Shirika la Idadi ya watu Duniani (UNFPA) ime<strong>cha</strong>pisha Mwongozo wa Stadi za Maisha kwa vija<strong>na</strong>kwa lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> Kiingereza. Mwangozo huo utatumiwa <strong>na</strong> waelimishaji rika, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>wadau mbalimbali katika kuwapatia Vija<strong>na</strong> stadi za maisha. Aidha Mwongozo huo umezinduliwa rasmitarehe 25 Juni, mwaka 20<strong>11</strong>. Mafunzo ya awali yametolewa kwa Maofisa Vija<strong>na</strong> wa Wilaya <strong>na</strong>Mikoa juu ya matumizi sahihi ya mwongozo huo ili waweze kuutumia katika majukumu yao yakuwaendeleza vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi nyingine za Kitaifa <strong>na</strong>Kimataifa imeendelea kuwahamasisha <strong>na</strong> kuwahimiza wa<strong>na</strong>nchi juu ya umuhimu wa kushirikikatika shughuli za kujitolea. Aidha, siku ya kujitolea duniani imeadhimishwa Kitaifa Mkoani Dar esSalaam tarehe 5 Desemba, 2010.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara pia, kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Taasisi za Vija<strong>na</strong>, Shirika laMaendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) <strong>na</strong> wadau wa maendeleo ya Vija<strong>na</strong>, imeadhimisha sikuya Vija<strong>na</strong> Duniani sambamba <strong>na</strong> uzinduzi wa mwaka wa Vija<strong>na</strong>, iliyofanyika tarehe 12 Agosti,2010 Mkoani Dar es Salaam ambapo vija<strong>na</strong> wapatao 200 kutoka asasi mbalimbali za vija<strong>na</strong>, VyuoVikuu <strong>na</strong> Taasisi nyingine za elimu walikuta<strong>na</strong> <strong>na</strong> kujadili kwa pamoja utekelezaji wa Mpango waVija<strong>na</strong> Duniani uliopitishwa <strong>na</strong> Umoja wa Mataifa (World Programme of Action for Youth) <strong>na</strong>kuweka maazimio ya pamoja ya utekelezaji wa mpango huo kwa mwaka 20<strong>11</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Serikali ya Japan kupitia Ubaloziwake hapa Nchini imeendeleza Mpango wa Vija<strong>na</strong> wa Meli (Ship for the World Youth Program),ambao huwakutanisha vija<strong>na</strong> kutoka nchi mbalimbali duniani <strong>na</strong> kujadili masuala mbalimbali yakiuchumi <strong>na</strong> kijamii ndani ya Meli i<strong>na</strong>yosafiri kwa takribani miezi mitatu. Katika programu hii, mwaka2010/20<strong>11</strong>, vija<strong>na</strong> <strong>11</strong> kutoka Mikoa ya Morogoro, Manyara, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaampamoja <strong>na</strong> Zanzibar waliunga<strong>na</strong> <strong>na</strong> wenzao kutoka nchi zifuatazo:- Australia, Bahrain, Jamhuri yaBrazil, Chile, Jamhuri ya kisiwa <strong>cha</strong> Fiji, Japan, Mexico, “Oman”, Kisiwa <strong>cha</strong> Solomon, <strong>na</strong> Jamhuriya Vanuata. Shughuli hiyo ilianza mwezi Januari hadi Machi 20<strong>11</strong>, ambapo jumla ya vija<strong>na</strong> 274walishiriki.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Kazi Duniani (ILO) iliendeleakuratibu utekelezaji wa shughuli zilizo chini ya Kamisheni ya Afrika zi<strong>na</strong>zolenga kukuza ujasiriamalikwa vija<strong>na</strong>. Halmashauri za Wilaya 12 za majaribio ya kukuza utamaduni wa ujasiriamali kwavija<strong>na</strong> ziliteuliwa. Aidha, vija<strong>na</strong> 50 wenye Shahada ya Kwanza waliteuliwa <strong>na</strong> kupewa mafunzochini ya mpango huu <strong>na</strong> kupewa jukumu la kusimamia <strong>na</strong> kuratibu programu hiyo ya ujasiriamalikatika Wilaya hizo 12. Wilaya hizo ni Lindi Mjini, Mtwara Vijijini, Bagamoyo, Handeni, Mpanda,Musoma Mjini, Rufiji, Singida Mjini, Manispaa ya Tabora, Unguja Kaskazini A, Micheweni <strong>na</strong>Urambo. Chini ya mpango huu Mfuko wa Kuwawezesha Vija<strong>na</strong> Wajasiriamali (Youth to YouthFund) umeanza kazi ambapo vija<strong>na</strong> wajasiriamali walitangaziwa juu ya kutayarisha Andiko laMiradi (Business Proposal) <strong>na</strong> walioshinda kwa vigezo vilivyowekwa <strong>na</strong> mpango huu walipatiwafedha za kuendesha shughuli zao za kiuchumi. Mpango huu ulitenga shilingi 160,557,821.35 kwalengo hilo.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Shirika la Watoto Duniani (UNICEF)imefuatilia utendaji wa shughuli za maendeleo ya Vija<strong>na</strong> katika mitandao sita ya vija<strong>na</strong> walio njeya shule (Out of School Youth Network) i<strong>na</strong>yofadhiliwa <strong>na</strong> UNICEF katika Wilaya sita za mfanoambazo ni Makete, Temeke, Bagamoyo, Hai, Siha <strong>na</strong> Magu. Lengo ni kuhakikisha kuwa mitandaoya vija<strong>na</strong> i<strong>na</strong>fanya shughuli zi<strong>na</strong>zolenga maendeleo ya vija<strong>na</strong> kama ilivyoelekezwa katika Sera yaMaendeleo ya Vija<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizaraimeendelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kufanya Maboresho ya Sera ya Utamaduni ya mwaka 1997 pamoja<strong>na</strong> Sheria Na.4 ya mwaka 1976 ya Bodi ya Ukaguzi wa Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Jukwaani. Kadhalikaimeboresha Sheria Na. 23 ya BASATA ya mwaka 1984 pamoja <strong>na</strong> kukamilisha Hati ya kuanzishaMfuko wa Utamaduni Tanzania (Trust Deed) ya mwaka 1998. Aidha, Wizara imesimamia <strong>na</strong>kuendesha Tamasha la 29 la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wa Mtanzania la Bagamoyo tarehe 27Septemba hadi 2 Oktoba, 2010. Tamasha hili liliongozwa <strong>na</strong> kaulimbiu “Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni24
katika kukuza <strong>na</strong> kuimarisha Demokrasia”. Vikundi mbalimbali vya fani za utamaduni vya ndani <strong>na</strong>nje ya nchi vilishiriki.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imeandaa <strong>na</strong> kurusha jumla ya vipindi 50 vya “Lugha yaTaifa”, vipindi 49 vya “Kumepambazuka” katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili”katika televisheni ambavyo vimesaidia wa<strong>na</strong>nchi kuelewa maa<strong>na</strong>, matumizi <strong>na</strong> maendeleo yaKiswahili. Wizara pia, iliandaa Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni uliofanyika Jijini Mwanzatarehe 12 hadi 17 Desemba, 2010 ulioshirikisha wadau 300. Mkutano huu uliongozwa <strong>na</strong> kaulimbiu“Sa<strong>na</strong>a ni Ajira, Tuithamini”. Kadhalika Wizara iliratibu <strong>na</strong> kusimamia vikundi tisa (9) vya ngoma zaasili vilivyoshiriki Maadhimisho ya sherehe za kitaifa pamoja <strong>na</strong> maadhimisho ya Siku ya UtamaduniDuniani, yaliyofanyika Mkoani Mara tarehe 19 hadi 21 Mei, 20<strong>11</strong> ambapo vikundi 13 vilishiriki.Kimoja kilitoka katika kijiji <strong>cha</strong> Butiama kwa lengo la kumuenzi muasisi wa Taifa letu, hayati Babawa Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara imesimamia kazi ya ujenzi wa Jumba la Utamaduni eneola Kiromo Mkoani Pwani <strong>na</strong> hadi sasa kibali <strong>cha</strong> kumiliki eneo hilo la ekari 100 kimepatika<strong>na</strong>,barabara i<strong>na</strong>younganisha barabara kuu ya Bagamoyo – Dar es Salaam <strong>na</strong> eneo la mradiimetengenezwa. Kadhalika, eneo la ekari 25 katika eneo la Mabwepande huko Bunju Mkoani Dares Salaam, ambapo kitajengwa Kituo <strong>cha</strong> Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrikalimepatika<strong>na</strong>. Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika imetambulishwa kwa kufanyaMikutano <strong>na</strong> wadau watakaowezesha <strong>na</strong> kusaidia utekelezaji wake. Wadau hao ni viongozi wangazi za juu wakiwemo Makatibu Wakuu <strong>na</strong> Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara zote za Serikali yaMuungano <strong>na</strong> Serikali ya Mapinduzi Zanzibar <strong>na</strong> Watendaji Wakuu wa Wizara, Idara <strong>na</strong> Taasisimbalimbali za Serikali <strong>na</strong> zisizo za Serikali.Mheshimiwa Naibu Spika, ni wajibu wa Wizara kuimarisha, kukuza <strong>na</strong> kuendesha lughayetu ya Kiswahili kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano. Wajibu huo ni pamoja <strong>na</strong> kuratibu <strong>na</strong>kuhakikisha ustawi <strong>na</strong> maendeleo ya utumiaji wa Kiswahili kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> asasi zi<strong>na</strong>zohusika <strong>na</strong>uendelezaji wa lugha hii hapa nchini. Ili kusimamia <strong>na</strong> kufuatilia matumizi fasaha <strong>na</strong> sanifu yalugha hii hapa nchini, Wizara i<strong>na</strong>o wajibu wa kutoa ithibati ya vitabu vya kiada vi<strong>na</strong>vyotungwa aukufasiriwa kwa Kiswahili kwa mahitaji ya shule <strong>na</strong> kwa watu bi<strong>na</strong>fsi ili kusimamia <strong>na</strong> kufuatiliamatumizi fasaha <strong>na</strong> sanifu.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Baraza la Kiswahili laTaifa (BAKITA) limeratibu <strong>na</strong> kutoa huduma ya ukalimani wa Kiswahili kwenye Mikutano ya Umojawa Afrika (AU) iliyofanyika Kampala, <strong>na</strong> Addis Ababa, Mikutano ya Bunge la Afrika iliyofanyikaMidrand, Afrika Kusini mwezi Oktoba 2010 <strong>na</strong> Mei 20<strong>11</strong>. Vilevile lilitoa huduma ya kutafasiri hatimbalimbali zikiwemo hati za bidhaa zi<strong>na</strong>zopitishwa bandarini, vyeti vya shule, ndoa, kuzaliwa <strong>na</strong>hati za talaka. Hali kadhalika Kitabu <strong>cha</strong> “Mwongozo kwa Waandishi wa Kiswahili Sanifu”kimefanyiwa marekebisho <strong>na</strong> kupelekwa Wizara ya Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi kupatiwa cheti<strong>cha</strong> ithibati ili kiweze kutumika katika shule za msingi, sekondari <strong>na</strong> vyuoni kama kitabu <strong>cha</strong> kiada.Aidha, makala ndefu zikiwemo Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ushirikiano wa AfrikaMashariki <strong>na</strong> Kanuni za Uvuvi za Wizara ya Maendeleo ya Mifugo <strong>na</strong> Uvuvi, baadhi zimefasiriwakutoka lugha ya Kiswahili kwenda Kiingereza <strong>na</strong> nyingine kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA) liliundwa kwa Sheria yaBunge Na. 23 ya mwaka 1984. Baraza lilipewa dhama<strong>na</strong> ya kuhimiza Maendeleo ya Sa<strong>na</strong>a zaMuziki, Sa<strong>na</strong>a za Maonyesho, Pi<strong>cha</strong> Jongefu (filamu) <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi. Pamoja <strong>na</strong> majukumuhayo Baraza limezindua Programu Maalum ya Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a kwa lengo la kutoa habari zasa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> utamaduni kwa wa<strong>na</strong>nchi. Jumla ya midahalo 41 ilifanyika iliyowashirikisha wasanii,wa<strong>na</strong>habari <strong>na</strong> wadau wa Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni wapatao 4353. Kupitia Jukwaa la Sa<strong>na</strong>a, BASATAimeendesha makongamano yenye lengo la kutoa elimu ya maadili, umuhimu wa usajili, hakimiliki<strong>na</strong> vyama vya wasanii.Mheshimiwa Naibu Spika, BASATA imefanya utafiti wa m<strong>cha</strong>ngo wa sa<strong>na</strong>a katika kuongezapato, ajira <strong>na</strong> kuondoa umaskini, katika Wilaya ya Dodoma, Kibaha, Kinondoni <strong>na</strong> Morogoro.Taarifa imeshatayarishwa <strong>na</strong> kukabidhiwa kwa menejimenti ya BASATA. Utafiti umebaini kwambawasanii hujipatia kipato <strong>na</strong> ajira kupitia shughuli za sa<strong>na</strong>a. Baraza pia limetoa mafunzo ya stadi za25
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76:
Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78:
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80:
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82:
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest