Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kutoa maelezo hayo, <strong>na</strong>toa rai kwa wa<strong>na</strong>nchi wotepamoja <strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge, kutoa taarifa za ukiukwaji wa sheria kwenye Ofisi ya TFDAMakao Makuu, Ofisi za Kanda <strong>na</strong> Ofisi za Afya za Mkoa <strong>na</strong> Halmashauri, wa<strong>na</strong>pogundua ukiukwajiwa sheria ili kuwezesha mamlaka ya kuchukua hatua zi<strong>na</strong>zostahili <strong>na</strong> kulinda afya za wa<strong>na</strong>nchi.Aidha, <strong>na</strong>washukuru wote ambao wamekuwa wakitoa taarifa kwani kwa kufanya hivyo, wa<strong>na</strong>toam<strong>cha</strong>ngo <strong>cha</strong>nya katika shughuli za udhibiti <strong>na</strong> usalama wa vyakula.MHE. LUCY F. OWENYA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi yakuuliza swali la nyongeza. Si<strong>na</strong> uhakika kama TFDA huwa i<strong>na</strong>waangalia mama nitilie, mama nitiliehuwa wa<strong>na</strong>pika vyakula kwenye mazingira ya hali ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> sehemu nyingine huwahawa<strong>na</strong> hata maji ya kusafishia vyombo vile, hali ambayo i<strong>na</strong>pelekea saa nyingine kupatamagonjwa ya mlipuko, sijui Serikali i<strong>na</strong>wasaidiaje ili kuhakikisha kwamba wa<strong>na</strong>tengeneza vyakulavile kwenye mazingira ya hali ya usafi ili kupunguza magonjwa ya mlipuko? (Makofi)Pili, ningependa kupata jibu kutoka kwa Mheshimiwa Naibu Waziri, ni kwa jinsi gani vyakulahivi vi<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia magonjwa sugu kama vile kisukari, blood pressure ya juu, saratani pamoja <strong>na</strong>hayo magonjwa ya mlipuko?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> AFYA NA USTAWI <strong>WA</strong> JAMII: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwamba, hawaaki<strong>na</strong>mama nitilie wa<strong>na</strong>pika kwenye maeneo ya Halmashauri ama Serikali za Mitaa, majukumuhaya tumeyakasimu kwa bwa<strong>na</strong> afya wa Halmashauri ndiye a<strong>na</strong>yetakiwa kuwa a<strong>na</strong>wazungukia<strong>na</strong> kuwapa elimu. Pale ambapo a<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba mazingira ni ma<strong>cha</strong>fu kabisa basi watafutemaeneo mbadala ili wale aki<strong>na</strong>mama waweze kujikimu kiuchumi siyo kuwafungia, ila <strong>na</strong>semakwamba wapate elimu <strong>na</strong> wahamishiwe sehemu ambazo ni salama. Jukumu hili limekasimiwaHalmashauri.Swali la pili, ni kwa kiasi gani vyakula hivi ambavyo vi<strong>na</strong>pikwa, <strong>na</strong>fikiri siyo mama nitilie tu,hebu tuulize kwamba ni vyakula gani ambavyo au ni kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani vyakula vi<strong>na</strong>wezavika<strong>cha</strong>ngia maradhi ya kisukari, vika<strong>cha</strong>ngia saratani <strong>na</strong> maradhi mengine sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, kila kitu ambacho bi<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>kula haki<strong>na</strong> usalama ndani yamwili wake kama hatakula kwa kiasi, ila <strong>na</strong>omba kusema kwamba ku<strong>na</strong> ai<strong>na</strong> nyingine za mafutaambayo tu<strong>na</strong>fuatilia sasa hivi ambayo <strong>na</strong>jua kwamba, kama tukifuatilia vizuri tutao<strong>na</strong> kwambaku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo gani katika ku<strong>cha</strong>ngia sukari, ku<strong>cha</strong>ngia hypertension pamoja <strong>na</strong> maradhimengine ambayo ni sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kusema kwamba, sisi kama Watanzania tuangalie ni<strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani tu<strong>na</strong>rudi kula vyakula walivyokuwa wa<strong>na</strong>kula wazazi wetu wa zamani vyakuchemsha, tusipende sa<strong>na</strong> kukaanga ila <strong>na</strong>penda kutoa tahadhari kwamba hizi biashara zaChips Mayai zi<strong>na</strong>zokaangwa barabarani, <strong>na</strong>omba kusema kwamba havi<strong>na</strong> usalama sa<strong>na</strong> ilajuhudi tutakayofanya kama Wizara ya Afya ni kuwaelimisha waweze kupika <strong>cha</strong>kula ambacho nisalama.NAIBU SPIKA: Tuitendee haki Wizara ya Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, swali la mwishoasubuhi ya leo <strong>na</strong> li<strong>na</strong>ulizwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa.MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong> aliuliza:-Na. 405Walimu wa Ufundi KutoajiriwaWalimu wote wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo ya ualimu wa ufundi hukosa ajira Serikalini ingawaSerikali i<strong>na</strong> upungufu mkubwa wa walimu wa ufundi.Je, ni sababu zipi zi<strong>na</strong>ifanya Serikali isiajiri walimu hao, mfano walimu waliomaliza VETAMorogoro mwaka 2010?12
NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI alijibu:-Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, <strong>na</strong>ombakujibu swali la Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa, Mbunge wa Kibiti kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Naibu Spika, mafunzo ya ualimu wa ufundi nchini yapo ya ai<strong>na</strong> mbili <strong>na</strong>hutolewa katika vyuo viwili tu. Chuo <strong>cha</strong> Ualimu Kleruu hutoa mafunzo ya ualimu katika ngazi yastashahada <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Ufundi Stadi Morogoro hutoa mafunzo ya Ualimu wa Ufundi katika ngaziya Cheti <strong>na</strong> Stashahada. Walimu wa ufundi huandaliwa kufundisha katika shule za sekondari zaufundi <strong>na</strong> walimu wa ufundi stadi huandaliwa maalum kufundisha katika vyuo vya ufundi stadi <strong>na</strong>kujiajiri wenyewe.Mheshimiwa Naibu Spika, wahitimu wa Chuo <strong>cha</strong> Ualimu <strong>cha</strong> VETA, Morogoro wa mwaka2010 walikuwa 87, kati yao 35 walitoka vyuo mbalimbali vya ufundi stadi yaani in service, hivyobaada ya kuhitimu walirudi kazini. Hata hivyo, wahitimu 13 kati ya 52 walijigharamia wenyewewaliajiriwa katika vyuo vya VETA.Mheshimiwa Naibu Spika, Chuo <strong>cha</strong> VETA, Morogoro ki<strong>na</strong>andaa walimu wa ufundi stadikwa ajili ya soko la ajira ambalo li<strong>na</strong>panuka <strong>na</strong> vilevile kuwawezesha kuajiriwa katika vyuo bi<strong>na</strong>fsivya ufundi ambavyo kwa sasa ni 672 nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kuwa lengokubwa la Serikali ni kuwawezesha wahitimu wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo hayo ya ufundi stadi kuingiakatika ujasiriamali au kushinda<strong>na</strong> katika soko huria. Hivyo, walimu wa ufundi wasio <strong>na</strong> ajira ambaopia ni mafundi wa<strong>na</strong>weza kutumia fursa zilizopo kujiajiri au kujiunga pamoja <strong>na</strong> hivyo kuwezakupata mikopo kutoka Taasisi za fedha kuendesha maisha yao.NAIBU SPIKA: Afisa Elimu, Mheshimiwa Abdul Marombwa!MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi <strong>na</strong>pia nimshukuru Naibu Waziri kwa majibu mazuri aliyonipatia. Pamoja <strong>na</strong> majibu mazuri hayo ni<strong>na</strong>maswali mawili ya nyongeza. Kwa kuwa Serikali yetu i<strong>na</strong>tarajia kuanzia mwakani kufungua vyuovya ufundi katika kila Wilaya. Je, Serikali imejiandaa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani ili kuhakikisha kuwa Walimuwa<strong>na</strong>patika<strong>na</strong>, yasije kutokea kama yaliyotokea katika mpango wa MMES ambao tulijenga shuleza sekondari bila kuwa <strong>na</strong> Walimu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpango gani kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> hilo?Pili, ni kwamba kwa kuwa mpaka sasa bado katika vyuo vyetu vingi sa<strong>na</strong> vya ufundi vyaSerikali vi<strong>na</strong> upungufu mkubwa <strong>na</strong> kwa kuwa Walimu waliobaka ni 39 tu. Je, Serikali i<strong>na</strong> mpangogani wa kuwachukua Walimu hawa kwa dharura ili waweze kuajiriwa <strong>na</strong> kufundisha katika Vyuovya Ufundi vya Serikali?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kabisaSerikali imedhamiria kujenga au kuanzisha Vyuo vya Ufundi Stadi kila Wilaya <strong>na</strong> pale ambapotutashindwa kwa miaka hii miwili au mitatu basi tu<strong>na</strong>vibadilisha vile vyuo vya FDCs kuwa Vyuo vyaUfundi, VETA. Lakini tu<strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto hii ya Walimu kama a<strong>na</strong>vyosema kwamba katika Mpangowa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), tatizo lilikuwa ni Walimu, tulianza kujenga kabla yaWalimu lakini vile vile hata katika mpango huu wa hivi vyuo vya VETA tumeshapata fundisho hilo<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jitahidi sasa kudahili Walimu wengi wa ufundi.Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali i<strong>na</strong>o utaratibu wa kupata Walimu wa ufundi stadi kamanilivyosema Vyuo vya Kleruu, Iringa <strong>na</strong> Chuo <strong>cha</strong> Morogoro kwa ajili ya ualimu. Lakini vile viletu<strong>na</strong>vyo vyuo vingi, tu<strong>na</strong>cho Chuo <strong>cha</strong> DIT yaani Dar es Salaam Institute of Technology, tu<strong>na</strong> MISTChuo <strong>cha</strong> Ufundi, Mbeya yaani Mbeya Institute of Science and Technology, tu<strong>na</strong>yo AIT yaaniArusha Technical College <strong>na</strong> St. Joseph. Vyote hivyo tumeongeza udahili <strong>na</strong> maa<strong>na</strong> yake kilamwaka tu<strong>na</strong>tegemea Walimu wa vyuo wamalize kuanzia 550. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong> uhakika ndani yamiaka miwili mpaka mitatu tutapata Walimu wengi wa Vyuo vya Ufundi VETA.13
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64:
matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66:
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68:
Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70:
namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72:
Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74:
pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76:
Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest