12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya ya kutupa vifaa vizito, basketball ya kutumia baiskeli, riadha, football, wa<strong>na</strong>cheza hawa. Katikakucheza kwao, wameshawahi kutuwakilisha huko kwenye Mataifa ya mbali. Kila mara timu hizizi<strong>na</strong>pojaribu kwenda nje, mara zote wamerudi <strong>na</strong> medali tofauti <strong>na</strong> michezo i<strong>na</strong>yochezwa <strong>na</strong>watu wenye macho, miguu <strong>na</strong> masikio wakati mwingine wa<strong>na</strong>rudi bila kitu (zero). Hawa wa<strong>na</strong>rudi<strong>na</strong> medali, <strong>na</strong> medali hizi ni sifa ya Taifa hili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini mpaka kufikia hatua ya nchi yetu kufahamika nje kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> walemavu hawa kufanya juhudi, wenye ulemavu hawa hawasaidiwi kikamilifu wakati wamaandalizi ya hayo mashindano. Ku<strong>na</strong> walioleta medali <strong>11</strong> mwezi wa Sita tu, kama Vyombo vyaHabari <strong>na</strong>vyo tu<strong>na</strong>visikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, nitumie fursa hii kuvishukuru kabisa vyombo vya habari, kwambavi<strong>na</strong>thubutu kabisa kutoa taarifa ya mambo haya. Wale walikuwa watu wenye ulemavu wa akilichini ya Olimpiki maalum, walikwenda kushinda<strong>na</strong> kimataifa, wakarudi <strong>na</strong> Medali <strong>11</strong> mwezi wasita, nchini hapa. Lakini maandalizi yao pale walipoweka Kambi salvation army Dar es Salaamyalikuwa ya<strong>na</strong>sikitisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha kwa sababu hata huduma muhimu za maa<strong>na</strong> zilezilikoseka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mjue kwamba, kwa watu wenye ulemavu kama ni elimu yao, kama ni kazi zaozi<strong>na</strong>gharimu zaidi kuliko michezo ya wazima. Kwa hiyo, hata kuangaliwa wa<strong>na</strong>hitajika waangaliwezaidi kwa sababu wa<strong>na</strong> mahitaji maalum ya ziada ili kuweza kufanikisha chochote kile ambachomtu mwenye ulemavu a<strong>na</strong>paswa kukitekeleza au kukifanikisha nchini. Hata <strong>cha</strong>kula kilikuwa tatizo,wasaidizi waliwekewa wa<strong>cha</strong>che tu.Kwa mfano, kwa upande wa ulemavu wa akili mtoto mmoja a<strong>na</strong>hitaji kuwa <strong>na</strong> wasaidizihata wawili. Mwingine a<strong>na</strong>cheka hovyo, mwingine a<strong>na</strong>fanya hivi, wa<strong>na</strong>paswa kusaidiwa wale,lakini wasaidizi walikuwa wa<strong>cha</strong>che. Mako<strong>cha</strong> walikuwa wawili tu wa kuwaelekeza hiyo michezoyote ambayo walikwenda kushiriki huko mbele ya safari. Hivi Serikali hawakulijua hili? Kwaninitu<strong>na</strong>achia tu <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chohusika? Kama vyama vikubwa vi<strong>na</strong>saidiwa sijui <strong>na</strong> TFF, sijui <strong>na</strong>wadhamini gani, sembuse vyama vya michezo vya watu wenye ulemavu?Hamjui kwamba havi<strong>na</strong> fedha wala uwezo ni moyo tu wa kwenda kuwakilisha nchi za nje,hawakusaidiwa. Kama ni msaada u<strong>na</strong>kuwa sijui wa tiketi ile ya kwenda kule, lakini hii tiketiutampeleka huko kwa kushinda kitu gani kama huku nyumbani hujamsaidia kumtayarisha huyumtu. Matayarisho ya wa<strong>na</strong>michezo wetu te<strong>na</strong> hapa sio tu kwamba wenye ulemavu, matayarishoya wa<strong>na</strong>michezo wetu katika michezo mbalimbali wa<strong>na</strong>pokwenda nje, jamani i<strong>na</strong>kuwa sio mizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, ja<strong>na</strong> nimesikiliza kwenye vyombo vya habari wa<strong>na</strong>riadhawa<strong>na</strong>okwenda sijui Mozambique wa<strong>na</strong>lalamika, netball Taifa Stars sijui timu gani ile Twigawa<strong>na</strong>lalamika, i<strong>na</strong>kuwaje hatuwezi kushinda kama maandalizi huku nyumbani hatuyavalii njuga,halafu tu<strong>na</strong>sema tu<strong>na</strong>rudi watu wendawazimu. Sasa kama huku nyumbani kwenyewe ndiotu<strong>na</strong>karibisha uendawazimu, kule watakwenda kuponyeka <strong>na</strong> uendawazimu si watarudi tu hivyohivyo. Kwa hiyo, hili limenisikitisha pamoja <strong>na</strong> kwamba watoto hawa wamerudi <strong>na</strong> medali lakinihawakusaidiwa. Sasa ki<strong>na</strong>chofurahisha ni kwamba tu<strong>na</strong>furahia tu ushindi, lakini maandalizihatuyakamilishi. Mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> michezo ya kundi hili ithaminiwe wasaidiwe kuandaliwa kwasababu mara zote wamerudi <strong>na</strong> ushindi. Kila mwaka wa<strong>na</strong>poshiriki wa<strong>na</strong>rudi <strong>na</strong> ushindi sasa kwanini tusiendelee kuwapa moyo? Kwa nini tusiwathamini <strong>na</strong> wao wa<strong>na</strong>tuletea ki<strong>na</strong>chofaa?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kingine ambacho ningependa kukizungumzia ni juu ya vyombovya habari. Vyombo vya habari <strong>na</strong>vishukuru kwa ujumla wake televesheni, magazeti pamoja <strong>na</strong>kwamba wakati mwingine ndio hivyo tu<strong>na</strong>walalamikia kwamba aah, wa<strong>na</strong>andika andikawa<strong>na</strong>tuonyesha vitu ambavyo havisaidii, <strong>na</strong>dhani wameshasikia itabidi wajirekebishe. Lakini kwaupande wangu <strong>na</strong>shukuru vyombo vya habari vi<strong>na</strong>poenda kwa masuala ya watu wenye ulemavukwa kweli hawaoni kuvitoa vile vitu hadharani. Kwa mfano mwenye ulemavu a<strong>na</strong>pohitaji kitu, juzitu hapa kama mme-note TBC Dodoma ilimsaili kija<strong>na</strong> mmoja ambaye ametoka Kondoa <strong>na</strong>baiskeli iliyotengenezwa <strong>na</strong> mbao, sijui wenzangu mliio<strong>na</strong>? Kokocho kokocho amejieleza TBCwamemuonyesha. (Makofi)74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!