12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Shirika la Idadi ya watu Duniani (UNFPA) ime<strong>cha</strong>pisha Mwongozo wa Stadi za Maisha kwa vija<strong>na</strong>kwa lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> Kiingereza. Mwangozo huo utatumiwa <strong>na</strong> waelimishaji rika, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>wadau mbalimbali katika kuwapatia Vija<strong>na</strong> stadi za maisha. Aidha Mwongozo huo umezinduliwa rasmitarehe 25 Juni, mwaka 20<strong>11</strong>. Mafunzo ya awali yametolewa kwa Maofisa Vija<strong>na</strong> wa Wilaya <strong>na</strong>Mikoa juu ya matumizi sahihi ya mwongozo huo ili waweze kuutumia katika majukumu yao yakuwaendeleza vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi nyingine za Kitaifa <strong>na</strong>Kimataifa imeendelea kuwahamasisha <strong>na</strong> kuwahimiza wa<strong>na</strong>nchi juu ya umuhimu wa kushirikikatika shughuli za kujitolea. Aidha, siku ya kujitolea duniani imeadhimishwa Kitaifa Mkoani Dar esSalaam tarehe 5 Desemba, 2010.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara pia, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi za Vija<strong>na</strong>, Shirika laMaendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) <strong>na</strong> wadau wa maendeleo ya Vija<strong>na</strong>, imeadhimisha sikuya Vija<strong>na</strong> Duniani sambamba <strong>na</strong> uzinduzi wa mwaka wa Vija<strong>na</strong>, iliyofanyika tarehe 12 Agosti,2010 Mkoani Dar es Salaam ambapo vija<strong>na</strong> wapatao 200 kutoka asasi mbalimbali za vija<strong>na</strong>, VyuoVikuu <strong>na</strong> Taasisi nyingine za elimu walikuta<strong>na</strong> <strong>na</strong> kujadili kwa pamoja utekelezaji wa Mpango waVija<strong>na</strong> Duniani uliopitishwa <strong>na</strong> Umoja wa Mataifa (World Programme of Action for Youth) <strong>na</strong>kuweka maazimio ya pamoja ya utekelezaji wa mpango huo kwa mwaka 20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali ya Japan kupitia Ubaloziwake hapa Nchini imeendeleza Mpango wa Vija<strong>na</strong> wa Meli (Ship for the World Youth Program),ambao huwakutanisha vija<strong>na</strong> kutoka nchi mbalimbali duniani <strong>na</strong> kujadili masuala mbalimbali yakiuchumi <strong>na</strong> kijamii ndani ya Meli i<strong>na</strong>yosafiri kwa takribani miezi mitatu. Katika programu hii, mwaka2010/20<strong>11</strong>, vija<strong>na</strong> <strong>11</strong> kutoka Mikoa ya Morogoro, Manyara, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaampamoja <strong>na</strong> Zanzibar waliunga<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzao kutoka nchi zifuatazo:- Australia, Bahrain, Jamhuri yaBrazil, Chile, Jamhuri ya kisiwa <strong>cha</strong> Fiji, Japan, Mexico, “Oman”, Kisiwa <strong>cha</strong> Solomon, <strong>na</strong> Jamhuriya Vanuata. Shughuli hiyo ilianza mwezi Januari hadi Machi 20<strong>11</strong>, ambapo jumla ya vija<strong>na</strong> 274walishiriki.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Kazi Duniani (ILO) iliendeleakuratibu utekelezaji wa shughuli zilizo chini ya Kamisheni ya Afrika zi<strong>na</strong>zolenga kukuza ujasiriamalikwa vija<strong>na</strong>. Halmashauri za Wilaya 12 za majaribio ya kukuza utamaduni wa ujasiriamali kwavija<strong>na</strong> ziliteuliwa. Aidha, vija<strong>na</strong> 50 wenye Shahada ya Kwanza waliteuliwa <strong>na</strong> kupewa mafunzochini ya mpango huu <strong>na</strong> kupewa jukumu la kusimamia <strong>na</strong> kuratibu programu hiyo ya ujasiriamalikatika Wilaya hizo 12. Wilaya hizo ni Lindi Mjini, Mtwara Vijijini, Bagamoyo, Handeni, Mpanda,Musoma Mjini, Rufiji, Singida Mjini, Manispaa ya Tabora, Unguja Kaskazini A, Micheweni <strong>na</strong>Urambo. Chini ya mpango huu Mfuko wa Kuwawezesha Vija<strong>na</strong> Wajasiriamali (Youth to YouthFund) umeanza kazi ambapo vija<strong>na</strong> wajasiriamali walitangaziwa juu ya kutayarisha Andiko laMiradi (Business Proposal) <strong>na</strong> walioshinda kwa vigezo vilivyowekwa <strong>na</strong> mpango huu walipatiwafedha za kuendesha shughuli zao za kiuchumi. Mpango huu ulitenga shilingi 160,557,821.35 kwalengo hilo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Watoto Duniani (UNICEF)imefuatilia utendaji wa shughuli za maendeleo ya Vija<strong>na</strong> katika mitandao sita ya vija<strong>na</strong> walio njeya shule (Out of School Youth Network) i<strong>na</strong>yofadhiliwa <strong>na</strong> UNICEF katika Wilaya sita za mfanoambazo ni Makete, Temeke, Bagamoyo, Hai, Siha <strong>na</strong> Magu. Lengo ni kuhakikisha kuwa mitandaoya vija<strong>na</strong> i<strong>na</strong>fanya shughuli zi<strong>na</strong>zolenga maendeleo ya vija<strong>na</strong> kama ilivyoelekezwa katika Sera yaMaendeleo ya Vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizaraimeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kufanya Maboresho ya Sera ya Utamaduni ya mwaka 1997 pamoja<strong>na</strong> Sheria Na.4 ya mwaka 1976 ya Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Jukwaani. Kadhalikaimeboresha Sheria Na. 23 ya BASATA ya mwaka 1984 pamoja <strong>na</strong> kukamilisha Hati ya kuanzishaMfuko wa Utamaduni Tanzania (Trust Deed) ya mwaka 1998. Aidha, Wizara imesimamia <strong>na</strong>kuendesha Tamasha la 29 la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wa Mtanzania la Bagamoyo tarehe 27Septemba hadi 2 Oktoba, 2010. Tamasha hili liliongozwa <strong>na</strong> kaulimbiu “Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni24

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!