12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>na</strong> Academy yake, huyu ndiye mtu wa kuungwa mkono ili kusudi vija<strong>na</strong> wetu waweze kufanyavizuri. Huko ndiko ambako kutaweza kutusaidia sisi tuweze kupata matokeo mazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, yako malalamiko kuhusu makato ya 20% ya Uwanja wa Taifa.Vilabu vi<strong>na</strong>lalamika sa<strong>na</strong>, u<strong>na</strong>tangaza pale umepata shilingi milioni 400 lakini klabu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong>Shilingi milioni 100 <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, yako malalamiko mengi. Nadhani ni vizuri kuliangaliahilo ili kusudi kusaidia vilabu vyetu hivi viweze kupata chochote kitu.Mheshimiwa Mwenyekiti, usalama Uwanja wa Taifa, hali sio nzuri. Pale VIP ngazi yakuteremkia ni moja, lift ile haifanyi kazi. Ikitokea dharura kama iliyotokea juzi, jamaa walipigwabao, wamekasirika wamezima taa, basi i<strong>na</strong>kuwa ni vurugu tu! Kwa hiyo, nikuombe sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri, uliangalie hili kwamba, ni lazima kwa kweli ile lift ifanye kazi <strong>na</strong> kama ku<strong>na</strong> njianyingine, au control ya wale walioingilia milango mingine wasilazimike kuja pale kwenye ulemlango wa VIP ambao kidogo u<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa riadha, tarehe 13 July, niliuliza swali hapa <strong>na</strong>nikasema yale ambayo Mheshimiwa Mohamed Seif amesema, twende Kenya tukajifunze wenzetuwa<strong>na</strong>fanya nini kwa sababu, mazingira yetu yako sawasawa. Napenda niseme MheshimiwaWaziri, jibu lako halikuwa safi, sikuridhika <strong>na</strong>lo. Ni<strong>na</strong>lo hapa <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa MohamedSeif, ambaye alikuwepo pale amelizungumza vizuri.Kwanza, u<strong>na</strong>sema aah, a<strong>cha</strong> kwanza tujiangalie tufanye kongamano. Ku<strong>na</strong> ubaya ganikwenda Kenya? Ku<strong>na</strong> ubaya gani kwenda Ethiopia? Kwenda kujifunza wenzetu hawa wa<strong>na</strong>fanyanini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa <strong>na</strong> sisi hatufanikiwi! Kwanza Kenya, hapa Nairobi u<strong>na</strong>kwenda kwa garitu, hu<strong>na</strong> habari ya ndege, labda kwa Ethiopia,lakini ni karibu pale. Sikwambii uende Chi<strong>na</strong> walasikwambii uende wapi. Mimi bado <strong>na</strong>sema sikuridhika <strong>na</strong> jibu lako <strong>na</strong> bahati nzuri MheshimiwaMohamed Seif, amelizungumza hili. Naomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri, nendeni Kenya, nendeniEthiopia mkajifunze wenzetu wa<strong>na</strong>fanya nini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa katika mashindano ya riadha.Sisi tu<strong>na</strong> matatizo gani kiasi kwamba hatufanikiwi?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Rais alizungumzia akasema turudishe mashindanoya Primary School <strong>na</strong> Secondary School, <strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong>. Mmefanya hivyo <strong>na</strong> kweli mashindanoyamerudishwa, tu<strong>na</strong>wapata wale vija<strong>na</strong>. Sasa tukishawapata wale vija<strong>na</strong> wa Primary <strong>na</strong>Secondary waliofanya vizuri, what next? U<strong>na</strong>wapata tu, basi.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni lazima kuwe <strong>na</strong> kitu pale ambacho ki<strong>na</strong>weza kusaidiakuwaendeleza hawa vija<strong>na</strong>. Wenzetu katika nchi nyingine wa<strong>na</strong> kitu wa<strong>na</strong>ita High PerformanceTraining Centre, ambayo hii Training Centre ndiyo i<strong>na</strong>wachukua wale ambao wameshindakwenye UMISETA, sijui kwenye nini kule, wa<strong>na</strong>wekwa pamoja pale wa<strong>na</strong>pigwa msasa kama nimiezi miwili, miezi mitatu, wa<strong>na</strong>endelezwa pale <strong>na</strong> baadaye wa<strong>na</strong>rudi te<strong>na</strong>. Sisi hii hatu<strong>na</strong>. Hebubasi kama hatu<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri, tuwe <strong>na</strong> High Performance Training Centre, iliiweze kusaidia kuendeleza vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, basi kama hivyo ndivyo, <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini suala lanetball lishughulikiwe haraka.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Lakini vilevile nichukue<strong>na</strong>fasi hii kuipongeza Wizara hii kwa kutuandalia bajeti ambayo imetupa fursa kusimama hivi sasakuweza kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fsi hii kwa makusudi mazima kumpongezaWaziri Mkuu – Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kwa kazi nzuri a<strong>na</strong>yoifanya ya kutuongoza hapaBungeni. Mheshimiwa Pinda amekuwa msikivu, amekuwa akishaurika, tumekuwa tukimshaurimambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yojitokeza ndani ya Bunge <strong>na</strong> amekuwa akiyatafutia majibu ya kuletaufanisi wa kazi katika Bunge letu <strong>na</strong> kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wetu.61

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!