12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

za sa<strong>na</strong>a wa Tanzania kuweza kushiriki vyema masoko <strong>na</strong> hasa soko la pamoja laAfrika Mashariki.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuyazingatia yote hayo <strong>na</strong> kwa manufaa ya wadau wotewa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Taifa zima kwa ujumla, Kambi rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali ichukue hatuazifuatazo kuhusia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a irudishwe Serikalini kwaMdhamini Mkuu wa Serikali ili m<strong>cha</strong>kato wa uanzishwaji wa Bodi huru ya kusimamia malengo yakeanuai ufanyike. Uhuishaji wa Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a uta<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> kuongeza ajira <strong>na</strong> pato la Taifa,hivyo kupunguza tatizo la uzururaji <strong>na</strong> kilio <strong>cha</strong> masoko ya kazi za sa<strong>na</strong>a.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tangu kufutwa kwake m<strong>na</strong>mo mwaka 2005, Nyumbaya Sa<strong>na</strong>a imeendelea kufanya biashara pamoja <strong>na</strong> kuingia mikataba ya biashara mpaka sasa,Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali ifanye tathmini <strong>na</strong> ilipwe kodi kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> faida yabiashara zilizoendeshwa mara baada ya kusitishwa uendeshaji wake.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali isitishe mara mojauvunjwaji wa jengo lililopo sasa, kwani ni utalii <strong>na</strong> ni alama ya Taifa i<strong>na</strong>yoonyesha jinsi Serikali zaNorway <strong>na</strong> Tanzania zilivyothamini juhudi za wasanii <strong>na</strong> wazalishaji kujikwamua kiuchumi <strong>na</strong>ku<strong>cha</strong>ngia pato la Taifa. (Makofi)Tu<strong>na</strong>taka Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a ifufuliwe upya bila kubadili malengo yaliyopelekea kujengwakwake <strong>na</strong> badala yake kila kitu kiboreshwe kwa kuheshimu malengo yale yale. Tu<strong>na</strong>amini Serikalihii i<strong>na</strong>yojiita Serikali sikivu, itaheshimu matakwa ya Watanzania hususan Wasanii ambao pasiposhaka yoyote ile wa<strong>na</strong>taka Nyumba yao irudi kwenye mikono salama kama tulivyopendekeza.Mheshimiwa Mwenyekiti, ahadi ya Studio ya Wasanii. Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kupitia Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muunganoalitangaza kuwa amewapa Wasanii Studio ya kufanyia kazi zao. Hata hivyo, baadaye wa<strong>na</strong>nchi<strong>na</strong> wadau wengi wa sa<strong>na</strong>a, nikiwemo mimi bi<strong>na</strong>fsi, tulishangaa kusikia Studio hiyo wamepewaNGO bi<strong>na</strong>fsi ya Tanzania House of Talent (THT)! Pia Rais aliahidi kutoa pango ambapo alitoanyumba ya Serikali kwa Wasanii ambayo ingetumika kuendeshea Studio husika, lakini nyumba hiyoya Serikali iliyotolewa <strong>na</strong> Rais sasa iko chini ya THT <strong>na</strong> ndio makao ya THT!Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>hoji, kwa nini ahadi hizo zitolewe kwakikundi kimoja tu <strong>cha</strong> THT, te<strong>na</strong> kilichojikita zaidi katika biashara ya kazi za sa<strong>na</strong>a, wakati ahadi hizoza Rais zililenga Wasanii wote wa Tanzania? Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthaminim<strong>cha</strong>ngo wa THT katika Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ya nchi hii, lakini si sahihi kwa Taasisi hiyo bi<strong>na</strong>fsi kupewajukumu la kuhodhi Studio <strong>na</strong> Nyumba iliyotolewa <strong>na</strong> Rais kwa ajili ya Wasanii wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala yake, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaStudio <strong>na</strong> Nyumba hiyo iliyotolewa <strong>na</strong> Rais ambazo ni za Serikali iwe chini ya Baraza la Sa<strong>na</strong>a laTaifa (BASATA) kwa manufaa ya Wasanii wote <strong>na</strong> si THT peke yao kama ilivyo sasa.Tu<strong>na</strong>tahadharisha kuwa hili lisipozingatiwa, ji<strong>na</strong> la Rais <strong>na</strong> hadhi ya Urais ita<strong>cha</strong>fuka kwakuoneka<strong>na</strong> kufanya kazi kwa maslahi ya watu bi<strong>na</strong>fsi (THT) badala ya kufanya kazi kwa maslahi yaumma (Wadau wa Sa<strong>na</strong>a).Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Michezo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>amini kuwaMichezo ni Afya, Michezo ni Burudani, Michezo ni Ajira <strong>na</strong> Michezo ni Uchumi. Hata hivyo,mwenendo <strong>na</strong> hali halisi ya Sekta ya Michezo nchini, vi<strong>na</strong>dhihirisha kuwa sekta hii imekuwaikichukuliwa kuwa ni ya burudani pekee. Timu zetu za Taifa zifungwe au zitolewe kwenye michuanoya kimataifa, limekuwa ni jambo la kawaida, haku<strong>na</strong> hatua zozote kali zi<strong>na</strong>zochukuliwakuwajibisha<strong>na</strong> wala kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha hali ya kufanya vibaya haijurudiite<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, ushahidi kuwa Sekta ya Michezo haijapewa umuhimu u<strong>na</strong>ostahiliupo wazi. Taifa letu limeendelea kuwa kichwa <strong>cha</strong> mwendawazimu, kwa timu zetu za Taifa50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!