Mheshimiwa Mwenyekiti, Geita <strong>na</strong> maeneo mengine, sisi Wabunge wote ni mashahidi,tu<strong>na</strong>pokwenda katika majimbo <strong>na</strong> Mikoa yetu tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> makundi mbalimbali ya ngoma za asili.Hawa watu wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri, wa<strong>na</strong>dumisha utamaduni wetu, wa<strong>na</strong>imba nyimbo nzuri,wa<strong>na</strong>elimisha jamii <strong>na</strong> wakati huo huo wa<strong>na</strong>tuburudisha. Lakini sioni kama m<strong>cha</strong>ngo waou<strong>na</strong>tambulika sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali. Ku<strong>na</strong> hawa Maafisa Utamaduni, hivi kweli wa<strong>na</strong>jua nini wajibuwao? Hivi kweli Serikali i<strong>na</strong>wajengea uwezo ili waweze kujua majukumu yao kule waliko?Mimi ni<strong>na</strong> imani kabisa kama Maafisa Utamaduni watapatiwa elimu ya kutosha,wakaelekezwa majukumu yao, wakashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kijiji wakaweka program ya kushindanishavikundi <strong>na</strong> kikundi <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chofanya vizuri ki<strong>na</strong>patiwa motisha fulani. Kama wakishinda<strong>na</strong> kutokaTarafa <strong>na</strong> Tarafa au Kata <strong>na</strong> Kata mpaka kufikia Wilaya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>ofanya vizuri labda wa<strong>na</strong>pewaTrekta. Hii itawaongezea motisha <strong>na</strong> kuipenda sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kufanya kazi kwa kujituma ili iwezekuwaongezea pato, maa<strong>na</strong> hata hii ni ajira <strong>na</strong> kama Serikali itaitambua itakuwa ni ajira nzurikwao.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni ambaowa<strong>na</strong>lipwa mishahara kwa ajili ya kazi hizo, basi watoe elimu, wahamasishe hivi vikundi ili vijitume,vitunge nyimbo nzuri, viburudishe <strong>na</strong> wakati huo huo waone wa<strong>na</strong>burudisha, lakini wa<strong>na</strong>patafaida ya burudani wa<strong>na</strong>yoitoa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sijaendelea, ni<strong>na</strong> tatizo kidogo ambalo limenisumbuaakilini mwangu. Nimekuwa nikizungumza <strong>na</strong> wasanii wa Bongo Movie <strong>na</strong> wakati huo huonimezungumza <strong>na</strong> wasanii wa TAF ambao ndiyo shirikisho la wasanii nchini. Ku<strong>na</strong> mgogoromkubwa, ni<strong>na</strong>amini kabisa Waziri au Serikali i<strong>na</strong>weza ikawa <strong>na</strong> taarifa <strong>na</strong> mgogoro huu. Hivyo,ni<strong>na</strong>omba basi, Serikali ijaribu kuwaita hawa watu wakae pamoja wazungumze <strong>na</strong> kujua tatizolao ni nini. Maa<strong>na</strong> mimi baada ya kuwasikiliza nimeo<strong>na</strong> kila upande u<strong>na</strong> mazito.Naomba sa<strong>na</strong> Serikali mara baada ya mimi kuzungumza hapa, Waziri azungumze <strong>na</strong>hawa watu ili kila mtu aeleze ni nini tatizo <strong>na</strong> wajue ni jinsi gani watalitatua, kwani lengo ni kufanyakazi kwa kushirikia<strong>na</strong> tuijenge nchi yetu, kwani wasanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii.Sasa hivi ukiangalia kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huu mgogoro, kila siku tu<strong>na</strong>angalia kwenye magazeti,utao<strong>na</strong> msanii kaandikwa vibaya, kumbe kundi hili limechochea maneno, limepeleka storykwenye gazeti, wakati mwingine story hai<strong>na</strong> ukweli, tayari huyo mtu amesha<strong>cha</strong>fuliwa. Hiii<strong>na</strong>sababisha watu waone fani ya sa<strong>na</strong>a hapa nchini hai<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba Serikaliisaidie kuwaweka sawa hawa watu ili mgogoro uishe ili tuungane tufanye kazi kwa pamoja,tushirikiane <strong>na</strong> tuweze kufika mahali ambako tu<strong>na</strong>taka kufika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> muda u<strong>na</strong>nitupa mkono, lakini <strong>na</strong>omba nimzungumziemtu mmoja a<strong>na</strong>itwa Msama ambaye amejitahidi sa<strong>na</strong>. Kwanza <strong>na</strong>omba nimpongeze. Amejitahidisa<strong>na</strong> kuhakikisha a<strong>na</strong>tetea wasanii waliokuwa wa<strong>na</strong>ibiwa kazi zao. Mtu huyu amefanya kazikubwa <strong>na</strong> i<strong>na</strong>yotisha. Ameshakamata kazi ambazo zi<strong>na</strong>zidi shilingi milioni 150 mpaka sasa, hatamaisha yake pia yako hatarini kwa sababu mtu a<strong>na</strong>ye-produce hizo CD umemkamata <strong>na</strong>kumpeleka Mahakamani. A<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kabisa sasa umeshamzibia mwanya wake wa kuiba, kufaidi <strong>na</strong>kuishi kama alivyokuwa a<strong>na</strong>taka kuishi. Huyu mtu yuko hatarini, hivyo tu<strong>na</strong>omba Serikali ishirikiane<strong>na</strong>ye.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeo<strong>na</strong> pia Polisi hawa<strong>na</strong> uelewa mkubwa wa jinsi yakuwakamata hawa watu wa<strong>na</strong>oiba kazi zetu sisi wasanii. Hivyo, iwape elimu kubwa ya kutosha ilivita hii tuweze kushinda.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa haya ma<strong>cha</strong>che, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa VictorMwambalaswa.MHE. VICTOR K. M<strong>WA</strong>MBALAS<strong>WA</strong>: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja hii iliyo mbele yetu. Pamoja <strong>na</strong> kukushukuru wewe, lakini68
<strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong> Mwenyezi Mungu kwa kunipa zawadi ya uhai <strong>na</strong> nguvu mpaka nimesimamaku<strong>cha</strong>ngia hoja hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja ya Mheshimiwa Waziri wa Habari, Utamaduni <strong>na</strong> Vija<strong>na</strong> ninzuri sa<strong>na</strong>, lakini nitaanza kuongelea vija<strong>na</strong>. Vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo, vija<strong>na</strong> ni Taifa la kesho <strong>na</strong> vija<strong>na</strong>ni Taifa la kesho kutwa. Taifa la Tanzania li<strong>na</strong>itwa Kisiwa <strong>cha</strong> Upendo, Uvumilifu, Umoja <strong>na</strong>Mshikamano kwa sababu sisi vija<strong>na</strong> wa zamani tulifundwa <strong>na</strong> kulelewa <strong>na</strong> waasisi wetu <strong>na</strong> wazaziwetu. Pia tulifundwa <strong>na</strong> kuwekwa unyago tukawa <strong>na</strong> moyo wa upendo, wa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>kuheshimu watu dunia nzima. Ndiyo maa<strong>na</strong> nchi yetu i<strong>na</strong>heshimika duniani kote. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vija<strong>na</strong> wetu sasa hivi ku<strong>na</strong> hatari ya kumomonyoka kwaupendo <strong>na</strong> uvumilivu <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>pa kazi, i<strong>na</strong>bidi vija<strong>na</strong> hawa tuwapeleke jandoni, i<strong>na</strong>bidi tuwafunde.Mheshimiwa Mwenyekiti, ku<strong>na</strong> jando ya ai<strong>na</strong> mbili. Jando ya mila ambayo u<strong>na</strong>wekwakambini, u<strong>na</strong>funzwa mambo ya maisha, u<strong>na</strong>funzwa kuheshimu <strong>na</strong> kuwatii wakubwa, kupendakazi, ndoa <strong>na</strong> kila kitu. Lakini lipo jando la pili ambalo ni la hospitali. Hilo wa<strong>na</strong>shughulika tu hukohospitali, basi. Sasa ukimwo<strong>na</strong> kija<strong>na</strong> leo a<strong>na</strong>mwambia mtu mzima ambaye umri wake nisawasawa <strong>na</strong> baba yake kwamba wewe muongo, ujue hii ni matokeo ya jando la hospitali.Mjomba wangu a<strong>na</strong>nio<strong>na</strong> pale a<strong>na</strong>cheka. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Wizara ifanye ubia <strong>na</strong> Wizara ya Ulinzi <strong>na</strong> Jeshi laKujenga, Jeshi la JKT kwa vija<strong>na</strong>, lirudi <strong>na</strong> usimamie wewe. Mimi nimekwenda JKT, ukifika JKT kitu<strong>cha</strong> kwanza u<strong>na</strong>pewa kitanda, godoro, mess tin, nguo zote u<strong>na</strong>beba kichwani. Kitanda u<strong>na</strong>bebakichwani ndiyo u<strong>na</strong>kwenda kutafutiwa chumba. Utakaa huko miezi sita au mwaka, utadhaniu<strong>na</strong>pata mateso sa<strong>na</strong> ya kufanya kazi <strong>na</strong> kupiga kwata lakini mwisho wa siku ukitoka JKTutakuwa <strong>na</strong> moyo wa uzalendo, upendo, uvumilivu, kupenda kazi <strong>na</strong> utaifa, u<strong>na</strong>kuwa umevipatakutoka JKT. Jambo la muhimu sa<strong>na</strong> ni utaifa <strong>na</strong> kupenda kazi <strong>na</strong> kutokupenda dezo u<strong>na</strong>fundishwaJKT.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Wizara hii ifanye ubia <strong>na</strong> Wizara ya Jeshila Kujenga kusimamia vija<strong>na</strong>, waanze mara moja kupelekwa jandoni JKT ili tuwe <strong>na</strong> Watanzaniawazuri wa kesho kutwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, miaka ya 1960 <strong>na</strong> 1970 ukichukua mchezo wa mpira wa miguutu, Tanzania ilikuwa katika Afrika Mashariki <strong>na</strong> Kati kila a<strong>na</strong>yekuja hapa a<strong>na</strong>chukua mbao. AjeZambia a<strong>na</strong>chukua mbao, akija Malawi m<strong>na</strong>mhesabia mbao, Kenya, Ethiopia, Rwanda <strong>na</strong>Burundi ndiyo usiseme, lakini sasa kila tukienda huko tu<strong>na</strong>chukua mbao sisi, yaani Tanzaniai<strong>na</strong>chukua mbao. Nadhani ku<strong>na</strong> kitu kimepotea hapo katikati.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kuomba sa<strong>na</strong>, Wizara hii ianze kusimamia michezo yotekuanzia kwenye shule za msingi. Kwenye shule za msingi kuwe <strong>na</strong> viwanja vya kutosha, vifaa vyamichezo vya kutosha, yaani Halmashauri itoe, kuwe <strong>na</strong> Walimu wa michezo wa kutosha. Shule zaSekondari kuwe <strong>na</strong> viwanja vya kutosha. Sasa hivi ku<strong>na</strong> watu wengi wa<strong>na</strong>jenga Shule za Sekondaribi<strong>na</strong>fsi, wa<strong>na</strong>jenga majengo tu <strong>na</strong> maghorofa, lakini hawaweki viwanja vya michezo, kwa hiyo,watoto wa<strong>na</strong>kwenda kusoma tu <strong>na</strong> kwenda mjini. Viwanja vya michezo viwepo <strong>na</strong> Wizara yakoishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Elimu, kila pa<strong>na</strong>pojengwa Shule, Wizara ihakikishe kwamba pale pa<strong>na</strong>viwanja vya michezo, vifaa vya michezo <strong>na</strong> pa<strong>na</strong> walimu wa michezo.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nimekwenda kwenye Chuo Kikuu ambacho Serikali yetu yaawamu ya nne imefanya jambo kubwa <strong>na</strong> zuri sa<strong>na</strong>. Ni Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dodoma, yaani UDOM.Ndiyo! Pa<strong>na</strong> viwanja viwili au vitatu vya michezo. Wa<strong>na</strong>funzi 20,000, viwanja viwili havitoshi, ndiyomaa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wetu wa sasa hivi spear time yao ni tofauti <strong>na</strong> sisi. Sisi zamani ilikuwa spear timewakati tu<strong>na</strong>soma u<strong>na</strong>itumia kwa michezo au kujisomea. Lakini wao sasa hivi spear time yaowa<strong>na</strong>itumia kwenda kuzurura mjini. Nakuomba sa<strong>na</strong> Wizara yako ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Elimu yaJuu ili kuhakikisha Vyuo Vikuu vyetu vyote vi<strong>na</strong> viwanja vya michezo, vi<strong>na</strong> Walimu wa michezokama Mwalimu Zambia wa zamani, wa kutosha ili Taifa letu liache kuwa kichwa <strong>cha</strong>mwendawazimu.69
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest