12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>iomba Serikali iwaangalie hawa vija<strong>na</strong> kwa macho mawili.Vija<strong>na</strong> ndiyo nguzo ya Taifa, hasa ukizingatia kwamba wao ndiyo wengi, kwani ni asilimia 60. Kwahiyo, Serikali ingewaangalia sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, jamani tu<strong>na</strong>kokwenda ni kugumu sa<strong>na</strong> kwa sababuhawa ndio tegemeo letu katika Taifa.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya vija<strong>na</strong>, kundi li<strong>na</strong>lofuatia ni aki<strong>na</strong> mama.Ukimwelimisha au ukimpa (support) nguvu mama mmoja, basi umeokoa familia <strong>na</strong> Taifa lote kwaujumla. Hata hivyo, aki<strong>na</strong> mama wamekuwa wakijaribu <strong>na</strong> kujihangaikia wenyewe katika kutafuta<strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kuzalisha mali, mikopo wa<strong>na</strong>isikia tu lakini hawajui watafanyaje waipate.Mheshimiwa Mwenyekiti, kulikuwa ku<strong>na</strong> huu mfuko wa hizi fedha za Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete. Hizo kwa kweli aki<strong>na</strong> mama au vija<strong>na</strong> wamezitegemea kwamba zingewasaidia.Lakini kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama wa Mpanda tuliishia kufukuza inzi tu, hatujui tufanye nini. Mikopotu<strong>na</strong>isikia tu hiyoo, i<strong>na</strong>ruka, i<strong>na</strong>pita, i<strong>na</strong>tua<strong>cha</strong> Katavi tumetulia. Naomba kwa kweli Serikaliiangalie, iwawezeshe aki<strong>na</strong> mama <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> kupata mikopo ili tuweze kwa kweli kuwaokoa vija<strong>na</strong>hawa, warudi katika maadili mema. Maa<strong>na</strong> yake tutaishia kuwalaumu tu, lakini tu<strong>na</strong>wao<strong>na</strong>.Vija<strong>na</strong>, wafanye nini sasa? (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hapo nimemaliza, sasa <strong>na</strong>omba niende kwenye suala lautamaduni. Katika suala la utamaduni, kwa kweli maadili yameporomoka sa<strong>na</strong>. Utamaduni waMtanzania sasa u<strong>na</strong>tukimbia, japokuwa bado utamaduni upo, lakini maadili yameanza kupotea.Labda <strong>na</strong>weza kuwasifu wenzetu wa kabila la Wamasai kwamba, kidogo ndiyo bado wa<strong>na</strong><strong>na</strong>takwenye utamaduni wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi wa makabila mengine, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwa kweli tumepotezamwelekeo <strong>na</strong> hii yote <strong>na</strong>ilaumu Serikali kwa sababu ndiyo imekuwa ikikumbatia mambo mengikatika vyombo vya habari. Vyombo vya habari vimekuwa vikitangaza mambo mengine ambayokwa kweli ni kinyume <strong>cha</strong> maadili. Lakini Serikali i<strong>na</strong>angalia tu <strong>na</strong> macho. Mimi <strong>na</strong>io<strong>na</strong> Serikali kuwani sawa <strong>na</strong> mama ambaye a<strong>na</strong>lea familia, watoto wote wa<strong>na</strong>mwangalia mama atasema nini,kiasi kwamba kama mtoto akipotea kimaadili labda amepita akiwa amevaa mavazi yasiyofaa.Mama a<strong>na</strong>takiwa kung’aka ili mtoto aelewe yuko katika upande gani au afuate msimamo gani.Lakini Serikali yetu imekuwa ikiangalia <strong>na</strong> macho <strong>na</strong> haitangazi kipi kibaya <strong>na</strong> kipi ni kizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano, katika suala la ushindani huu wa ma-miss, kwa kwelihawa ma-miss wa<strong>na</strong>pokuwa katika ushindani, watoto wetu <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong>.Sijui ni biashara za kimataifa au ni nini? Nashindwa kuelewa. Kwani nikijiuliza, sipati jibu. Yaani hatakama baba amekaa a<strong>na</strong>angalia mtoto wake, amekwenda kugombea u-miss kule, kama babaa<strong>na</strong> wageni wamemfikia pale, sidhani kama atamtambulisha yule mgeni kwamba haloo, mwonemwa<strong>na</strong>ngu yule a<strong>na</strong>gombea u- miss. Sidhani! Ni aibu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa, wa<strong>na</strong>vishwa vichupi, wa<strong>na</strong>vaavinguo ambavyo havi<strong>na</strong> heshima. Sasa sijui tu<strong>na</strong>shindania nini? Hivi Serikali imeshindwa kutafutakigezo kingine <strong>cha</strong> kumtambua mshindi kwa kumpima mtoto labda uwezo! Eeh! mpaka tupitiehatua ya kuvaa nguo za kuonyesha nusu uchi! Jamani, <strong>na</strong>omba turudi katika maadili. Serikaliijitahidi kurudi katika maadili ili kusudi tupate Taifa la kesho lililo bora <strong>na</strong> vizazi vijavyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiangalia upande wa utamaduni huo, watu tu<strong>na</strong>iga mamboya nje, hatujui tu<strong>na</strong>kokwenda, ni wapi <strong>na</strong> vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja tu<strong>na</strong>vipeleka wapi? Wenginetumefikia hata hatua ya kukataa vyakula ambavyo ni asili yetu. Mtu hawezi kula kiazikilichochemshwa kwa maganda, a<strong>na</strong>taka mikate, a<strong>na</strong>taka jam, vitu kutoka nje, wakati sisiwenyewe Watanzania tu<strong>na</strong> uwezo wa kuzalisha vitu vizuri <strong>na</strong> vyakula vizuri kama hivyo te<strong>na</strong> vyaasili, ambavyo vi<strong>na</strong> faida sa<strong>na</strong> katika miili yetu. Lakini tu<strong>na</strong>iga iga, tu<strong>na</strong>pata vitu ambavyo wakatimwingine havi<strong>na</strong> faida <strong>na</strong> sisi <strong>na</strong> kwa vizazi vijavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>iomba Serikali iwajali sa<strong>na</strong> hawa wacheza ngoma zaasili kwani wamesahaulika sa<strong>na</strong>. Serikali haiwajali, i<strong>na</strong>wahitahi tu labda u<strong>na</strong>popita Mwenge, ndiyoi<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong> thamani. Mwenge ukipita ndiyo tu<strong>na</strong>agiza sasa ngoma za asiliwakahangaike juani <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> Serikali i<strong>na</strong>chowalipa zaidi ya wao kuhangaika <strong>na</strong> kupewa labda72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!