Kamati, watafute kwa nini hili tatizo lipo <strong>na</strong> wafanye jitihada ili limalizike <strong>na</strong> huyu Katibu Mkuuarudishwe kwenye <strong>na</strong>fasi yake. (Makofi)Wa<strong>cha</strong> sisi tulichukue Kibunge, maa<strong>na</strong> Wizara wameshindwa <strong>na</strong> Baraza wameshindwa.Wa<strong>cha</strong> sisi katika <strong>na</strong>fasi yetu kwa kutumia Kamati yetu, <strong>na</strong> Mheshimiwa Nkamia waifanye hiyo kazi.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa football ni<strong>na</strong> kila sababu ya kumpongezaMheshimiwa Tenga kwa kazi nzuri ambayo a<strong>na</strong>ifanya toka ameingia kwenye uongozi wa TFF,amefanya mambo mengi sa<strong>na</strong>. Najua <strong>cha</strong>ngamoto zipo. Najua mapungufu yapo, lakini ukweli<strong>na</strong>sema amefanya kazi nzuri <strong>na</strong> yako mafanikio makubwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, huko nyuma, mimi nilikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji waFAT Taifa, kwa hiyo, <strong>na</strong>yafahamu. Sisi tulipokuwa pale, ukilinganisha <strong>na</strong> sasa yako mafanikio mengitu. Kwa mfano, ratiba <strong>na</strong> kalenda ya football sasa hivi u<strong>na</strong>kwenda sambamba <strong>na</strong> FIFAkiulimwengu mzima. Mashindano ya kirafiki, haya mashindano rasmi ya klabu, friendly matches,yote haya sasa hivi tu<strong>na</strong>kwenda in line <strong>na</strong> wenzetu wa FIFA.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini toka ameingia Tenga, moja ya problem ambayo ilikuweponi kwamba, kulikuwa haku<strong>na</strong> imani kwa Chama <strong>cha</strong> Mpira kutoka kwa Wafadhili <strong>na</strong> Wahisani, <strong>na</strong>matokeo yake tulikuwa hatupati ufadhili wala uhisani kwenye Chama <strong>cha</strong> Mpira. Leo wewe nishahidi Mheshimiwa Mwenyekiti kwamba, TFF wamejenga imani kwa wafadhili kiasi kwamba, TFFwa<strong>na</strong>pata ufadhili mzuri sa<strong>na</strong> kutoka katika vyombo mbalimbali.NMB wa<strong>na</strong>fadhili, TBL wa<strong>na</strong>fadhili, Vodacom wa<strong>na</strong>fadhili, hawa wasingekuja kamawangekuwa <strong>na</strong> wasiwasi kwamba, fedha zao hizi wa<strong>na</strong>zotoa, basi zi<strong>na</strong>punjwa hivi. Ni kaziambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga <strong>na</strong> Kamati yake ya Utendaji. Naomba niipongezesa<strong>na</strong> kwa mafanikio haya ambayo wameyapata <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>omba uniruhusu vilevile niwapongezesa<strong>na</strong> TBL, niwapongeze sa<strong>na</strong> Vodacom <strong>na</strong> niwapongeze sa<strong>na</strong> NMB kwa kuthubutu kufadhilimasuala ya mpira ambayo hata kama u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> kwenye Kagame Cup iliyopita, basi ufadhiliwao ndiyo umesababisha Tanzania tukaweza kushiriki <strong>na</strong> alhamdulilah, Yanga wakawamabingwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vilevile huko nyuma kulikuwa <strong>na</strong> migogoro mingi katika TFFau katika FAT. Leo wewe mwenyewe u<strong>na</strong>o<strong>na</strong>, hata magazeti siku hizi hayaandiki te<strong>na</strong> mambohayo. Ni kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> Mheshimiwa Tenga. Lakini kama alivyosemaMheshimiwa Mohamed Seif, tulifika <strong>na</strong>mba ya 89 mwaka 2009 kama nipo sawasawa, yeyeamesema mwaka 2007, lakini nipo tayari kuwa corrected kati ya mwaka 2007 <strong>na</strong> 2009 tulifika<strong>na</strong>mba mbili (two digits), <strong>na</strong>mba ya 89 katika ubora katika ulimwengu, 89 sio kazi ndogo hiyo, chiniya kazi nzuri ambayo imefanywa <strong>na</strong> wenzetu hawa. Sasa tumeporomoka tuko 123, 127, 129,vyovyote itakavyokuwa lakini tumeshuka chini, lakini awali tulifika mahali pazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwa TFF mimi <strong>na</strong>omba niwapongeze, lakininiwaombe <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo waziangalie. Moja ya <strong>cha</strong>ngamoto waliyo<strong>na</strong>yo, kwa kweliwazungumze <strong>na</strong> waamuzi. Yako malalmiko mengi sa<strong>na</strong> kwa timu zetu za mpira wakilalamika. TimuA, timu B, timu C, mimi sitaki kuwataja, lakini kimsingi yako malalamiko mengi ya waamuzi,ningeomba sa<strong>na</strong> TFF waliangalie hili kwa sababu li<strong>na</strong>weza likaharibu sifa nzuri hii ambayoni<strong>na</strong>jaribu kuieleza.Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Mohamed Seif, amezungumza vizuri. Changamotowaliyo<strong>na</strong>yo ni kukazania timu za vija<strong>na</strong>, klabu zetu hizi ziwe <strong>na</strong> timu za viaja<strong>na</strong>. Haya mambo yakusajili sijui kutoka wapi, kutoka wapi, mambo ya kuanza kushutumia<strong>na</strong> siyo mazuri. Lakini kamawa<strong>na</strong> timu nzuri za vija<strong>na</strong>, kama ambavyo ilikuwa miaka ya nyuma ile miaka ya 1960 <strong>na</strong> 1970aki<strong>na</strong> Ko<strong>cha</strong> Victor Stansilaus alivyokuja hapa kutoka Romania <strong>na</strong> Simba wenzetu walimletamwingine, mambo yalikuwa mazuri. Kwa hiyo, tuimarishe timu zetu za vija<strong>na</strong>, Footbal Academyzetu tuzifungue <strong>na</strong> tuziimarishe. Hapa <strong>na</strong>omba nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Mwenyekiti waBaraza la Michezo - Mheshimiwa Kipingu, ni mfano mzuri kwa kusimamia soka la vija<strong>na</strong>, amekuwa60
<strong>na</strong> Academy yake, huyu ndiye mtu wa kuungwa mkono ili kusudi vija<strong>na</strong> wetu waweze kufanyavizuri. Huko ndiko ambako kutaweza kutusaidia sisi tuweze kupata matokeo mazuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, yako malalamiko kuhusu makato ya 20% ya Uwanja wa Taifa.Vilabu vi<strong>na</strong>lalamika sa<strong>na</strong>, u<strong>na</strong>tangaza pale umepata shilingi milioni 400 lakini klabu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong>Shilingi milioni 100 <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, yako malalamiko mengi. Nadhani ni vizuri kuliangaliahilo ili kusudi kusaidia vilabu vyetu hivi viweze kupata chochote kitu.Mheshimiwa Mwenyekiti, usalama Uwanja wa Taifa, hali sio nzuri. Pale VIP ngazi yakuteremkia ni moja, lift ile haifanyi kazi. Ikitokea dharura kama iliyotokea juzi, jamaa walipigwabao, wamekasirika wamezima taa, basi i<strong>na</strong>kuwa ni vurugu tu! Kwa hiyo, nikuombe sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri, uliangalie hili kwamba, ni lazima kwa kweli ile lift ifanye kazi <strong>na</strong> kama ku<strong>na</strong> njianyingine, au control ya wale walioingilia milango mingine wasilazimike kuja pale kwenye ulemlango wa VIP ambao kidogo u<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa riadha, tarehe 13 July, niliuliza swali hapa <strong>na</strong>nikasema yale ambayo Mheshimiwa Mohamed Seif amesema, twende Kenya tukajifunze wenzetuwa<strong>na</strong>fanya nini kwa sababu, mazingira yetu yako sawasawa. Napenda niseme MheshimiwaWaziri, jibu lako halikuwa safi, sikuridhika <strong>na</strong>lo. Ni<strong>na</strong>lo hapa <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa MohamedSeif, ambaye alikuwepo pale amelizungumza vizuri.Kwanza, u<strong>na</strong>sema aah, a<strong>cha</strong> kwanza tujiangalie tufanye kongamano. Ku<strong>na</strong> ubaya ganikwenda Kenya? Ku<strong>na</strong> ubaya gani kwenda Ethiopia? Kwenda kujifunza wenzetu hawa wa<strong>na</strong>fanyanini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa <strong>na</strong> sisi hatufanikiwi! Kwanza Kenya, hapa Nairobi u<strong>na</strong>kwenda kwa garitu, hu<strong>na</strong> habari ya ndege, labda kwa Ethiopia,lakini ni karibu pale. Sikwambii uende Chi<strong>na</strong> walasikwambii uende wapi. Mimi bado <strong>na</strong>sema sikuridhika <strong>na</strong> jibu lako <strong>na</strong> bahati nzuri MheshimiwaMohamed Seif, amelizungumza hili. Naomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri, nendeni Kenya, nendeniEthiopia mkajifunze wenzetu wa<strong>na</strong>fanya nini mpaka wa<strong>na</strong>fanikiwa katika mashindano ya riadha.Sisi tu<strong>na</strong> matatizo gani kiasi kwamba hatufanikiwi?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Rais alizungumzia akasema turudishe mashindanoya Primary School <strong>na</strong> Secondary School, <strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong>. Mmefanya hivyo <strong>na</strong> kweli mashindanoyamerudishwa, tu<strong>na</strong>wapata wale vija<strong>na</strong>. Sasa tukishawapata wale vija<strong>na</strong> wa Primary <strong>na</strong>Secondary waliofanya vizuri, what next? U<strong>na</strong>wapata tu, basi.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni lazima kuwe <strong>na</strong> kitu pale ambacho ki<strong>na</strong>weza kusaidiakuwaendeleza hawa vija<strong>na</strong>. Wenzetu katika nchi nyingine wa<strong>na</strong> kitu wa<strong>na</strong>ita High PerformanceTraining Centre, ambayo hii Training Centre ndiyo i<strong>na</strong>wachukua wale ambao wameshindakwenye UMISETA, sijui kwenye nini kule, wa<strong>na</strong>wekwa pamoja pale wa<strong>na</strong>pigwa msasa kama nimiezi miwili, miezi mitatu, wa<strong>na</strong>endelezwa pale <strong>na</strong> baadaye wa<strong>na</strong>rudi te<strong>na</strong>. Sisi hii hatu<strong>na</strong>. Hebubasi kama hatu<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri, tuwe <strong>na</strong> High Performance Training Centre, iliiweze kusaidia kuendeleza vija<strong>na</strong> wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, basi kama hivyo ndivyo, <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini suala lanetball lishughulikiwe haraka.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Lakini vilevile nichukue<strong>na</strong>fasi hii kuipongeza Wizara hii kwa kutuandalia bajeti ambayo imetupa fursa kusimama hivi sasakuweza kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fsi hii kwa makusudi mazima kumpongezaWaziri Mkuu – Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kwa kazi nzuri a<strong>na</strong>yoifanya ya kutuongoza hapaBungeni. Mheshimiwa Pinda amekuwa msikivu, amekuwa akishaurika, tumekuwa tukimshaurimambo mbalimbali ya<strong>na</strong>yojitokeza ndani ya Bunge <strong>na</strong> amekuwa akiyatafutia majibu ya kuletaufanisi wa kazi katika Bunge letu <strong>na</strong> kwa manufaa ya wa<strong>na</strong>nchi wetu.61
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest