12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Mzee Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu amezungumziasa<strong>na</strong> umangimeza, ubi<strong>na</strong>fsi kwenye Wizara zetu. Huu ni mzigo mzito kwa sababu bahati nzuriWaziri Mkuu yuko hapa labda wengine wa<strong>na</strong>ogopa kusema lakini ukweli ndio huo. Mawaziri <strong>na</strong>Naibu Mawaziri sio wenye mzigo mle ndani ya Wizara, matatizo yako kwenye utendaji. Washaurihawapo, utakuta Wizara i<strong>na</strong> Msemaji wa Wizara, utakuta i<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>sheria, lakini wa<strong>na</strong>shindwakuwashauri, kwa sababu mtu kama Waziri a<strong>na</strong>beba Taifa, habebi jimbo a<strong>na</strong>angalia mikoa 24,Wilaya 100 <strong>na</strong> kitu yeye a<strong>na</strong> mzigo mzito kuliko mimi mwenye Jjimbo lenye kata 19, vijiji 136.(Makofi)Kwa hiyo, a<strong>na</strong>pofanya kazi yake a<strong>na</strong>angalia Taifa kama Taifa, haangalii Jimbo lakehaangalii Mkoa wake. Sasa kama hawasaidiwi maendeleo yatakuwa magumu sa<strong>na</strong>. Kwakiingereza tu<strong>na</strong>sema <strong>cha</strong>rity begins at home. Hapa nyumbani tu<strong>na</strong>shindwa hata Mheshimiwa Raism<strong>na</strong>shindwa kumshauri. Nimshukuru Mheshimiwa Mwambalaswa, Mheshimiwa Mangunguwamezungumza vizuri. Tu<strong>na</strong>tumia five billion kumweka Maximo hapa nchini for ten years. Hiyo fivebillion sasa hivi tungekuwa <strong>na</strong> walimu wa michezo <strong>na</strong> tungejigawa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ni mia moja wangekwenda kwa sababu <strong>na</strong> sisitulisomeshwa <strong>na</strong> Serikali zilikuwa zi<strong>na</strong>kuja scholarship mia moja tu<strong>na</strong>soma nje tu<strong>na</strong>rudi kutumikiaTaifa. Kule wenzetu kila mmoja a<strong>na</strong> utalaam wake. Mimi kama mimi ukinipa watu mia moja, watu25 nitawapeleka Latin America, kama Brazil au Argenti<strong>na</strong>, wengine 25 nitawapeleka Seria A, 25nikawapeleka pale Uingereza waliobaki nitawapaleka hata kama ni Ujerumani au wapi ili kusudiMikoa yetu 24 i<strong>na</strong>weza kuwa <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wa Kimataifa kila baada ya miaka mitano tukitoamako<strong>cha</strong> hata 20 au 30 nchi hii itakwenda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>posema kuihamasisha michezo ni kama kwenye kilimo tupopale pale. Wewe u<strong>na</strong>niambia Kilimo Kwanza leo <strong>na</strong>kulimia hekari 1,000 sijui nyanya nikilima<strong>na</strong>ipeleka wapi kutengeneza Tomato Sauce <strong>na</strong> kwenye michezo ni hivyo hivyo. Tumehamasishandugu zetu vijijini kila mahali. Mpango wa MMEM tumekamilisha <strong>na</strong> Mpango wa MMES. Leotu<strong>na</strong>zungumzia michezo, sijasikia Serikali i<strong>na</strong>sema kwamba tujiandae vipi <strong>na</strong> michezo. Tumelipigiakelele <strong>na</strong> mpaka leo li<strong>na</strong>endelea. U<strong>na</strong>pojiandaa kwa michezo watu wenye taaluma wapo wenginchi hii. Tupo milioni arobaini <strong>na</strong> kitu <strong>na</strong> wakati <strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara ya Uchukuzi nilisemawataalam wengi wamo humu ndani ya Bunge. Lakini <strong>na</strong>shangaa Wizara hazitaki kuwatumia walaSerikali haiwahitaji kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yao. Siamini kama Serikali itashindwa kutoa exemption kuletahata konte<strong>na</strong> 20 za mipira <strong>na</strong> jezi tukaanzia mashuleni, hilo siliamini. Kwa sababu kama tumesemavifaa vya michezo watoto wetu hawa<strong>na</strong> pesa, Serikali itoe exemption, makonte<strong>na</strong> yaingie hapa,Halmashauri zipo, Madiwani wapo, Wenyeviti watendaji wapo, wenyeviti wa Serikali wapo. Shulezote zitakuwa accommodated. Huyo huyo Diwani a<strong>na</strong>yebeba Kata sita m<strong>na</strong>mpa kazi kwambaongea <strong>na</strong> walimu wako, pekua shule zako, kila shule itutolee wachezaji wawili tuanze kuchuja,sasa hizo programu hatuoni. Tu<strong>na</strong>andika kwenye makabrasha makubwa kama haya mambomengi sa<strong>na</strong> lakini kwenye utendaji huwa haku<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije kwenye uwajibikaji. Kama nilivyosema watendaji wetu lazimawasaidie Mawaziri. Tu<strong>na</strong>lipa pesa, tu<strong>na</strong>pitisha haya mahela, mtu a<strong>na</strong>kaa ofisini hali ambayotu<strong>na</strong>yoikabili sisi vija<strong>na</strong>, mtendaji hajakanyaga hata siku moja, Afisa Michezo yuko pale Wilayaniha<strong>na</strong> pikipiki, kupewa gari <strong>na</strong> Halmashauri ni kazi, hiyo michezo itaendeleaje?Kwa hiyo, u<strong>na</strong>kuta kwamba zile takwimu za kujua shule ziko ngapi zi<strong>na</strong>zocheza mipira,shule za sekondari ni ngapi, form five <strong>na</strong> form six wangapi, vyuo wako wangapi? Lakini Waingerezawalisema <strong>cha</strong>rity begins at home. Humu ndani tupo Wabunge 367 tukiwaa<strong>cha</strong> dada zetu <strong>na</strong>mama zetu hapa, humu ndani peke yake ku<strong>na</strong> timu ishirini za watu kumi <strong>na</strong> moja, kumi <strong>na</strong> moja.Lakini i<strong>na</strong>shangaza kwamba Bunge li<strong>na</strong>unda timu moja. Kwa nini sisi tu<strong>na</strong>kuwa wazembe, bilakuonyesha mfano hatuendi.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba hata wale ambao wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> hawawezikukimbia. Tuanze humu, iwepo A, B, C, tuwe <strong>na</strong> hata timu tatu. Leo katika watu 367 katimu kamojakashindane <strong>na</strong> British Council, ni aibu. Kwa sababu <strong>na</strong> sisi lazima tuonyeshe mfano, wacheza mpiratumo humu humu. (Makofi)78

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!