12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>na</strong> TAMISEMI hawa<strong>na</strong> fungu la utamaduni. Sasa sielewi atafanyaje <strong>na</strong>o kazi kama alivyosemakwenye hotuba yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya swali hilo mimi ni<strong>na</strong>omba nizungumze kuhusu suala lawasanii. Labda leo nizungumze maa<strong>na</strong> siku zote <strong>na</strong> miaka mitano iliyopita nimekuwa nikilia ndaniBunge hili <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> sasa nimepata wasemaji wengi wa kutetea jambo hili. Leo<strong>na</strong>omba nizungumze lakini nikizidiwa basi nitalia, la hasha nitashindwa kuunga mkono hoja kwamambo yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli wasanii wengi wa Tanzania mpaka sasa hivi hatimayao haijulikani iko mikononi mwa <strong>na</strong>ni. Niliwahi kuzungumza hapa, nikasema kwamba hili dawati lautamaduni kwanza li<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> hali<strong>na</strong> mwenyewe, hata fungu lake halionekani <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>hata kazi zake haziendi. Matokeo yake imebaki kuwa ugomvi kati ya wasanii kwa wasanii, kwasababu hawa<strong>na</strong> mwenyewe. Sasa mimi niliwahi kusema kwa nini isiundwe Wizara ya Utamadunipeke yake, mbo<strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza ikazalisha sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuleta pato kubwa sa<strong>na</strong> nchini. Kwa nini badom<strong>na</strong>ipachi pachika. Ni<strong>na</strong>omba itengwe <strong>na</strong> ikae peke yake kama Wizara nyingine ili kuwezakuainisha mambo mengi ambayo ya<strong>na</strong>weza yakaleta tija. Sa<strong>na</strong>a ni biashara, sasa nisemekwamba ni<strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri pamoja <strong>na</strong> hayo ameweza kusimamia <strong>na</strong> kuundamashirikisho ambayo yako manne, ku<strong>na</strong> la filamu, muziki, sa<strong>na</strong>a za maonyesho pamoja <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>aza ufundi. Lakini hivi u<strong>na</strong>wezaje kumpa mtu mpini wa jembe <strong>na</strong> u<strong>na</strong>mwambia aende akalime?Hawa watu hawa<strong>na</strong> fungu lolote, haku<strong>na</strong> Bajeti yoyote hivi wataanzia wapi hata kufanya kazizao. Matokeo yake i<strong>na</strong>baki kwamba ku<strong>na</strong> maji<strong>na</strong>, ku<strong>na</strong> mashirikisho sijui lakini vitendea kazihaku<strong>na</strong>. Nilikuwa <strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong>o hapo nje, hata <strong>na</strong>uli za kuwaleta hapa wamejileta wenyewe.Sasa hizo kazi watafanyaje <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>sema wazunguke nchi nzima kuangalia vipaji vya vija<strong>na</strong> iliwaweze kupata ajira. Mheshimiwa Waziri ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> litengwe fungu au Bajeti kwa ajili hayamashirikisho manne wapatiwe fedha kwa ajili ya kuanzia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, labda niseme kwamba ku<strong>na</strong> jambo ambalo mimi li<strong>na</strong>nisikitishasa<strong>na</strong>. Si<strong>na</strong> hakika kama COSOTA kule ilipo ipo mahala pale. Sidhani kama ni mahala pake, kwasababu imeshindwa kufanya kazi yake. Wasanii wamekuwa wakiibiwa kazi zao lakini bado sasahivi tu<strong>na</strong>sema sijui mastering studio, sijui Mheshimiwa Rais ameipeleka wapi <strong>na</strong> sijui imekuwaje. Hilowala si kosa la Rais, wala si kosa la wasanii. Bali Wizara imeshindwa kutimiza wajibu wake kwenyeupande wa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> mlishindwa kumwelekeza. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge kidogo samahani. Naomba u-declare interest yakokatika fani hii, itakugharimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Ni kweli mimi pia ni mtunzi <strong>na</strong>ni mwimbaji wa nyimbo za injili. Kwa hiyo, ni msanii <strong>na</strong> pia ni mwigizaji. Nimekuwa niki-declareinterest mara nyingi labda ndiyo maa<strong>na</strong> leo nimejisahau. Lakini ni kweli <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>fanya hiyo biasharalakini sasa hivi i<strong>na</strong>nishinda kwa sababu ya mfumo mbovu uliopo. U<strong>na</strong>peleka kazi zako lakini hupatipesa yoyote, a<strong>na</strong>faidika mtu mwingine, tumewatajirisha watu wengine ambao hawajatokwa <strong>na</strong>jasho lolote. Kwa hiyo niseme, Wizara mlishindwa kumwelekeza Rais ni wapi apeleke kile chombondiyo maa<strong>na</strong> kikaangukia mahala ambapo wao walikuwa tayari <strong>na</strong> ndiyo wao walioneka<strong>na</strong>mbele ya Mheshimiwa Rais. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ni<strong>na</strong>chosema ni hivi, wasanii Watanzania hawahitajimastering studio bali wa<strong>na</strong>hitaji usalama wa kazi zao zisiibiwe, wa<strong>na</strong>hitaji faida ya kazi zaowa<strong>na</strong>pofanya kazi zao. Kwa hiyo, wasanii hawahitaji studio maa<strong>na</strong> zipo nyingi wa<strong>na</strong>wezawakarekodi popote hata majumbani zipo. Lakini usalama wa kazi zao. COSOTA i<strong>na</strong>fanya nini?Sasa hivi amejitokeza Msama Promotion ndiye a<strong>na</strong>yekamata kazi za wasanii, a<strong>na</strong>saidiwaje sasa?Kazi zingine zipo polisi, tu<strong>na</strong>sema Sheria iletwe hapa, kazi zikipelekwa Mahakamani faini shilingi200,000/=. Yaani hivi kweli Wizara ipo serious?Kwa hiyo, mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> hasa mikataba hii ya wasanii <strong>na</strong> hawa wa<strong>na</strong>ojiitamapromota, mameneja sijui washauri <strong>na</strong> wasambazaji, ni feki yote. Wizara wekeni utaratibu ilimuweke wa<strong>na</strong>sheria wa kusimamia mikataba ya wasanii <strong>na</strong> wasanii waweze kufaidika. Ni<strong>na</strong>ombasa<strong>na</strong>. (Makofi)80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!