Mkurugenzi. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>taka Serikali kuifanyia mabadiliko ya viongozi Idara hii, ili kuleta ari <strong>na</strong>ubunifu mpya kikazi. Sanjari <strong>na</strong> hilo, tu<strong>na</strong>pendekeza Idara hii iongezewe nguvu <strong>na</strong> raslimali.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Utamaduni. Ni ukweli ulio wazi kuwa sekta yautamaduni kwa sasa imepoteza mwelekezo kwa sababu mipango mingi ya maendeleo haizingatiiumuhimu wa utamaduni wetu kwa tafsiri pa<strong>na</strong>. Maendeleo ya jamii yoyote ile ya<strong>na</strong>tegemeautamaduni wa nchi husika, hivyo Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>sisitiza kuwa ni lazima Serikali irudi nyuma<strong>na</strong> kujitathimini vizuri katika sekta ya Utamaduni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tu<strong>na</strong>ishi katika kipindi muhimu <strong>cha</strong> mpito wa historia<strong>na</strong> utamaduni ya tangu kizazi <strong>cha</strong> uhuru <strong>na</strong> kile kilichozaliwa baada ya uhuru, ni muhimukuhakikisha kuwa historia <strong>na</strong> utamaduni wetu, u<strong>na</strong>kusanywa, u<strong>na</strong><strong>cha</strong>mbuliwa <strong>na</strong> kuhifadhiwavizuri kwa ajili ya kizazi <strong>cha</strong> sasa <strong>na</strong> vizazi vijavyo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaSerikali iunde Kamisheni Maalum ya Rais ya Historia, ambayo pamoja <strong>na</strong> mambo mengine, iwe <strong>na</strong>majukumu yafuatayo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)(vi)Kufanya utafiti wa watu wote waliotoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kihistoria katikakupigania Uhuru wa Tanganyika, Mapinduzi ya Zanzibar <strong>na</strong> Muungano iliwaweze kukumbukwa <strong>na</strong> mi<strong>cha</strong>ngo yao kuenziwa.Kutambua maeneo, majengo, <strong>na</strong> sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwawa kihistoria.Kupitia matukio muhimu ya historia yetu ili yaweze kuelezewa katika mwangawa kihistoria. Hii ni pamoja <strong>na</strong> Uhuru, Mapinduzi, Muungano, Uasi wa Jeshi,Azimio la Arusha, Operesheni Vijijini, Vita ya Kagera, Enzi za Soko Huria <strong>na</strong>kadhalika.Kukusanya vielelezo mbalimbali vyenye umuhimu mkubwa wa kihistoria kutokawatu bi<strong>na</strong>fsi, taasisi bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> nje ya nchi ili hatimaye vitu hivyo, viwezekuingizwa katika historia yetu kwa ajili ya kuwa ni urithi wa vizazi vijavyo.Kuandika ripoti maalum juu ya historia yetu <strong>na</strong> matukio mbalimbali ili yawezekutunzwa kama sehemu ya historia yetu maalum.Kutoa mapendekezo ya jinsi ya kuenzi utamaduni wetu muhimu pamoja <strong>na</strong>watu mbalimbali ambao wali<strong>cha</strong>ngia katika matukio mbalimbali kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong>ya pekee <strong>na</strong> ambao historia yetu haijawakumbuka ipasavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Sa<strong>na</strong>a. Nianze kwa kutangaza maslahi kwenye sekta hii,kuwa mimi ni Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongofleva) <strong>na</strong> nimekuwa kwenye fani hii kwamuda mrefu sasa. Kwa uzoefu wangu <strong>na</strong> kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani, <strong>na</strong>chukua fursahii kuieleza Serikali kwamba: “Sa<strong>na</strong>a si mapambo au burudani tu kama ilivyozoeleka, bali sa<strong>na</strong>a niajira i<strong>na</strong>yoweza kubadilisha maisha ya Mtanzania yeyote a<strong>na</strong>yejihusisha <strong>na</strong>yo <strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza kabisakuwa moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya Bajeti ya Serikali, ikiwa Serikali yenyewe itadhamiriakwa dhati kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia hii”.Mheshimiwa Mwenyekiti, taarifa mbalimbali kutoka nchini Marekani za mwaka 2007zilionyesha kuwa; “Makampuni ya<strong>na</strong>yotengeneza <strong>na</strong> kuuza kazi za hatimiliki yataendelea kuwamoja ya nguvu kubwa za uchumi wa Marekani, kwani mapato yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> filamu, muziki,michezo ya video <strong>na</strong> mifumo ya kompyuta ya<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia zaidi ya asilimia 6.5 ya Pato la Taifa <strong>na</strong>kuajiri takribani watu milioni 5.4…” mwisho wa kunukuu.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni dhahiri kuwa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ikifanyiwa mapinduzi makubwai<strong>na</strong>weza kabisa kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya bajeti ya Serikali yetu <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngiamaendeleo ya Taifa hili. Ikiwa Sa<strong>na</strong>a i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kubwa kamaMarekani, je, Tanzania tu<strong>na</strong> maendeleo gani ya kujivunia hata tupuuze sa<strong>na</strong>a? Bado hatujaipasekta hii umuhimu wake u<strong>na</strong>ostahili.Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii pamoja <strong>na</strong> Serikali bila kujua, wamekuwa wakinyonywakimapato <strong>na</strong> wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wa kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan kwenye biasharaya kuuza muziki <strong>na</strong> filamu. Kwa mujibu wa utafiti wa Dkt. Jehovaness Aikaeli ambaye ni Mchumi46
