12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, ili Wizara iweze kutekeleza majukumu <strong>na</strong> malengo yake yamwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, <strong>na</strong>omba Bunge lako Tukufu liidhinishe bajeti ya jumla ya shilingi18,552,728,000 ambapo kati ya hizo, fedha za Matumizi ya Kawaida ni shilingi 14,671,877,000 <strong>na</strong>fedha za Miradi ya Maendeleo ni shilingi 3,880,851,000.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda nitoe te<strong>na</strong> shukrani zangu za dhati kwako bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong>kwa Waheshimiwa Wabunge kwa kunisikiliza. Hotuba hii i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> pia katika tovuti ya Wizarakwa anuani ya www.hum.go.tz.Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya maelezo haya, <strong>na</strong>omba kutoa hoja.<strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>afiki.(Hoja ilitolewa iamuliwe)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, MheshimiwaDkt. Emmanuel Nchimbi kwa hotuba yake nzuri sa<strong>na</strong>.Kabla sijamwita Mwenyekiti wa Kamati kwa ajili ya kuwasaidia Waheshimiwa Wabungewengine <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>otusikiliza ili kuelewa<strong>na</strong> katika mambo ya msingi hapa nilitaka kutoasomo lifuatalo.Mheshimiwa Mnyika alisimama hapa kusema a<strong>na</strong>taka kutumia Kanuni ya 133 kwa ajili yakutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri Mkuu. Natoa somo kwa Wabunge wote. Kutokuwa <strong>na</strong>imani kwa Waziri Mkuu haimaanishi kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Pinda. Kutokuwa <strong>na</strong> imani<strong>na</strong> Waziri Mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba Bunge hili likiungwa mkono hali<strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Serikali nzima.Tafsiri yake ni kwamba hoja hiyo ikipita Serikali hii lazima ivunjwe. Rais atumie utaratibu wa Kikatibakama ni kuita u<strong>cha</strong>guzi mwingine au ni kuteua Serikali mpya. Langu mimi ni la utaratibu tu. Kwahiyo, si jambo dogo la kulibeba te<strong>na</strong> kunyanyuka kila mtu a<strong>na</strong>vyotaka kama tu<strong>na</strong>vyofikiri, lakiniu<strong>na</strong>weza kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu, kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Naibu Spika imo kwenyeKanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Spika imo katika Kanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong>Mheshimiwa Rais wa Nchi imo katika Kanuni hizihizi lakini ukitaka kufanya jambo hili kubwa lazimauwe umejiandaa vizuri, si jambo la kukurupuka.Kujiandaa kwake kukoje, kwa Waziri Mkuu, ni kwamba utatoa taarifa ya maandishi katikaOfisi <strong>na</strong> kwa hakika tutaipokea kwa sababu ndio utaratibu u<strong>na</strong>osemwa. Cha pili taarifa hiyoiwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono, ni matakwa ya Kanuni sio ya kwangu, ndio maa<strong>na</strong> kila mmojalazima asome hivi vitu. Taarifa hiyo iwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono <strong>na</strong> Wabunge wasiopunguaasilimia 20 ya Wabunge wote <strong>na</strong> ili kukidhi matakwa haya asilimia 20 ya Wabunge wote,Wabunge wote humu ni 357, kwa hiyo asilimia 20 maa<strong>na</strong> yake ni lazima iwe <strong>na</strong> Wabunge 72kwenda mbele. Tukishaipokea taarifa hiyo kwa maandishi <strong>na</strong> i<strong>na</strong> saini za Wabunge 72 kwendambele walioweka saini zao <strong>na</strong> kuunga mkono kwamba hoja hii sasa iingie humu, itaingia,itajadiliwa, itapigwa kura za siri, sio zile za kuhoji za wote <strong>na</strong> maamuzi yake yatakuwa ndiomaamuzi ya Bunge wala sio ya Naibu Spika au Spika au mtu mwingine yeyote. Nilitaka nieleze hili ilituelewane, ni vizuri tuendeshe mambo haya katika taratibu ambazo zimewekwa. (Makofi)Naomba sasa nimwite Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii aualiyeandaliwa kwa ajili hiyo.MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII):Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Kanuni ya 99(7) <strong>na</strong> Kanuniya <strong>11</strong>4(<strong>11</strong>) Toleo la Mwaka 2007 <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwasilisha mbele ya Bunge lako Tukufu maoniya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezai wa Bajeti ya Wizara yaHabari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo kwa Mwaka 2010/20<strong>11</strong> <strong>na</strong> Makadirio ya Mapato <strong>na</strong>Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilifanya kazi ya kufikiria<strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>mbua Bajeti ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo tarehe 02 <strong>na</strong> 03 Juni,34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!