12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Geita <strong>na</strong> maeneo mengine, sisi Wabunge wote ni mashahidi,tu<strong>na</strong>pokwenda katika majimbo <strong>na</strong> Mikoa yetu tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> makundi mbalimbali ya ngoma za asili.Hawa watu wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri, wa<strong>na</strong>dumisha utamaduni wetu, wa<strong>na</strong>imba nyimbo nzuri,wa<strong>na</strong>elimisha jamii <strong>na</strong> wakati huo huo wa<strong>na</strong>tuburudisha. Lakini sioni kama m<strong>cha</strong>ngo waou<strong>na</strong>tambulika sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali. Ku<strong>na</strong> hawa Maafisa Utamaduni, hivi kweli wa<strong>na</strong>jua nini wajibuwao? Hivi kweli Serikali i<strong>na</strong>wajengea uwezo ili waweze kujua majukumu yao kule waliko?Mimi ni<strong>na</strong> imani kabisa kama Maafisa Utamaduni watapatiwa elimu ya kutosha,wakaelekezwa majukumu yao, wakashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kijiji wakaweka program ya kushindanishavikundi <strong>na</strong> kikundi <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chofanya vizuri ki<strong>na</strong>patiwa motisha fulani. Kama wakishinda<strong>na</strong> kutokaTarafa <strong>na</strong> Tarafa au Kata <strong>na</strong> Kata mpaka kufikia Wilaya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ofanya vizuri labda wa<strong>na</strong>pewaTrekta. Hii itawaongezea motisha <strong>na</strong> kuipenda sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kufanya kazi kwa kujituma ili iwezekuwaongezea pato, maa<strong>na</strong> hata hii ni ajira <strong>na</strong> kama Serikali itaitambua itakuwa ni ajira nzurikwao.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni ambaowa<strong>na</strong>lipwa mishahara kwa ajili ya kazi hizo, basi watoe elimu, wahamasishe hivi vikundi ili vijitume,vitunge nyimbo nzuri, viburudishe <strong>na</strong> wakati huo huo waone wa<strong>na</strong>burudisha, lakini wa<strong>na</strong>patafaida ya burudani wa<strong>na</strong>yoitoa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sijaendelea, ni<strong>na</strong> tatizo kidogo ambalo limenisumbuaakilini mwangu. Nimekuwa nikizungumza <strong>na</strong> wasanii wa Bongo Movie <strong>na</strong> wakati huo huonimezungumza <strong>na</strong> wasanii wa TAF ambao ndiyo shirikisho la wasanii nchini. Ku<strong>na</strong> mgogoromkubwa, ni<strong>na</strong>amini kabisa Waziri au Serikali i<strong>na</strong>weza ikawa <strong>na</strong> taarifa <strong>na</strong> mgogoro huu. Hivyo,ni<strong>na</strong>omba basi, Serikali ijaribu kuwaita hawa watu wakae pamoja wazungumze <strong>na</strong> kujua tatizolao ni nini. Maa<strong>na</strong> mimi baada ya kuwasikiliza nimeo<strong>na</strong> kila upande u<strong>na</strong> mazito.Naomba sa<strong>na</strong> Serikali mara baada ya mimi kuzungumza hapa, Waziri azungumze <strong>na</strong>hawa watu ili kila mtu aeleze ni nini tatizo <strong>na</strong> wajue ni jinsi gani watalitatua, kwani lengo ni kufanyakazi kwa kushirikia<strong>na</strong> tuijenge nchi yetu, kwani wasanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii.Sasa hivi ukiangalia kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huu mgogoro, kila siku tu<strong>na</strong>angalia kwenye magazeti,utao<strong>na</strong> msanii kaandikwa vibaya, kumbe kundi hili limechochea maneno, limepeleka storykwenye gazeti, wakati mwingine story hai<strong>na</strong> ukweli, tayari huyo mtu amesha<strong>cha</strong>fuliwa. Hiii<strong>na</strong>sababisha watu waone fani ya sa<strong>na</strong>a hapa nchini hai<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba Serikaliisaidie kuwaweka sawa hawa watu ili mgogoro uishe ili tuungane tufanye kazi kwa pamoja,tushirikiane <strong>na</strong> tuweze kufika mahali ambako tu<strong>na</strong>taka kufika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> muda u<strong>na</strong>nitupa mkono, lakini <strong>na</strong>omba nimzungumziemtu mmoja a<strong>na</strong>itwa Msama ambaye amejitahidi sa<strong>na</strong>. Kwanza <strong>na</strong>omba nimpongeze. Amejitahidisa<strong>na</strong> kuhakikisha a<strong>na</strong>tetea wasanii waliokuwa wa<strong>na</strong>ibiwa kazi zao. Mtu huyu amefanya kazikubwa <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yotisha. Ameshakamata kazi ambazo zi<strong>na</strong>zidi shilingi milioni 150 mpaka sasa, hatamaisha yake pia yako hatarini kwa sababu mtu a<strong>na</strong>ye-produce hizo CD umemkamata <strong>na</strong>kumpeleka Mahakamani. A<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kabisa sasa umeshamzibia mwanya wake wa kuiba, kufaidi <strong>na</strong>kuishi kama alivyokuwa a<strong>na</strong>taka kuishi. Huyu mtu yuko hatarini, hivyo tu<strong>na</strong>omba Serikali ishirikiane<strong>na</strong>ye.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeo<strong>na</strong> pia Polisi hawa<strong>na</strong> uelewa mkubwa wa jinsi yakuwakamata hawa watu wa<strong>na</strong>oiba kazi zetu sisi wasanii. Hivyo, iwape elimu kubwa ya kutosha ilivita hii tuweze kushinda.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa haya ma<strong>cha</strong>che, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa VictorMwambalaswa.MHE. VICTOR K. M<strong>WA</strong>MBALAS<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja hii iliyo mbele yetu. Pamoja <strong>na</strong> kukushukuru wewe, lakini68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!