Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailipanga kukusanya Mapato ya jumla ya shilingi 697,601,000 kutoka vyanzo mbalimbali. Hadi kufikiamwishoni mwa mwezi Juni, 20<strong>11</strong> jumla ya sh. 442,899,176/= zilikuwa zimekusanywa ambazo ni sawa<strong>na</strong> asilimia 63 ya lengo la makusanyo ya mwaka. M<strong>cha</strong>nganuo wa makusanyo hayo upo kwenyeKiambatisho Na I. Kadhalika Wizara ilitengewa jumla ya sh. 18,786,123,491/= kwa ajili ya Matumiziya Kawaida, fedha hizo zilijumuisha mishahara ya Wizara sh. 2,204,370,168/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.5,322,056,000/=. Matumizi Mengineyo (OC) ya Wizara sh. 7,017,626,323/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.4,242,071,000/=. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, jumla ya sh. 17,993,171,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Idara upo katika Kiambatisho Na. II.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong> Wizarailitengewa jumla ya shilingi 7,982,562,000 fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong>moja ya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, shilingi 5,600,000,000 zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na III.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailitengewa jumla ya sh. 7,982,562,000/= fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong> mojaya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, Sh. 5,600,000,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na. III.Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu sekta ya habari. Katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>,Wizara ilitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari wapatao 150 kutoka katika Vitengovya Habari vya Wizara mbalimbali, Idara, Wakala, Taasisi za Umma, Mashirika ya Umma, Mikoa,Majiji, Miji <strong>na</strong> Halmashauri za Wilaya. Hivi sasa, Wizara i<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kukamilishaSera mpya ya Habari <strong>na</strong> ukamilishaji wa rasimu ya mapendekezo ya kutunga Sheria ya KusimamiaVyombo vya Habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kupitia Idara ya Habari imefanikiwa kukusanya taarifambalimbali za Serikali, kuandika habari <strong>na</strong> kuzitoa katika vyombo vya habari, kupiga pi<strong>cha</strong> zamatukio mbalimbali ya Kitaifa, kuzitoa katika magazeti <strong>na</strong> kuzihifadhi katika maktaba yakumbukumbu ya pi<strong>cha</strong> kwa njia ya elektroniki. Aidha, Wizara imeboresha u<strong>cha</strong>pishaji wa jarida laNchi Yetu <strong>na</strong> kuhakikisha li<strong>na</strong><strong>cha</strong>pishwa kwa wakati uliopangwa. Matoleo mawili yenye <strong>na</strong>kala8,000 za jarida hili yame<strong>cha</strong>pishwa <strong>na</strong> kusambazwa. Kadhalika Wizara ime<strong>cha</strong>pisha bango laBaraza la Mawaziri li<strong>na</strong>lowatambulisha kwa wa<strong>na</strong>nchi Mawaziri <strong>na</strong> Naibu Mawaziri <strong>na</strong> Wizarawa<strong>na</strong>zoziongoza.Mheshimiwa Naibu Spika, Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi imeanzishwa <strong>na</strong> Serikali ili kuhakikisha kuwawa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>pata haki yao ya kikatiba ya kutoa maoni kwa uhuru katika masualaya<strong>na</strong>yowahusu. Tovuti imewawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuwa <strong>na</strong> mawasiliano ya moja kwa moja <strong>na</strong>Serikali. Changamoto iliyopo kwa sasa ni kuhakikisha kwamba hoja za wa<strong>na</strong>nchi zi<strong>na</strong>jibiwa kwawakati <strong>na</strong> kwa ufasaha ili kutatua matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuzihamasishaWizara nyingine, Idara zi<strong>na</strong>zojitegemea, Taasisi <strong>na</strong> wadau wengine ili kujibu hoja zote zi<strong>na</strong>zotolewa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa muda muafaka. Kwa kipindi <strong>cha</strong> mwaka ulioanza mwezi Julai, 2010 hadi Juni,20<strong>11</strong> jumla ya hoja <strong>11</strong>,934 zimepokelewa kupitia Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> kujibiwa.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha ku<strong>na</strong> uelewa mzuri wa matumizi ya Tovuti yaWa<strong>na</strong>nchi, Wizara imetoa mafunzo juu ya tovuti hiyo kwa watendaji waandamizi wa Wizarambalimbali, Idara <strong>na</strong> Wakala. Aidha, ili kuhakikisha kuwa kumbukumbu za matukio mbalimbali yaKitaifa zilizohifadhiwa tangu mwaka 1948 katika mfumo wa pi<strong>cha</strong> <strong>na</strong> negatives hazipotei, Wizarailianzisha mradi wa maktaba ya pi<strong>cha</strong> ili kuhifadhi pi<strong>cha</strong> zote kwa njia ya digitali. Jumla ya pi<strong>cha</strong>2,500,000 zilizokuwepo zimehifadhiwa kwa teknolojia hiyo. Hivi sasa pi<strong>cha</strong> zote zi<strong>na</strong>zopigwa kwakutumia kamera za kisasa za digitali zi<strong>na</strong>endelea kuingizwa katika maktaba hiyo.Aidha, Wizara imeanza m<strong>cha</strong>kato wa kuanzisha mtandao wa kulinda <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong>popote duniani kupitia internet, e–commerce project. Utaratibu huu utahakikisha kuwa pi<strong>cha</strong> zakumbukumbu za Kitaifa <strong>na</strong> Kimataifa zi<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> kwa urahisi mahali popote duniani lakinihazichukuliwi kwa njia ya mtandao bila idhini ya Serikali.20
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> pi<strong>cha</strong> Wizaraimetoa jumla ya vibali <strong>11</strong>1 vya kuandika habari <strong>na</strong> kupiga pi<strong>cha</strong>. Kati ya vibali hivyo 102 ni vyawaandishi kutoka nje <strong>na</strong> tisa ni wa ndani <strong>na</strong> vitambulisho (press cards) 400 vya waandishi wahabari vimetolewa kwa wa<strong>na</strong>taaluma.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza uhuru wa upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> vyombovya habari, Wizara imeendelea <strong>na</strong> usajili wa magazeti <strong>na</strong> majarida. Hadi Juni, 20<strong>11</strong> jumla yamagazeti <strong>na</strong> majarida 7<strong>11</strong> yalikuwa yamesajiliwa yakiwemo yale ya kila siku <strong>na</strong> ya kila wiki. Usajiliwa magazeti kwa mwaka 2010/20<strong>11</strong>, ulikuwa mdogo kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali kusitisha usajili huo kwamuda ili kupitia upya taratibu za usajili.Aidha, katika kipindi hicho gazeti moja lilifutwa kutoka katika kitabu <strong>cha</strong> Msajili kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> kwenda kinyume <strong>na</strong> masharti ya usajili <strong>na</strong> maadili ya uandishi. Magazeti mengine <strong>na</strong>neyaliyokiuka maadili ya uandishi wa habari yalipewa onyo.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa upande wa utangazaji ku<strong>na</strong> vituo 70 vya rediovilivyoandikishwa <strong>na</strong> 26 vya televisheni. Vituo vingine saba vi<strong>na</strong>toa huduma ya kupokeamatangazo ya vituo vya nje vya televisheni (Cable pay TV) <strong>na</strong> kuwauzia wa<strong>na</strong>nchi. Aidha, Shirikala Utangazaji Tanzania (TBC) limetimiza miaka mitatu tangu lilipobadilishwa <strong>na</strong> kuzinduliwa rasmitarehe 26 Machi, 2008 <strong>na</strong> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta JakayaMrisho Kikwete. Kuanzia kipindi hicho, Shirika limejitahidi kutimiza malengo yake kwa kupanuausikivu wake ili uweze kuwafikia wa<strong>na</strong>nchi nchini kote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uongozi wa Serikali Mikoani, TBC imepatamaeneo <strong>na</strong> kujenga vyumba vya kufunga mitambo ya FM katika Mikoa ya Shinyanga, Manyara,Kilimanjaro, Morogoro, Iringa, Rukwa, Mtwara <strong>na</strong> Ruvuma. Shirika limenunua mitambo ya FM 18yenye uwezo wa kilowatt mbili ambayo imefikishwa kwenye vituo vya Shinyanga, Babati, Moshi,Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru. Kila kituo ki<strong>na</strong> mitambo ya trasmittersmbili, moja kwa ajili ya matangazo ya TBC Taifa<strong>na</strong> nyingine kwa ajili ya TBC FM.Mheshimiwa Naibu Spika, ufungaji wa mitambo hiyo katika Mikoa ya Morogoro, Iringa,Kilimanjaro <strong>na</strong> Manyara umekamilika. Kuanzia Novemba, 2010 vituo vya Morogoro, Iringa, Moshi<strong>na</strong> Babati vimeanza kurusha matangazo. M<strong>cha</strong>kato wa kufunga mitambo kwa vituo vya Newala,Tunduru, Songea, Mpanda <strong>na</strong> Shinyanga umeanza mwezi Mei, 20<strong>11</strong> <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika hivikaribuni.Mheshimiwa Naibu Spika, Kampuni ya Magazeti ya Serikali, (TSN) i<strong>na</strong>yo<strong>cha</strong>pisha magazetiya Daily News, Sunday News <strong>na</strong> HabariLeo i<strong>na</strong>jiendesha kwa faida bila kutegemea ruzuku kutokaSerikalini. Tangu mwaka 2004 Kampuni imekuwa ikitoa gawio kwa Serikali kupitia Hazi<strong>na</strong>. Kampuniya Magazeti ya Serikali imeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kuzalisha magazeti <strong>na</strong> kufunga mashine yapili ya kompyuta (CTP) ili kuongeza uwezo wa ku<strong>cha</strong>pa magazeti. Kampuni pia imekamilishaununuzi wa majengo kwa ajili ya mtambo wa u<strong>cha</strong>paji <strong>na</strong> imekabidhiwa hati ya umiliki wamajengo hayo.Mheshimiwa Naibu Spika, ukarabati wa jengo la ofisi lililoko Barabara ya Mandela Jijini, Dares Salaam u<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika mwezi Agosti, 20<strong>11</strong>. Kampuni ya TSNimeendelea <strong>na</strong> harakati za kutafuta wabia wa kuendeleza viwanja vya kampuni vilivyopo Dar esSalaam <strong>na</strong> Dodoma. Amepatika<strong>na</strong> mbia wa uhakika ambaye ameonyesha nia ya kuendelezakiwanja <strong>cha</strong> Dodoma. Kampuni pia imetoa mwaliko <strong>na</strong> imetangaza kwa wabia wenginewatakaohusika <strong>na</strong> uendelezaji wa viwanja viwili vya Dar es Salaam. Aidha, katika mwaka wafedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Kampuni imekamilisha <strong>na</strong> kuzindua maktaba ya Elektroniki. Aidha, taratibu zakuzindua huduma ya pi<strong>cha</strong> zi<strong>na</strong>endelea.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza Sekta ya Habari, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> kwa karibu <strong>na</strong>Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) katika kusajili <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya redio <strong>na</strong>televisheni nchini. Pamoja <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya radio <strong>na</strong> televisheni, TCRA kupitia Kamatiya Maudhui i<strong>na</strong>ratibu utendaji wa vituo hivyo <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa vyote vi<strong>na</strong>zingatia maadili21
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72:
Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74:
pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76:
Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest