12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mkurugenzi. Kwa hiyo, tu<strong>na</strong>taka Serikali kuifanyia mabadiliko ya viongozi Idara hii, ili kuleta ari <strong>na</strong>ubunifu mpya kikazi. Sanjari <strong>na</strong> hilo, tu<strong>na</strong>pendekeza Idara hii iongezewe nguvu <strong>na</strong> raslimali.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Utamaduni. Ni ukweli ulio wazi kuwa sekta yautamaduni kwa sasa imepoteza mwelekezo kwa sababu mipango mingi ya maendeleo haizingatiiumuhimu wa utamaduni wetu kwa tafsiri pa<strong>na</strong>. Maendeleo ya jamii yoyote ile ya<strong>na</strong>tegemeautamaduni wa nchi husika, hivyo Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>sisitiza kuwa ni lazima Serikali irudi nyuma<strong>na</strong> kujitathimini vizuri katika sekta ya Utamaduni.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa tu<strong>na</strong>ishi katika kipindi muhimu <strong>cha</strong> mpito wa historia<strong>na</strong> utamaduni ya tangu kizazi <strong>cha</strong> uhuru <strong>na</strong> kile kilichozaliwa baada ya uhuru, ni muhimukuhakikisha kuwa historia <strong>na</strong> utamaduni wetu, u<strong>na</strong>kusanywa, u<strong>na</strong><strong>cha</strong>mbuliwa <strong>na</strong> kuhifadhiwavizuri kwa ajili ya kizazi <strong>cha</strong> sasa <strong>na</strong> vizazi vijavyo. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>pendekeza kuwaSerikali iunde Kamisheni Maalum ya Rais ya Historia, ambayo pamoja <strong>na</strong> mambo mengine, iwe <strong>na</strong>majukumu yafuatayo:-(i)(ii)(iii)(iv)(v)(vi)Kufanya utafiti wa watu wote waliotoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kihistoria katikakupigania Uhuru wa Tanganyika, Mapinduzi ya Zanzibar <strong>na</strong> Muungano iliwaweze kukumbukwa <strong>na</strong> mi<strong>cha</strong>ngo yao kuenziwa.Kutambua maeneo, majengo, <strong>na</strong> sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwawa kihistoria.Kupitia matukio muhimu ya historia yetu ili yaweze kuelezewa katika mwangawa kihistoria. Hii ni pamoja <strong>na</strong> Uhuru, Mapinduzi, Muungano, Uasi wa Jeshi,Azimio la Arusha, Operesheni Vijijini, Vita ya Kagera, Enzi za Soko Huria <strong>na</strong>kadhalika.Kukusanya vielelezo mbalimbali vyenye umuhimu mkubwa wa kihistoria kutokawatu bi<strong>na</strong>fsi, taasisi bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong> nje ya nchi ili hatimaye vitu hivyo, viwezekuingizwa katika historia yetu kwa ajili ya kuwa ni urithi wa vizazi vijavyo.Kuandika ripoti maalum juu ya historia yetu <strong>na</strong> matukio mbalimbali ili yawezekutunzwa kama sehemu ya historia yetu maalum.Kutoa mapendekezo ya jinsi ya kuenzi utamaduni wetu muhimu pamoja <strong>na</strong>watu mbalimbali ambao wali<strong>cha</strong>ngia katika matukio mbalimbali kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong>ya pekee <strong>na</strong> ambao historia yetu haijawakumbuka ipasavyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Sa<strong>na</strong>a. Nianze kwa kutangaza maslahi kwenye sekta hii,kuwa mimi ni Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongofleva) <strong>na</strong> nimekuwa kwenye fani hii kwamuda mrefu sasa. Kwa uzoefu wangu <strong>na</strong> kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani, <strong>na</strong>chukua fursahii kuieleza Serikali kwamba: “Sa<strong>na</strong>a si mapambo au burudani tu kama ilivyozoeleka, bali sa<strong>na</strong>a niajira i<strong>na</strong>yoweza kubadilisha maisha ya Mtanzania yeyote a<strong>na</strong>yejihusisha <strong>na</strong>yo <strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza kabisakuwa moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya Bajeti ya Serikali, ikiwa Serikali yenyewe itadhamiriakwa dhati kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia hii”.Mheshimiwa Mwenyekiti, taarifa mbalimbali kutoka nchini Marekani za mwaka 2007zilionyesha kuwa; “Makampuni ya<strong>na</strong>yotengeneza <strong>na</strong> kuuza kazi za hatimiliki yataendelea kuwamoja ya nguvu kubwa za uchumi wa Marekani, kwani mapato yatoka<strong>na</strong>yo <strong>na</strong> filamu, muziki,michezo ya video <strong>na</strong> mifumo ya kompyuta ya<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia zaidi ya asilimia 6.5 ya Pato la Taifa <strong>na</strong>kuajiri takribani watu milioni 5.4…” mwisho wa kunukuu.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni dhahiri kuwa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a ikifanyiwa mapinduzi makubwai<strong>na</strong>weza kabisa kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya bajeti ya Serikali yetu <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngiamaendeleo ya Taifa hili. Ikiwa Sa<strong>na</strong>a i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Taifa kubwa kamaMarekani, je, Tanzania tu<strong>na</strong> maendeleo gani ya kujivunia hata tupuuze sa<strong>na</strong>a? Bado hatujaipasekta hii umuhimu wake u<strong>na</strong>ostahili.Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii pamoja <strong>na</strong> Serikali bila kujua, wamekuwa wakinyonywakimapato <strong>na</strong> wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wa kazi za sa<strong>na</strong>a, hususan kwenye biasharaya kuuza muziki <strong>na</strong> filamu. Kwa mujibu wa utafiti wa Dkt. Jehovaness Aikaeli ambaye ni Mchumi46

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!