12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

yaliyoainishwa katika Sera ya Utangazaji ya mwaka 2003, Sheria ya Bunge <strong>na</strong>mba (3) ya mwaka2010 pamoja <strong>na</strong> Kanuni za Utangazaji za mwaka 2005.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 2010/<strong>11</strong>, Kamati ilishughulikiamalalamiko ya ukiukwaji wa maadili ya utangazaji <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa kanuni za utangazajizi<strong>na</strong>zingatiwa. Jumla ya malalamiko ya maudhui ya vipindi tisa (9) yalipokelewa. Kati ya hayomalalamiko <strong>na</strong>ne yalishughulikiwa <strong>na</strong> lalamiko moja li<strong>na</strong>endelea kufanyiwa kazi.Mheshimiwa Naibu Spika, m<strong>cha</strong>ngo wa vyombo vya Habari bi<strong>na</strong>fsi. Tangu mabadiliko ya sera zakiuchumi <strong>na</strong> kisiasa ya miaka ya 90 kumekuwa <strong>na</strong> ukuaji mkubwa wa sekta ya habari nchini.Mabadiliko hayo yameshuhudia kuanzishwa kwa vyombo vingi vya habari bi<strong>na</strong>fsi, hususanmagazeti. Hivi sasa Tanzania ni moja ya nchi <strong>cha</strong>che Barani Afrika zenye idadi kubwa ya vyombovya habari <strong>na</strong> uhuru mpa<strong>na</strong> wa vyombo hivyo. Hali hiyo ime<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> katika kukuza <strong>na</strong>kupanua uelewa wa wa<strong>na</strong>nchi wa mambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yohusu maisha <strong>na</strong> maendeleo yao.Watanzania wengi hivi sasa wa<strong>na</strong> uelewa wa hali ya juu wa mambo ya<strong>na</strong>yotokea hapa nchini <strong>na</strong>duniani kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, dhima ya vyombo vya habari duniani kote ni kuhabarisha,kuelimisha <strong>na</strong> kuburudisha. Wizara yangu ambayo i<strong>na</strong> dhama<strong>na</strong> ya kusimamia vyombo vyahabari nchini itahakikisha kuwa dhima hiyo i<strong>na</strong>tekelezwa kikamilifu kwa kuzingatia weledi <strong>na</strong>maadili ya taaluma ya habari.Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwa sababu hiyo Wizara imeamua kuimarisha utaratibu wakuwasilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo vya habari hususan vyombo vya habari bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> wadau mbalimbali wahabari kwa lengo la kuboresha utendaji wa vyombo hivyo ili viwahudumie wa<strong>na</strong>nchi kwa ufanisizaidi. Katika hili, Wizara yangu imedhamiria kwa dhati kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wadau wote wa habarikatika kuweka mazingira endelevu yatakayowezesha kuwepo kwa ukuaji zaidi wa uhuru wavyombo vya habari hapa nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, hivi sasa sehemu kubwa ya vyombo vya habari nchinii<strong>na</strong>milikiwa <strong>na</strong> watu bi<strong>na</strong>fsi. Wizara yangu i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini m<strong>cha</strong>ngo mkubwa <strong>na</strong> muhimuwa vyombo hivi katika kutoa habari <strong>na</strong> taarifa mbalimbali kwa wa<strong>na</strong>nchi. Vyombo vya habaribi<strong>na</strong>fsi vi<strong>na</strong>fanya kazi nzuri kwa Taifa letu ukiondoa kasoro ndogo ndogo zilizopo ambazo Wizarayangu i<strong>na</strong>zifanyia kazi kwa ushirikiano wa karibu <strong>na</strong> vyombo hivyo.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wake mkubwa katika maendeleo ya Taifaletu, vyombo vya habari vya bi<strong>na</strong>fsi pia vimekuwa tegemeo la ajira kwa wa<strong>na</strong>habari wengi vija<strong>na</strong>.Idadi kubwa ya vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ohitimu mafunzo ya uandishi wa habari wa<strong>na</strong>pata ajira kwenyevyombo hivyo, jambo ambalo limesaidia kwa kiwango fulani kupunguza tatizo la ajira miongonimwa vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara itaendelea kuhakikisha kwamba mafunzo ya uandishi wahabari ya<strong>na</strong>boreshwa ili kuwawezesha vija<strong>na</strong> wengi zaidi kupata ajira kwenye sekta hii muhimu.Tayari Wizara yangu imeanzisha mazungumzo <strong>na</strong> Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) kuhusuuwezekano wa Mfuko huo kufadhili mafunzo ya muda mrefu kwa baadhi ya waandishi wa habariwenye sifa stahiki.Aidha, vyombo vya habari kwa ujumla wake vi<strong>na</strong>isaidia Serikali katika kupata mrejeshokutoka kwa wa<strong>na</strong>nchi kuhusu sera <strong>na</strong> mipango ya maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwa nchini. Kwamfano, katika miaka ya karibuni tumeshuhudia jinsi vyombo vya habari vilivyokuwa katika mstariwa mbele kupiga vita dha<strong>na</strong> potofu kama vile mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino)kwa shabaha za kupata utajiri; vikongwe kwa kuwatuhumu u<strong>cha</strong>wi; unyanyapaa dhidi yawaathirika wa UKIMWI <strong>na</strong> watu wenye ulemavu pamoja <strong>na</strong> unyanyasaji wa kijinsia.Mheshimiwa Naibu Spika, Taasisi za Wa<strong>na</strong>habari zisizo za Kiserikali. Miongoni mwa taasisi<strong>na</strong> vyombo vi<strong>na</strong>vyosaidia katika kuboresha utendaji wa vyombo vya habari hapa nchini ni Barazala Habari Tanzania (MCT), Jukwaa la Wahariri (TEF) <strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong> Wamiliki wa Vyombo vyaHabari (MOAT).22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!