong>cha</strong>nguzi <strong>na</strong> watuwakishashinda wakianza kuandika mapungufu yao watu wa<strong>na</strong>sema waandishi wa habarihawafai. Mimi <strong>na</strong>taka waandike tu kwa nini wazuiwe? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu lengo la waandishi wa habari watu wa<strong>na</strong>taka kujuakwamba wa<strong>na</strong>nchi au Wabunge wamefanya nini au wapiga kura wamewa<strong>cha</strong>gua watu ambaowa<strong>na</strong>fanya nini, sasa kama watakuwa wa<strong>na</strong>andika mazuri tu bila kuandika mapungufu yetu, sionikama tu<strong>na</strong>watendea haki <strong>na</strong> ukizingatia kwamba hiyo ni kazi kama kazi ya watu wengine. Waopia wa<strong>na</strong>hitaji waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi. Kama ku<strong>na</strong> mapungufu Mwenyezi Mungu tua<strong>na</strong>waumba watu wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> mapungufu wamepinda miguu, ije kuwa waandishi wa habariwasiandike kasoro? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>fikiria sa<strong>na</strong> kwa upande wa waandishi wa habaritusiwanyanyase, ni<strong>na</strong>choomba tu Wizara ya Utamaduni <strong>na</strong> Michezo waangaliwe, ili kama ku<strong>na</strong>kiwango maalum <strong>cha</strong> waandishi wa habari wapewe ili wafanye kazi vizuri zaidi kuliko kila saaakimwandika mtu vibaya matokeo yake a<strong>na</strong>tishiwa kwamba atauawa au atamtishia manenoma<strong>cha</strong>fu au hata atamtishia kwamba wewe tuone kama uandishi wako wa habari au matokeoyake kuwamwagia tindikali, sasa hii siyo kitendo halali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili <strong>na</strong>taka niongelee kuhusu wasanii, kama ku<strong>na</strong> watuwa<strong>na</strong>pata matatizo sa<strong>na</strong> ni wasanii, haku<strong>na</strong> kitu kizuri ambacho msanii ataitwa, kila mtua<strong>na</strong>pofanya makosa a<strong>na</strong>ambiwa wewe kazi yako ni msanii, sasa usanii ni kazi, wasilinganishemabaya ya maji marefu ukaweka kwenye usanii. Sasa hivi ku<strong>na</strong> mtindo wa watu, mtu a<strong>na</strong>fanyamakosa yake <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>julika<strong>na</strong> kwamba amefanya utapeli fulani, wa<strong>na</strong>kuambia aah, hao siwasanii tu! Sasa usanii maa<strong>na</strong> yake ni nini? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, usanii ni kazi kama kazi nyingine, wasiwe wa<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nisha wasanii<strong>na</strong> mtu akosee basi msanii aonekane kwamba ndiye yeye ambaye a<strong>na</strong>haribu, Wabunge wengihapa wamepitia kwenye usanii, yupo ndugu yangu Mbilinyi, yupo ndugu yangu hapa mwandishiwa habari hapa Nkamia, yupo Mheshimiwa Martha, yupo Mheshimiwa Kamata. Sasa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>Mheshimiwa Kamata ni msanii? Ni msanii katika fani yake lakini siyo usanii ule m<strong>na</strong>ochukua wakuwafanya watu waonekane watu wasanii ni watu wa duni sa<strong>na</strong>, ni watu wa dhiki sa<strong>na</strong>, kilamfano mbaya upelekwe kwa wasanii, hii siyo halali, wasanii wapewe heshima kama vile watuwengine hata kama tu<strong>na</strong>yopewa sisi Wabunge <strong>na</strong> wao wapewe heshima hiyo kwa sababu ni kaziambayo ni sawasawa <strong>na</strong> kazi nyingine. Nataka waheshimiwe kama wa<strong>na</strong>vyoheshimiwa watuwengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni suala la michezo, <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwambamichezo i<strong>na</strong>fanyika mikoani tu lakini Wilayani haku<strong>na</strong> michezo. Kitu <strong>cha</strong> kushangaza zaidi nikwamba maafisa utamaduni hawapati nyenzo <strong>na</strong> hawaonekani kama ni watu wa busara mbeleya watu. Wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri lakini kule hawaonekani. Maafisa Utamaduni wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> wakatiwa kukimbiza Mwenge peke yake, Mwenge ukikimbizwa Tanzania ndiyo Afisa Utamadunia<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> <strong>na</strong> yeye a<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi kwa nini, wakati yeye ndiye a<strong>na</strong>yelea vija<strong>na</strong> wote Wilayani, yeyendiye a<strong>na</strong>jua ngoma zote Wilayani, yeye ndiyo a<strong>na</strong>jua waganga wote Wilayani, yeye ndiyea<strong>na</strong>jua kila kitu ki<strong>na</strong>chofanyika katika Wilaya, kwa nini hawa watu hawapewi motisha <strong>na</strong>wenyewe waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi vizuri?87
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28:
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30:
· Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32:
· Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34:
· Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest