12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni utamaduni. Tukitaka tusitake, utamaduni waMtanzania umeanza kuathirika kwa kiasi kikubwa mno kwa kufuata tamaduni za wageni. Siyotamaduni ya Watanzania kuvaa rasta hata siku moja, wala siyo utamaduni wa Mtanzania kuvaanguo nusu uchi. Siyo utamaduni wetu! Siyo heshima zetu! Siyo silika zetu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa leo tumefikia hatua ya kwamba Watanzania hatuthaminihata miili yetu au ngozi yetu ambayo tumejaliwa kupewa <strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ku<strong>na</strong> Watanzaniaambao wa<strong>na</strong>diriki kula vidonge, eti wabadilishe ngozi za miili yao. Sasa hii, ni kuchuma maradhi yamakusudi kwa sababu rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata ambayo siyo majaliwa yako, rangi yako uliyojaliwa<strong>na</strong> Mwenyezi Mungu, ndiyo hiyo hiyo, basi rangi hiyo u<strong>na</strong>yoipata haikusaidii chochote. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong>kubali kwamba wasanii Tanzania hawajapewaumuhimu u<strong>na</strong>ostahiki, <strong>na</strong> ni jukumu la Serikali kupitia Wizara husika kuhakikisha kwambaimewaandaa wasanii wa Kitanzania ili waweze kuliletea Taifa hili maendeleo ya kweli. Lakinisa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>zo zi<strong>na</strong> mipaka yake, sa<strong>na</strong>a nyingine zi<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ku<strong>na</strong>baadhi ya michezo ambayo i<strong>na</strong>chezwa <strong>na</strong> baadhi ya wasanii wa<strong>na</strong>onyesha mambo ya siri zandani za baba <strong>na</strong> mama mbele ya watoto jambo ambalo siyo somo la kuweza kumpa mtoto waTanzania, li<strong>na</strong>kiuka maadili <strong>na</strong> silika za Watanzania. Ni aibu, kashifa, baadhi ya CD au kandazi<strong>na</strong>zoonyeshwa kwa hadhara ya vija<strong>na</strong> wetu wadogo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nirudie kusema kwamba siyo utamaduni wa Mtanzaniamwa<strong>na</strong>mke kuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyokuweza kuvaa nguo za kiume <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> dini yoyote i<strong>na</strong>yoruhusu kufanya hivyo. Haku<strong>na</strong> dinii<strong>na</strong>yomtaka mwa<strong>na</strong>mke atembee nusu uchi. Haya ya<strong>na</strong>tendeka. Leo tu<strong>na</strong>kaa tu<strong>na</strong>wasemavija<strong>na</strong> kwamba vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa ni wakorofi, wakati sisi wazazi ndiyo source wa matatizoyale. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije katika suala la michezo. Nakubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzanguwaliosema kwamba michezo ni sehemu ya ajira. Hivyo, kwanini kama kweli Tanzania tu<strong>na</strong>takatuonekane katika medani ya kimataifa kwamba <strong>na</strong> sisi tu<strong>na</strong>weza, tusiweze kuwatoa vija<strong>na</strong> wetukuwapeleka popote nchini, lakini wakaenda wakasoma sekta hii ya michezo wakaja hapawakalitumikia Taifa lao <strong>na</strong> kulipatia faida Taifa lao? (Makofi)Tu<strong>na</strong>chukua mtu kutoka nje kwa ajili ya kuja kusomesha hapa, lakini u<strong>na</strong>pochukua kundi lavija<strong>na</strong> ukawapeleka nje kwa ajili ya kwenda kusoma, aidha, iwe mpira wa miguu au mpiramwingine wowote, basi wa<strong>na</strong>poingia hapa, wao watakuwa ni walimu bora wa kuwasomesha,wengine <strong>na</strong> Taifa hili halitakuwa te<strong>na</strong> <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>che wa wa<strong>na</strong>michezo utakaoweza kuwafundishawengine. (Makofi)Sasa niseme kama Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo imetengewa Shilingibilioni 18.5 <strong>na</strong> hiki ndicho walichoomba <strong>na</strong> wao wamesema kwamba kumeongezeka point moja.Hatufiki popote katika Sekta ya Michezo. Bado tutaendelea kurudi chini, bado tutakuwahatuendelei kimichezo <strong>na</strong> bado tutatafuta walimu wa kuja hapa kuchukua riziki zao ambazohazitawasaidia Watanzania halafu warudi kwao, ni matajiri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>toa pendekezo kwamba ku<strong>na</strong> haja ya kujenga kiwanja kilaMkoa ambacho kitashirikisha michezo yote, lakini vilevile kuwe <strong>na</strong> viwanja angalau vinne, iwe niKanda ya Ziwa kiwanja kimoja, Kusini kiwanja kimoja, Kati kiwanja kimoja <strong>na</strong> Kaskazini kiwanjakimoja. Hivi viwe ni viwanja ambavyo vitatambuliwa kuwa ni viwanja vya kimataifa vilivyopoTanzania, <strong>na</strong> Zanzibar kuwe <strong>na</strong> kiwanja kimoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>dhani siyo Watanzania wengi ambao hawapendi michezo.Mimi mwenyewe ni mwa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a, <strong>na</strong> tayari nimeshatunga kitabu <strong>cha</strong>ngu, rasimu ipo hapa,nimeieleza wakati nilipotakiwa nikijaza fomu, nilifikiria angalau nitaitwa nihojiwe juu ya rasimu hii <strong>na</strong>vipi i<strong>na</strong>weza ikatoa m<strong>cha</strong>ngo kwa Taifa? Lakini sijaulizwa mpaka leo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)65

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!