12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>na</strong> yakizungumza habari ya interest ya Taifa, walikuwa wa<strong>na</strong>zungumza habari za watu wa<strong>cha</strong>che.Hili lazima tuliangalie. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nikitoka huko nije kidogo kwenye Baraza la Michezo la Taifa(BMT) sheria za michezo zi<strong>na</strong>badilika siku hata siku. Huwezi kuwa <strong>na</strong> watalaam wa mwaka 1962 leoukategemea wata-produce kitu kizuri kwa maendeleo ya Taifa hili katika michezo. Hatu<strong>na</strong> fungula kutosha lililotengwa kwa ajili ya kuwasomesha watalaam wetu, Baraza la Michezo lilishamalizamuda wake kutoka mwaka 2009, jengo lao walilo<strong>na</strong>lo pale li<strong>na</strong>vuja, mvua ikiwa i<strong>na</strong>nyeshawa<strong>na</strong>kimbia kwa sababu zile nyaya za umeme pale zi<strong>na</strong>leta matatizo. (Makofi)Mimi nilikuwa <strong>na</strong>shauri tu<strong>na</strong> uwanja mzuri sa<strong>na</strong> pale uwanja wa Taifa, tu<strong>na</strong> vyumba zaidiya mia moja <strong>na</strong> kitu kwa nini BMT wasihamishiwe pale wakatumia zile ofisi pale TFF. AmesemaMheshimiwa Hamad kwamba TFF wa<strong>na</strong>pata fedha kutoka FIFA, ni ruzuku ambayo kesho <strong>na</strong> keshokubwa i<strong>na</strong>weza ikafa. Lakini fedha hizi haziendi katika mikoa ipasavyo. Kwa mujibu wakumbukumbu zangu vyama vya mikoa vimepewa shilingi milioni mbili tu <strong>na</strong> kompyuta tangu fedhahizi zianze kutolewa <strong>na</strong> Tanzania Football Federation. Viongozi wa vyama vya michezo vya mikoakazi yao ni kwenda kupiga kura kum<strong>cha</strong>gua Rais wa TFF. Hatuwezi kuendeleza michezo <strong>na</strong>m<strong>na</strong>hiyo. Ile fedha ishuke huku kwenye grassroots ili tuweze kuwatengeneza vija<strong>na</strong> katika mikoa tuwe<strong>na</strong> timu nzuri za Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, timu ya Taifa ya Tanzania zamani Serikali ilikuwa i<strong>na</strong>toa ruzukutimu i<strong>na</strong>pokwenda kwenye mashindano ya Kimataifa, siku hizi haipo. Nchi nyingine zote zilizopigahatua maendeleo ya michezo katika timu zao za Taifa ku<strong>na</strong> fedha zi<strong>na</strong>tengwa kwa ajili yamaandalizi ya timu za Taifa. Ningeomba sa<strong>na</strong> Serikali ione hili, michezo ni ajira <strong>na</strong> sisitu<strong>na</strong>vyofahamu kwamba michezo umuhimu wake leo kila Mbunge, Bunge likivunjwa ataondoka<strong>na</strong> mipira kwenda jimboni kwake hapa kwa ajili ya vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ompigia kura kule. NingeombaSerikali itazame jambo hili iweze kusaidia ili timu zetu za Taifa zifanye vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watalaam wa<strong>na</strong>okuja kutoka nje, ikiwa tu<strong>na</strong> watalaam wapopale watu kutoka Cuba, tu<strong>na</strong> Paulsen wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu tu<strong>na</strong> wengine. Ku<strong>na</strong>mwingine a<strong>na</strong>itwa Paulsen wa vija<strong>na</strong> tungewa-task hawa <strong>na</strong> TFF wakisaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Wizara kwambawa<strong>na</strong>saidia kuwafundisha mako<strong>cha</strong> wetu wa ndani walau kozi fupi fupi ili wa<strong>na</strong>poondoka at leasttuwe <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> kadhaa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, kwanza <strong>na</strong>penda niwashukuru wote kwa ushirikianowenu kwa mi<strong>cha</strong>ngo mizuri mliyoonyesha kwa ajili ya nchi yetu. Kabla sijaahirisha shughuli <strong>na</strong>ombaniwataje ambao kesho baada ya Maswali <strong>na</strong> Majibu wata<strong>cha</strong>ngia. Tutaanza <strong>na</strong> MheshimiwaSusan Lyimo, Mheshimiwa Moza Saidy pia Mheshimiwa Profesa Kulikoyela Kahigi <strong>na</strong> wenginewatatajwa <strong>na</strong> watakaokuwa mezani kesho.Naahirisha shughuli za Bunge hadi kesho saa tatu asubuhi. (Makofi)(Saa 12.29 jioni Bunge liliahirishwa hadi siku ya Ijumaa, <strong>Tarehe</strong> 12 Agosti, 20<strong>11</strong> saa tatu asubuhi)95

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!