wa Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam (UDSM), alisema sekta ya muziki pekee ikifanyiwa maboresho,i<strong>na</strong>weza kuiingizia Serikali mapato ya kodi ya wastani wa shilingi bilioni 50 kwa mwaka.Mheshimiwa Mwenyekiti, tafiti <strong>cha</strong>che zilizowahi kufanyika, ukiwemo utafiti wa Taasisi yaRULU/BEST – AC, wa mwaka 2007/2008, zimeonyesha kuwa Wasanii <strong>na</strong> Serikali kwa pamoja,wamekuwa wakipoteza mapato mengi yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan muziki<strong>na</strong> filamu kama ifuatavyo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)Maharamia wameendelea kurudufisha santuri <strong>na</strong> kanda za muziki, filamu <strong>na</strong>kazi nyingine za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kujipatia mapato haramu kwa jasho la Wasanii, lakinihaku<strong>na</strong> hatua kali zi<strong>na</strong>zochukuliwa kukomesha hali hii.Wasanii wengi wamekuwa wakiingia mikataba isiyo <strong>na</strong> manufaa kwao bai<strong>na</strong>yao <strong>na</strong> Wadhamini, Wazalishaji, Wasambazaji wa kazi za Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> hivyokunyonywa kimapato, kwa sababu tu ya kukosa uelewa mzuri wa masuala yamikataba <strong>na</strong> kutokuwepo udhibiti wa kutosha wa Serikali.Serikali kwa mwaka 2007 pekee, ilipoteza mapato ya muziki ya jumla ya shilingibilioni 71.Kodi i<strong>na</strong>yokusanywa <strong>na</strong> Serikali katika Sekta ya Muziki, i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katikaasilimia 12 tu ya kiwango <strong>cha</strong> mapato ki<strong>na</strong>chotakiwa kulipiwa kodi kwenyesekta hiyo.Wakati wa utafiti iligundulika kuwa ni asilimia 12.5 tu ya Wafanyabiashara wakazi za Sa<strong>na</strong>a, ndio waliokuwa wamelipa mirabaha, asilimia 87.5 hawakuwawamelipa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wizi <strong>na</strong> uharamia huu wa kazi za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>kuokoa mapato ya Wasanii <strong>na</strong> ya Serikali, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, COSOTA iwe Mamlaka. Kambi Rasmi ya Upinzanii<strong>na</strong>pendekeza kuwa Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki Na.7 ya mwaka 1999 ifanyiwe marekebishokwa lengo la kuipa meno zaidi ya kulinda haki <strong>na</strong> kuhakikisha Wasanii wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong> kazi zao.Moja ya mapendekezo ni kuifanya COSOTA kuwa chombo chenye nguvu zaidi katika kulinda kaziza Wasanii kuliko ilivyo hivi sasa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo katika sehemu ya marekebisho tu<strong>na</strong>yopendekeza,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>taka Sura Na. 218 ya Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki, ifanyiwemarekebisho ili kuunda Mamlaka ya Hakimiliki Tanzania (Copyright Regulatory Authority ofTanzania (CORATA) badala ya kuia<strong>cha</strong> COSOTA kama ilivyo hivi sasa. Mamlaka hayayakishaundwa yatakuwa <strong>na</strong> nguvu zaidi ya kushughulikia mambo mbalimbali ya kazi za wasanii,yawe ndio msimamizi <strong>na</strong> mratibu wa masuala ya Hakimiliki kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Vyama vya Msingivya Wasanii vilivyopo chini ya BASATA, kama vile Chama <strong>cha</strong> Muziki Wa Dansi Tanzania(CHAMUDATA) <strong>na</strong> kile <strong>cha</strong> Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya yaani Tanzania Urban MusicAssociation (T.U.M.A), tofauti <strong>na</strong> sasa ambapo COSOTA imebakiwa <strong>na</strong> kazi ya kusajili kazi zawasanii <strong>na</strong> kukosa nguvu ya kuzilinda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> kuwa mwenye Hakimiliki a<strong>na</strong> jukumu la kulinda hakizake kwa kwenda Mahakamani pale a<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> haki yake imepokwa <strong>na</strong> mtu au kikundichochote, bado ipo haja ya kuhakikisha kuwa Polisi wetu wa Upelelezi wa<strong>na</strong>husika moja kwa mojakatika kulinda haki za Wasanii. Mathalani, nchini Marekani hawa<strong>na</strong> Polisi wa kulinda hakimiliki mojakwa moja, lakini Shirika lao la Upelelezi (FBI), limekuwa likifanya uchunguzi wa mara kwa marakuhusu hakimiliki za wasanii, kila ku<strong>na</strong>poripotiwa suala la wizi wa kazi za msanii <strong>na</strong> limekuwali<strong>na</strong>husika moja kwa moja katika kutoa ushahidi <strong>na</strong> kusaidia kupatika<strong>na</strong> kwa haki ya msanii husika.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwa Taasisi za Serikali,Polisi <strong>na</strong> Forodha washirikiane kwa karibu <strong>na</strong> Mamlaka ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe (CORATA), kukomesha uharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Forodha watengeneze utaratibu wa47
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest