12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

watano u<strong>na</strong>waweka bench. U<strong>na</strong>powaweka bench wazalendo u<strong>na</strong>ua viwango vyao vya mpira.Kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yoyote mchezaji profession uliyemchukua u<strong>na</strong>pokosa<strong>na</strong> <strong>na</strong>ye kwa mkatabavinginevyo <strong>na</strong> mchezaji mzalendo tayari umemdumaza kiuwezo wake maa<strong>na</strong> yake u<strong>na</strong> kazi yakujiuliza te<strong>na</strong> kwamba nitawezaje kuziba pengo la position hii ambayo alikuwa a<strong>na</strong>cheza mgeniambaye amekimbia. Utaratibu huu u<strong>na</strong>dumaza viwango vya michezo kwa wachezaji wetu.(Makofi)Lakini kama hilo halitoshi tungekuwa <strong>na</strong> utaratibu wa kuibua vipaji vya wachezaji tanguwatoto wadogo tukaweza kuwaendeleza <strong>na</strong> wakafikia mahali tukawa tu<strong>na</strong>jua kwamba tukihitajiwachezaji eneo fulani tu<strong>na</strong>weza tukapata wachezaji wazuri wa kulitetea Taifa hili katika fani hii yamichezo. Naomba nizungumzie suala la Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kama ji<strong>na</strong> lake nichombo <strong>cha</strong> Taifa.MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Mbunge. (Makofi)MHE. HAMAD ALI HAMAD: Nakushukuru.MHE. JUMA S. NKAMIA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> kupata <strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong>mimi nitoe m<strong>cha</strong>ngo wangu kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> hoja iliyo mbele yetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nianze moja kwa moja <strong>na</strong> vyombo vya habari sijui nideclareinterest kuwa nilikuwa mwandishi wa habari lakini bado ni mwandishi wa habari, taalumahuwa haifi. Nianze kidogo kuzungumzia vyombo vya habari kama wenzangu waliotanguliawamesema. Vyombo vya habari vimefanya kazi kubwa sa<strong>na</strong> kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letutangu <strong>na</strong> baada ya Uhuru. Naamini vitaendelea kufanyakazi yake ipasavyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi kwa maoni yangu tu yapo mambo ma<strong>cha</strong>che sa<strong>na</strong>ambayo kama Taifa tukirekebisha vyombo vyetu vya habari vitafanya kazi yake vizuri sa<strong>na</strong>. LeoTanzania tu<strong>na</strong> Media Council of Tanzania, tu<strong>na</strong> Tanzania Media Fund, tu<strong>na</strong> Wizara/Serikali.Nilikuwa <strong>na</strong>jaribu kuangalia <strong>na</strong>o<strong>na</strong> hawa wa Tanzania Media Funds wa<strong>na</strong>toa ruzuku/misaadakuwasomesha waandishi wa habari kwa kiwango kikubwa. Lakini vilevile wamekuwa wakitoaruzuku kwa baadhi ya vyombo vya habari vya watu bi<strong>na</strong>fsi. Lengo ni kuboresha taaluma yenyeweya waandishi wa habari. Imani yangu <strong>na</strong> niombe Wizara pamoja <strong>na</strong> Serikali kama watashirikia<strong>na</strong>vizuri kati ya Tanzania Media Funds <strong>na</strong> Media Council of Tanzania <strong>na</strong>amini tutafanikiwa <strong>na</strong> tutafikamahali pazuri zaidi kuboresha taaluma hii ya waandishi wa habari. (Makofi)Kwa mtazamo wangu <strong>na</strong> hali ni<strong>na</strong>vyoio<strong>na</strong> niliwahi kushauri siku moja, <strong>na</strong>shauri te<strong>na</strong> leo nivizuri tukawa <strong>na</strong> Sera ya Habari ndani ya Tanzania. Kwa nini <strong>na</strong>sema hivi, sasa hivi vyombo vyetuvya habari vi<strong>na</strong>kwenda tu, vingi vi<strong>na</strong>andika maoni badala ya habari. Ni<strong>na</strong> wasiwasi kwambakama ku<strong>na</strong> baadhi ya watu watafariki dunia katika nchi hii baadhi ya vyombo vya habari <strong>na</strong>vyovitakufa. Vyombo vya habari vi<strong>na</strong>andika maoni badala ya habari kitu ambacho <strong>na</strong>dhani tukiwa<strong>na</strong> Sera ya Habari tutafanikiwa sa<strong>na</strong>. (Makofi)Kwa mfano Rwanda mwaka 1994 leo wapo waandishi wa habari <strong>na</strong> wahariri watatuwalikwenda kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda ya Makosa ya Ji<strong>na</strong>i kwa sababuvyombo hivi vili<strong>cha</strong>ngia sa<strong>na</strong> yale matatizo ya mwaka 1994 pale Rwanda. Tukiachia hali hii hapakwetu kama i<strong>na</strong>vyokwenda uwezekano wa kufika huko ni mkubwa <strong>na</strong> sisi ni bi<strong>na</strong>damu pia.Nadhani jambo hili lazima tuchukue hatua haraka sa<strong>na</strong> kama Serikali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, watu wa<strong>na</strong>zungumzia kuhusu rushwa kwenye mediai<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> ikawepo. Lakini sisi ndio tu<strong>na</strong>oendekeza waandishi wa habari, tu<strong>na</strong>wapa sisi fedha iliwatuandike vizuri kutujenga lakini ni hawa hawa watakaotubomoa pia kesho. (Makofi)Katika nchi zilizoendelea, mimi bahati nzuri nimefanyakazi kwenye media, giants zoteduniani, wakati wa vita vya Iraq nilikuwa <strong>na</strong>fanya kazi BBC pale ilipokuja vita ya Iraq vyombovyote vya habari vya Uingereza vilikuwa vi<strong>na</strong>i-support nchi yao kwamba tu<strong>na</strong>kwenda kupiga<strong>na</strong>kwa ajili ya Taifa la Uingereza tofauti <strong>na</strong> kwetu sasa hali ilivyo. Waziri Mkuu siku a<strong>na</strong>hitimisha Bajetiyake hapa lilikuwa ni jambo zito sa<strong>na</strong>, lakini vyombo vya habari hasa magazeti, kichwa <strong>cha</strong> habari94

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!