Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>omba Wizara ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Ardhi. Nchi nyingiukio<strong>na</strong> kwenye miji wa<strong>na</strong>weka open spaces, siyo za kupumzikia tu, bali hata michezo, vija<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>cheza michezo pale. Sasa Dar es Salaam imevamiwa, <strong>na</strong>shukuru Wizara ya Ardhi imeanzakulishughulikia suala hili <strong>na</strong> hata Dodoma imeanza kuvamiwa sasa hivi. Open spaces zotewa<strong>na</strong>jenga watu. Kwa hiyo, vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa hawa<strong>na</strong> pa kucheza, ndiyo maa<strong>na</strong> muda waspare wa<strong>na</strong>kwenda kuzurura mjini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri, Wizara yake ishirikiane <strong>na</strong>Wizara ya Ardhi ili kuhakikisha kwamba open spaces zi<strong>na</strong>tumiwa kwa mambo ya kupumzika <strong>na</strong> piavija<strong>na</strong> kucheza michezo mbalimbali.Mheshimiwa Mwenyekiti, haya ya<strong>na</strong>yofuata <strong>na</strong>tataka ufafanuzi <strong>na</strong> maelezo kidogo kwaMheshimiwa Waziri. Jambo la kwanza niongelee uwanja wa Taifa wa Mpira. Serikali ya Awamu yaTatu imefanya jambo zuri sa<strong>na</strong>, tumejengewa uwanja wa michezo mkubwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa kisasa <strong>na</strong>uwanja huo ni mzuri sa<strong>na</strong> katika Afrika mashariki, kwani u<strong>na</strong>chukua watu wengi. Nia ya Serikali nikuinua viwango vya michezo vya vija<strong>na</strong> wetu.Sasa uwanja wa Taifa, viti vyote vilivyopo kule ndani vimewekewa <strong>na</strong>mba. Maa<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>mba zile ni kwamba, utakapokuwa u<strong>na</strong>nunua tiketi, <strong>na</strong>mba ya kiti <strong>cha</strong>ko i<strong>na</strong>kuwa kwenye tiketi.Ili nunue tiketi ambayo i<strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako, zipo mashine ambazo zi<strong>na</strong>tumika kuingiza watu kwenyeviwanja vya michezo, cinema halls, kwenye stations za treni ambayo i<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako.Hiyo i<strong>na</strong>saidia kuhesabu watu <strong>na</strong> kuhesabu kiasi <strong>cha</strong> fedha. Hizi mashine zi<strong>na</strong>itwa turnstilemachines. Zipo za electronic <strong>na</strong> zipo nyingine ambazo ni manual ambazo zi<strong>na</strong>fanya kazi hatakama umeme umezimika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo ya Mheshimiwa Waziri, kwanini wa<strong>na</strong>ohusikahawaweki mashine hizi Uwanja wa Taifa? Wa<strong>na</strong>taka tuwaelewe vipi? Serikali kwa nia nzuri i<strong>na</strong>takakuinua michezo <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> Mheshimiwa Rais ameamua kumlipa mshahara ko<strong>cha</strong> wa timuya Taifa ya mpira wa Miguu. Sasa badala ya kufanya juhudi mpate mapato ya kutosha uwanjanipale, mumlipe wenyewe huyo ko<strong>cha</strong>. Mmeufanya kuwa ni mradi wenu wa kutunisha matumboyenu. Nataka maelezo kwa ki<strong>na</strong> ni kwanini hawaweki mashine hizo pale uwanjani? Hilo la kwanza!(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili, nitataka maelezo. Shirila letu la Utangazaji, TBC miaka yakaribuni hapa waliingia ubia <strong>na</strong> Serikali ya Japani, wakapewa fedha nyingi, wakajengewamtambo wa kisasa wa masafa mafupi kule Mabibo ili waweze kurusha vipindi vya shule kwa Shuleza Msingi ili kuweza kuziba pengo lililopo la walimu ili wa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>ingia darasani, wa<strong>na</strong>ikutaredio iko pale, wa<strong>na</strong>msikiliza mtu ambaye yuko studio Dar es Salaam, a<strong>na</strong>wafundisha. Lakini <strong>cha</strong>ajabu ni kwamba TBC mradi huo wameuzima, wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamkia mambo mengine. Huu mradiuko wapi?Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. Kila wakatitu<strong>na</strong>piga kelele kwamba, walimu hawatoshi katika Shule za Msingi. Serikali ya Japani imetusaidiatuwafundishe watoto wetu kwa kutumia vipindi vya redio, TBC wamepeleka wapi mradi huo?Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia kumezuka mtindo sasa hivi wa vituo vya television cables vyaMikoani, huko Dodoma, Iringa, Mwanza, wa<strong>na</strong>rusha matangazo ya TV wao wenyewe bila yakupitisha kwa authority, bila kupitisha kwa Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA).Ipo imezuka sa<strong>na</strong>, hiyo ya cable TVs. Nataka maelezo ni kwanini Wizara imea<strong>cha</strong> hizi televisioncables zi<strong>na</strong>rusha matangazo kienyeji huko Mikoani? Hao ndiyo wa<strong>na</strong>opotosha hata maadili,wa<strong>na</strong>rusha vipindi vingine vya ajabu ajabu hata vya ngono. Wizara i<strong>na</strong>chukua hatua gani kuwezakushughulikia suala hili? Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri.Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>taka nizungumze juu ya mengine ambayo ni mazurizaidi kwa TBC. TBC wa<strong>na</strong>porusha matangazo yetu haya kama ni<strong>na</strong>vyoongea sasa hivi i<strong>na</strong>bidiwalipwe <strong>na</strong> Bunge, hivi ni<strong>na</strong>vyoongea, wa<strong>na</strong>lipwa <strong>na</strong> Bunge. Mwaka ja<strong>na</strong> TBC wamedai fedhazao muda mrefu sa<strong>na</strong>, mpaka Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati ndipo wakalipwa <strong>na</strong>70
Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati, ndiyo wakalipwa <strong>na</strong> Bunge shilingi milioni 700.Kwanini Hazi<strong>na</strong> isiwalipe TBC moja kwa moja? Kwanini wa<strong>na</strong>toa cheki huku, halafu te<strong>na</strong> chekiitoke huku iende kule? Nitataka maelezo ya ki<strong>na</strong> kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kwamba TBC pia wa<strong>na</strong> kituo <strong>cha</strong>o Mikocheni ambapowa<strong>na</strong>jenga studio ya kisasa, <strong>na</strong> Serikali iliwaahidi kwamba itawapa fedha za kutosha ili wawezekujenga kituo hicho kwa gharama ya shilingi bilioni 1.2. Toka mwaka 2009, huu ni mwaka 20<strong>11</strong>Serikali imetoa shilingi milioni 600 tu <strong>na</strong> Mkandarasi ambaye wamemweka kule a<strong>na</strong>tishiakuwapeleka TBC Mahakamani. Naomba Serikali ifanye kila njia iipe TBC hizo shilingi milioni 600zilizobaki ili aweze kumlipa huyu mkandarasi <strong>na</strong> kujengewa kituo <strong>cha</strong>ke <strong>cha</strong> kisasa huko Mikocheni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyosema, Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, mimi ni mjomba wake <strong>na</strong> u<strong>na</strong>jua mjomba ni mama. Kwa hiyo, siwezikusema kwamba sitaunga mkono hoja ya mjomba ambaye mimi ni mama yake, lakini nitaungamkono hoja hii baada ya kunieleza <strong>na</strong> kunifafanulia mambo haya matatu, manne ambayonimemwuliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita Mheshimiwa MozaAbedi Saidi, kama hayupo, <strong>na</strong>omba nimwite Mheshimiwa An<strong>na</strong>MaryStella John Mallac.Mheshimiwa Magreth Mkanga ajiandae, pia Mheshimiwa Murtaza Mangungu atamfuatia.MHE. ANNAMARYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Aidha, kwanza <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyenipatia afya <strong>na</strong> uzima wa kusimamambele ya Bunge lako Tukufu.Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Wizara hii ya leo, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nitaongelea zaidi upande wavija<strong>na</strong>. Tu<strong>na</strong>poongelea vija<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ongelea nguvu kazi ya Taifa ambayo ikitetereka tu Taifa loteli<strong>na</strong>tetereka pia. Kijamii, tu<strong>na</strong>poongelea sura ya umasikini, huoneka<strong>na</strong> pia kupitia katika vija<strong>na</strong>hasa wa<strong>na</strong>pokosa ajira, elimu, afya <strong>na</strong> kipato kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo tulilo<strong>na</strong>lo sasa katika nchi yetu ni sera <strong>na</strong> mipangoisiyotekelezeka, kwani vija<strong>na</strong> hawa hawa tu<strong>na</strong>owazungumzia ndiyo hao hao ambao Serikali kwa<strong>na</strong>m<strong>na</strong> moja ama nyingine imewasahau sa<strong>na</strong>. Serikali haitoi fursa sawa kwa vija<strong>na</strong> wote, imekuwazaidi i<strong>na</strong>tenga Mikoa hasa nikiangalia wenzetu wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha <strong>na</strong> miji mingineiliyoendelea. Lakini kwa sisi wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi, tumesahaulika sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wetu wa Mikoa ya Rukwa <strong>na</strong> Katavi kwa kweliwa<strong>na</strong>nyanyasika <strong>na</strong> kuhangaika sa<strong>na</strong>. Serikali ilisema kwamba, vija<strong>na</strong> waji-group waunde vikundi<strong>na</strong> kuanzisha miradi, baada ya hapo Serikali itawa-support. Lakini nikiangalia mfano wa vija<strong>na</strong> waMkoa wa Katavi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> hata aibu kuongea. Vija<strong>na</strong> wamekuwa <strong>na</strong> moyo wa kuitikia mwito waSerikali, wameunda vikundi vyao, wameanzisha ajira mbalimbali kama vile ufyatuaji wa matofali,kilimo <strong>cha</strong> bustani kwa maa<strong>na</strong> ya mboga <strong>na</strong> matunda, kilimo, lakini badala yake wale MaafisaMaendeleo ya vija<strong>na</strong> katika Halmashauri wamekuwa hawako karibu <strong>na</strong>o.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>pojaribu kutaka kuo<strong>na</strong> ni jinsi gani watapatamikopo, ile mikopo kwa kweli hawapati, wa<strong>na</strong>ishia kuhangaika, hata kale kadogo walikokuwawameanzisha wa<strong>na</strong>jikuta ka<strong>na</strong>teketea <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kosa mwelekeo <strong>na</strong> ndiyo mwanzo wa vija<strong>na</strong>kukaa vikundi badala ya kuji-group wazalishe mtandao wa kufanya kazi, lakini badala yakewa<strong>na</strong>kaa sasa vijiweni kupoteza muda <strong>na</strong> kuanza kushawishia<strong>na</strong> kushiriki katika mambo potofu yatabia za ajabu kama uvutaji wa bangi <strong>na</strong> kutuka<strong>na</strong> watu. Hawa<strong>na</strong> kazi ya kufanya, sasa wafanyenini? (Makofi)71
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest