MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A
MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A
MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku<strong>na</strong> bima kwa wachezaji wa<strong>na</strong>popata bahati mbaya katikamichezo hasa pale wa<strong>na</strong>powakilisha Taifa letu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, ukitaja Tanzania katika <strong>na</strong>fasi ya michezo maa<strong>na</strong> yake piau<strong>na</strong>izungumza Zanzibar lakini pia u<strong>na</strong>izungumza Tanganyika. Nchi hizi mbili zi<strong>na</strong> vyama vyao vyamichezo, kwa Zanzibar ku<strong>na</strong> ZFA ndio <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia mambo ya michezo Zanzibar. Lakinikwa Tanzania Bara ku<strong>na</strong> chombo ki<strong>na</strong>itwa TFF. Lakini Tanzania Bara kutumia neno hili la TFF <strong>na</strong>wakalipa tafsiri ya Tanzania kwamba ni Chama <strong>cha</strong> Mpira <strong>cha</strong> Tanzania hapa mimi <strong>na</strong>dhani sisahihi. Lakini kwa kuwa imezoeleka <strong>na</strong> ndio wa<strong>na</strong>vyoitumia wenzetu wa Tanzania Baraimepelekea kupoteza haki nyingi za Wazanzibar. (Makofi)MWENYEKITI: Ku<strong>na</strong> Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar. Hatu<strong>na</strong> Tanganyika.MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Mwenyekiti, samahani <strong>na</strong>omba iingie kwenyeHansard Tanzania Bara. Tanzania i<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo ya Kimataifa, TFF i<strong>na</strong>tumia ji<strong>na</strong> hilika<strong>na</strong> kwamba ni mwakilishi wa Tanzania. Lakini hata pale tu<strong>na</strong>popata misaada ama ruzukukutoka vyama vya mpira duniani (FIFA) ruzuku hizi au mgao huu u<strong>na</strong>okuja kwa ji<strong>na</strong> la Tanzaniau<strong>na</strong>ishia Tanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Zanzibar hatuambulii chochote. Ni miaka mingi sasa FIFAimekuwa ikitoa fedha kwa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma <strong>na</strong> kwa sasa i<strong>na</strong>sadikika kwamba ni dola 500,000kwa mwaka, fedha hizi pia i<strong>na</strong>semeka<strong>na</strong> Tanzania tu<strong>na</strong>pata. Lakini Zanzibar sijui kama ku<strong>na</strong> hataasilimia ndogo i<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> fedha hizi. Taarifa niliyo<strong>na</strong>yo ni kwamba Zanzibarimefaidika kidogo hivi karibuni kwa fedha ambazo zilitumika kwa kuotesha nyasi katika uwanja waGombani Pemba. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kuikandamiza <strong>na</strong> kuidhalilisha Zanzibar kimichezo.Isingekuwa i<strong>na</strong>stahiki TFF kutumia koti la Jamhuri ya Muungano kama wakala/mhusika kwenyemichezo ya Kimataifa. Naomba sa<strong>na</strong> jambo hili lifikie mwisho <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>poshiriki kwenye michezo yaKimataifa kama Tanzania basi Zanzibar kwa maa<strong>na</strong> ya ZFA ishirikiane <strong>na</strong> Tanzania Bara (TFF) ilituone ni vipi tutakuwa tu<strong>na</strong>iwakilisha Tanzania kwenye michezo ya Kimataifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika suala la watalaam ndani ya michezo kwa Tanzaniatumekuwa <strong>na</strong> tabia ya Tanzania kuo<strong>na</strong> kwamba wenzetu wa Mataifa ya Ulaya kwamba wa<strong>na</strong>viwango vizuri <strong>na</strong> utaalam mzuri katika mambo ya michezo, mimi silikatai hilo. Ni kweli kwa sababuwenzetu walianza tangu awali wakiamini kwamba michezo ni kazi. Lakini kama tu<strong>na</strong>amini hivyo <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba wa<strong>na</strong>weza kuisaidia Tanzania si vibaya kuwa <strong>na</strong>o kama mako<strong>cha</strong> wa michezombalimbali. Lakini wakati huo huo ingekuwa vema sa<strong>na</strong> tukawachukua wazalendo wetutukawapeleka katika Mataifa hayo kwenda kupata <strong>na</strong> wao utalaam <strong>na</strong> ujuzi wa kuja kuisaidiaTanzania katika mambo haya ya michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong> wachezaji wa mpira wa miguu ambao walikuwa <strong>na</strong> maji<strong>na</strong>hapa Tanzania <strong>na</strong> baada ya kuo<strong>na</strong> kwamba wameshindwa kuendelea <strong>na</strong> michezo wameamuakulisaidia Taifa hili kwa fani hii waliyo<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> sasa ni mako<strong>cha</strong>. Tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> ambaowamesaidia sa<strong>na</strong> Taifa hili.Lakini tu<strong>na</strong>pomchukua ko<strong>cha</strong> wa kigeni kuja kumweka pale <strong>na</strong> ko<strong>cha</strong> mzalendo Juliomaa<strong>na</strong> ni kumdumaza Julio ama ko<strong>cha</strong> mzalendo katika fani ile ya kufundisha. Tu<strong>na</strong>pomfanyako<strong>cha</strong> wa kigeni kwamba yeye ndio awe ko<strong>cha</strong> mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kupunguza kiwango <strong>cha</strong>ufundishaji <strong>cha</strong> ko<strong>cha</strong> wetu mzalendo. Tatizo li<strong>na</strong>kuja kwamba mgeni yule a<strong>na</strong>poamua kuondokakwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote tu<strong>na</strong>fika mahali tu<strong>na</strong>kuwa tu<strong>na</strong>jiuliza tufanyeje kuziba pengo lililokuwepobaada ya kuondoka? Hali kadhalika kwa upande wa wachezaji tumekuwa <strong>na</strong> taratibu zakuchukua wachezaji <strong>na</strong> sheria i<strong>na</strong>sema kwamba timu i<strong>na</strong>ruhusiwa kuchukua wachezaji si zaidi yawatano, klabu iweze kusajili wachezaji wasiozidi watano wa kigeni, sawa sawa lakini mimi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitatizo, <strong>na</strong>ishauri Serikali kupitia Wizara kwamba kama ku<strong>na</strong> ulazima basi tuchukue angalauwachezaji wasiozidi watatu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa wale wa<strong>na</strong>oelewa mpira <strong>na</strong> hasa wale wachezaji <strong>na</strong>waliopitia kwenye kucheza mpira u<strong>na</strong>powachukua wachezaji watano wa kigeni ukawawekauwanjani, ukaweka kwenye kablu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba u<strong>na</strong>wachukua wachezaji wazalendo93