12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI alijibu:-Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, <strong>na</strong>ombakujibu swali la Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa, Mbunge wa Kibiti kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Naibu Spika, mafunzo ya ualimu wa ufundi nchini yapo ya ai<strong>na</strong> mbili <strong>na</strong>hutolewa katika vyuo viwili tu. Chuo <strong>cha</strong> Ualimu Kleruu hutoa mafunzo ya ualimu katika ngazi yastashahada <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Ufundi Stadi Morogoro hutoa mafunzo ya Ualimu wa Ufundi katika ngaziya Cheti <strong>na</strong> Stashahada. Walimu wa ufundi huandaliwa kufundisha katika shule za sekondari zaufundi <strong>na</strong> walimu wa ufundi stadi huandaliwa maalum kufundisha katika vyuo vya ufundi stadi <strong>na</strong>kujiajiri wenyewe.Mheshimiwa Naibu Spika, wahitimu wa Chuo <strong>cha</strong> Ualimu <strong>cha</strong> VETA, Morogoro wa mwaka2010 walikuwa 87, kati yao 35 walitoka vyuo mbalimbali vya ufundi stadi yaani in service, hivyobaada ya kuhitimu walirudi kazini. Hata hivyo, wahitimu 13 kati ya 52 walijigharamia wenyewewaliajiriwa katika vyuo vya VETA.Mheshimiwa Naibu Spika, Chuo <strong>cha</strong> VETA, Morogoro ki<strong>na</strong>andaa walimu wa ufundi stadikwa ajili ya soko la ajira ambalo li<strong>na</strong>panuka <strong>na</strong> vilevile kuwawezesha kuajiriwa katika vyuo bi<strong>na</strong>fsivya ufundi ambavyo kwa sasa ni 672 nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa lengokubwa la Serikali ni kuwawezesha wahitimu wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo hayo ya ufundi stadi kuingiakatika ujasiriamali au kushinda<strong>na</strong> katika soko huria. Hivyo, walimu wa ufundi wasio <strong>na</strong> ajira ambaopia ni mafundi wa<strong>na</strong>weza kutumia fursa zilizopo kujiajiri au kujiunga pamoja <strong>na</strong> hivyo kuwezakupata mikopo kutoka Taasisi za fedha kuendesha maisha yao.NAIBU SPIKA: Afisa Elimu, Mheshimiwa Abdul Marombwa!MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi <strong>na</strong>pia nimshukuru Naibu Waziri kwa majibu mazuri aliyonipatia. Pamoja <strong>na</strong> majibu mazuri hayo ni<strong>na</strong>maswali mawili ya nyongeza. Kwa kuwa Serikali yetu i<strong>na</strong>tarajia kuanzia mwakani kufungua vyuovya ufundi katika kila Wilaya. Je, Serikali imejiandaa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani ili kuhakikisha kuwa Walimuwa<strong>na</strong>patika<strong>na</strong>, yasije kutokea kama yaliyotokea katika mpango wa MMES ambao tulijenga shuleza sekondari bila kuwa <strong>na</strong> Walimu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpango gani kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hilo?Pili, ni kwamba kwa kuwa mpaka sasa bado katika vyuo vyetu vingi sa<strong>na</strong> vya ufundi vyaSerikali vi<strong>na</strong> upungufu mkubwa <strong>na</strong> kwa kuwa Walimu waliobaka ni 39 tu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpangogani wa kuwachukua Walimu hawa kwa dharura ili waweze kuajiriwa <strong>na</strong> kufundisha katika Vyuovya Ufundi vya Serikali?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kabisaSerikali imedhamiria kujenga au kuanzisha Vyuo vya Ufundi Stadi kila Wilaya <strong>na</strong> pale ambapotutashindwa kwa miaka hii miwili au mitatu basi tu<strong>na</strong>vibadilisha vile vyuo vya FDCs kuwa Vyuo vyaUfundi, VETA. Lakini tu<strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto hii ya Walimu kama a<strong>na</strong>vyosema kwamba katika Mpangowa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), tatizo lilikuwa ni Walimu, tulianza kujenga kabla yaWalimu lakini vile vile hata katika mpango huu wa hivi vyuo vya VETA tumeshapata fundisho hilo<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jitahidi sasa kudahili Walimu wengi wa ufundi.Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali i<strong>na</strong>o utaratibu wa kupata Walimu wa ufundi stadi kamanilivyosema Vyuo vya Kleruu, Iringa <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Morogoro kwa ajili ya ualimu. Lakini vile viletu<strong>na</strong>vyo vyuo vingi, tu<strong>na</strong>cho Chuo <strong>cha</strong> DIT yaani Dar es Salaam Institute of Technology, tu<strong>na</strong> MISTChuo <strong>cha</strong> Ufundi, Mbeya yaani Mbeya Institute of Science and Technology, tu<strong>na</strong>yo AIT yaaniArusha Technical College <strong>na</strong> St. Joseph. Vyote hivyo tumeongeza udahili <strong>na</strong> maa<strong>na</strong> yake kilamwaka tu<strong>na</strong>tegemea Walimu wa vyuo wamalize kuanzia 550. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong> uhakika ndani yamiaka miwili mpaka mitatu tutapata Walimu wengi wa Vyuo vya Ufundi VETA.13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!