12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kutoza kodi kikamilifu kwenye kazi za muziki, filamu <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a nyingine zote zi<strong>na</strong>zouzwa nje ya nchi<strong>na</strong> Mashirika ya Uzalishaji wa Kazi za Muziki –waunde ushirikiano <strong>na</strong> taratibu zao za kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong>uharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a kwa mapa<strong>na</strong> yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Februarimwaka huu, wakati akizindua kampeni ya kuzuia malaria ambayo iliwashirikisha baadhi yawasanii, aliahidi kuundwa Kikosi Kazi (Task Force) kitakachowashirikisha COSOTA, Polisi, Tume yaushindani, TRA, BRELA, Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara pamoja <strong>na</strong> wasanii mbalimbaliwa<strong>na</strong>ojihusisha <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>a ili kutafuta ufumbuzi dhidi ya uharamia <strong>na</strong> wizi wa kazi za sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Wizara kuliarifu Bunge hili, je,Kikosi Kazi hicho kiko wapi mpaka leo? Kama kiliundwa, kiliundwa kwa taratibu zipi <strong>na</strong> kwa ninisuala hilo haliko wazi?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mradi wa Stickers kwenye kazi za sa<strong>na</strong>a. Mbali <strong>na</strong> marekebishohayo ya kisheria <strong>na</strong> kimfumo tuliyopendekeza, Kambi Rasmi ya Upinzani pia tu<strong>na</strong>itaka Serikalindani ya mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, itenge fedha za kutosha kwa ajili ya kuanzisha utaratiburasmi wa kuwa <strong>na</strong> Stickers kwa ajili ya kazi zote za sa<strong>na</strong>a, hususan kwenye kanda <strong>na</strong> Santuri zamuziki, filamu <strong>na</strong> kazi zote za sa<strong>na</strong>a zi<strong>na</strong>zoshikika <strong>na</strong> kuuzika. Hapa tu<strong>na</strong>shauri kuwa mamlakatu<strong>na</strong>yotaka ianzishwe, yaani (Copyright Regulatory Authority of Tanzania) ishirikiane kwa karibu <strong>na</strong>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kuandaa utaratibu mzima wa kuwa <strong>na</strong> Stickers hizo <strong>na</strong>jinsi ya kuusimamia <strong>na</strong> si kuwaachia watu bi<strong>na</strong>fsi te<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwa utaratibu rasmi wa kuwa<strong>na</strong> Stickers ukitumika, sekta ya biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a i<strong>na</strong>weza kupata mafanikio ya kuridhishandani ya muda mfupi. Mfano mzuri ni Sticker yenye nembo ya TRA i<strong>na</strong>yowekwa kwenye bidhaa zaKonyagi. Faida kubwa ambayo itapatika<strong>na</strong> kwa kuwa <strong>na</strong> Stickers kwenye kazi za sa<strong>na</strong>a ni kuwaStickers hizi zitawezesha kubaini kazi halisi (origi<strong>na</strong>l) iliyofanywa <strong>na</strong> msanii mhusika dhidi ya kazi zabandia zilizorudufishwa au kughushiwa. Sambamba <strong>na</strong> hilo, mapato ya Wa<strong>na</strong>muziki, Watunzi waFilamu <strong>na</strong> washirika wao pamoja <strong>na</strong> Serikali yataongezeka <strong>na</strong> hivyo m<strong>cha</strong>ngo halisi ya sekta hiikwenye uchumi wa nchi utakuwa wazi.Mheshimiwa Mwenyekiti, pia tu<strong>na</strong> taarifa kuwa Wasanii wengi kutoka nje ya nchiwa<strong>na</strong>ofanya maonyesho mbalimbali hapa nchini wamekuwa hawatozwi kodi li<strong>cha</strong> ya kulipwafedha nyingi. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>itaka Serikali kuanzia mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, ihakikishe kuwaWasanii hao wa nje ya nchi ambao wamekuwa wakilipwa dola laki moja hadi dola laki nne kwaonyesho moja hapa nchini, wawe wa<strong>na</strong>tozwa kodi ya kutosha, ili fedha hizo ziongezee bajeti kuuya Serikali <strong>na</strong> kuwasaidia Watanzania wengi maskini. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>itaka Serikali kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo husika, iwekeutaratibu wa kuhakikisha kuwa pale Msanii wa ndani a<strong>na</strong>pofanya onyesho au kazi ya pamoja <strong>na</strong>Msanii kutoka nje, basi kuwe <strong>na</strong> mgawanyo mzuri <strong>na</strong> wa haki wa mapato kati ya Msanii huyo waNje <strong>na</strong> Msanii Mzawa.Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuboresha Sekta nzima ya Sa<strong>na</strong>a nchini <strong>na</strong> kuhakikishai<strong>na</strong>ongeza ajira zenye tija <strong>na</strong> kutoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa katika ukuaji uchumi, Kambi Rasmi yaUpinzani i<strong>na</strong>pendekeza hatua zifuatazo zichukuliwe:-(i)Serikali ndani ya mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, pamoja <strong>na</strong> kufanyia kazitafiti zilizokwishafanywa <strong>na</strong> wadau mbalimbali wa sa<strong>na</strong>a, ifanye utafiti mahsusi<strong>na</strong> wa ki<strong>na</strong> kuhusu Sekta nzima ya sa<strong>na</strong>a (feasibility study), ili kubaini fursa <strong>na</strong>vikwazo vyote vilivyopo, <strong>na</strong> kuainisha njia <strong>na</strong> mikakati kabambe ya kuboresha<strong>na</strong> kuisimamia sekta husika, kwa manufaa ya Wasanii <strong>na</strong> uchumi wa nchi.(ii) Kupitia matokeo ya utafiti huo, Wizara ndani ya mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012,iandae Mpango mahsusi wa Maboresho ya Sekta ya Sa<strong>na</strong>a, ambao pamoja<strong>na</strong> mambo mengine, ulenge kuziba mianya yote ya upotevu wa mapato yaSa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuchochea ajira nyingi <strong>na</strong> zenye tija kwa vija<strong>na</strong>.48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!