12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza <strong>na</strong>taka niwapongeze waandishi wa habari, mtua<strong>na</strong>yesema kwamba sijui waandishi wa habari wawe wa<strong>na</strong>andika mambo kwa kuzingatia mimi<strong>na</strong>taka waandike. (Makofi)MWENYEKITI: Naomba u-declare interest.MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kazi yangu ni mganga wa kienyeji,mganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumewazungumzia sa<strong>na</strong> waandishi wa habari, kwa kweli mimi<strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwamba waandishi wa habari wa<strong>na</strong>pendwa wakati wa u<strong>cha</strong>guzi tu kwa ajiliya kuwaweka watu katika mazingira mazuri ya ushindi, lakini wakishamaliza u<strong>cha</strong>nguzi <strong>na</strong> watuwakishashinda wakianza kuandika mapungufu yao watu wa<strong>na</strong>sema waandishi wa habarihawafai. Mimi <strong>na</strong>taka waandike tu kwa nini wazuiwe? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu lengo la waandishi wa habari watu wa<strong>na</strong>taka kujuakwamba wa<strong>na</strong>nchi au Wabunge wamefanya nini au wapiga kura wamewa<strong>cha</strong>gua watu ambaowa<strong>na</strong>fanya nini, sasa kama watakuwa wa<strong>na</strong>andika mazuri tu bila kuandika mapungufu yetu, sionikama tu<strong>na</strong>watendea haki <strong>na</strong> ukizingatia kwamba hiyo ni kazi kama kazi ya watu wengine. Waopia wa<strong>na</strong>hitaji waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi. Kama ku<strong>na</strong> mapungufu Mwenyezi Mungu tua<strong>na</strong>waumba watu wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> mapungufu wamepinda miguu, ije kuwa waandishi wa habariwasiandike kasoro? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>fikiria sa<strong>na</strong> kwa upande wa waandishi wa habaritusiwanyanyase, ni<strong>na</strong>choomba tu Wizara ya Utamaduni <strong>na</strong> Michezo waangaliwe, ili kama ku<strong>na</strong>kiwango maalum <strong>cha</strong> waandishi wa habari wapewe ili wafanye kazi vizuri zaidi kuliko kila saaakimwandika mtu vibaya matokeo yake a<strong>na</strong>tishiwa kwamba atauawa au atamtishia manenoma<strong>cha</strong>fu au hata atamtishia kwamba wewe tuone kama uandishi wako wa habari au matokeoyake kuwamwagia tindikali, sasa hii siyo kitendo halali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili <strong>na</strong>taka niongelee kuhusu wasanii, kama ku<strong>na</strong> watuwa<strong>na</strong>pata matatizo sa<strong>na</strong> ni wasanii, haku<strong>na</strong> kitu kizuri ambacho msanii ataitwa, kila mtua<strong>na</strong>pofanya makosa a<strong>na</strong>ambiwa wewe kazi yako ni msanii, sasa usanii ni kazi, wasilinganishemabaya ya maji marefu ukaweka kwenye usanii. Sasa hivi ku<strong>na</strong> mtindo wa watu, mtu a<strong>na</strong>fanyamakosa yake <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>julika<strong>na</strong> kwamba amefanya utapeli fulani, wa<strong>na</strong>kuambia aah, hao siwasanii tu! Sasa usanii maa<strong>na</strong> yake ni nini? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, usanii ni kazi kama kazi nyingine, wasiwe wa<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nisha wasanii<strong>na</strong> mtu akosee basi msanii aonekane kwamba ndiye yeye ambaye a<strong>na</strong>haribu, Wabunge wengihapa wamepitia kwenye usanii, yupo ndugu yangu Mbilinyi, yupo ndugu yangu hapa mwandishiwa habari hapa Nkamia, yupo Mheshimiwa Martha, yupo Mheshimiwa Kamata. Sasa i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>Mheshimiwa Kamata ni msanii? Ni msanii katika fani yake lakini siyo usanii ule m<strong>na</strong>ochukua wakuwafanya watu waonekane watu wasanii ni watu wa duni sa<strong>na</strong>, ni watu wa dhiki sa<strong>na</strong>, kilamfano mbaya upelekwe kwa wasanii, hii siyo halali, wasanii wapewe heshima kama vile watuwengine hata kama tu<strong>na</strong>yopewa sisi Wabunge <strong>na</strong> wao wapewe heshima hiyo kwa sababu ni kaziambayo ni sawasawa <strong>na</strong> kazi nyingine. Nataka waheshimiwe kama wa<strong>na</strong>vyoheshimiwa watuwengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni suala la michezo, <strong>na</strong>sikitika sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kwambamichezo i<strong>na</strong>fanyika mikoani tu lakini Wilayani haku<strong>na</strong> michezo. Kitu <strong>cha</strong> kushangaza zaidi nikwamba maafisa utamaduni hawapati nyenzo <strong>na</strong> hawaonekani kama ni watu wa busara mbeleya watu. Wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri lakini kule hawaonekani. Maafisa Utamaduni wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> wakatiwa kukimbiza Mwenge peke yake, Mwenge ukikimbizwa Tanzania ndiyo Afisa Utamadunia<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> <strong>na</strong> yeye a<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi kwa nini, wakati yeye ndiye a<strong>na</strong>yelea vija<strong>na</strong> wote Wilayani, yeyendiye a<strong>na</strong>jua ngoma zote Wilayani, yeye ndiyo a<strong>na</strong>jua waganga wote Wilayani, yeye ndiyea<strong>na</strong>jua kila kitu ki<strong>na</strong>chofanyika katika Wilaya, kwa nini hawa watu hawapewi motisha <strong>na</strong>wenyewe waonekane kwamba wa<strong>na</strong>fanya kazi vizuri?87

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!