12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vifaa vya michezo vi<strong>na</strong>kuwa ni ghali sa<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> beikuwa juu <strong>na</strong> ushuru kuwa mkubwa. (Makofi)Kwa kuwa kengele ya kwanza imelia mengine itabidi niyaruke, lakini <strong>na</strong>taka nizungumziesuala la wasanii pia. Wasaidiwe kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kipekee, wameonyesha wa<strong>na</strong>weza. Wasaniihawa siku zote wamekuwa wa<strong>na</strong>lalamika ni jambo la kustaajabisha kwamba kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa,kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> hatua zi<strong>na</strong>zochukuliwa. Imekuwa ni hoja hapa hata masteringstudio kwa nini tusianzishe kwa umoja walio<strong>na</strong>o? Tuwagawie japo mastering studio moja wakawawa<strong>na</strong>hifadhi kazi zao <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jizalishia wenyewe kuliko kuhangaika <strong>na</strong> hawa watu ambaowa<strong>na</strong>wanyonya kila siku. Lakini pamoja <strong>na</strong> hayo kupitia Bunge hili <strong>na</strong>omba niwashauri wasanii <strong>na</strong>ovilevile wajiheshimu. Tumechoka kusoma kashfa katika magazeti <strong>na</strong> vyombo vya habarizi<strong>na</strong>zowahusu wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hapa asubuhi kulikuwa <strong>na</strong> hoja kwamba vyombo vya habarivi<strong>na</strong>potosha ukweli, i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> ikawa ni kweli, lakini Serikali <strong>na</strong>yo ivunje ukimya iwe i<strong>na</strong>toataarifa za kweli wasisubiri mpaka vyombo vya habari vipotoshe, tusiwakemee tu. Mimi ni Mjumbekatika Bunge hili kwenye Kamati ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma, <strong>na</strong>mshukuru MzeeMwambalaswa hapa amezungumza, lakini ni<strong>na</strong>chosema kwamba vyombo vya Serikali vyaTBC/TSN visaidiwe kulipa madeni yake. Tumepitia hesabu zao wa<strong>na</strong>dai karibu shilingi bilioni 4.5.M<strong>na</strong>taka wajiendeshe wapanue huduma, watajiendeshaje <strong>na</strong> Serikali yenyewe <strong>na</strong> Mawizarahayalipi fedha katika vyombo hivi? Sasa tusifanye hadithi za kuwahimiza kuwafanya wafanye kazibora wakati sisi wenyewe hatupo tayari kuwasaidia kwa kuwalipa kazi ambazo wa<strong>na</strong>zifanyakupitia vyombo hivi.Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho kabisa nitaomba hili nipatiwe maelezo <strong>na</strong> Waziri waMichezo hali iliyokuwepo kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>okwenda kwenye All Africa GamesMozambique ni mbaya. Malalamiko hayaishi kila siku vyombo vya habari, wa<strong>na</strong>riadha wa<strong>na</strong>lia,wa<strong>na</strong> ngumi wa<strong>na</strong>lalamika kila ai<strong>na</strong> ya michezo. Hivi kweli kama Serikali kutoka hapa kwendaMozambique tumeshindwa kupeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi tu<strong>na</strong>peleka wa<strong>na</strong>michezo 60 kati yaokaribu 20 ni viongozi.Mimi nimeongea <strong>na</strong> Mheshimiwa Shabiby hapa alikuwa yupo tayari kutoa mabasi yakekupeleka mpaka Mozambique. Serikali kweli hai<strong>na</strong> uwezo wa kukodi mabasi mawili kuwapelekawa<strong>na</strong>michezo zaidi ya 100. Ku<strong>na</strong> maboti, Mozambique tu<strong>na</strong>weza kwenda kila <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hatamajahazi yapo. Kwa sababu kama tungesema kwamba tuchukue waogeleaji wasingeogopakusafiri kwenda Mozambique kwa kutumia majahazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hili ni jambo ambalo <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri sio kwakusubiri mpaka tupate adha kwa kusubiri mpaka jambo lingine lolote. Nataka litolewe tamkokwamba wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ongezeka kwa sababu hatutokuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nyingine zaidi yakuwapeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi katika mashindano ya All Africa Game. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita sasa Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max, MheshimiwaMartha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura ajiandae. (Makofi)MHE. DONALD K. MAX: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii. Awaliya yote <strong>na</strong>omba nimpongeze Waziri wa Wizara hii Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwasababu mimi ni Mjumbe kwenye Wizara hii. Nimpongeze Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara,nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Jenista Mhagama ambaye ndiye Mwenyekiti wetu. Lakini pongezizaidi ziende kwa Msemaji Mkuu aliyezungumza leo, mdogo wangu ambaye ametoa hotuba nzurisa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutukumbusha alikotoka ndugu yetu Juma Nkamia, nimpongeze sa<strong>na</strong>. Hotuba imesikikavizuri, simu tumepokea nyingi kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba awe <strong>na</strong> moyo wa kuendelea kutuelimishakwenye hilo. Naomba tufike mahali sasa haya masuala ya makabrasha yaanze kupungua.Tu<strong>na</strong>weka mikakati, tu<strong>na</strong>toa fedha utekelezaji u<strong>na</strong>shindika<strong>na</strong>. Marehemu Baba wa Taifaalipofanya makosa aliandika vitabu <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>visoma kwamba ingekuwa nianze upya miaka 25mingine makosa haya nisingefanya. Hapa tulipo tu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> makosa. (Makofi)77

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!