12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wa Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam (UDSM), alisema sekta ya muziki pekee ikifanyiwa maboresho,i<strong>na</strong>weza kuiingizia Serikali mapato ya kodi ya wastani wa shilingi bilioni 50 kwa mwaka.Mheshimiwa Mwenyekiti, tafiti <strong>cha</strong>che zilizowahi kufanyika, ukiwemo utafiti wa Taasisi yaRULU/BEST – AC, wa mwaka 2007/2008, zimeonyesha kuwa Wasanii <strong>na</strong> Serikali kwa pamoja,wamekuwa wakipoteza mapato mengi yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan muziki<strong>na</strong> filamu kama ifuatavyo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)Maharamia wameendelea kurudufisha santuri <strong>na</strong> kanda za muziki, filamu <strong>na</strong>kazi nyingine za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kujipatia mapato haramu kwa jasho la Wasanii, lakinihaku<strong>na</strong> hatua kali zi<strong>na</strong>zochukuliwa kukomesha hali hii.Wasanii wengi wamekuwa wakiingia mikataba isiyo <strong>na</strong> manufaa kwao bai<strong>na</strong>yao <strong>na</strong> Wadhamini, Wazalishaji, Wasambazaji wa kazi za Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> hivyokunyonywa kimapato, kwa sababu tu ya kukosa uelewa mzuri wa masuala yamikataba <strong>na</strong> kutokuwepo udhibiti wa kutosha wa Serikali.Serikali kwa mwaka 2007 pekee, ilipoteza mapato ya muziki ya jumla ya shilingibilioni 71.Kodi i<strong>na</strong>yokusanywa <strong>na</strong> Serikali katika Sekta ya Muziki, i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> katikaasilimia 12 tu ya kiwango <strong>cha</strong> mapato ki<strong>na</strong>chotakiwa kulipiwa kodi kwenyesekta hiyo.Wakati wa utafiti iligundulika kuwa ni asilimia 12.5 tu ya Wafanyabiashara wakazi za Sa<strong>na</strong>a, ndio waliokuwa wamelipa mirabaha, asilimia 87.5 hawakuwawamelipa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wizi <strong>na</strong> uharamia huu wa kazi za sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong>kuokoa mapato ya Wasanii <strong>na</strong> ya Serikali, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, COSOTA iwe Mamlaka. Kambi Rasmi ya Upinzanii<strong>na</strong>pendekeza kuwa Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki Na.7 ya mwaka 1999 ifanyiwe marekebishokwa lengo la kuipa meno zaidi ya kulinda haki <strong>na</strong> kuhakikisha Wasanii wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong> kazi zao.Moja ya mapendekezo ni kuifanya COSOTA kuwa chombo chenye nguvu zaidi katika kulinda kaziza Wasanii kuliko ilivyo hivi sasa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo katika sehemu ya marekebisho tu<strong>na</strong>yopendekeza,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>taka Sura Na. 218 ya Sheria ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki, ifanyiwemarekebisho ili kuunda Mamlaka ya Hakimiliki Tanzania (Copyright Regulatory Authority ofTanzania (CORATA) badala ya kuia<strong>cha</strong> COSOTA kama ilivyo hivi sasa. Mamlaka hayayakishaundwa yatakuwa <strong>na</strong> nguvu zaidi ya kushughulikia mambo mbalimbali ya kazi za wasanii,yawe ndio msimamizi <strong>na</strong> mratibu wa masuala ya Hakimiliki kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Vyama vya Msingivya Wasanii vilivyopo chini ya BASATA, kama vile Chama <strong>cha</strong> Muziki Wa Dansi Tanzania(CHAMUDATA) <strong>na</strong> kile <strong>cha</strong> Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya yaani Tanzania Urban MusicAssociation (T.U.M.A), tofauti <strong>na</strong> sasa ambapo COSOTA imebakiwa <strong>na</strong> kazi ya kusajili kazi zawasanii <strong>na</strong> kukosa nguvu ya kuzilinda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> kuwa mwenye Hakimiliki a<strong>na</strong> jukumu la kulinda hakizake kwa kwenda Mahakamani pale a<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> haki yake imepokwa <strong>na</strong> mtu au kikundichochote, bado ipo haja ya kuhakikisha kuwa Polisi wetu wa Upelelezi wa<strong>na</strong>husika moja kwa mojakatika kulinda haki za Wasanii. Mathalani, nchini Marekani hawa<strong>na</strong> Polisi wa kulinda hakimiliki mojakwa moja, lakini Shirika lao la Upelelezi (FBI), limekuwa likifanya uchunguzi wa mara kwa marakuhusu hakimiliki za wasanii, kila ku<strong>na</strong>poripotiwa suala la wizi wa kazi za msanii <strong>na</strong> limekuwali<strong>na</strong>husika moja kwa moja katika kutoa ushahidi <strong>na</strong> kusaidia kupatika<strong>na</strong> kwa haki ya msanii husika.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwa Taasisi za Serikali,Polisi <strong>na</strong> Forodha washirikiane kwa karibu <strong>na</strong> Mamlaka ya Hakimiliki <strong>na</strong> Hakishiriki tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe (CORATA), kukomesha uharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Forodha watengeneze utaratibu wa47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!