Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>iomba Serikali iwaangalie hawa vija<strong>na</strong> kwa macho mawili.Vija<strong>na</strong> ndiyo nguzo ya Taifa, hasa ukizingatia kwamba wao ndiyo wengi, kwani ni asilimia 60. Kwahiyo, Serikali ingewaangalia sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, jamani tu<strong>na</strong>kokwenda ni kugumu sa<strong>na</strong> kwa sababuhawa ndio tegemeo letu katika Taifa.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya vija<strong>na</strong>, kundi li<strong>na</strong>lofuatia ni aki<strong>na</strong> mama.Ukimwelimisha au ukimpa (support) nguvu mama mmoja, basi umeokoa familia <strong>na</strong> Taifa lote kwaujumla. Hata hivyo, aki<strong>na</strong> mama wamekuwa wakijaribu <strong>na</strong> kujihangaikia wenyewe katika kutafuta<strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kuzalisha mali, mikopo wa<strong>na</strong>isikia tu lakini hawajui watafanyaje waipate.Mheshimiwa Mwenyekiti, kulikuwa ku<strong>na</strong> huu mfuko wa hizi fedha za Mheshimiwa JakayaMrisho Kikwete. Hizo kwa kweli aki<strong>na</strong> mama au vija<strong>na</strong> wamezitegemea kwamba zingewasaidia.Lakini kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama wa Mpanda tuliishia kufukuza inzi tu, hatujui tufanye nini. Mikopotu<strong>na</strong>isikia tu hiyoo, i<strong>na</strong>ruka, i<strong>na</strong>pita, i<strong>na</strong>tua<strong>cha</strong> Katavi tumetulia. Naomba kwa kweli Serikaliiangalie, iwawezeshe aki<strong>na</strong> mama <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> kupata mikopo ili tuweze kwa kweli kuwaokoa vija<strong>na</strong>hawa, warudi katika maadili mema. Maa<strong>na</strong> yake tutaishia kuwalaumu tu, lakini tu<strong>na</strong>wao<strong>na</strong>.Vija<strong>na</strong>, wafanye nini sasa? (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hapo nimemaliza, sasa <strong>na</strong>omba niende kwenye suala lautamaduni. Katika suala la utamaduni, kwa kweli maadili yameporomoka sa<strong>na</strong>. Utamaduni waMtanzania sasa u<strong>na</strong>tukimbia, japokuwa bado utamaduni upo, lakini maadili yameanza kupotea.Labda <strong>na</strong>weza kuwasifu wenzetu wa kabila la Wamasai kwamba, kidogo ndiyo bado wa<strong>na</strong><strong>na</strong>takwenye utamaduni wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi wa makabila mengine, <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwa kweli tumepotezamwelekeo <strong>na</strong> hii yote <strong>na</strong>ilaumu Serikali kwa sababu ndiyo imekuwa ikikumbatia mambo mengikatika vyombo vya habari. Vyombo vya habari vimekuwa vikitangaza mambo mengine ambayokwa kweli ni kinyume <strong>cha</strong> maadili. Lakini Serikali i<strong>na</strong>angalia tu <strong>na</strong> macho. Mimi <strong>na</strong>io<strong>na</strong> Serikali kuwani sawa <strong>na</strong> mama ambaye a<strong>na</strong>lea familia, watoto wote wa<strong>na</strong>mwangalia mama atasema nini,kiasi kwamba kama mtoto akipotea kimaadili labda amepita akiwa amevaa mavazi yasiyofaa.Mama a<strong>na</strong>takiwa kung’aka ili mtoto aelewe yuko katika upande gani au afuate msimamo gani.Lakini Serikali yetu imekuwa ikiangalia <strong>na</strong> macho <strong>na</strong> haitangazi kipi kibaya <strong>na</strong> kipi ni kizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano, katika suala la ushindani huu wa ma-miss, kwa kwelihawa ma-miss wa<strong>na</strong>pokuwa katika ushindani, watoto wetu <strong>na</strong>o<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong>.Sijui ni biashara za kimataifa au ni nini? Nashindwa