za sa<strong>na</strong>a wa Tanzania kuweza kushiriki vyema masoko <strong>na</strong> hasa soko la pamoja laAfrika Mashariki.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuyazingatia yote hayo <strong>na</strong> kwa manufaa ya wadau wotewa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Taifa zima kwa ujumla, Kambi rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ichukue hatuazifuatazo kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a irudishwe Serikalini kwaMdhamini Mkuu wa Serikali ili m<strong>cha</strong>kato wa uanzishwaji wa Bodi huru ya kusimamia malengo yakeanuai ufanyike. Uhuishaji wa Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a uta<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> kuongeza ajira <strong>na</strong> pato la Taifa,hivyo kupunguza tatizo la uzururaji <strong>na</strong> kilio <strong>cha</strong> masoko ya kazi za sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tangu kufutwa kwake m<strong>na</strong>mo mwaka 2005, Nyumbaya Sa<strong>na</strong>a imeendelea kufanya biashara pamoja <strong>na</strong> kuingia mikataba ya biashara mpaka sasa,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali ifanye tathmini <strong>na</strong> ilipwe kodi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> faida yabiashara zilizoendeshwa mara baada ya kusitishwa uendeshaji wake.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali isitishe mara mojauvunjwaji wa jengo lililopo sasa, kwani ni utalii <strong>na</strong> ni alama ya Taifa i<strong>na</strong>yoonyesha jinsi Serikali zaNorway <strong>na</strong> Tanzania zilivyothamini juhudi za wasanii <strong>na</strong> wazalishaji kujikwamua kiuchumi <strong>na</strong>ku<strong>cha</strong>ngia pato la Taifa. (Makofi)Tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a ifufuliwe upya bila kubadili malengo yaliyopelekea kujengwakwake <strong>na</strong> badala yake kila kitu kiboreshwe kwa kuheshimu malengo yale yale. Tu<strong>na</strong>amini Serikalihii i<strong>na</strong>yojiita Serikali sikivu, itaheshimu matakwa ya Watanzania hususan Wasanii ambao pasiposhaka yoyote ile wa<strong>na</strong>taka Nyumba yao irudi kwenye mikono salama kama tulivyopendekeza.Mheshimiwa Mwenyekiti, ahadi ya Studio ya Wasanii. Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kupitia Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muunganoalitangaza kuwa amewapa Wasanii Studio ya kufanyia kazi zao. Hata hivyo, baadaye wa<strong>na</strong>nchi<strong>na</strong> wadau wengi wa sa<strong>na</strong>a, nikiwemo mimi bi<strong>na</strong>fsi, tulishangaa kusikia Studio hiyo wamepewaNGO bi<strong>na</strong>fsi ya Tanzania House of Talent (THT)! Pia Rais aliahidi kutoa pango ambapo alitoanyumba ya Serikali kwa Wasanii ambayo ingetumika kuendeshea Studio husika, lakini nyumba hiyoya Serikali iliyotolewa <strong>na</strong> Rais sasa iko chini ya THT <strong>na</strong> ndio makao ya THT!Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>hoji, kwa nini ahadi hizo zitolewe kwakikundi kimoja tu <strong>cha</strong> THT, te<strong>na</strong> kilichojikita zaidi katika biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, wakati ahadi hizoza Rais zililenga Wasanii wote wa Tanzania? Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthaminim<strong>cha</strong>ngo wa THT katika Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ya nchi hii, lakini si sahihi kwa Taasisi hiyo bi<strong>na</strong>fsi kupewajukumu la kuhodhi Studio <strong>na</strong> Nyumba iliyotolewa <strong>na</strong> Rais kwa ajili ya Wasanii wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala yake, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaStudio <strong>na</strong> Nyumba hiyo iliyotolewa <strong>na</strong> Rais ambazo ni za Serikali iwe chini ya Baraza la Sa<strong>na</strong>a laTaifa (BASATA) kwa manufaa ya Wasanii wote <strong>na</strong> si THT peke yao kama ilivyo sasa.Tu<strong>na</strong>tahadharisha kuwa hili lisipozingatiwa, ji<strong>na</strong> la Rais <strong>na</strong> hadhi ya Urais ita<strong>cha</strong>fuka kwakuoneka<strong>na</strong> kufanya kazi kwa maslahi ya watu bi<strong>na</strong>fsi (THT) badala ya kufanya kazi kwa maslahi yaumma (Wadau wa Sa<strong>na</strong>a).Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Michezo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwaMichezo ni Afya, Michezo ni Burudani, Michezo ni Ajira <strong>na</strong> Michezo ni Uchumi. Hata hivyo,mwenendo <strong>na</strong> hali halisi ya Sekta ya Michezo nchini, vi<strong>na</strong>dhihirisha kuwa sekta hii imekuwaikichukuliwa kuwa ni ya burudani pekee. Timu zetu za Taifa zifungwe au zitolewe kwenye michuanoya kimataifa, limekuwa ni jambo la kawaida, haku<strong>na</strong> hatua zozote kali zi<strong>na</strong>zochukuliwakuwajibisha<strong>na</strong> wala kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha hali ya kufanya vibaya haijurudiite<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, ushahidi kuwa Sekta ya Michezo haijapewa umuhimu u<strong>na</strong>ostahiliupo wazi. Taifa letu limeendelea kuwa kichwa <strong>cha</strong> mwendawazimu, kwa timu zetu za Taifa50
kuendelea kufanya vibaya <strong>na</strong> kuambulia mafanikio kidogo kwenye michuano ya Kimataifa. KamaTaifa tumeshindwa kuzalisha Walimu wa kutosha wa michezo mbalimbali <strong>na</strong> mbaya zaidi hataWalimu wa<strong>cha</strong>che wazalendo hususan wa mpira wa miguu, wenye ujuzi <strong>na</strong> umahiri wa kuridhishawamekuwa hawapewi motisha, pindi wa<strong>na</strong>poteuliwa kufundisha timu za Taifa. Badala yake,Serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kuwapa ajira Walimu wa kigeni.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>mtaka Waziri alieleze Bunge katika kipindichote timu ya Taifa ya Vija<strong>na</strong> ilipokuwa chini ya ko<strong>cha</strong> Tinoco toka Brazil, mkataba wake kwamwezi alilikuwa akilipwa kiasi gani <strong>na</strong> Ko<strong>cha</strong> wa sasa Jamhuri Kiwelu (Julio) (Hurio kwa Spanish)mzawa a<strong>na</strong>lipwa kiasi gani?Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ilieleze Bunge ni kwa niniko<strong>cha</strong> wa netiboli, Simone Mcknnis raia wa Australia aliyetia saini Septemba mwaka ja<strong>na</strong> kwamkataba wa miaka mitatu kufundisha mchezo huo alikatiza mkataba wake <strong>na</strong> kuondoka kurudikwao Australia kwa kile kilichoelezwa kuwa Serikali kushindwa kutimiziwa masharti ya mkatabawake <strong>na</strong> haswa malipo yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, mkakati wa kuagiza mako<strong>cha</strong> kutoka nje, ni sharti uendesambamba <strong>na</strong> mpango wa kuwapatia ujuzi <strong>na</strong> uzoefu mako<strong>cha</strong> wetu wa ndani ili pale mako<strong>cha</strong>wa nje wa<strong>na</strong>poondoka tuweze kuwatumia mako<strong>cha</strong> hao wazalendo kuendeleza michezo nchini.Kambi ya Upinzani, i<strong>na</strong>shauri kuwa pale ambapo mako<strong>cha</strong> wa kigeni wa<strong>na</strong>poajiriwa nchinikufundisha timu mbalimbali basi wapewe sharti la kuwa <strong>na</strong> wasaidizi ambao ni wazawa ilimikataba yao itakapomalizika basi wazawa wabakie <strong>na</strong> ujuzi <strong>na</strong> kuweza kuendeleza michezohusika.Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>toa hoja kuwa Bunge hili Tukufuliweze kuutambua m<strong>cha</strong>ngo mkubwa uliofanywa <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wazalendo <strong>na</strong> ikiwezeka<strong>na</strong>waweze kupata nishani ya Bunge kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo mkubwa kwenye sekta ya michezoakiwemo Julio. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, miaka 50 baada ya Uhuru, Tanzania i<strong>na</strong> uwanja mmoja tu wenyehadhi ya kimataifa ambao ni Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam uliojengwa kwa msaada wakatiwa Serikali ya Awamu ya Tatu lakini kiwanja hicho sawa <strong>na</strong> viwanja vingine nchini kimekuwahakiendeshwi vizuri, hata kulitia aibu Taifa kwa huduma mbovu, ikiwemo ya kukatika kwa umemekama ilivyotokea hivi karibuni wakati wa fai<strong>na</strong>li za michuano ya Kombe la Kagame ambaloTanzania ilikuwa mwenyeji.Mheshimiwa Mwenyekiti, Mamlaka ya Viwanja vya Michezo ianzishwe. Serikali ianzisheMamlaka ya Viwanja vya Michezo nchini <strong>na</strong> kuipa jukumu la kusimamia <strong>na</strong> kuendesha viwanjavyote vya michezo vilivyopo. Aidha, Mamlaka hiyo kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> vyombo mbalimbali vyaSerikali, ipewe jukumu la kuhakikisha kila mwaka i<strong>na</strong>jenga Vituo vya Kisasa vya Mazoezi <strong>na</strong> Hostelikwa ajili ya Wa<strong>na</strong>michezo, <strong>na</strong> angalau kiwanja kimoja kikubwa <strong>cha</strong> michezo chenye hadhi yakimataifa i<strong>na</strong>yolinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> hadhi ya Uwanja mpya wa Taifa uliopo Dar es Salaam.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa pendekezo hilo, baada ya miaka tisa, nchi yetu itakuwa <strong>na</strong>jumla ya viwanja 10 vya kimataifa. Mbali ya kuchochea maendeleo ya michezo nchini <strong>na</strong> kuajiriWatanzania wengi kutoa huduma mbalimbali, Viwanja hivi pia vitakuza hadhi ya nchi <strong>na</strong>kuiwezesha nchi kukidhi vigezo vya kuwa Mwenyeji wa michuano mikubwa ya kimataifa kamakuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN).Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, sanjari <strong>na</strong> mpango huo wa Ujenzi wa Viwanja vyaKisasa, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali kuweka lengo la kuhakikisha Tanzania i<strong>na</strong>kuwaMwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) mwaka 2018 <strong>na</strong>mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019. Aidha, Serikali iandae programu <strong>na</strong>kampeni kabambe ya kuhakikisha timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) i<strong>na</strong>andaliwa vema<strong>na</strong> kupatiwa mechi nyingi <strong>na</strong> ngumu za kujipima nguvu, kwa ajili ya kuhakikisha i<strong>na</strong>fuzu kuingiakwenye michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2014 iliyopangwa kufanyika nchini Brazil.51
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest