12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> pi<strong>cha</strong> Wizaraimetoa jumla ya vibali <strong>11</strong>1 vya kuandika habari <strong>na</strong> kupiga pi<strong>cha</strong>. Kati ya vibali hivyo 102 ni vyawaandishi kutoka nje <strong>na</strong> tisa ni wa ndani <strong>na</strong> vitambulisho (press cards) 400 vya waandishi wahabari vimetolewa kwa wa<strong>na</strong>taaluma.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza uhuru wa upatika<strong>na</strong>ji wa habari <strong>na</strong> vyombovya habari, Wizara imeendelea <strong>na</strong> usajili wa magazeti <strong>na</strong> majarida. Hadi Juni, 20<strong>11</strong> jumla yamagazeti <strong>na</strong> majarida 7<strong>11</strong> yalikuwa yamesajiliwa yakiwemo yale ya kila siku <strong>na</strong> ya kila wiki. Usajiliwa magazeti kwa mwaka 2010/20<strong>11</strong>, ulikuwa mdogo kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali kusitisha usajili huo kwamuda ili kupitia upya taratibu za usajili.Aidha, katika kipindi hicho gazeti moja lilifutwa kutoka katika kitabu <strong>cha</strong> Msajili kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> kwenda kinyume <strong>na</strong> masharti ya usajili <strong>na</strong> maadili ya uandishi. Magazeti mengine <strong>na</strong>neyaliyokiuka maadili ya uandishi wa habari yalipewa onyo.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa upande wa utangazaji ku<strong>na</strong> vituo 70 vya rediovilivyoandikishwa <strong>na</strong> 26 vya televisheni. Vituo vingine saba vi<strong>na</strong>toa huduma ya kupokeamatangazo ya vituo vya nje vya televisheni (Cable pay TV) <strong>na</strong> kuwauzia wa<strong>na</strong>nchi. Aidha, Shirikala Utangazaji Tanzania (TBC) limetimiza miaka mitatu tangu lilipobadilishwa <strong>na</strong> kuzinduliwa rasmitarehe 26 Machi, 2008 <strong>na</strong> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta JakayaMrisho Kikwete. Kuanzia kipindi hicho, Shirika limejitahidi kutimiza malengo yake kwa kupanuausikivu wake ili uweze kuwafikia wa<strong>na</strong>nchi nchini kote.Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> uongozi wa Serikali Mikoani, TBC imepatamaeneo <strong>na</strong> kujenga vyumba vya kufunga mitambo ya FM katika Mikoa ya Shinyanga, Manyara,Kilimanjaro, Morogoro, Iringa, Rukwa, Mtwara <strong>na</strong> Ruvuma. Shirika limenunua mitambo ya FM 18yenye uwezo wa kilowatt mbili ambayo imefikishwa kwenye vituo vya Shinyanga, Babati, Moshi,Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru. Kila kituo ki<strong>na</strong> mitambo ya trasmittersmbili, moja kwa ajili ya matangazo ya TBC Taifa<strong>na</strong> nyingine kwa ajili ya TBC FM.Mheshimiwa Naibu Spika, ufungaji wa mitambo hiyo katika Mikoa ya Morogoro, Iringa,Kilimanjaro <strong>na</strong> Manyara umekamilika. Kuanzia Novemba, 2010 vituo vya Morogoro, Iringa, Moshi<strong>na</strong> Babati vimeanza kurusha matangazo. M<strong>cha</strong>kato wa kufunga mitambo kwa vituo vya Newala,Tunduru, Songea, Mpanda <strong>na</strong> Shinyanga umeanza mwezi Mei, 20<strong>11</strong> <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika hivikaribuni.Mheshimiwa Naibu Spika, Kampuni ya Magazeti ya Serikali, (TSN) i<strong>na</strong>yo<strong>cha</strong>pisha magazetiya Daily News, Sunday News <strong>na</strong> HabariLeo i<strong>na</strong>jiendesha kwa faida bila kutegemea ruzuku kutokaSerikalini. Tangu mwaka 2004 Kampuni imekuwa ikitoa gawio kwa Serikali kupitia Hazi<strong>na</strong>. Kampuniya Magazeti ya Serikali imeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kuzalisha magazeti <strong>na</strong> kufunga mashine yapili ya kompyuta (CTP) ili kuongeza uwezo wa ku<strong>cha</strong>pa magazeti. Kampuni pia imekamilishaununuzi wa majengo kwa ajili ya mtambo wa u<strong>cha</strong>paji <strong>na</strong> imekabidhiwa hati ya umiliki wamajengo hayo.Mheshimiwa Naibu Spika, ukarabati wa jengo la ofisi lililoko Barabara ya Mandela Jijini, Dares Salaam u<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> u<strong>na</strong>tarajiwa kukamilika mwezi Agosti, 20<strong>11</strong>. Kampuni ya TSNimeendelea <strong>na</strong> harakati za kutafuta wabia wa kuendeleza viwanja vya kampuni vilivyopo Dar esSalaam <strong>na</strong> Dodoma. Amepatika<strong>na</strong> mbia wa uhakika ambaye ameonyesha nia ya kuendelezakiwanja <strong>cha</strong> Dodoma. Kampuni pia imetoa mwaliko <strong>na</strong> imetangaza kwa wabia wenginewatakaohusika <strong>na</strong> uendelezaji wa viwanja viwili vya Dar es Salaam. Aidha, katika mwaka wafedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Kampuni imekamilisha <strong>na</strong> kuzindua maktaba ya Elektroniki. Aidha, taratibu zakuzindua huduma ya pi<strong>cha</strong> zi<strong>na</strong>endelea.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuendeleza Sekta ya Habari, Wizara i<strong>na</strong>shirikia<strong>na</strong> kwa karibu <strong>na</strong>Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) katika kusajili <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya redio <strong>na</strong>televisheni nchini. Pamoja <strong>na</strong> kutoa leseni kwa vituo vya radio <strong>na</strong> televisheni, TCRA kupitia Kamatiya Maudhui i<strong>na</strong>ratibu utendaji wa vituo hivyo <strong>na</strong> kuhakikisha kuwa vyote vi<strong>na</strong>zingatia maadili21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!