kuelewa. Kwani nikijiuliza, sipati jibu. Yaani hatakama baba amekaa a<strong>na</strong>angalia mtoto wake, amekwenda kugombea u-miss kule, kama babaa<strong>na</strong> wageni wamemfikia pale, sidhani kama atamtambulisha yule mgeni kwamba haloo, mwonemwa<strong>na</strong>ngu yule a<strong>na</strong>gombea u- miss. Sidhani! Ni aibu! (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa, wa<strong>na</strong>vishwa vichupi, wa<strong>na</strong>vaavinguo ambavyo havi<strong>na</strong> heshima. Sasa sijui tu<strong>na</strong>shindania nini? Hivi Serikali imeshindwa kutafutakigezo kingine <strong>cha</strong> kumtambua mshindi kwa kumpima mtoto labda uwezo! Eeh! mpaka tupitiehatua ya kuvaa nguo za kuonyesha nusu uchi! Jamani, <strong>na</strong>omba turudi katika maadili. Serikaliijitahidi kurudi katika maadili ili kusudi tupate Taifa la kesho lililo bora <strong>na</strong> vizazi vijavyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiangalia upande wa utamaduni huo, watu tu<strong>na</strong>iga mamboya nje, hatujui tu<strong>na</strong>kokwenda, ni wapi <strong>na</strong> vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja tu<strong>na</strong>vipeleka wapi? Wenginetumefikia hata hatua ya kukataa vyakula ambavyo ni asili yetu. Mtu hawezi kula kiazikilichochemshwa kwa maganda, a<strong>na</strong>taka mikate, a<strong>na</strong>taka jam, vitu kutoka nje, wakati sisiwenyewe Watanzania tu<strong>na</strong> uwezo wa kuzalisha vitu vizuri <strong>na</strong> vyakula vizuri kama hivyo te<strong>na</strong> vyaasili, ambavyo vi<strong>na</strong> faida sa<strong>na</strong> katika miili yetu. Lakini tu<strong>na</strong>iga iga, tu<strong>na</strong>pata vitu ambavyo wakatimwingine havi<strong>na</strong> faida <strong>na</strong> sisi <strong>na</strong> kwa vizazi vijavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>iomba Serikali iwajali sa<strong>na</strong> hawa wacheza ngoma zaasili kwani wamesahaulika sa<strong>na</strong>. Serikali haiwajali, i<strong>na</strong>wahitahi tu labda u<strong>na</strong>popita Mwenge, ndiyoi<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kama wa<strong>na</strong> thamani. Mwenge ukipita ndiyo tu<strong>na</strong>agiza sasa ngoma za asiliwakahangaike juani <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> Serikali i<strong>na</strong>chowalipa zaidi ya wao kuhangaika <strong>na</strong> kupewa labda72
pombe tu, wa<strong>na</strong>ishia kunywa pombe, basi. Lakini wacheza ngoma za asili ni muhimu sa<strong>na</strong> katikaTaifa letu.Naomba Serikali ingewakumbuka sa<strong>na</strong> kwa sababu hawa ndio watarudisha utamaduniwa nchi yetu kupitia vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja. Hiyo ni kumbukumbu tosha. Lakini hata Mawaziriwa<strong>na</strong>potembelea labda mashule, ni aibu sa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>imbiwa nyimbo za Bongo Fleva <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>funzi; wapi <strong>na</strong> wapi jamani! Ngoma za asili ndiyo utambulisho wa nchi yetu <strong>na</strong> makabilayetu. Naomba Serikali iliangalie hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ingefanya michezo ni lazima, siyo hiyari. Michezoirudishwe mashuleni te<strong>na</strong> kuanzia Shule ya Msingi ikiwezeka<strong>na</strong> ianzie katika Shule za Chekecheakabisa. Pia kuwe <strong>na</strong> ushindani, hata katika baadhi ya sikukuu za kitaifa, tuwe tu<strong>na</strong>shuhudia mechiya Shule za Chekechea. Miaka 12 wa<strong>na</strong>anza <strong>na</strong> wenyewe kuandaliwa mashindano <strong>na</strong> hapondiyo tu<strong>na</strong>tafuta watoto wabunifu <strong>na</strong> wachezaji wazuri wa baadaye badala ya kusubiri mpakawamemaliza Darasa la Saba ndipo tuanze kutafuta watoto wa kucheza mpira.Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kupata wachezaji wazuri kama tutaanza kuwatafutawatoto wa kucheza mpira wakiwa labda <strong>na</strong> miaka 20, hatuwezi kumpata mchezaji mzuri.Mchezaji mzuri ni kuanzia utotoni. Tu<strong>na</strong>omba Serikali irudishe michezo kuanzia Shule za Msingi auChekechea kabisa. Kipaji <strong>cha</strong> mtoto tu<strong>na</strong>anza kukio<strong>na</strong> akiwa mdogo. Kwa hiyo, michezoirudishwe, iwe ni lazima <strong>na</strong> siyo hiari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, zamani kulikuwa <strong>na</strong> michezo sa<strong>na</strong>. Katika masomo kulikuwa <strong>na</strong>kipindi kimetengwa kwa ajili ya michezo. Naomba sasa hivi vipindi vya michezo virudishwemashuleni. Kuwe <strong>na</strong> kipindi kabisa <strong>cha</strong> michezo, baada ya masomo mengine i<strong>na</strong>fuata michezo.Kama ilivyokuwa enzi zetu, kulikuwa <strong>na</strong> michezo mingi. Riadha, netball, football, high jump, longjump, michezo kama kukimbia kwenye magunia, eeh! Ni afya tosha kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa sababumichezo ni afya, ni ajira <strong>na</strong> ni burudani. Leo katika vizazi vyetu hivi ukimwo<strong>na</strong> kija<strong>na</strong> wa sasa nikama bamia. Jamani! Eeh, kwa sababu hawa<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong>fasi ya kushiriki katika michezo.Hawapati michezo shuleni, wa<strong>na</strong>ipata kwa muda kama pale tu<strong>na</strong>poandaa mashindano yaUMITASHUMTA au UMISETA. Hapo ndiyo mazoezi ya<strong>na</strong>anza. Wapi <strong>na</strong> wapi! (Makofi)(Hapa kengele ya pili iligonga kuashiria muda wa mzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa.MHE. ANNAMARRYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>.MHE. MARGARETH A. MKANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa wasaa ili<strong>na</strong>mi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Kwanza, niwapongeze Waziri, Naibu Waziri <strong>na</strong>wote kabisa waliohusika katika kuandaa bajeti au hotuba hii. Hotuba imeeleweka vizuri tu sa<strong>na</strong>,i<strong>na</strong>tia matumaini, lakini kuwa <strong>na</strong> hotuba ya matumaini ni kitu kingine <strong>na</strong> kuweza kuitekeleza nisuala lingine. Tu<strong>na</strong>waomba tu kwamba pamoja <strong>na</strong> pesa ndogo waliyoipata, basi ndani yampangilio waendelee kupangilia kipaumbele zaidi <strong>cha</strong> haya yaliyomo, vinginevyo, yoteya<strong>na</strong>weza yakashindika<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>anza kwanza kujikita kwenye masuala ya michezo.Nilivyo sio mchezaji, <strong>na</strong>jua tu karata, lakini <strong>na</strong>dhani <strong>na</strong>wajibika kwa vile mengine <strong>na</strong>yafahamu,hivyo nizungumzie mawili, matatu.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeisoma hii hotuba kwa makini kidogo, lakini imenipa majonziya kutosha tu, kwa sababu sikuo<strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chonifurahisha kuhusu michezo ya watu wenye ulemavu.Kumekuwepo <strong>na</strong> kutokuwezesha kikamilifu sehemu hii ya michezo ya jamii hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>vyofahamu mimi, watoto wenye ulemavu, wakubwa zao,mababu zao wa<strong>na</strong>shiriki kwenye michezo i<strong>na</strong>yoweza kuchezwa <strong>na</strong> wao. Kwa mfano, ile michezo73
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest