12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati, ndiyo wakalipwa <strong>na</strong> Bunge shilingi milioni 700.Kwanini Hazi<strong>na</strong> isiwalipe TBC moja kwa moja? Kwanini wa<strong>na</strong>toa cheki huku, halafu te<strong>na</strong> chekiitoke huku iende kule? Nitataka maelezo ya ki<strong>na</strong> kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kwamba TBC pia wa<strong>na</strong> kituo <strong>cha</strong>o Mikocheni ambapowa<strong>na</strong>jenga studio ya kisasa, <strong>na</strong> Serikali iliwaahidi kwamba itawapa fedha za kutosha ili wawezekujenga kituo hicho kwa gharama ya shilingi bilioni 1.2. Toka mwaka 2009, huu ni mwaka 20<strong>11</strong>Serikali imetoa shilingi milioni 600 tu <strong>na</strong> Mkandarasi ambaye wamemweka kule a<strong>na</strong>tishiakuwapeleka TBC Mahakamani. Naomba Serikali ifanye kila njia iipe TBC hizo shilingi milioni 600zilizobaki ili aweze kumlipa huyu mkandarasi <strong>na</strong> kujengewa kituo <strong>cha</strong>ke <strong>cha</strong> kisasa huko Mikocheni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyosema, Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, mimi ni mjomba wake <strong>na</strong> u<strong>na</strong>jua mjomba ni mama. Kwa hiyo, siwezikusema kwamba sitaunga mkono hoja ya mjomba ambaye mimi ni mama yake, lakini nitaungamkono hoja hii baada ya kunieleza <strong>na</strong> kunifafanulia mambo haya matatu, manne ambayonimemwuliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita Mheshimiwa MozaAbedi Saidi, kama hayupo, <strong>na</strong>omba nimwite Mheshimiwa An<strong>na</strong>MaryStella John Mallac.Mheshimiwa Magreth Mkanga ajiandae, pia Mheshimiwa Murtaza Mangungu atamfuatia.MHE. ANNAMARYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Aidha, kwanza <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyenipatia afya <strong>na</strong> uzima wa kusimamambele ya Bunge lako Tukufu.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Wizara hii ya leo, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitaongelea zaidi upande wavija<strong>na</strong>. Tu<strong>na</strong>poongelea vija<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ongelea nguvu kazi ya Taifa ambayo ikitetereka tu Taifa loteli<strong>na</strong>tetereka pia. Kijamii, tu<strong>na</strong>poongelea sura ya umasikini, huoneka<strong>na</strong> pia kupitia katika vija<strong>na</strong>hasa wa<strong>na</strong>pokosa ajira, elimu, afya <strong>na</strong> kipato kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo tulilo<strong>na</strong>lo sasa katika nchi yetu ni sera <strong>na</strong> mipangoisiyotekelezeka, kwani vija<strong>na</strong> hawa hawa tu<strong>na</strong>owazungumzia ndiyo hao hao ambao Serikali kwa<strong>na</strong>m<strong>na</strong> moja ama nyingine imewasahau sa<strong>na</strong>. Serikali haitoi fursa sawa kwa vija<strong>na</strong> wote, imekuwazaidi i<strong>na</strong>tenga Mikoa hasa nikiangalia wenzetu wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha <strong>na</strong> miji mingineiliyoendelea. Lakini kwa sisi wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi, tumesahaulika sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wetu wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi kwa kweliwa<strong>na</strong>nyanyasika <strong>na</strong> kuhangaika sa<strong>na</strong>. Serikali ilisema kwamba, vija<strong>na</strong> waji-group waunde vikundi<strong>na</strong> kuanzisha miradi, baada ya hapo Serikali itawa-support. Lakini nikiangalia mfano wa vija<strong>na</strong> waMkoa wa Katavi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> hata aibu kuongea. Vija<strong>na</strong> wamekuwa <strong>na</strong> moyo wa kuitikia mwito waSerikali, wameunda vikundi vyao, wameanzisha ajira mbalimbali kama vile ufyatuaji wa matofali,kilimo <strong>cha</strong> bustani kwa maa<strong>na</strong> ya mboga <strong>na</strong> matunda, kilimo, lakini badala yake wale MaafisaMaendeleo ya vija<strong>na</strong> katika Halmashauri wamekuwa hawako karibu <strong>na</strong>o.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>pojaribu kutaka kuo<strong>na</strong> ni jinsi gani watapatamikopo, ile mikopo kwa kweli hawapati, wa<strong>na</strong>ishia kuhangaika, hata kale kadogo walikokuwawameanzisha wa<strong>na</strong>jikuta ka<strong>na</strong>teketea <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kosa mwelekeo <strong>na</strong> ndiyo mwanzo wa vija<strong>na</strong>kukaa vikundi badala ya kuji-group wazalishe mtandao wa kufanya kazi, lakini badala yakewa<strong>na</strong>kaa sasa vijiweni kupoteza muda <strong>na</strong> kuanza kushawishia<strong>na</strong> kushiriki katika mambo potofu yatabia za ajabu kama uvutaji wa bangi <strong>na</strong> kutuka<strong>na</strong> watu. Hawa<strong>na</strong> kazi ya kufanya, sasa wafanyenini? (Makofi)71

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!