yake, u<strong>na</strong>punguza gharama ya kwenda hospitali. Afya maa<strong>na</strong> yake u<strong>na</strong>fanya kazi vizuri kazinikwako. Michezo pia ni ajira. Michezo ni itifaki <strong>na</strong> michezo pia i<strong>na</strong>leta amani <strong>na</strong> umoja <strong>na</strong> utulivu.Kwa hiyo, michezo ni muhimu sa<strong>na</strong> kwamba ipate <strong>na</strong>fasi katika nchi yetu tuendelee.Mheshimiwa Mwenyekiti, michezo katika Tanzania, <strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> haja ya Serikalikuiendeleza kwa kuwekeza. Bila kuwekeza michezo haiwezi kuendelea. Lazima tu-invest kwenyemichezo ili tuendelee. Bila hivyo, hatuwezi kuendelea. Kuwekeza wapi? Tutaanza kwenyemaeneo mbalimbali. Kwa mfano, kuwekeza katika viwanja vya michezo, <strong>na</strong> siyo kwenye kiwanja<strong>cha</strong> Taifa tu, lakini viwanja vyote vya Mikoa viwekezwe ili michezo ipate kuendelea zaidi. Piamchezo usiwe mmoja tu katika riadha <strong>na</strong> kadhalika. Tuwekeze katika kutafuta walimu bora.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nilikuwa <strong>na</strong>msikia Mheshimiwa Mbunge mwenzangu hapa,<strong>na</strong>fikiri siyo busara kwa sababu ni Mswahili tu, basi a<strong>na</strong>kuwa ko<strong>cha</strong> wa Taifa, hapa<strong>na</strong>. Michezo nisayansi. Lazima awe <strong>na</strong> ujuzi. Tusidhanie kwamba lazima awe ni Mswahili, hata Wazunguwa<strong>na</strong>chukua kila mahali.Kwa hiyo, <strong>na</strong>sema michezo ni sayansi, lazima tuwapate wataalamu wenye kujua michezo,siyo kwa sababu alicheza mpira zamani <strong>na</strong> kadhalika. Wakati wao walicheza mpira kulikuwa <strong>na</strong>formation ya mpira ikiitwa WM. Sasa ku<strong>na</strong> four to four, haiwezekani kabisa. Kucheza mpira wamiguu chini, sasa watu wa<strong>na</strong>cheza <strong>na</strong> viatu. Kwa hiyo, wakati umebadilika kabisa, ku<strong>na</strong> sayansi,ku<strong>na</strong> televisheni <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, ni lazima tutafute waalimu wa<strong>na</strong>ofa<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> wakati huu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuongelea kuhusu michezo pia vifaa. Bila vifaahatuwezi kucheza. Lazima Serikali isaidie kwa vifaa vya bei rahisi ili wa<strong>na</strong>michezo wawe <strong>na</strong> vifaa.Kuwe <strong>na</strong> mipango bora vya wa<strong>na</strong>michezo. Mimi nilikuwa Waziri pale <strong>na</strong> Bwa<strong>na</strong> Nchimbia<strong>na</strong>kumbuka <strong>na</strong> Bendera. Hali mbaya sa<strong>na</strong> kwenye vyama vya michezo ni mbaya sa<strong>na</strong>, sijuimpaka leo ni vipi. Kwa hiyo, lazima viongozi wa michezo wapate taaluma, wajifunze kazi kwaufanisi mkubwa sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria za Michezo lazima zifundishwe. Chimbuko bora lawachezaji bora lazima tuwe <strong>na</strong> mahali ambapo pa<strong>na</strong> chemchemi ya kupata wachezaji bora.M<strong>na</strong>pata wapi? Nashauri, moja ni majeshi. Majeshi ni sehemu kubwa ya kuwapata wachezajibora. Wachezaji bora wa zamani walikuwa wakikimbia mbio katika majeshi. Kwa hiyo, lazimatuzungumze <strong>na</strong>o tuwasaidie, tuwape vifaa ili watutolee wachezaji bora katika Taifa letu.Eneo la pili, ni viwanda. Zamani tulikuwa <strong>na</strong> viwanda <strong>na</strong> makampuni kama TPC, Bandari<strong>na</strong> kadhalika. Sasa haku<strong>na</strong>. Humu tulipata wachezaji bora zaidi. Eneo la tatu, ni Shule za Primary,Secondary <strong>na</strong> Vyuo <strong>na</strong> Vyuo Vikuu. Sasa tu<strong>na</strong>fanya michezo, lakini siyo kama zamani, hatakidogo. Ku<strong>na</strong> haja ya kuo<strong>na</strong> njia zaidi kutafuta vija<strong>na</strong> katika Shule za Msingi <strong>na</strong> Shule za Sekondari.Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni vilabu. Vilabu vikubwa vi<strong>na</strong>baki kutafuta wachezajibora tu, lakini hawaandai wenyewe. Lazima Sheria ile ya TFF zamani kwamba lazima kila klabu iwe<strong>na</strong> timu yake ya vija<strong>na</strong> iwe ni lazima, bila hivyo wasiingizwe katika mashindano. Bila hivyowatapata wapi wachezaji? Kwa hiyo, sasa pengine ni vilabu vyenyewe vijitahiji kufanya hivyo.Lakini pia kuwe <strong>na</strong> shule za michezo acadamy. Mimi siamini kwamba TFF wa<strong>na</strong>weza kufanyahivyo. Lakini vilabu wafanye hivyo. Watu bi<strong>na</strong>fsi wafanye hivyo ili tuwe <strong>na</strong> mtandao mkubwa wawachezaji kutoka sehemu mbalimbali, bila hivyo hatushindi. Nchi zote za West Africa zi<strong>na</strong>fanikiwakwa sababu wa<strong>na</strong>zo acadamy. Mimi nilikwenda kule <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>jua.Pia TFF iunde chombo maalum <strong>cha</strong> kuendesha mashindano ya vija<strong>na</strong> ya miaka 15, 17, 19<strong>na</strong> 21. Bila hivyo, bila <strong>na</strong> mashindano ya vija<strong>na</strong> Watanzania, itakuwa kichwa <strong>cha</strong> mwenda wazimukila siku. Vilabu <strong>na</strong>vyo pia lazima vipewe <strong>na</strong>fasi hiyo. Riadha ni mchezo ambao hau<strong>na</strong> gharamakubwa sa<strong>na</strong>, kwa sababu wa<strong>na</strong>kimbia mmoja mmoja tu. Kwenye mpira wa miguu wako <strong>11</strong>. Lakinimbio ni mtu mmoja tu basi. Rahisi kuucheza mchezo huo. Ningemshauri Mheshimiwa Nchimbi,mimi nilikuwa pale, Waziri wako nilitaka kwenda Kenya <strong>na</strong> Ethiopia kujifunza, kwa niniwa<strong>na</strong>tushinda watu hawa? Kwa nini? Mimi ningeshauri kwamba tafuta timu yako uende Kenya <strong>na</strong>Ethiopia ukaone kwa nini wa<strong>na</strong>tupita watu hawa jirani zetu kwenye riadha?58
Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa miguu mwaka 2005 kiwango <strong>cha</strong> FIFA tulikuwa 175.Mwaka 2007 tulipanda mpaka kufika 89. Leo <strong>na</strong>fikiri tuko 128. Kwa nini? Kwa nini tu<strong>na</strong>poromoka?Tu<strong>na</strong>poroka kwa nini? Tujitahidi kwa sababu hii ni heshima kubwa sa<strong>na</strong>. Hatukuwahi hata maramoja kufika fai<strong>na</strong>li la Kombe la Afrika toka mwaka elfu moja <strong>na</strong> thelathini mpaka leo hatukuwahikuingia katika Kombe la Dunia. Kwa nini? Tujiulize. Tuache ushabiki huu wa Usimba <strong>na</strong> Uyangahapa! Twende mbele! Mpira sijui Simba <strong>na</strong> Yanga tu! Lazima tujitahidi tutoke hapa tulipo. Mimi<strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> tatizo kubwa sa<strong>na</strong>. Lazima Serikali ije <strong>na</strong> mpango kabambe kuo<strong>na</strong> ni <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ganitu<strong>na</strong>weza kuuendeleza mpira wa miguu ambao u<strong>na</strong>pendwa <strong>na</strong> watu wengi sa<strong>na</strong> duniani.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kombe la Dunia li<strong>na</strong>angaliwa <strong>na</strong> watu zaidi ya bilioni 26.Wa<strong>na</strong>nchi wengi wa<strong>na</strong>penda mpira wa miguu, tu<strong>na</strong>wakera Watanzania. Tu<strong>na</strong>waudhiWatanzania kwa sababu hatuuendelezi mpira wa miguu. Ningeshauri Serikali kuchukua hatua yakufanya hivyo. Bado ni<strong>na</strong> dakika tano.MWENYEKITI: Ni ya pili hiyo. Ahsante Mheshimiwa.