12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa miguu mwaka 2005 kiwango <strong>cha</strong> FIFA tulikuwa 175.Mwaka 2007 tulipanda mpaka kufika 89. Leo <strong>na</strong>fikiri tuko 128. Kwa nini? Kwa nini tu<strong>na</strong>poromoka?Tu<strong>na</strong>poroka kwa nini? Tujitahidi kwa sababu hii ni heshima kubwa sa<strong>na</strong>. Hatukuwahi hata maramoja kufika fai<strong>na</strong>li la Kombe la Afrika toka mwaka elfu moja <strong>na</strong> thelathini mpaka leo hatukuwahikuingia katika Kombe la Dunia. Kwa nini? Tujiulize. Tuache ushabiki huu wa Usimba <strong>na</strong> Uyangahapa! Twende mbele! Mpira sijui Simba <strong>na</strong> Yanga tu! Lazima tujitahidi tutoke hapa tulipo. Mimi<strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> tatizo kubwa sa<strong>na</strong>. Lazima Serikali ije <strong>na</strong> mpango kabambe kuo<strong>na</strong> ni <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ganitu<strong>na</strong>weza kuuendeleza mpira wa miguu ambao u<strong>na</strong>pendwa <strong>na</strong> watu wengi sa<strong>na</strong> duniani.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kombe la Dunia li<strong>na</strong>angaliwa <strong>na</strong> watu zaidi ya bilioni 26.Wa<strong>na</strong>nchi wengi wa<strong>na</strong>penda mpira wa miguu, tu<strong>na</strong>wakera Watanzania. Tu<strong>na</strong>waudhiWatanzania kwa sababu hatuuendelezi mpira wa miguu. Ningeshauri Serikali kuchukua hatua yakufanya hivyo. Bado ni<strong>na</strong> dakika tano.MWENYEKITI: Ni ya pili hiyo. Ahsante Mheshimiwa.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Aaah, Basi bwa<strong>na</strong>.MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba kumwita sasa Alhaj Mohamed Missanga <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe ajiandae.MHE. MOHAMED H. MISSANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze kwa kukushukuru sa<strong>na</strong>kwa kunipa <strong>na</strong>fasi mapema tu ku<strong>cha</strong>ngia katika hoja hii muhimu. Nampongeza sa<strong>na</strong> MheshimiwaWaziri Nchimbi pamoja Naibu wake, Katibu Mkuu <strong>na</strong> wote wa<strong>na</strong>oshiriki katika Wizara hii kwamaandalizi mazuri ya hotuba ya bajeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, masuala ya habari, mimi sitaki kujikita sa<strong>na</strong> kwa sababu wakowenyewe <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa Mohammed Seif yeye ni mtaalam, amesema mambo yavija<strong>na</strong> wako, Mheshimiwa Esther kazungumza vizuri. Mambo ya sa<strong>na</strong>a wako wenyewe, aki<strong>na</strong> Mr.Sugu. Kwa hiyo, mimi sitaki kuingia sa<strong>na</strong> huko. Mimi <strong>na</strong>omba nijikite kwenye michezo. Nikipata<strong>na</strong>fasi, nitazungumza mambo ya Netiboli <strong>na</strong> football <strong>na</strong> riadha.Naomba nianze <strong>na</strong> netiboli.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa muda mrefu katika netiboli kulikuwa <strong>na</strong> utulivu <strong>na</strong> amani,mchezo ambao uliendeshwa vizuri bila migogoro, bila matatizo yoyote kwa muda mrefu sa<strong>na</strong>.Lakini hivi karibuni kumezuka tatizo katika netiboli. Umezuka mgogoro ambao umesabisha KatibuMkuu wa Chama hiki A<strong>na</strong> Kibira kusimamishwa kuwa Katibu Mkuu toka mwezi Agosti, 2009.Nilipofuatilia sababu za msingi ambazo zimemfanya A<strong>na</strong> au Katibu Mkuu huyu asimamishwe, kwakweli mimi nimeo<strong>na</strong> ni mambo ya hovyo hovyo tu, wala haku<strong>na</strong> jambo la msingi. Kwa sababu,<strong>na</strong>ambiwa msingi wa kumsimamisha ni kwa sababu eti ame-side <strong>na</strong> CHANEZA au wenzetu wanetiboli wa upande wa Zanzibar katika kudumisha mashirikiano <strong>na</strong> mahusiano mazuri kati yaTanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Visiwani juu ya kuendeleza mchezo wa netiboli, jambo ambalo sikuzote hapa tu<strong>na</strong>sisitiza habari ya kuimarisha Muungano <strong>na</strong> hivi ni vyombo vya kuendelezaMuungano.Sasa mwenzetu huyu ambaye a<strong>na</strong>tekeleza azma ya kudumisha Muungano kwa utaratibuhuu kwenye CHANETA <strong>na</strong> kujaribu kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> viongozi wetu wa Zanzibar wa CHANEZAaonekane kuwa ni mtovu wa nidhamu, kwa nini ame-side <strong>na</strong> Wanzibar? Au kwa nini a<strong>na</strong>takakushirikia<strong>na</strong> vizuri <strong>na</strong> Wazanzibar? Kwa nini a<strong>na</strong>kuwa karibu <strong>na</strong> CHANEZA? Mimi <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong>.Kama kweli sababu ni hiyo <strong>na</strong> siku zote hapa tu<strong>na</strong>zungumzia habari ya kudumishaMuungano, mimi <strong>na</strong>dhani bibi huyu hakutendewa haki. Ki<strong>na</strong>chonisikitisha zaidi kwamba tokamwaka huo wa 2009 Baraza la Michezo lipo, limeshindwa kutatua, Wizara yenyewe ipo,imeshindwa kutatua. Kweli Baraza limeshindwa kutatua mgogoro huu mpaka sasa ni miakatakribani miwili, huyu binti wa watu kasimamishwa kwa sababu ambazo hazi<strong>na</strong> msingi wowote. Hilili<strong>na</strong>sikitisha, ningependa maelezo ya Mheshimiwa Waziri atakapokuwa a<strong>na</strong>-sum up. Lakini kwasababu Baraza wameshindwa <strong>na</strong> Wizara imeshindwa, nimwombe Mheshimiwa Mwenyekiti JenistaMhagama <strong>na</strong> ndugu yangu Juma Nkamia kama Makamu Mwenyekiti, wachukie hili, waunde59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!