Mheshimiwa Mwenyekiti, hapo hapo tu<strong>na</strong>himiza kwamba, vija<strong>na</strong> wetu mashuleni washirikimashindano ya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Bila kuwa <strong>na</strong> viwanja, hili suala halitafanikiwa. Lakinitu<strong>na</strong>pozungumzia michezo, tusizungumzie suala la netball pamoja <strong>na</strong> mpira wa miguu tu. Ikomichezo mingi, zamani nilikuwa <strong>na</strong>o<strong>na</strong>, kwa mfano, masuala ya riadha, kupokeza<strong>na</strong> vijiti, watuwalikuwa wa<strong>na</strong>kimbia kwa magunia. Ile pia ilikuwa i<strong>na</strong>leta <strong>cha</strong>ngamoto kwa sababu, ipo michezoambayo m<strong>na</strong>weza mkashiriki watu wa rika zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi kwa mfano tukikazania mashindano, kwa mfano, yale yakukimbiza mbuzi, atakayempata wa kwake, u<strong>na</strong>wasaidia hata wazee wetu <strong>na</strong> wao washirikikatika suala la michezo. Ku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngiaji mmoja hapa amesema michezo ni afya. U<strong>na</strong>pofanyamichezo <strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong>punguza gharama za kwenda hospitali kupata matibabu.Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, <strong>na</strong>omba nitoe hamasa kwa Waheshimiwa Wabungekwamba <strong>na</strong> sisi tusiwe wasemaji tu, tushiriki katika michezo, tu<strong>na</strong>pokuwa hapa Bungeni <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>porudi majumbani kwetu. Kwa sababu, sisi tukishiriki suala la michezo, <strong>na</strong>fikiri hata jamiii<strong>na</strong>yotuzunguka <strong>na</strong> wao wataiga mfano wetu, tutajikuta jamii yote i<strong>na</strong>shiriki katika michezo.Mheshimiwa Waziri, Mheshimiwa Naibu Waziri, hapa Bungeni tu<strong>na</strong> timu zetu, tu<strong>na</strong> klabu yetu…(Hapa kengele iligonga kuashiria muda wamzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Nakushukuru, Mheshimiwa.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. Ahsante.MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa badala ya Mheshimiwa MozaAbeid Said, <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa Kombo Hamisi Kombo.MHE. KOMBO HAMISI KOMBO: Mheshimiwa Mwenyekiti, awali ya yote, <strong>na</strong>chukua <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fsi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Nianze <strong>na</strong> Sekta ya Habari.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Habari ni chombo muhimu katika jamii yoyote <strong>na</strong> katikanchi yoyote. Sekta ya Habari ni sekta ambayo i<strong>na</strong>weza ikaliletea Taifa maendeleo. Lakini sekta hiiya habari i<strong>na</strong> uwezo mkubwa wa kuweza kuliletea janga Taifa lolote. Hali iendako, vyombo vyahabari vitatumiwa vibaya.Mheshimiwa Mwenyekiti, niseme kwamba, kweli Tanzania tu<strong>na</strong>o utaalam wa vyombo vyahabari, lakini wengi wao wa<strong>na</strong>vitumia vyombo vya habari kinyume <strong>na</strong> maadili ya vyombo vyahabari vi<strong>na</strong>vyotakiwa vitumike. Tuangalie miaka ya nyuma wenzetu wa Burundi kulikuwa <strong>na</strong> rediomoja iliyokuwa ikiitwa Redio Intarahamwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa redio hii ilitumika vibaya katika nchi ya Burundi, iliwezakuwaletea Warundi maafa makubwa mno, sasa <strong>na</strong> Tanzania upeo wetu wa kutumia vyombo vyahabari tu<strong>na</strong>utumia vibaya. I<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> kwamba baadhi ya waandishi wa habari wa<strong>na</strong>chukuahongo kutoka kwa watu fulani, ili waweze kuandika habari zao vile ambavyo wa<strong>na</strong>taka wao. Sasahaya, siyo maadili mema ya uandishi wa habari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, habari ni elimu, <strong>na</strong> endapo itatumiwa vizuri kama i<strong>na</strong>vyotakiwa,basi wa<strong>na</strong>nchi wetu wataweza kuzifuatilia habari zetu. Lakini <strong>na</strong>taka nikuhakikishie kwamba, ku<strong>na</strong>baadhi ya magazeti hivi sasa, baadhi ya wa<strong>na</strong>nchi wengi hawayatumii kwa sababu manenoyaliyomo mle, hayaleti <strong>cha</strong>ngamoto yoyote ya maendeleo isipokuwa ni kupiga<strong>na</strong> vijembe,kulumba<strong>na</strong> bai<strong>na</strong> ya viongozi <strong>na</strong> kiongozi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda niseme kwamba waandishi wetu tusiwatumie vibaya.Kama tu<strong>na</strong> chochote <strong>cha</strong> kuwasaidia waandishi, kama alivyosema Mheshimiwa Bulaya, basituwasaidie waandishi, lakini isiwe ni kichocheo <strong>cha</strong> rushwa <strong>cha</strong> kutaka tuandikiwe habari zetu viletu<strong>na</strong>vyotaka sisi. (Makofi)64
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni utamaduni. Tukitaka tusitake, utamaduni waMtanzania umeanza kuathirika kwa kiasi kikubwa mno kwa kufuata tamaduni za wageni. Siyotamaduni ya Watanzania kuvaa rasta hata siku moja, wala siyo utamaduni wa Mtanzania kuvaanguo nusu uchi. Siyo utamaduni wetu! Siyo heshima zetu! Siyo silika zetu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa leo tumefikia hatua ya kwamba Watanzania hatuthaminihata miili yetu au ngozi yetu ambayo tumejaliwa kupewa <strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ku<strong>na</strong> Watanzaniaambao wa<strong>na</strong>diriki kula vidonge, eti wabadilishe ngozi za miili yao. Sasa hii, ni kuchuma maradhi yamakusudi kwa sababu rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata ambayo siyo majaliwa yako, rangi yako uliyojaliwa<strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ndiyo hiyo hiyo, basi rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata haikusaidii chochote. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong>kubali kwamba wasanii Tanzania hawajapewaumuhimu u<strong>na</strong>ostahiki, <strong>na</strong> ni jukumu la Serikali kupitia Wizara husika kuhakikisha kwambaimewaandaa wasanii wa Kitanzania ili waweze kuliletea Taifa hili maendeleo ya kweli. Lakinisa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>zo zi<strong>na</strong> mipaka yake, sa<strong>na</strong>a nyingine zi<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ku<strong>na</strong>baadhi ya michezo ambayo i<strong>na</strong>chezwa <strong>na</strong> baadhi ya wasanii wa<strong>na</strong>onyesha mambo ya siri zandani za baba <strong>na</strong> mama mbele ya watoto jambo ambalo siyo somo la kuweza kumpa mtoto waTanzania, li<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ni aibu, kashifa, baadhi ya CD au kandazi<strong>na</strong>zoonyeshwa kwa hadhara ya vija<strong>na</strong> wetu wadogo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nirudie kusema kwamba siyo utamaduni wa Mtanzaniamwa<strong>na</strong>mke kuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyokuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyo. Haku<strong>na</strong> dinii<strong>na</strong>yomtaka mwa<strong>na</strong>mke atembee nusu uchi. Haya ya<strong>na</strong>tendeka. Leo tu<strong>na</strong>kaa tu<strong>na</strong>wasemavija<strong>na</strong> kwamba vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa ni wakorofi, wakati sisi wazazi ndiyo source wa matatizoyale. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije katika suala la michezo. Nakubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzanguwaliosema kwamba michezo ni sehemu ya ajira. Hivyo, kwanini kama kweli Tanzania tu<strong>na</strong>takatuonekane katika medani ya kimataifa kwamba <strong>na</strong> sisi tu<strong>na</strong>weza, tusiweze kuwatoa vija<strong>na</strong> wetukuwapeleka popote nchini, lakini wakaenda wakasoma sekta hii ya michezo wakaja hapawakalitumikia Taifa lao <strong>na</strong> kulipatia faida Taifa lao? (Makofi)Tu<strong>na</strong>chukua mtu kutoka nje kwa ajili ya kuja kusomesha hapa, lakini u<strong>na</strong>pochukua kundi lavija<strong>na</strong> ukawapeleka nje kwa ajili ya kwenda kusoma, aidha, iwe mpira wa miguu au mpiramwingine wowote, basi wa<strong>na</strong>poingia hapa, wao watakuwa ni walimu bora wa kuwasomesha,wengine <strong>na</strong> Taifa hili halitakuwa te<strong>na</strong> <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>che wa wa<strong>na</strong>michezo utakaoweza kuwafundishawengine. (Makofi)Sasa niseme kama Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo imetengewa Shilingibilioni 18.5 <strong>na</strong> hiki ndicho walichoomba <strong>na</strong> wao wamesema kwamba kumeongezeka point moja.Hatufiki popote katika Sekta ya Michezo. Bado tutaendelea kurudi chini, bado tutakuwahatuendelei kimichezo <strong>na</strong> bado tutatafuta walimu wa kuja hapa kuchukua riziki zao ambazohazitawasaidia Watanzania halafu warudi kwao, ni matajiri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>toa pendekezo kwamba ku<strong>na</strong> haja ya kujenga kiwanja kilaMkoa ambacho kitashirikisha michezo yote, lakini vilevile kuwe <strong>na</strong> viwanja angalau vinne, iwe niKanda ya Ziwa kiwanja kimoja, Kusini kiwanja kimoja, Kati kiwanja kimoja <strong>na</strong> Kaskazini kiwanjakimoja. Hivi viwe ni viwanja ambavyo vitatambuliwa kuwa ni viwanja vya kimataifa vilivyopoTanzania, <strong>na</strong> Zanzibar kuwe <strong>na</strong> kiwanja kimoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>dhani siyo Watanzania wengi ambao hawapendi michezo.Mimi mwenyewe ni mwa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong> tayari nimeshatunga kitabu <strong>cha</strong>ngu, rasimu ipo hapa,nimeieleza wakati nilipotakiwa nikijaza fomu, nilifikiria angalau nitaitwa nihojiwe juu ya rasimu hii <strong>na</strong>vipi i<strong>na</strong>weza ikatoa m<strong>cha</strong>ngo kwa Taifa? Lakini sijaulizwa mpaka leo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)65
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest