12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

jambo hili la kuhakikisha kwamba ku<strong>na</strong> bima kwa wachezaji wa<strong>na</strong>popata bahati mbaya katikamichezo hasa pale wa<strong>na</strong>powakilisha Taifa letu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, ukitaja Tanzania katika <strong>na</strong>fasi ya michezo maa<strong>na</strong> yake piau<strong>na</strong>izungumza Zanzibar lakini pia u<strong>na</strong>izungumza Tanganyika. Nchi hizi mbili zi<strong>na</strong> vyama vyao vyamichezo, kwa Zanzibar ku<strong>na</strong> ZFA ndio <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia mambo ya michezo Zanzibar. Lakinikwa Tanzania Bara ku<strong>na</strong> chombo ki<strong>na</strong>itwa TFF. Lakini Tanzania Bara kutumia neno hili la TFF <strong>na</strong>wakalipa tafsiri ya Tanzania kwamba ni Chama <strong>cha</strong> Mpira <strong>cha</strong> Tanzania hapa mimi <strong>na</strong>dhani sisahihi. Lakini kwa kuwa imezoeleka <strong>na</strong> ndio wa<strong>na</strong>vyoitumia wenzetu wa Tanzania Baraimepelekea kupoteza haki nyingi za Wazanzibar. (Makofi)MWENYEKITI: Ku<strong>na</strong> Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar. Hatu<strong>na</strong> Tanganyika.MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Mwenyekiti, samahani <strong>na</strong>omba iingie kwenyeHansard Tanzania Bara. Tanzania i<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo ya Kimataifa, TFF i<strong>na</strong>tumia ji<strong>na</strong> hilika<strong>na</strong> kwamba ni mwakilishi wa Tanzania. Lakini hata pale tu<strong>na</strong>popata misaada ama ruzukukutoka vyama vya mpira duniani (FIFA) ruzuku hizi au mgao huu u<strong>na</strong>okuja kwa ji<strong>na</strong> la Tanzaniau<strong>na</strong>ishia Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar hatuambulii chochote. Ni miaka mingi sasa FIFAimekuwa ikitoa fedha kwa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma <strong>na</strong> kwa sasa i<strong>na</strong>sadikika kwamba ni dola 500,000kwa mwaka, fedha hizi pia i<strong>na</strong>semeka<strong>na</strong> Tanzania tu<strong>na</strong>pata. Lakini Zanzibar sijui kama ku<strong>na</strong> hataasilimia ndogo i<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> fedha hizi. Taarifa niliyo<strong>na</strong>yo ni kwamba Zanzibarimefaidika kidogo hivi karibuni kwa fedha ambazo zilitumika kwa kuotesha nyasi katika uwanja waGombani Pemba. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kuikandamiza <strong>na</strong> kuidhalilisha Zanzibar kimichezo.Isingekuwa i<strong>na</strong>stahiki TFF kutumia koti la Jamhuri ya Muungano kama wakala/mhusika kwenyemichezo ya Kimataifa. Naomba sa<strong>na</strong> jambo hili lifikie mwisho <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo yaKimataifa kama Tanzania basi Zanzibar kwa maa<strong>na</strong> ya ZFA ishirikiane <strong>na</strong> Tanzania Bara (TFF) ilituone ni vipi tutakuwa tu<strong>na</strong>iwakilisha Tanzania kwenye michezo ya Kimataifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika suala la watalaam ndani ya michezo kwa Tanzaniatumekuwa <strong>na</strong> tabia ya Tanzania kuo<strong>na</strong> kwamba wenzetu wa Mataifa ya Ulaya kwamba wa<strong>na</strong>viwango vizuri <strong>na</strong> utaalam mzuri katika mambo ya michezo, mimi silikatai hilo. Ni kweli kwa sababuwenzetu walianza tangu awali wakiamini kwamba michezo ni kazi. Lakini kama tu<strong>na</strong>amini hivyo <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba wa<strong>na</strong>weza kuisaidia Tanzania si vibaya kuwa <strong>na</strong>o kama mako<strong>cha</strong> wa michezombalimbali. Lakini wakati huo huo ingekuwa vema sa<strong>na</strong> tukawachukua wazalendo wetutukawapeleka katika Mataifa hayo kwenda kupata <strong>na</strong> wao utalaam <strong>na</strong> ujuzi wa kuja kuisaidiaTanzania katika mambo haya ya michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong> wachezaji wa mpira wa miguu ambao walikuwa <strong>na</strong> maji<strong>na</strong>hapa Tanzania <strong>na</strong> baada ya kuo<strong>na</strong> kwamba wameshindwa kuendelea <strong>na</strong> michezo wameamuakulisaidia Taifa hili kwa fani hii waliyo<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> sasa ni mako<strong>cha</strong>. Tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> ambaowamesaidia sa<strong>na</strong> Taifa hili.Lakini tu<strong>na</strong>pomchukua ko<strong>cha</strong> wa kigeni kuja kumweka pale <strong>na</strong> ko<strong>cha</strong> mzalendo Juliomaa<strong>na</strong> ni kumdumaza Julio ama ko<strong>cha</strong> mzalendo katika fani ile ya kufundisha. Tu<strong>na</strong>pomfanyako<strong>cha</strong> wa kigeni kwamba yeye ndio awe ko<strong>cha</strong> mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kupunguza kiwango <strong>cha</strong>ufundishaji <strong>cha</strong> ko<strong>cha</strong> wetu mzalendo. Tatizo li<strong>na</strong>kuja kwamba mgeni yule a<strong>na</strong>poamua kuondokakwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote tu<strong>na</strong>fika mahali tu<strong>na</strong>kuwa tu<strong>na</strong>jiuliza tufanyeje kuziba pengo lililokuwepobaada ya kuondoka? Hali kadhalika kwa upande wa wachezaji tumekuwa <strong>na</strong> taratibu zakuchukua wachezaji <strong>na</strong> sheria i<strong>na</strong>sema kwamba timu i<strong>na</strong>ruhusiwa kuchukua wachezaji si zaidi yawatano, klabu iweze kusajili wachezaji wasiozidi watano wa kigeni, sawa sawa lakini mimi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitatizo, <strong>na</strong>ishauri Serikali kupitia Wizara kwamba kama ku<strong>na</strong> ulazima basi tuchukue angalauwachezaji wasiozidi watatu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa wale wa<strong>na</strong>oelewa mpira <strong>na</strong> hasa wale wachezaji <strong>na</strong>waliopitia kwenye kucheza mpira u<strong>na</strong>powachukua wachezaji watano wa kigeni ukawawekauwanjani, ukaweka kwenye kablu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba u<strong>na</strong>wachukua wachezaji wazalendo93

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!