yaliyoainishwa katika Sera ya Utangazaji ya mwaka 2003, Sheria ya Bunge <strong>na</strong>mba (3) ya mwaka2010 pamoja <strong>na</strong> Kanuni za Utangazaji za mwaka 2005.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 2010/<strong>11</strong>, Kamati ilishughulikiamalalamiko ya ukiukwaji wa maadili ya utangazaji <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa kanuni za utangazajizi<strong>na</strong>zingatiwa. Jumla ya malalamiko ya maudhui ya vipindi tisa (9) yalipokelewa. Kati ya hayomalalamiko <strong>na</strong>ne yalishughulikiwa <strong>na</strong> lalamiko moja li<strong>na</strong>endelea kufanyiwa kazi.Mheshimiwa Naibu Spika, m<strong>cha</strong>ngo wa vyombo vya Habari bi<strong>na</strong>fsi. Tangu mabadiliko ya sera zakiuchumi <strong>na</strong> kisiasa ya miaka ya 90 kumekuwa <strong>na</strong> ukuaji mkubwa wa sekta ya habari nchini.Mabadiliko hayo yameshuhudia kuanzishwa kwa vyombo vingi vya habari bi<strong>na</strong>fsi, hususanmagazeti. Hivi sasa Tanzania ni moja ya nchi <strong>cha</strong>che Barani Afrika zenye idadi kubwa ya vyombovya habari <strong>na</strong> uhuru mpa<strong>na</strong> wa vyombo hivyo. Hali hiyo ime<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> katika kukuza <strong>na</strong>kupanua uelewa wa wa<strong>na</strong>nchi wa mambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yohusu maisha <strong>na</strong> maendeleo yao.Watanzania wengi hivi sasa wa<strong>na</strong> uelewa wa hali ya juu wa mambo ya<strong>na</strong>yotokea hapa nchini <strong>na</strong>duniani kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, dhima ya vyombo vya habari duniani kote ni kuhabarisha,kuelimisha <strong>na</strong> kuburudisha. Wizara yangu ambayo i<strong>na</strong> dhama<strong>na</strong> ya kusimamia vyombo vyahabari nchini itahakikisha kuwa dhima hiyo i<strong>na</strong>tekelezwa kikamilifu kwa kuzingatia weledi <strong>na</strong>maadili ya taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwa sababu hiyo Wizara imeamua kuimarisha utaratibu wakuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo vya habari hususan vyombo vya habari bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> wadau mbalimbali wahabari kwa lengo la kuboresha utendaji wa vyombo hivyo ili viwahudumie wa<strong>na</strong>nchi kwa ufanisizaidi. Katika hili, Wizara yangu imedhamiria kwa dhati kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau wote wa habarikatika kuweka mazingira endelevu yatakayowezesha kuwepo kwa ukuaji zaidi wa uhuru wavyombo vya habari hapa nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, hivi sasa sehemu kubwa ya vyombo vya habari nchinii<strong>na</strong>milikiwa <strong>na</strong> watu bi<strong>na</strong>fsi. Wizara yangu i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini m<strong>cha</strong>ngo mkubwa <strong>na</strong> muhimuwa vyombo hivi katika kutoa habari <strong>na</strong> taarifa mbalimbali kwa wa<strong>na</strong>nchi. Vyombo vya habaribi<strong>na</strong>fsi vi<strong>na</strong>fanya kazi nzuri kwa Taifa letu ukiondoa kasoro ndogo ndogo zilizopo ambazo Wizarayangu i<strong>na</strong>zifanyia kazi kwa ushirikiano wa karibu <strong>na</strong> vyombo hivyo.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wake mkubwa katika maendeleo ya Taifaletu, vyombo vya habari vya bi<strong>na</strong>fsi pia vimekuwa tegemeo la ajira kwa wa<strong>na</strong>habari wengi vija<strong>na</strong>.Idadi kubwa ya vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ohitimu mafunzo ya uandishi wa habari wa<strong>na</strong>pata ajira kwenyevyombo hivyo, jambo ambalo limesaidia kwa kiwango fulani kupunguza tatizo la ajira miongonimwa vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara itaendelea kuhakikisha kwamba mafunzo ya uandishi wahabari ya<strong>na</strong>boreshwa ili kuwawezesha vija<strong>na</strong> wengi zaidi kupata ajira kwenye sekta hii muhimu.Tayari Wizara yangu imeanzisha mazungumzo <strong>na</strong> Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) kuhusuuwezekano wa Mfuko huo kufadhili mafunzo ya muda mrefu kwa baadhi ya waandishi wa habariwenye sifa stahiki.Aidha, vyombo vya habari kwa ujumla wake vi<strong>na</strong>isaidia Serikali katika kupata mrejeshokutoka kwa wa<strong>na</strong>nchi kuhusu sera <strong>na</strong> mipango ya maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwa nchini. Kwamfano, katika miaka ya karibuni tumeshuhudia jinsi vyombo vya habari vilivyokuwa katika mstariwa mbele kupiga vita dha<strong>na</strong> potofu kama vile mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino)kwa shabaha za kupata utajiri; vikongwe kwa kuwatuhumu u<strong>cha</strong>wi; unyanyapaa dhidi yawaathirika wa UKIMWI <strong>na</strong> watu wenye ulemavu pamoja <strong>na</strong> unyanyasaji wa kijinsia.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi za Wa<strong>na</strong>habari zisizo za Kiserikali. Miongoni mwa taasisi<strong>na</strong> vyombo vi<strong>na</strong>vyosaidia katika kuboresha utendaji wa vyombo vya habari hapa nchini ni Barazala Habari Tanzania (MCT), Jukwaa la Wahariri (TEF) <strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong> Wamiliki wa Vyombo vyaHabari (MOAT).22
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la Habari Tanzania limekuwa likifanya kazi kwa ushirikiano<strong>na</strong> Wizara yangu <strong>na</strong> tumekuwa tukishauria<strong>na</strong> katika mambo mbalimbali kwa manufaa ya taalumaya habari. Hivi sasa Baraza, chini ya ushauri wa kitaalam wa Natio<strong>na</strong>l Council for TechnicalEducation (NACTE) <strong>na</strong> udhamini wa UNESCO limekamilisha mtaala wa mafunzo ya uandishi wahabari kwa ngazi za 4 hadi 6 (level 4 – 6) ambazo ni ngazi za cheti (basic certificate), cheti <strong>cha</strong> juu(advanced cerificate) <strong>na</strong> diploma. Mtaala huu utaviwezesha Vyuo vya Uandishi wa Habariambavyo vimesajiliwa kuweza kupata ithibati ya NACTE <strong>na</strong> hivyo vyeti vyake kutambuliwa rasmi.Wizara i<strong>na</strong>fuatilia kwa karibu m<strong>cha</strong>kato huu ambao Serikali i<strong>na</strong>amini utasaidia kukuza kiwango<strong>cha</strong> taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara yangu i<strong>na</strong>penda pia kulipongeza Baraza la Habari kwakazi nzuri li<strong>na</strong>loifanya ya kusikiliza malalamiko ya wa<strong>na</strong>nchi ambao hawatendewi haki <strong>na</strong> baadhiya vyombo vya habari. Baraza li<strong>na</strong>fanya kazi hiyo nzuri li<strong>cha</strong> ya kutokuwa <strong>na</strong> uwezo waKimahakama wa kutoa adhabu. Wizara itaendelea kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza katika utekelezaji wajukumu lake hilo muhimu kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kutambua umuhimu wa maadili katika kuendeleza taalumaya habari nchini, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Jukwaa la Wahariri <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> wamiliki wa vyombovya Habari katika kuelimisha <strong>na</strong> kuhimiza waandishi wa habari kuzingatia maadili katika utendajiwao wa kazi. Jitihada hizi za ushirikiano tayari zimeanza kuzaa matunda.Mheshimiwa Naibu Spika, ni matumaini ya Wizara yangu kuwa juhudi hizi za pamoja katiya Serikali <strong>na</strong> wadau wote wa habari zitasaidia katika kuimarisha sekta ya habari ili iendelee kutoam<strong>cha</strong>ngo mkubwa katika kuharakisha maendeleo <strong>na</strong> ustawi wa nchi yetu.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>, Mfuko wa Maendeleo yaVija<strong>na</strong> umeendelea kuimarishwa ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kutoa mikopo kwa vija<strong>na</strong> kupitia SACCOS.Mpaka kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, jumla ya SACCOS 242 zilikopeshwa Shilingi 1,210,000,000. Aidha,muda wa marejesho ya fedha, ambao ni mwaka mmoja tangu SACCOS ilipokopeshwa,umekamilika. Mpaka sasa, jumla ya Shilingi 46,350,000 zimerejeshwa <strong>na</strong> SACCOS tisa (9) kutokaHalmashauri za Wilaya ya Muheza, Kilolo, Mbarali, Manispaa ya Lindi <strong>na</strong> SACCOS moja kutokaManispaa ya Ilala. SACCOS zilizorejesha zitakopeshwa te<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2010 zimeratibiwa <strong>na</strong>kukimbizwa katika Mikoa yote 26 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya kaulimbiu “MalizaMalaria, Malaria haikubaliki”. Mbio hizo pia zilitumika kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> hasa vija<strong>na</strong>kushiriki katika shughuli za maendeleo hususan zile za kiuchumi, kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> maambukizi yavirusi vya UKIMWI, dawa za kulevya, vitendo vya rushwa <strong>na</strong> ukatili dhidi ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong>kuwahamasisha wa<strong>na</strong>nchi kujitokeza kupiga kura kwa amani wakati wa U<strong>cha</strong>guzi Mkuu wa Rais,Wabunge <strong>na</strong> Madiwani mwaka 2010. Kupitia mbio za Mwenge wa Uhuru, jumla ya miradi 1,393yenye thamani ya shilingi 146,464,203,<strong>11</strong>6.29 iliwekewa mawe ya msingi <strong>na</strong> mingine ilizinduliwawakati wa mbio hizo. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuratibu maandalizi ya mbio za Mwenge kwa mwaka20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, vija<strong>na</strong> kutoka sehemu mbalimbali za nchi yetu walishiriki katikaWiki ya Vija<strong>na</strong>, kilele <strong>cha</strong> mbio za Mwenge wa Uhuru <strong>na</strong> maonesho ya wajasiriamali <strong>na</strong>waelimishaji vija<strong>na</strong> yaliyofanyika katika viwanja vya Mwanga Mjini Kigoma. Jumla ya taasisi 176 zavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau mbalimbali walishiriki maonesho hayo yaliyoanza tarehe 8 hadi 13 Oktoba, 2010.Wakati wa maonesho ya Wiki ya Vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi walielimishwa masuala mbalimbali ikiwa nipamoja <strong>na</strong> majukumu ya<strong>na</strong>yotekelezwa <strong>na</strong> Serikali <strong>na</strong> taasisi zake, wadau wa maendeleo <strong>na</strong>kupewa elimu ya ujasiriamali, afya ya uzazi <strong>na</strong> VVU/UKIMWI. Pamoja <strong>na</strong> maonesho hayo, jumla yawatu 936 walijitokeza kupima VVU, kati yao wa<strong>na</strong>ume walikuwa 556 <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake walikuwa 380ambapo watu 15 kati yao wa<strong>na</strong>wake wa<strong>na</strong>ne (8) <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ume saba (7) walikuwawameambukizwa VVU, sawa <strong>na</strong> asilimia mbili ya watu waliojitokeza kupima VVU.Mheshimiwa Naibu Spika, katika jitihada za kuhakikisha vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>pata stadi zamaisha <strong>na</strong> kupamba<strong>na</strong> <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto za utandawazi zi<strong>na</strong>zowakabili, ikiwa ni pamoja <strong>na</strong>kuwapatia elimu sahihi ya afya ya uzazi <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> VVU/UKIMWI, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>23
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74:
pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76:
Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest