12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>na</strong>penda kutumia <strong>na</strong>fasi hii kuwapongeza Mheshimiwa Dokta Ali Mohamed Shein kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar <strong>na</strong> Mheshimiwa Mizengo KayanzaPeter Pinda, Mbunge wa Katavi kwa kuteuliwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Rais kwa mara nyingine kuwaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Aidha, <strong>na</strong>omba nimpongeze Mheshimiwa, An<strong>na</strong> Makinda, Mbunge wa Njombe, kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Spika wa kwanza mwa<strong>na</strong>mke wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania. Nakupongeza wewe bi<strong>na</strong>fsi Mheshimiwa Job Ndugai, Mbunge wa Kongwa kwaku<strong>cha</strong>guliwa kuwa Naibu Spika. Nawapongeza pia walio<strong>cha</strong>guliwa kuwa Wenyeviti wa Bunge <strong>na</strong>Wenyeviti wa Kamati mbalimbali.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee niwapongeze viongozi wotewalioteuliwa <strong>na</strong> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuongoza Wizara <strong>na</strong> Taasisimbalimbali za Serikali. Pongezi za pekee pia ziwaendee Wabunge wote walio<strong>cha</strong>guliwa <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> wengine kuteuliwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Rais <strong>na</strong> ambao wamejiunga katika Bunge lakoTukufu kutoka katika Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi <strong>na</strong> Vyama vingine.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kusimamambele ya Bunge lako Tukufu kwa mara ya kwanza kama Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong>Michezo. Napenda kumshukuru kwa dhati Mheshimiwa Rais Dokta Jakaya Mrisho Kikwete, kwaheshima aliyonipa ya kuniteua kuwa Waziri a<strong>na</strong>yesimamia majukumu ya Wizara hii <strong>na</strong> pia kumteuaMheshimiwa Dokta Fenella Mukangara kuwa Naibu Waziri.Aidha, <strong>na</strong>washukuru kipekee wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo langu la U<strong>cha</strong>guzi la Songea Mjini, kwamoyo wao wa upendo wa kuni<strong>cha</strong>gua te<strong>na</strong> ili niendelee kusaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong>o katika utekelezaji wamajukumu ya kuleta maendeleo katika Jimbo letu.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>washukuru pia Watanzania wote hususan Vija<strong>na</strong>,Wa<strong>na</strong>michezo, Wasanii <strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>habari kwa ushirikiano mkubwa wa<strong>na</strong>oendelea kunipatia tangunilipoteuliwa. Kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee, <strong>na</strong>omba nikishukuru Chama Cha Mapinduzi, kwa kuniteuakuwa mgombea wa Jimbo la Songea Mjini.Mheshimiwa Naibu Spika, mwisho, sitaisahau familia yangu, hasa mke wangu mpendwa,Jane Kijazi Nchimbi <strong>na</strong> watoto wangu, kwa uvumilivu wao wa kukosa kuwa <strong>na</strong>mi muda mwingini<strong>na</strong>pokuwa nikitekeleza majukumu ya Kitaifa.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>tumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwa kuzindua rasmi, Rasimu ya Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitanoambayo kwa mara ya kwanza i<strong>na</strong>toa vipaumbele <strong>na</strong> mwelekeo wa nchi yetu kwa miaka mitanoijayo. Nawapongeza Mawaziri waliotangulia kuwasilisha hoja zao, hususan Waziri Mkuu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, kwa hotuba yake fasahayenye maelekezo ya utekelezaji wa kazi za Serikali kwa kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012.Waziri Mkuu ameainisha malengo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo, Malengo yaMilenia <strong>na</strong> Mkakati wa Kukuza Uchumi <strong>na</strong> Kupunguza Umaskini (MKUKUTA II).Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, <strong>na</strong>mpongeza Mheshimiwa Stephen Wasira, Waziri, Ofisiya Rais Mahusiano ya Jamii; kwa kuwasilisha rasmi Rasimu ya Mpango wa Maendeleo wa MiakaMitano kwenye Bunge lako Tukufu. Namshukuru pia, Mheshimiwa Mustafa Haidi Mkullo, Mbunge<strong>na</strong> Waziri wa Fedha kwa hotuba yake nzuri i<strong>na</strong>yoonesha hali ya uchumi nchini <strong>na</strong> mipango yamaendeleo ambayo imetoa mwelekeo wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, hotuba hiyo pia imetoa mwelekeo wa hali ya uchumi wa nchiulivyo <strong>na</strong> mapato ya Serikali. Naomba kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee niwashukuru Waheshimiwa Wabungewalio<strong>cha</strong>ngia hotuba za Mawaziri walionitangulia. Maoni waliyotoa yamesaidia kuboreshamipango ya Serikali katika sekta mbalimbali, zikiwemo sekta zilizoko chini ya Wizara hii.Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya maelezo hayo ya awali, <strong>na</strong>omba sasa kutumia fursahii kuipongeza <strong>na</strong> kuishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, ambayo18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!