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Aaah, Basi bwa<strong>na</strong>.MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba kumwita sasa Alhaj Mohamed Missanga <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe ajiandae.MHE. MOHAMED H. MISSANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze kwa kukushukuru sa<strong>na</strong>kwa kunipa <strong>na</strong>fasi mapema tu ku<strong>cha</strong>ngia katika hoja hii muhimu. Nampongeza sa<strong>na</strong> MheshimiwaWaziri Nchimbi pamoja Naibu wake, Katibu Mkuu <strong>na</strong> wote wa<strong>na</strong>oshiriki katika Wizara hii kwamaandalizi mazuri ya hotuba ya bajeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, masuala ya habari, mimi sitaki kujikita sa<strong>na</strong> kwa sababu wakowenyewe <strong>na</strong> bahati nzuri Mheshimiwa Mohammed Seif yeye ni mtaalam, amesema mambo yavija<strong>na</strong> wako, Mheshimiwa Esther kazungumza vizuri. Mambo ya sa<strong>na</strong>a wako wenyewe, aki<strong>na</strong> Mr.Sugu. Kwa hiyo, mimi sitaki kuingia sa<strong>na</strong> huko. Mimi <strong>na</strong>omba nijikite kwenye michezo. Nikipata<strong>na</strong>fasi, nitazungumza mambo ya Netiboli <strong>na</strong> football <strong>na</strong> riadha.Naomba nianze <strong>na</strong> netiboli.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa muda mrefu katika netiboli kulikuwa <strong>na</strong> utulivu <strong>na</strong> amani,mchezo ambao uliendeshwa vizuri bila migogoro, bila matatizo yoyote kwa muda mrefu sa<strong>na</strong>.Lakini hivi karibuni kumezuka tatizo katika netiboli. Umezuka mgogoro ambao umesabisha KatibuMkuu wa Chama hiki A<strong>na</strong> Kibira kusimamishwa kuwa Katibu Mkuu toka mwezi Agosti, 2009.Nilipofuatilia sababu za msingi ambazo zimemfanya A<strong>na</strong> au Katibu Mkuu huyu asimamishwe, kwakweli mimi nimeo<strong>na</strong> ni mambo ya hovyo hovyo tu, wala haku<strong>na</strong> jambo la msingi. Kwa sababu,<strong>na</strong>ambiwa msingi wa kumsimamisha ni kwa sababu eti ame-side <strong>na</strong> CHANEZA au wenzetu wanetiboli wa upande wa Zanzibar katika kudumisha mashirikiano <strong>na</strong> mahusiano mazuri kati yaTanzania Bara <strong>na</strong> Tanzania Visiwani juu ya kuendeleza mchezo wa netiboli, jambo ambalo sikuzote hapa tu<strong>na</strong>sisitiza habari ya kuimarisha Muungano <strong>na</strong> hivi ni vyombo vya kuendelezaMuungano.Sasa mwenzetu huyu ambaye a<strong>na</strong>tekeleza azma ya kudumisha Muungano kwa utaratibuhuu kwenye CHANETA <strong>na</strong> kujaribu kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> viongozi wetu wa Zanzibar wa CHANEZAaonekane kuwa ni mtovu wa nidhamu, kwa nini ame-side <strong>na</strong> Wanzibar? Au kwa nini a<strong>na</strong>takakushirikia<strong>na</strong> vizuri <strong>na</strong> Wazanzibar? Kwa nini a<strong>na</strong>kuwa karibu <strong>na</strong> CHANEZA? Mimi <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong>.Kama kweli sababu ni hiyo <strong>na</strong> siku zote hapa tu<strong>na</strong>zungumzia habari ya kudumishaMuungano, mimi <strong>na</strong>dhani bibi huyu hakutendewa haki. Ki<strong>na</strong>chonisikitisha zaidi kwamba tokamwaka huo wa 2009 Baraza la Michezo lipo, limeshindwa kutatua, Wizara yenyewe ipo,imeshindwa kutatua. Kweli Baraza limeshindwa kutatua mgogoro huu mpaka sasa ni miakatakribani miwili, huyu binti wa watu kasimamishwa kwa sababu ambazo hazi<strong>na</strong> msingi wowote. Hilili<strong>na</strong>sikitisha, ningependa maelezo ya Mheshimiwa Waziri atakapokuwa a<strong>na</strong>-sum up. Lakini kwasababu Baraza wameshindwa <strong>na</strong> Wizara imeshindwa, nimwombe Mheshimiwa Mwenyekiti JenistaMhagama <strong>na</strong> ndugu yangu Juma Nkamia kama Makamu Mwenyekiti, wachukie hili, waunde59
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest