12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

· Kufanya tathmini <strong>na</strong> ufuatiliaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwaWizarani, <strong>na</strong> kusimamia utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitatu (2010/20<strong>11</strong> –2012/2013).· Kuratibu masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya<strong>na</strong>yohusu sekta za Wizara, pamoja <strong>na</strong>kubaini fursa za ushirikiano wa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mheshimiwa Naibu Spika, hitimisho, Serikali itaendeleza mafanikio yaliyopatika<strong>na</strong> katika Sektazi<strong>na</strong>zosimamiwa <strong>na</strong> Wizara ili ziweze ku<strong>cha</strong>ngia zaidi katika maendeleo ya nchi yetu. Matarajio yaSerikali ni kuo<strong>na</strong> kuwa Sekta za Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo zi<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi muhimu katikaku<strong>cha</strong>ngia ukuaji wa uchumi wa nchi yetu. U<strong>cha</strong>ngiaji ambao ni pamoja <strong>na</strong> kuongeza ajira,kipato, kulinda mazingira, kuleta amani <strong>na</strong> furaha katika jamii. Katika kutumia fursa hizo bado ku<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamoto ambazo zi<strong>na</strong>hitaji zipatiwe ufumbuzi ili kuzitumia ipasavyo katika kuleta maendeleoya nchi. Matarajio yangu ni kwamba <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo zitaendelea kupatiwa ufumbuzi hatuakwa hatua hasa kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi kupitia mfumo wa “Public-Private-Partnership”(PPP) <strong>na</strong> wadau wengine wa maendeleo. Tukidhamiria i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, shukrani, kwa niaba ya Serikali <strong>na</strong> kwa niaba yangu, <strong>na</strong>ombakuwashukuru kwa dhati wale wote walioshirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>si katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa2010/20<strong>11</strong>, katika kutimiza malengo yetu. Mafanikio ya utekelezaji wa majukumu <strong>na</strong> malengo yaWizara umewezeka<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ushirikiano uliopo miongoni mwa viongozi <strong>na</strong> wafanyakazi waWizara <strong>na</strong> wadau wengine walio nje ya Wizara. Shukrani zangu za pekee ziende kwa MheshimiwaDkt. Fenella E. Mukangara, (Mb), Naibu Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ambayeamekuwa msaada mkubwa kwangu, Bwa<strong>na</strong> Sethi Kamuhanda, Katibu Mkuu, Bibi Sihaba Nkinga,Naibu Katibu Mkuu, Wakurugenzi, Wataalamu <strong>na</strong> Watumishi wote wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo pamoja <strong>na</strong> Asasi zilizo chini ya Wizara kwa juhudi walizofanya kuhakikishakwamba wa<strong>na</strong>timiza ipasavyo majukumu tuliyokabidhiwa <strong>na</strong> Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kuwashukuru wale wote walioshiriki katikakutekeleza majukumu ya Wizara. Aidha, <strong>na</strong>washukuru wahisani wote ambao wametusaidia <strong>na</strong><strong>na</strong>amini kuwa wataendelea kutusaidia. Siyo rahisi kuwataja wote lakini nitaje wa<strong>cha</strong>che ambaowa<strong>na</strong>endelea kutusaidia wakiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Chi<strong>na</strong>, Finland, Uingereza,Denmark, Japan, Sweden, Norway <strong>na</strong> Ujerumani; Pia Mashirika ya kimataifa ya UNESCO <strong>na</strong>UNICEF. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kuvishukuru vyombo vyote vya habari nchini. Vyombo hivivimefanya kazi nzuri <strong>na</strong> fasaha ya kuitangaza nchi yetu. Naamini kuwa vyombo hivyo vitaendelea<strong>na</strong> kazi ya kuhabarisha, kuburudisha <strong>na</strong> kuelimisha kwa kuzingatia maadili. Aidha, <strong>na</strong>mshukurusa<strong>na</strong> Mpiga Chapa wa Serikali kwa ku<strong>cha</strong>pisha hotuba hii kwa wakati, bila kuvisahau vituo vyaTelevisheni ambavyo kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee vimerusha hotuba hii hewani.Mheshimiwa Naibu Spika, mapato, katika mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara imepanga kukusanyajumla ya shilingi 670,009,000 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa bajeti ya shilingi 14,671,877,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida (MatumiziMengineyo <strong>na</strong> Mishahara), fedha hizo zi<strong>na</strong>jumuisha:-· Mishahara ya Idara Shilingi 2,076,869,000.· Mishahara ya Asasi Shilingi 5,991,270,000.· Matumizi Mengineyo ya Idara Shilingi 3,806,163,200.· Matumizi Mengineyo ya Asasi Shilingi 2,797,574,800.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa jumla ya shilingi 3,880,851,000 kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati yahizo, shilingi 770,6<strong>11</strong>,000 ni fedha za kigeni <strong>na</strong> shilingi 3,<strong>11</strong>0,240,000 ni fedha za ndani.33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!