12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mhehsimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>ipongeza Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo,Wizara hii imekuwa ikifanya kazi katika mazingira magumu <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>ipongeza hotuba ya Waziri Kivuli<strong>na</strong> yale mazuri tuliyoyasema pia myachukue <strong>na</strong> myafanyie kazi. (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, Wizara hii imekuwa ikisahaulika sa<strong>na</strong>, Wizara hii imekuwa niWizara nyeti lakini imekuwa ikisahaulika, hata wakati maswali ya Wizara hii ya<strong>na</strong>ulizwa ya<strong>na</strong>kuwaya<strong>na</strong>wekwa nyuma. Ni<strong>na</strong>omba Wizara hii ipewe kipaumbele, kwa sababu Wizara hii ndiyoi<strong>na</strong>beba mambo nyeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo wala siyo Taifa la kesho. Vija<strong>na</strong> hawatu<strong>na</strong>watumia kwa mambo mengi, ukifika kipindi <strong>cha</strong> u<strong>cha</strong>guzi tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, tukifikakwenye mambo fulani fulani tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, lakini kwa nini vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sahaulika? Nasemavija<strong>na</strong> wakumbukwe <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wakumbukwe kwa <strong>na</strong>fasi mbalimbali za uongozi, za ajira hatakwenye mikopo ya Rais i<strong>na</strong>yotoka, vija<strong>na</strong> wapewe kipaumbele kwenye mikopo hiyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wengi hapa Tanzania wamekuwa ni vija<strong>na</strong> sijui nisemewa<strong>na</strong>sindikiza siku, kwa sababu ku<strong>na</strong> wachezaji wa mipira, wachezaji hawa sijui wa<strong>na</strong>pofikia umriwa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi kiinua mgongo, <strong>na</strong>taka Waziri aniambie wa<strong>na</strong>lipwa wapi wachezajiambao wa<strong>na</strong>chezea timu zetu za Taifa wapostaafu au ujira wao wa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi?Naomba muangalie suala hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Waziri huwezi kutaja kama hujataja Zanzibar, Zanzibar ipo ndaniya Jamhuri ya Muungano, <strong>na</strong>omba m<strong>na</strong>poshiriki kwenye maonesho au kwenye michezombalimbali ya nje ya nchi muwakumbuke vija<strong>na</strong> wa Zanzibar <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>fasi zao muwape. Vija<strong>na</strong>hawa wamekuwa wakilalamika, wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>sahaulika sa<strong>na</strong>, lakini <strong>na</strong>jua Zanzibar ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>wazuri sa<strong>na</strong>, wacheza mpira wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Zanzibar tu<strong>na</strong> tamaduni mbalimbali, ku<strong>na</strong> ngoma zaasili za Zanzibar, ngoma ambayo hata Tanzania Bara haipatikani, ngoma hii ipo Pemba, ngoma hiiya mchezo wa ng’ombe ni ngoma ambayo i<strong>na</strong>ingizia Serikali Pato la Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba mambo mazuri ya Zanzibar yaliyopo katikaKisiwa <strong>cha</strong> Pemba <strong>na</strong> Kisiwa <strong>cha</strong> Unguja <strong>na</strong> mambo haya ni adimu kwa Tanzania Bara <strong>na</strong>ombamuuenzi utamaduni wetu kwa kupitia sekta ya Muungano <strong>na</strong> sisi Wazanzibar pia tunufaike kwenyesekta hii ya Muungano katika mambo ya utamaduni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> kama studio, hii studioisaidie kwa vija<strong>na</strong> wote ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi za miziki, kazi zao za sa<strong>na</strong>a. Asitoe kwa mtummoja au kwa vikundi vi<strong>cha</strong>che. Hili litaleta tatizo <strong>na</strong> litaleta malumbano kwa Rais. Nilikuwa<strong>na</strong>muomba Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> awasaidie vija<strong>na</strong> wote bila kuwabagua.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ambalo li<strong>na</strong>niuma kama mama <strong>na</strong> mtoto wa kiislam leonitalisemea katika Bunge hili <strong>na</strong> nilikuwa <strong>na</strong>omba nipate <strong>na</strong>fasi ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ndiomaa<strong>na</strong> nimeomba <strong>na</strong> nimeipata <strong>na</strong>shukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuipata. Mimi kwakweli ku<strong>na</strong> mambo ya<strong>na</strong>yonishangaza kwenye TV, kwenye vyombo vya habari. Sasa <strong>na</strong>sema kwanini watoto wa kike wamekuwa wakidhalilishwa sa<strong>na</strong> ndani ya TV katika matangazo mbalimbali?Ni kwa nini wa<strong>na</strong>ume wao hawavai nguo za uchi kama wa<strong>na</strong>wake? Utakuta hata kwenye muzikikama ni benki u<strong>na</strong>kuta wale aki<strong>na</strong> baba wamevaa vizuri, vija<strong>na</strong> wamevaa vizuri. Ukikuta kwenyefilamu u<strong>na</strong>mkuta mwa<strong>na</strong>ume kavaa vizuri lakini ukimwangalia mwa<strong>na</strong>mke kakaa nusu uchi. Hiisheria ni ya kumlinda tu mwa<strong>na</strong>ume? (Makofi)Nataka Bunge lako Tukufu litoe sheria hapa ya wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>tembea nusuuchi. Ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>ume hawaoi. Wa<strong>na</strong>ume watawaoa vipi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wakewa<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kila kitu <strong>cha</strong>o kiko nje? Sasa huyu mwa<strong>na</strong>ume atakwenda kuoa vipi <strong>na</strong> huku kila kituameshakio<strong>na</strong>? Naomba sheria hii ifanyiwe kazi. Naomba watoto wetu wa Kitanzania, vija<strong>na</strong> ku<strong>na</strong>mambo yale ya kulegeza suruali ngoja jamani <strong>na</strong>omba niwaambie. (Makofi/Kicheko)MWENYEKITI: Naomba tumsikilize vizuri.90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!